SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

Hakuna,
Haya Jaman Usikun Mwema Allah Awalinde,
Mukiamka Mutakuta Mzigo Huo Tayar Nishaubandika Ila Tu Musikose Simulizi Ya KIAPO CHA DAMU KWA DAMU Captain Chui Mchafu utakaokujia hapa hapa Jamii Forums
 
Hakuna,
Haya Jaman Usikun Mwema Allah Awalinde,
Mukiamka Mutakuta Mzigo Huo Tayar Nishaubandika Ila Tu Musikose Simulizi Ya KIAPO CHA DAMU KWA DAMU Captain Chui Mchafu utakaokujia hapa hapa Jamii Forums
unamakusudi wewe
 
Mpemba tushushie vitu asubuhi hii kazi maofisini hata haziendi tupia nimuoneshe bosi wangu
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA MBILI: “sikia Radhia, wewe ni mke wangu, siwezi kuluhusu mpuuzi mwingine awe na wewe, chakufanya achana na huyo mjinga, mimi nitakupatia unacho taka, acha kuzuzuka na hayo magari ya serikali, huyo nifisadi tu” alisikika Idd, akiongea kwa kujinasib. ......... ENDELEA….


Hapo ata Edgar alimtazama Radhia, ambae sasa alionekana kukunja uso kwa hasira, machozi yanamtoka, “sikia jaribu kutumia muda wako kufwatIlia na wake zako, inaweza kukusaidia, kuliko kunigombanisha na mchumba wangu, aitokusaidia, ata kama nikiachana nae……” anasema Radhia ambae kabla ajamaliza kuongea tayari Edgar anaiwai simu na kuikata.


“Edgar naomba usiamini anacho sema Idd, ni wazi anataka kutugombanisha…” alisema Radhia huku analia, lakini akupewa muda wa kumaliza alicho kusudia kueleza, edha akamshika na kumvutia ubavuni kwake, kisha akamkumbatia, “Radhia bwana, mbona mimi nakuona ni mwanamke mwelewa na umepitia mengi sana, sasa hapo inacho kuliza nini?” ilikuwa sauti nzito na tulivu.


Radhia analia kwa kwikwi, huku anatumia kifua cha Edgar, alie kuwa tumbo wazi na bukta chini, kujifutia machozi, “sasa anaongopa makusudi ili unichukie, alafu uniache” alisema Radhia, huku anaendelea kulia kilio cha kwikwi, “sikia Radhia, mimi nilisha juwa toka jana, kuwa huyo mtu anampango wa kunishawishi nikuone ufai” alisema Edgar, na kuanza kumsimulia, jinsi Idd alivyo mfwata na kuanza kumweleza, kuhusu yeye Radhia kuwa bado mke wa mtu, huku akishauri amwache mala moja.


Mpaka Edgar anamaliza kusimulia tayari Radhia alikuwa amesha acha kulia, “kumbe alikufwata jana baada ya kuachana na sisi?” anauliza Radhia kwa mshangao, “ndiyo alinifwata, ila sikutaka kukueleza sababu nilisha ona kuwa akuwa na ukweli wowote, pia na kuamini sana, alafu nakupenda sana” alisema Edgar, huku anapapasa bega la Radhia, ambae alikuwa ameachia tabasamu la raha.


“asante Eddy, nitakupenda na kukuheshimu daima, naomba uendelee kunitunzia utu wangu” alisema Radhia, kwa sauti yenye usifu wa furaha ya wazi kabisa, “vyote utapata, nakuongezea amani na ufuraha pia, na kila kitu cha thamani ambacho unastahili kama mke wangu” alisema Edgar, na kumfanya Radhia atabsamu kwa sauti.


Naaaam!, baada ya kumaliza kubembelezana, na Radhia kutulia, sasa akionekana kuwa na furaha, Edgar anabadirisha maongezi, “nilikuambia nataka usimamie mpango wa mwaliko wa timu ya mpira wa kikapu ya King Eugen sekondari, kuanzia sehemu ya kufikia wanafunzi na vyakula watakavyo kula na sehemu ambazo wataenda kutembelea baada ya kumaliza mechi zao” alisema Edgar, akionyesha hakuwa nautani katika swala ilo.


Radhia anamtazama Edgar kwa mshangao mkubwa, “mbona swala kubwa sana ilo, nitawezaje kusimamia hayo yote?” anauliza Radhia, akuonyesha kuto kuamini anachoongea Edgar, “wala usiwe na wasi wasi, nitakuelekeza cha kufanya, ni jambo la week moja tu, katika michezo mitatu, itakuwa kama biashara ndogo kwako, ambayo itakuingizia fedha nzuri, na kujijengea jina na uaminifu kwa watu wengi” alisema Edgar, kisha akaanza kumwelekeza baadhi ya vitu, ambavyo Radhia angetakiwa kuvifanya katika mpango huo.*******


Bwana Makame yupo sebuleni amekaa mbele ya wake zake wawilina binti yake mkubwa, yani Siwema, huku Mariam na Zuhura wakiwa wamejibanza karibu na mlango wa sebuleni wakitaka kusikia kinachoongelewa huko ndani.


Mama Mariam na Siwema walitegemea kuwa, wange mkuta mzee Makame amefura kwa hasira, kutokana kile kilicho tokea, aidha kumchukia Radhia, au kumchukia Siwema alie ongea kwa sauti, lakini baada yake wanamkuta baba huyu akiwa katika hali ya utulivu, yani siyo hasira wala furaha.


“Siwema nimesikia ukiongea na simu, ebu ielezee vizuri, kwamba Radhia amefanya nini?” anauliza mzee Makame, kwa sauti tulivu huku anamtazama Siwema, ambae sasa anaona ndio wakati wa kumkomoa Radhia, na kumchonganisha kwa baba yake, ikiwezekana apigwe marufuku kuwa karibu na Edgar.


“alinipigia shemeji Idd, amenieleza kuwa kamwona Radhia anaenda kwa mwanaume, na siyo kwa mama mdogo kama alivyosema” alisema Siwema kwa sauti ya upole na tulivu, kisha akatulia subiria bomu lilipuke.


Wote wanamwona mzee Makame anamtazama mama Radhia, “ebu nieleze mama Radhia, huyu Radhia ameaga anaenda wapi?” aliuliza mzee Makame, huku anamtazama mke mdogo, yani mama Radhia, “mume wangu, kiukweli Radhia aliniaga anaenda Edgar, lakini nisingeweza kusema anaenda huko, sababu bado Edgar ajaja kujitambulisha hapa nyumbani” alisema mama Radhia kwa sauti yenye wasi wasi mwingi, hakuwa na na sababu ya kuficha chochote, maana tayari siri ilisha fichuka.


Mzee Makame bado amelekeza uso wake, kwa mke mdogo, “hivi Radhia ameolewa?” anauliza mzee Makame, swali ambalo lina utata kidogo, lakini Siwema anaona niswali ambalo lina muumbua mama Radhia, huku mama yake anatabasamia pembeni.


“Radhia ajaolewa mume wangu” alijibu mama Radhia, ambae pia akujuwa maana ya swali la mume wake, sasa mzee Makame, anamtazama Siwema, “siyo mala moja nimekusikia unasema Radhia anatia aibuhuko mitaani, ni nani na nani wamekupa taarifa za Radhia kuonekana na wanaume mtaani?,” aliuliza mzee Makame, na kumfanya Siwema ainue uso kumtazama mama yake, ambae alikuwa amekodoa macho anamtazama Siwema.


Siwema anajaribu kutafuta mtu wapili zaidi ya Idd, ambae alimweleza kuhusu Radhia kuonekana na wanaume, “ni Idd peke yake” anajibu Siwema kwa sauti ya chini, yenye kukosa nguvu ya kujiamini, mzee Makame anamtazama mke mdogo, “mama Radhia, huyu Idd ni nani kwa Radhia, si walisha achana, au bado wanaurafiki wa siri?” aliuliza mzee Makame, ambae bado alikuwa anamtazama mama Radhia.


Lakini licha ya kuwa, swali lilimlenga mama Radhia, lakini Siwema alijuwa fika jibu lake lina muumbua, Ilikuwa hiyo hivyo kwa mama Siwema, ambae aliamua awai kulijibu swali ilo, “lakini baba Siwema, ata kama walisha achana, lakini anafanya mambo ya aibu mpaka mwenzie anamwonea huruma” alisema mama Siwema, kwa sauti ya kukosoa, na kupingana na mwazo ya mume wake.


Mzee Makame anamtazama mke mkbwa, “kwa hiyo mnaimani kuwa Idd ni mtu mwema kwa Radhia, mwanaume ambae alishindwa kumtunzia siri ya uzazi, na kumwacha kwa taraka tatu, huku akimsimanga mtaani kote?” aliuliza mzee Makame akimtazama mama Siwema, ambae ni mke mkubwa.

Siwema na mama yake wanakosa majibu, wanatazama chini, kwa asibu, “sikia Siwema, jifunze kuwa na shukrani ata mala, Radhia sijuwi ata aliongea nini na mwenzie, adi kwenda kwa waziri kukuombea urudishwe kazini, hivi mtumwingine angekubari kuibeba aibu uliyoifanya kwenye ile video, na kwenda kukuombea urudishwe kazini?” anauliza mzee Makame, kwa sauti ya chini yenye kusisitiza amani.


“nimekusikia unaongea kwa sauti kubwa ili majilani wakusikie, hivi uoni kuwa kuna siku Radhia atakuchoka na kuacha kukushika mkono?” anauliza mzee Makame, pasipo jibu lolote toka kwa Siwema, “kuanzia leo kama unawasiliana na Idd, wasiliana kwa mema, lakini usishirikiane na huyo kijana kuaribu amani ya mwenzio, na kikubwa ni kwamba, kwako na kwa Radhia, nyie mlisha lelewa na kuolewa mktokea mikononi mwetu, sasa siwezi tena kuwalea kama watoto wadogo, kikubwa ni kwamba, nita pokea mwanaume anae kuja kuowa” alisema mzee Makame, kabla ya kuwaluhusu waondoke.*********


Idd anaingia ndani ya nyumba yake amfura kwa hasira, huku kichwani mwake akijiuliza maana ya maneno ya Radhia, ambayo uyarudia mala kwa mala, “bora utumie muda wako kumfwatilia mkeo” maneno ambayo yana mchanganya sana Idd, ambae leo alimwona mke wake mkubwa, yani Ashura, amebeba jwebte vesper, na mwanaume wake wa zamani, ukizingatia leo ni siku ya tatu Ashura akuwa nyumbani, na akuwai kuwasiliana nae wala kwenda kumwona.


“lakini Ashura awezi kunisaliti, maana ni mjamzito na atamimi mwenyewe siluhusiwi kulala nae, itawezekanaje kwa mwanaume mwingine” anawaza Idd, ambae anajisahaulisha kuwa Ashura anapenda sana Shaban. . ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA TATU: “lakini Ashura awezi kunisaliti, maana ni mjamzito na atamimi mwenyewe siluhusiwi kulala nae, itawezekanaje kwa mwanaume mwingine” anawaza Idd, ambae anajisahaulisha kuwa Ashura anapenda sana Shaban. . ......... ENDELEA….


Idd anaingia chumbani kwa mke mdogo, na kujilaza kitandani, ungesema anawaza jambo flani muhimu, lakini kiukweli alikuwa anawaza namna ya kumkomesha Radhia, ambae kila akitaka kumwarinbia anajikuta anakwama na pengine yaya ndie mwenye kuumia.


“sijawai kushindwa, kama niliweza kumchukuwa Ashura kwa Shaban, nashindwaje kumrudhsia mwanamke ambae alisha wai kuwa mke wangu” anajisemea Idd, akiwa anagala gala kitandani.


Dakika chache baadae mke wake mdogo anaingia chumbani, akiwa amevalia upande wakanga ulio lowa maji, na kushikilia mwili wake, nakufanya umbo la mwili wake lionekane vyema kabisa.


Idd anamtazama mke wake ambae anaondoa upande wa kanga alio jifunga, na kubakia mtupu kama alivyo zaliwa, anajifuta maji na kujipaka maafuta, kila kona ya mwili wake.


Hakika mwonekano mke mdogo wa Idd ulipendeza wakati ule, na ulitia ashki, kwa mwanaume yoyote ambae ana afya njema, japo ilikuwa tofauti kwa Idd, “yani anajiona amepata mwanaume bora, kwaajili ya magari” Idd anawaza hivyo huku anatazama juu ya paa la nzyumba hii ya uwazazi wake.


Mke mdogo anamaliza kujipaka mafuta, kisha bila kuvaa chupi, anapanda kitandani, kama alivyo zaliwa, nakujilaza pembeni ya mume wake, kisha anaulaza mkono wake kifuani kwa Idd, huku anamwekea paja juu yake, usawa wa maeneo ya uzazi ya mume wake huyu, ambae ndio kwanza anautoa mguu wa mume wake, anageukia upande mwingine, huku anauondoa mkono wa mke wake.


Mke mdogo anashindwa kumwelewa mume wake, maana sasa ni miezi minne, toka alipo uolewa nae, lakini walikutana mala sita tu, mala tatu ikiwa katika mwezi wa kwanza, wa ndoa yao, na kila tendo lilipewa nafasi ya week moja ili jingine lifanyike.


Baada ya hapo mwezi uliofwata, walikutana mala mbili, ikiwa zimepishana week mbili, na mwezi uliofwata walinyanduana mala moja tu, na mala zote bwana Idd akutumia ata dakika tano kubla ajashuka toka kwa mke wake, lakini mwezi huu wa nne, awakuwa wamenyandua ata mala moja.


Hii ilimpa shida kidogo mke mdogo, akujuwa anakasoro gani, kiasi cha mume wake kuto kupata hamu ya kumwingiria kimwili, licha ya kulala pamoja kila siku, tena akijaribu kumshawishi kwa vitendo, bila mafanikio.


Mke mdogo, anaingiwa na unyonge, anahisi pengne mume wake ataki kuzaa na yeye, ndiyo maana ataki kufanya nae chochote, kwa hiyo alimleta ili mfulie na kumpikia tu, na siyo mke wa kulala nae na kumzalia watoto, lakini kwanini anifanyie hivi, maana amemwaribia mausiano yake na mpenzi wake Yasin, ambae kwa sasa yupo bara mkoani mtwara, anafanya kazi bandarini, yeye ni fundi wa mitambo mikubwa, ya kushusha na kubebea makontena.


Yeye Yasin walipanga mwishoni mwa waka huu, wafunge ndoa na kwenda kuishi Mtwara, lakini katika hali ambayo ilimpatia wakati mgumu yeye na mpenzi wake Yasin, wakilazimika kuachana na yeye kuolewa na Idd kiparago.


Ngoja kwa nza tuone kwa undani ilivyo kuwa ili tuweze kuona Idd alifanya nini kwa wapenda nao awa wawili mpaka kufanikiwa kumchomoa mke mdogo kwa huyo engineer ma kumchukuwa mazima.********


Anaitwa Shani Abdallah, yeye ni mkazi wa mwana kwelekwe, alikuwa kwenye kwenye mpenzi na Yasin, kwa muda wa miaka minne, kabla ya kuolewa na Idd, miezi minne iliyopita.


Shani aliekuwa anaishi na wazazi wake, mwanakwelekwe, na Yasin aliekuwa anaishi gombani na wazazi wake, walifahamiana muda mrefu uliopita, ni baada ya Yasin kuwa anaenda mala kwa mala mwanakwelekwe, kumtembelea mama yake mdogo, aliekuwa anaishi jilani na wakina Shani.


Aikuwa mala moja, ila ilichukuwa miaka mingi sana, kwa vijana awa wawili waliopishana miaka minne ya kuzaliwa, kukubariana kuwa wapenzi, nikipindi ambacho Yasin alikuwa ameenda jijini dar es salaam kwa kaka yake Zuberi, ambako aliweza kujiunga na chuo cha ufundi cha mitambo.


Wawili awa walitumia Nyati za likizo, kukutana na kupeana moyo, kuhusu mwenendo wapenzi lao na maisha yao ya baadae, huku wakipeana uhakika wa kuishi pamoja, katika kipindi iki Yasin akuacha kumhudumia mpenzi wake.


Mwanzo penzi lao lilikuwa kuwa siri, huku wakisimamia makubaliano yao ya kwamba, wasi peane kitumbua wala kuonjeshana dudu, mpaka watakapo owana, kama ilivyo utaratibu.


Lakini siku zilivyosonga, penzi lao likaanza kuwa wazi, ni kutokana na zawadi na vitu mbali mbali vilivyo kuwa vina mfikia Shani, ata wazazi wake kuuliza kama kuna lolote watarajie katika urafiki huo, Shani nae akuwaficha akjawaeleza kuwa mala tu Yasin akimaliza masomo yake, basi ata kuja kuleta barua ya posa.


Aikuishia hapo, ata Yasin alipokuja kutoa habari njema za kuwa, amemaliza mafunzo yake ya ufundi, na kupata kazi bandari ya Mtwara, ndio wakati ambao alikaribishwa nyumbani kwa mzee Abdallah na kupewa luksa ya kuwa na uwezo wa kuongea na kusimama popote na Shani, kwamba alitambuliwa kama mchumba mtarajiwa wa binti yao.


Na huo ndio wakati ambao wawili awa walipiga hatua zaidi, na kuvunja makubaliao yao, wakianza kupeana dudu, na ndio kipindi ambacho Shani, alipoteza uschana wake.


Mambo yaliaribika miezi mitano iliyopita, wakati Yasin akiwa amekuja katika mapumziko mafupi, ambapo alikuwa ameagiziwa redo na TV used na vijana wenzake, ambao waliamini kuwa, bei za vitu hivyo huku unguja ni lahisi zaidi kuliko Dar es salaam, kitu ambacho Yasin alisha wai kukifanya mala nyingi sana.


Wakati huo kunajambo inabidi ulifahamu, ni kwamba, Idd alikuwa anawafahami wote wawili, yani Yasin ambae alisomanae shule ya msingi jang’ombe, wakimwacha Radhia madarasa manne.


Pia Shani ambae alikuwa anamtaamtaa mmoja na shemeji yake, yani dada wa Ashura, japo siku za nyuma alikuwa anamtamani, lakini hakuwa na mpango wala wazo la kumchumbia Shani.


Akiwa na nia njema kabisa, kijana Yasin, akaenda dukani kwa Idd, kwenda kununua TV sita na speeker zake, kwaajili ya kuwapelekea watu walio mwagiza, ikiwa ni mala nyingi alisha fanya hivyo, yani lengo likiwa ni kumfaidisha rafiki yake wa utotoni.


Lakini tofauti na siku nyingine zote, alizowai kuja hapa, leo Yasin alikuja na mpenzi wake Shani, ambae alimtambulisha kwa Idd, kuwa Shani ni mpenzi wake na anatarajia kufunga nae ndoa, mwisho mwa mwaka huu. . ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA NNE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA TATU: “lakini Ashura awezi kunisaliti, maana ni mjamzito na atamimi mwenyewe siluhusiwi kulala nae, itawezekanaje kwa mwanaume mwingine” anawaza Idd, ambae anajisahaulisha kuwa Ashura anapenda sana Shaban. . ......... ENDELEA….


Idd anaingia chumbani kwa mke mdogo, na kujilaza kitandani, ungesema anawaza jambo flani muhimu, lakini kiukweli alikuwa anawaza namna ya kumkomesha Radhia, ambae kila akitaka kumwarinbia anajikuta anakwama na pengine yaya ndie mwenye kuumia.


“sijawai kushindwa, kama niliweza kumchukuwa Ashura kwa Shaban, nashindwaje kumrudhsia mwanamke ambae alisha wai kuwa mke wangu” anajisemea Idd, akiwa anagala gala kitandani.


Dakika chache baadae mke wake mdogo anaingia chumbani, akiwa amevalia upande wakanga ulio lowa maji, na kushikilia mwili wake, nakufanya umbo la mwili wake lionekane vyema kabisa.


Idd anamtazama mke wake ambae anaondoa upande wa kanga alio jifunga, na kubakia mtupu kama alivyo zaliwa, anajifuta maji na kujipaka maafuta, kila kona ya mwili wake.


Hakika mwonekano mke mdogo wa Idd ulipendeza wakati ule, na ulitia ashki, kwa mwanaume yoyote ambae ana afya njema, japo ilikuwa tofauti kwa Idd, “yani anajiona amepata mwanaume bora, kwaajili ya magari” Idd anawaza hivyo huku anatazama juu ya paa la nzyumba hii ya uwazazi wake.


Mke mdogo anamaliza kujipaka mafuta, kisha bila kuvaa chupi, anapanda kitandani, kama alivyo zaliwa, nakujilaza pembeni ya mume wake, kisha anaulaza mkono wake kifuani kwa Idd, huku anamwekea paja juu yake, usawa wa maeneo ya uzazi ya mume wake huyu, ambae ndio kwanza anautoa mguu wa mume wake, anageukia upande mwingine, huku anauondoa mkono wa mke wake.


Mke mdogo anashindwa kumwelewa mume wake, maana sasa ni miezi minne, toka alipo uolewa nae, lakini walikutana mala sita tu, mala tatu ikiwa katika mwezi wa kwanza, wa ndoa yao, na kila tendo lilipewa nafasi ya week moja ili jingine lifanyike.


Baada ya hapo mwezi uliofwata, walikutana mala mbili, ikiwa zimepishana week mbili, na mwezi uliofwata walinyanduana mala moja tu, na mala zote bwana Idd akutumia ata dakika tano kubla ajashuka toka kwa mke wake, lakini mwezi huu wa nne, awakuwa wamenyandua ata mala moja.


Hii ilimpa shida kidogo mke mdogo, akujuwa anakasoro gani, kiasi cha mume wake kuto kupata hamu ya kumwingiria kimwili, licha ya kulala pamoja kila siku, tena akijaribu kumshawishi kwa vitendo, bila mafanikio.


Mke mdogo, anaingiwa na unyonge, anahisi pengne mume wake ataki kuzaa na yeye, ndiyo maana ataki kufanya nae chochote, kwa hiyo alimleta ili mfulie na kumpikia tu, na siyo mke wa kulala nae na kumzalia watoto, lakini kwanini anifanyie hivi, maana amemwaribia mausiano yake na mpenzi wake Yasin, ambae kwa sasa yupo bara mkoani mtwara, anafanya kazi bandarini, yeye ni fundi wa mitambo mikubwa, ya kushusha na kubebea makontena.


Yeye Yasin walipanga mwishoni mwa waka huu, wafunge ndoa na kwenda kuishi Mtwara, lakini katika hali ambayo ilimpatia wakati mgumu yeye na mpenzi wake Yasin, wakilazimika kuachana na yeye kuolewa na Idd kiparago.


Ngoja kwa nza tuone kwa undani ilivyo kuwa ili tuweze kuona Idd alifanya nini kwa wapenda nao awa wawili mpaka kufanikiwa kumchomoa mke mdogo kwa huyo engineer ma kumchukuwa mazima.********


Anaitwa Shani Abdallah, yeye ni mkazi wa mwana kwelekwe, alikuwa kwenye kwenye mpenzi na Yasin, kwa muda wa miaka minne, kabla ya kuolewa na Idd, miezi minne iliyopita.


Shani aliekuwa anaishi na wazazi wake, mwanakwelekwe, na Yasin aliekuwa anaishi gombani na wazazi wake, walifahamiana muda mrefu uliopita, ni baada ya Yasin kuwa anaenda mala kwa mala mwanakwelekwe, kumtembelea mama yake mdogo, aliekuwa anaishi jilani na wakina Shani.


Aikuwa mala moja, ila ilichukuwa miaka mingi sana, kwa vijana awa wawili waliopishana miaka minne ya kuzaliwa, kukubariana kuwa wapenzi, nikipindi ambacho Yasin alikuwa ameenda jijini dar es salaam kwa kaka yake Zuberi, ambako aliweza kujiunga na chuo cha ufundi cha mitambo.


Wawili awa walitumia Nyati za likizo, kukutana na kupeana moyo, kuhusu mwenendo wapenzi lao na maisha yao ya baadae, huku wakipeana uhakika wa kuishi pamoja, katika kipindi iki Yasin akuacha kumhudumia mpenzi wake.


Mwanzo penzi lao lilikuwa kuwa siri, huku wakisimamia makubaliano yao ya kwamba, wasi peane kitumbua wala kuonjeshana dudu, mpaka watakapo owana, kama ilivyo utaratibu.


Lakini siku zilivyosonga, penzi lao likaanza kuwa wazi, ni kutokana na zawadi na vitu mbali mbali vilivyo kuwa vina mfikia Shani, ata wazazi wake kuuliza kama kuna lolote watarajie katika urafiki huo, Shani nae akuwaficha akjawaeleza kuwa mala tu Yasin akimaliza masomo yake, basi ata kuja kuleta barua ya posa.


Aikuishia hapo, ata Yasin alipokuja kutoa habari njema za kuwa, amemaliza mafunzo yake ya ufundi, na kupata kazi bandari ya Mtwara, ndio wakati ambao alikaribishwa nyumbani kwa mzee Abdallah na kupewa luksa ya kuwa na uwezo wa kuongea na kusimama popote na Shani, kwamba alitambuliwa kama mchumba mtarajiwa wa binti yao.


Na huo ndio wakati ambao wawili awa walipiga hatua zaidi, na kuvunja makubaliao yao, wakianza kupeana dudu, na ndio kipindi ambacho Shani, alipoteza uschana wake.


Mambo yaliaribika miezi mitano iliyopita, wakati Yasin akiwa amekuja katika mapumziko mafupi, ambapo alikuwa ameagiziwa redo na TV used na vijana wenzake, ambao waliamini kuwa, bei za vitu hivyo huku unguja ni lahisi zaidi kuliko Dar es salaam, kitu ambacho Yasin alisha wai kukifanya mala nyingi sana.


Wakati huo kunajambo inabidi ulifahamu, ni kwamba, Idd alikuwa anawafahami wote wawili, yani Yasin ambae alisomanae shule ya msingi jang’ombe, wakimwacha Radhia madarasa manne.


Pia Shani ambae alikuwa anamtaamtaa mmoja na shemeji yake, yani dada wa Ashura, japo siku za nyuma alikuwa anamtamani, lakini hakuwa na mpango wala wazo la kumchumbia Shani.


Akiwa na nia njema kabisa, kijana Yasin, akaenda dukani kwa Idd, kwenda kununua TV sita na speeker zake, kwaajili ya kuwapelekea watu walio mwagiza, ikiwa ni mala nyingi alisha fanya hivyo, yani lengo likiwa ni kumfaidisha rafiki yake wa utotoni.


Lakini tofauti na siku nyingine zote, alizowai kuja hapa, leo Yasin alikuja na mpenzi wake Shani, ambae alimtambulisha kwa Idd, kuwa Shani ni mpenzi wake na anatarajia kufunga nae ndoa, mwisho mwa mwaka huu. . ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
Shushaaaaaa vitu mzeeeee baba
 
Wazanzibar ndo zao kama Idd,
Kuna mjinga mmoja toka huko alinipiga vita kazini kwa mzungu mmoja mwanamke,
ikabidi niondoke, ila kabla hajaja mi na yule mama kazi ilikua njema sanaa.
Alikua shemeji yake kakaake alikua Ughaibuni.
So sishangai, wanaume huko ni kama watoto wa kike tu kwa umbea hawafai.
 
Back
Top Bottom