Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea

Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea

1724309667693.jpg
 
Walimwandaa nyerere muda tu na wakampa nchi, usukumani watoto bado hunya kuzunguka nyumba
Mtu usiyejua Historia kama wewe ni fedheha kujadiliana nawe.

Hiyo ya kunya kwa style hiyo hata kwenu ipo. Na si ajabu pia mkoa wa asili yako unazidiwa maendeleo na mikoa ya Wasukuma kwa mbali sana.
 
Kama kichwa Cha habari kinavyosema sitokuja kutoa miguu yangu kuingia barabarani kuandamana tanzania hii Ili ufe wengine waishi Jana Kuna jamaa KAPIGWA risasi kafa lamadi raia wanawakimbia polisi ndio ujue Tanzania usijifanye kielele aliyechomwa picha ya raisi mbeya Nate wameshazika Kuna mizee ambayo ilichezea maisha ujanani kwao Sasa hivi inawaambia vijana waandamane hicho kitu hakipo Kila nikiangalia Salio langu bank Hala unakuta mjinga mmoja humu mtandaoni anasema vijana tuingie barabarani kisa yeye ana njaa hua namuangalia nasemahivi kweli anaakili timamu Tanzania ni ya kuandamana
ficha ujinga wako basi. waoga wapo na majasiri wapo pia
kaa upande wako tulia nao
 
Back
Top Bottom