Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Hungekuwa huna muda husinge post humu JF, ungedeal na kambi yenu huko Misri na pacha strikers wenu Fred na Jobe.
Usikariri maisha, Jobe kashasepa. Kashapewa stahiki zake na hautamsikia kaenda FIFA kama wachezaji wenu.

Mnatengeneza comedy za kufunua utupu wenu wenyewe halafu mnashangaa watu wakiwaongelea.
 
Wachawi hao!
Ingetakiwa wawe washauri wazuri lakini wanaleta mavimavi
Hao njaa tu zinawasumbua wanajaribu kujitengenezea mfumo nao waonwe. Wazee sampuli hii wapo kwenye hivi vilabu vyote vya Kariakoo. Nakumbuka enzi za Manji waliibuka akina Akilimali nayule mwenzake Mzimba walileta shida sana hadi Manji akawakatia fungu ndiyo wakatulia, sasa huyu naye anakuja kwa staili hiyo hiyo.
 
Usikariri maisha, Jobe kashasepa. Kashapewa stahiki zake na hautamsikia kaenda FIFA kama wachezaji wenu.

Mnatengeneza comedy za kufunua utupu wenu wenyewe halafu mnashangaa watu wakiwaongelea.
Yule mzungu si anawadai FIFA au hakiwa mchezaji wenu aka mlete mzungu? Tatizo lako unasahau sana yako ila unayafuatilia ya Yanga.
 
Mnajichanganya. Unasema kuna mtu alijifanya kuiwakilisha Yanga, hapohapo unasema hukumu inasomeka ya upande mmoja. Na wewe unaamini Yanga iwe na kesi Kisutu, mtu atoke zake huko aje kuiwakilisha, hadi kesi inaisha ndiyo Yanga washtuke? Mnafikiria kweli nyie?
Kesi iliyofunguliwa inahusiana na katiba na hao waliofungua kesi wametumia katiba ya 2010 huku katiba mpya ya Yanga ya mwaka 2021 ikionekana haitambuliki RITA, kwenye ufafanuzi wa Patrick amesema kuwa katiba ya klabu ya mpira inasajiliwa baraza la michezo (BMT) na sio RITA. hapa ndipo kwenye point ya msingi ya kuanzia. Sasa wewe SAYVILE embu toa ufafanuzi kuhusu hilo je katiba ya klabu ya mpira inasajiliwa RITA au BMT?
 
Hali Ya Hewa Imechafuka Kama Nchini Iraq Mji Wa Faruja
 
Hakuna kitu kama hicho
Na huwezi ukaamini wewe unaviamini vya Yanga ndio maana unavufuatilia. Huku ukiamini kwamba maswala ya Yanga yana kusahaulisha ubovu wa timu yako.
Screenshot_20240717_162225_Chrome.jpg
 
Kwani habari za Yanga unazo zipataga ww zinakuwaga za lini? Huu uzi hata humu JF upo.

Au ukijua za lini ndio utajua ya ukweli au uongo?
View attachment 3044826
Kama ulijua ni habari ya nyuma usingesema "anawadai", ungesema "alikuwa anawadai". Makosa madogo kama hayo yanakufanya unaonekana unatapatapa na kulazimisha hoja iwe nzito.

Nyie kila miezi kadhaa mnafungiwa kusajili mpaka mmalizane na watu, ukaone ukafukunyue habari ya mwaka juzi halafu bila aibu unasema "anawadai"
 
Kama ulijua ni habari ya nyuma usingesema "anawadai", ungesema "alikuwa anawadai". Makosa madogo kama hayo yanakufanya unaonekana unatapatapa na kulazimisha hoja iwe nzito.

Nyie kila miezi kadhaa mnafungiwa kusajili mpaka mmalizane na watu, ukaone ukafukunyue habari ya mwaka juzi halafu bila aibu unasema "anawadai"
Makosa madogo yapi ? Wewe unadaiwa na Dejan.
 
Daima mbele Nyuma mwiko.

Bado mwiko umengangania tu.
 
Tatizo lenu kubwa ni kwamba hamna mwanasheria, ndiyo maana kila siku mnashindwa kesi.

Haiwezekani taasisi kubwa kuwa na kesi inaendelea Kisutu hadi inaisha mnakuja kulalamika eti hamkushirikishwa.

Hauwezi kusema utaenda kufungua kesi nyingine ya jinai dhidi ya waliokushitaki wewe kwa kisingizio cha walifoji saini, kwanza hao wazee walihitaji saini za wajumbe wa bodi za nini? Inaonyesha Yanga ilituma watu waiwakilishe mahakamani, hao ndiyo walifoji saini za wajumbe, leo wanawakana kuwa hawakuwa watu sahihi. Kosa linakuwaje la anayeshitaki?

Yanga hamna mwanasheria.
Hakika nadhani Yanga Kuna sehemu tulizubaa.
Hadi hao wahuni wakashinda kesi
 
Kama ulijua ni habari ya nyuma usingesema "anawadai", ungesema "alikuwa anawadai". Makosa madogo kama hayo yanakufanya unaonekana unatapatapa na kulazimisha hoja iwe nzito.

Nyie kila miezi kadhaa mnafungiwa kusajili mpaka mmalizane na watu, ukaone ukafukunyue habari ya mwaka juzi halafu bila aibu unasema "anawadai"
Hata kama tunafungiwa ubingwa tunachukua mbele yako unayeogopa madeni.
Kwenye biashara madeni ni laZima.
Yaani tukae na garasa kama Kambole eti tusivunje mkataba, tukose ubingwa ,

Tunavunja mkataba tutalipa baadae
 
Hata kama tunafungiwa ubingwa tunachukua mbele yako unayeogopa madeni.
Kwenye biashara madeni ni laZima.
Yaani tukae na garasa kama Kambole eti tusivunje mkataba, tukose ubingwa ,

Tunavunja mkataba tutalipa baadae
Hakuna anayesema msiwe na madeni. Nyie mnakuwaga na madeni sugu ndiyo maana mnafungiwaga. Siyo jambo la kujisifu hilo Sheikh.
 
Mzee Juma hata hela tu ya kula hana, akipewa timu ya Yanga ataweza endesha? Ngoja sasa akifunguliwa kesi na Yanga, huyu mzee atafungwa na itakuwa funzo, sbb kuna kila dalili anatumika na Simba
You’re talking shit you can’t back it up.
 
Back
Top Bottom