Simle anaylsis: Matokeo ya mechi za nyumbani na ugenini za USGN ndio yataamua timu mbili za kufuzu kundi "D"

Simle anaylsis: Matokeo ya mechi za nyumbani na ugenini za USGN ndio yataamua timu mbili za kufuzu kundi "D"

Hahaha VP mkuu embu tukumbushe wamepoteza mechi gan nyumban kwao alafu usgm s wachovu n kwamba wamekutana na timu kubwa ambazo zmezoea haya mashindano hili group bado gumu kila timu ina nafas kikubwa Kama simba tunatakiwa angalau tupate drow kwa RS berkane
 
Umeongea kwa jicho la kiufundi sana, asiyekuelewa ni punguani pekee, nilishasema timu tishio niliyokwisha kuiona kwenye hili kundi ni Asec mimosas na berkane, licha ya asec kifungwa na simba hapa nyumbani lakini kiufundi walikuwa vizuri sana kuanzia kwenye kujenga mashambulizi yao, umiliki wa mpira, physical yao walikuwa perfect sana,

kufungwa kwao ni mambo ya nje ya uwanja zaidi tunajua mambo yanayofanyika pale kwa mkapa ili simba washinde wala akuna siri juu ya ilo kipimo tutakiona wakienda ivory coast kurudiana maana awatofanya wanachokifanyaga nyumbani, Na hawa gendamarie akuna ubishi ndo kibonde wa kundi ukiwaangalia vizuri kiufundi wana mapungufu mengi Sana kuanzia kwenye safu yao ya ulinzi,

kiungo mpaka ushambuliaji, hivyo ili ujiakikishie kutoboa unatakiwa umfunge uyu kibonde nyumbani kwake alafu umsubilie kwako uzoe point nyingine, hii michuano ni kwenda na hesabu, nimemsikia kocha wa simba anafurahia kupata droo ugenini lakini anasahau amepata droo kwa timu ya aina gani? Suala sio kupata droo tu. i

shu ni umepata droo na timu yenye kiwango gani maana wengine wataenda pale na wataipiga na wewe auna uwezo wakwenda kumfunga Asec au berkane nyumbani kwao kwa simba hii tusidanganyane hapa, akuna timu itakubali kufungwa nyumbani kwao zaidi ya hawa vibonde gendamarie,

saa nyingine ukweli mchungu lakini ndo uhalisia timu itayochukua point 3 nyumbani kwa gendamarie itakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kusonga mbele kimahesabu!
Kwa maana hiyo Gendarmerie wataishia point moja tu
 
Umeongea kwa jicho la kiufundi sana, asiyekuelewa ni punguani pekee, nilishasema timu tishio niliyokwisha kuiona kwenye hili kundi ni Asec mimosas na berkane, licha ya asec kifungwa na simba hapa nyumbani lakini kiufundi walikuwa vizuri sana kuanzia kwenye kujenga mashambulizi yao, umiliki wa mpira, physical yao walikuwa perfect sana,

kufungwa kwao ni mambo ya nje ya uwanja zaidi tunajua mambo yanayofanyika pale kwa mkapa ili simba washinde wala akuna siri juu ya ilo kipimo tutakiona wakienda ivory coast kurudiana maana awatofanya wanachokifanyaga nyumbani, Na hawa gendamarie akuna ubishi ndo kibonde wa kundi ukiwaangalia vizuri kiufundi wana mapungufu mengi Sana kuanzia kwenye safu yao ya ulinzi,

kiungo mpaka ushambuliaji, hivyo ili ujiakikishie kutoboa unatakiwa umfunge uyu kibonde nyumbani kwake alafu umsubilie kwako uzoe point nyingine, hii michuano ni kwenda na hesabu, nimemsikia kocha wa simba anafurahia kupata droo ugenini lakini anasahau amepata droo kwa timu ya aina gani? Suala sio kupata droo tu. i

shu ni umepata droo na timu yenye kiwango gani maana wengine wataenda pale na wataipiga na wewe auna uwezo wakwenda kumfunga Asec au berkane nyumbani kwao kwa simba hii tusidanganyane hapa, akuna timu itakubali kufungwa nyumbani kwao zaidi ya hawa vibonde gendamarie,

saa nyingine ukweli mchungu lakini ndo uhalisia timu itayochukua point 3 nyumbani kwa gendamarie itakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kusonga mbele kimahesabu!
Mna ujinga mwingi sana vichwani mwenu, kubalini Simba inajua zaidi yenu muishi kwa amani sio kutujazia machozi huku.

Juzi Simba kampiga huyo Asec unayemsifia 3-1 alibebwa na nani?

Tatizo lenu majini visirani, Simba akicheza mnakodoa macho mkijua atafungwa, akishinda mnanuna na kuanza kutunga kila aina ya utopolo shwaini.
 
Takataka hii
Umeongea kwa jicho la kiufundi sana, asiyekuelewa ni punguani pekee, nilishasema timu tishio niliyokwisha kuiona kwenye hili kundi ni Asec mimosas na berkane, licha ya asec kifungwa na simba hapa nyumbani lakini kiufundi walikuwa vizuri sana kuanzia kwenye kujenga mashambulizi yao, umiliki wa mpira, physical yao walikuwa perfect sana,

kufungwa kwao ni mambo ya nje ya uwanja zaidi tunajua mambo yanayofanyika pale kwa mkapa ili simba washinde wala akuna siri juu ya ilo kipimo tutakiona wakienda ivory coast kurudiana maana awatofanya wanachokifanyaga nyumbani, Na hawa gendamarie akuna ubishi ndo kibonde wa kundi ukiwaangalia vizuri kiufundi wana mapungufu mengi Sana kuanzia kwenye safu yao ya ulinzi,

kiungo mpaka ushambuliaji, hivyo ili ujiakikishie kutoboa unatakiwa umfunge uyu kibonde nyumbani kwake alafu umsubilie kwako uzoe point nyingine, hii michuano ni kwenda na hesabu, nimemsikia kocha wa simba anafurahia kupata droo ugenini lakini anasahau amepata droo kwa timu ya aina gani? Suala sio kupata droo tu. i

shu ni umepata droo na timu yenye kiwango gani maana wengine wataenda pale na wataipiga na wewe auna uwezo wakwenda kumfunga Asec au berkane nyumbani kwao kwa simba hii tusidanganyane hapa, akuna timu itakubali kufungwa nyumbani kwao zaidi ya hawa vibonde gendamarie,

saa nyingine ukweli mchungu lakini ndo uhalisia timu itayochukua point 3 nyumbani kwa gendamarie itakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kusonga mbele kimahesabu!
 
... Niger (Timu ya Taifa na hata vilabu vya nchi hiyo) hawana record nzuri katika soka kama tulivyo Tanzania.

Nadhani hukujipanga vizuri kabla haujapandisha uzi

1645431756177.png
 
Hoja yake haina analytical and supportive evidence, atuambie rekodi za USGN akiwa kwake kimataifa zikoje?

Akithibitisha kuwa ni zq ovyo then yuko right but kama hana uwezo wa kuthibitisha bas hapo hatuna hoja ya kumjibu badala yake tunamshambulia kwa utopolo wake
Daaah!
 
Hili kundi Simba hatupotezi mechi hata moja.

Jana tumetoa sare lakini kumbuka Bwalya, Mkude, Lwanga, Mgalu, Chama, Mzamiru, Dilunga, Kibu wako nje.
 
Timu iliyofanikiwa nyumbani kwa hao vibonde wako Ni aliyetoa droo. Records zinaonyesha hivyo. Ni wagumu hasa wakiwa kwao.

Simba akishinda mechi 2 za nyumbani atafuzu nadhani hili hulijui.

Ila ww Ni Utopolo/zuzu huna akili.
 
Umeongea kwa jicho la kiufundi sana, asiyekuelewa ni punguani pekee, nilishasema timu tishio niliyokwisha kuiona kwenye hili kundi ni Asec mimosas na berkane, licha ya asec kifungwa na simba hapa nyumbani lakini kiufundi walikuwa vizuri sana kuanzia kwenye kujenga mashambulizi yao, umiliki wa mpira, physical yao walikuwa perfect sana,

kufungwa kwao ni mambo ya nje ya uwanja zaidi tunajua mambo yanayofanyika pale kwa mkapa ili simba washinde wala akuna siri juu ya ilo kipimo tutakiona wakienda ivory coast kurudiana maana awatofanya wanachokifanyaga nyumbani, Na hawa gendamarie akuna ubishi ndo kibonde wa kundi ukiwaangalia vizuri kiufundi wana mapungufu mengi Sana kuanzia kwenye safu yao ya ulinzi,

kiungo mpaka ushambuliaji, hivyo ili ujiakikishie kutoboa unatakiwa umfunge uyu kibonde nyumbani kwake alafu umsubilie kwako uzoe point nyingine, hii michuano ni kwenda na hesabu, nimemsikia kocha wa simba anafurahia kupata droo ugenini lakini anasahau amepata droo kwa timu ya aina gani? Suala sio kupata droo tu. i

shu ni umepata droo na timu yenye kiwango gani maana wengine wataenda pale na wataipiga na wewe auna uwezo wakwenda kumfunga Asec au berkane nyumbani kwao kwa simba hii tusidanganyane hapa, akuna timu itakubali kufungwa nyumbani kwao zaidi ya hawa vibonde gendamarie,

saa nyingine ukweli mchungu lakini ndo uhalisia timu itayochukua point 3 nyumbani kwa gendamarie itakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kusonga mbele kimahesabu!
badala ya kuombea Simba mabaya hebu kaeni kwanza chini na kujisahihisha nye mlitolewaje shirikisho hatua za awali bila hata kufunga goli moja
 
USGN kashamtupia mtu mbili huko we kiazi mbatata
Sababu kubwa ni moja tu, hii timu mpaka sasa ndio inaonekana ni kibonde katika hili kundi na haishangazi sana kwani Niger (Timu ya Taifa na hata vilabu vya nchi hiyo) hawana record nzuri katika soka kama tulivyo Tanzania.

Kwahiyo, timu zitazoifunga hii timu ya USGN nyumbani na ugenini, ndio zina nafasi kubwa ya kusonga mbele na hapa naona Simba teyari wamejiweka katika mazingira magumu baada ya kupata sare leo hii dhidi ya hii timu.

Simba, RS Berkane na Mimosas, wote wana nafasi za kushinda mechi zao zote za nyumbani ila sio ugenini. Mechi ya ugenini ambayo kila timu kati ya hizi timu tatu wanazoweza kushinda, ni ile tu ambayo timu hizi watakutana na USGN (kibonde) huko Niger.

Kwa maana hiyo, matokeo ya nyumbani na ugenini baina ya hizi timu tatu dhidi ya USGN (matokeo ya kushinda), ndio yataamua timu zipi zifuzu.

USGN ikiendelea kuwa kibonde(isipobadilika), Simba watakuwa na nafasi finyu sana ya kusonga mbele baada ya kukubali sare na hawa vibonde kosa ambalo RS Berkane na Mimisosa sidhani kama watalifanya.

Simba kurudisha matumaini, ni lazima ishinde walau mechi moja ya ugenini au itoe sar na na si kushinda za nyumbani kwani kuna kila dalili timu zote zinaweza kushinda mechi za nyumbani isipokuwa hao vibonde (unless nao waacha kugawa point) na ndio maana naseme mechi na huyu kibonde ndio zitaamua wa kufuzu( Simba teyari wamefanya kosa leo).

Mwisho, mshindi wa kwanza na wa pili katika hili kundi anaweza kupatikana kwa kigezo cha idadi ya magoli ya kushinda kwa timu za RS Berkane na Mimosas.

Japo ni mapema sana, lakini huu ndio muelekeo.
 
Umeongea kwa jicho la kiufundi sana, asiyekuelewa ni punguani pekee, nilishasema timu tishio niliyokwisha kuiona kwenye hili kundi ni Asec mimosas na berkane, licha ya asec kifungwa na simba hapa nyumbani lakini kiufundi walikuwa vizuri sana kuanzia kwenye kujenga mashambulizi yao, umiliki wa mpira, physical yao walikuwa perfect sana,

kufungwa kwao ni mambo ya nje ya uwanja zaidi tunajua mambo yanayofanyika pale kwa mkapa ili simba washinde wala akuna siri juu ya ilo kipimo tutakiona wakienda ivory coast kurudiana maana awatofanya wanachokifanyaga nyumbani, Na hawa gendamarie akuna ubishi ndo kibonde wa kundi ukiwaangalia vizuri kiufundi wana mapungufu mengi Sana kuanzia kwenye safu yao ya ulinzi,

kiungo mpaka ushambuliaji, hivyo ili ujiakikishie kutoboa unatakiwa umfunge uyu kibonde nyumbani kwake alafu umsubilie kwako uzoe point nyingine, hii michuano ni kwenda na hesabu, nimemsikia kocha wa simba anafurahia kupata droo ugenini lakini anasahau amepata droo kwa timu ya aina gani? Suala sio kupata droo tu. i

shu ni umepata droo na timu yenye kiwango gani maana wengine wataenda pale na wataipiga na wewe auna uwezo wakwenda kumfunga Asec au berkane nyumbani kwao kwa simba hii tusidanganyane hapa, akuna timu itakubali kufungwa nyumbani kwao zaidi ya hawa vibonde gendamarie,

saa nyingine ukweli mchungu lakini ndo uhalisia timu itayochukua point 3 nyumbani kwa gendamarie itakuwa kwenye nafasi nzuri sana ya kusonga mbele kimahesabu!
USGM ni vibonde?
 
Hongereni nyie mliofuzu Klabu bingwa
badala ya kuombea Simba mabaya hebu kaeni kwanza chini na kujisahihisha nye mlitolewaje shirikisho hatua za awali bila hata kufunga goli moja
 
Back
Top Bottom