Simtetei Dr. Nawanda, ila binti anaweza kuwa ni tatizo?

Unaenda hadi nyumbani kwa mtu?

Unakubali pombe,,,unaletewa unakunywa,,,bangi nazo zinakuja unavuta.

Halafu uje useme umebakwa?

Come on guys!
 
Unaenda hadi nyumbani kwa mtu?

Unakubali pombe,,,unaletewa unakunywa,,,bangi nazo zinakuja unavuta.

Halafu uje useme umebakwa?

Come on guys!
Unapomwingilia mwanamke ambae kapoteza fahamu kwa sababu ya ulevi, akienda ku-report polisi huo ni ubakaji.

Mwanamke kuingia ghetto lako aina maana una haki ya kumbaka pia, hata kama alikuja kukupa mzigo kubadili mawazo ni uamuzi wake pia.

Halafu sigara special sio bangi, nenda manyanya uvute embassy yao ya mateja.
 
Mwisho wanaume tuwe makini sana na hawa viumbe, huyu binti kaangusha ndoto za watu wawili kwa kumpa mmoja miaka 30 jela na kumchafua mwingine kwa tuhuma ambazo zitamfuata maisha yake yote. Weekend njema.
Broo tuko makini maana saivi izi kesi mara zakupigwa kisu,mara rungu na kuwekewa sumu,na kuskumwa ndani zimenipa namna mpya ya kuishi na ivi viumbe na ni pale nilipoanza kufuatilia haya matukio nikagundua kwamba wanaume wa Sasa tumejisahau sana , solution ni kubadili mbinu na kanuni za maisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…