- Thread starter
- #21
Vip ukininua simu kwa njia ya mtandao mfano alibaba au kikuu huwa sio matapeli kweliPixel hana mpinzani kweny camera
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vip ukininua simu kwa njia ya mtandao mfano alibaba au kikuu huwa sio matapeli kweliPixel hana mpinzani kweny camera
Nishingapi iyoPixel ipi Ina 5000maH
Kwann uende Alibaba wakati watu wanazo humu mkuuVip ukininua simu kwa njia ya mtandao mfano alibaba au kikuu huwa sio matapeli kweli
Vip ukininua simu kwa njia ya mtandao mfano alibaba au kikuu huwa sio matapeli kweliTatizo la pixel matoleo ya zaman zote used ,Bongo tunanunua spare pixel
Sijawahi kuagiza mizigo abroad mzigo unafika sema jiandae kisaikolojiaVip ukininua simu kwa njia ya mtandao mfano alibaba au kikuu huwa sio matapeli kweli
Kiaje kakaSijawahi kuagiza mizigo abroad mzigo unafika sema jiandae kisaikolojia
We jamaa ni balozi wa kweli wa kufa na kuzikana na bwana google PixelTafuta hela pixel znatofautiana battery capacity
Sawa.Waachie wastalabu wajibu hujabalikiwa nidam au malezi wend
Ni shilingi ngapi iyo ya ivoView attachment 3160043
View attachment 3160044View attachment 3160045
💥Pixel 3a
Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
Shida kupata mwenye anayo af anauzaKwann uende Alibaba wakati watu wanazo humu mkuu
😅😅😅ukipata simu kama Sundar au Yamaha hua ni bei nafuu na camera yake ndo inaongozs duniani
Kwa uhitaji wako kweny camera pixel inakufaa kwa affordable price ,achana na samsung za laki 5 izoWe jamaa ni balozi wa kweli wa kufa na kuzikana na bwana google Pixel
Pixel 3a kwasasa zimeshuka bei unaweza pata mpk 200k mpk 230k camera🔥🔥Ni shilingi ngapi iyo ya ivo
Kwenye simu mtu yyte kama hamjui wanafocus vitu vitatu betry/ charge camera durable hapo mtu yyt unaweza kupata 1 au 2 ni aghlabu kupata yote kwa kampuni moja hasaa hz simu zetu za kuanzia lak 4 kushukaEndelee kumdanganya