Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 7,573
- 10,063
Oyaa ni balaaView attachment 3160043
View attachment 3160044View attachment 3160045
💥Pixel 3a
Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyaa ni balaaView attachment 3160043
View attachment 3160044View attachment 3160045
💥Pixel 3a
Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
Iyo battery ni sawa 5000mAh, ukichukua na samsung yenye 5000mAh ndo utajua ipi ni simu
Samsung ukiona ina 5000mAh na inadumu sana na chaji jua inatumia cheap processors za Mediatek ambazo performance wise ni poor...kwaio lazima ujue unataka nini.... performance au chaji inayodumu option ni yako 😀Iyo battery ni sawa 5000mAh, ukichukua na samsung yenye 5000mAh ndo utajua ipi ni simu
Hii sio bei nafuu, bei nafuu ni 250- mpaka 350 kitanzania zaidiSamsung A25 ni lakki 530-550 kwa sasa
Mbovi sana hiiView attachment 3160043
View attachment 3160044View attachment 3160045
💥Pixel 3a
Saa 2 usiku ikakutana na mbalamwezi 🔥🔥
Ukweli ni kwamba Simu moja haiwezi kukupa kila kitu, chaji, camera na perfomamce,Samsung ukiona ina 5000mAh na inadumu sana na chaji jua inatumia cheap processors za Mediatek ambazo performance wise ni poor...kwaio lazima ujue unataka nini.... performance au chaji inayodumu option ni yako 😀
Kwahiyo hii ni nafuuSamsung A25 ni lakki 530-550 kwa sasa
Pixel ni camera tu ila Samsung utapata camera kali na simu bora utakayokaa nayo muda mrefu bila kupitwa na wakati
A05 plain 250k sealed ila A05s 64GB bei gani mkuuKama hujanunua chukua galaxy a05 ule maisha, 250k
kumbe A15 chipset yake ni mediatekUkweli ni kwamba Simu moja haiwezi kukupa kila kitu, chaji, camera na perfomamce,
Pia A 15 4G zina mediatek G99 ambayo ni nzuri kuliko sd680 na Sd720,
Snapdragon kuanzia 865 kwenda juu ni moto,
Bland new??Samsung A25 ni lakki 530-550 kwa sasa
vipi kuhusu A05s na ni snapdragon battert 5000mASamsung ukiona ina 5000mAh na inadumu sana na chaji jua inatumia cheap processors za Mediatek ambazo performance wise ni poor...kwaio lazima ujue unataka nini.... performance au chaji inayodumu option ni yako 😀
AKUNA KITU BORA CHA BEI RAHISIWakuu
Ni simu gani ambayo inaongoza kwa kamera bora zaidi na ya bei nafuu
Hiyo 05s haina maajabu kuzidi 05A05 plain 250k sealed ila A05s 64GB bei gani mkuu
Hiyo processor sio power hungry ni Midrange na ndio maana ina support 4g tu.vipi kuhusu A05s na ni snapdragon battert 5000mA
Naheshimu mawazo yako ila hiki ulichoandika ngoja nikae kimyaHiyo 05s haina maajabu kuzidi 05
Ndio G99, A15 5G ina exynoskumbe A15 chipset yake ni mediatek
Simu2000Wakuu
Ni simu gani ambayo inaongoza kwa kamera bora zaidi na ya bei nafuu
Actually kila simu inakuja na camera app zao wenyewe. Xiaomi wanayo ya kwao, Samsung wana app yao, Oppo, vivo, Realme, iQOO, Tecno, Infinix etc wana app zao pia za kamera. Hazitumii Google cameraKwasababu gani uchague pixel ?
Simu zote zinategemea Gcam ambayo ni founder wa Google pixel ,software yake haina mpinzani kwenye soko ,Pixel anasupply Technology kwa kampani nyingine.
Niambie kuhusu pixel 6a kioo kikoje maana naambiwa kinavunjika haraka na ni bei mbayaHii sio kweli kabisa.... Ni simu ya hovyo kwenye nini?
Ninatumia Samsung kwa muda mrefu ila kwa pixel huu ni mwaka wa 2 navutiwa kununua matoleo ya juu zaidi.
Mnawadanganya sana watu humu mitandaoni.
kwa dsm napata simu wapi yaan wenye bei nafuu sio wapigaji?Usinunue simu online nenda dukani