Simu gani betri inakaa zaidi ya saa 12 unapoitumia mfululizo?

Simu gani betri inakaa zaidi ya saa 12 unapoitumia mfululizo?

Depends na budget yako,
Tafuta iphone pro max yoyote,
Pixel from 5...........
Samsung ultra yoyote(21......
Sina hela nyingi lakiniNyingine hizo achana nazo hasa infinix sio simu kabisa,unachana box lakin inaanza kustack baada ya siku
Tena hata ule muda wa warrant haujaisha lol
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom