SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA TANO
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI N NNE: Lakini tofauti na siku nyingine zote, alizowai kuja hapa, leo Yasin alikuja na mpenzi wake Shani, ambae alimtambulisha kwa Idd, kuwa Shani ni mpenzi wake na anatarajia kufunga nae ndoa, mwisho mwa mwaka huu. . ......... ENDELEA….


Jioni ya siku ile, wakati Yasin akiwa amesha rudi kwao, na Shani ameenda kwao, ndipo aliposhangaa kupokea ugeni wa Idd, ambae alitoka nae pale nyumbani kwao na kusogea mita kadhaa, “hivi Yasin ujawaona wanawake wazuri na wenye kujiheshimu, mpaka ukaamua kumfwata Shani, mbona ni malaya sana yule” alisema Idd, na kumfanya Yasin atoe macho kwa mshangao.


Yasin ndio mwanaume wa kwanza kwa Shani, na yeye Yasin analijuwa ilo, sasa umalaya wa Shani unatokea wapi, “lakini Idd, mbona sijawai kusikia jambo kama ilo, na sasa namiaka nae minne, na kwao wananifahamu kabisa, mtaani kwao sijawai kusikia lolote” alisema Yasin, ambae akujuwa jambo lililomfanya Idd aje pale kwao.


Ukweli ni kwamba, toka Idd alipowaona Shani na Yasin dukani kwake, mida ile ya mchana, na mtambulisha Shani kuwa ni mpenzi wake, ghafla Idd akatamani kuwa na Shani, tena akiona kabisa kuwa itakuwa vyema akiwa mbadala wa Radhia ambae amemwacha mwaka mmoja uliopita, na ukichukulia ni kwamba, mke wake Ashura alikuwa mjamzito na amepewa mashariti ya kuto kufanya kazi ngumu, wala kuingiliwa kimwili, kwa usalama wa mtoto alieko tumboni.


Idd ailiondoka kwa Yasin huku mpango wake wa kumwachanisha na Shani ukiwa umegonga mwamba, hivyo akapanga kuaribu kwa kuingilia kati mpango wa wawili awa kuchumbiana.


Tayari weekmbili zilikuwa zimepita toka Yasin aondoke, ndipo ghafla siku ya ijumaa, mala baada ya swala ya ijumaa, katika msikiti wa kwelekwe, mzee Abdallah akashangaa anaitwa na wazee wa ule msikiti, “usiondoke bwa Abdallah, kuna jambo la kheri tumekuitia” aliambiwa mzee Abdallah, ambae alikubari kikao kifupi, na wageni toka michenzani.


Katika kikao hicho cha ghafla, palikuwa na wazee kadhaa wapo waliokuwa wametokea pale pale kwelekwe, na pia wapo walioto kea michenzani, pia palikuwana mzee kiparago toka donge, mchamba wima, ambae alikuja kwaajili ya swala ili.


“tumekuita hapa kwaajili ya posa, awa wazee wana kijana wao, ambae amemwona binti yako Shani, na anania ya kumchumbia, wafunge ndoa” alisema mmoja kati ya wazee wamsikiti wa kwelekwe.


Moja kwa moja mzee Abdallah ambae shuguri zake ni uvuvi, akajuwa kuwa kijana Yasin ndie mchumbiaji, “hakuna shida, maadamu vijana wamependa na wanataka kuishi pamoja mimi sinapinga mizi, hivyo tupange siku mmje nyumbani” alisema bwana Abdallah, ambae alishangazwa na kitendo cha Yasin kuanzia msikitini, na siyo nyumbani moja kwa moja.


Mzee kiparago alifurahi sana, kusikia hivyo, maana kijana wake Idd, alimsisitiza sana, kuhusu umuhimu wa yeye kumpata Shani, “atuitaji maandalizi mengi bwana Abdallah, sisi tutakuja jioni, maana kesho mapema naitajika mchambawima” alisema mzee


Mzee Abdallah aliingia nyumba ni kwake, akiwa menye furaha kubwa sana, akawapa wanafamilia wake habari nje, za kuchumbiwa kwa Shani, pia ilikuwa ni habari njema kwa Shani, ambae haraka sana alimpigia simu Yasin, “jamani Yasin mbona unataka kutoa roho kwa furaha” alisema Shani, ambae sauti yake ilionekana kujawa na furaha.


“kivipi tena Shani, mbona sikuelewi?” anauliza Yasin kwa mshangao, “japo unaona ni jambo la kawaida, lakini mwenzio nimefurahi sana, jioni ya leo ndugu zako wanaleta barua ya posa” alisema Shani, sasa akasikia kicheko cha wazi toka kwa yasini.


“Shani acha utani hakuna ndugu yangu ambae anakuja kwenu” alisema Yasin na sasa ikaja zamu ya Shani kushangaa, “mbona baba amekuja na habari za kwamba, mnakuja kuleta barua ya posa?” aliuliza Shani kwa sauti ya mshangao mkubwa, “eti!, unasema kuna watu wanakuja, kukutolea barua ya posa?” ilikuwa ni mshtuko mkubwa na mshangao, “ndiyo tena wanakuja jioni ya leo, ngoja kwanza nikamwulize baba” alisema Shani na kukata simu.


Shani akaenda moja kwa moja kwa mama yake, na kumweleza juu ya ule utata, mama mtu nae akashangazwa, jambo ili, “kwani wewe ulikuwa na wanaume wangapi?” aliulizamama Shani, kwa sauti ya ukali, yenye hasira kali, “mama sina mwanaume mwingine zaidi ya Yasin na nyie wenyewe mnafahamu”, jibi la Shani lilimpeleka mama Shani moja kwa moja kwa mum wake, yani baba Shani, ambae ndie mzee Abdallah.


“usiniambie kuwa mchumba anae tajwa siyo yule ambae tunamfahamu?” alishtuka mzee Abdallah, mala baada ya kuelezwa na mke wake, “inamaana hukuuliza jina la huyo kijana, sasa tutawaambia nini?” aliuliza mama Shani, na hapo wote wakakosa jibu la haraka.


Baada ya kuwaza kwa muda mrefu, wakipima uzito wa watu ambao walimuita mzee Abdallah, na kumweleza jambo ilo kule msitikini, ndipo mzee Abdallah alipoamua kutoa jibu la kiume, “mke wangi huu ni mtego na tayari tumesha nasa, maana ilikuwa vyema kama ningewajibu kule kule msikitini, kwa sasa hatuna na namna ya kukataa, ongea na Shani kuwa ni lazima aolewe na huyo kijana.


Kutokana na heshima ya wazee wa msikiti, Shani na wazazi wake wakajikuta wameingia kwenye mtego wa Idd, na kukubari posa, japo iliwashangaza na kuwaumiza sana Yasin na Shani mwenyewe, ambao awakuna na budi zaidi ya kukubari matokeo, huku Yasin mwenyewe akipata habari nyingi za Idd kuvuruga penzi la Ashura na Shaban, miaka kadhaa iliyopita.


Wakati Yasin anaumia kwa kumkosa mpenzi wake, huku Shani anajikuta ameingia kwenye ndoa ambayo nikama ilikuwa bandia, hapakuwa na tendo la ndoa, zaidi ya kuishia kufanya kazi za ndani, kama vile usafi wa nyumba, kufua nguo na kupika, lakini linapokuja swala la kupewa haki ya ndoa, ilikuwa ni mala chache sana, na ilikuwa ni weka mwaga chomoa.


Sasa alikuwa amesha maliza mwezi mzima ajanyanduliwa, na sasa alikuwa anautafuta mwezi wa pili, kitumbua akijaguswa na dudu, Shani anaumia roho, ajuwi ni kwanini mwanaume huyu, alimchukuwa kwa mpenzi wake, na kuja kumtesa namna hii hapa nyumbani kwake.


Shani anajuta kwa kile kilichotokea, anamkumbuka mpenzi wake Yasin, ambae licha ya kwamba walikuwa wanakutana mala chache, lakini kila yasini alipokuja unguja, walitumia muda wao vyema kupeana dudu, kiasi cha yeye kulizika na kile alichofanyiwa, na isingepita siku bila wao kupeana dudu.


Shani anainuka toka kitandani, huku macho yana mtoka taratibu, akuwaza atajisikiaje akimwona mwanamke mwingine akiwa anafurahia maisha na Yasin, ingali yeye anateseka na ndoa ambayo aikuwa na furaha ya tendo, na kama ujuwavyo yeye ni mwanamke, akuwa na ujasiri wa kudai tendo la ndoa kwa kinywa chake.


Baada ya kumaliza kuvaa chupi yake, anaenda kujilaza kitandani, na kugeukia upande wa ukutani, kisha anajifunika shuka mwili mzima, na kuanza kulia kilio cha shini chini, ata mume wake anagundua jambo ilo, “wewe unalia nini sasa?” anauliza Idd kwa sauti ya ukali.


Shani ajuwi ajibu nini, maana awezi kutamka wazi wazi anacho kitaka, “nakuuliza wewe Shani, unalia nini?” anauliza Idd kwa sauti ya ukali, huku anamfunua shuka mke wake, ambae anamwona kweli alikuwa analia, “kama usiposema unacholilia hakika nitakutandika mikwaju sasa hivi” alisema Idd, huku anainuka toka kitandani na kueleka kwenye nguo zake kisha akatoa mkanda wa suruali.


Mpaka hapo Shani akajuwa kuwa kinachofwata nikupigwa kwa mala ya kwanza na mume wake, “namimi nataka kuzaa” alisema Shani kwa sauti yenye kilio cha chini chini, “kwahiyo ndio unajiliza liza kama mjinga” alisema Idd sambamba na mvumo wa mkanda uliotuwa kwenye mgongo wa Shani, ambae apiga yowe la nguvu. . ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA Jamii furoms
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA TANO: Mpaka hapo Shani akajuwa kuwa kinachofwata nikupigwa kwa mala ya kwanza na mume wake, “namimi nataka kuzaa” alisema Shani kwa sauti yenye kilio cha chini chini, “kwahiyo ndio unajiliza liza kama mjinga” alisema Idd sambamba na mvumo wa mkanda uliotuwa kwenye mgongo wa Shani, ambae apiga yowe la nguvu. . ......... ENDELEA….


“mpuuzi sana, sasa hivyo mimba unataka nikubebea mimi, siubebe mimba sasa” Idd akainua tena mkanda na kuuleta kwa Shani, safari hii Shani akuacha mnda ufike mwili mwake, alivulumisha miguu yake na kumsukuma Idd, ambae akutegemea ktendo kile, na kujikuta akisukumwa na kujibwaga chini.


Idd akainuka akiwa na hasira kali, na kuokota mkanda wakeambao ulikuwa umemtoka mkononi, Shani anapata nafasi ya kutoka mle chumbani akiwa na chupi, tu, kifua kipo wazi.


Idd ana tembea kuelekea sebuleni, huku anasikilizia maumivu, aliyo yapata kutokana na kuanguka, akiwa amevaa kaptula iliyoishia magotini, “vipi tena jamani, mbona mnapigana usiku usiku namna hii?” alieuliza alikuwa ni Ashura, yani mke mkubwa wa bana Idd, ambae alikuwa amesimama kwenye mlango wa chumba chake, ilikuwa baada ya kusikia kelele za mke mdogo.


Shani akuwepo pale seuleni, “mpuuzi sana huyu, anajifanya kiburi, ssa ngoja nimwonyeshe” alisema Idd huku anaelekea kwenye mlango wa chumba cha Ashura, ambako alizania Shani amekimbilia, “umwonyeshe nani?” ilisikika sauti ya Shani, aliekuwa ametokea upande wa jikoni.


Idd anageuka kwa hasira, na kumwona Shani, akiwa ameshika panga mkononi mwake, huku uso umefura kwa hasira, “yani nakukumbusha wajibu wako wakunipa haki yangu, baada ya kunitimizia wewe uanipiga” alisema Shani kwa sauti iliyojaa hasira kali.


Idd anatoa macho ya mshangao na uoga, kisha ana geuka na kukimbilia chumbani kwa mke mkubwa, kisha akamsukuma mke wake mkubwa, ambae kama siyo Shani kumdaka, basi angeanguka vibaya sana.


Idd pasipo kujari alichokifanya, aka akafunga mlango haraka, “yani Shani umefikia hatua ya kunishikia panga, walahi na kurudisha kwenu” alisema Idd, kwa sauti yenye uoga na wasi wasi, “unazani ningeendelea kukaa hapa, ilinipate nini, mtu mwenyewe mwanaume suruali, nashangaa ata Ashura uliwezaje kumpatia mimba, wakati unalolote unalo lifanya, na ukiambiwa una kimbilia kunipiga” alisema Shani kwa sauti ya juu yenye hasira, huku maneno yake yakiwashtua watu wawili, yani Idd na Ashura.


Idd aliona mke wake anamchafua, kwa kuongea vile kwa sauti ya juu, na pengine majirani wanaweza kuwa wanasikia, lakini mshtuko wake, aukuwa mkubwa kama ule wa Ashura, ambao ulimfanya ahisi kuwa, mchezo wake unaenda kufichuka muda siyo mrefu.


“mwanamke gani uliziki, unataka mpaka nife” alisema Idd, ambae akuwai kufikilia wala kuwaza kuhusu shida aliyonayo, ya kushindwa kutimiza tendo la ndoa kwa wake zake, “ufe kwa lipi, wakati ni mwezi wapili sasa utaki ata nikuguse, utazani tumegombana, sijuwi kitu gani kilikufanya umzunguke Yasin na kuja kunichumbia, wakati uwezo wa kulala na mwanamke mmoja hauna” alisema Shani ambae ni wazi alikasirika kweli kweli.


Hapo Idd, ana umia moyoni mwake, ni kwamaana Shani anaingea ukweli mtupu, kwamaana anavuta kumbu kumbu, na kuona ni kweli sasa anamiezi miwili, ajagusa kitumbua cha mke wake mdogo, achana na mke mkubwa ambae akumbuki imepita muda gani ajamgusa,


Nikweli anagundua akuwa na sababu yakumchukuwa Shani toka kwa Yasin, lakini yeye lengo lake likuwa ni kuona Yasin anamkosa Shani, “hapo nikimwacha lazima aende akaseme kwao, huyu ni tofauti na Radhia alie nivumilia” waza Idd, ambae anajuwa fika kuwa, swala ili linaweza kuwa kashfa kubwa kwake.


Lakini basi kabla ajaongea lolote, akamsikia Shani akiongea toka sebuleni, “taraka utaniletea nyumbani” alisikika Shani, huku anaelekea chumbani kwake, akiwa na panga mkononi, mke mkubwa akimsindikiza kwamacho, akiombea mume wake aishie hapo kuongea, isje kuweka wazi janja yake ya kuzaa na Shaban watoto watatu.


Hapo Idd anadharau “nani kakuambia nakutariki, we nenda lakini utarudi mwenyewe” alisema Idd akiongea toka chumbani, “tena nikuambie kitu, uje na taraka tatu, sababu sitokaa nirudi tena hapa kwako, na ukichelewa kesho, nitaenda kutoa taarifa msikitini, kama ulivyo kuja kunifanyia fitina” alisikika Shani ambae sasa alikuwa chumbani, anavaa nguo na kuweka nguo zake kwenye mfuko wake mkubwa.


Ashura anakumbuka jinsi Idd alivyo mfanyia yeye, kwa tamaa ya mcho, lakini akashindwa kutimiza ya chumbani, na kumfanya sasa aishi kitembea na wanaume wawili, yani Idd na Shaban.


Idd anaona mambo yanaenda kuwa mabaya kwake, niwazi Shani ataeleza kila kitu, ata kisichotakiwa kuelezwa adharani, “Ashura mzuwie asindoke huyo” alisema Idd, kwa sauti ya juu, “alafu nikimzuwia mimi ndie nita mlala, nani alikuambia tendo la ndoa nikumpiga mwanamke” alijibu kwa hasira Ashura, akiwa namaana mbili.


Moja ni hasira alizokuwa nazo, juu ya matendo ya Idd, kuvuruga mapenzi ya watu, na kuwatenganisha, pili ni kutoa mwanya kwa Shani kuondoka, ilikuepusha kufichuka kwa siri ya uzaifu wa mume wake, maana kama Ashura akiendeleakuishihapa, kunasiku wanganza kueleza madhaifu ya Idd, napengine watu kuanza kuingiwa na mshaka juu ya ulijari wa Idd, na kuhoji juu ya namna alivyoweza kumpatia mimba Ashura.


Ilimshtua sana Idd kauri ya mke wake mkubwa, “ashura na wewe umekuwaje lakini, usimsikilize huyo, ebu mzuwie asiondoke bwana” alipaza sauti Idd, ambae akusikia jibu lolote toka kwa Ashura,


Nae anatoka chumbani kwa Ashura kimya kimya, na kuibukia sebuleni, mbako anakuta papo tupu, hivyo anasogelea mlango wa chumba cha mke mdogo, kwa kunyatia.


Idd anapofika kwenye mlango wa chumba kile, anasikia maongezi yanaendelea ndani ya chumba hicho, “lakini mdogo wangu, ukiona hasira zimepungua rudi hapa nyumbani, siunajuwa mimi mwenyewe siwezi kumhudumia mume wetu” ilikuwa sauti ya Ashura ikimbembeleza Shani, “dada mimi siwezi, yani sijuwi kwanini aliingia tamaa ya kuniachanisha na Yasin, wakati mwenyewe anajijuwa dhaifu” maneno ya Shani yaliuchoma moyo wa Idd.


“Shani ndoa zina mambo mengi, ni uvumilivu tu, mbona mimi mwenzio navumilia kwa muda mrefu” alisema Ashura, ambae kichwani mwake alikuwa amesha pata njia ya kwenda kwa Shaban, kuendelea kula raha.


Naaaaaam!, mpaka Shani anamaliza kupanga mizigo na kuomba kaka yake mwagizie taxi ya kumpeleka nyumbani kwao, hapakuwa na mwafaka mzuri juu ya ndoa ile, na wakati wanasubiri gari, ndipo Ashura nae alipotoa ombi lake, “Idd siunajuwa sasa nitakuwa mwenyewe, basi naomba niende kwa dada, ata likitokea lolote aweze kunisaidia, maana hapa nilipo ata kupika siwezi” alisema Ashura, na Idd akupiga lolote, akamkubaria Ashura aondoke na Shani, kwa makubaliano ya kwamba, ata rudi siku mbayo Shani atarudi nyumbani.


Nusu saa baadae gari likaja, Ashura na Shani wakaondoka zao, pasipo Shani kujuwa kuwa, mke mwenzie anaelekea kwa mwanaume wake, anae mpatia raha nakujihisi kuwa ni mwanaume. ********

Naaaaaaam!, kwa upande wa Edgar na Radhia, usiku wao ulikuwa mzuri zaidi ya jana, maana ukiachilia kula nakuongea kwa pamoja, huku wakinywa juice ya matunda harisi, pia walioga pamoja na kunyaduana kweli kweli zaidi ya ilivyokuwa jana, wakianza kwa kifanyiana michezo ya kimahaba. . ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA JamiiForums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA SABA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA SITA: Naaaaaaam!, kwa upande wa Edgar na Radhia, usiku wao ulikuwa mzuri zaidi ya jana, maana ukiachilia kula nakuongea kwa pamoja, huku wakinywa juice ya matunda harisi, pia walioga pamoja na kunyaduana kweli kweli zaidi ya ilivyokuwa jana, wakianza kwa kifanyiana michezo ya kimahaba. . ......... ENDELEA….


Huku Edgar akiramba asali kwa ulimi, kama alivyo sisitiza kuwa, #asali_aitiwi_kidole, nae Radhia akadai anataka kulamba mwiko, ambapo leo kidogo alijitaidi kwa kiasi flani, ata kwenye kunyanduana, leo walipeana mitindo mingi zaidi, na walirudia mala nyingi.


Walisuguana kweli kweli, na ikawakoa kisawa sawa, kiasi kwamba wakati wa kulala, Radhia alihisi kama vile, dudu bado hipo kwenye kitumbua chake, “ukweli nimechelewa sana kujuwa tamu ya hii” alidema Radhia alie lala kifuani kwa Edgar, huku apeleka mkono wake kwenye dudu ya Edgar na kuishika, kwakiganja chake cyenye joto kama shavu la mtu mwenye maralia.


Ile kuishika tu, dudu ika shtuka na kuanza kujiinua, “jamani Eddy, kwanini sasa, yani kuishika tu inataka tena” alilalamika kwakudeka Radhia, “ata mimi nashangaa, ila unajoto tamu sana” alisema Edgar huku anamshika Radhia na kumpandisha juu yake, na kumfanya akalie dudu yake, ambayo ilikuwa imeshajitutumia kweli kweli, nakulala uwa wa ksima cha asali, na kukanda miza kunde ya Radhia, huku kichwa cha mwiko kikigusa kwenye uwanya wa nywele za bustani ya shamba la bibi.


Edhar anapeleka mkono na kuushika mwiko, kwa lengo la kuupeleka chunguni, “Eddy unaniuwa mwenzio” alisema Radhia huku anajiinua kidogo, na kutoa nafasi ya dudu kuingia kwenye kisima chake, hapo Radhia anashusha pumzi nzito, “nitakuuwa kwanini Radhia?” anauliza Edgar, huku anazamisha ndani dudu yake, huku Radhia akishusha chini kiuno chake.


Radhia ambae sasa anafaidi utamu wadudu atafumba macho, huku dudu inazama kitumbuani, “kwa…kwa utamu, unanifanya nishindwe kulala nyumbani” alisema Radhia huku anasikilizia jinsi dudu ilivyokuwa inazama ndani ya kitumbua, na kuibuka tena, huku yeye akijikuta akianza kuzungusha kiuno taratibu.


Hii ilikuwa ni mala ya nne, ukweli ata dakika ishilini baadae walipomaliza, walikuwa wamechoka vibaya sana, kiasi cha kushindwa kujuwa muda ambao walipitiwa na usingizi, na kuja kuamka saa mbili asubuhi, wakiamshwa na simu ya Radhia, iliyokuwa inaita.


Radhia anaamka akiwa mtupu kama alivyo zaliwa, anaienda kuichukuwa simu yake mezani, ambako aliiacha toka jana usiku, anatazama mpigaji, na kumwona kuwa ni mama yake ndie aliekuwa anapiga, nae anapokea huku anarudi kitandani, “asalm aleykum mama” ilikuwa sauti ya kichovu toka kwa Radhia, “mh!, wewe, yani hupo kwa mwanaume na unaamka saa hizi, chai umemwandalia saa ngapi?” anauliza mama Radhia upande wa pili wa simu, “


Radhia ambae anapanda kitandani, akiwa kama alivyozaliwa, anajuwa anachomaanisha mama yake, “hapana mama, hapa kuna wafanyakazi, lakini ata hivyo chakula cha mchana nitampikia mwenyewe” alijibu Radhia kwa sauti ile ile ya uchovu, “ata hivyo bwana, ndio mpaka saa mbili bado ujaamka?” anauliza mama Radhia, akionyesha mashaka.


Radhia anamtazama Edgar, ambae alikuwa ameshaamka, anampapasa mgongo, “mbona tumesha amka mama” anajibu Radhia, kwa ile sauti ya kichovu, “mbona sauti yako inaonyesha una unauchovu” alisema mama Radhia.


Hapo Radhia anamtazama tena Edgar, na kujikuta anatabasamu kwa aibu, “jamani mama, swali gani sasa ilo, yani unuliza kama ninauchovu jamani” aliuliza Radhia kwa sauti iliyojaa aibu, huku anaziba usowake kwa mkono wa kushoto, “he!, nilisahau kama mlikuwa wawili” anasema mama Radhia, huku anacheka.


Wakati huo Edgar alipelekamkono kifuani kwa Radhia, na kugusa chuchu ya Radhia, ambae alishtuka na kushuka haraka kitandani, “ndiyo mama mbona mapema hivyo, au baba amesema nirudi?” anauliza Radhia, ambae akili yake ilisha panga leo alale nyumbani kwa Edgar, ailiandelee kufaidi dudu.


“ata ukitaka ukae siku zote wekaa tu, baba yako wala hana neno, ila kunamambo inabidi tuongee” alisema mama Radhia, kabla ajaanza kumweleza kuhusu maisno yake na Edgar, na itakuwaje kama ataitaji kumwoa, na lile tatizo lake la kuto kushika, ujauzito kama analifahamu, pia mama Radhia akamweleza Radhia kilichotokea jana, baada ya Idd kupiga simu kwa Siwema, na kuzuwa mtafaluku.


“baba yako amechukia sana, amewasema sana Siwema na mama yake” alisema mama Radhia, pia akamweleza kila kitu kilivyokuwa, na maagizo ya baba yake, kwamba pasitokee mtu kumsimanga tena.


Taarifa hii ilimshtua sana Radhia, ambae alimsimulia mama yake jinsi Idd alivyopiga simu na kumwita mke wake, huku akipania kuwaachanisha na Edgar, na kudai kuwa bado yeye ni mpenzi wake.


Pia alimsimulia jinsi Idd alivyo mfwata Edgar, na kumweleza kuwa amwache yeye sababu ni Malaya na anatabia mbaya, “kwahiyo amesahau kuwa alishakupataraka tatu?” anauliza mama Radhia, “alafu dada yako nae ajiulizi anaamua kushirikiana na Idd kukuaribia” analalamika mama Radhia.


Waliongea mawili matatu, huku Radhia akiwaeleza kuwa, swala yeye na Edgar analiacha mikononi mwa Edgar, kwamaana awezi kumlazimisha wala kumkimbiza afanye haraka alichokusudia, japo Radhia alisema kuwa kwa upande wake anaamini kuwa Edgar anampenda kweli kweli.


Walimaliza maongezi yao na Radhia akamwelezea Edgar kile walichoongea na mama yake, na kumsimulia alicho kifanya Idd, kumpigia simu Siwema ili amsemee kwa baba yake, kwa kulala nje ya nyumba.


Mwisho wa maongezi yao, ilikuwa ni kupeana dudu, kisha kuingia bafuni ambako pia awakutoka salama, yani mpaka wanamaliza kuoga, tayari walikuwa wamesha peana tena dudu, ilikuwa ni kitu mbacho kilimfanya Radhia aone utofauti wa Edgar na Idd.********


Naaaaaaaam!, wakati Ashura anaamkia mlandege kwa Shaban, Shani aliamkia nyumbani kwao, akiwa amesha waeleza kila kitu wazazi wake, “yule kijana waovyo sana, lazima niongee na baba yako alipeleke kwa wazee wenzake, wamweleze atoe taraka” alisema mama Shani. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA SITA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA TANO: Mpaka hapo Shani akajuwa kuwa kinachofwata nikupigwa kwa mala ya kwanza na mume wake, “namimi nataka kuzaa” alisema Shani kwa sauti yenye kilio cha chini chini, “kwahiyo ndio unajiliza liza kama mjinga” alisema Idd sambamba na mvumo wa mkanda uliotuwa kwenye mgongo wa Shani, ambae apiga yowe la nguvu. . ......... ENDELEA….


“mpuuzi sana, sasa hivyo mimba unataka nikubebea mimi, siubebe mimba sasa” Idd akainua tena mkanda na kuuleta kwa Shani, safari hii Shani akuacha mnda ufike mwili mwake, alivulumisha miguu yake na kumsukuma Idd, ambae akutegemea ktendo kile, na kujikuta akisukumwa na kujibwaga chini.


Idd akainuka akiwa na hasira kali, na kuokota mkanda wakeambao ulikuwa umemtoka mkononi, Shani anapata nafasi ya kutoka mle chumbani akiwa na chupi, tu, kifua kipo wazi.


Idd ana tembea kuelekea sebuleni, huku anasikilizia maumivu, aliyo yapata kutokana na kuanguka, akiwa amevaa kaptula iliyoishia magotini, “vipi tena jamani, mbona mnapigana usiku usiku namna hii?” alieuliza alikuwa ni Ashura, yani mke mkubwa wa bana Idd, ambae alikuwa amesimama kwenye mlango wa chumba chake, ilikuwa baada ya kusikia kelele za mke mdogo.


Shani akuwepo pale seuleni, “mpuuzi sana huyu, anajifanya kiburi, ssa ngoja nimwonyeshe” alisema Idd huku anaelekea kwenye mlango wa chumba cha Ashura, ambako alizania Shani amekimbilia, “umwonyeshe nani?” ilisikika sauti ya Shani, aliekuwa ametokea upande wa jikoni.


Idd anageuka kwa hasira, na kumwona Shani, akiwa ameshika panga mkononi mwake, huku uso umefura kwa hasira, “yani nakukumbusha wajibu wako wakunipa haki yangu, baada ya kunitimizia wewe uanipiga” alisema Shani kwa sauti iliyojaa hasira kali.


Idd anatoa macho ya mshangao na uoga, kisha ana geuka na kukimbilia chumbani kwa mke mkubwa, kisha akamsukuma mke wake mkubwa, ambae kama siyo Shani kumdaka, basi angeanguka vibaya sana.


Idd pasipo kujari alichokifanya, aka akafunga mlango haraka, “yani Shani umefikia hatua ya kunishikia panga, walahi na kurudisha kwenu” alisema Idd, kwa sauti yenye uoga na wasi wasi, “unazani ningeendelea kukaa hapa, ilinipate nini, mtu mwenyewe mwanaume suruali, nashangaa ata Ashura uliwezaje kumpatia mimba, wakati unalolote unalo lifanya, na ukiambiwa una kimbilia kunipiga” alisema Shani kwa sauti ya juu yenye hasira, huku maneno yake yakiwashtua watu wawili, yani Idd na Ashura.


Idd aliona mke wake anamchafua, kwa kuongea vile kwa sauti ya juu, na pengine majirani wanaweza kuwa wanasikia, lakini mshtuko wake, aukuwa mkubwa kama ule wa Ashura, ambao ulimfanya ahisi kuwa, mchezo wake unaenda kufichuka muda siyo mrefu.


“mwanamke gani uliziki, unataka mpaka nife” alisema Idd, ambae akuwai kufikilia wala kuwaza kuhusu shida aliyonayo, ya kushindwa kutimiza tendo la ndoa kwa wake zake, “ufe kwa lipi, wakati ni mwezi wapili sasa utaki ata nikuguse, utazani tumegombana, sijuwi kitu gani kilikufanya umzunguke Yasin na kuja kunichumbia, wakati uwezo wa kulala na mwanamke mmoja hauna” alisema Shani ambae ni wazi alikasirika kweli kweli.


Hapo Idd, ana umia moyoni mwake, ni kwamaana Shani anaingea ukweli mtupu, kwamaana anavuta kumbu kumbu, na kuona ni kweli sasa anamiezi miwili, ajagusa kitumbua cha mke wake mdogo, achana na mke mkubwa ambae akumbuki imepita muda gani ajamgusa,


Nikweli anagundua akuwa na sababu yakumchukuwa Shani toka kwa Yasin, lakini yeye lengo lake likuwa ni kuona Yasin anamkosa Shani, “hapo nikimwacha lazima aende akaseme kwao, huyu ni tofauti na Radhia alie nivumilia” waza Idd, ambae anajuwa fika kuwa, swala ili linaweza kuwa kashfa kubwa kwake.


Lakini basi kabla ajaongea lolote, akamsikia Shani akiongea toka sebuleni, “taraka utaniletea nyumbani” alisikika Shani, huku anaelekea chumbani kwake, akiwa na panga mkononi, mke mkubwa akimsindikiza kwamacho, akiombea mume wake aishie hapo kuongea, isje kuweka wazi janja yake ya kuzaa na Shaban watoto watatu.


Hapo Idd anadharau “nani kakuambia nakutariki, we nenda lakini utarudi mwenyewe” alisema Idd akiongea toka chumbani, “tena nikuambie kitu, uje na taraka tatu, sababu sitokaa nirudi tena hapa kwako, na ukichelewa kesho, nitaenda kutoa taarifa msikitini, kama ulivyo kuja kunifanyia fitina” alisikika Shani ambae sasa alikuwa chumbani, anavaa nguo na kuweka nguo zake kwenye mfuko wake mkubwa.


Ashura anakumbuka jinsi Idd alivyo mfanyia yeye, kwa tamaa ya mcho, lakini akashindwa kutimiza ya chumbani, na kumfanya sasa aishi kitembea na wanaume wawili, yani Idd na Shaban.


Idd anaona mambo yanaenda kuwa mabaya kwake, niwazi Shani ataeleza kila kitu, ata kisichotakiwa kuelezwa adharani, “Ashura mzuwie asindoke huyo” alisema Idd, kwa sauti ya juu, “alafu nikimzuwia mimi ndie nita mlala, nani alikuambia tendo la ndoa nikumpiga mwanamke” alijibu kwa hasira Ashura, akiwa namaana mbili.


Moja ni hasira alizokuwa nazo, juu ya matendo ya Idd, kuvuruga mapenzi ya watu, na kuwatenganisha, pili ni kutoa mwanya kwa Shani kuondoka, ilikuepusha kufichuka kwa siri ya uzaifu wa mume wake, maana kama Ashura akiendeleakuishihapa, kunasiku wanganza kueleza madhaifu ya Idd, napengine watu kuanza kuingiwa na mshaka juu ya ulijari wa Idd, na kuhoji juu ya namna alivyoweza kumpatia mimba Ashura.


Ilimshtua sana Idd kauri ya mke wake mkubwa, “ashura na wewe umekuwaje lakini, usimsikilize huyo, ebu mzuwie asiondoke bwana” alipaza sauti Idd, ambae akusikia jibu lolote toka kwa Ashura,


Nae anatoka chumbani kwa Ashura kimya kimya, na kuibukia sebuleni, mbako anakuta papo tupu, hivyo anasogelea mlango wa chumba cha mke mdogo, kwa kunyatia.


Idd anapofika kwenye mlango wa chumba kile, anasikia maongezi yanaendelea ndani ya chumba hicho, “lakini mdogo wangu, ukiona hasira zimepungua rudi hapa nyumbani, siunajuwa mimi mwenyewe siwezi kumhudumia mume wetu” ilikuwa sauti ya Ashura ikimbembeleza Shani, “dada mimi siwezi, yani sijuwi kwanini aliingia tamaa ya kuniachanisha na Yasin, wakati mwenyewe anajijuwa dhaifu” maneno ya Shani yaliuchoma moyo wa Idd.


“Shani ndoa zina mambo mengi, ni uvumilivu tu, mbona mimi mwenzio navumilia kwa muda mrefu” alisema Ashura, ambae kichwani mwake alikuwa amesha pata njia ya kwenda kwa Shaban, kuendelea kula raha.


Naaaaaam!, mpaka Shani anamaliza kupanga mizigo na kuomba kaka yake mwagizie taxi ya kumpeleka nyumbani kwao, hapakuwa na mwafaka mzuri juu ya ndoa ile, na wakati wanasubiri gari, ndipo Ashura nae alipotoa ombi lake, “Idd siunajuwa sasa nitakuwa mwenyewe, basi naomba niende kwa dada, ata likitokea lolote aweze kunisaidia, maana hapa nilipo ata kupika siwezi” alisema Ashura, na Idd akupiga lolote, akamkubaria Ashura aondoke na Shani, kwa makubaliano ya kwamba, ata rudi siku mbayo Shani atarudi nyumbani.


Nusu saa baadae gari likaja, Ashura na Shani wakaondoka zao, pasipo Shani kujuwa kuwa, mke mwenzie anaelekea kwa mwanaume wake, anae mpatia raha nakujihisi kuwa ni mwanaume. ********

Naaaaaaam!, kwa upande wa Edgar na Radhia, usiku wao ulikuwa mzuri zaidi ya jana, maana ukiachilia kula nakuongea kwa pamoja, huku wakinywa juice ya matunda harisi, pia walioga pamoja na kunyaduana kweli kweli zaidi ya ilivyokuwa jana, wakianza kwa kifanyiana michezo ya kimahaba. . ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
Naaaaam shushaaaaa tuuu vitu kaka usiku mrefu huuuuu sheikh
 
Kama Hujasoma Simulizi Hizi Kutoka Kwa Edgar Mbogo Basi Usicheze Mbali
1,KIFO CHA HAWARA
2,KIAPO CHA DAMU KWA DAMU CAPTAIN CHUI MCHAFU
3,MLANGO WA ADUI


Na Nyingine Nyingi Tu Kama
Tembele La Uwani
Kitumbua Cha Buku
Mwalimu Anataka
Mama Mwenye Nyumba
Aaah Acha Tu
 
Kama Hujasoma Simulizi Hizi Kutoka Kwa Edgar Mbogo Basi Usicheze Mbali
1,KIFO CHA HAWARA
2,KIAPO CHA DAMU KWA DAMU CAPTAIN CHUI MCHAFU
3,MLANGO WA ADUI


Na Nyingine Nyingi Tu Kama
Tembele La Uwani
Kitumbua Cha Buku
Mwalimu Anataka
Mama Mwenye Nyumba
Aaah Acha Tu
Aiseeeeee hapo sijasoma hata moja but uko vizuri kaka we shushaaaa sisi tutazisomaaaaaa haswaaaaaaa
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA SABA: Naaaaaaaam!, wakati Ashura anaamkia mlandege kwa Shaban, Shani aliamkia nyumbani kwao, akiwa amesha waeleza kila kitu wazazi wake, “yule kijana waovyo sana, lazima niongee na baba yako alipeleke kwa wazee wenzake, wamweleze atoe taraka” alisema mama Shani. ......... ENDELEA….

Pia siku hii ilikuwa fupi sana kwa Edgar na Radhia, ambao walikuwa pamoja muda wote, kuanzia ofisini, ambako waliingia mala tu baada ya kunywa chai, ambako walikaa lisaa limoja tu, Edgar akikagua nyaraka alizo letewa mezani kwake, na kusoma baadhi ya barua pepe, huku Radhia akiwa amevalia kikaptulah kifupi kilichoishia pajani, na tishert refu la Edgar, ambae alivaa kaptulah ndefu mpaka magotini na tishert la kubana.

Ofisini pia walitumia muda wao kupanga utaratibu na mipangilio ya mapokezi na huduma za wageni huku wakihakikisha wanapata bajeti za maitajio ya vyakula ambavyo wachezaji na walimu wao watakula kwa week nzima, sehemu ya kufikia, na mafuta kwajili ya usafiri watakao utumia muda wote wakiwa hapa unguja.

Baada ya hapo wakaamia jikoni, ambako Radhia atoa maitajio yake ya vyakula alivyoitaji kupika, na walipika wakisaidiana na Edgar, muda wote wakicheza na kufanyiana michezo ya kimahaba, wafanyazi wao walifanya mambo madogo madogo, pasipo kuingilia mapishi.

Hakika ata wafanyakazi na watu wengine wlifurhia mapishi, huku wakitoa pendekezo la kwamba Radhia awafundishe upishi ule, ili siku nyingine waweze kupika wenyewe sehemu yoyote, ikiwa na nchini kwao #Mbogo_Land.

Jioni ya saa kumi na mbili Edgar na Radhia wakatoka nakwenda kutembea kule forodhani, ambako walifanya kama jana, leo wakiwa wamekaa muda mrefu sana, na kurudi nyumbani mida ya saa mbili usiku, na walipofika ilikuwa kama jana, mwendo wa kula na kupeana dudu.*******

Jumatatu ilikuwa nisiku ya kwanza makazini, hii ni baada ya mapumziko marefu ya eid, siku ile ilimkuta Siwema kitandani, ikiwa nisiku ya kwanza bila kwenda kazini.

Mawazo yame mshika roho, inamuuma kweli kweli, akizingatia siyo kazi pekee, pia ameachwa kwa aibu, ikiwa kosa ni uzinzi, na kilichomuumiza zaidi nikwamba, wakati yeye anaumia kwa kuachwa, ndogo wake Radhia ndio anaanza kufaidi maisha.

Wakati anaendlea kuwaza ili na lile, mala akasikia simu yake inaita, akatazama ilikuwa namba ngeni, Siwema anahisi pengine atakuwa ni Said, yani hawara yake alie mtoroka bwawani hotel, na kisha kumleta mke wake.

Siwema anapokea simu kwa shahuku, “hallo asalam aleykum” alisalimia Siwema, kwa sauti ya upole na tahadhari kubwa sana, “aleykum salam, bila shaka naongea bi Siwema Makame” ilisikika sauti ya kike toka upande wapili wa simu.

Mapigo ya moyo ya Siwema yanaanza kwenda mbio, kichwani kwake anahisi pengine ni mke wa Said ndie alie mpigia, “ndiyo ni mimi” anaitikia Siwema, kwa sauti yenye uoga mwingi, “unatakiwa report kwa mkurugenzi haraka iwezeka navyo, ukiwa na barua yako ya kuachishwa kazi” alisema mwanamke upande wapili wa simu.

“sawa nakuja sasa hivi” alisema Siwema, huku anajiinua toka kitandani na kukimbilia bafuni haraka kujiandaa, huku kichwani mwake akianza kikumbuka aliachoongea Edgar juzi, wakati wamlo wa mchana.**********

Mida hii, huko shule ya sekondari ya mwankwelekwe A, mwalimu Makame, ndio kwanza alikuwa anaingia darasani, na kitabu chahe cha biology kwamaana ya sayansi ya viumbe hai, ambayo ni moja kati ya masomo aliyo yasomea.

Mwalimu Makame anaingia darasani na wanafunzi wanasimama na kumsalimia, anaitikia na kuwa luhusu wakae, lakini kabla ajaongea chochote, kingine yeye na wanafunzi wake wakajikuta wanatazama nje, kuona magari mawili meusi aina ya Toyota V8. Yakija na kusimama mbele ya jengo la ofisi.

Mzee Makame anakumbuka kabisa kuwa, magari kama aya yalikuja juzi nyumbani kwake, lakini namba azikuwa hizo namba zilikuwa ni zaubarozi, lakini hii ya leo, ni namba za serikazi, yani SMZ, ambayo mala baada ya kusimama, walishuka watukadhaa wakiwa wamevalia suit yeusi, maarufu kama Kaunda suit.

“aya mmesha yaona magari zaidi ya hapo ni kujitaidi darasani, ili uweze kuyapanda na kuyaendesha” alisema mwalimu Makame kwa sauti iliyojaa utani, wanafunzi wanacheka kwa pamoja, ucheshi na utani, ni moja kati ya vitu ambavyo vinawafanya wanafunzi wampende sana mwalimu Makame.

Naaaaaaam! ile mwalimu Makame anataka kuanza kufundisha tu, mala akasikia mchakato wa vishindo vya watu zaidi ya mmoja vikija upande wa darasa alikuwepo yeye, wanafunzi nao wakatazama upande wa madirisha yalipo kolidoni, na yeye mwalimu Makame akatazama, upande huo, ambao waliweza kuwaona watu wanne wakilio shuka kwenye lile gari, wakiwa wameongozana na mwalimu mkuu, wakija mpaka kwenye mlango wa darasa alilokuwepo yeye, na kufungua mlango, kisha mwalmu kuu peke yake akachungulia na kumwita mwalimu Makame kwa ishala ya mkono.

Mwalimu Makame akusubiri aitwe mala mbili akatoka nje na kumfwata mwalimu mkuu aliekuwa na wale jamaa wanne, wenye Kaunda suit, “asalam aleykum” alisamia mzee Makame, huku anawatazama wale jamaa kwa macho ya tahadhari, “aleykum salaam” waliitikia wale jamaa, kisha mwalimu mkuu akaongea, “ugeni wako huu bwana Makame” alisema mwalimu mkuu, akionyesha mwenye tabasamu usoni.

“sawa nawasikiliza” alisema mzee Makame, akiwatazama kwa zamu wale jamaa wanne, “mzee huu ni ujumbe toka ikulu, tumetumwa kuja kukuchukuwa unatakiwa kuonana na rais” sauti ya mmoja kati ya wale jamaa ilipenya masikioni mwa mzee Makame na kulipua moyo wake kwa furaha, ambayo aliizuwia isionekane wazi wazi.

“sina pingamizi, maana yeye ndie mwenye mamlaka na inchi hii na sie ni watumishi wake” alisema mzee Makame, kabla ajaomba kwenda kuchukuwa mkoba wake ofisini, kwa ajili ya kujiandaa kuondoka****
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA SABA: Naaaaaaaam!, wakati Ashura anaamkia mlandege kwa Shaban, Shani aliamkia nyumbani kwao, akiwa amesha waeleza kila kitu wazazi wake, “yule kijana waovyo sana, lazima niongee na baba yako alipeleke kwa wazee wenzake, wamweleze atoe taraka” alisema mama Shani. ......... ENDELEA….

Pia siku hii ilikuwa fupi sana kwa Edgar na Radhia, ambao walikuwa pamoja muda wote, kuanzia ofisini, ambako waliingia mala tu baada ya kunywa chai, ambako walikaa lisaa limoja tu, Edgar akikagua nyaraka alizo letewa mezani kwake, na kusoma baadhi ya barua pepe, huku Radhia akiwa amevalia kikaptulah kifupi kilichoishia pajani, na tishert refu la Edgar, ambae alivaa kaptulah ndefu mpaka magotini na tishert la kubana.

Ofisini pia walitumia muda wao kupanga utaratibu na mipangilio ya mapokezi na huduma za wageni huku wakihakikisha wanapata bajeti za maitajio ya vyakula ambavyo wachezaji na walimu wao watakula kwa week nzima, sehemu ya kufikia, na mafuta kwajili ya usafiri watakao utumia muda wote wakiwa hapa unguja.

Baada ya hapo wakaamia jikoni, ambako Radhia atoa maitajio yake ya vyakula alivyoitaji kupika, na walipika wakisaidiana na Edgar, muda wote wakicheza na kufanyiana michezo ya kimahaba, wafanyazi wao walifanya mambo madogo madogo, pasipo kuingilia mapishi.

Hakika ata wafanyakazi na watu wengine wlifurhia mapishi, huku wakitoa pendekezo la kwamba Radhia awafundishe upishi ule, ili siku nyingine waweze kupika wenyewe sehemu yoyote, ikiwa na nchini kwao #Mbogo_Land.

Jioni ya saa kumi na mbili Edgar na Radhia wakatoka nakwenda kutembea kule forodhani, ambako walifanya kama jana, leo wakiwa wamekaa muda mrefu sana, na kurudi nyumbani mida ya saa mbili usiku, na walipofika ilikuwa kama jana, mwendo wa kula na kupeana dudu.*******

Jumatatu ilikuwa nisiku ya kwanza makazini, hii ni baada ya mapumziko marefu ya eid, siku ile ilimkuta Siwema kitandani, ikiwa nisiku ya kwanza bila kwenda kazini.

Mawazo yame mshika roho, inamuuma kweli kweli, akizingatia siyo kazi pekee, pia ameachwa kwa aibu, ikiwa kosa ni uzinzi, na kilichomuumiza zaidi nikwamba, wakati yeye anaumia kwa kuachwa, ndogo wake Radhia ndio anaanza kufaidi maisha.

Wakati anaendlea kuwaza ili na lile, mala akasikia simu yake inaita, akatazama ilikuwa namba ngeni, Siwema anahisi pengine atakuwa ni Said, yani hawara yake alie mtoroka bwawani hotel, na kisha kumleta mke wake.

Siwema anapokea simu kwa shahuku, “hallo asalam aleykum” alisalimia Siwema, kwa sauti ya upole na tahadhari kubwa sana, “aleykum salam, bila shaka naongea bi Siwema Makame” ilisikika sauti ya kike toka upande wapili wa simu.

Mapigo ya moyo ya Siwema yanaanza kwenda mbio, kichwani kwake anahisi pengine ni mke wa Said ndie alie mpigia, “ndiyo ni mimi” anaitikia Siwema, kwa sauti yenye uoga mwingi, “unatakiwa report kwa mkurugenzi haraka iwezeka navyo, ukiwa na barua yako ya kuachishwa kazi” alisema mwanamke upande wapili wa simu.

“sawa nakuja sasa hivi” alisema Siwema, huku anajiinua toka kitandani na kukimbilia bafuni haraka kujiandaa, huku kichwani mwake akianza kikumbuka aliachoongea Edgar juzi, wakati wamlo wa mchana.**********

Mida hii, huko shule ya sekondari ya mwankwelekwe A, mwalimu Makame, ndio kwanza alikuwa anaingia darasani, na kitabu chahe cha biology kwamaana ya sayansi ya viumbe hai, ambayo ni moja kati ya masomo aliyo yasomea.

Mwalimu Makame anaingia darasani na wanafunzi wanasimama na kumsalimia, anaitikia na kuwa luhusu wakae, lakini kabla ajaongea chochote, kingine yeye na wanafunzi wake wakajikuta wanatazama nje, kuona magari mawili meusi aina ya Toyota V8. Yakija na kusimama mbele ya jengo la ofisi.

Mzee Makame anakumbuka kabisa kuwa, magari kama aya yalikuja juzi nyumbani kwake, lakini namba azikuwa hizo namba zilikuwa ni zaubarozi, lakini hii ya leo, ni namba za serikazi, yani SMZ, ambayo mala baada ya kusimama, walishuka watukadhaa wakiwa wamevalia suit yeusi, maarufu kama Kaunda suit.

“aya mmesha yaona magari zaidi ya hapo ni kujitaidi darasani, ili uweze kuyapanda na kuyaendesha” alisema mwalimu Makame kwa sauti iliyojaa utani, wanafunzi wanacheka kwa pamoja, ucheshi na utani, ni moja kati ya vitu ambavyo vinawafanya wanafunzi wampende sana mwalimu Makame.

Naaaaaaam! ile mwalimu Makame anataka kuanza kufundisha tu, mala akasikia mchakato wa vishindo vya watu zaidi ya mmoja vikija upande wa darasa alikuwepo yeye, wanafunzi nao wakatazama upande wa madirisha yalipo kolidoni, na yeye mwalimu Makame akatazama, upande huo, ambao waliweza kuwaona watu wanne wakilio shuka kwenye lile gari, wakiwa wameongozana na mwalimu mkuu, wakija mpaka kwenye mlango wa darasa alilokuwepo yeye, na kufungua mlango, kisha mwalmu kuu peke yake akachungulia na kumwita mwalimu Makame kwa ishala ya mkono.

Mwalimu Makame akusubiri aitwe mala mbili akatoka nje na kumfwata mwalimu mkuu aliekuwa na wale jamaa wanne, wenye Kaunda suit, “asalam aleykum” alisamia mzee Makame, huku anawatazama wale jamaa kwa macho ya tahadhari, “aleykum salaam” waliitikia wale jamaa, kisha mwalimu mkuu akaongea, “ugeni wako huu bwana Makame” alisema mwalimu mkuu, akionyesha mwenye tabasamu usoni.

“sawa nawasikiliza” alisema mzee Makame, akiwatazama kwa zamu wale jamaa wanne, “mzee huu ni ujumbe toka ikulu, tumetumwa kuja kukuchukuwa unatakiwa kuonana na rais” sauti ya mmoja kati ya wale jamaa ilipenya masikioni mwa mzee Makame na kulipua moyo wake kwa furaha, ambayo aliizuwia isionekane wazi wazi.

“sina pingamizi, maana yeye ndie mwenye mamlaka na inchi hii na sie ni watumishi wake” alisema mzee Makame, kabla ajaomba kwenda kuchukuwa mkoba wake ofisini, kwa ajili ya kujiandaa kuondoka****
Dondoshaaaaaaaaaaaaaa
 
Kama Hujasoma Simulizi Hizi Kutoka Kwa Edgar Mbogo Basi Usicheze Mbali
1,KIFO CHA HAWARA
2,KIAPO CHA DAMU KWA DAMU CAPTAIN CHUI MCHAFU
3,MLANGO WA ADUI


Na Nyingine Nyingi Tu Kama
Tembele La Uwani
Kitumbua Cha Buku
Mwalimu Anataka
Mama Mwenye Nyumba
Aaah Acha Tu
tunazipata wapi hizi mkuu
 
Abou Shaymaa jioni weka mzigo tutiririke nao yaani kwa siku episodes tano hata kumi weka tu mkuu macho ya kusoma yapo

Unaweka then tuachie sisi halafu unatulia zako
 
Wakati Idd anaamka peke yake pale nyumbani, na kushindwa kufanya lolote, akiishia kufunga mlango na kuchukuwa baskeri yake, kisha anaelekea mjini, mke wake Ashura alikuwa bado kitandani, mtupu kama alivyo zaliwa, pembeni yake alikuwa Shaban, nae alikuwa mtupu kama alivyo zaliwa, anachezea tumbo la mke wake.


“mpaka hapo Ashura, lazima uombe taraka mapema, maana siri ya Idd itaanza kufichuka” alisema Shaban, ambae siku zote uwa ataki kuona Ashura anaendelea kuishi kwenye nyumba ya Idd, wakati tayari alisha zaa nae watoto watatu, na walikuwa wanapendana sana.


“Shaban jamani, vumilia kidogo nijifungue, kisha nianze kuomba taraka” alisema Ashura, kwa sauti ya kumbembeleza Shaban, “nisawa Ashura, lakini itakuwaje kama akigundua kabla ajakupatia taraka?” aliuliza Shaban akionyesha wazi kuwa, alicho itaji kwa Ashura, ni kuondoka salama kwa Idd bila aibu ya kuzaa nje ndoa.


“wala usiwe na wasi wasi, Idd kwa ubishi wake na akili yake ndogo, awezi kujuwa chochote, mpaka atakapo nipatia taraka na kusikia naishi na wewe ndio, au nimwambie mwenyewe” alisema Ashura, ambae mpaka sasa alikuwa na week tatu tu, ili aingie kwenye tarehe za matazamio, ya kujifungua.*******


Siwema alifika ofisini kwa mkurugenzi wa wizara ya afya, ambapo aliambiwa aache ile barua yake ya kuachishwa kazi, kisha aka elekezwa aende ofisini kwa waziri wa afya.


Akiwa mwenye furaha iliyochanganyika na hofu, Siwema anatembea kwa haraka, kuelekea kwenye ofisi ya waziri wa afya, ambako anakaribishwa na wasaidizi na kuluhusiwa kuingia ndani.


“asalam aleykum” anasalimia Siwema kwa sauti iliyo jawa na hofu, na wasi wasi, japo tayari alisha hisi alicho itiwa, “aleykum salaam” aliitikia mwanamama aliekaa kwenye kiti chake kizuri nyuma ya meza kubwa, yenye vitu vingi vinavyo ashiria kuwa ofisi hii akuwa ndogo.


“Siwema nimekuita hapa, kwa mambo mawili” alianza waziri wa afya, huku anamtazama Siwema, “la kwanza ni kukurudisha kazini, lakini nakupangia kituo kidogo cha magomeni” alisema mwanamama huyu, ambae kwa mwonekano wa nje, alionekana mwenye kujipenda na kujijari, ukichangia kuwa na kipato kikubwa anacho pata kwa uwaziri wake. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums


ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA THEMANINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA NANE: “Siwema nimekuita hapa, kwa mambo mawili” alianza waziri wa afya, huku anamtazama Siwema, “la kwanza ni kukurudisha kazini, lakini nakupangia kituo kidogo cha magomeni” alisema mwanamama huyu, ambae kwa mwonekano wa nje, alionekana mwenye kujipenda na kujijari, ukichangia kuwa na kipato kikubwa anacho pata kwa uwaziri wake. ......... ENDELEA….


“Jambo la pili Siwema, nimekurudisha kazini kwa sababu ya heshima ya shemeji barozi Edgar, na yako na dada yako Radhia, hivyo na wewe ujitaidi kuwa makini basi, kwanza unajitia aibu, na pia unamwaibisha mdogo wako, ambae anaenda kuwa mtu mkubwa” alisema waziri wa afya, huku Siwema akimsikiliza na kichwa ameinamisha chini.


“ata sisi wengine tuna onja pombe, lakini kunywa kistaarabu, ukijifungia nyumbani kwako unakunywa pombe, nani atakuchukuwa video, na mbaya zaidi nasikia unamume, na huku unamlilia hawara, uoni kuwa ni vibaya” aliongea yule mama, huku akimsisitiza Siwema kubadirika kitabia, asirudie tena makosa aliyo yafanya mwanzo.


Baada ya kutoka ofisini kwa waziri, Siwema akaelekea ofisini kwa mkurugenzi, kuchukuwa barua ya uamisho, kisha akaondoka zake kuelekea nyumbani, akiwa mwenye mawazo mengi sana, akionekana kukosa amani moyoni mwake.


Unaweza kushangaa, kwanini Siwema akose amani, wakati amerudishiwa kazini, ila jibu lake aunaweza kulikataa, maana ukweli aufurahisi ata kidogo, “pia unamwaibisha mdogo wako, ambae anaenda kuwa mtu mkubwa” ilo neno sijuwi kwanini lilimkosesha raha Siwema, “yani mimi ndio wa kumwaibisha Radhia, eti anakuwa mtu mkubwa” alijisemea Siwema akiwa kwenye dala dala.


“kwahiyo ata mawaziri wanajuwa kuwa Radhia ni mpenzi wa yule Edgar” anajiwazia Siwema ambae kila dakika zilivyosonga nae alizidi kukosa amani, “tutaziweka wapi sura zetu” aliwaza Siwema, ambae aliona ni rahisi kukabiliana na aibu ya kurekodiwa video, akiwa amelewa na kulilia mchepuko, kuliko mdogo wake kufanikiwa kimaisha.********


Mida hii Radhia alikuwa nyumbani kwa Edgar, anajiandaa kuondoka kwenda nyumbani kwao, hii ni toka alipo ondoka usiku wa juzi, yani jumamosi, na mpango ulikuwa ni kurudi tena jioni, wakati Edgar akiwa amesha rudi toka kazini.


Radhia akiwa mwenye furaha na amani moyoni mwake, alichukuwa mkoba wake, ambao ndani ulikuwa na kiasi flani cha fedha, nyaraka ambazo zilikuwa na maelekezo ya maitajio na mpango wa wageni wa wanamichezo wa timu ya mpira wa kikapu, toka #Mbogo_Land, watakao kaa kwa week moja hapa kisiwani, yeye akiwa kama msimamizi na mratibu wa ziara hii ya wanamichezo.


Radhia anatoka nje na kuaga kwa wahudumu waliokuwepo, maana Monica alikuwa ameenda ofisini kwa Edgar, maana licha ya kuwa msimamizi wa shughuri zote za nyumbani, pia ni msimamizi wa shughuri za ofisini pia.


Radhia anasalimiana na kuwaaga wafanyakazi na walinzi wa nyumba ya barozi Edgar, nao wanaitikia kwa furaha na heshima, wanaonekana kumpenda mwanamke huyu, ambae anawaheshimu kama wanavyo mheshimu, kama ungewaona wakati huo ungesema, nae ni mfanyakazi wa mle ndani, au amekuja mala moja, na kwamba akukaa hapa kwa siku mbili, labda ungetofautisha kwa mavazi yake ya kifahari, na ya kipekee.


Radhia aliependeza kwa vazi na ung’aavu wa sura yake, anatoka nje na kukutana na walinzi wa wili, mmoja akiwa ni wakike na mmoja wakiume, wakiume akiwa amevalia suit nyeusi, kama wavaa avyo walinzi wa Edgar, huku yule wakike, akiwa amevalia gauni refu hijab na vatu vya kutumbukiza, wakiwa wamezimama pembeni ya gari dogo, yani BMW, lile la rangi nyeusi, ambalo ndani pia kulikuwa na dereva wakike, alie valia kama huyu mlinzi wakike.


Radhia anawasalimia kwa nidhamu, kama alivyofanya kwa wengine, “asalm aleykum” ndivyo alivyo salimia Radhia, “aleykum salam” wanaitikia wale walinzi wawili, ambao mwanzo Radhia akujuwa kama ni walinzi, “aya tutaonana jioni” alisema Radhia kwa maana ya kuwaaga, huku kichwani mwake akiwa anajionea aibu, kamaana alijuwa fika kuwa nyumba nzima, ilikuwa infahamu kuwa usiku wa leo pia alikuwa anafanya nini na Edgar.


“samahani mama gari ili hapa lipo tayari” alisema yule mlinzi wa kike, kwa sauti iliyojaa nidhamu, huku anafungua mlango wa nyuma wa habiria wa upande wa kushoto.


Radhia anashangaa kidogo, maana ilikuwa ya kipekee, ni kama anavyoona wanafanyiwa wake wa viongozi au viongozi wenyewe, “kwahiyo mnataka kunipeleka nyumbani, kwanini mjisumbue hivyo, maana mimi nataka kupitia sokoni” alisema Radhia, ambae alikuwa amesimama anawatazama wale walinzi.


“naitwa Jasmin, ni msaidizi wako na mwangalizi wa usalama wako, aitokuwa usumbufu kutimiza jukumu langu” alisema yule mlinzi wa kike, aliejitambulisha kwa jina la Jasmin.


Inamshangaza kidogo Radhia, ambae anaingia kwenye gari, Jasmin anafunga mlango na kwenda kuingia kwenye gari, seat ya mbele upande wa seat ya abiria, Radhia akiwa mwenye uso wa uoga na utulivu, anajiuliza maswali mengi sana, kwanini Edgar muwekee ulinzi.


Safari inaanza taratibu na kimya kimya, gari linatoka nje yageti, huku Radhia aliekaa seat ya nyuma peke yake anazungusha mawazo kichwani mwake, akijiuliza swali ambalo jibu lake la haraka alilolipata likiwa ni, sababu Edgar anahisi kuwa yeye siyo mwaminifu, anahisi bado anatembea na Idd, kutokana na juzi kupiga simu na kumwita mke wake.


“samahani mama tunaelekea wapi kwa sasa” Radhia anashtuliwa na sauti tulivu ya kike, toka kwa mlinzi wake Jasmin, “darajani, huko mjini, nataka kupitia sokoni” alisema Radhia, ambae pia anawatazama wale wanawake walioko mbele ya gari, na kujiuliza kwanini wao wanakaa mbele wakati yeye amekaa nyuma, kama kweli wao ni wapo kwaajili yake.


“mama huyu ni dereva wako, anaitwa Nadia, muda wowote yupo tayari kukupeleka sehemu sehemu yoyote” alisema Jasmin, kwa sauti tulivu yenye nidhamu, “sawa na mie si mnanifahamu jina langu?” aliuliza Radhia, akijaribu kuangalia anawezaje kuwazowea wale wanawake wenzake.


“ndiyo mama” wanajibu wote kwa pamoja, kwa sauti zenye nidhamu, Radhia anachekecha kidogo, namna ya kuwaingia waschana hawa ambao umri wao ni kati ya miaka 20 hadi 22, “sawa basi msiniite mama, niiteni wifi au dada, au Radhia” alisema Radhia, na hapo maongezi mepesi yakaanza.********


Mzee Abeid Ally Makame, anakaribishwa na wasimamizi na waangalizi wa usalama kwenye ofisi ya rais, ambao wanamwelekeza aingie ndani ya ofisi ya mheshimiwa rais.


Mzee Makame anaingia ofisini huku akitamani angalau angekuwepo mtu ata mmoja anae mfahamu, kama vile Edgar, ili angalau aweze kuwa na ujasiri wa kuonmgea na mheshimiwa rais.


Mzee Makame anakanyaga zuria jekundu, anaingia ndani ya ofisi, na kuibukia ndani ya ofisi kubwa, ambayo kwa haraka ungesema ni sebule ya nyumbani kwa tajiri flani, maana kulikuwa na makochi mazuri ya kifahari, yaliyokaa juu ya dhuria lile jekundu, mbele kabisa kuna meza kubwa nzuri yenye vitu vichache vya kiofisi.


Ndani kuna watu kadhaa, ukiachilia wafanya kazi wawili, ambao walikuwa wanahudumia, huku chai na vitafunwa mbali mbali vikiwa mezani, pia kulikuwa na mheshimiwa rais mwenyewe, pamoja na waziri wa elimu, wote walikuwa wanamtazama kwa tabasamu, kama vile wanamfahamu, nyuma yao wakiwepo walinzi na wanahabari wawili wa ikuru, mmoja wao akiwa ameshika camera. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA TISINI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA THEMANINI NA TISA: Ndani kuna watu kadhaa, ukiachilia wafanya kazi wawili, ambao walikuwa wanahudumia, huku chai na vitafunwa mbali mbali vikiwa mezani, pia kulikuwa na mheshimiwa rais mwenyewe, pamoja na waziri wa elimu, wote walikuwa wanamtazama kwa tabasamu, kama vile wanamfahamu, nyuma yao wakiwepo walinzi na wanahabari wawili wa ikuru, mmoja wao akiwa ameshika camera. ......... ENDELEA….


“Karibu bwana mwalimu Makame, umefanya chai ipoe kwa kukusubiri” alisema mheshimiwa rais kwa utani huku wanasimama toka kwenye makochi yao, na wote wakacheka kidogo, wote wanacheka, “hakika siku na habari ya wito huu” anasema mzee Makame kabla awajasalimiana huku wanshikana mikono, “Radhia akuweza kukudokeza atakidogo, maana tuliongea ili mbele yake” alisema mheshimiwa rais, kabla ajamluhusu mzee Makame wakae na kuanza kupata chai, huku maongezi yakiendelea


Waliongea mawili matatu, mpaka mheshimiwa rais alivyo anza kueleza nia na zumuni la wito wa mzee Makame, “mwalimu Makame, tumepitia wasifu wako, na tume ona kuwa una nafasi yako, katika kuisaidia serikali kuinua uchumi kupitia sekta ya kilimo” alieleza rais, akiendelea kueleza kuwa, “kwamaana hii utanapata uamisho toka wizara ya elimu, sasa utafanyakazi chini ya ofisi ya rais, kwasababu hatuna wizara ya kilimo” alisema mhesimiwa rais.


Hakika taarifa ile ilikuwa nzuri, na yakufurahisha moyoni kwa mzee Makame, “utaonyeshwa ofisi yako, utapewa wasaidizi na wafanyakazi wa idara yako, bajeti za kuanzia zimesha pangwa, utapewa form yakujaza, ambayo itakuonyesha staiki zako zote” aliambiwa mwalimu Makame, ambae pia alielezwa kuwa kuanzia siku hiyo ange pewa gari la serikali, na dereva atakae mwendesha, huku akijiandaa kuamia kwenye makazi mapya, yenye hadhi ya cheo chake, ambacho kina uenda sawa na waziri.


“mzee Makame, ukitoka hapa utapitia kwenye ofisi ya mhasibu, akupatie fedha zako za mavazi na huduma ndogo ndogo, nazani unafahamu unatakiwa kuwaje” alisema rais akimweleza mwalimu Makame, amae mpaka sasa akujuwa anaanzia wapi kuendesha sekta hii ya kilimo kwenye kisiwa hiki ambacho kiukweli kinamaeneo machache yenye kuweza kufanya kilimo na mifugo.


Lakini wakati anawaza hayo rais akaendelea kuongea, “pia dereva wako atakupitisha kwa barozi Edgar, maana aliomba kuonana na wewe, nazani kuna jambo la kifamilia mnatakiwa kujadiri” alisema mheshimiwa rais, huku akimaliza kwa kicheko kilicho ungwa mkono wote watatu, yani mwalimu Makame, na waziri wa elimu,


Kwataarifa hii ya mwisho ya kwenda kuonana na Edgar, hakika ilimfanya mzee Makame, ajihisi uafadhari, maana licha ya kutokujuwa anaitiwa nini, lakini pia alipanga kwenda kuongea mambo flani ambayo yangemsaidia katika kusimaia hii sekta ambayo ni mpya hapa kisiwani, na kwamba yeye ndie mwanzilishi.********


Sasa twende mitaa ya darajani, ambako tunamkuta kijana Idd kiparago, akiwa ofisini kwake anasubiria wateja, huku anaumiza kichwa kuhusu Radhia, ni vipi atamtoa kwa Edgar, akukumbuka lolote kuhusu wake zake wote wawili, yani siyo Shani, wala Ashura, yeye kilichomuuma ni kuona Radhia amepata mwanaume mwingine, namba ya zaidi ni kwamba, Radhia licha yakuwa na uzuri wa hasiri, lakini sasa amezidi kuwa mzuri mala mbili.


Idd anawaza kwenda donge kwa mganga, ilimloge Radhia na kumfanya akimbiwe na Edgar, au kufa kabisa, ili wakose wote, “au nimlipe mtu amvizie njiani amgonge na gari, afilie mbali” anawaza Idd, ambae asira yake ni kubwa kuliko ile ya kumwona Ashura akiwa amebebwa na Shaban, kwenye vesper.


Wakati Idd anaendelea kuwa ili nalile, mala analiona gari aina ya BMW jeusi, linasimama mita kama hamsini toka lilipo duka lake, mapigo ya moyo wake yakaanza kwenda mbio, maana alilifananisha lile gari na lile ambalo aliliona siku ile jioni, likimchukuwa Radhia.


Idd analitazama gari lile, ambalo anaona mlango wa mbele upande wa abiria unafunguliwa, na anashuka mwanamke mmoja mrefu kwenye kimo cha Radhia, alie valia gauni refu na miwani meusi, hijabu na viatu vya kudumbukiza, ambae anaelekea kwenye mlango wa nyuma na kuufungua.


Akiwepo Idd mwenyewe, na watu wengine wana tazama kwa macho yenye hamu, ya kumwona anaeshuka toka kwenye gari, kwamaana waliamini ya kuwa ni mheshimiwa au mke wa mheshimiwa.


Wote kwa macho yao wanamwona Radhia, alie pendeza na kunga’aa kwa uso wake mzuri wenye tabasamu na furaha, wenye wakuvutia, akishuka toka kwenye gari taratibu, na kumtazama mwanamke aliemfungulia mlango, tabasamu likizidi kuchanua.


“dada Jasmin usifanye hivyo, mwenzio naona aibu, kama najichoresha hivi” alisema Radhia, kwa sauti ya chini, na wote wakacheka kidogo, “sawa dada Radhia, lakini inabidi uzowee” alisema Jasmin, ambae alifunga milango ya gari na kuondoka zao kuelekea upande wa sokoni, huku wakiongea ili na lile, watu wanao mfahamu Radhia, walitazama kwamshangao, maana awakuelewa kwanini Radhia anafanyiwa yale yote, baadhi walimsalimia na wengine waliishia kumshangaa.


Haraka sana, Idd akainuka toka kwenye kiti, na kutaka kumkimbilia Radhia, ata yeye mwenyewe akujuwa anaenda kumweleza nini, lakini kabla ajapiga hata hatua moja, akashtuliwa “Idd, unaenda wapi, huu mguu ni wako” Idd anasimama na kutazama kule sauti inakotokea, anamwona mzee Haji.


Idd anashtuka kwekweli, maana akutarajia kumwona mzee huyu, akiamini kuwa kila kitu kitapita kimya kimya, “shibaba, kunanini mbona ghafla ata simu ujanipigia?” anauliza Idd kwa sauti ya mshangao na mshtuko, huku anaghairisha safari ya kumfwata Radhia.


“kwani ujuwi kinacho endelea, kwani mke wako mdogo kwa sasa yupo wapi?” anauliza mzee Haji ambae ni mshenga wa kijana Idd, kwa mke wake wapili, “tulikwaluzana kidogo akakimbilia kwao” alisema Idd kwa namna ya kudharau, huku kichwani mwake, anamwona mzee Haji kama kizingiti cha kumzuwia kukutana na Radhia.


“sasa aijawa kidogo mwanangu, nimepigiwa simu nikiwa hapo stendi, taraka inatakiwa haraka iwezekanavyo” alisema mzee Haji, kama vile alikuwa anaongea swala la utani, “kwani taratibu zipoje, anawezaje kudai taraka akiwa nyumbani kwao, arudi kwanza nyumbani ndio tuongelee kuhusu taraka, napo naweza kumpatia taraka moja au mbili akajifikilie” alisema Idd, akionyesha msimamo wake kamamume. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom