Simpendi na sikumchagua Magufuli lakini naunga mkono 100% msimamo wake kuhusu Korona

Simpendi na sikumchagua Magufuli lakini naunga mkono 100% msimamo wake kuhusu Korona

Unapewa updates ndio corona inapungua?

Mbona mnakuwa wapumbavu?

Nikafikiri una kitu kinaonesha mmefanya corona kupungua, kumbe updates kuonesha jinsi waathirika wanavyoongezeka?
Wewe mwehu kweri, mpuuzi wa mwisho wewe! Wala sibishani tena na kichaa kama wewe, kwahio urimwengu mzima unaotoa updates hawana akiri, wewe na huyo buchwa wako ndio mna akiri. Mbusi wa kafara wewe. Usiwe mjinga
 
Mkuu

Acheni kuchekesha umma

Wananchi wamenyamaza,maamuzi wanayo rohoni,nyie mnadhani wamekubaliana na upumbavu wenu?
Nyie ndio wapumbavu sasa!

We unafikiri sisi tunakaa porini? Tuko hukuhuku mitaani ambako raia wanajihangaikia kujitafutia ugali wa kila siku na wanamcmshukuru rais kwa kutofaata ujinga wenu.

Hakuna njia hata moja iliyofanikiwa kupunguza corona mpaka sasa hivi alafu hapa mko mnalaumu tu.
 
Wewe mwehu kweri, mpuuzi wa mwisho wewe! Wala sibishani tena na kichaa kama wewe, kwahio urimwengu mzima unaotoa updates hawana akiri, wewe na huyo buchwa wako ndio mna akiri. Mbusi wa kafara wewe. Usiwe mjinga
Sasa hizi hasira unamtolea nani hapa?

Wanatoa uodates ndio zinaounguza corona?

Nyie ni wapumbavu, tunawambia pendekezeni njia basi iliyofanikiwa kupunguza corona ambayo hayo mataifa mnayoyaabudu yaneitumia hamsemi ila mnakuja na mihasira tu humu. Pumbavu sana
 
Sasa hizi hasira unamtolea nani hapa?

Wanatoa uodates ndio zinaounguza corona?

Nyie ni wapumbavu, tunawambia pendekezeni njia basi iliyofanikiwa kupunguza corona ambayo hayo mataifa mnayoyaabudu yaneitumia hamsemi ila mnakuja na mihasira tu humu. Pumbavu sana
Mpumbavu ni wewe, kama unakiri hakuna corona sasa unataka nipendekeze njia gani? Njia ya kuleta corona? Wewe ni mwendawazimu mkubwa! Eti hakuna corona mara pendekezeni njia, njia ya Nini? You will die like fools!
 
Mpumbavu ni wewe, kama unakiri hakuna corona sasa unataka nipendekeze njia gani? Njia ya kuleta corona? Wewe ni mwendawazimu mkubwa! Eti hakuna corona mara pendekezeni njia, njia ya Nini? You will die like fools!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na utapanic sana mpumbavu wewe!

Unasema rais hachukui hatua, tunakwambia leta basi hizo hatua unazotaka achukue!

Watz hawahitaji taharuki yenu ya kipumbavu mnayotaka kuitengeneza.

Nyie kama mnaona Magufuli kawaacha ili mfe, ni kwamba mna akili bebeni familia zenu hamieni huko mnakoona wanafuata mashrti au jifungieni ndani kimya kimya msitupigie kelele humu.
 
Nafikiri itakuwa ni kupoteza muda kutoa tahadhari kwa jambo lisilo na tahadhari.

Hakuna tahadhari ya korona inayotekelezeka. Sijui unanielewa???
Imani yako hiyo , basi kataa na zile njia za kujikinga dhidi ya malaria na magonjwa mengine yote.
 
Waeleze watu ukweli ili kila mtu achukue tahadhari na sio kutangaza kuwa hakuna Corona.
Tatizo ni kwamba watu wakiambiwa kuwa corona ipo wataathirika kisaikolojia
.
Na siku zote "psychological effect is worse kuliko ata the real condition"
Mfano hai, asilimia kubwa ya wanaokufa kwa ukimwi ni kwasabab ya ile effect ya kisaikolojia
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na utapanic sana mpumbavu wewe!

Unasema rais hachukui hatua, tunakwambia leta basi hizo hatua unazotaka achukue!..
Wewe mbwa huwezi kunipanikisha mimi, wewe ni mpuuzi! Unajichanganya mwenyewe! Sasa ulifikiri wa TZ wanafuata huo upuuzi wenu? Unafikiri hawana akili? Mjinga kweli wewe!
 
Wewe mbwa huwezi kunipanikisha mimi, wewe ni mpuuzi! Unajichanganya mwenyewe! Sasa ulifikiri wa TZ wanafuata huo upuuzi wenu? Unafikiri hawana akili? Mjinga kweli wewe!
Dogo, usiwe mjinga!

Kama vipi hamia ubelgiji kule utafungiwa ndani mpaka unatoka utakuwa mwekundu. Si unataka lockdowan ili corona isikupate wewe?
 
Imani yako hiyo , basi kataa na zile njia za kujikinga dhidi ya malaria na magonjwa mengine yote.
Njia za kujinga na Malaria zimeleta mafanikio,
Vipi njia za kujikinga na corona ni ipi iliyofanikiwa mpaka sasa?
 
Dogo, usiwe mjinga!

Kama vipi hamia ubelgiji kule utafungiwa ndani mpaka unatoka utakuwa mwekundu. Si unataka lockdowan ili corona isikupate wewe?
Mimi dogo? Sikiliza wewe mbwa, hakuna pahala nimetamka lockdown labda kama unaota, usijadili kitu ukiwa na maneno au mitazamo yako! Musitufanyie wote wajinga, umesahau kauri ya kiongozi wako?
 
Mimi dogo? Sikiliza wewe mbwa, hakuna pahala nimetamka lockdown labda kama unaota, usijadili kitu ukiwa na maneno au mitazamo yako! Musitufanyie wote wajinga, umesahau kauri ya kiongozi wako?
Wewe dogo tu, kwanza unamuitaje mtu mbwa? Inaonesha bado unanuka maziwa.
 
Njia za kujinga na Malaria zimeleta mafanikio,
Vipi njia za kujikinga na corona ni ipi iliyofanikiwa mpaka sasa?
Kwani korona ipo? Si hilo Juha mnaloliamini inasema hamna Tanzania
 
Acha kujisahaulisha

Kirusi kina variants zake,kwendana na eneo,na aina ya watu maeneo hayo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanachi wapi unaosema hawamsaport Magufuli na ccm kuhusu corona?

Mkuu kwenye hii ishu ya corona bora mngekaa kimya tu maana hata hao wazungu wenu bado hawajui wafanyeje
 
Back
Top Bottom