Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #81
SEHEMU YA 53
Kichwani akiwaza kumiliki laki tano upesi upesi!!!
Mlango ukafungwa!! Tembo akajipekua na kutoa kitita!!
“Hebu zihesabu hizi ni ngapi..”
Brenda akapokea….. akajikita katika kuhesabu. Hili lilikuwa kosa la jinai….
Zile pesa badala ya kunukia kibenkibenki zikawa zinatoa harufu ya marashi ya Mamamia.
Matamanio ya kuwa na Mamamia yakaanza kumpanda Brenda. Akajaribu kujizuia lakini hakuweza… mwishowe akakoma kuzihesabu zile pesa.
Tembo akafanya tabasamu lake kama kawaida kisha akatumia fursa ile kutimiza kile alichokipanga katika kichwa chake!!
“Brenda….” Akamuita kwa sauti yenye kitetemeshi cha amri fulani hivi. Brenda akamkazia macho tu.
“Una maamuzi ya aina mbili hadi sasa…. Wewe kwanza na kisha dada yako…”
Brenda akashtuka kusikia vile.
“Maamuzi gani tena jamani…..”
“Kuna mtu aliwapiga picha tena sio picha moja ni picha nyingi tu…”
“Picha? Picha gani?”
“Brenda… hujui kuhusu picha tena…. Si picha wewe na dada yako….”
“Ndio mimi na dada thatha picha dhipi….”
“Mkiwa mnafanya mapenzi…” Tembo akajibu!!
Hamu zote zikamwisha Brenda ghafla…. Akatamani kujizika lakini hakuweza. Akatumbua macho..
Tembo akatoa kile kicheko chake lakini safari hii hakikumvutia Brenda…
“Nani amekwambia Hathani eeh nani? Na alitupiga picha nani?” alihoji Brenda huku hofu ikionekana wazi machoni pake.
“Mi mwenyewe sijui hata nimeziona kuna mtu anazo nikaziiba….”
“Zipo wapi kaka..”
“Unataka kuona mlivyokuwa uchi mmekumbatiana..” maneno yalimtoka Tembo asijue ni wapi ameyapata…. Hakujua yu katika ulimwengu gani.
Brenda alichoka!!
Kichwani akiwaza kumiliki laki tano upesi upesi!!!
Mlango ukafungwa!! Tembo akajipekua na kutoa kitita!!
“Hebu zihesabu hizi ni ngapi..”
Brenda akapokea….. akajikita katika kuhesabu. Hili lilikuwa kosa la jinai….
Zile pesa badala ya kunukia kibenkibenki zikawa zinatoa harufu ya marashi ya Mamamia.
Matamanio ya kuwa na Mamamia yakaanza kumpanda Brenda. Akajaribu kujizuia lakini hakuweza… mwishowe akakoma kuzihesabu zile pesa.
Tembo akafanya tabasamu lake kama kawaida kisha akatumia fursa ile kutimiza kile alichokipanga katika kichwa chake!!
“Brenda….” Akamuita kwa sauti yenye kitetemeshi cha amri fulani hivi. Brenda akamkazia macho tu.
“Una maamuzi ya aina mbili hadi sasa…. Wewe kwanza na kisha dada yako…”
Brenda akashtuka kusikia vile.
“Maamuzi gani tena jamani…..”
“Kuna mtu aliwapiga picha tena sio picha moja ni picha nyingi tu…”
“Picha? Picha gani?”
“Brenda… hujui kuhusu picha tena…. Si picha wewe na dada yako….”
“Ndio mimi na dada thatha picha dhipi….”
“Mkiwa mnafanya mapenzi…” Tembo akajibu!!
Hamu zote zikamwisha Brenda ghafla…. Akatamani kujizika lakini hakuweza. Akatumbua macho..
Tembo akatoa kile kicheko chake lakini safari hii hakikumvutia Brenda…
“Nani amekwambia Hathani eeh nani? Na alitupiga picha nani?” alihoji Brenda huku hofu ikionekana wazi machoni pake.
“Mi mwenyewe sijui hata nimeziona kuna mtu anazo nikaziiba….”
“Zipo wapi kaka..”
“Unataka kuona mlivyokuwa uchi mmekumbatiana..” maneno yalimtoka Tembo asijue ni wapi ameyapata…. Hakujua yu katika ulimwengu gani.
Brenda alichoka!!