bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
Hahahah.! Umri wake unaujua...?Msuva ameanza vizuri zaidi kuliko hata mbwana samatta..huyu ndo atacheza epl maana hana majigambo. Huyu mwingine tatizo lake baada ya kufunga magoli 20+ pale genk kaanza kujiona mkubwa.
Eti yy mwenyewe anaanza kusema hajioni tena genk..! Msuva atafanya vizuri zaidi maana hana mdomo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app