Queen Esther
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,206
- 1,464
Mpaka sasa umefiwa na Ndg wangapi?Hakuna msimamo sahihi wewe wa kusema uongo na kusababisha Watanzania kutojikinga hivyo kuongeza kasi ya maambukizi na vifo. Mbona Nchi za jirani Marais wamesema ukweli kuhusu ugonjwa huo na kila siku wanatoa taarifa ya maambukizi mapya na vifo vipya kwanini yeye aendelee kung’ang’ania kuudanganya umma wa Watanzania huku yeye mwenyewe akiwa kajificha kijijini? 😳
Weka wodi nyumbani kwako ujitengeSi kweli, maana kama ni hela ilishakuja na hakukuwa na lockdown. Mimi sio muumini wa lockdown na wala siko hapa kutaka lockdown, lakini nilitarajia kuona serikali ikitenga ward maalum hospitali kwa ajili ya wagonjwa hao, mfano wakati wa kipindupindu.
Amekupa jibu Sahihi! Jitolee taarifa mwenyewe na nyumba yako inatosha!Inahitaji uwe na akili kubwa ndipo ungeweza kuelewa msingi wa swali langu na siyo kudandia gari kwa mbele kama ulivyofanya,
Siku nyingine jifunze kuwa na utulivu katika kuelewa swali kabla ya kulijibu.
Kama ni kweli Kwanini taarifa isitolewe rasmi kutoka vyanzo rasmi?
Kwanini tubaki na kuzania zania?
Kwanini hao wengine wanaumauma maneno huku wakisema ugonjwa haupo lakini tuchukue tahadhari, tahadhari ya nini iwapo hakuna ugonjwa?!
Anaogopa kuteteresha uchumi wa nchi, maana tamko lake litaathiri sekta nyingi za biashara na huduma.Hakuna msimamo sahihi wewe wa kusema uongo na kusababisha Watanzania kutojikinga hivyo kuongeza kasi ya maambukizi na vifo. Mbona Nchi za jirani Marais wamesema ukweli kuhusu ugonjwa huo na kila siku wanatoa taarifa ya maambukizi mapya na vifo vipya kwanini yeye aendelee kung’ang’ania kuudanganya umma wa Watanzania huku yeye mwenyewe akiwa kajificha kijijini? 😳
Kwa hiyo wanatangaza na Corona ina pungua?Hakuna msimamo sahihi wewe wa kusema uongo na kusababisha Watanzania kutojikinga hivyo kuongeza kasi ya maambukizi na vifo. Mbona Nchi za jirani Marais wamesema ukweli kuhusu ugonjwa huo na kila siku wanatoa taarifa ya maambukizi mapya na vifo vipya kwanini yeye aendelee kung’ang’ania kuudanganya umma wa Watanzania huku yeye mwenyewe akiwa kajificha kijijini? [emoji15]
Ni wajinga sana hawa watu! Ukiona lile li kigogo linapiga kelele kule twiter utafikiri labda kuna njia imeonesha kufanikiwa kuzui huu ugonjwa kumbe bure tuWenye akili tumekuelewa! Madebe matupu yaache yaendeleale kupiga kelele!
Kuna mtu leo kaniambia hali sio nzuri. Nikamuuliza umefiwa? Akasema hapana amesoma tuitaa! Nyambafu..
Anaogopa kuteteresha uchumi wa nchi, maana tamko lake litaathiri sekta nyingi za biashara na huduma.
Mkuu amini ninacho kuambia hawa wanao lilia Sana kuwa Rais atamke hadharani kuwa Kuna Corona ujue kabisa kuna kitu ama nguvu kubwa nyuma yao, hawa maaskofu na wengineo si mara yao ya kwanza kutamka maneno Kama hayo.Siyo kila anayepiga kelele ni mpinzani mkuu. Maaskofu umewasikia, na Kuna watu chungu nzima. Lkn wote hawana hoja zenye mashiko.
Binafsi naona jiwe ana misimamo yake fulani tu. Lkn siyo kwamba anawaogopa wapinzani eti watamzodoa.
Mkuu uneongea vizuri sana!Mkuu amini ninacho kuambia hawa wanao lilia Sana kuwa Rais atamke hadharani kuwa Kuna Corona ujue kabisa kuna kitu ama nguvu kubwa nyuma yao, hawa maaskofu na wengineo si mara yao ya kwanza kutamka maneno Kama hayo.
Labda nikuulize, wakati Corona ilipo anza na watu wakawa na hofu kubwa hadi baadhi ya makanisa kufunga makanisa yao mfano Yule Askofu wa Karagwe, kelele nchi nzima kuwa Rais afunge baadhi ya miji mfano dar es salaam je ni nani sasa aliyekuja kuwahapa uhakika kuwa Corona hakuna hadi wakarudia maisha ya kawaida hadi hivi leo?? Kuna dawa ililetwa kuizuia hiyo Corona??
Aliye wapa amri ya kufungua yale makanisa wakati waliyafunga kwa amri yao wenyewe ni nani?
Kwanini walifungua? Je Corona iliisha na Kama iliisha iliishaje ishaje?
Kwanini leo kina Askofu Bongaza na wenzake walio amua kufunga makanisa yao kipindi kile wasifunge tena Kama kweli wameona wimbi kubwa la vifo vya Corona Kama walivyo fanya mwanzo, kwanini wasubiri amri ya Rais?
Tuje kwa hawa wana siasa, wakati wanaondoka bungeni kwenda kujiweka karanitini ilikuwa ni amri ya nani??
Na walirudi kwa amri ya nani?? Na waliporudi ugonjwa ulikuwa umeisha na Kama uliisha uliishaje?
Kwenye kampani walizungumza nini kuhusu Corona na walikuwa wanatumia mbinu zipi kuwalinda watu (wote tuliona jinsi kampani zilivyo endeshwa)
Sasa leo kwanini watumie nguvu kubwa namna hii kushinikiza Rais atangaze Corona kurudi tena ( kwani ilikwenda wapi ikiwa walipinga kila kitu kilichosemwa na kufanywa na serikali?)
HAPO KUNA KITU KINATAFUTWA KWA MGONGO WA CORONA.
Watu wanaugua, okay wapi wanako ugua je uona jinsi wanafunzi wanavyo jazana vyuoni kwenye ma hostel ilipuke Corona kikweli kweli utaweza kuificha mule??
Watu wawe wanapukutika pale k/koo unaweza kuficha pale tusijue hadi tusubiri waraka wa maaskofu ndio tujue Kuna Corona.?
Narudia tena tahadhari haihitaji kauli ya Rais na Corona si mtaji wa kisiasa hauta wasaidia na wala si mbinu nzuri ya kupenyeza propaganda zisizo na mashiko.
Mkuu kwa wimbi la kwanza la korona. Dunia nzima iliweweseka, hofu ilikuwa juu kwa kila mtu. Hivyo kila lililosemwa na mzungu liliaminiwa kwamba ndiyo suluhu ya tatizo. Kongole kwa dikteta jiwe aliyejiongeza kwa kufikiria nje ya box.mfano Yule Askofu wa Karagwe, kelele nchi nzima kuwa Rais afunge baadhi ya miji mfano dar es salaam je ni nani sasa aliyekuja kuwahapa uhakika kuwa Corona hakuna hadi wakarudia maisha ya kawaida hadi hivi leo?? Kuna dawa ililetwa kuizuia hiyo Corona??
Ninavyofahamu hakuna siku serikali ilitangaza watu waache kuchukua tahadhari? Hao madaktari walikatazwa kuchukua tahadhari. Kuna mtu kawakataza kutaja neno corona ikiwa linakonga nyoyo zao? Toeni basi ushauri nini kifanyike siyo kutwa kulalama tu kama watoto yatima.Ndo maana unakujaga na thread mara mwanamke mara mwanaume...
Kwahiyo watu wanakufa na madaktari hata kushindwa kutoa tahadhari Kwa uwazi ndo msimamo sahihi?
Hata watu kuambiana kuna Corona wanaogopa ..ndo msimamo Sahihi?
Sasa Kama ni hivyo basi waendelee kumuamini huyo Mungu tu au kabadilika hawasikii tena siku hizi, hadi waanze kutoa matamko na mashinikizo ya kipuuzi namna hii??Mkuu kwa wimbi la kwanza la korona. Dunia nzima iliweweseka, hofu ilikuwa juu kwa kila mtu. Hivyo kila lililosemwa na mzungu liliaminiwa kwamba ndiyo suluhu ya tatizo. Kongole kwa dikteta jiwe aliyejiongeza kwa kufikiria nje ya box.
Kwahiyo hata maaskofu na wanasiasa hawakuweza kuukwepa mtego huo wa hofu na kumwamini mzungu
Kwa hiyo nyie nyumbu hudhani kuwa corona ikiwepo Dodoma Chato haipo siyo! Kwamba ipo mahali pote isipokuwa Chato! Kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Nyumbu.Jiulize kwanza kwanini yeye kakimbilia/yuko Chato.
Jaribu kufikiri kabla ya kuandika.Umeandika nini sasa wewe zaidi ya kuonyesha chuki za kijinga zisizo na Maana
Jibu hoja, Je? Rais aifunge nchi? Na akiifunga, korona ndio itapotea?
Kwa nini haijapotea huko ulaya walikojaribu kujifungia?
ewooooooo mmmmmmh... unalako jwambo... mimi husoma nikiyakuta huwa sifatilii watu humu.. ila nikiamua ni kwa seconds nakuja na kukuonyesha.. sisi sio wasomaji wapitaji wengine humu.. tunajua kukumbuka.. basi tu nilikupima.. ukapimika.. uongooo eeehUmekosea.
Itakuwa hunijui vema. Endelea kunifuatilia utanifahamu uzuri
sekunde tu.. na umafia wangu.. nimeamua kukuchekiUmekosea.
Itakuwa hunijui vema. Endelea kunifuatilia utanifahamu uzuri
Mm sijala tangu kwasabb kuna mjinga mjinga mmoja alivunja nyumba yetu pale Mbezi. Kuanzia siku hiyo maisha yetu yamekuwa ya kuunga kuunga. Halafu kuna mpuuzi anakuja na nyimbo za amani hapa.
Mbona haki hamuizungumzii? Jiwe alipora haki yetu tuliopewa na mahakama mkakqa kimya!
Haki anani akicheza na huu uchaguzi huyu jiwe! Inhiiiiiiiiiiii.
Mengine huwa ni prompted ideas tu kulingana na mada na nyakati. Hazina ukweli wowote. Kama ukiweza kufukua makaburi sehemu mbalimbali ndo utajua kwann naitwa Sexless. Wengi, ikiwemo wewe, wanapata taabu sana kunielewa, na hawatanielewasekunde tu.. na umafia wangu.. nimeamua kukucheki
Watanzania tusiichoke amani
Na Emmanuel J. Shilatu Misingi mizuri iliyojengwa na waasisi wa Taifa, Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume , imesababisha Wananchi wa Tanzania kwa muda mrefu kuishi kwa amani na utulivu, huku wakifanya mambo yao kwa uhuru bila ya kuingiliwa na mtu yeyote...www.jamiiforums.com
Hiyo hoja yako haina mashiko, kwani JPM ni mara ya kwanza kwenda Chato, hivi umeona shughuli anazofanya kule akiwa amezungukwa na watu mbali mbali wakiwemo mawaziri wake waliotoka sehemu mbambali za nchi na nje ya nchi? Hivi kwa mazingira hayo kweli unaweza sema amekimbia korona Dodoma na kujicha Chato? Katika mazingira hayo unadhani hawezi kuambukizwa korona kuliko wananchi wengine?Hii ni sawa na baba aliyeketi barazani jioni na familia yake kisha wote wakamuona nyoka akiingia ndani lkn kwa mshangao baba kwakuwaondolea hofu familia yake, kawaambia yule nyoka kazunguka nyumba na kutokomea zake. Watoto na mama yao wameingia ndani kwa hofu kubwa. Kwa hali isiyo ya kawaida baba yule kawaaga na kuwaambia anakwenda kutembelea mifogo yake hivyo hatakuwepo pale usiku ule. Kijijini hakuna umeme na baba kaondoka na tochi.
Hapo familia itaacha kumlaumu baba??
Je ni sahihi baba kuidanganya familia yake??