Simu mpya za iphone zagundulika kuwa na changamoto kubwa

Simu mpya za iphone zagundulika kuwa na changamoto kubwa

Wakati samsung note 7 inatoka na type C ilikumbana na janga zito,mpaka sasa bado haijafahamika hii tech ina athali kiasi gani.

Kuhusu joto pia bado haieleweki kama ni hii tech mpya ya type c.

Kimsingi ndio iphone ya kwanza kukumban na matatizo kutoka kwake kuliko yoyote,tutegemee na milipuko soon.
Type C haina relationship yoyote na kupata kwa moto kwa simu.. ingekuwa wanaweka ktk charge ndio inapata moto via using type c cables hapo sawa. Ila tatizo linatokea wakati functionality ya Type C haipo active.

Kingine ni kwamba ktk hardware setup ya Type C kuna resistors and other components zinazoruhusu umeme kupita sasa kama umeme ni mwingi inaua power IC or charge port na sio kufanya overheating. So type C mnaisingizia.
 
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo

Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.

Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake

Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
Hii simu haijapokelewa vizuri Ulaya!
 
Simu za iPhone 15 & iPhone 15 pro ambazo zimeingizwa sokoni hivi karibuni zimelalamikiwa na baadhi ya watumiaji wake kuwa na msululu wa matatizo

Watumiaji wengi wa simu hizo toka kampuni kinara Duniani kwa utengenezaji wa simujanja wameeleza kuwa simu hizo mpya zina changamoto ya kutoa joto jingi kupita kiasi(zaidi ya sentigredi 46) hasa pale mtu anapocheza gemu kwa muda mrefu,pia simu hizo zimethibitika kuvunjika kirahisi sana tofauti na matoleo mengine ya nyuma.

Mpaka sasa bado haijawekwa wazi ni kipi kimefanya matoleo hayo mapya ya iPhone kuwa na changoto hizo kubwa ingawa kuna taarifa zisizo rasmi kuwa huenda matatizo hayo yatakuwa yamesanabishwa na materials ya titanium yaliyotumika katika utengenezaji wake

Katika kukabiliana na changamoto ya simu kutoa joto kupita kiasi(overheating),kampuni ya Apple wametoa sasisho(software update) ingawa watumiaji wengi wanahofia sasisho hilo litakwenda kupunguza nguvu ya processor
Kampuni kinara =SAMSUNG
 
Screenshot_2023-09-30-19-00-50-785_com.twitter.android-edit.jpg
 
Wakati samsung note 7 inatoka na type C ilikumbana na janga zito,mpaka sasa bado haijafahamika hii tech ina athali kiasi gani.

Kuhusu joto pia bado haieleweki kama ni hii tech mpya ya type c.

Kimsingi ndio iphone ya kwanza kukumban na matatizo kutoka kwake kuliko yoyote,tutegemee na milipuko soon.
Tayari wanasema bettri inashika mimba
 
Uwezi amini leo hii nilienda kwa fundi afanye disassembly ya chaja apime voltage, current na microfarads, ni baada ya kupokea lawama kwa wateja. Hapa katoa capacitor kwenye 50W charger na bado kesho naenda na hii yenye 25W kukagua kama specs ni kweli ama kanjanja.View attachment 2766516
Huu umeme wa TANESCO umeua vifaa vingi watu wa field hiyo wanajua vifaa gani vya uhakika.
Fast chargers zinazoitwa za iPhone mtaani zile hazina performance sawa na chaja zinazokuja na flagship. Yani nikileta chaja yangu ya Oppo yenye SuperVOOC ikawasha 50W inazizidi mbali sana hizi chaja uchwara zilizopo sokoni zinazodai ni 50W. Hata chaja yangu ya Xiaomi ilikuwa madhubuti kuliko hizi separate, kwanza zinachemka na zinaungua kirahisi.
Chaja za kuja na simu zilikuwa msaada kwetu sisi wabongo na fake products.
Jombaa nina Fast charger ya hii Redmi nnayotumia aisee ni kisanga, hata nikiuza hii simu hiyo chaja naibakiza [emoji23] OG ni OG tu

Sent from my M2101K6G using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom