Simu gani ina kamera bora kwa bei nafuu?

Simu gani ina kamera bora kwa bei nafuu?

Kwenye simu mtu yyte kama hamjui wanafocus vitu vitatu betry/ charge camera durable hapo mtu yyt unaweza kupata 1 au 2 ni aghlabu kupata yote kwa kampuni moja hasaa hz simu zetu za kuanzia lak 4 kushuka
Mimi kwenye simu vigezo vyangu vikuu huwa ni 3 tu.
1. Battery
2. Display quality
3. Storage capacity
 
View attachment 3160043

View attachment 3160044View attachment 3160045

💥Pixel 3a

Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
samsung saa 10 alfajiri.
20241103_051639.jpg
 
Pixel zina depreciation kubwa sijawahi ona. Jan unanunua laki 8 inafika May unakuta same duka wanauza laki 6.5
Depreciation ni kwenye price sio quality,na hii inatokana na ushindani inabidi watoe matoleo mapya kila baada ya muda mfupi...
 
Back
Top Bottom