Simu za Huawei zinauzika balaa ulaya Samsung akina Samsung hoi

Camera ya tecno MP24 ni sawa na MP12 ya iphone
Awap hapo umeongopa mkuu. camera za iphone ni mbovu sana yaani bora hata ungesema samsung

Iphone 5 camera yake imezidiwa na tecno h6 mimi huaga naifananisha na M3
 
Hakuna cha matumizi mkuu toka ni nunue Huawei Sijawahi kupata tatizo hilo na matumizi yake naona nimezidisha zaidi
Virus unawatoa wapi kwenye simu.. Au unaweka app za vichochoroni?
 
Hizi Tz tunazindua lini zile simu zetu,nimechoka kutumia simu za mabeberu.
 
Haya masimu makubwa makubwa siyapendi kama nini
Mkuu ingekuwa vizuri2 ungeweka na bei zake maana nimechoka Izi Samsung naitamani Huawei ila nataka nijichange kwanza nikijua bei
 
Awap hapo umeongopa mkuu. camera za iphone ni mbovu sana yaani bora hata ungesema samsung

Iphone 5 camera yake imezidiwa na tecno h6 mimi huaga naifananisha na M3
iPhone 5 ni toleo la miaka mitano iliyopita.
 
Mkuu ingekuwa vizuri2 ungeweka na bei zake maana nimechoka Izi Samsung naitamani Huawei ila nataka nijichange kwanza nikijua bei

Mkuu kwa hizo brand alizoweka hapo andaa 1.1M mpaka 2.3M, hiyo foldable andaa kuanzia 4.8M
 
Sasa mkuu tecno camon11 pro utaifananisha na iphone 7s??

Tecno camon 11 pro VS Iphone7s

Ram 6GB = > Ram 3GB

Internal 64GB = > Internal 128,256GB

Camera 16 dual = > Camera 12 dual
Mkuu hakuna iphone 7s [emoji23][emoji23]
 
Huawei nimetumia mpk sasa natumia mnyama samsung usifananishe Samsung na uchafu huo labda ingekuwa iphone
 
Iphone 5s camera yake huwezi kulinganisha na tecno h6 wala huawei lua U22
H6 tecno nmewahi tumia but iphone 5 cjawai tumia... Ila picha zake nmeziona kiuhalisia huwezi fananisha camera ya iphone 5 na tecno h6 mkuu....pia kingine kinachombeba iphone ni kwenye uharaka wa operations zake(smooth operability) ram 1 ya iphone iko chap sana ukifananisha na ram 3 ya tecno tecno hata iwe na ram kubwa kiasi gani lazima kuna errors itakuletea mara (application error) ...hio issue huezi ikuta kwa iphone yoyotee pia speed ya ram ya android na ios ni vitu viwili tofauti
 
Mkuu ingekuwa vizuri2 ungeweka na bei zake maana nimechoka Izi Samsung naitamani Huawei ila nataka nijichange kwanza nikijua bei

Namba 1 inaanzia na dola 1668 hivi.

Namba 2 dola 961

Namba 3 dola 700 hivi.

Namba 4. Dola kama 400 hivi.

Za bei rahisi ni kuanzia namba 5 hadi 10 ukiondoa namba 5 na 6 ambazo unatakiwa pia kuwa na dola kama 900 hivi.

Haya mkuu zichange kidogokidogo.
 
Dah poa aisee hadi wa 7 nitachukua you kitu
 
Huyu pimbi hajui chochote kuhusiana na sammy and iphy phones!hata tekno zinauza balaa vitz zinauza balaa !balimi na serengeti light inauza balaa!
Angalia hapo,uhawei mate 20 pro inaenda euro 800 while samsung s10 toleo jipya la samsung ipo euro 500
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…