Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
Kariakoo zipo mpya from us?Full Box ni 700,000+
Refurbished ni 590,000+ inategemea na condition na storage capacity.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kariakoo zipo mpya from us?Full Box ni 700,000+
Refurbished ni 590,000+ inategemea na condition na storage capacity.
Mbona ukungu mwingi? Weka picha za mchana tuone maajabu yakeView attachment 3160043
View attachment 3160044View attachment 3160045
💥Pixel 3a
Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
Mimi kwenye simu vigezo vyangu vikuu huwa ni 3 tu.Kwenye simu mtu yyte kama hamjui wanafocus vitu vitatu betry/ charge camera durable hapo mtu yyt unaweza kupata 1 au 2 ni aghlabu kupata yote kwa kampuni moja hasaa hz simu zetu za kuanzia lak 4 kushuka
Inategemea kulinganisha na simu gani mkuu, ukitumia flagship za samsung utaelewa.Pixel hana mpinzani kweny camera
samsung saa 10 alfajiri.View attachment 3160043
View attachment 3160044View attachment 3160045
💥Pixel 3a
Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
Halafu unaweza kuta jamaa ana wajukuu lakini bado ana upumbavu wa kindergatenWaachie wastalabu wajibu hujabalikiwa nidam au malezi wend
ZipoKariakoo zipo mpya from us?
Ahsantee sanaZipo
Samsung gansamsung saa 10 alfajiri.View attachment 3160194
6proPixel ipi Ina 5000maH
Mbona ukungu mwingi? Weka picha za mchana tuone maajabu yake
Betri Majanga huo ndio ubaya wa Pixel betri kipengele Camera sawa ila betri moto wa pasi ya mkaaPixel hana mpinzani kweny camera
Zoom to 100% kisha angalia camera yako vizuri
Betri kipengele Pixel betri majanga kabisa kioo ndio usisemePixel
Depreciation ni kwenye price sio quality,na hii inatokana na ushindani inabidi watoe matoleo mapya kila baada ya muda mfupi...Pixel zina depreciation kubwa sijawahi ona. Jan unanunua laki 8 inafika May unakuta same duka wanauza laki 6.5
Cdhani kama kuna Camera ya simu unayoeza kupga picha then uka zoom to 100% na bado ikaonesha clear mwanzo mwisho.🤔Zoom to 100% kisha angalia camera yako vizuri