Simon Rwamugila(Omutwale): Nyerere alipewa u-Head Prefect akatuchanganya akili Tabora Boys

Simon Rwamugila(Omutwale): Nyerere alipewa u-Head Prefect akatuchanganya akili Tabora Boys

Huyu jamaa alipatia sana katika kutuunganisha lakini msingi wa nchi alijenga mbovu hawa waliofuata hata wajitahidi nyumba bado itakuwa na matatizo,lakini sio mbaya kwa kuwa kila safari huanza kwa hatua moja.Ila kuna siku inabidi tuibomoe hii nyumba na tujenge upya.
nyumba gani? siyo kwamba tuzibe expansion joints?
 
Hujaandika kuhusu nilichoandika na ulichoandika sijakiandika.

Kamauna hoja tofauti andika kivyako usininukuu, kama unaninukuu, ninukuu kimantiki.

Sio unaninukuu halafu unakanusha nilichoandika kwa argument ambayo haihusiki kabisa na nilichoandika.

Unabisha kwamba Idris Abdul Wakil hakushindwa uchaguzi wa Zanzibar?

Unabisha kwamba CCM hawajabadilimatokeo ya uchaguzi Zanzibar?
nasema kwa upande wa bara akina lipumba wanatuangusha
 
Kwa hiyo Julius K. Nyerere naye alikuwa na figusu ... kwani alipitisha huyo mdada na huyo jamaa mhindi ki-magumashi?
 
Mwalimu J K Nyerere alileta umoja wa kitaifa, ambapo hakumalizia ilitakiwa maraisi wengine wamalizie.

Ila kuna mabwanyenye wanajifanya kumkosoa kwa mlengo wa kumdharirisha,

bado tuna imani na falsafa zake nzuri, yale machache aliyokosea tunayarekebisha kwa kumpa heshima.

Mlitaka ubepari kwa mgongo wa demokrasia, mwalimu Nyerere akawaachia lakini ubepari nao umewashinda sasa hamjui mnaelekea wapi(hapa naongea na wasaliti wa Nchi hii).
 
huyu omutwale namjua alikuwa na watoto wake kama sita hivi wote wanacheza mpira balaa, alafu wana fujo ukimgusa mmoja wanakuchangia kama nyuki, ila kusema ukweli ukanda ule wa kiziba ulisheheni watu muhimu sana kwa Taifa ili, mfano Berenado mulokozi, Mzee kagasheki baba khamis kaghasheki, mzee Abdunuru suleimani, na wengine
Mzee Kagasheki hatoki Kiziba, ni wa Maruku.
 
Watu kama nyinyi mnatakiwa sana hap JF kutupatia historia ya viongozi wa nchi hii ili tuendelee kuwatambua wameanzia wapi ktk mapambano ya kifikra ktk kumtumikia mama Tanzania ...ahsante sana mkuu.
 
Watu kama nyinyi mnatakiwa sana hap JF kutupatia historia ya viongozi wa nchi hii ili tuendelee kuwatambua wameanzia wapi ktk mapambano ya kifikra ktk kumtumikia mama Tanzania ...ahsante sana mkuu.
ndiyo madini haya yanahitajika hapa jukwaani
 
Back
Top Bottom