gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Weka orodha siyo kushabikia tuBrother uko eneo husikq au una bonga tu? Pls shutup. Habari ikiwa ya uwongo jf wangesha itolea taarifa kama wanavyofanya kwa wengine
Acha kutetea matatizo, kama halikugusi kaa kimya acha yanayowagusa wapambane
🖕🖕🖕🖕🖕Ndugu zangu wasukuma na matumizi sahihi ya akili ni vitu tofauti,hapo wakiambiwa waorodheshe watoto waliopotea, hawana
Tuombe radhi wasukuma, umetukosea. Hayo ni matamshi yanayoashiria kiburi na ulevi wa madaraka.Ndugu zangu wasukuma na matumizi sahihi ya akili ni vitu tofauti,hapo wakiambiwa waorodheshe watoto waliopotea, hawana
Hili bwege la wapi hiliKWA KANDA YA ZIWA HAYO MAJAMAA NI KAMA KUNDI LINGINE LA KIUHALIFU... HUWEZI PATA HAKI MBELE YA AL-MAARUF AU AL-TAJIR ZAIDI YAKO... WANA MAJIBU MABOVU KUPITILIZA....
Wewe ndo huna akili, at least wao wanajua haki zao na wamechukua hatua ambayo waliopewa dhamana wamelala bila kuwajibika,wewe ni msukule usiyejielewaNdugu zangu wasukuma na matumizi sahihi ya akili ni vitu tofauti,hapo wakiambiwa waorodheshe watoto waliopotea, hawana
Wagombea wa ccm ni nyoko kwa uchawi.Uchaguzi
Ina maana wanasiasa ,waganga wao wote wanataka damu ya mtu tu
Na NgorongoroWananchi wakali wapo Kanda ya ziwa
Mtu anapotea badala wachunguze wanakwambia tu kaenda kutafuta maisha.Baadhi ya Wananchi wameandamana na kuvamia Kituo cha Polisi cha Lamadi wakidai askari Polisi wa eneo hilo wameshindwa kuwajibika wakidai kuna muendelezo wa matukio ya Watoto kupotea Mkoani hapo.
Baadhi ya Wananchi wengine pia walifunga Barabara ya Kuu ya Mwanza-Simiyu-Mara, baada ya tukio hilo inadaiwa Jeshi la Polisi limetumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya
Taarifa zaidi zitafuata
MAANDAMANO SIMIYU, RPC ASEMA “HALI SIYO NZURI NITAWAPA TAARIFA BAADAYE
Chanzo cha Maandamano inadaiwa baadhi ya Wananchi wanashutumu Polisi kutowajibika wakidai kuna ongezeko la matukio ya Watoto kupotea
Kamanda wa Polisi Mkoa, Edith Swebe amesema “Nipo kwenye eneo la tukio 'situation' sio nzuri, naomba mnipe muda niwape taarifa baadaye.”
Inadaiwa kuna uharibifu wa mali, Watu kadhaa wamejeruhiwa na Waandamanaji wameweka Magogo Barabara ya Mwanza-Simiyu-Mara
LiNaamini kuna siku hawa askari kuna jambo litawapata na ndo itakuwa mwisho wa uonezi wao kwa wananchi.
Mkuu ujaona wakiwa wamebebe picha wa watoto waliopotea?mpaka mtu ajitokeze hadharani kushinikiza hilo swala maana yake ameguswa in one way another either wengine wajomba mashangazi waazazi nk. Wamepotelewa na watoto wao wanauchungu wameshindwa kuhimili hisia zao usiwabezeNdugu zangu wasukuma na matumizi sahihi ya akili ni vitu tofauti,hapo wakiambiwa waorodheshe watoto waliopotea, hawana
Kweli inaweza kuwa ni Fabricated moveTunapotezewa target ya Ngorongoro
Nangi zinamsumbuaBrother uko eneo husikq au una bonga tu? Pls shutup. Habari ikiwa ya uwongo jf wangesha itolea taarifa kama wanavyofanya kwa wengine
Acha kutetea matatizo, kama halikugusi kaa kimya acha yanayowagusa wapambane
Haraka ya nini? Wasubiri kwani uchaguzi ukiishaambo yote hayo hayatakuwepo itabaki historia.Baadhi ya Wananchi wameandamana na kuvamia Kituo cha Polisi cha Lamadi wakidai askari Polisi wa eneo hilo wameshindwa kuwajibika wakidai kuna muendelezo wa matukio ya Watoto kupotea Mkoani hapo.
Baadhi ya Wananchi wengine pia walifunga Barabara ya Kuu ya Mwanza-Simiyu-Mara, baada ya tukio hilo inadaiwa Jeshi la Polisi limetumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya
Taarifa zaidi zitafuata
MAANDAMANO SIMIYU, RPC ASEMA “HALI SIYO NZURI NITAWAPA TAARIFA BAADAYE
Chanzo cha Maandamano inadaiwa baadhi ya Wananchi wanashutumu Polisi kutowajibika wakidai kuna ongezeko la matukio ya Watoto kupotea
Kamanda wa Polisi Mkoa, Edith Swebe amesema “Nipo kwenye eneo la tukio 'situation' sio nzuri, naomba mnipe muda niwape taarifa baadaye.”
Inadaiwa kuna uharibifu wa mali, Watu kadhaa wamejeruhiwa na Waandamanaji wameweka Magogo Barabara ya Mwanza-Simiyu-Mara.
==============
Wananchi wa mji mdogo wa Lamadi Wilaya Busega Mkoani Simiyu, wamelazimika kuandamana na kufunga Barabara kuu ya Mwanza - Lamadi - Mara kwa magogo huku wakiyarushia mawe magari kuzuia yasipite, kwa kile wanachodai kuchoshwa na matukio ya watoto kupotea ambayo wamesema kwamba yamekuwa yanatokea katika Mji huo.
Sintofahamu hiyo imedumu kwa takribani Saa Tano kuanzia Saa Tatu Asubuhi hadi Saa Nane Mchana ambapo Jeshi la Polisi na Askari, wamefika katika eneo hilo na kuanza kuwatuliza kwa kupiga mabomu ya machozi, wakiwatawanya wananchi wanaoandamana, huku magari ya abiria yakilazimika kusindikizwa na Askari ili kusaidia yaweze kupita katika eneo hilo kwa usalama pasipokupigwa mawe.
Kwa sasa hali ya utulivu imerejea katika eneo hilo huku jeshi la polisi likisalia maeneo hayo kwa ajili ya kuendelea kuimarisha ulinzi.
Mimi ngoshaTuombe radhi wasukuma, umetukosea. Hayo ni matamshi yanayoashiria kiburi na ulevi wa madaraka.