SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Tunaendeleaaaaaaaa mpka iishe mara hii halafu tunashusha chuma kingine Kiapo Cha Damu kwa Damu Captain Chui Mchafu hii sio ya kukosa
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA TATU: Hapo mke mkubwa aliekuwa amejilaza kwenye kochi, anamtazama mume wake, anamwona yupo busy na TV, anamtazama na kumsikiliza mtangazaji alie kuwa anasoma vichwa vya habari za leo, ikiwepo habari ya tukio la, viongozi mbali mbali na watu mashuhuri, kula cha kula cha mchana na rais wa Zanzibar, Ikulu leo mchana. ENDELEA….

Mke mkubwa ana anatazama simu yake na kuanza kuandika ujumbe, “kwa kesho mchana itakuwa ngumu mume wangu, maana iki kibwengo kitakuwepo nyumbani, ila nitaongea na dada afanye jambo, ili tuwe wote usiku kucha” ndivyo alivyo andika Ashura, kisha akaituma kwenda Aziza, alafu akatulia kusubiri jibu.

Sekunde chache baadae ujumbe unaingia kwenye kimya kimya, kwenye simu ya mke mkbwa, nae anaufungua na kuona ni vikaragosi vinavyo tabasamu, na kufurahia, alafu ukafwata ujumbe mwingine, “hapo umenipatia, tena kesho kuna taharab, ila fanya kama nilivyo kuambia, hakikisha aigusi hiyo fala” ndivyo ulivyosema ujumbe huo.

Mke mkubwa anatabasamu, huku anandika ujumbe, “nani anataka kupakwa shombo, mtu mwenyewe sekunde tatu, yani toka nishike ujauzito sijawai kumpa ata mala moja, nimemwambia Doctor amekataza, sababu ya usalama wa mimba” aliandika Ashura mke mkubwa wa Idd, kisha akatuma kwenda kwa Aziza.

Hapo mke mkubwa anatulia kusubiri ujumbe toka kwa Aziza, huku anatazama kwenye TV, ambako sasa kulikuwa na habari ya tukio la afla ya chakula cha mchana, na viongozi mbali mbali wa ngazi za juu wa serikali.

Ujumbe unaingia kwenye simu ya mke mkubwa, yani Ashura ambae aonyeshi uharaka wowote, anajifanya kama anatazama muda kwenye simu yake, kisha anafungua ujumbe, “hivi mke wangu, itakuwaje huyo jamaa akijuwa kuwa awa watoto siyo wa kwake?” ilikuwa ni messeji toka kwa Aziza.

Mke mkubwa anajibu kwa kifupi, “ata nipa taraka yangu” kisha akautuma, na wakati hii inenda na wakati huo huo ukaingia ujumbe mwingine toka kwa Aziza, nae akaufungua mala moja, “kabla ajamaliza kuandika taraka nitakuiwa nimesha pelaka mahari nyumbani kwenu” aliandika Aziza, akiweka na vikaragosi vya kufurahia jambo.

Hapo mke mkubwa anamtazama mume wake, ambae amtoa macho kwa umakini mkubwa kufwatilia tukio la kwenye TV, ni kama kunakitu cha kushangaza anakiona kwenye TV, na yeye anatumia muda huo kujibu ujumbe, “nitafurahi kuwatambulisha watoto baba yao harisi, ila hakikisha tunaenda kuishi bara” nae anaituma kwa Aziza.

Hapo hapo inakuja sms nyingine toka kwa Aziza, “ondoa shaka, kuamia bara ni lazima, tukibakia hapa anaweza kwenda donge kwa Adui” mke mkubwa anajibu kwa haraka, “umeona hen, au anaweza kuwaloga watoto wetu” kisha anatuma kwa haraka na kuandika ujumbe mwingine, “tuta chati baadae nipo nae sebuleni” kisha anautuma kwenda tena kwa Aziza, kisha anaweka simu pembeni na kutazama TV, ili aone kile anacho kishangaa mume wake.*******

Jang’ombe kwa soud, pakiwa na dalili za shamla shamla za sikukuu ya eid kubwa, kama mitaa mingine, sauti za music wa aina mbali mbali, pamoja na quswida, zilisikika kwa sauti ya juu, watu walionekana wakiwa kwenye vibaraza vya nyumba zao, huku wamevalia mavazi ambayo walienda nayo matembezi.

Ilikuwa hivyo hivyo nyumbani kwa mzee Abeid Makame, ambako ukiachilia watoto wadogo watatu, na mama watu wazima wawili, yani mke mkubwa na mdogo, ni wakina Mariam na Zuhura peke yao ndio walikuwa wamevalia nguo za mtoko, huku wameshikilia vifuko vya urojo, huku maongezi flani yakiwa yanaendelea, huku baba yao yani mzee Abei akiwa sebuleni anatazama taarifa ya habari toka kwenye television ya shirika la habari la Zanzibar.

“yani tumemwona mke wake mpya, ni mzuri huyo” alisema Zuhura, na Mariam akadakia, “tena amependeza aswaaa” alisema Mariam na Zuhura akaongea jingine, ambalo awakutaka kulisahau, ata kwa bahati mbaya, jambo ambalo waliamini kuwa, lita waumiza Radhia, na mama yake, “tena mke wake mkubwa anaujauzito” alisema Zuhura, kwa sauti ya kichochezi kweli kweli.

Ukweli kabisa, kama walijuwa vile, maana ili la mwisho lilimshtua mama Radhia, ambae kiukweli alijikuta anashtuka wazi wazi, na uso wake ukasinyaa kwa uzuni, maana alijuwa kinachoenda kumtokea binti yake baada ya kusikia habari hizo za mke mwenzie wa zamani.

Lakini wakati huo huo, ikasikika saitu toka ndani, ikiita kwa sauti ya juu, yenye taharuki ya mshangao, “mama Radhia!, mama Radhia!, njo haraka” ilikuwa ni sauti ya mzee Abeid.

Hapo siyo mama Radhia pekee, ambae ali inuka na kukimbilia ndani, maana mama Radhia alipoinuka tu mama Mariam nae anainuka na kumfwata nyuma mbio mbio, sambamba na wakina Mariam na Zuhura.

Ile wanafika ndani, wamawona mzee Abeid, akiwa ametoa macho kwenye TV, ambayo ilikuwa inaonyesha viongozi mbali mbali wakiwa na mheshimiwa rais, huku chini kukiwa na maandishi makubwa, “viongozi mbali mbali na watu mashuhuri washiriki chakula cha mchana ikuru Zanzibar, “ebu ona kwanza, yule kijana alie vaa kanzu ya bulue, siyo Mukhsin yule?” anauliza mzee Abeid, huku anaonyesha kwenye TV.

Wakati huo tayari wengine wote, walikuwa wametoa macho ya mshangao, kutazama TV, ambayo ilikuwa inamwonyesha Radhia akisalimiana na mke rais, huku pembeni yake akionekana Zahara, ambae pia alisemeshwana rais, huku Mukhsin akiwa amesimama karibu ya kijana mmoja mrefu mweusi kiasi, alie valia kanzu inayofanana na ile ya Mukhsin, pia walionekana mawaziri watatu, wa serikali ya mapinduzi, wakiwa pamoja nao, wote walionekana wakiwa wenye furaha kubwa.

Hakika macho yaliwatoka wakina Mariam na mama yao, huku sura zao zikionekana kujawa na mshangao, chuki na butwaa ya wazi kabisa, huku wanatazama tukio la pili Radhia akisalimiana na wake wa viongozi mbali mbali, na hapo ndipo mzee Abeid alipo mtambua binti yake, “he!, kumbe huyu ni Radhia yupo na Zahara?” anauliza mzee Abeid kwa sauti yenye mshangao, huku anamtazama mke wake aliekuwa ameachia tabasamu pana la furaha.

“mama Radhia, mbona huku niambia kama watoto wanaenda Ikuru?” aliuliza mzee Abeid, kwa sauti ya mshangao, “ata mimi awakuniambia, walisema rafiki ya amewaambia kuwa kunasehemu wamealikwa” alisema mama Radhia, “ok! ndiyo huyo ulie niambia, au ndiyo huyu alie vaa sale na Mukhsin?” anauliza mzee Abeid ambae kiukweli alionekana kujisikia rah asana.******

Nyumbani kwa bwana Idd, wakati huu, hali ilikuwa ya mshangao kuliko ile ambayo ilikuwepo nyumbani kwa mzee Abeid, “mbona kama yule ni Radhia” aliuliza mke mkubwa wa bwana Idd Kiparago, huku ametoa macho kwenye TV, “ndiyo nashangaa hapa, au wanafanana tu” anajibu Idd, lakini bado aikai akilini.

“mbona nawaona wadogo zake, au nao wamefanana?” anauliza mke mkubwa wa bwana Idd, huku wanamtazama Radhia na wadogo zake, ambao ukiachilia kupendeza kupita kiasi kwa Radhia na wadogo zake, na usamani wa mavazi waliyo yavaa, ila kikubwa ni vipi wamearikwa Ikuru, na yule jamaa alie vaa sale na Mukhsin ni nani.

Hakika aikuwa nzuri kwa Idd, wala mke wake, wote walijikuta wanaichukia taarifa ya habari, na wanaichukia TV kwa ujumla, “sasa pale amefwata nini?” anauliza Idd kama bwege, huku akionyesha hasira za wazi, kama vile Radhia ni mke wake na ameenda sehemu bila kuaga. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA NNE: Hakika aikuwa nzuri kwa Idd, wala mke wake, wote walijikuta wanaichukia taarifa ya habari, na wanaichukia TV kwa ujumla, “sasa pale amefwata nini?” anauliza Idd kama bwege, huku akionyesha hasira za wazi, kama vile Radhia ni mke wake na ameenda sehemu bila kuaga. ENDELEA….

Inatafsiriwa mke kubwa, kuwa ni wivu wa mume wake, “kwani inatuhusu, si yeye na maisha yake” anajibu kwa hasira mke mkubwa, akionyesha kujawa na wivu, kutokana mwonenekano wa mume wake, na jinsi alivyo lipokea tukio la kwenye TV, ambalo linamwonyesha Radhia akiongea na mke wa rais huku wakitabasamu na kucheka kwa furaha, pamoja na wake za viongozi wakubwa wa serikali, na wafanya biashara wakubwa pale kisiwani.

Idd anakaa kimya anaendelea kutazama television, lakini kichwani mwake anaanza kuhisi kuna likurupuka kufanya maamuzi, yani ni nikama vile aliharakisha sana kutoa taraka kwa Radhia, pengine angemvumilia kama ambavyo aliwai kufanya kwa mke wake mkubwa, angekuja kushika mimba hapo baadae, “alafu kama watoto ninao atakama azai, si ningemwacha tu, awe wa kuniburudisha” aliwaza Idd, huku anaendelea kutazama habari, ambapo sasa ilikuwa inaanza habari nyingine.*******

Nyumbani kwa mzee Abeid, wake wawili wa mzee Abeid wanaonekana wakitoka nje ya nyumba na kuja kukaa kibaradhani, wakiongozana na watoto wao na wajukuu.

Hali ilikuwa tofauti kidogo, wakati mama Radhia akiwa ametakata kwa uso wa tabasamu, huku mke mkubwa na mabinti zake, yani Mariam na Zuhura, walionekana wakiwa wamekunja sura msinyaiko wa ukosefu wa amani na upotevu wa furaha nyingi mwilini.

“kuanzia leo, nisimsikie mtu ananiambia sijuwi mpendane, msi baguane” alisema Mariam kwa sauti iliyoojaa hasira kali sana, kiasi cha kumshangaza mama Radhia, “kwanini unasema hivyo Mariam, kwani unafikili ni vizuri kubaguana, wakati nyie ni familia mmoja?” anauliza mama Radhia huku anamtazama Mariam alieonekana kufura kwa hasira.

Mariam akujibu swali ilo, lakini lilijibiwa na mama yake, “undugu gani, mtu anajiondokea bila ata kukumbuka wadogo zake” anasema mama Mariam ambae anaonekana kuwa nayeye amekasirishwa na jambo lile.

Inamshangaza mama Radhia, ambae anamtazama mke mwenzie kwamacho ya mshangao, “dada, lakini si unafahamu kuwa wakina Mariam nao walikuwa na matembezi yao, tena niliwasikia wanapanga toka asubuhi” alisema mama Radhia, na hapo Mariam na Zuhura wanaikumbuka safari yao, ambayo walienda kuliwa kitumbua tena bila kunufaika lolote katika kunyanduana, maana awakufaidi chochote, kutokana na uchovu w amakumaliza mapema wa wapenzi wao, zaidi waliambulia vijifuko vya urojo kama watoto wadogo.

Hasira zinazidi kumkaba Mariam, ambae nusu atoe tusi kwa mama yake mdogo, lakini kabla mtu yoyote ajajibu lolote, wanashangaa mwanga mkali wa taa za gari unaibuka kwenye kona, mita chache toka nyumba yao ilipo.

Wote wanakumbuka kuwa jana wakina Radhia walikuja na taxi, yani gari la kukodi, na leo pia walifuatwa na gari lakukodi pia, hivyo wanatazama gari ilo, kila mmoja moyoni mwake akiwaza anavyo waza mwenzie, lakini katika hali tofauti.

Wakati mama Radhia anawasubiri kwa hamu watoto wake, huku mama Mariam na watoto wake, wanazidi kujawa na chuki na hasira, wakiombea kuwa wanao letwa na gari, wasiwe wakina Radhia.

Gari linakuja taratibu na kusimama mbele ya nyumba yao, yani mita chache toka kwenye kibaraza, anashuka dereva mmoja na kwenda kufungua mlango wa abiria wambele, huku mlango wa abiria wa nyuma ukifunguliwa kwa ndani, na wakina Mukhsin na Zahara wanashuka, kama ilivyokuwa kwenye mlango wa abiria wambele, ambako alishuka Radhia, wote wakiwa wametawaliwa na tabasamu.

Tofauti zao ni kwamba, wakina Zahara walishuka na mifuko mikubwa iliyo tuna na kujaa zawadi toka ikuru, kasoro Radhia pekee ndie alie kuja bila zawadi, lakini kwenye mkoba wake kulikuwa na elfu hamsini, ambayo alipewa kwaajili ya matembezi ya kesho mchana, ikiwa ni mwendelezo wa sikuu ya eid, ambayo usheherekewa siku nne.

Watoto wadogo yani wakina Khadija, wanamkimbilia mwenzao Zahara, maana licha ya mtengano na migongano ya kifamilia, ila watoto walikuwa wanacheza pamoja mala zote, na Zahara alikuwa anatumia nafasi kama dada kubwa kwa wadogo zake, kucheza nao vizuri kuwasimamia katika michezo na vitu vingine ambavyo dada mkubwa anaweza kufanya kwa wadogo zake, kutokana na umri wao.

Mariam na Zuhura wanatoa macho ya hasira na chuki, kumtazama Radhia, ambae alikuwa anaagana na dereva, “mwambie tumefika salama” alisema Radhia wakati dereva anaingia kwenye gari, “sawa mama nita mweleza, ila pia na wewe itakuwa vyema ukimpigia simu” alisema dereva, kabla ajaondoka, na Radhia akapanda ngazi kibaradhani.

Radhia anakaa kwenye mkeka, karibu na mama yake, kisha anasalimia “asalam aleykum” anaitikia mama yake, “aleykum salaam” wengine wote wanakaa kimya huku wamekunja sura zao kwa hasira,

Wakati huo tayari Mukhsin, alikuwa ameshaingia ndani, akimwacha Zahara anagawa baadhi ya zawadi kwa ndugu zake wadogo, hakika ajawai kuwa mchoyo kwa watoto awa, ambao kimpangilio wa familia ni watoto wake.

Mukhsin anapofika sebuleni anamkuta baba yake anaendelea kutazama taarifa ya habari, kwanza anapokelewa na tabasamu pana sana, “asalam aleykum baba” anasalimia Mukhsin, “aleykum salaam, ebu kaa hapa kwanza” anasema mzee Abeid kwa sauti yenye uchangamfu mkubwa sana, hukuanamwonyesha kijana wake akae karibu yake.

Mukhsini anakaa kwenye kochi, karibu kabisa na baba yake, “aya nipe habari za huko Ikuru, ilikuwaje mpaka mkapata mwaliko, na huyo rafiki yako ni nani aswa” anasema mzee Abeid, ambae alionekana anahamu kubwa ya kusikia.

Mukhsin anaanza kumsimulia baba yake kuanzia mwanzo wa kufahamiana na Edgar, japo ilikuwa kwenye mazoezi, lakini alianza kuwanae karibu, baada ya kumwona kuwa Mukhsin hakuwa na viatu vya mazoezi wala mechi, ila alikuwa mwenye juhudi na kujituma mchezoni, na yeye kujitolea kumletea viatu, na baadae kukutana na wakina Radhia, na kuzidi kuwa nae karibu.

Mukhsin akumficha baba yake jambo ata moja, kuhusu kijana huyu, ambae leo ndiyo wamegundua kuwa ni barozi wa #Mbogo_Land hapa Zanzibar, na ndie alie waarika Ikuru, kama wanafamilia.

Mukhsin alimweleza baba yake, jinsi Edgar alivyo toa ahadi mbele ya rais kwamba atampeleka #Mbogo_Land kusoma na kucheza mpira, ikiwa ni mala ya pili, kutoa hiyo ahadi.

Pia akamweleza jinsi rais alivyo ulizia kuhusu yeye, na kwamba waziri wa elimu alimtambua mala moja, baada ya kutajiwa majina yake na Radhia, pia akamweleza jinsi rais alivyo toa maagizo kuhusu yeye mzee, kwamba apelekewe taarifa zote kuhusu yeye, ni sababu ya elimu yake ya mimea na viumbe hai.

Hakika ni taarifa ambazo, zilimfanya mzee Abeid ajihisi yupo ndotoni, alitamani kumwita Radhia, amwelezee kuhusu jambo ili, lakini akaona itakuwa aibu kwa yeye kuuliza kuhusu matembezi ya binti yake, cha msingi ni kusubiri mpaka siku mbayo atapokea taarifa nyingine. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA Jamii Forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ISHIRINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA TANO: Hakika ni taarifa ambazo, zilimfanya mzee Abeid ajihisi yupo ndotoni, alitamani kumwita Radhia, amwelezee kuhusu jambo ili, lakini akaona itakuwa aibu kwa yeye kuuliza kuhusu matembezi ya binti yake, cha msingi ni kusubiri mpaka siku mbayo atapokea taarifa nyingine. ENDELEA….

Wakati huku ndani, mzee Abeid akionyesha mwenye furaha, akiongea na kijana wake akimsisitiza kusoma na kufanya mazoezi, ili aweze kupata nafasi hiyo ambayo inaweza kumletea fedha nyingi na kufanya maisha yao yawe bora, ukichukulia ni kwamba, ligi ya mpira wakikapu ya #Mbogo_Land, ni moja ya ligi kubwa duniani za mchezo huo, inayo lipa vizuri wachezani wake, wanao shindana na wachezaji wa soka wa ligi nyingine duniani kote.

Huko nje mambo yalikuwa tofauti kidogo, maana mpaka sasa, kulikuwa na sura mbili tofauti, wakati mama Radhia na binti yake Radhia, na wakiwa kwenye furaha, kama walizokuwa nazo wakina Zahara na wenzie wakina Khadija, walio kuwa wanachezea wanasesela na kujilia pipi na biscuit walizo letewa kama zawadi toka ikuru.

Mama Mariam na mabinti zake, walikuwa katika sura zilizovimba kwa chuki na hasira, huku roho zao zikitumbukia nyongo na kutema sumu kwenye mioyo yao na kuzidisha chuki.

Asa wanapo mtazama Zahara, aliekuwa anawcheza na wale watoto wa kaka yao na yule wa dada yao, wakichezea ile midoli, na kujilia biscuit, kila mmoja akiwa amepewa vya kwake, tena kwa usawa, huku yule wakiume akiwa amepewa mpira wa miguu na kinanda cha kupuliza kwa mdomo.

Hakika Mariam na Zuhura, walitamani kwenda kumzaba vibao Zahara na kumnyang’anya kila kitu, nikama waliona hakustahili kuwa na vitu vile, “kwahiyo mpakaa mnatoka hapa, hamkuwa mnajuwa mnako enda?” aliuliza mama Radhia akiwa mwenye shahuku, “yani tulishangaa tunashusha nje ya geti la ikuru, polisi akatufwata mnataka nini nyie” aliongea Radhia akiigiza sauti nzito, huku wakicheka kwapamoja yeye na mama yake.

Haikuwapendeza wakina Mariam, ata kidogo, “yani nilishangaa jinsi mke wa rais alivyo nichangamkia, mwanzo alizania mimi ni mke wa Edgar” alisema Radhia huku usowake ukionekana wenye furaha ya wazi kabisa, wote wakacheka, yani yeye na mama yake, “sasa ikawaje?” aliuliza mama Radhia, “hapo ndio ikaja ya mwaka” akasema Radhia, na kuwafanya wakina Mariam, watege masikio bila ata kupenda.

Radhia akasimulia jinsi ilivyokuwa kuanzia kuarikwa ikuru, kwamba awe anatembela mala kwa mala, mke warais akizania kuwa Radhia anaishi nyumba moja na Edgar, akamweleza jinsi rais alivyo mwambia kuwa, awajaowana ila tunategemea kuwa watafunga ndoa, “sasa allivyo pambisha ndio ungecheka, kwamba tutafanya sherehe kubwa na watauzuria viongozi wengi kama walivyo uzuria leo” alisema Radhia na kumfanya mama yake acheke tena, japo ilifurahisha nasiyo kuchekesha.

“kwani huyo mwanaume anafanya kazi gani, na atakuja lini kujitambulisha hapa nyumbani?” aliuliza mama Radhia, na hapo Radhia akamtazama kwa macho ya mshangao, “mama na wewe, yani unakuwa kama hao waliozania kuwa Edgar ni mume wangu, yeye ni rafiki wa Mu, tena amemsisitiza asome ili akacheze mpira #Mbogo_Land, na rais amemsisitiza aswaaa” alisema Radhia.

Na hapo kikafwata kicheko cha dharau toka kwa Mariam, “usije kuwa mume wa mtu, maana siyo kwa kuficha huko” alisikika Mariam, akiongea kwa sauti ya chini, iliyo jaa chuki na gubu, iliyojaa dharau na wivu.

Hapo Radhia na mama yake awakuongea tena, zaidi ya Radhia kuinuka na kuingia ndani akiwakuta baba yake na Mukhsin, wakiwa sebuleni, wanaendelea kutazama habari za michezo, anasimama na kusalimia, “asalam aleykum” alisalimia Radhia, kwa sauti tulivu, “aleykum salaam, hongereni naona leo mmekutana na rais” alisema mzee Abeid akionekana mwenye furaha kubwa, “asante” alishukuru Radhia kwa sauti yenye aibu, maana alisha juwa baba yake amejuwa vipi.

Radhia anatembea kuelekea chumbani kwake, huku kichwani mwake akijisikia furaha kubwa sana, maana ata furaha ya baba yake aliiona wazi wazi, akajuwa ni kwamba baba yake alisha simuliwa kila kitu na Mukhsin, ila tu anashindwa kumuuliza yeye, ni kutokana hisia mbaya za urafiki wake na Edgar, ambao kila mtu anauhisi kuwa ni wakimapenzi.

Radhia anawaza mengi sana akiwa anaoga, aliendelea kuwaza ata wakati akiwa kitandani, na mambo ambayo aliyawaza ni jinsi alivyo pewa heshima, kutokana na kuhisiwa kuwa ni mchumba wa barozi Edgar.

Ukweli ni kwamba, Radhia alitamani kama ingekuwa kweli, yeye kuwa mchumba wa Edgar, maana ukiachilia heshima aliyopewa kwaajili ya kijana huyu, na mwonekanano wa kijana huyu ambae kila mwanamke anatamani kuwa nae.

Pia yeye mwenyewe alikuwa anemtamani kuwa mpenzi wa kijana huyu, kuna wakati alijikuta anawaza mpaka anaingia kwenye matamanio ya mwili, na kutokana na upwiru aliokuwa nao alijikuta anaenda mbali zaidi, akijiapiza kuwa, endapo Edgar angemeomba wanyanduane, yeye angekuwa tayari.

Japo Radhia, alikuwa anafahamu fika kuwa, kitendo cha kunyanduana bila ndoa, ni kosa katika dini, na ni aibu katika jamii, lakini yeye alikuwa tayari kufanya hivyo, na kijana huyu, ambae siyo ameonyesha kuwajari yeye na wadogo zake, na kumrudishia amani na furaha yake ya zamani.

Pia ni kijana ambae heshima na hadhi yake ilikuwa vigumu sana, kuwa karibu na mwanamke kama yeye ambae amepewa taraka na muuzaji wa vifaa vya umeme vilivyo tumika, yani used, kwa kumwona afai.

“akiomba nampa, ata kama aniowi, kwanza tayari mimi ni mjane, alafu anaonyesha kutujari” aliwaza Radhia, ambae sekunde chache mbele anakumbuka kuwa kesho atoenda matembezi na kijana yule, amesema anaitaji kufanya mazoezi.

“mh!, ni kweli anataka kufanya mazoezi au anataka kukutana na mpenzi wake” aliwaza Radhia ambae alijishangaa kuona anaingiwa na wivu, “hapana aiwezekani, kwanini akusema tuende wote kwenye mazoezi, kwani nilimwambia tunataka kwenda kutembea” anawaza Radhia, ambae baadae anajipa majibu na kujiuliza maswali mengi magumu.

“lakini akuwai kuniambia ata siku moja twende mazoezi, isitoshe mimi sichezi mpira” anawaza Radhia, ambae mwisho anajikumbusha jambo, “lakini kwanini nawaza hayo yote, wakati mimi siyo mpenzi wake wala mke wake” lakini aisaidii kitu, Radhia anawaza mambo mengi, mpaka alipopitiwa na usingizi .*****

Saa tatu na robo, ndiyo mida ambayo Amina alifika nyuki club, ambako alimkuta Siwema, akiwa na mchepuko wake, yeye moja kwa moja, akaa karibu na Siwema, kisha akaanza kushambulia bia, “ebu niambie, zile picha na video ni zakweli au ni editing?” anauliza Amina, kwa sauti ya chini yenye ulevi wa hali ya kati.

Amina anaanza kwa kushusha pumzi nzito, utazani ametoka kubeba mzigo mzito, “ndugu yangu, ata mimi nilizania naota au namfananisha” alisema Amina, ambae akuishia hapo, “kwanza alipendeza, siunajuwa ndugu yako alivyo na shep nzuri, na ile rangi yake, ilivyo endana na gauni sasa” aliongea Amina kwa kupambisha maneno, na kumfanya Radhia ahisi kitu kama mwiba kina mchoma moyoni. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA SABA: Iliwashangaza pia, lakini akuna alie uliza, zaidi ya kukaa mezani na kupata chai, na walipo maliza, wakabakia pale kibaradhani kama kawaida, Radhia alikuwa ametulia anawaza kuhusu Edgar, mama yake anaongea na mke wenzake, Mariam na Zuhura wanaangalia picha kwenye simu, huku wanasifia safari yao ya jana mchana. . ENDELEA….

Wakati huo huo Zahara alikuwa anacheza na wakina Khadija, kila mmoja akiwa vitu vyake, ni vile alivyo kuja navyo Zahara toka ikuru, wakati huo tayari Zahara akiwa amesha mkumbusha dada yake, juu ya mtoko wao wa mchana, maana walishuhudia Edgar akitoa fedha ya wao kwenda matembezi.

Na huo huo ndio wakati ambao, Siwema, yani mama Khadija alifika pale nyumbani, akiwa amevalia mavazi nadhifu ya heshima, yani gauni refu, na hijab yake nzuri, usingezania kama ndie yule ambae, jana usiku alikuwa na mchepuko pale nyuki club.

Siwema alisalimia vizuri kabisa, japo alionekana kuwa na sura yenye haira na chuki, kitu ambacho kila mmoja alikiona, mwonekano ambao uliwafurahisha sana wakina Mariam na Zuhura, ambao walitulia wakisuburi dada yao akiamshe.

Bahati nzuri Siwema akuchelewa kulitoa la moyoni, “mama mdogo, nazani wewe ndiyo panda sana kusemaga kuwa, tuache utenganifu, na kwamba tuna msimanga Radhia bila sababu” alisema Siwema, huku akimkazia macho mama Radhia, ambae alikuwa anamtazama kwa mshangao, maana akutegemea kuambiwa lolote juu ya utenganifu, kwa siku ile.

“ona sasa, jana Radhia ameenda ikuru na wadogo zake tu, awa wengine kuwaona?” aliuliza Siwema, ambae alikuwa na mambo mawili moyoni mwake, moja likiwa ni kwanini Radhia aende ikuru, kwani yeye ninani, na pili yule kijana alie kuwa nae ni nani, na kwanini awe nae, japo pia ilimuuma kuona wakina Zahara wameenda ikuru, na mtoto wake ajaenda.

Mama Radhia anamtazama Radhia, nikama anamtaka ajibu yeye, “afadhari dada uongee wewe, maana sisi wengine tukiongea tunaonekana wabaya, na hatuna nidhamu” alisema Mariam, ambae nakukumbusha tu, yakuwa amepishana mwaka mmoja wa kuzaliwa na Radhia.

Kabla Radhia ajajibu Zuhura akadakia, “aliona akienda na sisi tafaidi, alitaka aje kututambishia” hapo Radhia alijikuta anatabsamu huku mama yake akizuwia kicheko, huku anamtazama binti yake Radhia, “dada Siwema, toka juzi watoto wanatoka Mariam na Zuhura, ata jana wakasema wanatoka tena, na wewe ndivyo ulivypopanga, ningewezaeje kutoa maamuzi mengine wakati tayari walikuwa na mingango yao” alijibu Radhia, kwa sauti tulivu yenye nidhamu.

“muone kwanza, anavyo jitetea uongo, kwahiyo ulishindwa kuwaambia kuwa wasitoke na watoto, kwamba unataka kutoka nao?” aliuliza Siwema ambae alionekana wazi kujawa na hasira na shuki, “dada nawezaje kuwazuwia watoto, wakati wewe mwenyewe ulisha toa maagizo, wakati ulisha wai kuniambia maneno mabaya sana kuhusu mtoto wako, isitoshe ata mimi mwenyewe mpaka natoka hapa nyumbani, sikujuwa huo mwaliko ulikuwa wa wapi, na ata tulipofika kule tulikuta wamesha andaa vibeji vya watu watatu, hao wengine wangeingiaje” alisema Radhia.

Hapo nikama alimpandisha hasira Siwema, ambae ni dada yake na alimzidi miaka minne ya kuzaliwa, japo Radhia alitangulia kuolewa kwa miezi mitano, “unaona anavyoo jitetea kwa kukumbushia mambo ya zamani, au uliona itakuwa aibu wakimwona huyo hawara yako, unaiaibisha tu familia, au unazani huyo mwanaume anaweza kukuowa wewe mjene, lazima akuchezee kisha akuache” alisema Siwema.

Hapo wakina Mariam wakacheka kwanguvu, huku mama yao akiachia tabasamu pana la furaha, uso kaugeuzia pembeni, ili mama Radhia asione anavyo furahi, Radhia anashikwa na machungu ya moyo, aelewi hasira za dada yake zime toka wapi, “dada kuwa mjane aimaanishi mimi nimkosaji, wapo wanawake wapo kwenye ndoa, na wanatabia chafu kuliko wale ata wale walio achika” alisema Radhia kwa sauti tulivu ya upole.

hapo nikama alimtia kichaa Siwema, ambae kiukweli neno lile lilimfanya ahisi amesemwa moja kwa moja, “kwahiyo umeanza matusi Radhia, nani anatabia chafu, unazani ulitumwa kufanya mambo ya kutoa mimba, mpaka unakosa kuzaa, unazani huyo mwanaume atakupenda wewe mgumba” alisema Siwema kwa sauti ya kupayuka.

Inamuuma sana Mama Radhia, ambae anamtazama Radhia, ambae anaonekana kunyongea kidogo, maana nikama aligusa moyo wake kwa kuongea kitu ambacho Radhia mwenyewe alikuwa anakiwazia muda mrefu, “Siwema, mbona unaongea na mdogo wako, kama unagea na adui yako, isitoshe huyo kijana ni rafiki wa Mu, ambae amejitolea kumfadhiri masomo yake akifikia chuo” anafafanua mama Radhia, na kumfanya Siwema ashushe pumzi.

Nikweli alipoa kwa kugundua kuwa, yule kijana barozi, siyo mpenzi Radhia, maana katika vitu ambavyo vilikuwa vinamuuma Siwema, ni kuona mdogo wake huyo amepata mwanaume kama yule, ambae anavutia kila mwanamke, maana ata yeye licha ya kuwa na mume pamoja na mchepuko, lakini bado alitamani kuwa na kijana yule.

Siwema na wenzake wanatabasamu kidogo, “kumbe siyo mpenzi wake, ata mimi nilitaka kushangaa” ilimchomoka Siwema, akionekana kupata uafadhari kwa kusikia hivyo, ilimuuma sana Radhia, kwa kuona kuwa, dada yake na ndugu zake wanafurahi kwa yeye kutokuwa na mpenzi wa Edgar.

Radhia anashindwa kuongea kitu chochote, anahisi machozi yanaanza kumbubujika, lakini wakati huo huo simu ya Radhia mkononi mwake, inaanza kuita, moyoni mwake anapata afueni kwa kuona Edgar amepiga simu wakati anamwitaji sana, maana yeye ndie mtu ambae anaweza kumpatia faraja kwa muda huu.

Radhia ajisumbui kutazama simu yake, maana Edgar pekee ndie mtu ambae anampigia simu, au kumtumia ujumbe, baada yake anaipokea moja kwa moja, huku anainuka na kuingia ndani, “asalam aleykum” anasalimia Radhia, kwa sauti tulivu yenye kuficcha udhuni aliyonayo, huku anaendelea kutembea kuelekea chumbani kwake.

Baba yake akuwepo sebuleni, mida hii upenda kukaa uwani, na kujisomea kitabu cha riwaya za Mbogo, “hoooooo!, mambo Radhia, siamini kama umepokea simu yangu, kitambo sana sijakupigia kukujulia hali” Radhia anasikia sauti ya kiume iliyo changamka, toka upande wapili wa simu, “mh!” anaguna Radhia, huku anatoa simu sikioni na kutazama jina la mpigaji. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
ndo mwisho apo manana umeahid apo ni bandika bandua mpk mwisho na leo naona haujatuma kabisa inakuaje mkali
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: EDGAR MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.

TAHADHARI: Hadithi hii ya #ASALI_HAITIWI_KIDOLE inayo somwa na mtu mwenye umri wa kuanzia miaka 18 na kuendelea, ni hadithi yenye kisa chenye ubunifu kwa hasilimia mia moja, sehemu, mitaa na majina yaliyo tumika, siyo harisi, ni ya kufikilika, na ayausiani na kisa hiki.

Kama kuna tukio au kitu chochote kitafanana katika hadithi hii, na tukio la kweli, basi aikuwa dhamira ya mwandishi, kama utakuwa na maoni ushauri au lolote wasiliana na mwandishi wa hadithi hii, si luksa kunakiri au kubadiri hadithi hii kwa lolote, katika matumizi yoyote, pasipo kibari cha mwandishi kupitia whatsapp namba 0717924403 au 0743632247.

Naaaaaaam!, hadithi yetu inaanzia kisiwani Zanzibar, ilikuwa ni jumanne yenye shamla shamla za sikuu za eid ya mfungo mosi, hii ni eid Ahl hadji, moja kati ya kuku kubwa sana kisiwani hapa.

Kama ilivyo kawaida, kwa wakazi wa kisiwa hiki, siku ya leo ilikuwa na pilika nyingi sana, toka asubuhi walionekana wake kwa waume wakitoka msikitini, huku wamependeza kwa mavazi mazuri mpya yenye kuvutia, huku wanawake wakiongoza kwa kupendeza, wakifwatiwa na watoto.

Hakika leo ni siku ambayo, hasilimia kubwa ya watu, walionekana wakiwa wenye nyuso za furaha, arufu nzuri ya vyakula ilizagaa mitaani, na kushibisha pua za kila wapita njia na wakazi, sambamba na sauti za music wa kasiwida, zilizokuwa zinasikika toka kwenye nyumba za watu, kila kona ya mitaa, na sehemu mbali mbali za biashara, zikizidi kuing’alisha siku kuu hii, ambayo kwa huku kisiwani uwa inasherehekewa kwa muda wa siku mbili, mpaka nne.

Mida ya saa saba za mchana, tupo mtaa wa jang’ombe kwa Soudi, ni mtaa wapili, toka kituo cha Mchina mwanzo, barabara kuu ya kiembe samaki, kupitia uwanja wa Amani.

Mtaa umechangamka sana kama mitaa mingine ya kiswahili, wanaonekana watu wengi wa lika mbali mbali, yani watoto vijana na wazee, wakike kwa wakiume, waliokuwa wamevalia nguo nzuri na mpya za kupendeza, huku wanawake wakiwa wamejipamba zaidi kwa kuchora mikono yao mauwa mazuri kwa kutumia wino wa ina.

Pia wanawake wananukia vyema utuli wa udi, wameficha miili yao kwenye magauni mazuri aina ya baibuhi na habaya, huku vichwani mwao wakificha nywele zao kwa hijab, za rangi mbali mbali, zilizoendana na nguo walizovaa.

Lakini tofauti ilikuwa nyumbani kwa mzee Abeid Ally Makame, ambapo kwanza kabisa, tuna mwona mzee Abeid mwenyewe anatoka nyumbani, akiwa ameongozana na wake zake wawili, yani mke mkubwa, akiwa mwenye hasiri ya Africa bila chembe chembe yoyote ya uchotara, huku bi mdogo akionekana kwenye dalili ya mbali ya uchotara.

Wake wote wawili wa Abeid Makame, wakiwa wamevalia vizuri, magauni yao mapya na hijab zao, zilizo zidi kuwapendezesha, pamoja na viatu vyao vizuri vya mikanda, kama ilivyokuwa kwa mume wao, ambae ni mwalimu wa shule ya sekondari ya mwanakwelekwe A, alie valia kanzu yake nyeupe mpya, na baraghashia nzuri yenye rangi ya kanzu yake.

Chini alivalia makubanzi, (sendo) za kisasa, ya rangi nyeusi, huku hasiri ya mzee huyu akiwa ni mwafrika hasiria bila chembe chembe yoyote ya mshanganyiko wa hasiri ya taifa au kabila jingine toka nje ya bara la africa.

Lakini ukiwatazama vyema watu awa watatu, utagundua utofauti kati yao, asa katika mwonekano wa hali ya nyuso zao, maana wakati mzee Abeid akiwa katika hali ya kawaida, mke mdogo alionekana kuwa katika hali ya kukosa furaha, kwa kiasi flani, huku mke mkubwa akiwa mwingi wa tabasamu.

Wakati huo huo, kwenye kibaraza cha nyumba ya mwalimu Abeid Makame, wanaonekana watu watatu, wote wakiwa na hasiri ya uchotara japo ulikuwa umefifia, lakini uliwapendezesha, kati yao alikuwepo binti mdogo wakike mwenye umri wa kati ya miaka kumi adi kumi na moja, pia wakiume mwenye umri wa miaka kati ya kumi sita adi kumi na saba.

Walikuwa na dada yao, ambae umri wake, ni mkadilio wa miaka kati ya ishilini sita au ishilini na tano, aliekuwa anawasindikiza kwa macho baba na mama zake, huku uso wake ukiwa umenyongea kwa mawazo, nae pia kama wale watoto, alikuwa na hasiri ya uchotara, ambao licha ya kuwa ulio fifia, lakini uzuri wake ulionekana wazi wazi, kuanzia sura adi mwili wake, ata uzuni aliyonayo usoni mwake ilishindwa kuondoa uzuri wake wa hasiri.

Tofauti na wadogo zake ni kwamba, yeye alikuwa amevalia mavazi ya kawaida, ambayo japo yalikuwa ni masafi, na unaweza kuvalia popote katika siku za kawaida, pengine ata leo ndiyo aliyovaa msikitini, lakini ni wazi yalikuwa ya zamani, tunaweza kusema yalisha maliza eid moja au mbili kabla ya leo.

Ila pia licha mwonekano wa uzuri wake huo, akuwa amejipamba kwa chochote, kama wanawake wengine wahuko mtaani, ni kama wale watoto wawili, ambao mavazi yao licha ya kuwa masafi, ila pia yalionekana ayakuwa mapya, huku wote wakiwa wamekaa kibarazani, nyuso zao zimekata tamaa, macho yao yakitazama kushoto na kulia, yani kwenye barabara ya mtaa, ni wazi walitarajia kumwona mtu flani.

“kaka Mu, mbona rafiki yako mwenyewe aji sasa?” aliuliza yule mschana mdogo, wa miaka kumi na moja, huku anamtazama yule kijana wamiaka kumi na saba, ambae akujibu kitu zaidi ya kutazama kushoto na kulia, huku uso wake ukionyesha wasi wasi na kukata tamaa.

Dada mkubwa anawatazama wadogo zake, huku anawaona jinsi walivyo sawajika nyuso zao, “dada Radhia, mpigie kwanza umuulize mbona aji” anasema yule mschana mdogo, ambae ni kama alisha kata tamaa, au aliona anacheleweshwa jambo flani.

“Jamani Zahara, uwe mvumilivu kidogo, kwani na yeye binadamu eti, lazima ale akoge ndio aje” anasema yule mwanamke mkubwa, kwa sauti tulivu iliyolemewa na uchungu flani, ambae kwa matazamo wa kawaida, ni mzuri wa sura umbo na rangi ya ngozi yake, “alisema anakuja mchana, lakini mpaka sasa ajaja” alilalamika Zahara.

Zilisha pita dakika kumi, toka mzee Abeid na mke wake waondoke, sasa mlango mkubwa wa mbele unafunguliwa, wanatokea watu watano, yani wanawake wawili wakubwa, mmoja akiwa na umri wa miaka 24 na mwenzie akiwa na umri wa miaka 21, wakiwa na watoto watatu, wakike wawili na wakiume mmoja, ambao umri wao aukuzidi miaka sita, mdogo kabisa akiwa na mkadilio wa miaka mitatu.

Wote walikuwa wenye hasiri ya weusi, lakini awa dada wawili walikuwa wamejipamba wakapambika, na kufanya ule msemo wa usichague mke ngomani utimie, maana licha ya kuwa walikuwa ni wazuri kiasiri, na wenye kuvutia lakini siyo kama Radhia, huyu alie kaa hapa kibarazani, ila walizidi kupendeza kwa mapambo walivyo jiweka. ITAENDELEA…….
Mwandishi lugha ya kiswahili,imekupiga chenga,matumizi ya R na L,H na A,yamekupiga chenga.
 
Nimesoma tu aya moja ya kwanza nikaona nikushauri kwanza.....

Kama wewe ni mwandishi jitahidi kutumia lugha kwa ufasaha una makosa sana kwenye uandishi.

"Kubadiri" ni kubadili
"Shamla shamla" ni shamra shamra
"Harisi" ni halisi
"Hasilimia" ni asilimia
Nk nk nk

Bila shaka utaupokea ushauri kwa moyo mweupe.
Umemfahamisha vizuri,lugha ya kiswahili,imepiga chenga, mwandishi.
 
ndo mwisho apo manana umeahid apo ni bandika bandua mpk mwisho na leo naona haujatuma kabisa inakuaje mkali

HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA ISHIRINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE: Baba yake akuwepo sebuleni, mida hii upenda kukaa uwani, na kujisomea kitabu cha riwaya za Mbogo, “hoooooo!, mambo Radhia, siamini kama umepokea simu yangu, kitambo sana sijakupigia kukujulia hali” Radhia anasikia sauti ya kiume iliyo changamka, toka upande wapili wa simu, “mh!” anaguna Radhia, huku anatoa simu sikioni na kutazama jina la mpigaji. . ENDELEA….

Radhia anajikuta anaatoa macho kwa mshangao, huku anarudisha simu sikioni, “salama habari” anaitikia Radhia, kwa sauti yenye tadhari, huku anajiuliza sababu ya mtu huyu kupiga simu, “usalama utoke wapi, yani sikukuu hii, imenifanya nikukumbuke sana” ilisikika sauti ya mwanaume huyo, mwenye rafudhi ya watu wakisiwa hiki cha Zanzibar.

Huyo alikuwa ni bwana Idd Kiparago, mume wa zamani wa Radhia, ambae uongeaji wake wa kuchangamka ulimshangaza Radhia, maana ukiachilia kuto kuwasiliana nae toka siku alipopewa taraka, ila pia walisha kutana mala akdhaa njiani, na ata yeye alipomsalimia Idd akuwai kuitikia salamu yake.

Inamshangaza kidogo Radhia, ambae ajaelewa cha kupigiwa simu hii, na mume wake wa zamani, “anasemaje dada yangu, ajambo?” anauliza Radhia akimaanisha mke kubwa wa mume wake wa zamani, “yeye mzima, sema ujauzito wake wa safari hii, umejia vibaya kidogo” alisikika Idd, akiongea kwa uchangamfu.

Hii ni taarifa mpya kwa Radhia, ambae anakumbuka tatizo lake la kuto kushika ujauzito, anakosa amani kidogo, lakini anajikaza, “hooo!, mpe hongera zake” amaongea Radhia kwa sauti ya uchangamfu kama vile, akuwa anahisi chochote moyoni mwake, “naanzaje kumwambia, wakati sitaki ajuwe kama tumewasiliana” alisema Idd huku anacheka kidogo.

Hapo Radhia anacheka kicheko cha mguno, maana anashangazwa na maneno ya mume wake wa zamani, ambae mpaka sasa ajajuwa lengo la kumpigia simu, “kwanini sasa, kwani zambi kusalimiana, na wakati anajuwa umesha nipa taraka tena tatu?” anauliza Radhia, kwa sauti ya uchangamfu, huku bado amesimama sebuleni.

Hapo kinafwata kicheko cha kibwege, toka upande wapili wasimu, “siunajuwa anafahamu jinsi ulivyo mzuri, unazani atashindwa kuwa na wivu, mimi mwenyewe nimeshindwa kuvumilia, mpaka nimeamua nikupigie” alisema Idd na kumshangaza Radhia, ambae sasa alianza kuhisi kitu.

Lakini kabla ajaongea chochote Idd akamuwai, “sasa inakuwaje, baadae si unaweza kuja sehemu tuongee kidogo?” aliuliza Idd kwa sauti tulivu, ya kubembeleza, Radhia anatikisa kichwa kwa masikitiko, huku anaachia tabasamu pana la ushindi, maana alisha hisi mume wake wa zamani anaitaji nini kwake.

Ukweli ni kwamba, licha ya kuwa alikuwa anaitaji mtu wa kumbeleza, na pia alikuwa anahamu ya dudu, kitu ambacho siyo tu kukaa mwaka bila kupata, ila pia akuwai kuipata kisawa sawa, lakini siyo kwa mume wake huyo wa zamani, “hapana Idd, atuwezi kuonana, labda kama unamaongezi nikupigie uongee, nina salio la kutosha” ajibu Radhia, kwa sauti tulivu, yenye uchangamfu.

Hapo Idd anacheka kidogo, na weye unakuwa kama mtoto, maongezi gani ya kwenye simu, ebu fanya baadae tuonane bwana” alisema Idd, nakuweka wazi anacho itaji.

Ilimfanya Radhia atikise kichwa kwa masikitiko, huku sura yake inaonyesha kuchukia, lakini anajikaza kidogo, “baadae kuna sehemu naenda, sitoweza kuonana na wewe” alijibu Radhia, kwa sauti tulivu ya chini, akizuwia hasira zake.

Hapo nikama Idd aamini anacho ambiwa, “unaenda wapi bwana, ebu tukutane tukumbushiane jambo, mwenzio nimekumbuka sana mambo yako” alisema Idd kwa sauti ya kubembeleza, “mpuuzi huyu anammambo gani ya kufanya namimi” anawaza Radhia kwa hasira, akishindwa kutamka neno kwa Idd, ambalo lingemchukiza sana, nalo ni kwamba, Idd akuwa na chochote kitandani.

Maana ata alipokumbuka wakati anamchumbia, akiwa katika harakati za kwenda Dar es salaam kujiendeleza kimasomo, kwa ushawishi wa rafiki zake, ambao kwa sasa wapo huko, ndipo aliposhtuka akiletewa barua ya posa, toka kwa kijana ambae alisha wai kumkataa kimapenzi, nae akahapa kumpata kwa namna yoyote.

Ata baada ya kuingia kwenye ndoa, na kushuhudia kinachofanyika kitandani na mwanaume huyu, ambae alimwalibia mpango wa kwenda kujiendeleza kimasomo, ilibidi azowee na kuona kuwa ndvyo mambo yalivyo, japo alisha wai kusikia kuwa mwanamke uwa anafurahia tendo la ndoa na kukata kiu yake, kitu ambacho kwake akuwai kukishuhudia.

Ukweli ataleo anavyo pigiwa simu na Idd, akimtaka kwenda kukumbushia enzi za ndoa yao, inazidi kumchukiza Radhia, ambae kama ungemwona tu, unge gundua kuwa amekasirishwa na maongezi yale, maana Radhia alitafthiri kuwa, ile nidharau kubwa toka kwa Idd, ambae amemwona kuwa yeye afai kuwa mke na kumpa taraka, ila anafaa kuwa mchepuko, na ata kisema akampatie kitumbua, angeishia kumwacha na hamu zake.

Radhia anajikaza, asitukane wala kuongea neno baya, lakini anaamua kuondoa usumbufu, “nikweli siwezi kuja sehemu yoyote, naenda kukutana na mpenzi wangu” alisema Radhia akijuwa kuwa Idd angeacha dharau zake, “mpuuzi kweli wewe, mwanamke anae jiheshimu anaweza kutamka upuuzi kama huo, eti naenda kuonana na mpenzi wangu, bila ata aibu” alisema Idd kwa sauti yenye hasira.

Idd akuishia hapo “huyo ni mwanaume anaetaka kuni owa” alisema Radhia, akijuwa fika anadanganya, lakini sikusaidia kitu, “kwahiyo hiyo siku hizi umeanza ukahaba, umeacha kabisa kujiheshimu siyo, unawezaje kutembea na mwanaume ambae auna uhakika kama atakuowa, unanitia aibu sana, nasema jitaidi tuonane aiwezekani uwe na tabia za hovyo kama hizo, na nitakuja kwa baba yako kumweleza” alisema Idd kwa sauti ya ukali, akionekana amechukia kweli kweli.

Ilizidi kumshangaza Radhia, ambae sasa aliacha kukasirika na kushangaa matusi aliyokuwa anashushiwa, “samahani Idd, unaongea hivyo kama nani wangu, au umesahau kuwa mimi na wewe tulisha tarikiana, kwahiyo unaona niwe mchepuko wako, kuliko mimi kuwa na mume wangu?” anauliza Radhia kwa sauti tulivu ya taratibu.

Hapo nikama Idd alikosa jibu wala swali, japo akukaa kimya, “mimi na wewe bado atujamalizana, na uwezi kuolewa na mwanaume mwingine yoyote, ingali nipo hai” alisema Idd kwa sauti yenye hasira, ilimshangaza sana Radhia, ambae aelewi chanzo nini mpaka haya yatokee leo.

Radhia akaona nivyema akimaliza mjadara, “Idd naomba siku nyingine usinipigie simu kama hauna lamaana la kuongea, kumbuka mimi siyo mkeo, na wala atuna cha pamoja, atuja zaa wala atuja jenga kwa pamoja, niliondoka kwako na nguo zangu tu, unidai siku dai” alisema Radhia na kukata simu, kisha akaingia chumbani kwenda kujiweka sawa, maana uso wake ulikuwa na udhuni kiasi.

Lakini akiwa anajiweka sawa, mala akasikia simu yake inaita tena, mwanzo alijuwa ni Idd, lakini akakumbuka kuitazama ilikuona jina la mpigaji, asije kufanya kosa kama la mwanzo, “afadhari amepiga” anajisemea Radhia, huku anaachia tabasamu pana la furaha, ni mala baada ya kuona jina la mpigaji.

Radhia anapokea simu haraka, “asalam aleykum Edgar” alisalimia Radhia kwa sauti ya nyororo yenye kusikika vizuri na kuleta utamu masikoni mwa msikiliazaji, asa akiwa ni mwanaume, “aleykum salaam bi Radhia, habari za toka jana?” alisalimia mwanaume mwenye sauti nzito, toka upande wapili wasimu.

Radhia anajikuta anapata raha flani moyoni mwake, kiasi cha kuendelea kutabasamu, karibia kuchekelea, “nashukuru mungu, nipo salama, sijuwi wewe wajionaje na hali yako?,” alijibu Radhia, “kwasasa najihisi afadhari, maana nilikuwa na hofu juu yenu, auku nipigia simu, kunijulisha kama umesha fika nyumbani” alisema Edgar ambae daima uongea taratibu, kwa ie sauti yake nzito.

Sijuwi kwanini Radhia alijihisi raha zaidi, “niliogopa kukupigia nije kukugombanisha na mpenzi wako” siyo kwamba alikuwa na maana hiyo, ila ukweli ni kwamba, Radhia alimchokoza makusudi Edgar, kuona kama ata zungumzia mapenzi kuhusu yeye. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Bado tu 🚶
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA ISHILINI NA TISA: Sijuwi kwanini Radhia alijihisi raha zaidi, “niliogopa kukupigia nije kukugombanisha na mpenzi wako” siyo kwamba alikuwa na maana hiyo, ila ukweli ni kwamba, Radhia alimchokoza makusudi Edgar, kuona kama ata zungumzia mapenzi kuhusu yeye. . ENDELEA….

Lakini baada yake akamsikia Edgar anachaka, ni wazi alichukulia kama ni utani, “nilisha kuambia kuwa odnaoa wasi wasi juu yangu, ata kama ningekuwa na mke, lazima angejuwa kuhusu nyie, maana nyie nifamilia yangu kwa hapa unguja” alisema Edgar, lakini sijajuwa kwanini Radhia akupenda hiyo kauri.

Radhia alihisi kuwa ile ilikuwa ni mbinu ya kukwepa, na kwamba Edgar alikuwa na mwanamke wake, hivyo nae akaamua kumtega kwa maswali“kwa hiyo leo unafanyia wapi mazoezi?” aliuliza Radhia likiwa swali lenye mtego, ambao akujuwa ungezaa kitu muhimu kwake, “vipi unataka kuja kufanya mazoezi na mimi, mbona unauliza?” anauliza Edgar, kwa sauti yenye utani.

“nilitaka tuonane kuna kitu nataka nikuambie” Radhia aliongea bila kutegemea, “uwezi kuongea kwenye simu, maana nakumbuka leo unatoka na wakina Mukhsin, au sivyo?” anauliza Edgar.

Hapo Radhia anawaza kidogo, maana akiwaambia wakina Mukhsini kuwa wanaenda kwa Edgar, lazima wange mshangaa, sababu wanajuwa Edgar alisha wapa fedha ya kwenda kutembea peke yao, “nivyema tukikutana, nitatoka nao lakini tutaweza kuonana” anasema Radhia mpaka yeye mwenyewe anajishangaa, maana akutemea kuongea kama hivi, na ata akikubaliwa ataenda kuongea nini na Edgar.

“Sawa njooni, mimi nitafanyia mazoezi hapa nyumbani, mnaweza kuchukuwa taxi, nitalipia mkifika, nitakuwa nimeacha maagizo getini” alisema Edgar, na hapo radhia akajikuta anaachia tabasamu moja pana sana la furaha, utazani nikweli alipangilia kwenda kukutana na Edgar, au alikuwa nakitu cha kumweleza kijana huyu, “sawa nitakuja, maana ninaujumbe muhimu toka kwa mama na baba” alisema Radhia, utazania ni kweli alikuwa na ujumbe muhimu.

Waliongea mawili matatu kabla yakuagana nakukata simu, huku Radhia akibakia ameduwaa kwa sekunde kadhaa, anawaza kile alicho kifanya, kama ni sahihi au la, nakama ataenda Edgar, ata mwambia nini yule kijana, maana lengo lilikuwa ni kubaini kama atakuwa na mwanamke nae leo au la, japo angependa kuwa na Edgar, lakini siyo kwa kile alicho danganya.

Radhia alitazama mfuko wenye nguo zake mpya, akatabasamu na kuusogelea, kisha akatoa lile gauni jipya lililobakia na chupi moja, pamoja na sidiria, akaishika chupi na kuitazama kwa sekunde kadhaa, na kujikuta anatabasamu, “sijuwi alijuwaje kama itanitosha” alijisemea Radhia, huku anaweka nguo kitandani, akachukuwa elfu nne, na kutoka nje ya chumba, akionekana wazi kunakitu anaenda kununua.

Nje ya nyumba hii ya mzee Abeid palikuwa na maongezi ya kawaida, kila mmoja akiwa mwenye furaha, na mazungumzo yalikuwa ni kuhusu tamasha la music wa taarab, ambalo lingefanyika bwawani hotel, “mimi nitaenda rafiki yangu Amina” alisema Siwema, ambae katika ujaji wake hapa kwa wazazi wake aikuwa kwaajili ya kumchukuwa binti yake, ila inshu ilikuwa ni kuja kumsimanga Radhia.

Ile Radhia anatokea tu, siwema akaongea, “yani angekuwepo mume wangu ingekuwa safi sana, maana raha ya taarab uende na mumeo” alisema Siwema, na Mariam akadakia, na mume mwenyewe awe wakwako basi” hapo hakuna ambae akujuwa kuwa anaesimangwa ni Radhia, ambae alishuka ngazi na kwenda kuvaa ndala, lakini mama yake akajitutumua.

“Radhia umepata taarifa ya taharab?” aliuliza mama Radhia, na hapo Radhia akakumuka kuwa jana aliwasikia wale wake wa viongozi wakizungumzia kuhusu taharab, “nimesikia, lakini sijuwi kama nitaenda, kwani utaniluhusu” aliuliza Radhia, ambae kiukweli akuwa na wazo wala uwezo wakuhudhuria tamasha ilo, ambalo gharama zake zilikuwa kubwa kidogo.

Maana ukiachilia tiketi za kawaida kabisa, ambazo muhusika angebakia anacheza music bila kuwa na sehemu mahalum ya kukaa, hiyo kiingilio kilikuwa ni tsh elfu hamsini.

Ila pia kulikuwa na VIP B, ambayo ilikuwa na meza chache kumi na ishilini, kila meza ikiwa na viti vinne, ambapo muhusika angeandaliwa juice moja, chupa nne za bia, na chupa moja ya maji, na kitafunwa chochote kama ni karanga au maindi ya kukaanga, yani pup con, hii ungelipia laki moja.

Lakini pia kulikuwa na VIP A, ambayo inalipiwa lakini moja na nusu, hii ni kama VIP B, lakini meza mmoja ilikuwa na viti viwili tu, na juu ya meza kingeongezeka chakula kizuri cha mchanganyiko, yani chips nyama choma, au kuku, pia kungekuwa na cikolomwezo vinge kadhaa, ila vinywaji nikama VIP B.

“mama mdogo anazania kila mtu anauwezo wa kwenda bwawani, yani mchanganyiko ni elfu hamsini, VIP ni laki moja, kwa laki moja na nusu” alisema Siwema, akimaanisha kuwa Radhia akuwa na uwezo wa kwenda kwenye music wa taharab.

Radhia akuongea kitu, zaidi ya kuondoka zake, kuelea dukani, ambako akukaa sana alirudi akiwa ameficha udi kwenye nguo yake, ni wazi yalikuwa ni maandalizi ya kwenda kumtembelea Edgar.

Radhia alipofika nyumbani alikuta dada yake ameshaondoka, lakini alimwacha mtoto wake, ikiwa na maana naleo asingeshinda nyumbani.********

Yaaaap!, mida hii tupo michenzani, kwe nyumba ya familia anayo ishi, bwana kiparago, ikiwa ni nyumba ya baba yake mzazi, ambae kwa sasa ameamia Fumba.

Mida hii Idd alikuwa sebuleni, maana bado hakuwa na mpango wa wekwenda dukani, ambako alipanga kuanza kwenda kesho, maana siku kuu ingekuwa imesha ingia siku ya nne, tayari alishakaa siku tatu bila kufanya biashara, na ukichukulia biashara ile inakuwa na msimu, ni pale tu unapoingia mzigo mpya, au wanapokuja watu toka bara, ndio vifaa hivi vya matumizi ya nyumbani, vinavyo usisha umeme, vinapo nunuliwa kwa wingi.

Mke mkubwa bado alikuwa chumbani, amejipumzisha kitandani anatuma na kupokea ujumbe, akiwa anawasiliana na mtu anae itwa Aziza, ambae licha ya kuwa na jina la kike, lini aliongea kama mwanaume, “jitaidi ule vizuri mke wangu, ili mtoto azaliwe na nguvu” ulisema ujumbe ambao mke wa Idd alikuwa anausoma mke mkubwa wa Idd, ambae jina lake harisi ni Ashura.

Ashura anatabasamu kidogo, kisha anaanza kundika ujumbe, “chakula nakula vizuri, lakini na wewe jitaidi ule, maana usiku wa leo nataka unitomb… sana, mtoto aongezeke uzito” kisha akautuma kwenda kwa Aziza, ambae tuna fahamu kuwa ni kijana Shaban Ussi.

Wakati mke wake Ashura akiwa chumbani, anawasiliana na baba wa mtoto wake mtarajiwa, bwana Idd Kiparago alikuwa sebuleni macho kwenye television, lakini mawazo yake yote yalikuwa kwa mke wake wa zamani, yani Radhia, ambae kiukweli ukiachilia tatizo lake la kuto kushika ujauzito, ila ni manamke mzuri sana, kuanzia sura, umbo, rangi ya mwili, sauti na tabia zake pia zilikuwa njema.

Ukweli Idd anajikuta anakosa jibu pale anapojiuliza ni kitu gani kilimfanya amwache mke wake huyo, na akashindwa kuvumilia kwa muda ili aone kama ata shika ujauzito, maana ata mke wake mkubwa, yani Ashura alichelewa kushika ujauzito, akichukuwa miaka mitatu mpaka kuja kushika mimba ya kwanza.

“nilifanya haraka sana, na mbaya zaidi nilimpa taraka tatu” alijiwazia Idd, huku mala kwa mala akimwona mke wake mdogo, akikatiza sebuleni na kuingia chumbani au jikoni.

“sijuwi jeuri ameipata wapi, yani ananikatalia utazani ajawai kuwa mke wangu” aliwaza Idd ambae kiukweli ana tabia ya kulazimisha kupata kile anacho kiitaji, “siwezi kukubari, lazima nimpate huyu mwanamke, ata kama yupo na nani, mimi sijawai kushindwa ata siku moja” anajisemea Idd, huku macho yake yakiwa kwenye TV. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
hahahaa ndo mwisho
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI: “sijuwi jeuri ameipata wapi, yani ananikatalia utazani ajawai kuwa mke wangu” aliwaza Idd ambae kiukweli ana tabia ya kulazimisha kupata kile anacho kiitaji, “siwezi kukubari, lazima nimpate huyu mwanamke, ata kama yupo na nani, mimi sijawai kushindwa ata siku moja” anajisemea Idd, huku macho yake yakiwa kwenye TV. . ENDELEA….

Na wakati huo akasikia simu yake ikiita, alipotazama akaona jina la mpigaji ni shemeji Aziza, akaipokea mala moja, “asalam Aleykum shemeji” alisamia Idd, kwa sauti ya uchangamfu, “aleykum salaam shemeji, vipi hali” alijibu mwanamke toka upande wapili wa simu, “huku salama kabisa sijuwi huko” alisema Idd, kwa sauti ile ile changamfu.

Hapo ndipo palikuwa panasubiliwa, “huku ni kwema, ila siyo sana, toka jana najisikia kijihoma homa kidogo, hivyo naomba Ashura aje mala moja, anitazame leo na kesho, japo nae hali yake ndiyo hivyo” alisema Aziza, yani dada yake Ashura, huyu mke mkubwa wa Idd Kiparago.

Hii ni kama ili mfanya idd aone ameokota tende chini ya mwalobaini, maana ile nafasi ya kuto kuwepo kwa bi mkubwa, angeitumia kumsaka Radhia, ikiwezekana leo apate kitumbua cha Radhia, mwanamke ambae toka amwone jana usiku kwenye TV, nikama amemchanganya hakili, na kujona amefanya kosa kubwa sana kumwacha mwanamke huyu.

“hakuna tatizo shemeji, ngoja nimwambie ajiandae, siunajuwa hali yake, inabidi atoke mapema ili aje taratibu” alisema Idd, akionyesha furaha ya hali ya juu, kabla ya kukata simu na kwenda chumbani kwa mke wake mkubwa, kumweleza juu ya safari ya kwnda kwa dada yake.

“jiandae haraka basi, nikakuache hapo kituoni” alisema Idd, huku na yeye anaelekea bafuni kuoga, ili msindikize stendi mke wake, ambae akujuwa kuwa anampeleka akanyanduliwe na mwanaume mwingine, mwanaume ambae yeye alimnyang’anya tonge mdomoni.

Alicho jali yeye ni kwamba, sasa anaelekea jang’ombe, ambako angemsaka Radhia, ambae aliamini kuwa akikutana nae awezi kumkatalia kama alivyomkatalia kwenye simu.

Nikweli Idd uwa anatabia ya kulazimisha kupata vitu vizuri, mfano ni wakati anamchumbia Ashura, yani mke wake mkubwa, tayari Ashura alikuwa anampenzi wake Shabani.

Wakati huo wote wakiwa wanakaa michenzani kwa wazazi wao, ingwa Shabani na Idd, ambao walikuwa wanafahaamiana na kuwa watu wakaribu, japo siyo marafiki.

Kila mmoja tayari alikuwa ameshaanza biashara zake, wakati Idd ana uza duka la kaka yake la vifaa vilivyotumika toka nje ya nchi, ambayo anaifanya mpaka leo, akimsaidia kaka yake ambae anaishi Tanzania bara, akiwa askari wa jeshi la polisi.

Shabani yeye alikuwa anauza baiskeri zilizo tumika toka nje, ikiwa ni biashara yake binafsi, na ndie aliekuwa mpenzi wa Ashura, ambae walipanga kuowana.

Japokuwa kila mala walikuwa wanakutana na vikwazo vya hapa na pale, licha ya penzi lao kuwa ni siri kubwa kwa wazazi wao, maonyo na makatazo mengi, ambayo yalitokana na wazazi wa Ashura kubaini penzi la siri la wawili hao, ambao, kiukweli awakujuwa nani anafikisha taarifa za penzi lao.

Lakini aikuwa hivyo pakee, pia akaanza kusikia taarifa na habari mbaya za Ashura, kuwa ni Malaya, na anawanaume wengine wengi zaidi yake, kitu ambacho mwanzo kilianza kumuuma sana Shabani, ikibakia kidogo amuache mpenzi wake.

Lakini baada ya kukaa chini na kuelezana ukweli, wakajadilina na kupata vizuri, na penzi lao likaendelea, na hapo ndipo Shabani alipo amua kuweka wazi, nia yake ya kumchumbia Ashura, jambo ambalo aliwashirikisha baadhi ya watu.

Lakini kitu ambacho Shabani akukijuwa ni kwamba, Idd alikuwa anammezea mate Ashura toka muda mrefu, na alipanga amchukuwe toka kwake, yani Shabani, na kumuowa kabisa, na yey ndie aliekuwa chanzo cha kubainika kwa penzi lao la siri.

Shabani na Idd wakiwa na maduka yaliyo karibiana, Idd mala kwa mala aliweza kumwona Ashura akitembelea dukani kwa shabani, wakiongea na kucheka kwa furaha, huku wakipanga mipango yao ya kukutana baadae, au wakati mwingine wakikumbushana mpango wao wakuishi pamoja kama mke na mume.

Hakika hii ilimuuma sana Idd, ambae kikawaida yeye alizania anampenda sana Ashura, na kwamba ndie mwanaume pekee anae stahili kuishi na Ashura, ila akujuwa kuwa ni wivu na roho mbaya ndiyo vinavyo msumbua, kwamaana akutaka kuona wenzake wakielea kupendana, au wakifanikiwa kuishi pamoja.

Ata Idd aliposikia habari za Shabani kutaka kumchumbia Ashura, akaona anaweza kumkosa Ashura, hivyo akahamua kuingia vitani moja kwa moja, kuhakikisha anamchukuwa Ashura mazima, “mwache ajidai atajuwa mimi ninani” alijisemea Idd, ambae mala kwa mala, alikuwa anatazama kwajicho la chuki wawili awa, asa wanapokuwa pamoja, pale dukani, ambayo ndiyo ilikuwa sehemu yao ya makutano.

Sikuchache baadae, Ashura aliitwa na kusomewa barua, ya uchumba, barua ambayo mwanzo alizania kuwa imetoka kwa Shabani, lakini alishangaa sana alipogundua kuwa imetoka kwa Idd Kiparago.

Ashura alijaribu kufanua kwa wazazi wake, juu ya mwanaume ambae yupo mbioni kuja kuleta barua ya posa, yani mpenzi wake Shabani, jambo ambalo lilipingwa vibaya sana, na wazazi wa Ashura, asa baba yake, ambae alisema kwamba, anasababu mbili za kumuozesha kwa Idd.

Sababu ya kwanza ikiwa ni kitendo cha Ashura na Shaban kuwa na mausiano ya siri, kitendo ambacho kilitafsiriwa kuwa ni uhuni, na ukosefu wa maadiri, sababu ya pili ni ukaribu wa baba yake na Ashura na baba yake Idd,

Ashura baada ya kushindwa kuwashawishi wazazi wake, akaenda moja kwa moja kwa Shaban, na kumweleza juu ya swala ili, ambalo lili mchanganya sana Shaban, ambae aliwaeleza marafiki zake wakaribu akiwaomba ushauri. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Mwandishi lugha ya kiswahili,imekupiga chenga,matumizi ya R na L,H na A,yamekupiga chenga.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI NA MOJA: Ashura baada ya kushindwa kuwashawishi wazazi wake, akaenda moja kwa moja kwa Shaban, na kumweleza juu ya swala ili, ambalo lili mchanganya sana Shaban, ambae aliwaeleza marafiki zake wakaribu akiwaomba ushauri. . ENDELEA….

Ushauri alio upata Shabani ni kwamba, aende kuongea na Idd, amweleze ukweli juu ya mausiano yake na Ashura, na kwamba nia yao ni kuowa, na Shabani akiwa anaamini kuwa Shabani akuwa na mpango wa kumchumbia Ashura, na kwamba ni amri ya wazazi, au pengine akujuwa kuwa yye na Ashura ni wapenzi, akaenda kwa Idd.

Ukweli nikwamba, maongezi ya Idd na Shabani, ayakuwa na mafanikio, maana, zaidi yalimwacha Shabani akiwaameumia roho inamuuma vibaya sana, “ukweli mimi sikutaka kumwoa Ashura, ila wazazi wamesema kwa kuwa wazazi wa Ashura na Ashura mwenyewe ndio wametaka niowe, basi na mimi sikuwa na ujanja, imebidi nimuowe tu” alijibu Idd.

Ilo ni jibu la uongo ambalo, lilimfanya Shabani amchukie sana Ashura, kwa kumwona msaliti mkubwa sana, kwamba yeye mwenyewe ndie anae taka kuolewa na Idd.

Ashura alishangaa kuona shabani amemkatia mawasiliano ghafla, ata alipofika dukani kumtembelea, ili waongee na kujuwa sababu, akumkuta kijana huyu, zaiidi angekuta ujumbe tu, “amesema usimtafute, endelea na mipango yako ya ndoa” hakika ilimuuma sana Ashura, ambae siku tatu kabla ya kufunga ndoa na Idd, ndio akapata taarifa kuwa Shabani, ameuza duka lake kwa jumla na kuelekea afrika ya kusini, na sababu ya klufanya hivyo ni kwamba, yeye Ashura amemsaliti na kutamka kwa kinywa chake kuwaanataka kuolewa na Idd.

Ashura akukaa kimya akaanza kufwatilia, kwanini Shabani aseme maneno kama yale, wakati yeye mwenyewe ndie alie mshauri akaongee na Idd, ambae akumletea majibu ya mazungumzo na Idd.

Lakini miezi miwili baada ya kuolewa, Ashura akapata jibu la swali lake, kuwa ni Idd ndie alie mweleza Shabani kuhusu uongo huo, wa kwamba yeye Ashura ndie alie sema kuwa anataka kuolewa nae Idd.

Ashura alienda kumweleza dada yake, ambae kipindi icho alikuwa amesha olewa kule magomeni, “kwani ulikuwa ujuwi kuwa Idd ndie analeta umbea nyumbani, kwamba unatembea na Shabani?” aliuliza Aziza, ambae ni dada wa Ashura.

Hakika ilimuuma sana Ashura, ambae alitamani kumfanya Idd ajutie kile alicho kifanya, ata ikafikia hatua ya kumwuliza mume wake, “hivi Idd, ni kweli kabisa unafurahia ndoa yetu, wakati unajuwa umenifitisha na mpenzi wangu?” aliuliza Ashura siku moja, ambayo walikuwa na kaugomvi kadogo.

“mpuuzi sana, unazungunzia mpenzi au mzinifu mwenzio, si ushukuru kwakuwa nilikutoa aibu ya kuzini bila ndoa” alisema Idd kwa sauti ye majigambo na dharau.******

Maisha yaliendelea, siku zilisonga, mwaka ukakatika, taratibu Ashura akaanza kumzowea Idd kama mume wake, ambae alimpa haki zote kama mume, japo kiukweli moyoni mwake, hakuwai kumpenda toka moyoni, yni kama alivyo kuwa anampenda Shabani, ambae akuwai kuacha kumuwazia, kutokana na sababu kuu mbili.

Moja alijuwa fika kuwa, Shabani huko aliko anamchukulia yeye kuwa ni msaliti mkubwa, maana alikuwa anajuwa kuwa yeye Ashura, ndie alie penda kuolewa na Idd, kwa vyovyote vile, lazima Shabani aliumia sana, hivyo nayeye aliitaji kusisafisha kwa kumweleza ukweli.

Pili ilikuwa ni kukosa kile ambacho, Shabani alikuwa anampatia, nikimaanisha kwenye tendo la ndoa, ambalo kiukweli, kulikuwa na utofauti mkubwa kati ya Shabani na Idd.

Wakati Sahabani alikuwa akiingia nae chumbani, wangetumia masaa tatu adi manne, ambayo wange nyanduana, mala kadhaa, uku kila mzunguko kwa uchache ungetumia japo dakika ishilini hadi therasini, na kumfanya arudi nyumbani, amelizika na roho yake.

Wakati toka ameolewa na Idd, akuna siku walifikisha japo dakika kumi, akijitaidi sana ni dakika tano tu, na akishuka hiyo mpaka baada ya week moja au mbili, japo ilimpa wakati mgumu Ashura, mala kwa mala kubakia na hamu zake, lakini alishindwa kumweleza mume wake, kuwa amlidhishi, akichelea kuonekana kahaba, ukichukulia ya kwamba, wanaume wengi uwa hawakubari ukweli, inapokuja swala la uwezo wa kitandani.

Naaaaaaa!, mwaka wapili ulikatika, Ashura akuweza kumwona wala kumsikia Shabani, japo alikuwa na hamu ya kumwona Shabani, lakini akajikuta anaanza kuizowea hali ile, na kuamua kuwa mvumilivu.*******

Mwishoni mwa waka watatu, kuna mambo mawili yalitokea, moja ni kwamba, ndugu na jamaa, upande wa mwanaume, wakalianza kumshutumu, Ashura, kwamba ashiki ujauzito kwa makusudi, sababu hakuwa anampenda kijana wao.

Shutuma zile ziliungwa mkono na Idd mwenyewe, na kusababisha ugomvi mkubwa sana, ata siku moja Idd alirudi nyumbani na kumweleza Ashura kuwa kama atoshika mimba miezi mitati mbele, basi ataowa mke wapili, “hivi umesha wai kuulizia mimba inawekwaje, mtu mwenyewee unanigusa mala mbili kwa mwezi, na hizo mala mbili zenye siri yangu, ni uvumilivu tu…” alisema Ashura ambae akupewa nafasi ya kumalizia.

Maana Idd alimzibua mke wake, kofi la usoni, na kuanza kumpiga kipigo kikali mke wake, ambae wazazi wake walikuwa wameamia donge, ambae baada ya kuona kipigo kimezidi, Ashura akatafuta nafasi ya kuchoropoka, na kukimbilia kwa dada yake Aziza, anaishi magomeni, (magomeni hii ni ya unguja)

Ilikuwa ni mida ya saa mbili usiku, mida ambayo Ashura alikuwa amefika kwa dada yake magomeni, ambako alimkuta dada yake akiwa na watoto pekee, mume wake ni mvuvi, mida hii alikuwa ameenda pwani.

Ashura alimsimulia dada yake kila kitu, kama kilivyotokea, na Aziza akuwa na lakufanya, wala kumsaidia, maana ni mke wa mtu, “basi pumzika hapa, ila kesho itabidi uende kwa mumeo asije nishtaki.

Ata hivyo nusu saa baadae, Idd alikuja kwa Aziza kuhakikisha kama kweli mke wake yupo pale, nae pia akamweleza shemeji yake, kuwa Ashura anatumia dawa za kuzuwia mimba ili asimzalie, hivyo Idd alimwambia Aziza kwamba, aongee na mdogo wake aache kutumia hizo dawa, “sawa shemeji, ila niachie nikae nae leo na kesho, ili niongee nae kwa kina” alisema Aziza, na kumshangaza ata Ashura mwenyewe.

Idd alimwacha mke wake na kuondoka zake, “da Aziza, unazani ni kweli natumia dawa, mpaka uniambie nikae hizo siku mbili nzima, tena bila kumwambia shemeji, unazani atakuelewa?” aliuliza Ashura kwa mshangao mala baada ya kuhakikisha mume wake ameondoka.

Nikweli mume wa Aziza, ni mkorofi na ni mbinafsi, hii nikutokana na hasiri ya kabira na sehemu anayo tokea, sito itaja kwa sasa, ila ni sehemu ambayo inatokea familia moja ya watu wenye vipaji vya music, kule Zanzibar, japo kwa sasa wanafanya shuguri zao jijini dar es salaam.

“mdogo wangu, imekuwa kama bahati kwako, kunamtu alikuwa anakutafuta week yote, hii nikasema nisikuambie, sababu ya usalama wa ndoa yako, lakini leo nazani ndiyo nafasi yake ya kukusalimia” alisema Aziza, huku anatazama simu yake na kitazama muda, ilisha timia saa nne usiku, kwamaana yalisha pita masaa mawili toka afike kwa dada yake. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Mwandishi lugha ya kiswahili,imekupiga chenga,matumizi ya R na L,H na A,yamekupiga chenga.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI NA MBILI: “mdogo wangu, imekuwa kama bahati kwako, kunamtu alikuwa anakutafuta week yote, hii nikasema nisikuambie, sababu ya usalama wa ndoa yako, lakini leo nazani ndiyo nafasi yake ya kukusalimia” alisema Aziza, huku anatazama simu yake na kitazama muda, ilisha timia saa nne usiku, kwamaana yalisha pita masaa mawili toka afike kwa dada yake. . ENDELEA….


Na dakika kumi baadae, mlango wa mbele wa nyumba ukagongwa, “aya sasa nenda kafungue mlango, ujionee maajabu” alisema Aziza, huku anaingia chumbani kwake, akimwacha Ashura anatazama mlango kwa macho ya tahadhari, “ninani huyo dada mbona unanitisha?” aliuliza Ashura kwa sauti yenye nusu uoga nusu furaha, maana licha ya kuto kujuwa mtu huyo ni nani, lakini pia akujuwa alijuwa fika dada yake awezi kumwingiza kwenye matatizo kwa kumkutanisha na mtu mbaya.


“we kafungue bwana, maswali ya nini” alisema Aziza akiwa anajifungia chumbani kwake, na hapo kikasikika kicheko cha kiume, toka nje ya nyumba, ni kicheko ambacho kilikuwa cha kawaida yani cha kirafiki, sauti ya kicheko aikuwa ngeni masikioni kwa Ashura.


Nikama Ashura alitambua kile kicheko ni cha nani, maana alikimbilia mlango na kuufungua kwa haraka, kisha bila kuuliza akamkumbatia mwanaume aliekuwepo pale mlangoni, nae akamkumbatiana, na bila kuongoja wakaanza kupeana juice ya kikubwa, yani walikutanisha midomo yao na kuanza kulambana ndimi zao.


Kitendo ambacho kilidumu kwa kwa dakika nzima, kabla awajaachiana na kitazamana usoni, “jamani Shabani, umekuja lini, na mbona ulikuwa unitafuti, au uliamini kuwa nimimi ndie nilietaka kuolewa na yule mpuuzi” aliuliza Ashura kwa sauti ambayo ilikuwa inafuraha iliyopitiliza, ikikaribia kuangua kilio.


Ukweli ni kwamba, siku chache zilizopita, Aziza alikutana na Shabani, akiwa na week toka aingie kisiwani Unguja, alijaribu kumsaka Ashura, ambae licha ya kuwa ni mwanamke ambae awezi kumsahau, lakini pia alimtafuta kama rafiki wa zamani.


Lakini Shabani, kwa kuona kuwa Ashura muda mwingi anakuwa nyumbani, huku yeye akishindwa kufika pale nyumbani, kutokana na watu kufahamu uhusiano wao wazamani, ndipo Shabani alipo msaka Aziza, yani dada yake Ashura, akimwomba amsaidie kukutana na Ashura.


Kitu ambacho Aziza alikataa katakata, “Shabani, nafahamu kuwa Ashura mpaka leo anakupenda, na pengine nawewe unampenda, tatizo yeye ni mke wa mtu, na wewe ukutaka kujadiliana nae ukaamua kumkimbia, mwenzio akuwa na jinsi akaolewa na Idd, mie siwezi kufanya zambi hiyo” alisema Aziza, ambae leo, akajisaliti na kuvunja katazo lake.


Hii ilikuwa ni baada ya ujio wa mdogo wake, ambae anamtunzia siri nyingi sana, ata hii ya madhaifu ya mume wake kitandani, yeye pekee ndie alie mweleza, Aziza akiwa ameumizwa na kile anachofanyiwa mdogo wake, akaamua kutuma ujumbe kwa shabani, kumweleza kuwa Ashura yupo pale nyumbani kwake, na alippofika Idd, yeye ndie aliemzuwia Shabani asije nyumbani, mpaka Idd aondoke, na ndio maana akamweleza Idd, kuwa atakaa na Ashura kwa siku mbili, ili mkanye tabia ya matumizi ya dawa za kuzuwia mimba.


Kwakifupi siku ile na siku iliyofwata, Ashura akulala kwa dada yake, zaidi alilala na Shabani kwenye hotel flani ndogo pale Mkunazini maji machafu, wakipeana dudu kama wameanza leo, kisha alimrudisha asubuhi kwa vesper yake mpya kabisa, na kumfwata tena jioni, kwenda kufaidi mzigo.


Siku ya tatu, Idd akamfwata mke wake, na kurudi nae nyumbani, huku mke wake huyo, akiendelea kuwasiliana na Shabani, ambae kwenye simu alimwandika kwa jina la Aziza.


Hii aikuwa mwisho kukutana na kupeana dudu, Ashura alijitaidi kadiri alivyoweza, ili kukutana na Shabani na kupeana dudu, na walikuwa wanakutana mala kwa mala, asa muda ambao Idd akiwa dukani maeneo ya darajani.


Week tatu mbele Shabani ambae kwasasa alikuwa na biashara kubwa ya uuzji wa baskeri zilizo tumika, toka nje ya nchi, akiwa anefungua maduka mawili na kuweka wafanyakazi, akaelekea dar es salaam, ambako pia alikuwa na mafuka mawili, pale kalia koo, moja likiwa la baskeri, na jingine la computer zilizo tumika.


Kipindi hicho tayari Idd, alisha pata tetesi za kurejea kwa Shabani hapa Kisiwani, mwanzo ilimpa wasi wasi, na hofu ya kuachwa na mke wake, na kuanza kumnyenyekea mke wake, ambae aliamini kuwa hakuwa anajuwa chochote kuhusu ujio wa Shabani, na aliombea asijuwe, maana alikuwa namna mke wake alivyo kuwa anampenda Shabani, hakika ujio wa Shabani ulimnyima raha Idd.


Furaha iliibuka upya, mwezi mmoja na nusu mbele, mala tu Ashura alipo anza kubadirika kitabia na kimwili, akionyesha dalili za wazi za ujauzito, aikuwa furaha ya Ashura peke yake, ila ilikuwa ni furaha ya watu wengi sana, huku Idd akiondokewa na shaka la kupolwa mke na Shabani.


Hakika ilikuwa furaha ya ukoo mzima wa wakina Idd, kuanzia Idd mwenyewe, ndugu jamaa na marafiki zake, ambao sasa walitarajia mtoto wa kwanza, katika familia ya wapendwa wao.


Lakini awakujuwa kuwa, kuna mwanaume mwingine anafurahia ujio wa mtoto huyo, akiwa kama baba wa mtoto huyo, alie mpata toka kwa mwanamke ambae alimpenda kuliko wanawake wote aliowai kutembea nao, yeye akiwa baba harisi wa mtoto huyo.


Huyu ni kijana Shabani, kijana ambae toka siku alipopata habari kuwa kile alicho ambiwa na Idd kilikuwa ni uongo, na kwamba Ashura akupenda kuolewa nae, akapanga kulipiza kisasi, na kisasi chenyewe ni kuzaa na Ashura, akiwa bado mke wake, japo walikuwa na nania ya kuishi pamoja, baada ya Ashura kuachana na Idd.


Uwezi kuamini, toka wakati huo mpaka sasa wamesha zaa watoto wawili na huu ni ujauzito wa tatu, na wanaendelea kukutana mala kwa mala, wakipeana dudu wanavyo taka, lengo likiwa kwamba, hipo siku Ashura ataomba taraka kwa Idd na kuolewa na Shabani.*********


Naaaaaam! saa nane kasoro za mchana, jang’ombe kwa soud, nyumbani kwa mzee Makame, nyumba ambayo ilijaliwa wanawake wazuri, toka mama zao, mpaka wale wadodo kabisa ambao ni wajukuu.


Midaa palikuwa kimya kabisa, mama Radhia na mke mwenzie, kila mmoja alikuwa chumbani kwake amejipumzisha, anawaza la kwake, mzee Makame, alikuwa uwani, amekaa kwenye kiti chake cha uvivu, chini ya mti wa mkubwa wa muembe, anasoma kitabu chake cha #TEMBELE_LA_UWANI, toka kwa mwandishi Mbogo Edgar, lakini siyo Edgar huyu barozi
#Mbogo_Land.


Mariam na Zuhura walikuwa chumbani kwao, wanatazama video za ngono, ambazo ziliwafanya watamani kupata wanaume, wenye uwezo wa kunyadua kiwa muda mrefu, kama wale wanao waona kwenye video katika simu zao, “mwenzio natamani siku moja Mahadhi aninyonye Cuma, kama huyu anavyofanya” alisema Zuhura, ambae alisikika kwa sauti ya chini, iliyolemewa na pumzi nzito iliyo lemewa na uchu wa kupea dudu

“weeeee! Unishindi mimi, lakini najuwa Mahamud awezi kuninyonya, ila nikimpata mwanaume wahivyo, nitampanulia kwanguvu” alisema Mariam, pasipo ujari anaongea na mdogo wake, ambae ni kama rafiki yake, “ata mimi nikimpata namwacha Mahadhi, kwanza mtu mwenyewe ata kufanya kwenye anafanya kidogoooo” alisema Zuhura, huku ilo likiwa ni tatizo la kila mmoja wao. . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Umemfahamisha vizuri,lugha ya kiswahili,imepiga chenga, mwandishi.
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THELATHINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THELATHINI NA TATU: “weeeee! Unishindi mimi, lakini najuwa Mahamud awezi kuninyonya, ila nikimpata mwanaume wahivyo, nitampanulia kwanguvu” alisema Mariam, pasipo ujari anaongea na mdogo wake, ambae ni kama rafiki yake, “ata mimi nikimpata namwacha Mahadhi, kwanza mtu mwenyewe ata kufanya kwenye anafanya kidogoooo” alisema Zuhura, huku ilo likiwa ni tatizo la kila mmoja wao. . ENDELEA….


Achana na wawili awa, twende chumbani kwa Mukhsin, tunamwona Mukhsin anafungua mlango na kutoka nje ya chumba, akiwa amesha jiandaa vyema kwa kuvalia ile kanzu yake ya jana, na sendo zile zile, bila kusahau baraghashia kichwani mwake, anaenda moja kwa moja nje akipitia sebuleni.


Mukhsin anatokea kibaradhani ambako anamkuta Zahara, akiwa amevalia gauni lake la jana, na viatu vyake vizuri, ametulia anawatazama wakina Khadija waliokuwa wanachezea vile vimidori alivyo waletea jana, “dada mwenyewe yupo wapi?” anauliza Muksin, “yupo chumbani amesema nimsubiri huku amalizie kuvaa” anajibu Zahara.


Nikweli dada Radhia yupo chumbani, lakini siyo kwamba Radhia alikuwa anavaa, ukweli ni kwamba, Radhia alimechuchumaa mle chumbani kwake, amejifunika shuka lake, huku ndani akiwa uchi kama alivyo zaliwa, moshi mwingi wa udi ulikuwa unavuka ndani ya lile shuka, kigaya kilichokuwa kinafuka moshi kikiwa katikati ya usawa wa kitumbua chake, ambacho kingekuwa pua au mdomo kingepata tabu ya kuingiwa na moshi wenye manukato ya udi mzuri, ambao aliununua msaa kadhaa yaliyipita.


Radhia mkononi akiwa ameshikilia lile gauni lake jipya, na ile chupi aliyo ichagua asubuhi, alikaa kwa muda flani mle ndani ya shuka, kabla ajatoka na kuanza kuandaa, kisha akachukuwa kanga moja aliyo iona ni afadhari na kuiweka kwenye mkoba, sambamba na chupi moja mpya, pasipo kujipodoa kwa namna yoyote, akatoka nje na kuungana na wadogo zake, kisha safari ikaanza kuelekea upande wa kilimani, pasipo kujuwa kuwa, kuna mtu yupo sehemu anawatazama.*******


Edgar Frank Nyati, kijana mwenye umri wa miaka ishilini na sita, akiwa amemzidi mwaka mmoja tu mwana dada Radhia, “mtoto wa tatu wa bwana Frank Nyati, akasri wa zamani wa MLA yani #Mbogo_Land Army, huku akiwa ni mdogo wa mwisho wa kamanda wa kikosi cha ARR, Deus Frank Nyati, kule LS Base, kuelekwa hayo yote soma hadithi ya #NYUMA_YA_MLANGO_WA_ADUI.


Pia edhar alikuwa na dada yake ambae sasa alikuwa ni mwalimu wa mpira wakikapu kwenye timu ya chuo cha Queen Taus, na yeye ndie alie mfanya Edgar apende kucheza mpira huo, wote wakiwa wanafanya maisha yao nchini Mbogo land.


Edgar mwenye elimu kuu ya ulinzi wa kimataifa, akiwa na ngazi ya masters ya usalama, na mausinao ya kimataifa, alipewa nafasi ya kwenda kuwa barozi nchini Tanzania, katika visiwa vya Zanzibar, ikiwa ni utangulizi na majaribio ya kuona kama itafaa kuwa na barozi katika kisiwa hicho.


Edgar akiwa na miaka miwili kazini, tayari alikuwa na nyumba kubwa na miradi kadhaa, nje ya nchi yake, na alikuwa anaingiza fedha nyingi sana, chanzo kikiwa ni mtaji wa fedha, kutokaa kwa baba na kaka yake.


Lakini licha ya Baraka alizokuwa nazo, alipenda sana kuwa na mke kama wa kaka yake, ambae mala zote ucheza na pamoja nakutania, wakichaka na kufurahi, na sehemu pekee ambayo aliamini anaweza kupata mke ni nje ya nchi yao.


Siyo kwamba nchi yao aikuwa na wanawake wazuri, labda nikudokeze, mpaka wakati huo mwanamke mzuri kuliko wote Africa, huku akishika nafasi za juu kidunia alikuwa anatokea nchini #Mbogo_Land, nae alikuwa ni Malkia Vasselisa, japo aliishi na kukulia Tanzania, ila ni mwenye hasiri ya Tanzania, habari yake itapatikana kwenye mkasa wa UMEPATIA LAKINI INAUMA, utakao kujia mwishoni mwa mwaka huu.


Tatizo ni kwamba, wanawake wa nchi yao licha ya kuwa wazuri na wenye kuvutia, ila walikuwa wanyenyekevu sana, na walilelewa na kukulia katika mawazo ya kwamba, wao wameumbwa kwaajili ya kumtumikia mume, na ukiachilia jukumu la kuhudumia mume na kumzalia watoto, pia waliamini katika kutunza heshima yao na ile ya mume waumezao.


Kitu ambacho kilipelekea nyumba nyingi kukosa furaha na vicheko, muda wote ungesema kila nyumba inamfalme, na mke ni kijakazi cha mfalme, kwa jinsi ambayo mke anavyo mnyenyekea mume.


Lakini toka alipofika Tanzania miezi kadhaa iliyopita, licha ya kukutana na wanawake wengi, walio onyesha dalili za kumtamani, huku yeye ikiwa ni moja ya kitu ambacho akipendi, mwanamke kumtamani kutokana na wadhifa au mali alizonazo


Sasa anakuja kumwona Radhia kwa mala ya kwanza pale maisala, kabla ajajuwa kuwa ni dada wa Mukhsin, alijikuta mevutiwa nae sana, maana alimwona ni mschana mwenye kila kitu ambacho anakipenda asa kwa kumtazama mwonekano wake.


Na mbaya zaidi anakuja kugundua kuwa, ni mwamke mwenye sifa ya nidhamu na tabia njema, mwanamke ambae anaaibu na aiba, “mama anasema anasante kwa viatu vya Mu” ilikuwa ni sauti tamu yenye utulivu mkubwa na nidhamu ya hali ya juu, sauti ambayo Edgar anaukumbuka mala kwa mala.


Licha ya kujitaidi kumzowea Radhia kama mschana wakawaida, au pengine kuachana nae kwa kigezo cha dada wa rafiki yake, lakini bado aliona kuwa moyo wake unazidi kumpenda mwanamke huyu, ambae anamvuto wa kipekee moyoni mwake, na waa akufikilia juu ya tatizo lake la kuto kushika ujauzito.


Kuna wakati Edgar uwa anashika simu ampigie huyu mwanamke, ili waongee mawili matatu, kuhusu mapenzi, ikiwezekana aweke wazi hisia zake, lakini moyo wake unasita.


Kilicho mvuruga zaidi ni siku ya afla ya ikuru, siku ambayo Radhia alipendeza kwa nguo ambazo aliagiza zika nunuliwe kwaajili yao, kiasi cha kuona kuwa, endapo wataendelea kuonana mala kwamala, inaweaz kuleta shida kwao, akizingatia kisiwa hiki kinautaratibu wake kuhusu watu kuingia kwenye mapenzi, na yeye kama barozi akutakiwa kuvunja utaratibu huo.


Hivi karibuni alihisi kama vile anaanza kumpenda, ila alipofikilia swala la dini, akaona ingekuwa ngumu kidogo kumshawishi mwanamke huyu, kwenda kufunga nae ndoa ya kimila, ambayo kwao ndiyo utaratibu wao.


Lakini yote kwa yote, alijikuta anafurahia ukaribu wao, na pia alipenda kuona familia ya kina Mukhsin wananifaika kwa ukaribu wao, ikiwa ni atakacho kifanya rais baada ya kupata taarifa za mzee Abeid, na pia yeye kumsaidia Mukhsin kwenda kusoma nje ya nchi, na kumsaidia Mukhsin kucheza timu moja kubwa ya mpira huo nchini kwao.


Kikubwa kilicho mhamasisha, ni hadithi ya Radhia, kuhusu maisha yake ya nyuma, kilicho mgusa zaidi ni ile kuona mwanamke mdogo kama Radhia, tayari ameshapewa taraka, akishutumiwa kuwa azai.


Sasa leo hii, wakati amesha fanya njama ya kumkwepa, kwa kumweleza Radhia kuwa, ato ambatana nao kwenye matembezi, sababu angekuwa na anafanya mazoezi, lakini Radhia anamweleza kuwa alikuwa anaitaji kuonana nae, ya kwamba ana ujumbe toka kwa wazazi wake. . . ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom