Simon Msuva amesajiliwa Benfica ya Ureno

Hahahah.! Umri wake unaujua...?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha afanikiwe jamaa amepigana sana na vilevile itakuwa chachu kwa vijana wadogo wawe na usongo wafuate nyayo zake.
Ukienda maeneo kama kigoma, Moro kuna watoto Wapo underground wana talents za kutosha ila hakuna mtu wa kuwachukua .
siku timu yake inacheza na benfica alikiwasha mno jamaa wakasema huyu hatumuachi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimya kimya mzee baba anaenda.
Kule genk kuna molinga aliechangamka..!

pia atacheza kwa mkopo panathiakos (spelling kama nimekosea) sio olimpiakos
 
Chuki zako kwa mtu aliyekuzidi Kila kitu zitakufikisha wapi?
 
Yani wewe Ndo Mbongo halisi...
 
Msuva na samatta si ajabu kufika huko mengine ni mipango ya mungu tu!! Amatuseme msuva alikuwa anasubiri tiki ya mungu tu! Sababu alikuwa anaonesha anahitaji kufika huko! Alikuwa na njaa ya mafanikio! Huwez fananisha na kina ngasa, ndugu zetu ajibu, mkude na wengineo wengi! Wao tayari wanaonekana ndio wameshafika pale walipo!! Mengine itokee tu zali la mtende na wengine hayo mazali wamekuwa wakiyakimbia

Kila la kheri kwake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…