BUKU 1 800
JF-Expert Member
- Oct 5, 2024
- 1,175
- 2,125
Zipo ingia uzi wa Gadget kule utazikutaCdhani kama kuna Camera ya simu unayoeza kupga picha then uka zoom to 100% na bado ikaonesha clear mwanzo mwisho.🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo ingia uzi wa Gadget kule utazikutaCdhani kama kuna Camera ya simu unayoeza kupga picha then uka zoom to 100% na bado ikaonesha clear mwanzo mwisho.🤔
SawaZipo ingia uzi wa Gadget kule utazikuta
Jukwaa la Gadget ingia kule uzi upo utaona walikua wanapambanisha na pixelSawa
Ngoja nkacheki nioneJukwaa la Gadget ingia kule uzi upo utaona walikua wanapambanisha na pixel
Hii sio kweli kabisa.... Ni simu ya hovyo kwenye nini?Usinunue pixel mkuu. Utakuja kunishukuru. Ni simu ya ovyo sana ila kamera kweli Iko fire.
S23 ultra.Samsung gan
Ili nifaidike na Nini wakati mi mwenyewe natumia Gpixel4xlHii sio kweli kabisa.... Ni simu ya hovyo kwenye nini?
Ninatumia Samsung kwa muda mrefu ila kwa pixel huu ni mwaka wa 2 navutiwa kununua matoleo ya juu zaidi.
Mnawadanganya sana watu humu mitandaoni.
bora aliexpress na alibaba..hao KIKUU sio waogope sana matapeli wengi humo utaumiaVip ukininua simu kwa njia ya mtandao mfano alibaba au kikuu huwa sio matapeli kweli
Ndo utueleze, ni simu ya hovyo kwenye nini ukitofautisha na zingine?Ili nifaidike na Nini wakati mi mwenyewe natumia Gpixel4xl
kwa akili yako fupi matatizo yaliyo kwenye hiyo simu yako Gpixel4xl ndio yatakuwa kwenye simu zooote za pixel...hivi unajua simu za Google pixel zina matoleo mangapi mbona zina matoleo mengi tofauti sasa ww na ki pixel chako kimoja hata haijulikani unaitunza vp au unatumiaje pia hatujui hio simu yako ya pixel mbovu ni used,refurbished au brand new..sasa yanini unahukumu simu zote za pixel kisa kisimu chako kimoja kinasumbua kwako basi ndio matoleo yote tofauti ya pixel hayafai..huna maana boya tuIli nifaidike na Nini wakati mi mwenyewe natumia Gpixel4xl
Google pixel tatizo lake kubwa hazikai na chaji pili zinazima ovyo yaani pixel kufa ni kitendo cha kufumba na kufumbua nyingi ni used na zina short term software update huwezi kuzitumia kwa muda mrefu. Zinakufa sana kioo na bei ya kio chake ni sawa na bei ya simu.Ndo utueleze, ni simu ya hovyo kwenye nini ukitofautisha na zingine?
6pro bei yake inaendaje mkuuNunua google pixel kwa camera tuu
Ila kaka unataka camera na performance nenda na samsung pamoja na iPhone
Kuhusu bei
Simu nzuri kwa pixel ni kuanzia 6a
Bei zake ni 450K hadi 480K kwa pixel nzuri
Ila hata hizi pixel 3, na 3a nazo ni nzuri bei yake zinaanzia 250K
Kwa muongozo zaidi unaweza ni check
Pixel 6 pro used now ni 630,000 mpya full boxed ni 670,0006pro bei yake inaendaje mkuu
Na 7 pro
Kwamba mpya na used zimetofautiana elf 40 tu!Pixel 6 pro used now ni 630,000 mpya full boxed ni 670,000
7 pro ya 128 ni 890,000
Zote zikiwa na warranty ya miezi 6 na kwa mpya warranty yake mwaka mzima
Hayo sasa yako ww kama hamna ww chukua used hamna mtu anayekupangia na maamuzi yako na hakuna asijua pixel mpya kwa sasa ni 9 series kwa hiyo kama una hela chukua mpyaKwamba mpya na used zimetofautiana elf 40 tu!
Kwanza amna pixel 6 pro mpya
Huo ndk ukwel 😂 kwenye kamera tu unyama lakin kukitoa hapo ni dustEndelee kumdanganya
Bei rafiki kabisa hiiSamsung A25 ni lakki 530-550 kwa sasa