Simiyu: Mkuu wa Wilaya ya Busega: Nimepigwa mawe wakati wa Maandamano, tumewakamata Watu 108

Maandamano fani za watu,kinyume chenu hupigwa na polisi au wajeshi

Ninyi ,mnapigwa na raia!!!!

Wangekukamati wakuyomboloboshi kabisa
 
Huyu mama wa ajabu sana.

Yaani anajisifia kukamata watu 108?
 
Typical colonial mindset..
1) mamlaka hatuwezi kukubali...(mpo kwa niaba ya wananchi mna jukumu la kuwasikiliza)

2) tumewakamata 108...(anasifia idadi kubwa ya wananchi waliokamatwa kama vile ni mafanikio makubwa, kumweka ndani mwananchi sio mafanikio..

3) sijapata taarifa ya kupotea...(unasubiri kuletewa kwa nini usishuke chini waliko wananchi ukapate taarifa mwenyewe)

4) sijaskia vifo..(again yeye ndio mwenye vyombo kwanini asitoe taarifa iliyojitosheleza kuwa hakuna vifo full stop ama vipo period)
 
Kama hakua na taarifa..ina maana huyo mtu ni mvivu hafanyi kazi yake. Anastahili kutumbuliwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…