Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Mifumo ya kanuni na kanuni za kuendesha mpira wa miguu ( TFF/CAF/FIFA) zitumike kudhibiti watu/ wazee wa hivyo wanaoendekeza migogoro kwenye vyama na timu za mpira wa miguu.
 
Mbona unalazimisha mambo ambayo hayapo? Ona aibu kidogo basi. Au unataka tukae hapa siku nzima tunabishana kama watu wasio na utimamu?
Si lazimishi ila Dejan anawadai,ndio ukweli wenyewe.Sasa ungekuwa na utimamu ungezungumzia yasiyo kuhusu,nyie si mpo Misri sasa hapa unafanya nini kama si kushoboka na kujitoa ufahamu.
 
Hakuna anayesema msiwe na madeni. Nyie mnakuwaga na madeni sugu ndiyo maana mnafungiwaga. Siyo jambo la kujisifu hilo Sheikh.
Hujawahi kufanya biashara au kutafuta hela.
Mambo ya madeni ni kawaida, hata me hapa nadaiwa na mambo yangu yanaenda.
Yaani tukose ubingwa tuwe wanachezi wa ovyo kama Kambole, Konkon.
Tusiingize vyuma kama pacome, Azizi k
 
Yule mzungu si anawadai FIFA au hakiwa mchezaji wenu aka mlete mzungu? Tatizo lako unasahau sana yako ila unayafuatilia ya Yanga.
Simba ingezuiwa kusajili. Lini umesikia Simba imezuiliwa kusajiri? Hayo mambo tunayasikia huko upande wa pili uhuni mwingi sana
 
Simba ingezuiwa kusajili. Lini umesikia Simba imezuiliwa kusajiri? Hayo mambo tunayasikia huko upande wa pili uhuni mwingi sana
Kwani Yanga hatujasajiri
Au mbumbumbu mmepata upofu
 
Simba ingezuiwa kusajili. Lini umesikia Simba imezuiliwa kusajiri? Hayo mambo tunayasikia huko upande wa pili uhuni mwingi sana
Kwani ukidaiwa ndio unazuiwa kusajili,hizi akili za wapi?

Sasa mbona Yanga kasajili msimu huu, basi kama ndio hivyo kwa mujibu wa ulicho kiandika Yanga hadaiwi maana kishasajili wachezaji wanne wa kigeni na wengine wa ndani.
 
Kwani Yanga hatujasajiri
Au mbumbumbu mmepata upofu
Usijitoe akili. Mpaka mlazimishwe kulipia na fifa kupitia tff? Ina mana mkikutana na mchezaji fala ndio anakuwa keshapigwa. Uhuni tuu
 
Kwani ukidaiwa ndio unazuiwa kusajili,hizi akili za wapi?

Sasa mbona Yanga kasajili msimu huu, basi kama ndio hivyo kwa mujibu wa ulicho kiandika Yanga hadaiwi maana kishasajili wachezaji wanne wa kigeni na wengine wa ndani.
Hamlipi mpaka mminywe koo na fifa kupitia tff, ala? Mnasubiri mpigwe mkwara ndio mlipe wachezaji
 
Usijitoe akili. Mpaka mlazimishwe kulipia na fifa kupitia tff? Ina mana mkikutana na mchezaji fala ndio anakuwa keshapigwa. Uhuni tuu
Kulipwa wanalipwa lakini hawawezi kuzuia lengo letu.
Sisi sio Makolo, yaani unakaa na Saido performance mbaya unaishia nafasi ya 3 unangoja mkataba uishe
 
Kulipwa wanalipwa lakini hawawezi kuzuia lengo letu.
Sisi sio Makolo, yaani unakaa na Saido performance mbaya unaishia nafasi ya 3 unangoja mkataba uishe
Ok. Naona umeamua kutoka nje ya mada. Ila wacheni kuendesha timu kihuni.
 
Hamlipi mpaka mminywe koo na fifa kupitia tff, ala? Mnasubiri mpigwe mkwara ndio mlipe wachezaji
Wewe si umese.a husipo lipa usajili? Sasa mbona Yanga ana sajili? Maana yake Yanga hadaiwi. Kudaiwa kawaida anadaiwa Dangote,ila haindowi kwamba Dejan anawadai so husiogope kudaiwa.
 
Hujawahi kufanya biashara au kutafuta hela.
Mambo ya madeni ni kawaida, hata me hapa nadaiwa na mambo yangu yanaenda.
Yaani tukose ubingwa tuwe wanachezi wa ovyo kama Kambole, Konkon.
Tusiingize vyuma kama pacome, Azizi k
Halafu unaweza kukuta unaheshimika kabisa mtaani kwako lakini kumbe hata haujui tofauti kati ya "deni" na "deni sugu". Badala ya kuhoji busara ilnayotumika kuleta hao wachezaji wabovu hadi mnapelekwa FIFA umebaki tu kudai biashara lazima iwe na madeni.
 
Si lazimishi ila Dejan anawadai,ndio ukweli wenyewe.Sasa ungekuwa na utimamu ungezungumzia yasiyo kuhusu,nyie si mpo Misri sasa hapa unafanya nini kama si kushoboka na kujitoa ufahamu.
Dejan angekuwa anaidai Simba mpaka leo isingeruhusiwa kusajili
 
Halafu unaweza kukuta unaheshimika kabisa mtaani kwako lakini kumbe hata haujui tofauti kati ya "deni" na "deni sugu". Badala ya kuhoji busara ilnayotumika kuleta hao wachezaji wabovu hadi mnapelekwa FIFA umebaki tu kudai biashara lazima iwe na madeni.
We kweli mbumbumbu
Sajili zinaweza kubuma.
Ulibuma usajiri wa Torres, Hazard, di Maria, Messi.
Ije iwe Yanga kukosea kusajili.
Taasisi zinadaiwa na zinafanya vyema.
Nenda pale man u, Barcelona, Madrid, Ac millan.
Ulizia madeni yao
 
We kweli mbumbumbu
Sajili zinaweza kubuma.
Ulibuma usajiri wa Torres, Hazard, di Maria, Messi.
Ije iwe Yanga kukosea kusajili.
Taasisi zinadaiwa na zinafanya vyema.
Nenda pale man u, Barcelona, Madrid, Ac millan.
Ulizia madeni yao
Hao unaotaja hawana madeni sugu. Embu nenda ukapate walau kakozi ka Accounting 101 au hata Bookkeeping ili uache kujiaibisha.

Nyie ndiyo huwa mnajifariji kwa kusema hata matajiri wanajisaidia kama sisi wakati wewe unachuchumaa kwenye choo cha nje kisicho na paa yeye anajisaidia kwenye choo cha kukaa, size ya chumba chako cha kulala na kina feni na TV.
 
Hao wazee wanawakikisha akili za watanzania wengi kuhusu fikra zao kwa watu waliofanikiwa.
 
Hao unaotaja hawana madeni sugu. Embu nenda ukapate walau kakozi ka Accounting 101 au hata Bookkeeping ili uache kujiaibisha.
Sasa Yanga ana madeni Sugu wakati kalipa na kasajili kama Simba yako.
 
Back
Top Bottom