machiaveli
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,225
- 5,055
Laini za 4g zinatumika kwenye 5g hamna laini special kwa 5g pekee!!Hapo uongo, laini iwe 4G halafu simu iwe 5G na isapoti 5G any way sijui zaidi wataalam wa IT wanaweza kutusaidia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Laini za 4g zinatumika kwenye 5g hamna laini special kwa 5g pekee!!Hapo uongo, laini iwe 4G halafu simu iwe 5G na isapoti 5G any way sijui zaidi wataalam wa IT wanaweza kutusaidia
Okay kumbe.... Ni tanzania au hata kwa wenzetu?Laini za 4g zinatumika kwenye 5g hamna laini special kwa 5g pekee!!
Laini kutumika inatumika popote hata kama device ni 2G unatumia , tulichokuwa tunajadili ni je kuna uwezekano laini ya 4G kuwa na kasi y 5G ukiweka kwenye device ya 5G? Swali liko hapo.Laini za 4g zinatumika kwenye 5g hamna laini special kwa 5g pekee!!
Mkubwa hivooo afu unauliza rhetorical question