britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
- Thread starter
-
- #41
kweli nadhani atakaye angalia mabaya tu ya Nyerere bila kuangalia mazuri hamtendei haki kabisa maana Nyerere alikuwa na haki kama wanadamu wengine tusimuweke katika level za malaika, lakin watu wanaangalia mapungufu yake tu bila kuangalia upande wa piliMwalimu J K Nyerere alileta umoja wa kitaifa, ambapo hakumalizia ilitakiwa maraisi wengine wamalizie.
Ila kuna mabwanyenye wanajifanya kumkosoa kwa mlengo wa kumdharirisha,
bado tuna imani na falsafa zake nzuri, yale machache aliyokosea tunayarekebisha kwa kumpa heshima.
Mlitaka ubepari kwa mgongo wa demokrasia, mwalimu Nyerere akawaachia lakini ubepari nao umewashinda sasa hamjui mnaelekea wapi(hapa naongea na wasaliti wa Nchi hii).
Hahaah we jamaa banaKumbe Nyerere michezo ya kubadili matokeo ya uchaguzi hajaanza Zanzibar.
"Msimamo wa Nyerere. Msimamo wa Nyerere. Ni kipaji cha mwenyezi Mungu baaba, kapewa tangia tumboni, kabla hajazaliwa"
Wewe hujioni ulivyozibuka wewe na picha ya Tulia ambaye hajatulia kwenye avatar hapo?Hahaah we jamaa bana
kwani hiyo picha si ya mbunge wa kaweWewe hujioni ulivyozibuka wewe na picha ya Tulia ambaye hajatulia kwenye avatar hapo?
Huyo nae anataka jimbo la sugu 2020...so Nyerere principal can be appliedWewe hujioni ulivyozibuka wewe na picha ya Tulia ambaye hajatulia kwenye avatar hapo?
kule mbeya Tulia atapotea sana maana kwa wanambeya nao wameanza kuvuta bange kama arusha hawajui nani mwakilishi bora na ni nani mwakilishi fakeHuyo nae anataka jimbo la sugu 2020...so Nyerere principal can be applied
Dah poleni mwanangu ila hata pale bara, rough ni hizo hizo tu mkuu. Reference ni uchaguzi wa juzi. Matokeo kashinda cdm kiti anapewa ccmTangu enzi za Idris Abdul Wakil.
Idris Abdul Wakil alipambanishwa na kivuli enzi zile kura za "Ndiyo/Siyo". Akashindwa (watu waliomkataa walikuwa wengi kuliko waliomkubali).Matokeoyakatoka, mpakawatu wa Daily News wakayaona.
Nyerere alivyopata habari, wakafanya sarakasi zaowakabadili ndiyo zikawa siyo na siyo zikawa ndiyo.
Watu waliokuwa Daily News kipindi hicho wanajua hizi habari.
Baadaye aliendeleza mchezo huohuo,Salmin Amour alikuwa anamletea kiburi sana Nyerere. Siku Salmin alivyoshindwa uchaguzi,alimpigia Nyerere magoti abadilishe matokeo, Nyerere akanyanyua simu akapiga simumoja tu matokeo yakabadilishwa.
Zamani nilivyokuwa naambiwa CCM wamebadili matokeo, nikawa naona kama ni propaganda za wapinzani, baadaye nikaja kukaa na mzee mmoja alikuwa mkubwa wa usalama, karibu sana na Nyerere, akasemamwenyewe walifanya michezohiyo sana, na wahenga wa Daily News wakanifumbua machokwamba michezoimechezwa Zanzibar tangu kabla ya vyama vingi kuanza, maana kule kulikuwa na mpasukowa Unguja/Pemba tangu kabla ya vyama vingi kuanza.
Zinachezwa sarakasi mkuu....trust meUbaya ni kwamba wanamiliki tume na kila kitu, kwa hiyo hata hatujuikamawanashinda au wanacheza sarakasizao za kawaida tu.
labda kww kuwa ccm iko chini ya chumaZinachezwa sarakasi mkuu....trust me
Waliofuata ni wapiga dili tu mkuu. Tena bora hata mwinyiHuyu jamaa alipatia sana katika kutuunganisha lakini msingi wa nchi alijenga mbovu hawa waliofuata hata wajitahidi nyumba bado itakuwa na matatizo,lakini sio mbaya kwa kuwa kila safari huanza kwa hatua moja.Ila kuna siku inabidi tuibomoe hii nyumba na tujenge upya.
Hii yote ni kwavile alishinda kitapeliHivi inakuwaje kiongozi mkuu unakuwa na frustration!!?
Mkuu kwahiyo Idris alitangazwa mshindi? Unaandika kwa uchungu sana mkuu, ila poa IPO sikuTangu enzi za Idris Abdul Wakil.
Idris Abdul Wakil alipambanishwa na kivuli enzi zile kura za "Ndiyo/Siyo". Akashindwa (watu waliomkataa walikuwa wengi kuliko waliomkubali).Matokeoyakatoka, mpakawatu wa Daily News wakayaona.
Nyerere alivyopata habari, wakafanya sarakasi zaowakabadili ndiyo zikawa siyo na siyo zikawa ndiyo.
Watu waliokuwa Daily News kipindi hicho wanajua hizi habari.
Baadaye aliendeleza mchezo huohuo,Salmin Amour alikuwa anamletea kiburi sana Nyerere. Siku Salmin alivyoshindwa uchaguzi,alimpigia Nyerere magoti abadilishe matokeo, Nyerere akanyanyua simu akapiga simumoja tu matokeo yakabadilishwa.
Zamani nilivyokuwa naambiwa CCM wamebadili matokeo, nikawa naona kama ni propaganda za wapinzani, baadaye nikaja kukaa na mzee mmoja alikuwa mkubwa wa usalama, karibu sana na Nyerere, akasemamwenyewe walifanya michezohiyo sana, na wahenga wa Daily News wakanifumbua machokwamba michezoimechezwa Zanzibar tangu kabla ya vyama vingi kuanza, maana kule kulikuwa na mpasukowa Unguja/Pemba tangu kabla ya vyama vingi kuanza.
Kuna baadhi ya nyuzi hapo jamaa ameandika vema sanaUNAJITAHIDI ILA NYUZI ZAKO HIZI NI ZA UCHOCHEZI KWA MBAAALI
https://www.jamiiforums.com/threads/je-maxence-melo-mmiliki-wa-jamiiforums-kupigwa-faini.1094095/
Angalia kuporomoka kwa shillingi tokea tumepata Uhuru
Serikali inalea bomu linaloitwa Sheikh Khalifa Khamis, ipo muda litalipuka tu
Imekuwa sawa na Makongoro Nyerere alivyotumwa mzazi shuleni akiwa mtoto wa rais
Kuna uhusiano wowote kati ya uongozi wa juu wa Tanzania na Vatican-Rumi?
Acha niitwe mchochezi: Uchumi wa Tanzania ulijengwa na Mkapa, Kikwete akatuuza hivi na Magufuli naye Mhh
Wanyarwanda wenye influence na siasa za Tanzania hapa panawahusu
Jinsi wanausalama wa mtandaoni wanavyowapata watu
Julius Kambarage Nyerere muafrika pekee aliyewatetemesha mataifa ya Ulaya na Marekani,aisaida China kuwa mwanachama
Nani fake kati ya tulia na sugu?kule mbeya Tulia atapotea sana maana kwa wanambeya nao wameanza kuvuta bange kama arusha hawajui nani mwakilishi bora na ni nani mwakilishi fake
Sasa,umenakili hadithi yoooooteee ili iweje?Tungeshukuru ungetuchotea mengi zaidi. Kaswali kadogo, wakati wa mwalimu Tabora Boys ilikua na wasichana?
Khaa yaani JF kila jibu linapatikana! Sasa haya ya kusukumizwa sijui umewaza nini aisee.He was a leader by nature ,not by "kusukumizwa" as someone is
Soma vizuri uzi ilikuwa haiitwi tabora boys, ni tabora school of government, bila shaka ilikiwa mchanganyiko, kabla ya kujengwa na tabora girlsTungeshukuru ungetuchotea mengi zaidi. Kaswali kadogo, wakati wa mwalimu Tabora Boys ilikua na wasichana?
Hao hao tume wanasema baadae kama sasa mnavyotuambiaTangu enzi za Idris Abdul Wakil.
Idris Abdul Wakil alipambanishwa na kivuli enzi zile kura za "Ndiyo/Siyo". Akashindwa (watu waliomkataa walikuwa wengi kuliko waliomkubali).Matokeoyakatoka, mpakawatu wa Daily News wakayaona.
Nyerere alivyopata habari, wakafanya sarakasi zaowakabadili ndiyo zikawa siyo na siyo zikawa ndiyo.
Watu waliokuwa Daily News kipindi hicho wanajua hizi habari.
Baadaye aliendeleza mchezo huohuo,Salmin Amour alikuwa anamletea kiburi sana Nyerere. Siku Salmin alivyoshindwa uchaguzi,alimpigia Nyerere magoti abadilishe matokeo, Nyerere akanyanyua simu akapiga simumoja tu matokeo yakabadilishwa.
Zamani nilivyokuwa naambiwa CCM wamebadili matokeo, nikawa naona kama ni propaganda za wapinzani, baadaye nikaja kukaa na mzee mmoja alikuwa mkubwa wa usalama, karibu sana na Nyerere, akasemamwenyewe walifanya michezohiyo sana, na wahenga wa Daily News wakanifumbua machokwamba michezoimechezwa Zanzibar tangu kabla ya vyama vingi kuanza, maana kule kulikuwa na mpasukowa Unguja/Pemba tangu kabla ya vyama vingi kuanza.