Samweli Mathayo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2017
- 1,577
- 1,702
nyumba gani? siyo kwamba tuzibe expansion joints?Huyu jamaa alipatia sana katika kutuunganisha lakini msingi wa nchi alijenga mbovu hawa waliofuata hata wajitahidi nyumba bado itakuwa na matatizo,lakini sio mbaya kwa kuwa kila safari huanza kwa hatua moja.Ila kuna siku inabidi tuibomoe hii nyumba na tujenge upya.
nasema kwa upande wa bara akina lipumba wanatuangushaHujaandika kuhusu nilichoandika na ulichoandika sijakiandika.
Kamauna hoja tofauti andika kivyako usininukuu, kama unaninukuu, ninukuu kimantiki.
Sio unaninukuu halafu unakanusha nilichoandika kwa argument ambayo haihusiki kabisa na nilichoandika.
Unabisha kwamba Idris Abdul Wakil hakushindwa uchaguzi wa Zanzibar?
Unabisha kwamba CCM hawajabadilimatokeo ya uchaguzi Zanzibar?
Lipumba kakuangusha,wewe umefanya nini?nasema kwa upande wa bara akina lipumba wanatuangusha
kabisa naanza kuiona jamiiforums ya kunishawish kuendelea kuwepo jfThis is indeed wonderful message from the old guys. Not yet Uhuru...
frustrations lazimaHivi inakuwaje kiongozi mkuu unakuwa na frustration!!?
Tujenge upya Nyumba yetu ya Tanganyika .Tanganyika ina wenyewe hii inayoitwa Tanzania ni shamba la bibi.nyumba gani? siyo kwamba tuzibe expansion joints?
yes ilikuwa bado mchanganyiko, ilitengwa baadaeNdo nasoma JF Leo kuwa Mzee JKN alisoma shule na wasichana
Nilijua kasoma Boys Tu
ni ukweliUNAJITAHIDI ILA NYUZI ZAKO HIZI NI ZA UCHOCHEZI KWA MBAAALI
https://www.jamiiforums.com/threads/je-maxence-melo-mmiliki-wa-jamiiforums-kupigwa-faini.1094095/
Angalia kuporomoka kwa shillingi tokea tumepata Uhuru
Serikali inalea bomu linaloitwa Sheikh Khalifa Khamis, ipo muda litalipuka tu
Imekuwa sawa na Makongoro Nyerere alivyotumwa mzazi shuleni akiwa mtoto wa rais
Kuna uhusiano wowote kati ya uongozi wa juu wa Tanzania na Vatican-Rumi?
Acha niitwe mchochezi: Uchumi wa Tanzania ulijengwa na Mkapa, Kikwete akatuuza hivi na Magufuli naye Mhh
Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu
Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu
Julius Kambarage Nyerere muafrika pekee aliyewatetemesha mataifa ya Ulaya na Marekani,aisaida China kuwa mwanachama
mara zote CCM kwa zanzibara wanaiba ila kwa bara wanashinda kabisa
Mzee Kagasheki hatoki Kiziba, ni wa Maruku.huyu omutwale namjua alikuwa na watoto wake kama sita hivi wote wanacheza mpira balaa, alafu wana fujo ukimgusa mmoja wanakuchangia kama nyuki, ila kusema ukweli ukanda ule wa kiziba ulisheheni watu muhimu sana kwa Taifa ili, mfano Berenado mulokozi, Mzee kagasheki baba khamis kaghasheki, mzee Abdunuru suleimani, na wengine
Ilitengwa mwaka gani?yes ilikuwa bado mchanganyiko, ilitengwa baadae
tabora boys!..palikua na nini..ugali na nyama!?Alimweka Iqbar, wale wazee wa udini vp hapa!
ni kubalance mambo mkuuKwa hiyo Julius K. Nyerere naye alikuwa na figusu ... kwani alipitisha huyo mdada na huyo jamaa mhindi ki-magumashi?
ndiyo madini haya yanahitajika hapa jukwaaniWatu kama nyinyi mnatakiwa sana hap JF kutupatia historia ya viongozi wa nchi hii ili tuendelee kuwatambua wameanzia wapi ktk mapambano ya kifikra ktk kumtumikia mama Tanzania ...ahsante sana mkuu.