Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Simuelewi Mzazi mwenzangu, tumeachana lakini bado anasumbua

Au baba mtoto karudisha majeshi? Maana ulisema ndoa ya miaka 2 unatamani utoke hutamani hata kumuona akisafiri unatamani asirudi. Kumbe kuna baba mtoto huku nae anasumbua. Huku mr nae kaacha kutoa huduma ya tendo maana umempa ukweli mchungu kua hawezi. Ssa si ndo atajua mnakulana na baby dady wako wa zamani
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Mpe mme wako simunyske amuonye
 
Au baba mtoto karudisha majeshi? Maana ulisema ndoa ya miaka 2 unatamani utoke hutamani hata kumuona akisafiri unatamani asirudi. Kumbe kuna baba mtoto huku nae anasumbua. Huku mr nae kaacha kutoa huduma ya tendo maana umempa ukweli mchungu kua hawezi. Ssa si ndo atajua mnakulana na baby dady wako wa zamani
Umeonaee,kuna uzi wake humu alishasema ana lala chumba tofauti na mume wake,inaonekana hata hiyo ndoa aliyomo inawaka moto,mara alisema amepata mirathi mume wake kaanza kumsogelea,dah ila kwa tabia hizi na hizo story kama ni za kweli atakuwa anashida ,yaani kila tukio la mahusiano yake na mume wake analianika humu...
 
Umeonaee,kuna uzi wake humu alishasema ana lala chumba tofauti na mume wake,inaonekana hata hiyo ndoa aliyomo inawaka moto,mara alisema amepata mirathi mume wake kaanza kumsogelea,dah ila kwa tabia hizi na hizo story kama ni za kweli atakuwa anashida ,yaani kila tukio la mahusiano yake na mume wake analianika humu...
Kuna shida mahali si bure
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Mtarudiana muda so mrefu
 
Da anayekusumbua ndo yule kaka mliyekuwa mnafanya kazi akawa hakulidhishi au
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Umezaa na mbuzi..!??
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Hii ndo huwa tunasema, Ngumu kutenda ila tukichoka harudi nyuma.
 
Huyo jamaa ni fala....na usimuendekeze hata kidogo atakuvunjia ndoa. Mfanye ajute maisha yake yote kwa kumpiga block kila kona...au jifunze matusi ya nguoni akikugusa aambulie matusi mapya mapya afe kwa stress
Hakuna ajuaye kesho!! Ni vyema HEKIMA itumike.
 
Katika kosa ambalo nikilifanya Mungu aniadhibu ni hili,, kaka anilifukuza kwa dharau sana nilipauka nyumban pia baba akanifukuza nikaenda kuuza baa ninamimba ya miez 7, huyu baba kanioa wala hakuna anaejuaa kama sio mtoto wake pamoja na mitihan ya ndoa lkn kwa mtoto anamtreate kama wake ...siwezi kumlipa hilo kwakweli
Kama unampenda huyo Baba, Anayelea mtoto si wake. Mwambie ex wako hayo...na asirudie...

Naifananisha sana hii story na ya Suggu na FFaiza
 
We nae ni sitaki nataka tu, hiyo ishu ndoogo saana kwa mtu asiyetaka, una mwambia mazungumzo ya mtoto, akileta ujinga unapiga block, mchezo kwisha..

Tunaowajua wanawake hapo tunasema muda wowote ule kiporo kinapashwa.

Kuwa na msimamo, wanaume sie waduwanzi, atakukula akuharibie kwa mumeo kisha akuache kwenye mataa
 
Au baba mtoto karudisha majeshi? Maana ulisema ndoa ya miaka 2 unatamani utoke hutamani hata kumuona akisafiri unatamani asirudi. Kumbe kuna baba mtoto huku nae anasumbua. Huku mr nae kaacha kutoa huduma ya tendo maana umempa ukweli mchungu kua hawezi. Ssa si ndo atajua mnakulana na baby dady wako wa zamani
Hyo picha ni yako ??
 
Huyo mbuzi hapo kwako anataarifa kama una mawasiliano na mbuzi nyenzie. Mbaya sana kila namba ikijiinua block kabla hakikisha una mawasiliano na ndugu zake kwa ajir ya mtoto aje awajue ndugu zake upande huo ili siku moja wasije kuoana.
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Duuh
 
Huyu mzazi mwenzangu sielewi anatatizo gani.

Ni miaka 8 tangu tumeachana tena sio kuachana aliniaacha kisa kapata mchumba mwalimu mi kwa wakati huo nilikua jobless na mimba ya miez 6 nikarudi home. Baada ya miaka 3 nikaolewa sasa alivyogundua nimeolewa akaanza usumbufu mara nataka mtoto wangu, mara anapigaa usiku.

Nikaona isiwe tabu nikamwambia mtoto wako akimaliza la saba atakua kajitambua nitakupa nikamblock. Tumekaa miaka 3 bila mawasiliano yoyote kuhusu mtoto juzi kati kanitafuta namba mpya anaitaarifu babu yake mtoto kafariki nikampa pole.

Anadai naomba niwe naongea na mtoto kwenye cm yan nimruhusu apray part kama baba nikasema Sawa ila uwe na heshima mimi ni mke wa mtu.

Sasa ana choniuz akikusalimia kidogo mara mr wako ajambo. Mara nikiweza profile ya mr anaichukua yan maongez sio ya mtoto tena ni mimi na mr wangu. Anashida gani huyu mbuzi? Simpendi namchukia sababu kwanza aliniaacha kwa madharau.

Mbona mimi simfatilii japo aliniambia bado hajaoa? Yaani nikiweza picha profile anauliza hapo ni kwako?
Yaleyale! Huyo jamaa atapewa mzigo siku siyo nyingi, ndoa ya Mr ipo mashakani!

Ngoja niende kwenye ule Uzi wa kujadili mabikra🏃
 
Haya wale mlio sema singo maza haoleki oneni shuhuda alietulia na kakaza msimamo wake hamna cha kiporo kupashika wala nini.

Saaasa game tunaligeuza kwenu wanaume

Mkikataa kulea mkaikimbia mimba,mkome kuwasumbua

NB: huyo mbuzi 😄anaumia anajua alipokuacha ungetetereka zaidi ya alivokuacha, so anatafta option ya kuku weka chini zaidi ya ulikokuwa.
Weweee huyo siku chache zijazo analiwa.
 
Back
Top Bottom