SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA MBILI: Ni wazi Edgar aliigundua swala ilo, “sasa mbona kama umeshtuka sana niliposema kufanya taratibu, au bado ujapanga kuwa mke wa mtu kwasasa?” aliuliza Edgar kwa sauti nzito na tulivu, swali ambalo lilimshtua sana Radhia, ambae akuamini kama ni kweli alichosikia au ni wenge, “siamini kama ni kweli wachaniamke nijuwe kama ni ndoto” alisema Radhia akijihisi kuwa yupo ndotoni. ......... ENDELEA….


Edgar akajikuta anacheka kidogo, “kwanini Radhia, au nimefanya haraka kukuambia?” analiuliza Edgar kwa sauti yenye msisitizo, nakuzidi kumshangaza Radhia ambae sasa alianza kuhisi machozi yanamtililika machoni mwake, “jamani Eddy, mbona wanifanyia hivyo, mwenzio sijawai kuwa na bahati hiyo, au unataka nipige kelele za furaha” alisema Radhia, kwa sauti ambayo iliyo ambatana na dalili ya kilio cha furaha.


“una stahili kuwa mke wamtu, naimani uliachwa ili nikupate, zaidi tutaongea kesho, nazani tutakuwa na muda mwingi wa kukaa pamoja” sauti nzito ya Edgar ilipenya masikioni mwa Radhia, na kwenda kuutekenya moyo wake, uliozalisha furaha kubwa sana.


Ukweli Radhia akuwa na wazo la kwamba ataolewa tena, asa baada ya kuachika kwa kuto kushika mimba, sasa Edgar anataka kumchumbia, je ata mkubarije, ilihali anajijuwa ashiki mimba, “Eddy baba, niliamua kukuachia mwili wangu, kwa kuwa na kupenda sana, lakini sizani kama nitakufaa, siunajuwa sina uwezo wa kushika mimba, nitakuwaje mke kwako, au na wewe utaniacha” alisema Radhia huku anashindwa kuzuwia machozi ambayo yalizidi kutililika, safari hii siyo kwa furaha, ila alijuwa wazi kabisa yakuwa, huo ndio mwanzo wa kumpoteza Edgar, mwanaume aliemwonjesha mapenzi.


“Radhia mama yangu, nani kasema uwezi kuzaa, achana na mawazo hayo, hakika tutapata watoto kwamajiliwa ya muumba wetu” alisema Edgar kwa sauri ya kubembeleza, ambayo ili zidi kumtoa machozi Radhia, kwa kuona kuwa, kunamwanaume anaupendo wa dhati juu yake, tena ni mwanaume ambe anauwezo wakumpata mwanamke yoyote ampendae.


“asante Edgar, nakupenda sana, hakika nitakutendea yote apaswayo kutendewa mume” alisema Radhia, kwa sauti yenye hisia toka moyoni, “asante sana Radhia, hivi umeona watu walivyo sema kuhusu picha yetu, niliyo iweka kwenye account yangu?” anauliza Edgar, kwa sauti tulivu, hapo Radhia anaacha kulia na kutoa macho kwa mshangao, “weeeee!, umepost picha yetu, mbona sijaiona?” aliuliza Radhia kwa sauti ya mshangao, maana licha ya kutokuwa mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii, ila pia alikuwa anajuwa kuwa, mwanaume akikupost ni moja ya dalili za kuwa wewe ndie mpenzi pekee.


“yaaah!, angalia jinsi watu walivyo comment” alisema Edgar kabla awajaagana na kukata simu, kisha Radhia akaingia kwenye account yake, ambayo kwanza alikuta wafuasi wake wamengezeka mala dufu, wakiwepo watu mashuhuri na baadhi ya viongozi wakubwa, wa nchini kwao na nchi nyingine nyingi.


Radhia ambae akujuwa maana ya wafuasi wengi, akatazama picha ambayo alishikizwa, ni picha iliyopostiwa na Edgar, picha ambayo ilimwonyesha yeye akiwa na Edgar, kule bwawani hotel.


Radhia anatabasamu kwa furaha, huku anatazama maoni ya mengi ya watu, ambayo anaanza kuyasoma moja baada ya jingine, akitamani kujibu baadhi ya maoni, lakini anakumbuka kuwa, maoni yale yalikuwa katikapicha ambayo alipost Edgar, na siyo yeye.


Radhia alifurahi kuona maoni yote yalikuwa mazuri, yaki wapongeza na kuwatakia ndoa njema, na kikubwa zaidi, aliona baadhi ya watu maarufu wakiwa wametoa maoni yao, katika picha yao.


Na kubwa kuliko zote ni kwamba, ata Radhia alipotazama picha yake, ambayo alipostiwa na Edgar, mala baada ya kumfungulia account kwenye mtandao maarufu wa kijamii, na kuona imetolewa maoni mengi sana, tena na watu wakila aina, marafiki zake wa shule, marafiki wa ukubwani, ambao sasa hakuwa nao karibu, pia na watu maarufu, ambao akutegemea kama wanaweza kufanya hivyo.


Hakika mpaka Radhia anapitiwa na usingizi, ata yeye akujijuwa ni saangapi, ila alishtuka asubuhi akiwa amelala na simu yake, bahati akuivunja, wala kuilalia, alie mwamsha ni mama yake, akimtaka akajumuike na mapishi.********


Naaaaaam! siku ya pili, yani siku ya jumamosi, ilianza vizuri sana kwa baadhi ya wanafamilia wa mzee Abeid Makame, pilika pilika za jikoni, ambalo leo liliamia upande wa uwani, huku mzee Makame akiwa amekaa upande wa mbele, yani kibaradhani.


Harufu nzuri tofauti tofauti za vyakula, zilisikika na kutawanyika eneo lote la nyumba na jilani zao, kitu ambacho wenyeji wa mtaa huu, wamezowea kuona vitu kama hivi nyakati za sikuu kama eid au maurid, na sherehe za harusi na sherehe nyinginezo.


Wanawake wote kuanzia Zahara, adi mke mkubwa wa mzee Makame, walikuwa wanaendelea na mapishi, wapo walio shugurika na biliyan, wapo walioshughurika na kuku, ambao waliandaliwa kwa mitindo miwili tofauti, yani wakukaangwa na wale wa mchuzi mzito, ambao unge tumika kwenye biliyan.


Hiyo hivyo iliwa kwenye samaki, ambao wapo walio kaangwa na walio tengenezwa kwa rost la hatari, maandazi chapati na vitu vingine vingi, juice za matunda na vinywaji vingine vingi lakini visivyo na ulevi.


Kila mmoja alionekana kuwa mwenye furaha, ata Mariam na Zuhura nao walionekana kuwa na furaha, japo kuna wakati mioyo yao ulipatwa, na ugumu asa baada ya kukumbuka kuwa mwanaume anaekuja, anakila dalili ya kuwa mpenzi wa Radhia.


Ilikuwa tofauti sana ka Siwema, ambae licha kujilazimisha kuongea na kucheka, huku akiendelea kushugurika na mapishi, lakini bado alimwona Radhia kama amemwondolea bahati zake zote, na kumsababishia majanga kwa mume wake na kazini, hivyo alikuwa amejawa na chuki kubwa moyoni mwake, na siyo tu alimchukia Radhia peke yake, ata mama yake mdogo, yani mama Radhia na baba yake, kwa kuluhusu ugeni ule uje pale nyumbani, lakini alijikaza tu.


Ukweli maandalizi yalikuwa makubwa kiasi cha kumfanya mzee Abeid ashinwe kuuliza na kusibiri kitakacho endelea, maana ukiachilia kuwa mgeni huyu ni rafiki wa kijana wake Mukhsin, lakini pia ni mheshimiwa, yani mwenye wadhifa mkubwa, na anaiwakirisha nchi tajiri yenye sifa nzuri duniani.


Achana na maandalizi ya upande wa vyakula na vinywaji, pia kuna wakati Radhia alijadiliana na mama yake, kisha wakaagiza mazuria ya kisasa, na mito mizuri kubwa, ambayo ilitandikwa sebuleni. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA jamii forums
USIKOSE KUFUATILIA MKASA UJAO WA (KIAPO CHA DAMU KWA DAMU NA CAPTAIN CHUI MCHAFU)
HAPA HAPA JAMII FORUMS

NIWATAKIE USIKU UNONO
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA MBILI: Ni wazi Edgar aliigundua swala ilo, “sasa mbona kama umeshtuka sana niliposema kufanya taratibu, au bado ujapanga kuwa mke wa mtu kwasasa?” aliuliza Edgar kwa sauti nzito na tulivu, swali ambalo lilimshtua sana Radhia, ambae akuamini kama ni kweli alichosikia au ni wenge, “siamini kama ni kweli wachaniamke nijuwe kama ni ndoto” alisema Radhia akijihisi kuwa yupo ndotoni. ......... ENDELEA….


Edgar akajikuta anacheka kidogo, “kwanini Radhia, au nimefanya haraka kukuambia?” analiuliza Edgar kwa sauti yenye msisitizo, nakuzidi kumshangaza Radhia ambae sasa alianza kuhisi machozi yanamtililika machoni mwake, “jamani Eddy, mbona wanifanyia hivyo, mwenzio sijawai kuwa na bahati hiyo, au unataka nipige kelele za furaha” alisema Radhia, kwa sauti ambayo iliyo ambatana na dalili ya kilio cha furaha.


“una stahili kuwa mke wamtu, naimani uliachwa ili nikupate, zaidi tutaongea kesho, nazani tutakuwa na muda mwingi wa kukaa pamoja” sauti nzito ya Edgar ilipenya masikioni mwa Radhia, na kwenda kuutekenya moyo wake, uliozalisha furaha kubwa sana.


Ukweli Radhia akuwa na wazo la kwamba ataolewa tena, asa baada ya kuachika kwa kuto kushika mimba, sasa Edgar anataka kumchumbia, je ata mkubarije, ilihali anajijuwa ashiki mimba, “Eddy baba, niliamua kukuachia mwili wangu, kwa kuwa na kupenda sana, lakini sizani kama nitakufaa, siunajuwa sina uwezo wa kushika mimba, nitakuwaje mke kwako, au na wewe utaniacha” alisema Radhia huku anashindwa kuzuwia machozi ambayo yalizidi kutililika, safari hii siyo kwa furaha, ila alijuwa wazi kabisa yakuwa, huo ndio mwanzo wa kumpoteza Edgar, mwanaume aliemwonjesha mapenzi.


“Radhia mama yangu, nani kasema uwezi kuzaa, achana na mawazo hayo, hakika tutapata watoto kwamajiliwa ya muumba wetu” alisema Edgar kwa sauri ya kubembeleza, ambayo ili zidi kumtoa machozi Radhia, kwa kuona kuwa, kunamwanaume anaupendo wa dhati juu yake, tena ni mwanaume ambe anauwezo wakumpata mwanamke yoyote ampendae.


“asante Edgar, nakupenda sana, hakika nitakutendea yote apaswayo kutendewa mume” alisema Radhia, kwa sauti yenye hisia toka moyoni, “asante sana Radhia, hivi umeona watu walivyo sema kuhusu picha yetu, niliyo iweka kwenye account yangu?” anauliza Edgar, kwa sauti tulivu, hapo Radhia anaacha kulia na kutoa macho kwa mshangao, “weeeee!, umepost picha yetu, mbona sijaiona?” aliuliza Radhia kwa sauti ya mshangao, maana licha ya kutokuwa mtumiaji mzuri wa mitandao ya kijamii, ila pia alikuwa anajuwa kuwa, mwanaume akikupost ni moja ya dalili za kuwa wewe ndie mpenzi pekee.


“yaaah!, angalia jinsi watu walivyo comment” alisema Edgar kabla awajaagana na kukata simu, kisha Radhia akaingia kwenye account yake, ambayo kwanza alikuta wafuasi wake wamengezeka mala dufu, wakiwepo watu mashuhuri na baadhi ya viongozi wakubwa, wa nchini kwao na nchi nyingine nyingi.


Radhia ambae akujuwa maana ya wafuasi wengi, akatazama picha ambayo alishikizwa, ni picha iliyopostiwa na Edgar, picha ambayo ilimwonyesha yeye akiwa na Edgar, kule bwawani hotel.


Radhia anatabasamu kwa furaha, huku anatazama maoni ya mengi ya watu, ambayo anaanza kuyasoma moja baada ya jingine, akitamani kujibu baadhi ya maoni, lakini anakumbuka kuwa, maoni yale yalikuwa katikapicha ambayo alipost Edgar, na siyo yeye.


Radhia alifurahi kuona maoni yote yalikuwa mazuri, yaki wapongeza na kuwatakia ndoa njema, na kikubwa zaidi, aliona baadhi ya watu maarufu wakiwa wametoa maoni yao, katika picha yao.


Na kubwa kuliko zote ni kwamba, ata Radhia alipotazama picha yake, ambayo alipostiwa na Edgar, mala baada ya kumfungulia account kwenye mtandao maarufu wa kijamii, na kuona imetolewa maoni mengi sana, tena na watu wakila aina, marafiki zake wa shule, marafiki wa ukubwani, ambao sasa hakuwa nao karibu, pia na watu maarufu, ambao akutegemea kama wanaweza kufanya hivyo.


Hakika mpaka Radhia anapitiwa na usingizi, ata yeye akujijuwa ni saangapi, ila alishtuka asubuhi akiwa amelala na simu yake, bahati akuivunja, wala kuilalia, alie mwamsha ni mama yake, akimtaka akajumuike na mapishi.********


Naaaaaam! siku ya pili, yani siku ya jumamosi, ilianza vizuri sana kwa baadhi ya wanafamilia wa mzee Abeid Makame, pilika pilika za jikoni, ambalo leo liliamia upande wa uwani, huku mzee Makame akiwa amekaa upande wa mbele, yani kibaradhani.


Harufu nzuri tofauti tofauti za vyakula, zilisikika na kutawanyika eneo lote la nyumba na jilani zao, kitu ambacho wenyeji wa mtaa huu, wamezowea kuona vitu kama hivi nyakati za sikuu kama eid au maurid, na sherehe za harusi na sherehe nyinginezo.


Wanawake wote kuanzia Zahara, adi mke mkubwa wa mzee Makame, walikuwa wanaendelea na mapishi, wapo walio shugurika na biliyan, wapo walioshughurika na kuku, ambao waliandaliwa kwa mitindo miwili tofauti, yani wakukaangwa na wale wa mchuzi mzito, ambao unge tumika kwenye biliyan.


Hiyo hivyo iliwa kwenye samaki, ambao wapo walio kaangwa na walio tengenezwa kwa rost la hatari, maandazi chapati na vitu vingine vingi, juice za matunda na vinywaji vingine vingi lakini visivyo na ulevi.


Kila mmoja alionekana kuwa mwenye furaha, ata Mariam na Zuhura nao walionekana kuwa na furaha, japo kuna wakati mioyo yao ulipatwa, na ugumu asa baada ya kukumbuka kuwa mwanaume anaekuja, anakila dalili ya kuwa mpenzi wa Radhia.


Ilikuwa tofauti sana ka Siwema, ambae licha kujilazimisha kuongea na kucheka, huku akiendelea kushugurika na mapishi, lakini bado alimwona Radhia kama amemwondolea bahati zake zote, na kumsababishia majanga kwa mume wake na kazini, hivyo alikuwa amejawa na chuki kubwa moyoni mwake, na siyo tu alimchukia Radhia peke yake, ata mama yake mdogo, yani mama Radhia na baba yake, kwa kuluhusu ugeni ule uje pale nyumbani, lakini alijikaza tu.


Ukweli maandalizi yalikuwa makubwa kiasi cha kumfanya mzee Abeid ashinwe kuuliza na kusibiri kitakacho endelea, maana ukiachilia kuwa mgeni huyu ni rafiki wa kijana wake Mukhsin, lakini pia ni mheshimiwa, yani mwenye wadhifa mkubwa, na anaiwakirisha nchi tajiri yenye sifa nzuri duniani.


Achana na maandalizi ya upande wa vyakula na vinywaji, pia kuna wakati Radhia alijadiliana na mama yake, kisha wakaagiza mazuria ya kisasa, na mito mizuri kubwa, ambayo ilitandikwa sebuleni. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA jamii forums
USIKOSE KUFUATILIA MKASA UJAO WA (KIAPO CHA DAMU KWA DAMU NA CAPTAIN CHUI MCHAFU)
HAPA HAPA JAMII FORUMS

NIWATAKIE USIKU UNONO
Kiukweli story Iko lit ila walau ungetumalizia ugeni wote ulivyofika walau suspense isituumize kama utaona inafaaa mkuu
 
Kiukweli story Iko lit ila walau ungetumalizia ugeni wote ulivyofika walau suspense isituumize kama utaona inafaaa mkuu
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA TATU: Achana na maandalizi ya upande wa vyakula na vinywaji, pia kuna wakati Radhia alijadiliana na mama yake, kisha wakaagiza mazuria ya kisasa, na mito mizuri kubwa, ambayo ilitandikwa sebuleni. ......... ENDELEA….


Labda nikufafa nulie, ni kwamba, waenyeji wa viziwa vya Zanzibar wanadesturi kama za watu wana pande za kiarabu, ambao siyo wapenzi wa kukalia masofa na viti, wao upanda kukaa kwenye mikeka na mazuria, ndicho alicho fanya Radhia, kwa heshima ya wageni wa siku ile, akiwepo mwanaume ambae sasa amekuwa mpenzi wake, yani Edgar Frank Nyati.*********


Wakati hayo yanaendelea, huku nako bwana Idd, alikuwa katika mpango mziyo wa kutengeza njama ambayo itamfanya Edgar aamini kuwa, Radhia bado anatembea nae.


Hakika ungeshangaa kwanini Idd anaamua kutumia juhusu zake, kumwalibia Radhia, mwanamke ambae yeye mwenyewe amwacha kwa taraka tatu, tena baada ya manyanyaso ya muda mrefu, labda tuwaulize walio wai kuachana, kama nikweli unaumia baada ya kumwona mpenzi wako wa zamani, ananawili na kuzidi kupenda, huku anaingia kwenye mausiano ambayo yanaonekana kumpa furaha na amani, kuliko wewe ulivyofanya.


Kwajinsi hiyo, Idd aliamua kupanga mpango kwa gharama yoyote, ilimladi afanikiwe anacho taka, ambacho nikuona Radhia anaachana na Edgar, kisha anarudi kwake, ili mfanya mchepuko wake.


Njia ya kwanza alifikilia kwenda donge kwa mganga, huku wazo la pili likiwa ni kutumia watu wamdanganye Edgar kuwa Radhia ni mchumba wa mtu, huku tatu ikiwa ni kutuma watu wamteke, na kuficha kwa siku tatu, kisha kumweleza Edgar kuwa Radhia yupo kwa mwanaume mwingine.


Sasa hivi yupo dukani, anajaribu kuchanganua hupi mpango mzuri, ambao utaweza kutimiza lengo kwa wakati, na kuleta mafanikio mazuri, ambayo ni kuwaachanisha Radhia na Edgar.********


Saa sita kasoro za mchana, jang’ombe kwa Soud, nyumbani kwa mzee Makame, kila mtu alikuwa amependeza, ikiwa ni kuanzia mzee Makame mwenyewe, mpaka mtoto mdogo Khadija, ambae ata mama yake yani Siwema pia alikuwa amevalia vizuri.


Wakati mzee Makame akiwa amevalia kanzu yake ambayo iliivaa siku ya eid, pia kijana wake Mukhsin nae, alikuwa amevalia kanzu yake nzuri, ni ile ambayo ali ivaa siku ile ya afla ya ikulu, wote wawili wakiwa wamevalia na baraghashia zao, yofauti na mtoto wa kiume wa kaka yao wakina Mariam ambae alivalia suruali na shati la vishikizo, ambalo pia alilitumia siku ile ya eid.


Kwa upande wa wanawake ndio ilipendeza zaidi, wakati wakina Mariam na Zuhura walikuwa wamevalia magauni yao waliyo yavaa siku ile ya eid, huku mama Radhia na mama Mariam, wakiwa wamevalia magauni yao mapya, yale waliyo vaa siku ile ya eid, walipoenda mtoko na mume wao.


Siwema alivaa gauni lake zuri, kama ilivyokuwa kwa Zahara, ambae pia alikuwa amevalia gauni lake alizo vaa siku ile kwenye afla ya ikulu, huku mtoto wa kaka yao, yaoni yule wakike, alikuwa amevalia gauni lake alilovaa siku ya eid, ndivyo pia ilivyokuwa kwa Khadija mtoto wa Siwema, ambae hakuwa na habari kuwa wazazi wake walisha achana na mama yake amesha achishwa kazi.


Radhia nae alipendeza kwa gauni alilokuwa amevaa juzi mchana, nalo lilimpendeza sana, sambamba na hijab, nzuri kichwani mwake, kama ilivyokuwa kwa wanawake wote mle ndani.


Naaaaaaam!, wakati wanafamilia wote wakiwa wanasubiri kuona gari dogo jeusi, aina ya BMW, ambalo wamesha liona mala kadhaa likija kuwaleta pale nyumbani kwao, mala wakaliona gari moja jeusi, aina ya Toyota V8, linaibuka toka kwenye kona ya kutokea barabara kuu ya kiembe samaki.


Wa kwanza kulitambua ni Mukhsin, ambae alikuwa amesimama pembeni ya kiti alicho kaa baba yake pale kibarazani, “huyooo!, anakuja” alisema Mukhsin, ambae alilitambua gari ambalo liliwaleta siku waliyotoka kwa nywe afla ya ikulu, na hapo wote wakaliona gari jingine kama lile kikiwa inaibuka toka kwenye kona, lilipotokea gari la mbale.


“aya nendeni ndani jamani wameshafika” alisisitiza mama Siwema, na wale watoto wakike wote wakaingia ndani, yani kuanzia Siwema, Radhia, Mariam, Zuhura, Zahara na yule mtoto wa kaka yake, kasoro Khadija pekee ndie alie bakia na bibi yake, yani mama Mariam alie kuwa karibu na mama Radhia, walio kuwepo pale kupokea wageni pamoja na mume wao akiwa na Mukhsin na yule mtoto wa kiume wa kaka mkubwa.


Mzee Makame na wake zake na Mukhsin, ambae ndie kama mwenyeji wa rafiki yake, waliyaona magari mawili yaliyofanana, yakija na kusimama mbele ya kibaradha za chanyumba yao, kisha milango ya gari la mbele ikafunguliwa kwa haraka wakatoka watu wawili waliovalia suit nyeusi, viatu vyeusi na miwani nyeusi, ambae walisimama na kutazama upande wa mbele wa mbele yakini kule waliko kuwa wameelekeza magari.


Ilikuwa hivyo hivyo hivyo kwa gari la pili, ambalo pia milango ilifunguliwa na mtu mmoja akatoka seat ya mbele, akiwa amevalia suit nyeusi na mwingine akatokea kwenye seat ya nyuma, upande wa kushoto, akiwa amevaa kama wenzake, awa walienda kusimama nyuma ya gari, na kutazama walikotoka.


Baada ya hapo kwenye gari la mbele wakashuka watu watatu, mmoja wakike mwenye mkadilio wa umri wa miaka 34, alievalia gauni refu zuri na hijab, alie shuka toka kwenye seat ya mbele, huku vijana wawili wakishuka toka kwenye seat ya nyuma, wakiwa wamevalia kazu nyeupe, zenye Hariri ya rangi ya dhahabu.


Vivyo hivyo kwenye gari la nyumba, ambako Mukhsin anamwona Edgar akiwa anashuka toka kwenye gari, seat ya nyuma ya abiria, akiwa amevalia kanzu ya kujivu, yenye Hariri ya rangi ya dhahabu, na pamoja na watu wengine wawili, nao walivalia suit nyeusi.


Mukhsin ana mwona Edgar anasogelea kibarazani, akifwatiwa na yule mwanaume alie shuka toka kwenye gari la mbele, ambae pia ni mtu mzima, mwenye umri wamiaka kama therasini na saba ana nane.


Akifwatiwa na wengine waliobakia, ambao pua walivalia kanzu, nao wakiwa na umri mkubwa, kuliko Edgar alie tangulia mbele, wote wanasogea kibarazani, huku madereva wanashuka toka kwenye magari na kwenda kuvungua milango ya nyuma kabisa, ambao uwekewa mizigo, ma kuanza kushusha mifuko mikubwa, mizuri ya kipekee, ambayo mala nyungi upatikana kwenye maduka makubwa ya nguo.


Ni kama mzee Makame alikuwa ameshikwa na butwaha, kwanza idadi ya wageni ilikuwa tofauti na alivyo ambiwa, maana jumla ya madereva na wale walio valia suit, walikuwa kumi na moja, na siyo watano kama walaivyo ambiwia, “asalam aleykum mwalimu Makame” alisamilia kijana, alietangulia akiwa amevalia kanzu rangi tofauti na wenzake, ambae alimpa mkono mzee Makame.


“aleykum salaam, karibu sana” aliitikia mzee Makame, huku anapeana mkono na Edgar, wote wakasalimiana mpaka wakina mama Radhia pia walisalimiwa nao wakaitikia, “baba huyu ndie Edgar, yule rafiki yangu nilie kuambia” alisema Mukhsin, mala walipo maliza kusalimiana. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA NNE: “aleykum salaam, karibu sana” aliitikia mzee Makame, huku anapeana mkono na Edgar, wote wakasalimiana mpaka wakina mama Radhia pia walisalimiwa nao wakaitikia, “baba huyu ndie Edgar, yule rafiki yangu nilie kuambia” alisema Mukhsin, mala walipo maliza kusalimiana. .........endelea…..


Ilimshangaza kidogo mwalimu Makame, maana akutaka kuamini kuwa, huyu kijana ni barozi kama alivyo wai kuambiwa, “karibu sana bwana Edgar, awa ni wake zangu, huyu ni mke mkubwa na huyu ni mke mdogo, ambae ni mama Radhia, alitambulisha mwalimu Makame, ambae pasipo kutarajia akajikuta amemtaja Radhia, kama utambulisho wa mke mdogo, baada ya Mukhsin ambae ndie rafiki wa kijana huyu mwenye mamlaka makubwa.


“nimefurahi kuwafahamu mama zangu” alisema Edgar, kwa sauti changamfu, “karibu sana, karibuni sana” walikaribisha wakina wamama, wakati huo mama Radhia akiwa anamtazama kwa ukaguzi kijana huyu, ambae kiukweli amerejesha furaha ya binti yake mkubwa.


“asante sana wakina mama” alisema Edgar wakati huo madereva walikuwa wanamalizia kushusha mifuko toka kwenye gari, “aya karibu ndani bwana Edgar” alisema mzee Makame, huku anawaongoza ndani wakina Edgar na wenzake wanne, wakifwatiwa na wakina mama Radhia, ambao pia walipokea ile mifuko toka kwa madereva wale wale wawili.


Wanaingia sebuleni, ambako pame andaliwa vizuri kabisa, dhuria zuri, lililotandikwa na kuwekewa pillow nzuri za kuegemea, nao wanakaa kwa kujitenga, yani wanawake upande wao na wanaume upande wao, huku Edgar akiwa na hamu ya kumwona Radhia wake, ambae leo alisema ataenda kulala kwake.


“mzee Makame, kwanza naomba nikutambulishe watu niliokuja nao” alisema Edgar, wakati huo wanamwona Radhia anaanza kuweka grass moja baada nyingine wa watu waliopo pale sebuleni.


“nisawa bwana Edgar, lakini naomba kwanza wanafamilia waje wote, ili wasikie utambulisho na wewe uwatambulishe, siyo siku nyingine mnakutana njiani na kupisha, kama hamjuwani” alisema mzee Makame, kisha akamtazama mke wake mkubwa, ambae kabla ajainuka kwenda kuwaita wakina Mariam, tayari Mukhsin alikuwa ameshainuka, na kwenda kuwaita dada zake, akianzia chumbani kwa Radhia, ambako alikuwepo Radhia Zahara na yule mtoto mwingine wakike.


Kisha akaenda chumbani kwa wakina Mariam, ambako walikuwepo Siwema, Mariam na Zuhura, akimwacha Radhia na wakina Zahara, wakiwasubiri wakina Mariam waje kuungana.


Akiwa amesimama na watoto, Radhia alikuwa alie jawa na aibu na wasi wasi, aliwaza namba ambavyo ata mkabiri Edgar, kijana ambae siyo mume wake, lakini tayari walisha peana dudu, na kupeana kwenyewe kulikuwa zaidi ya kawaida, manaa walisha lambana adi nyeti zao, na kupeana kwa mitindo mbali mbali, kiasi kwamba, kila alipokumbuka alijikuta anatabasamu kwa aibu.


Lakini Radhia anapata ujasiri baada ya kuungana na wenzake, yani wakina Mariam, ambao kila mmoja anawaza lake, asa kuhusu ugeni wa watu waliokuja pale nyumbani kwao.


Yani ukiachilia kuhisi kuwa mgeni mlengwa, ambae inasemekana ni rafiki wa mukuhsin, tayari yupo kwenye mausino na Radhia, na kwamba usiku wa juzi kuamkia jana, Radhia alilala kwa kijana huyo, kitu ambacho kiliwaumiza roho zao.


pia mabinti watatu wa mzee Makame, walikuwa wanawaza mawazo mchanganyko, ambayo kwa namna moja aunyingine ayakuwatakia mema Edgar na Radhia, kuhusu penzi lao.


Wote wanaibukia sebuleni na kwenda kukaa walipokaa wanawake, ambapo ata Monica nae alikuwa amekaa, “asalam aleykum” wanasalimia mabinti wa bwana Makame, “wa aleykum salaam” wanaitikia wageni kwa pamoja, na kwa bahati mbaya, Radhia anajikuta amesha mtazama Edgar, na macho yao yanakutana, wote wanatazama chini huku wanajitabasamia.


Radhia akishikwa na aibu ya hali ya juu, huku wakina Mariam na dada yao Siwema wakipepesa macho kutazama wageni, nakukosa kuona kilicho tokea.


Ni kama mama Radhia anagundua jambo, anamtazama Radhia na kumwonyesha ishala ya kuwa amsogelee, nae anafanya hivyo, na mama yake anasogeza mdomo sikioni kwa Radhia, na kumnong’oneza, “jikaze na aibu, ukalete juice kwa wageni?” alisema mama Radhia, kwa sauti ambayo ata aliekuwa jilani hakusikia.


Radhia anainuka nakuelekea jikoni, akiacha utambulisho unaanza, “bwana Edgar sasa unaweza kutambulisha wageni wetu” alisema mwalimu Makame, yani baba yao wakina Mukhsin.


Wakati huo wanamwona Radhia analirudi na sinia lililojaa glass kumi, akaziweka kwenye dhuria, kisha akaanza kuondoka kueleka jikoni, lakini safari hii, Monica nae akainuka na kumfata Radhia, “samahani madam Radhia, nielekeze cha kufanya nikusaidie” alisema Monica, kwa sauti yenye upole na unyenyekevu wa hali ya juu.


Hiyo ina kuwashangaza wote waliokuwepo, pale sebuleni, asa wanafamilia wa mzee Makame, ambao wanatazamana kwa mshangao, “usijari dada Monica, we kaa tu, leo ni zamu yangu kukuhudumia” alisema Radhia, ambae anakumbuka jinsi alivyo hudumiwa kule nyumbani kwa Edgar.


Mama Mariam anamtazama Mariam, kwa jicho ambalo linamsimanga, kwanini wanashindwa kumsaidia Radhia kuhudumia wageni, Mariam anainuka akifwatiwa na Zuhura, wanaelekea jikoni, Monica anamtazama Edgar, nikama anamwuliza kuhusu kile alicho elezwa na Radhia, anae anamwonyesha ishala ya kichwa, kwamba akubaliane na alichosema Radhia.


Wakati wakina Radhia wanaelekea jikoni, Monica nae alikuwa anakaa pale alipokuwa amekaa mwanzo, Edgar akacheka kidogo, “mwalimu Makame, huyo anaitwa Monica, yeye ni katibu wangu, na huo ni utaratibu wetu, mwanamke hana ugeni” alisema Edgar, kwa sauti yenye utani, na wote wakacheka,


Wakati huo huo, wakina Radhia walikuwa wanarudi na majagi mawili makubwa ya kioo, yenye juice nzuri ya bungo, na grass nyingine kadhaa, na kuanza kumimina kwenye grass moja baada ya nyingine, huku wakisogeza kwa mhusika.


Safari hii siyo Radhia siyo Edgar, kila mmoja alijikaza asimtazame mwenzie, ata wakati Radhia anamwekea Edgar juice, alijitaidi asimtazame usoni, Edgar pia alindelea kutambulisha, “huyu anaitwa kanali Samson, yeye ni msadizi wangu katika maswala ya jeshi la ulinzi” alisema Edgar akimtambulisha mwanaume mmoja mtu mzima kama wale wengine wawili.


“huyu ni kiongozi wa usalama wa ubarozi wetu, anaitwa Jimmy, na huyu ni Hamson, yeye ni kiongozi wa utawara na mipango, katika ubarozi wetu” alisema Edgar, ambae nikama alikuwa anamaliza kutambulisha.


Lakini bado alikuwa na jambo la kusema, maana alimtazama mzee Makame, na kisha akamtazama Mukhsin, “nazani nivyema nikajitambulisha tena, licha ya kwamba Mukhsin alinitambulisha” alisema Edgar, huku anatabasamu kidogo, na kila mmoja akakubari kwa kichwa, akionekana niwazi walitaka nayeye ajitambulishe.


“naitwa Edgar Frank, ni barozi wa #Mbogo_Land hapa kisiwani Zanzibar, nimeamua kujitambulisha, sababu ata rafiki yangu Mukhsin sikuwai kumweleza” alisema Edgar, na hapo tukaweza kuliona tabasamu la mzee Makame.


Wakati huo tayari wakina Radhia, walikuwa wamesha maliza kuhudumia, na wameshakaa kwenye dhuria, na wao pia wakiwa na juice zao mikononi, “mwalimu Makame, kwaluksa yako, naomba ni kutambulishe kwa wageni wangu” alisema Edgar, ambae licha ya kuwa siyo mwongeaji sana, lakini mwonekano wake na ile sauti yake nzuto, ili wafanya wakina Mariam wajikute, wanamtazama kijana huyu mala kwamala, huku miili yao kisisimka kwa kuhisi raha anayoipata Radhia.


“bila shaka mheshimiwa barozi” alisema mzee Makame, hapo Edgar akacheka kidogo, “mzee nikiwa hapa nyumbani, aina haja ya kuniita mheshimiwa, hapa nyumbani wewe ndie mheshimiwa, maana nimekuja kwa ndugu zangu, na wewe ndie baba yetu” alisema Edgar na wote wakacheka taratibu, wakionyesha kufurahi. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Asante ,,,, mmmh najaribu kufikiria tu bwana idd ataenda na mpango upo kati ya ile mitatu ?? Naona kama atautumia ule wa kumteka kabisa Radhia ,, sijui baada ya tukio hilo itakiwaje ??
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA TANO: “bila shaka mheshimiwa barozi” alisema mzee Makame, hapo Edgar akacheka kidogo, “mzee nikiwa hapa nyumbani, aina haja ya kuniita mheshimiwa, hapa nyumbani wewe ndie mheshimiwa, maana nimekuja kwa ndugu zangu, na wewe ndie baba yetu” alisema Edgar na wote wakacheka taratibu, wakionyesha kufurahi. ......... ENDELEA….


Kabla mzee Makame ajaongea lolote, Edgar akawatazama wakina Samson, “jamani, huyu mbele yenu, ni baba yangu, baba wa rafiki yangu, anaitwa mwalimu Abeid Ally Makame, anamasters ya kilimo na mifugo, sasa ni mwalimu wa shule ya sekondali ya mwanakwelekwe A, ila anaweza kupewa majuku mengine hivi karibuni” alisema Edgar, kwa sauti yake nzito ya taratibu, kama vile akuwa anaongea jambo lolote zito.


Ili washtua wote walio elewa, asa yeye mwenye mzee Makame, wake zake na Siwema, pia walishtuka na kushangazwa na maneno ya Edgar, japo kwa Radhia, aikuwa mala yake ya kwanza kusikia neno kama ilo, maana ata siku ile alimsikia rais akiagiza apelekewe taarifa za mzee Makame.


Kwa mzee Makame ilikuwa ni mala ya pili kusikia hii, japo mala ya kwanza alipoambiwa na Mukhsin aikufafanuliwa, lakini leo ili msisimua pia, “naiwe kheri bwana Edgar, japo sijajuwa hayo majukumu mapya ni yapi” alisema mzee Makame huku akicheka kidogo, na wengine waka pia.


Mzee Makame pia akawatambulisha tena wake zake, kabla ajaamia kwa watoto, “nina watoto saba kwa wake zangu, mmoja yupo Oman anaangaikia maisha, huyu ni Siwema, dada mkubwa kabisa” alitambulisha mzee Makame, ambae akuficha lolote, “yeye alikuwa anafanya kazi ya uhuguzi hapo mnazi mmoja hospital, lakini kwasasa amesimaishwa kazi kutokana na changamoto zakimaisha” alisema mzee Makame, ilibakia kidogo mke mkubwa amzibe mdomo.


“huyu ni Radhia, yeye yupo hapa nyumbani, kama unavyoona, akubahatika kupata kazi serikalini” alitambulisha mzee Makame, ambae aliendelea kuwa tambulisha wakina Mariam na Zuhura na wengine wote mpaka mjukuu.


Naaaaam!, baada ya utambulisho maongezi mengine yakaendelea, huku wakina Radhia wakiandaa chakula na wakina Mariam, safari hii Siwema aliungana nao, ata walipoanza kula, Edgar akaongea kitu ambacho kili mshangaza kila mtu, kasoro wageni aliokuja nao.


“baba inshu ya Siwema niliisikia jana jioni nikiwa ofisini kwangu, lakini nimewasiliana na waziri wa afya, ambae ameaidi kumrudisha kazini jumatatu, alisema Edgar ambae aliwafanya wanafamilia watazamane kwa macho ya tabasamu.


“Edgar baba, unauhakika kuwa, waziri anaweza kurudisha Siwema kazini?” aliuliza mzee Makame, kwa sauti yenye mshangao na mshtuko wa kuto kuamini, “ndiyo ni mtu wetu wakaribu, na nirafiki wa karibu wa Radhia, lakini Siwema atakuwa tayari kufanyia kazi kwenye hospital atakayo pangiwa, maana atorudishwa pale pale” alisema Edgar, na sasa wanafamilia wakamtazama Radhia, ambae alikuwa ameinamia chini anaendela kula.


Kila mmoja anajiuliza toka lini Radhia na waziri wa afya wakawa marafikini, lakini aiwi ajabu kwa Siwema, ambae alisha waona kwenye picha alizo tumiwa na Amina siku ya afla wakiwa pamoja.


“hakika ni jambo jema, upate Baraka nyingi sana kijana wangu” alisema mzee Makame, huku wanaendelea kula, hakika ilikuwa furaha kwa wanafamilia na wageni wao, ambao kiukweli ile ilikuwa ni mala yao ya kwanza, kula vyakula vyenye upishi wa kiarab.


Walikula na kunywa wakiongea mengi sana, na kukufurahi kwa pamoja, wakielezana historia na matukio ya nyakati nzuri na za uzuni, huku mzee Makame na familia yake wakimfahamu vyema Edgar, kuwa licha ya kuwa barozi katika umri mdogo, pia ni mtu mwenye helimu ya juu na pia wazazi wake na kaka yake wameishi Tanzania kwa muda mrefu, ni kama wenyeweji wa nchi hii ya Tanzania.


Wakati maongezi yanaendelea, Radhia na Edgar mala kwa mala walijikuta wanatazamana, na kuishia kutabasamiana kwa siri, huku Radhia akiinamia chini, kwa aibu, sijuwi alikuwa anawaza, au kukumbuka nini, kitendo ambacho kilionwa na watu wachache sana, “bwana Edgar karibu sana, karibu muda wowote, nikama ulivyosema kwasasa wewe ni mwanafamilia” alisema mzee Abeid wakati flani wakiwa katika maongezi.


Muda wote wamangezi, pia wakina Mariam walimtazama Edgar kwa macho ya matamanio, huku wakishindwa kumfananisha na wakina Mahadhi, zaidi walivuta picha ya raha anayo ipata dada yao, ambae pia leo walihisi anaweza kuwa na safari ya huko maana tayari walisha sikia kuwa, anaenda chukwani, kwa mama yake mdogo.


Katika vitu ilivyo furahisha na kuupenda ujio wa Edgar pale kwao, moja ni taharifa ya kwamba alisha ongea na waziri wa afya, kuhusu Siwema kurudi kazini, pia baadae aliongelea swala la ufadhiri wa Mukhsin, endapo atabahatika kufika gazi ya chuo, na kubwa ambali lilimkaa sana, mzee Abeid Makame mwenyewe, ni kwamba anaweza kupangiwa majukumu mapya. ********


Saa kumi jioni, kijana Shaban Ussi alikuwa nyumbani kwake, na mpenzi wake Ashura, ambae siyo tu kwamba amelala nae nyumbani kwa siku mbili, akiwa mjamzito, ila pia ni mke wa mtu.


“sijuwi kwa nini nilimwambia nitakaa siku mbili, bola ata ningesema na kaa week nzima” alisema Ashura kwa sauti ya kulalamika, “usiwe na wasi wasi Ashura, we nenda alafu ukae sikuchache kisha uage tena” alisema Shaban, wakati huo walikuwa chumbani bila nguo ata moja kwenye miili yao.


Wazo ilo lilimfanya Ashura aachie tabasamu pana la furaha, maana ilimwona ajione kuwa bado yupo moyoni kwa Shaban, “hapo umeongea jambo la maaana, alafu mtu mwenyewe juzi amelichanganyikiwa sana, baada ya kumwona Radhia akiwa na kwenya sherehe na rais” alieleza Ashura, ambae akuacha kusimulia jinsi ilivyokuwa.


“mpuuzi sana, sasa kwanini alimwacha, na ninavyo mjuwa yule mjinga ataanza kumfukuzia tena” alisema Shaban, ambae alikuwa amelaza kiganja cha mkono wake, juu ya tumbo la Ashura, na kukitembeza taratibu, “yani huko aliko nazani atakuwa amesha kutana nae” alisema Ashura, na hapo likaja swali muhimu, “hivi itakuwaje iwapo Radhia atashika mimba kwa yule jamaa?” aliuliza Shaban.


Hapo Ashura akacheka kidogo, “yani lazima Idd achanganyikiwe, maana atashindwa kuelewa imekuwaje, na mbaya zaidi mke wake mpya mpaka sasa aonyeshi ata dalili ya kushika mimba” alisema Ashura, ambae alikuwa anaamini kabisa kuwa tatizo la uzazi lipo kwa Idd na siyo kwa Radhia.


Kitu ambacho inatakiwa msomaji ukijuwa ni kwamba, Ashura alilazimika kuchochea hasira za Idd ili amwache Radhia, ambae ni mke mwenzake, sababu alikuwa na wasi wasi kama angeendelea kukaa bila ujauzito na wakaamua kwenda hospital kwa pamoja na ingebainika kuwa mwenyeshida ni Idd, ingekuwa tatizo kwake, maana angelazimika kueleza ametoa wapi watoto wawili na ujauzito alionao.


“chamsingi mimi naona tuanze mipango ili muachane mapema, kisha sisi tuishi pamoja, kabla mambo ayajawa mengi” alisema Shaban, ambae alizidi kumfurahisha Ashura ambae mpaka sasa alijiona anakosa uhuru, wa kuishi na mwanaume anaempenda.


“nakusikiliza wewe mume wangu, maana ata mimi najiona sikutendei haki, kwajinsi navyoishi na mwanaume mwingine” alisema Ashura, huku anajiinua kidogo na kulaza kichwa chake, kifuani kwa Shaban, “aina shida niachie mimi, kwasasa tujiandae nikupeleke, kabla ajaenda kukuchukuwa kwa dada yako na kukukosa” alisema Shaban, lakini Ashura akutoa jibu, zaidi ya kupeleka mkono kwenye dudu ya mpenzi wake na kuikagua kama ingeweza kuingia kazini au la.*******


Naaaaaam!, saa kumi na moja na nusu, ndio muda ambao Edgar Frank alipo aga kwa mwenyeji wake, tayari kwa kuondoka na watu wake, wakiwa wamesha ongea mengi, na huku wote wakionekana wenye furaha, tayari alikuwa amesha gawa zawadi kwenye ile mifuko, huku kila moja ikiwa na na kibandiko cha jina la muusika, yani kuanzia mzee Makame mwenyewe adi Khadija wote, walipata zawadi.


Edgar anaondoka na msafara wa magari mawili, huku wakiacha furaha nyumbani kwa mzee Makame, ambako wakina Mariam Siwema Radhia na Zuhura, waliweka sawa kila tu, asa vyombo vilivyo tumika mchana, “Radhia jitaidi uwai chukwaani, kabla giza halija ingia” alisema mama Zahara, akimweleza Radhia, ambae alitabasamu na kuelekea chumbani kwake kujiandaa. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA SABA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA SITA: Edgar anaondoka na msafara wa magari mawili, huku wakiacha furaha nyumbani kwa mzee Makame, ambako wakina Mariam Siwema Radhia na Zuhura, waliweka sawa kila tu, asa vyombo vilivyo tumika mchana, “Radhia jitaidi uwai chukwaani, kabla giza halija ingia” alisema mama Zahara, akimweleza Radhia, ambae alitabasamu na kuelekea chumbani kwake kujiandaa. ......... ENDELEA….


Radhia ambae akufungua zawadi ata moja, alipembua nguo zake na kwaajili ya kujiandaa kuoga, mala anasikia simu yake inaingia ujumbe, akaufungua haraka, “niliona muda unachelewa ili tuwe wote, maana nilishindwa kuongea na wewe hapo nyumbani” Radhia anatabasamu, huku anaanza kuandika ujumbe kujibu ule wa Edgar, “mwenzio nilihisi miguu inakosa nguvu, nilishikwa na aibu sana, najiandaa nakuja sasa hivi” alipomaliza kuandika akautuma kwenda kwa Edgar.


Lakini kabla Radhia ajaweka simu kitandani, akasikia ujumbe mwingine unaingia, akaishukuwa haraka na kufungua ujumbe, “ukiwa tayari nijulishe nije kukufwata hapo stendi” ndivyo ulivyosema ujumbe toka kwa Edgar.


Radhia anatabasamu kidogo, kisha anajibu, “sawa” alijibu Radhia, kisha akaweka simu kitandani na kuelekea bafuni.*******


Huko mjini magharibi mitaa ya darajani, bwana Idd alikuwa anafunga duka lake haraka haraka, kichwani mwake akiwaza kuhusu mbinu nzuri ya kumfanya Edgar aamini kuwa bado anatembea na Radhia, au Radhia anamwanaume mwingine.


Idd anawaza ili nalile huku anamaliza kufunga duka lake, kisha anachukuwa basikeri yake, nakuanza kutembea kuelekea upande wa michenzani, ambako alipita kama vile akai mtaa huo, na kuzidi kuchochora kuitafuta jang’ombe, ambako, “lazima nifanya juu chini huyu mwanamke aachane na huyo mtu wake, “yani jituliletoka zake huko, linakuja kuchukuwa mwanamke huku kwetu” anajisemea Idd huku anaparadhia baiskeri.


Wakati Idd anaendelea kuparazia pederi za baiskeri yake, mala ghafla, kuna wazo likamjia kichwani mwake, nalo lilikuwa nimpango mpya, tofauti kabisa na ule wa mwanzo, “yess hapo nitakuwa nimekomesha kabisaaa, atakoma kulinga, na lazima aonekane kicheche” alijisemea Idd huku anaendelea kuendesha baiskeri.


Naaaaaaaaam!, saa kumi na mbili na robo, kigiza cha usoni kimesha anza kutanda, mida ambayo kijana Idd kiparago alikuwa anakaribia nyumbani kwa kina Radhia, yani jang’ombe kwa soud, na ndio wakati alipomwona Radhia aliekuwa anaongea na simu, huku anatembea kwa haraka, kuelekea upande wa mchina mwanzo, sehemu ambayo kuna kituo cha dala dala, ambacho wakazi wa mataa wa jang’ombe kwa soud, na gombani, uwa wanapandia kagari kwenda sehemu mbali mbali za kisiwa hiki cha unguja.


Hakika Radhia alikuwa amependeza kwa nguo alizovaa, lakini mkoba wake kwapani ndio uliomtia mashaka Idd, ambae aliamini kuwa safari ya Radhia aikuwa ya kwenda nakurudi, na simu aliyokuwa anaongea nayo ndiyo ilimchanganya zaidi kijana huyu.


Hapo wivu wa hali ya juu unamshika Idd, ambae anajukuta ana anaongeza mwendo kumfwata Radhia kule anakoelekea, “mshenzi sana, sujuwi anaelekea wapi huyu” anajisemea Idd, huku anazidi kumkaribia Radhia, na sasa aliweza kumsikia harufu nzuri ya hudi, arufu ambayo mala nyingi mwanamke ujifukiza akiwa na mtoko maharumu.


“wala hauna haja ya kunifwata huku, nipo njiani, nikukute hapo stendi” Idd aliweza kumsikia Radhia, akiongea kwa sauti ya kujidekeza na kubembeleza, huku anacheka cheka, kicheko cha raha.


Iddi aliumia rohoni sana, anashuka toka kwenye baskeri yake, huku bado maongezi ya radhia yanaendelea, “sawa lakini punguza haraka, mie leo wako tena nimeambiwa ni kae ata siku mbili, wasi wasi wako nini” ilo lilimshtua Iddi ambae alishindwa kuvumilia, “Radhia unaenda wapi?” aliuliza Idd, kwa sauti yenye wivu, bahati nzuri Radhia nae ndio alikuwa anakata simu.

Radhia anamtazama Idd kidogo, huku anaendelea kutembea, “he!, unauliza nakoenda vipi unataka kunipeleka” anauliza Radhia, ambae akuonekana kubabaika wala kushtuka, “hivi ujuwe sasa hivi unatia aibu sana Radhia, yani umefikia atua ya kwenda kulala kwa wanaume?” anauliza iddi kwa sauti yenye machungu na malalamiko.


Radhia aonyeshi kubabaishwa na malalamiko ya Idd, anaendelea kutembea, huku anatikisa kichwa kwamasikitiko, “Idd, hivi wewe ni mwanaume wa aina gani, kwanini usitumie muda wako kufwatilia mambo ya mkeo, kuliko kuangalia aibu zangu ambazo azikusaidii wala kukupunguzia chochote?” aliuliza Radhia, wakati huo anaibukia kwa mchina mwanzo, ambako aliweza kuliona gari dogo aina ya BMW jeusi limesimama pembeni ya barabara.


Idd anasimama ghafla, na kutulia akimsindikiza Radhia kwa macho, ni wazi maneno ya Radhia yalimkumbusha kitu, kwamba ni siku ya pili leo ajawasilia na mke wake, na wala ajamwona, au kujuwa anaendeleaje, ila ajari sana, maana bado mawazo yake yapo kwa Radhia, ambae siyo tu kumwona amependeza sana, na amekuwa mzuri mala dufu, ila pia alikuwa ananikia Udi, ambao ni wazi alikuwa amejifukiza muda mfupi uliopita.


Idd anaendelea kumtazama Radhia ambae anakifwata BMW jeusi na kuingia ndani ya gari ilo, ambalo lilikuwa linaunguruma, gari ambalo liliendelea kutulia pale pale, bila kuondoka.


Idd analitazama gari lile ambalo linaendelea kusimama pele pale kituoni anatamani awafwate, na kufanya kitu kinacho mjia kichwani, kwamba akajifanye ni mume halali wa Radhia, lakini anasita, maana anakumbuka jana alikutana na Edgar, ambae alionyesha wazi anataarifa zote za kuachana kwao.


Zinakatika dakika zaidi ya tano, kisha gari linaanza kuondoka taratibu, kuelekea upande wa mjini, kupitia amani, yani uwanja wa mpira wa mguu wa amani Karume.


Hapo Idd anakumbuka kuhusu ile kauri ya Radhia kwamba ajaribu kumfwatilia mke wake, na siyo yeye, ambae siyo mke wake, “ana maana gani Radhia, anahisi kuwa Ashura anamwanaume mwingine?” anajiuliza Idd, akiwa amesimama pale pale kwa mchina mwanzo, “ila ata kama sijawasiliana nae, awezi kufanya ufuska na lile tumbo anaanzaje, kwanza ata huyo mwanaume atakae fanya nae ufuska atakuwa mjinga” alijisemea Idd huku anapanda baskeri yake na kuondoka kuelekea michenzani, kichwani mwake akipanga kwenda kuutekeleza mpango wake mpya alio upanga.*******


Mida hii nyumbani kwa kwa mzee Abeid, mambo yalikuwa mchanganyiko, wakati wengine wanafurahi kuhusu ugeni na matarajio ya baadae, kwa baadhi ya wanafamilia, pia kuna wengine walikuwa wamenyongea na kukosa amani kabisa, kati ya walio kosa amani, alikuwepo Siwema na wadogo zake, yani Mariam na Zuhura.


Kitu ambacho uwezi amini ni kwamba, licha ya Siwema kuombewa kurudishwa kazini, na Edgar, ambae ni rafiki wa Mukhsin na mpenzi wa siri wa Radhia, lakini bado Siwema aliumia rohini mwake, akijiuliza kwa nini ile bahati ya kuwa na Edgar, ilikuwa kwa Radhia, na siyo mmoja kati yake na wadogo zake.


Hakika alitamani Radhia aachwe na yeye achukuwe nafasi ile, ukichukulia ni kamba, sasa yeye alikuwa mpweke, kwamaana akuwa na mume, “hivi mama itakuwaje yule kijana akijuwa kama Radhia awezi kuzaa?” aliuliza Siwema, wakiwa amekaa kibaradhani na mama zake wote wawili na wakina Zuhura na Mariam.


Swali lilimshtua sana mama Radhia, lakini lilimburudisha mama Mariam, na wakina Mariam, “unazani nini kitafwa, ni kuachika tena kwa mala ya pili” aliejibu alikuwa ni Zuhura, ambae alishindwa kuficha roho yake ya wivu.


Mama Radhia anawatazama watoto wa mke mwenzie, kwa macho ya mshangao, “lakini nani amewaambia kuwa Radhia na yule kijana ni wapenzi?” anauliza mama Radhia kwa sauti yenye mshangao na mashaka juu ya mabinti wale watatu.


Mariam anamtazama Zuhura, mama Mariam anamtazama Siwema, ambae alikuwa anamtazama mama Radhia, “mama mdogo, kwani bado ni siri, mbona juzi niliwaona bwawani hotel, na juzi usiku alilala kwa yule kaka?” aliuliza Siwema kwa sauti ya kukosoa. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA SABA: Mariam anamtazama Zuhura, mama Mariam anamtazama Siwema, ambae alikuwa anamtazama mama Radhia, “mama mdogo, kwani bado ni siri, mbona juzi niliwaona bwawani hotel, na juzi usiku alilala kwa yule kaka?” aliuliza Siwema kwa sauti ya kukosoa. ......... ENDELEA….


Mama Mariam anatabasamia pembeni, wakati huo Zuhura anadakia “ata leo sidhani kama ni kweli anaenda huko Chukwani, usikute anaenda kwa mwanaume wake, maana walivyokuwa wanatazamana tu, unajuwa wao ni wapenzi” alisema Zuhura, na kuwafanya wenzake wacheke.


Hakika ilizidi kumshangaza mama Radhia, ambae nikama alishikwa na hasira, lakini aliizuwia, “sasa jamani, nani aliwaambia kuwa kila mausiano ni ndoa, hivi pange bakia mtu ambae ajaolewa kweli?” lile swali liliwafanya mabinti wote watatu watazame chini, wakikwepesha macho yao, maana wote walikuwa na mausiano yasiyo usiana na ndoa.


Lakini ilimgusa zaidi mama Mariam, “hapa tunaongelea swala la Radhia, sijuwi hayo mengine yanatokea wapi” alisema mama Mariam kwa sauti, yenye kuchukia, “kwa hiyo swala la Radhia inafaa kumzungumzia akiwa hayupo?,” anauliza mama Radhia, hakuna mmoja anae weza kujibu, wote wanatazama chini.


Kabla awajapata jibu, wakati huo huo anatokea Mukhsin, “mama unaitwa na baba” anasema Mukhsin, huku anamtazama mama yake, yani mke mdogo wa bwana Makame, nae akainuka mala moja na kuingia ndani akiongozana na kijana wake Mukhsin.


Nyuma yake aliwaacha mama mriam na mabinti zake, wakimsindikiza kwa macho huku wamekunja sura zao kwa chuki, ata anapotowekea ndani, ndipo mama Mariam anatoa neno, “anajiona amepata, wakati binti yake anafanya ufuska” alisema mama Mariam kwa sauti ya chini, yenye chuki.


Hapo yakaanza maongezi ya kumsimanga Radhia, huku kila mmoja akimwombea mabaya, ikiwa ni kuachwa na Edgar, kutokana na tatizo lake la kuto kushika ujauzito.********


Naaammmm!, tuanzie kwamchina mwanzo, ambapo Radhia aliekuwa anfwatiliwa na Idd alitembea bila kusita akilifwata gari aina ya BMW jeusi, ambalo sasa akuitaji kuulizia la nani, maana alisha lijuwa kuwa ni la mwanaume ambae sasa ndiyo kiboko yake.


Radhia analifikia gari na kufungua mlango wa upande wa abiria wa mbele, ambako alimkumta Edgar akiwa amekaa kwenye seat yake ya dereva, amevalia kanzu yake ile ile, ambayo alikuja nayo nyumbani kwao, muda mfupi uliopita.


Radhia ambae anabadirisha arufu ya ndani ya gari, na kufanya linukie arufu nzuri ya hudi, anakaa kwenye seat yake, na kufunga mlango wa gari, huku tabasamu likiwa limeshamili usoni mwake, “asalam ayekum” anasalimia Radhia, kwa sauti tamu, iliyoshiba aibu, ni wazi anakumbuka yale waliyo ya fanya juzi usiku.


“alekyum salam” ana itikia Edgar, kwa sauti nzito, na tulivu, inayomfanya Radhia amtazame Edgar, anamwona na yeye alikuwa anamtazama, kwa macho yaki macho yao yanakutana, “usinitazame hivyo bwana, mwenzio najisikia aibu” alisema Radhia kwa sauti yake tamu, iliyozidiwa na aibu, sambamba na kicheko cha kike, chenye aiba ya kischana, katika hali ya kutia ashki, huku anaziba uso wake, kwa mikono yote miwili.


Edgar Frank anatabasamu kidogo, “nitajizuwia kula kwa week nzima, lakini siwezi kujizuwia kukutazama, unapokuwa karibu yangu” anasema Edgar, huku anapeleka mkono wake wakulia kwenye shavu la Radhia, na kulaza kiganja chake, kwenye shavu la kushto la mwanamke huyu, alie jaliwa uzuri, ata kama ajajipamba kwa chochote usoni mwake.


Radhia anasisimkwa kwa mguso wa mkono wa Edgar shavuni kwake, huku wakati huo huo anajisikia raha moyoni kwa yale maneno ya Edgar, “kwa…, kwanini unapenda kunitazama?” aliuliza Radhia, kwa sauti ye tabu, ambayo ili tokea puani, ikiwa imejawa na msisimko wa wazi kabisa, “wewe umenifanya nijione mwenye bahati kubwa, sasa naamini kuwa mpango wakuja huku Zanzibar, aikuwa bahati mbaya, ilikuwa ni makusudi, ili nikutane na wewe” alisema Edgar kwa sauti nzito na tulivu, huku anamgeuzia Radhia upande wake.


Radhia ajaelewa maana ya Edgar kumgeuzia upande wake, anafumbua macho ili kumtazama, anamwona anamtazama kwa macho tulivu, yenye kuomba jambo flani, Radhia anajikuta ameganda anatazamana na Edgar.


Sekunde tano zilitosha kumlegeza Radhia, ambae anashindwa tena kutabasamu, awezi kukwepesha macho yake, aibu ina mtoka, anaendelea kumtazama Edgar, huku macho yake yakizidi kulegea, anamwona Edgar anamsogezea mdomo kwenye mdomo wake.


Radhia anahisi kinacho fwata, anajikuta analegeza midomo yake, ata inapokutana na midomo ya Edgar, nae anaaipokea vyema na wanaanza kulambana midomo, kwa sekunde kadhaa, kabla awajaachana, na kutazama usoni, lakini safari hii Radhia anashindwa na kukwepesha macho, anataazama chini kwa aibu huku tabasamu linamponyoka.


Edgar anaanza kuendesha gari, kimya kimya kuelekea upande wa mjini, kupitia amani, yani uwanja wa mpira wamiguu wa Amani Karume, kimya kimetawara kwa dakika kadhaa, kila mmoja anawaza la kwake.


Radhia anawaza namna leo usiku atakavyo faidi kile alicho kikosa kwa muda mrefu, yani kile ambacho akiweza kukifaidi toka alipo anza kuingia kwenye ulimwengu wa mapenzi, maana kwajinsi alivyo nyanduliwa juzi na Edgar, ni kama alikuwa ananyanduliwa kwa mala ya kwanza, sababu mume wake wa zamani akuwai kumpatia raha ya dudu, kama vile ambavyo Edgar alifanya.


Ukweli kwa upande wa Edgar yeye aliweka wazi kile alichokuwa anakiwaza, “Radhia, umeajiandaaje endapo utashika ujauzito” aliuliza Edgar, kwa sauti tulivu, huku anaendesha gari taratibu, kukata kona ya kuingia barabara ya amani, akiiacha hii ya kiembe samaki.


Radhia ananyongea na kutazama chini, huku akichezea vidole vyake vya mikono, uso umekosa amani kabisa, “siwezi kushika mimba” alijibu Radhia, kwasauti iliyojaa unyonge na uzuni, inamfanya Edgar amtazame Radhia kidogo kisha anatazama mbele.


“nani kakuambiwa uwezi kushika mimba, wakati ata hospital ujawai kwenda?” aliiza Edgar huku anapeleka mkono wake ana kushika kichwa cha Radhia, alie kuwa amevaa hijab, na kukipapasa kidogo.


Radhia anatabasamu kidogo, japo ni wazi bado anaudhuni ya wazi usoni mwake, anamtazama Edgar kwamacho tulivu, “ila usiwe na wasi wasi Eddy, unaweza kutafuta mwanamke anae zaa, ila naomba iwe mbali na hapa, nitaumia sana, sababu nisha kupenda sana” alisema Radhia, kwa sauti tulivu, iliyozuwia uchungu na uzuni.


Edgar anacheka kicheko chamguno, “Radhia nani kasema nitaowa mwanamke mwingine, si jana tu tumeongea kuhusu kuweka wazi mausiano yetu, mimi nauliza umejiandaa vipi ukishika ujauzito” aliuliza Edgar kwa ile sauti yake nzito.


Radhia anamtazama tena Edgar, safari hii akitumia sekunde kadhaa, kama anajiuliza huyu mwanaume anamana gani, “kweli sijuwi nisemeje, mimi sijajiandaa kwa lolote, sababu sitegemei” alijibu Radhia, safari nikama uzuni yake ilianza kupungua.


“ujuwe Radhia sisi bado atuja weka wazi kwa wazazi kuhusu mausino yetu, nab ado atujafunga ndoa, sasa unazani mzee Makame atatuelewaje, kama utashika mimba kabla ya ndoa wala uchumba?” anauliza Edgar, wakati huo wanaingia michenzani maghorofani, kisha wanashika barabara ya kuelekea darajani mpaka forodhani.


Radhia anamtazama tena Edgar kwa kwamacho yenye mshangao flani laini, na tabasamu flani la kirafiki, na upendo, “Eddy bwana, unamawazo ya mbali sana, basi niseme nakuachia weye kila kitu, maana mimi ni wako, ata ukinipa hiyo mimba itakuwa ni yako” alisema Radhia na wote wakacheka, kwa pamoja, huku wakatiza darajani na kuelekea forodhani.*******


Naaaaaam!, saa mbili usiku, mida mbayo, ilimkuta Idd akiwa tayari ameshaingia mtaani kwao, na sasa alikuwa anakanyaga pederi kuelekea nyumbani kwake, kwenye nyumba ya urithi ya baba yake bwana kiparago.


Lakini wakiwa anaendelea kuendesha baskeri yake, mala akasikia ngurumo ya piki piki yani Vesper, toka nyuma yake, akasogeza baskeri yake pembeni, na akaiona Vesper inapita kwa speed, ya wastani, huku wapandaji mwanamke na mwanaume, wakiwa wamevaa kofia ngumu, zilizo ziba nyuso zao, kilicho mvutiaIdd ni yule mwanamke aliepnda nyuma ya vesper, ambayo niusafiri pendwa kwa wakazi wa kisiwa hiki na kisiwa jilani cha pemba.


“huyu siyo Ashura kweli?” alijiuliza Idd huku anatazama ile vesper ambayo ilikuwa na watu wawili, mwanaume aliekuwa anaendesha, na mwanamke aliekuwa amepakizwa nyuma, ambae kwa mwonekano alikuwa ni mjamzito, maana tumbo lilikuwa kubwa kabisa na lina onekana wazi. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SABINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA NANE: “huyu siyo Ashura kweli?” alijiuliza Idd huku anatazama ile vesper ambayo ilikuwa na watu wawili, mwanaume aliekuwa anaendesha, na mwanamke aliekuwa amepakizwa nyuma, ambae kwa mwonekano alikuwa ni mjamzito, maana tumbo lilikuwa kubwa kabisa na lina onekana wazi. ......... ENDELEA….


“amepanda vesper ya nani” anajiuliza Idd, huku anaaongeza mwendo, ungesema anakimbiza vesper, ambayo asingeweza kuikimbiza kwa baskeri ata kidogo.


Idd anapalazia baiskeri yake, kwa nguvu lakini hakuna mafanikio, maana tayari vesper imesha potea, anaamua aendeshe baskeri yake kuwai nyumbani, akatazame kama angemkuta mke wake au la.


Lakini baada ya kwenda kwa mita kadhaa mbele na kuibukia dukani kwa Seif, akaiona vesper kama ile iliyompita njiani, ikiwa imesimama pale dukani, na juu yake kukiwa na kifia mbili ngumu, lakini hapakuwa na mtu.


Idd anapotazama kwenye rango la duka, anamwona kijana alie mgeuzia mgongo, anatamani asogee karibu ili amtambue kijana huyu, ambae anahisi kuwa ndie alie mpatia lift mke wake, lakini anashindwa, sababu yeye na bwana Seif, ambae ni rafiki mkubwa wa Shaban, bwana wazamani wa Ashura, walisha fungiana vioo, kwamaana ya yakukata mawasilino, toka wakati ule Idd alipomzunguka Shaban na kumchumbia Ashura.


“umetisha sana kaka, kwahiyo anakupenda kiasi cha kutaka muishi pamoja?” ilikuwa sauti ya Seif, ambayo ilipenye masikioni mwa Idd moja kwa moja, na kumanya apunguze mwendo, ili asikilize sauti ya mwanaume alie simama kwa kumgeuziamgongo, “usiulize kuhusu kunipenda, toka juzi nipo nae nyumbani, na bwawani hotel nilienda nae” jibu halikumfanya Idd achanganyikiwe, ila sauti ya mjibuji ndiyo iliyo mvuruga Idd.


“mh! si Shaban huyu amefwata nini huku?” anajiuliza Idd, huku anageuka na kutazama kule dukani, ambako sasa alikuwa amesha pita kidogo, na kuweza kumwona Shaban kwa upande wa ubavuni, “huyu mpuuzi ndiyo alimbeba Ashur….,” kabla Idd ajamaliza kusema alichokuwa anasema, akashtuka anakita kwenye ukuta wa nyumba iliyopo mbele yake, na kuanguka chini, akibamiza kichwa kwenye ukuta wa nyumba ile.


Kwambali akasikia vicheko vya watu wengine wakiwepo wale waliokuwepo dukani, yani Shaban na Seif, Idd anajiinua toka chini na kushika kichwani, akijaribu kupooza maumivu, na hii ilikuwa bahati kubwa kwake, sababu alipata ajari akiwa kwenye mwendo mdogo.


Idd anachukuwa baskeri yake na kuondoka kwa haraka akuelekea nyumbani kwake, kichwani akisumbuliwa na wazo mchanganyiko, moja ikiwa ni kumwona Shaban mtaani kwao mida hii, na wakati alisha hama muda mrefu, na kwenda kuishi huko mlandege.


Pia yule ambae alimwona amembeba kwenywe ye vesper yake, ni Ashura kweli au macho yake yamemdanganya, lakini swala la Ashura kuwa anatoka na shabani, japo ni kweli Ashura akuwepo nyumbani kwa siku mbili, lakini aliloona aliendani na mazungumzo ya Shaban, sababu Ashura ni mjamzito tena ana mimba kubwa ambayo week tatu baadae angeingia kwenye matazamio ya kujifungua.


Ila swala la Radhia, mwanamke ambae siyo tu kwamba amekuwa mzuri mala dufu, ila pia anajiamini sana, siyo kama yule aliemzowea, mwenye kuinamisha kichwa chini muda wote wakati anaongea nae, hakika lilimuumiza kichwa na roho yake, kwa wivu na chuki, kuliko ata lilivyo muumiza swala la mke wake Ashura, ambae aliamini kuwa awezi kufanya lolote kutokana na maelekezo ya Doctor, kuwa asiingiliwe kimwili mpaka atakapojifungua.********


Usiku huu eneo lote la mjini mgharibi lilikuwa limechangamka, walionekana watu walio ongozana kwa makundi ya kuanzia watu wawili na zaidi, yani wapenzi au wanandoa, pia wapo walio kuwa na familia zao, ambao walionekana wakiwa wamekaa kwenye vinuga vya bustani nzuri za eneo ili maalumu la kukupumzikia.


Majiko yaliyopo kwenye vibanda vidogo vidogo, yaliendelea kufuka moshi, vikiivisha vyakula vyepesi, vyenye kutoa harufu nzuri ya kuleta njaa, na hamu ya kula, pembeni baadhi ya watu wamezunguka meza kubwa na pana, zenye vyakula izuri vya mashambani na baharini.


Kama vile samaki wa kila aina, wakiwepo pwenza wa kuchemshwa, wa kukaangwa, samaki wa kila aina wakuchoma na kukaangwa, pia chakula laini aina ya urojo, mishikaki ya ngombe, kuku wackuchoma na wale wakukaanga, chips za viazi mvilingo, ndizi na mihogo ya kuchoma.


Radhia akiwa ameung’ang’ania mkono wa Edgar, kwa kuukumbatia, walitembea taratibu huku wakiongea ili na lile, na kutaniana, hakika kwa macho tu ungeuwa ni wapenzi walio shibana kweli kweli


Edgar ambae anafurahia kumbatio lenye joto, kwenye mkono wake wa kushoto, anamtazama Radhia kwa macho yenye nuru ya upendo, na kumfanya Radhia ambae ata yeye akujuwa aliwezaje kupata ujasiri wa kuung’ang’ania mkono wa Edgar namna ile, atabasamu kwa furaha, huku moyoni akijihisi rahakubwa na amani ya moyoni mwake.


“Radhia, unapenda mtoto wa kwanza awe wa kike au wakiume?” anauliza Edgar kwa sauti yake nzito, huku wanatembea taratibu kuifwata meza moja iliyopo karibu yao.


Radhia anatabasamu kidogo, huku anavuta picha wakati akiwa yeye Edgar na mtoto mdogo wakiume, anae tembea kati kati yao, huku anafanya fujo ndogo ndogo, “wewe unapenda yupi, wakike au wakiume?” anauliza Radhia, huku anacheka kidogo, Edgar nae anacheka kidogo, “kwakuwa unapenda sana mtoto, napenda awe wakike ili awe anakaa na wewe jikoni muda wote” anasema Edgar na wote wanacheka kwa pamoja.


“inamaana upendi mtoto wakike?” anauliza Radhia huku wanasimama mita chache toka ilipomeza ya chakula, ambayo ilikuwa na watu kadhaa wananunu vyakula, “kwanini nisipende, hapa nazungumzia kukaa nae jikoni muda wote” alisema Edgar akiweka sawa swali la Radhia, “hooo!, basi mimi napenda nipate kwanza wakiume, ili umfundishe mambo mengi, kabla ujawa na kazi nyingi” alisema Radhia, huku wanaanza kutembea kuisogelea ile meza.


Wanaifikia meza na kuanza kuchagua wanacho itaji, ikiwa ni pweza na samaki wa kuchoma, ambao waliwekwa chachandu nzuri ya pilipili, “umeongea kitu ambacho baba yangu alikifanya kwa kaka yangu, alimfundisha kupigana, kaka anauwezo mkubwa wakupigana” alisema Edgar, huku wameshika visahani vyenye pweza wa kukaanga na samaki wa kuchoma, sambamba na ndizi za kukaanga.


“kwanini wewe baba yako akukufundisha kupigana?” aliuliza Radhia, huku wanaendelea kutembea taratibu, kila mmoja na sahani yake mkononi, kufwata sehemu ambayo wanaweza kukaa, Edgar anacheka kidogo, “nimekaa sana na kaka yangu, yeye ndie alie nifundisha kupigana, japo pia nilijifunza mpira wakikapu” alisema Edgar huku wanakaa kwenye mabenchi mazuri ya pale forodhani, yaliyowekwa viegemeo.*********


Idd anaingia nyumbani haraka haraka, anapitiliza chumbani kwa mke wake mkubwa, kama vile anaenda kufumania, lakini Ashura akuwepo ndani ya chumba, zaidi anaona mkoba wa nguo chache ambao mke wake aliondoka nao, nikama pia aliuona ameukumbatia kwenye vesper. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Radhia anatazama yule mwanaume, kwa sekunde kadhaa, kabla ajamwona anamtazama tena, na macho yao yanakutana tena, “ananitazama tena” anasema Radhia kwa sauti yachini, safari hii yeye anakuwa kwanza kukimbiza macho yake, “nani anakutazama?” anauliza Zahara, huku anatazama kushoto na kulia, lakini aoni kitu, wala mtu anae mtazama dada yake, anarudisha macho uwanjani. ENDELEA….

Wakati huo dada yake anamtazama tena yule kijana, akishindwa kuacha kumtazama yule kijana, ambae kiukweli kila alipozidi kumtazama anagundua kuwa ni wakipekee sana, maana ukiachilia uvaaji wake na usafi alionao, pia alikuwa amevaa saa ya samani kubwa sana, pia alikuwa peke yake.

Radhia anatazama watu wa pembeni, anagundua kuwa idadi kubwa ya wanawake waliokuwepo eneo lile walikuwa wanamtazama yule kijana, ambae ameomwona mala kadhaa akimtazama yeye, japo yeye alikuwa anamtazama yeye pekee.

Radhia anajaribu kujilinganisha na yule kijana, na wanawake wengine waliokuwepo pale, wakimshangaa yule mwanaume, anaona kuwa akuwa na hadhi ya kuwa na kijana yule, kulinganisha na wale wanawake wengine, “sasa kwanini ananitazama hivi?” anajiuliza Radhia, huku anageuza tena uso wake tena, kumtazama yule kijana mtanashati, ambae anamwona anamtazama.

Radhia anaingiwa na wasi wasi na uoga, “au nimevaa vibaya ndio maana ana nishangaa?” anajiuliza Radhia huku anajitazama kwa macho ya kujikagua, lakini anajiona yupo sawa, “au nimevaa ksiahamba sana” anajisemea Radhia, huku anawatazama wanawake wengine, walio kuwa eneo la karibu, ambao pia kiukweli, walikuwa wamevalia vizuri nguo mpya za kupendeza.

Safari hii Radhia anajitaidi sana, asitazame kule akikokwepo yule mwanaume, lakini baada ya dakika mbili au tatu anajikuta ametazama tena, na kwabahati mbaya sana kwake, anamwona yule kijana akiwa anamtazama, na macho yao yakakutana kwa mala nyingine tena, safari hii, wote wakajikuta wanakwepesha macho yao kwa pamoja, na kutazama uwanjani.

Ilikuwa hivyo mala kwa mala, Radhia akijaribu kumtazama kijana huyu kwa vizia, lakini alimkuta anamtazama ata alipoamua kijizuwia asitazame, lakini ilitokea tu, akajikuta anamtazama kijana yule, kuna wakti alimwona akiwa anatazama mpira na kuna wakati walikutana macho kwa macho.

Japo alipanga kuwai kuondoka, lakini alijikuta anapata wazo la kubakia pale uwanjani, kuendelea kutazama mpira, japo burudani kubwa kwake ilikuwa ni kumtazama yule kijana, ambae ni mgeni kabisa machoni pake, japo kuna wakati alijihisi vibaya alipomwona Zahara anavyo watazama watu waliokuwa wananunua na kula vitu mbali mbali vilivyokuwa vinauzwa pale uwanjani, wao awakuwa na ata senti moja mbovu.*******

Naaaam!, mambo yalikuwa endelea hivyoo hivyo muda wote wa mchezo wa mpira wakikapu, ata mpambano ulipoisha, wakina Mukhsin wakiibuka kidedea kwa point nyingi sana, Radhia na Zahara wakamwona Mukhsin anatoka uwanjani, akishangilia na wenzake, niwazi hakuwa amewaona dada zake, “kaka Muuuu!, sisi tupo huku” alipiga kelele Zahara, akimwita Mukhsin, ambae aligeuka na kuwaona, lakini akuwafwata, baada yake aliendelea kushangilia na wenzake.

Lakini Radhia ambae akujari sana kuhusu Mukhsin, aliendelea kumtazama yule kijana, ambae sasa nayeye akuwa anatazama tena, ila baada yake alikuwa anatazama lile kundi la wakina Mukhsin, ambalo baada ya dakika kadhaa mbele walijikusanya kwa mwalimu wao, anae wafundisha mpira huu wa kikapu, ambae aliongea nao mawili matatu, kabla ya kuwaluhusu waondoke zao.

Ndipo Radhia alipo shangaa kumwona mdogo wake Mukhsin akimfwata moja kwa moja yule kijana ambae alikuwa anashangaana nae, anamfikia wanapeana mikono ya hongera, kisha Mukhsin anamweleza jambo yule kijana, alafu wanaanza kutembea kuja pale walipokuwepo wao, “mungu wangu, kumbe rafiki yake Mu” anashtuka Radhia, na kutamani kuficha sura yake kwa ushungi wake, lakini anaona itakuwa aibu zaidi, hivyo anachagua kujikausha, kama vile hakuna kilichotokea.

Radhia anasimama nyuma ya Zahara, akiwa amemkumbatia, wanawatazama Mukhsin na yule jamaa, waliokuwa wanawasogolea kwa mwendo wa haraka huku wanaongea, “umejitaidi sana Mukhsin, ukiendelea hivi, nita kufadhiri ukasome #Mbogo_Land, upate timu nzuri utengeneze fedha nzuri, kauri hii aikumshtua Mukhsin pekee, ila ilimshtua ata Radhia.

Ujuwe kwa wakazi wa nchi nyingi za Africa, anapoenda nchini #Mbogo_land, hasilimia kubwa walirudi nchini mwao wakiwa wamefanikiwa kimaisha, tena ni matajiri wakubwa tu, japo ni ngumu sana kupata vibari halali vya kusihi nchini humo.

Nikama Radhia anaanza kuhisi huyu kijana ni mtu wa aina gani, na kwamba siyo wa hadhi yake kabisa, pengine akijitaidi kidogo, anaweza kuwa mfanyakazi wake wandani, “kaka Edgar, huyu ni dada yangu mkubwa anaitwa Radhia, na huyu dada yangu mdogo anaitwa Zahara” Radhia alishtuliwa na utambulisho wa Mukhsin, ambae alikuwa amesha fika na yule jamaa, “hooo!, nimefurahi kuwafahamu, niliwaona toka mwanzo nikasema mbona kama mnafanana sana” aliisema huyu kijana ambae aliitwa Edgar, (lakini siyo Edgar mimi)

Hapo Radhia anapata jibu la kuwa kwanini kijana huyu alikuwa anamtazama sana, kumbe alikuwa anawafananisha na Mukhsin, hivyo Radhia anajiona mjinga kujiuliza sana wakati ule, na kujishuku kwa mambo mengi, kutokana na kutazamwa na kijana huyu, ambae kwa mtazamo wake asingeweza kumtamani kutokana ufahari wake.

Radhia alimtazama yule kijana ambae alikuwa ameachia tabasamu laini, tulivu, lililo jaa upendo wa kirafiki, huku akimtazama Zahara kisha akamtazama yeye, ata macho yao yalipokutana, Radhia mwenyewe anajikuta anaachia tabasamu na kutazama chini kwa aibu, “da Radhia, huyu anaitwa Edgar, ndiyo yule rafiki yangu, nile waambiaga, kuwa tunafanya wote mazoezi hapa hapa maisala” alisema Mukhsin ambae anaonekana wazi kuwa, akuwana habari nyingi kuhusu kijana huyu.

Radhia anaachia tabasamu laini, “asalm aleykum” anasalimia Radhia kwa sauti laini, huku amemkubatia mdogo wake kwa nyuma, “aleykum salaam” anaitikia Edgar, huku tabasamu alikauki usoni mwake, “mie nilizania ni mtoto mwenzio, kume ni mbaba aswaa” inamchomoka Radhia bila kutegemea, na kumfanya kijana wetu acheke kidogo, “Mukhsin amekuwa rafiki yangu kutokana na juhudi zake kwenye mzoezi, na hisi atafika mbali sana akiendelea hivi” anasema yule kijana ambae sauti yake inakijibezi flani tulivu.

Kinapita kimya kifupi wakiwa wamesimama, Mukhsin anaenda kujukuwa begi lake dogo la nguo, Radhia, Edgar Zahara, wametulia wakimsubiri, wakati huo Radhia anajaribu kumtazama kijana huyu kwa ukaguzi, na macho yake yapo fika usoni kwa kijana huyu, anagundua kuwa na yeye alikuwa anamtazama, wote wanatabasamu, Radhia anatafuta cha kuongea, ilikuvunja ukimya.

Sekunde chache baadae anakumbuka jambo, “mama kasema asante sana, kwa kununua vitu vya Mu” anasema Radhia, kwa sauti ndogo yachini kama mtoto, kiasi cha kumshangaza Zahara, “hoooo! usijari, yeye ni rafiki yangu, ni kama ndugu kwa hapa Zanzibar, sababu toka nifike yeye amekuwa mtu wangu wakaribu, ukiachilia watu ninao fanya nao kazi” alisema Edgar, kwa sauti yeke yenye uzito flani wa kufurahisha.

Sauti ambayo inapenye masikioni kwa Radhia, nakumsisimua sana moyoni mwake, “sasa kwanini aujajanyumbani kututembelea?” anauliza Radhia kwa sauti ile ile, safari hii Zahara ashangai tena, pengine alihisi kilicho mkuta dada yake, ambae kiukweli katika maisha yake ukiachilia mume wake wazamani, akuwai kuwa na mwaume mwingine.

“yah!, ilikuwa lazima nije, nazani kuna jambo la kumsaidia Mukhsin akimaliza shule, japo ni mapema sana kuliongelea ilo” aliongea Edgar ambae utulivu ni jadi yake, “wakati huo alikuwa yeye, lakini sasa ndugu tumesha ongezeka, unaweza kuja kutusalimia siku moja moja” anasema Radhia ambae kila muda ulivyoenda alianza kumzowea kijana huyu, “alafu dada nimekumbuka kitu” alisema Zahara, nawote wawili wakamtazama. ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPAHAPA
Hadithi yako ni nzuri lakini ungemuomba mjuvi wa Kiswahili aipitie na kurekebisha makosa madogo madogo ya kiuandishi mfano alafu badala ya halafu, ill badala ya hilo nk.
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA SABINI NA TISA: Idd anaingia nyumbani haraka haraka, anapitiliza chumbani kwa mke wake mkubwa, kama vile anaenda kufumania, lakini Ashura akuwepo ndani ya chumba, zaidi anaona mkoba wa nguo chache ambao mke wake aliondoka nao, nikama pia aliuona ameukumbatia kwenye vesper. ......... ENDELEA….


Idd anatoka mbio mbio na kuelekea upande wa jikoni, ambako anamkuta mke mdogo na mke mkubwa, wamekaa kwenye viti vifupi, wanaogea na kucheka kwa pamoja, hakika mke wake alikuwa maevaa sawa sawa na yule alie pakizwa kwenye vesper, “Ashura nani alikupakiza kwenye vesper?” aliuliza Idd kwa sauti iliyo jaa hasira na wivu, “Shaban” alijibu Ashura, kwa sauti kavu bila wasi wasi wowote.


“siunajuwa Shaban ni adui yangu, kwanini unakubari kupanda vesper yake?” aliuliza Idd akiwa amejijaza hasira kweli kweli, hasira ambazo ziliunganishwa na mambo tatu.


Moja ni kushuhudia Radhia anapanda gari la mwanaume, ambae yeye anajuwa kabisa ndie mpenzi wake wa sasa, ingali yeye bado anampenda bado, pili ni kuanguka na kuchekwa na wakina Shaban, tatu ni kumwona mke wake huyu, japo ni mjamzito, na anajuwa kuwa amezuiliwa kuingiliwa kimwili, kutokana na ujauzito alionao, lakini akiwa amepakizwa kwenye vesper na Shaban.


“adui yako toka lini?” anauliza Ashura, safari hii akigeuka na kumtazama mume wake wa ndoa, “kwani wewe ujuwi kilicho tokea, unazani atafurahi baada ya kukuchuwa toka kwake” anasema Idd bila ata kufikili mala moja, kwahiyo ni adui yako wewe, mimi siyo adui yangu” alijibu Ashura, huku anageukia alikogeukia mwanzo.


Idd anazidi kuchukia, na kujawa na hasira, “unazani watu walio kuwa wanwafahamu wanawaelewaje wakiwaona, si watajuwa mmerudiana?” anauliza Idd kwa sauti yenye wivu mwingi.


Kitu ambacho inabidi ufahamu msomaji, ni kwamba, watoto wa Ashura, awakai kwa hapa michenzani, wao wanaishi donge kwa bibi yao, ambako Ashura uwapelekea matumizi yote, huku bibi yao akizania kuwa, fedha na vitu vya watoto vinatolewa na Idd, ila ukweli ni kwamba vinatolewa na baba yao mzazi, ambae ni Shaban, kitu ambacho ata Idd mwenyewe ajuwi, na wala ajiulizi kwamba watoto wanaishije.


Kwanini Ashura alifanya hivi, ni mpango wa yeye na Shaban, ambao awakutaka Idd ausike na matunzo yoyote ya watoto, wala asije kutokea siku akawaadhibu au kuwakalipia kwa chochote, ilihali siyo wa toto wake, wa kuwazaa.


“kweli we mwanaume aunihurumii kabisa, kwahiyo na hali hii ningetembea toka barabarani mpaka hapa nyumbani, na mtu amenikuta njiani, akanionea huruma, na kunipa lift” aliongea Ashura kwa kulalamika, kisha akainuka na kuelekea chumbani kwake, akuonyesha kuwa ajapendezwa na lawama za mume wake.


Sekunde kadhaa baadae Ashura akiwa chumbani kwake, anachati na Shaban, akimsimulia kilichotokea, mala akasikia michato ya nyayo za mtu zikisogelea mlango wa chumba chake, anaificha simu, na kujilaza akigeukia ukutani, na hapo hapo mlango unafunguliwa, “mke wangu usinifikilie vibaya, ujuwe mimi na waza jinsi watu wengine watavyo fikilia wakikuona na Shaban” anasikika Idd akiongea kwa kubembeleza.


Hapo Ashura anaona kuwa amesha muweza mume wake, “yani nimeingia tu nyumbani, unaanza kunishutumu, ujaniuliza naendeleaje wala kujuwa habari za huko nilikotoka” analalamika Ashura, huku bado amegeukia ukutani, “sawa mke wangu, basi ni samehe” aliombeleza Idd, “yani unanisimanga mbele ya mke wako, ili anione mimi siyo mwaminifu” alizidi kulalamika Ashura.


Ata hivyo baada ya kubembeleza kwa muda mrefu, mwishoe Ashura akasamehe mume wake, lakini moyoni akimsanifu, “mjinga sana, ungejuwa mwenzio ninavyo mpenda, bora ujiandae kwa taraka” alijisemea Ashura, huku anachukuwa simu yake, na kuandika ujumbe kwenda kwa Shaban, ilikuwa mala baada ya mume wake kutoka chumbani kwake.********


Sasa turudi forodhani, ambako tuna wakuta Radhia na Edgar wakiwa bado wamekaa kwenye benchi wanamalizia kupata juice ya miwa, huku wanaongea ili na lile, “umeanza lini kupenda kuja hapa?” anauliza Radhia, ambae licha kufurahia kuwepo hapa na kula samaki wa kuchoma, pia alifurahi sana kuwepo hapa na mwanaume anaempenda.


“nimekuleta wewe kipenzi, ila ni sehemu nzuri kwa watu walio pendana” alisema Edgar, huku anatazama muda kwenye simu yake ya mkononi, “kwahiyo umejuwa kama nimefurahi kuja hapa?” aliuliza Radhia kwa sauti yenye mshangao na fueaha, “hupo moyoni mwangu, nilahisi kujuwa unachokipenda na usicho kipenda” alisema Edgar huku anasimama, toka kwenye bench.


Radhia anagundua kuwa muda wakuondoka tayari, ndio maana Edgar amesimama, anamtazama kwa macho ya kuomba waendelee kukaa kidogo, Edgar nae anafahamu ilo, “kesho tutakuja mapema, siumnesema mama amekuluhusu ukae siku mbili kwa mama mdogo?” aliuliza Edgar huku anampatia Radhia mkono, kwamba ainuke, Radhia anashika mkono wa Edgar na kuinuka toka kwenye benchi, kisha wanatembea kulekea waliko liacha gari lao.********


Mama Radhia anaingia sebuleni na kumkuta mume wake anatazama TV, anaenda kukaa pembeni yake, kwenye dhuria zuri jipya ambalo lilitandika leo asubuhi, “rabeka mume wangu” anaitika mama Radhia.


“mke wangu nimekuita hapa kuna jambo naitaji tujadiliane, maana hii sasa naona siyo mchezo wa kitoto kama tunavyo zania” alisema mzee Makame, kwa sauti ambayo inaonyesha wazi kuwa, jambo lile halikuwa la mzaha.


Mama Radhia anawaza moyoni, nijambo gani ambalo mume wake anataka kumweleza, au amegundua kuwa Radhia aendi chukwani, ila anaenda kwa mwanaume wake, “mwanzo lilikuwa ni swala la furaha ya Radhia, na wadogo zake, lakini nimeona huyu kijana anania thabiti kabisa ya kuwa na Radhia, maana mipango yake ni mikubwa sana, na msaada anao utoa kwa familia hii siyo wa urafiki wa kawaida” alisema Makame, na kuwela kituo.


“ebu ona jinsi alivyoweza kulishughurikia swala la Siwema, bila ata kumwomba afanye hivyo” aliongea mzee Makame, ambae akuishia hapo, “na ili la mimi kupewa jukumu jingine siyo la mchezo, linaweza kuwa kubwa sana maana ata Mukhsin alisha wai kunieleza kuwa, alimsikia Rais anasema apelekewa taarifa zangu” alisema mzee Makame, ambae lengo la kumwita mke wake, alikuwa kumwambia hayo.


“kwahiyo basi, inabidi uongee na Radhia akuambie ukweli, kama anausiana na na barozi Edgar, na kama nihivyo basi akueleze lengo lao, na ikiwa ni kuishi pamoja, basi tujuwe tatizo lake la kushika ujauzito linamalizwa vipi” alisema mzee Makame, muda wote wakiongea kwa sauti za chini, awakutaka waliokaa kibaradhi wasikie maongezi yao, yani wakia mama Mariam Siwema na wadogo zake.


“mume wangu niwie radhi kwa kile nitakacho kueleza, kwamaana nilikuficha” alisema mama Radhia, kwa sauti ya chini yenye kuomba msamaha wa dhati, “bila samahani, ebu nieleze, bila shaka aita nikwaza” alisema mzee Makame.


Na hapo kikapita kimya kifupi, kama vile mama Radhia anajiuliza ataanzia wapi, kuelezea alichotaka kueleza, “ni kwamba, Radhia na yule kijana wapo kwenye mausiano, lakini kutokana na mila na utaratibu, Radhia awezi kutueleza wazi wazi, ingali yule kijana bado aja fwata utaratibu wa kumchumbia” alisema mama Radhia kwa sauti ya upole, huku wasi wasi ukimjia moyoni mwake. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI: Na hapo kikapita kimya kifupi, kama vile mama Radhia anajiuliza ataanzia wapi, kuelezea alichotaka kueleza, “ni kwamba, Radhia na yule kijana wapo kwenye mausiano, lakini kutokana na mila na utaratibu, Radhia awezi kutueleza wazi wazi, ingali yule kijana bado aja fwata utaratibu wa kumchumbia” alisema mama Radhia kwa sauti ya upole, huku wasi wasi ukimjia moyoni mwake. ......... ENDELEA….


Mzee Makame anatulia kidogo, huku mke wake anamtazama kwa macho ya wasi wasi, mpaka mzee Makame anapo vunja ukimya, “yeye Radhia anasemaje kuhusu ilo, maana lengo letu ni kumsaidia yeye asije akaachika tena” alisema mzee Makame, kwa sauti ile ile ya chini, “yeye ajasema kitu, nazani anasuburi kusikia mwanaume anampango gani, yeye uwa anasema tu ni marafiki wa kawaida” alisema mama Radhia.


Mzee Makame anacheka kidogo, huku mke wake akiishia kutabasamu, “hivi uliona walivyokuwa wanatazamana, yani wanashindwa ata kujizuwia, cha kushukuru, ni kwamba, yule kijana ni mstaarabu, na amelelewa katika familia yenye maadiri” alisema mzee Makame, na wote wakacheka kwa pamoja, kisha akaendelea kuongea ili na lile.


“kwasasa nazani mama Siwema na watoto wake watakuwa wamejifunza kitu, sitegemei kuona wala kusikia wakimsema vibaya mwenzao” alisema mzee Makame, pasipo kujuwa kuwa huko nje Radhia anaendelea kusimangwa, na wakina Siwema, ilo mama Radhia alilijuwa, lakini alilipotezea.*******


Yaaaap!, Idd yupo sebuleni, anamalizia kupata chakula cha jioni, kichwani mwake anawaza kuhusu mbinu yake mpya ya kumfitini Radhia, agombane na m-penzi wake, wakati huo huo tayari alikuwa na mbinu nyingine tatu, za kumfitinisha Radhia kwa Edgar.


“ngoja nivute vute muda, ili nikikinukisha wawe wote wawili” anajiwazia Idd, huku ana nawa mikono yake miwili, tayari amesha sahau kuhusu mke wake kupakizwa kwenye vesper na Shaban, “alafu ni kweli kabisa mzee Makame amemluhusu Radhia aende kwa manaume usiku huu?” anajiuliza Idd, ambae kwa jinsi anavyo mahamu baba yake Radhia, asingekubari binti yake aende kwa mwanaume ambae ajafunga nae ndoa.


Lakini baada ya kuwaza kwa muda mfupi, Idd anapata wazo la ufumbuzi, “ngoje niongee na Siwema akinukishe, kisha nitaamia kwa Radhia kumwaribia, kabisa” alijisemea Idd huku anachukuwa simu yake na kutoka nje, ambako alitoka kabisa eneo la nyumbani kwake, na kupiga simu kwa Siwema.


Simu iliita kwa muda mfupi, kisha ikapokelewa, “hallo, asalam aleykum” ilisikika sauti ya Siwema toka pande wapili wa simu, “aleykum salam shemeji, habari za huko kwenu” alisema Idd, huku kichwani mwake akipanga la kuongea, ilikumshika akili Siwema, ambae anajuwa fika kuwa ni mgomvi wa Radhia.


“huku pilika tu, kama unavyojuwa, sijuwi wewe unampya gani” alisema Siwema, na kumpa nafasi Idd ya kutoa sumu iliyomjaa moyoni mwake, “kwakweli mimi ata sielewi baba yako sikuizi amekuwaje, yani amekuwa wakumluhusu Radhia afanye ufuska” anaongea Idd kwa sauti iliyo jaa masikitiko na uzuni kubwa,


“kivipi Idd, kwani unahabari yoyote mpya?” aliuliza Siwema kwa sauti yenye shahuku, “siyo kwamba nimesikia, nimemwona kwa macho yangu anaenda kulala kwa mwanaume, we piga simu nyumbani kwenu ulizia kama Radhia yupo” alisema Idd ambae alikuwa na uhakika lazima Radhia ameaga tofauti nyumbani kwao.*******


Muda huo Siwema aliekuwa anaongea na simu, alikuwa bado yupo kibaradhani, pamoja na mama yake na wakina Mariam, ambao walikuwa wanafwatilia maongezi ya Siwema na Idd, “weeeee!, nikweli ameenda kwa mwanaume?, mbona hapa ameaga kuwa, anaenda kwa mama yake mdogo huko chukwani” alisema Siwema, kwa sauti ya juu, ambayo ilifika ndani, alikokuwepo mzee Makame na mke mdogo, yani mama Radhia.


Wakina mama Mariam na wakina Mariam, wali cheka kimya kimya, huku upande wa sebuleni, mama Radhia alimtazama mzee Makame, kwa macho ya tahadhari, kwakuhisi kuwa lolote linaweza kutokea, yani kukalipiwa, kama siyo kupigwa kabisa.


Lakini akamwona nae pia anamtazama, kwa macho ya kumweleza akae kimya, wasikie kinachoongelewa nje, “jamani si aibu hii, hivi anataka kuwatia wazimu wakina baba au?” alisikika Siwema toka nje, ambae alionekana wazikuwa anaogea na simu, ambayo wao awakuwa nasikia upande wapili, zaidi ya Siwema mwenyewe.


“nakuambiaje Siwema, mimi mwenyewe imesnishangaza kweli kweli, mpaka najilahumu kwa kumtariki, kama ni shida ndogo ndogo nipotayari kumsaidia” Siwema alimsikia Idd akiongea hayo, kama angekuwa anamzungumzia mtu mwingine angemkatalia, maana uwezo wake wa kifedha ni mdogo sana kuliko mwanaume ambae yupo na Radhia wakati huu.


Pia alishindwa kumsaidia kipindi yupo nae, zaidi alimnyanyasa na kumnyima huduma ndogo ndogo, kama hizo anazo jidai ata msaidia, “ni kweli shemeji, kuachana siyo uadui, maana nyie mmeachana kwa sababu za msingi, basi ngoja niongee nae ili nimwambie akutafute, naache kujizalilisha” alisema Siwema kwa sauti ya juu, akiamini kuwa baba yake anasikia.


“jamani hii ni aibu kubwa sana, huko mtaani kila mmoja anajuwa Radhia ameenda kulala kwa mwanaume” alisema Siwema, baada ya kukata simu, maneno ambayo, yana mfikia wazi wazi mzee Makame na mke mdogo, walioko sebuleni.


Hapo mama Radhia anajuwa kinachofwata ni kusemwa wazi wazi, au kupigwa kabisa, “samahani mume wangu, ila sidhani kama hipo kama wanavyo sema” alisema mama Radhia, kwa sauti ya chini, yenye wasi wasi na uoga.


Lakini mzee Makame anaonekana kuwa katika utulivu, “ebu niitie mama Mariam na Siwema, na wewe mwenyewe uje hapa” kwasauti ambayo aitabiriki, ilikuwa katika hali gani.


Mama Radhia anainuka na kuelekea nje, yani kibaradhani, ambako anakuta maongezi yame pamba moto, tena kwa sauti kubwa, “yani hii ni aibu kubwa, mpaka mume wake wazamani anamuonea huruma” alisema Siwema, kwa sauti ya juu yenye umbea na ushabiki mkubwa, ungesema amechukizwa na kitendo cha aibu alichokifanya Radhia.


Na Siwema anapomwona mama Radhia ndio anazidisha, sifa, “tulisema waati anatoka huyu aendi chukwani, ukasema tuna mwandama Radhia, aya sasa watu wamemwona kwa wanaume” alisema Siwema akimtazama mama yake mdogo, ambae akumjari, baada yake mama mdogo akamtazama mama Mariam, “dada, mzee Makame anatuita pamoja na Siwema” alisema mama Radhia, kwa sauti tulivu. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA MOJA: Na Siwema anapomwona mama Radhia ndio anazidisha, sifa, “tulisema waati anatoka huyu aendi chukwani, ukasema tuna mwandama Radhia, aya sasa watu wamemwona kwa wanaume” alisema Siwema akimtazama mama yake mdogo, ambae akumjari, baada yake mama mdogo akamtazama mama Mariam, “dada, mzee Makame anatuita pamoja na Siwema” alisema mama Radhia, kwa sauti tulivu. ......... ENDELEA….


Hapo Siwema na mama yake wakatazamana, kama wanaulizana kuna nini huko ndani, kisha wanainuka nakuongozana na mama Radhia kuelekeandani, kule sebuleni, akokuwa mzee Makame, huku kila mmoja anajiuliza wanacho itiwa.*******


Mida hii Edgar na Radhia walikuwa ndani yachumba kikubwa, kile cha juzi usiku, chumba ambacho Radhia alipoingia tu, alijikuta anasisimkwa, kutokana na mambo yaliyofanyika juzi usiku na jana asubuhi, music laini unasikika, na kumsisimua Radhia, ambae sasa anajikuta anazidi kuupenda.


Walikuwa wamekaa kwenye makochi, chakula kikiwa mbele yao juu ya meza, nzuri ya kioo, wanakula huku wanaongea ili na lile, wakati huo Radhia akiwa amevalia gauni jepesi, nywele ameziachia, ndani kavaa chupi ya kijikamba, kifuani akuvaa kitu, kijigauni cha Radhia akikuweza kuficha mapaja ya mwanamke huyu mrembo na mzuri.


Wawili awa walikuwa wamekaa kwa kutazama, yani kila mmoja kochi lake, muda mwingi Radhia akionekana kujawa na aibu, ambayo ilimfanya ashindwe kumtazama Edgar usoni, huku mala zote akiishia kutabasamu na kucheka kwa aibu.


“kuna mpango nataka usimamie, utafadhiliwa na nchi yangu” alisema Edgar, kwa sauti tulivu, huku wanaendelea kula, “he!, ni mpango gani huo Eddy?” anauliza Radhia kwa mshangao na mshtuko, lakini katika hali ya furaha.


Lakini kabla Edgar ajajibu, simu ya Radhia ikaanza kuita, ikisikika toka kitandani, sehemu ambayo Radhia aliiacha mala ya mwisho, “ata kuwa mama anataka kujuwa kama nimefika” alisema Radhia huku anainuka toka kwenye kochi, na kuifwata simu, anatembea kwa haraka, huku edar anamsindikiza kwa macho, sijuwi alikuwa anatazama nini.


Lakini sisi tunaweza kuona jinsi makalio yake yenye ukubwa wa wastani yalivyo ifadhiwa kwenye gauni jepesi na bikini, jinsi yalivyokuwa yanatikisika kwa mpangili wa kutoa nyoka pangoni mwake, huku eneo kubwa la kuanzia mapajani kwenda chini, likiwa wazi kabisa.


Radhia anapokifikia kitanda, kabla ajainama kuchukuwa simu, nikama anahisi kitu, maana anageuka na kumtazama Edgar, macho yao yana kutana, wotewanatabasamuliana, “ukorofi huo” anasema Radhia huku anachukuwa simu, na kuitazama kidogo, Edgar anacheka kidogo, huku anageuza uso wake na kutazama chakula chake, aoni jinsi Radhia alivyo kunja uso wake, kwa mshangao na mshtuko.


Edgar asikii Radhia akiongea na simu, zaidi anamwona anarudi pale mezani, lakini safari hii anaenda kukaa pembeni yake, kwenye lile kochi kubwa, huku simu inaendelea kuita, “samahani Eddy, Idd anapiga simu” anaongea Radhia, kwa sauti yenye upole na ukosefu wa amani, “Idd ndio yule mume wako wazamani?” anauliza Edgar, huku anaendelea kula.


Radhia anaitikia kwa kichwa, kuwa ndiyo yeye, “kwani bado mna wasiliana, yani namaanisha bado mnapendana?” anauliza Edgar, ambae nikama alishushwa na ombi la Radhia, “hapana hakuna cha mapenzi wala chochote, ata kunipigia alianza kunipigia juzi” alisema Radhia akianza kuonyesha dalili ya kutokwa na machozi.


Edgar anamtazama Radhia na kupeleka mkono wake kichwani mwa Radhia, nakulaza kiganja chake kwenye nywele ndefu za mrembo huyo, “auna ahaja ya kuwa na hofu yoyote Radhia, unaweza kumsikiliza anataka nini” alisema Edgar, kwa sauti tulivu ya kubembeleza.


Radhia anajiweka sawa na kupokea simu, kisha anaiweka sikioni, “asalam aleykum” anasalimia Radhia kwa sauti tulivu, “aleykum salam, hupo wapi mke wangu” inauliza sauti ya kiume, toka upande wapili wa simu, sauti ambayo Radhia anaitambua kuwa ni sauti ya mume wake wa zamani, yani Idd kiparago.


Inamshangaza Radhia, kwanini Idd anamwita yeye mke wake, “samahani Idd, imekosea namba, mimi ni Radhia” alisema Radhia akiamini kuwa Idd amekosea namba, “nakoseaje namba, wakati wewe ni mke wangu, au hupo na mwanaume mwingine, na sasa unajifanya kunikana mbele yake” anaongea Idd kwa sauti ye mashangao.


Hapo Radhia anamtazama Edgar, huyu macho yake yakiwa yanaanza kujaa machozi, Edgar analiona ilo, “jamani Idd, toka lini nikawa mke wako, wewe siumeoniona naondoka na mchumba, wangu pale kwa mchina mwanzo” anauliza Radhia kwa sauti ya yenye mshangao na dalili zakuanza kulia, kamaa aliona kuwa Edgar anaweza kuamini kuwa bado anatembea na Idd.


Edgar anaona hali ya Radhia, anaichukuwa simu toka kwa Radhia na kubofya loud speeker, na sauti inasikika wazi, “unajifanya mjanja siyo, kwa hiyo unanikana kwamba mimi siyo mume wako kwaajili ya huyo mwanaume wa kupita, nimeongea na Siwema amesema umeaga unaenda kwa mama yako mdogo, kumbe umeenda kwa wanaume” alisema Idd kwa sauti ya ukali kidogo.


Radhia anamtazama Edgar, akitegemea kumwona amekasirka au kuchukia, akiamini kuwa Idd anaongea ukweli, lakini anamwona Edgar, akiwa ametulia, kama vile anatafakari jambo, huku anatikisa kichwa kwa masikitiko, Radhia anajuwa mwisho wa penzi lake jipya umesha fika, “jamani Idd, unanitakia nini wewe mwanaume, au utaki niwe na furaha?” anauliza Radhia, kwa sauti yenye uchungu, na hasira, huku sauti yake ikikaribia kuangua kilio.


“kwahiyo watu wakigombana kidogo, ndio wameachana, kumbuka wewe ni mke wangu wandoa, nasema mwambie huyo mwanaume akae akijuwa anatembea na mke wamtu, na kitakacho mkuta atajuta kuja unguja” alisema Idd kwa sauti yenye ukali na kitisho.


Radhia anamtazama Edgar, namwona akiwa ametulia anaendelea kula, huku anasikiliza maongezi kwa umakini, uso wake ulionekana wazi kuchukia, “Idd mbona unanifanyia hivyo jamani, wewe unawake wawili, na mimi ulisha niacha kwa taraka tatu, ssa umesahau nini kwangu” alisema Radhia, kwa sauti ambayo sasa ilikuwa inazuwia kilio kitoke wazi wazi.


“kwahiyo Radhia hivyo ndivyo unavyo mdanganya huyo fala, kwataarifa yenu nitaenda kumstaki” alisikika Idd, akiongea kwa ukali, hapo Radhia akamtazama tena Edgar, ambae safari hii, alimwona anatabasamu, japo akuwa anamtazama.


Hapo Radhia akaona kuna isiwe tabu, kamambwai iwe mbwai, “sawa Idd, nazani umeamua kuniachanisha na mwanaume ambaea amenifanya niijuwe maana ya kuwa na mwanaume, pia amenifanya niione thamani ya kuwa mwanamke” alisema Radhia kwa sauti ya kukata tamaa.


“sikia Radhia, wewe ni mke wangu, siwezi kuluhusu mpuuzi mwingine awe na wewe, chakufanya achana na huyo mjinga, mimi nitakupatia unacho taka, acha kuzuzuka na hayo magari ya serikali, huyo nifisadi tu” alisikika Idd, akiongea kwa kujinasib. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom