SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia

SIMIYU: Levinus Kidanabi Jela miaka saba na faini mil 15 kwa kumkashifu Rais Samia

Huyo atakuwa ni mmoja wa lile kundi mashuhuri linalojulikana kama "Sukumagang"

Kumkashifu huyo mtu miaka saba, je angemshutumu Mungu ingekuwaje?
 
Kwakua kutumia namba iliyosajiliwa jina lamtu nikosa kwa pande mbili msajiliji na msajiliwa

Je ,msajiliwa sioni hukumu yake Wala faini

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Sasa hapo faini atailipaje wakati yupo gerezani?
 
Bila nguvu ya umma wote mtaishia jela.

Ukimsema tu mwakatozo tayari kashifa
 
Hiyo fidia anapewa nani
Jamhuri au mhanga mwenyewe wa kashfa yaani mama samia?
Maelekezo tasavali
 
Hasira za kupandishwa kimbinyiko zitaondoka na wengi
 
Vijana tunapaswa kuwa makini kumkashifu mkuu wa nchi hata kama Kuna tatizo Kuna kuanzia ngazi ya kata diwani ,mbunge si afikishe kero zake tusitumie democrasia vibaya
 
:Lisu : Mama amefungua nchi sasa tuko huru.

Zito: Asante hali ya siasa ni nzuri mnoooooo, tuko huru kabisa kukosoa.

Wakati tunaonya kwamba mnawashangilia wachumia tumbo mlikuwa mnapinga na kutupuuza, haya jioneeni sasa.
Matusi unayomtukana Lissu humu umesahau? Unajitoa ufahamu tu,

Sasa hayo matusi mtukane Majaliwa au VP Mpango na Makamba uone kama hujafungwa,
Umekuwa unawatukana Lissu, Lema na Mbowe matusi ya nguoni bila kujali kwamba ni watu wazima na wana familia zinazoumizwa,
 
Ni kwa nini siku hizi matumaini yamehamia kwenye rufaa kuliko Trial Court?
.
Watu wanaamini mahakama za Rufaa ndio kuna haki zaidi.
.
Nimeona hata leo kuna watu wanasema kuna aina ya kesi lazima ukashindie mahakama ya Rufaa(Court of Appeal)
 
Vijana wanalisha sumu kutukana na kukashfu mamlaka ila hao wanaowatuma wako kimya ..ona sasa anaenda kunyea ndoo
 
Siku hizi wewe ufanye tu kosa lolote lile dhidi ya mwanamke hata likiwa ni la kawaida tu, kisha upelekwe mahakamani ukutane na hakimu mwanamke..... baba/ kaka utajuta..., nasema utajuuuuta kuifahamu hii nchi au hii dunia!!
Wewe ujaribu 'Kukohoa' wakati mwanamke aliyejaaliwa maumbile anapita ndiyo utajua.
 
mi naona labda kama kuna kingine ila hapo mimi sijaona cha kunishawishi kumpeleka mtu miaka 7 jela na kulipa milioni 15 ila kwa sababu ndio Nchi yetu acha twende tutafika tu.

ila mimi bora nipige domo huko twitter ila Whatsap,Facebook na Insta ambapo nimeweka full details zangu pamoja na picha hapana.

Vijana jikiteni katika kutafuta ugali haya mambo mengine temana nayo maana hata ukiongea cha kubadilisha huna
 
Back
Top Bottom