Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Simon Patrick: Yanga itaenda mahakamani kuweka zuio la kukabidhi timu kwa wazee walioishtaki

Nipo hapa mwanzo mwisho mpaka nielewe kinacho endelea.

Ila hawa wazee mbona wanataka tugawane mbao za jahazi na safari haijafika?
Ikigundulika wanatumika na wauni flani, nashauri serkali ituachie wenyewe tujue tunawafanya nini hawa wazee!
Hawa Mzee Mpili tu anawatosha, Mzee Mpili ana watu tena anasema ana watu wachafu kwelikweli.
 
Tupo na wazee wetu. tutawachangia haiwezekani timu imetekwa na timu ikishinda chawa hawaimbi kuipongeza timu bali wanaipongeza kampuni ya mtu tena yenye nembo nyekundu
 
Yanga inafanya mkutano na waandishi wa Habari muda huu, fuatilia hapa kitakachojiri


Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga Simon Patrick amekiri uwepo wa kesi hiyo kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza la wadhamini wa Yanga SC ambapo ilisikilizwa upande mmoja na kupelekea kutolewa hukumu ya Julai August 2, 2023.

Aidha, mwezi wa 6 mwaka huu, Yanga SC ilipata taarifa ya ombi la Mahakama kutaka uongozi wote utoke madarakani, ambapo Eng. Hersi aliekekeza idara ya sheria kufuatilia suala hili na kugundua kuwa kesi hii iliendeshwa upande mmoja, pia waligundua kughushiwa kwa saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini. Pia, waligundua uwepo wa kundi la watu nyuma ya wazee hao linalotumika kuvuruga amani ya Yanga hivyo kwa kutumia vyombo vya dola wanashughulikia suala hili.

Kwa hatua ya sasa, Yanga imepekela maombi ya kuomba kuongezewa muda wa mapitio ya hukumu na kesi hiyo sababu hawakushirikishwa tangu awali, kwakuwa watu walioshiriki awali hawakuwa na uhalali kisheria (hawakuwa watu sahihi pia walifoji saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini)

Pia, itapeleka ombi la kuzuia utekelezaji wa hukumu hiyo ili uongozi usiondolewe pamoja na kuzuia wazee wasikabidhiwe timu kwa sasa.

Wakili Simon amesema Yanga itafungua kesi ya Jinai kwa wahusika wote waliopeleka kesi hii mahakamani kwani walighushi saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini wa Yanga.

Pia soma:
1. Hii hapa Hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu ya Yanga. Yumo Mwigulu, Mwambe na Tarimba

2. Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Bundi ameshatua jangwani...
 
Yanga inafanya mkutano na waandishi wa Habari muda huu, fuatilia hapa kitakachojiri


Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga Simon Patrick amekiri uwepo wa kesi hiyo kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza la wadhamini wa Yanga SC ambapo ilisikilizwa upande mmoja na kupelekea kutolewa hukumu ya Julai August 2, 2023.

Aidha, mwezi wa 6 mwaka huu, Yanga SC ilipata taarifa ya ombi la Mahakama kutaka uongozi wote utoke madarakani, ambapo Eng. Hersi aliekekeza idara ya sheria kufuatilia suala hili na kugundua kuwa kesi hii iliendeshwa upande mmoja, pia waligundua kughushiwa kwa saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini. Pia, waligundua uwepo wa kundi la watu nyuma ya wazee hao linalotumika kuvuruga amani ya Yanga hivyo kwa kutumia vyombo vya dola wanashughulikia suala hili.

Kwa hatua ya sasa, Yanga imepekela maombi ya kuomba kuongezewa muda wa mapitio ya hukumu na kesi hiyo sababu hawakushirikishwa tangu awali, kwakuwa watu walioshiriki awali hawakuwa na uhalali kisheria (hawakuwa watu sahihi pia walifoji saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini)

Pia, itapeleka ombi la kuzuia utekelezaji wa hukumu hiyo ili uongozi usiondolewe pamoja na kuzuia wazee wasikabidhiwe timu kwa sasa.

Wakili Simon amesema Yanga itafungua kesi ya Jinai kwa wahusika wote waliopeleka kesi hii mahakamani kwani walighushi saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini wa Yanga.

Pia soma:
1. Hii hapa Hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu ya Yanga. Yumo Mwigulu, Mwambe na Tarimba

2. Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

Sasa tunaomba mupishe ofisi kwanza halafu hayo mengine yafuate
 
Kwa nilichokisikia:
1) Abeid katumika kugushi saini za viongozi wa Yanga
2) Abeid ndio kajifanga ni mwakilishi wa uongozi wa Yanga
3) kuhusu mkataba kutosajiliwa RITA, uongozi umedai kuwa mkataba wao hausiki na RITA bali ni Baraza la michezo na walifanya hivyo.
4) Wanaopingwa ni uwepo wa baraza la wadhamini, na Hersi hayupo kwenye baraza hivyo ataendelea kuwa raisi wa timu.
5) Viongozi hawakuitwa kusikilizwa kwenye hiyo kesi bali Abeid ndiye aliyesimama kama mwakilishi wa uongozi.
6) Ni jukumu la wanachama kuitisha mkutano mkuu ili wao ndio waamue kama timu wakabidhiwe hao wazee wawili
7) kuna kesi itafunguliwa dhidi ya aliyegushi saini za viongozi wa yanga.
Namba 7 wapeleke hiyo document Police kitengo cha fraud Police watazaa naye.

Hao ni watu wa kufutwa uanachama kabisa.
 
Mzee Juma hata hela tu ya kula hana, akipewa timu ya Yanga ataweza endesha? Ngoja sasa akifunguliwa kesi na Yanga, huyu mzee atafungwa na itakuwa funzo, sbb kuna kila dalili anatumika na Simba
Hatumiki na simba.
Unamjua mwaipopo?? Ndie engineer wa huo mgogoro.
 
Mzee Juma hata hela tu ya kula hana, akipewa timu ya Yanga ataweza endesha? Ngoja sasa akifunguliwa kesi na Yanga, huyu mzee atafungwa na itakuwa funzo, sbb kuna kila dalili anatumika na Simba
Simba tena ?...
 
Tatizo lenu kubwa ni kwamba hamna mwanasheria, ndiyo maana kila siku mnashindwa kesi.

Haiwezekani taasisi kubwa kuwa na kesi inaendelea Kisutu hadi inaisha mnakuja kulalamika eti hamkushirikishwa.

Hauwezi kusema utaenda kufungua kesi nyingine ya jinai dhidi ya waliokushitaki wewe kwa kisingizio cha walifoji saini, kwanza hao wazee walihitaji saini za wajumbe wa bodi za nini? Inaonyesha Yanga ilituma watu waiwakilishe mahakamani, hao ndiyo walifoji saini za wajumbe, leo wanawakana kuwa hawakuwa watu sahihi. Kosa linakuwaje la anayeshitaki?

Yanga hamna mwanasheria.
 
Namba 7 wapeleke hiyo document Police kitengo cha fraud Police watazaa naye.

Hao ni watu wa kufutwa uanachama kabisa.
Sio mwanachama hai. Ana miaka 4 hata hajui ada ya uanachama anailipa wapi.
Ila huyo mzee sio chanzo cha tatizo. Kuna mtu anaitwa mwaipopo, ndie anacheza na sheria kwa kuwatoa kafara wenzake wasiokuwa na uelewa wowote.
Huyu mwaipopo hajaanza leo, hata hiyo kesi walioshitakiwa ni trustee wa kipindi cha msola sio hii mpya.
 
GSM anakwambia utopolo wamepata hasara Cha ajabu kuachia timu hawataki
 
Tatizo lenu kubwa ni kwamba hamna mwanasheria, ndiyo maana kila siku mnashindwa kesi.

Haiwezekani taasisi kubwa kuwa na kesi inaendelea Kisutu hadi inaisha mnakuja kulalamika eti hamkushirikishwa.

Hauwezi kusema utaenda kufungua kesi nyingine ya jinai dhidi ya waliokushitaki wewe kwa kisingizio cha walifoji saini, kwanza hao wazee walihitaji saini za wajumbe wa bodi za nini? Inaonyesha Yanga ilituma watu waiwakilishe mahakamani, hao ndiyo walifoji saini za wajumbe, leo wanawakana kuwa hawakuwa watu sahihi. Kosa linakuwaje la anayeshitaki?

Yanga hamna mwanasheria.
Hicho kichwa chako ni mzigo kwa shingo tu.

Huwezi kwenda mahakamani bila kuletewa summons kwa dispatch book.
 
huyu mwana sheria ajawi shinda kesi hata moja .

Sijui ana mkataba gani na yanga

lawyer ni failure
 
Yanga inafanya mkutano na waandishi wa Habari muda huu, fuatilia hapa kitakachojiri


Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga Simon Patrick amekiri uwepo wa kesi hiyo kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza la wadhamini wa Yanga SC ambapo ilisikilizwa upande mmoja na kupelekea kutolewa hukumu ya Julai August 2, 2023.

Aidha, mwezi wa 6 mwaka huu, Yanga SC ilipata taarifa ya ombi la Mahakama kutaka uongozi wote utoke madarakani, ambapo Eng. Hersi aliekekeza idara ya sheria kufuatilia suala hili na kugundua kuwa kesi hii iliendeshwa upande mmoja, pia waligundua kughushiwa kwa saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini. Pia, waligundua uwepo wa kundi la watu nyuma ya wazee hao linalotumika kuvuruga amani ya Yanga hivyo kwa kutumia vyombo vya dola wanashughulikia suala hili.

Kwa hatua ya sasa, Yanga imepekela maombi ya kuomba kuongezewa muda wa mapitio ya hukumu na kesi hiyo sababu hawakushirikishwa tangu awali, kwakuwa watu walioshiriki awali hawakuwa na uhalali kisheria (hawakuwa watu sahihi pia walifoji saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini)

Pia, itapeleka ombi la kuzuia utekelezaji wa hukumu hiyo ili uongozi usiondolewe pamoja na kuzuia wazee wasikabidhiwe timu kwa sasa.

Wakili Simon amesema Yanga itafungua kesi ya Jinai kwa wahusika wote waliopeleka kesi hii mahakamani kwani walighushi saini za wajumbe wa bodi ya Baraza la wadhamini wa Yanga.

Pia soma:
1. Hii hapa Hukumu ya kutotambulika kwa Baraza la Wadhamini la klabu ya Yanga. Yumo Mwigulu, Mwambe na Tarimba

2. Mahakama yaamuru Eng. Hersi aachie ngazi Yanga!

65f8b47b-098e-4b97-bbdd-4eb8bcf77cbf.jpeg
 
Back
Top Bottom