SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

SIMULIZI: Asali haitiwi kidole

ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA TISINI NA NANE
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TISINI SABA: Idd anajishtukia na kukumbuka kuwa alikuwa pamoja na Siwema, na wakati huo huo anamwona Amina anakuja mbio mbio, “mdogo wako anajuwa kudeka, yani nimemwona amejiegemesha kwa kaka wa watu, huku machozi ya mtililika kwa furaha” alisema Amina ambae ni wazi akuwa anamfahamu Idd, licha ya kusikia kuwa Radhia aliachika kwa mume wake wakwanza. ......... ENDELEA….


Idd anashtuka kidogo, maana anahisi kuwa anae zungumziwa ni Radhia, “bado umewaacha ofisini kwa Doctor?” anauliza Siwema, huku Idd akifwatilia maongezi yao, nimewaacha wanajaza form ya clinic nazani watatoka sasa hivi, magari yao yale pale” alisema Amina, huku anaonyesha magari upande wamaegesho ya VIP.


“ujuwe Amina mpaka sasa sijaamini, mpaka nimwone kwa macho yangu” alisema Siwema, ambae pia alikuwa ajaamini alicho sikia siku ya leo, “yani kuna watu wana mkojo mkali, kuanza tu tayari mimba, na wakati alikaa kwa mume miaka miwili bila ata kusikia kichefu chefu” alise Amina bila kujuwa anazidisha mtafaluku kwenye moyo wa mtu, waliesimama nae karibu.


Nikama wawili awa walikuwa wamemsahau Idd, ambae pia alikuwa amesahau kilichomleta pale hospital, “yani lazima nisubiri mpaka niwaone kwa macho yangu” alisisitiza Siwema, na hapo wakaanza kupiga stori namnaambavyo Siwema alirudishwa kazini.


Idd akaona maongezi yale ahakuwa yana mhusu, hivyo akaaga ili aende akamwone mke wake, “sasa shemeji nitakucheki nikitoka kumwona Ashura” alisema Idd, “sawa shemeji lakini ukichelewa utakuta nimesha ondoka” alisema Siwema, ambae akumweza chochote Idd.


Idd alitafuta sehemu ya kuegesha baskeri yake, kisha akaanza kutembea kuelekea ndani ya jengo la hospital akipishana na watu wengi sana, alisha sahau kuhusu Shaban, baada yake aliwaza juu ya mtu aliekuwa anazungumziwa na wakina Siwema, maana akutaka kuamini kuwa ni Radhia ndie alikuwa anazungumzia.


Idd ata kufika mbali, kabla ajamwona Radhia, akitembea karibu na mwanaume mmoja anaemfahamu vyema, kuwa ni mpenzi wa Radhia, wote wakionekana kuwa na furaha isiyo kifani, tabasamu angavu katika nyuso zao, furaha ya wazi na upendo mkubwa ulionekana katika nyuso zao, na kutafsiriwa katika matabasamu yao, huku wakishindwa kubebana na kukumbatiana wazi wazi.


Nyuma yao walionekana watu wawili mwaume na mwanamke, ambao uvaaji wao uliashiria kuwa, walikuwa ni walinzi wa wakina Radhia, “inamaana Radhia ni mjamzito, au wanamzungumzia mtu mwingine” anajiuliza Idd, ambae anahisi miguu yake inaishiwa nguvu, lakini anajikaza nakuendelea na safari yake, akipishana na wakina Radhia.


“jina la mtoto nitatoa mimi” Idd aliweza kusikia sauti ya Edgar wakati wanapishana, hakika unaitaji uziefu wa hali ya juu katika kuachika, ili ujuwe maumivu yaliyo mpata Idd wakati huu.


“shemeji kumbe umesha fika” Idd anashtuliwa na sauti ya kike, anamtazama mwongeaji, ni mama Abdi, “ndiyo tena bora nimekuona, unipeleke alikolazwa” alisema Idd akijifanya kupotezea, hali ya taharuki aliyokuwa nayo.


“shemeji we tangulia kule kule gred A, mimi naenda kununua majiya mgonjwa” alisema mama Abdi, na hapo Idd akaanza kutembea kuelekea grade A, na mama Abdi akaelekea nje yaliko maduka, huku kichwani mwake akiwaza namna atavyo lipia gharama za grade A, “mpuuzi sana, kwanini alijiamulia bila kuniuliza” alisema Idd huku anaelekea kwenye ward za daraja la kwanza.


Idd anatembea kwa hatua za haraka, kichwani mwake hasira zina jijenga kwa kasi, sababu ikiwa ni kwanini mke wake amejiamulia kulazwa grade A, bila kumshirikisha, garama ata lipia nani, lakini ukiangalia kwa undani kabisa, unagundua kuwa, Idd alikuwa anahasira za kile alicho kiona kwa macho yake.


Ni kitendo cha kumwona Radhia akiwa na mwanaume wake, wananyuso za furaha, huku wakizungumzia swala la mtoto, kwamaana ni kweli Radhia alikuwa mjamzito.


Siwema kiwa na simama pale nje na Amina, wanamwona Radhia akiwa anatoka ndani ya jengo la hospital, pamoja na mpenzi wake, wakiongozana na walinzi wao, huku wakiwa na nyuso za furaha, hakika kwa mwonekano wao kuanzia uvaaji wao, utembeaji wao, uongeaji wao na ata uchekaji na utabasamuji wao.


Hakika ni kitu ambacho kilimshangaza Siwema, ambae hakuamini kile anacho kiona, “ni Radhia” anasema Siwema kwa sauti ya chini yenye mshangao, “yani Radhia anazidi kupendeza, alafu utazani amezaliwa na kuishi maisha kiboss toka akiwa mdogo” alisema Amina, akimweleza Siwema, ambae kiukweli mpaka sasa, alikuwa ametoa macho ya mshangao, wa kuto kuamini.


“sijuwi alienda kwa mganga gani, aiwezekani kila kilakitu kizuri kije kwake” alisema Siwema kwa sauti yenye ujazo wa chuki na wivu, “inamshangaza Amina, ambae anamtazama Siwema kwa mshangao, “lakini si amekusaidia kurudi kazini?” aliuliza Amina kwa sauti ya mshangao, ya kuto kumwelewa rafiki yake.


“achana nae kwani nilimtuma, yeye ndie alie sababisha na yeye ndie alie lekebisha” alisema Siwema kwa sauti ile ile yenye chuki, huku wanawatazama wakina Radhia walio ingia kwenye gari moja, na kuanza kuondoka huku gari jingine likiwa fwata nyuma.


Baada ya hapo Siwema anaanza kuondoka zake, huku akiwa mwenye hasira kali sana, akitokomea upande wa kituo cha dala dala, kichwani mwake, ameshikwa na hasira na wivu, maana kukweli kabisa, alitegemea kuwa, kuto kushika ujauzito, ndio ingekuwa sababu ya Radhia kuachana, na ukweli ni kwamba, Siwema akupenda kuona mdogo wake anaendelea kuishi kwa furaha kutokana na penzi la Edgar, kijana tajiri mwenye madaraka makubwa.*******


Idd anaingia kwenye ward ya wazazi ya grade A, anakumkuta mke wake amekaa kwenye kitanda kizuri anakula urojo, huku kitoto kichanga kikiwa kimelala pembeni yake, nurse alikuwa anaweka sawa baadhi ya mambo mle ndani.


“hivi nikweli uliamua kujileta huku?” ilo ndilo lilikuwa swali la kwanza, kabla ata ya salamu, inamshtua ata yule nurse alie kuwepo mle ndani, “kwahiyo hiyo ndiyo salamu?” anauliza Ashura, ambae nikama akupenda kumwona Idd wakati ule.


Idd anatulia kidogo akikosa utetezi wa maana, wa kuto kusalimia na kuanza kuuliza kuhusu ward aliyo lazwa mke wake, “kwanini hukuniuliza kabla ya kuamua kujileta kwenye hii ward ya gharama” aliongea Idd kwa hasira na ukali, nazani unafahamu kwanini Idd anahasira namna hii.


Ukweli mpaka hapo nurse alijuwa kuwa, huyu aliekuja ni kaka au ndugu wa karibu wa Ashura, ambae amezalia nyumbani, pengine ndie anae usika nagharama za matibabu ya Ashura, hivyo akaamua kumaliza utata, “lakini mbona gharama amesha lipia mume wake, sioni ubaya kwa mzazi kulala na mtoto sehemu kama hii” alisema yule nurse, ambae alikuwa amesha maliza kupanga alichokuwa anakifanya.


Idd anatoa macho kwa mshangao, huku anamtazama yule nurse, ambae alikuwa anafungua mlango na kutoka nje, “Ashura unaweza kuniambia huyu nurse anamaanisha nini?” aliuliza Idd kwa sauti yenye mshanganyiko wa hasira na mshangao, “jamani Idd ebu ongea taratibu, utamwamsha mtoto” alisema Ashura kwa sauti ya chini yenye kuomba.


“yani nataka ufafanuzi na wewe unaniambia niongee taratibu” anasema Idd, kwa sauti ya ukali, ambae wakati huo huo macho yake yanaiona karatasi kwenye meza ndogo, pembeni ya kitanda, anaikota na kuitazama, anatoa macho kwa mshangao, “Ashura nataka uniambie, ni nani huyu alie lipia hii fedha” aliuliza Idd kwa sauti ya hasira.


Japo Ashura alisha ona hasira za Idd, lakini pia akaona kuwa hii ndiyo nafasi ya yeye kutafuta taraka yake, ila isiwe kwa komba wala yeye kuwa sababu, “amelipia Shaban” alijibu Ashura bila wasi wasi wowote, huku anaendelea kula urojo alio letewa na dada yake Aziza. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA TISINI NA TISA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TISINI NA NANE: Japo Ashura alisha ona hasira za Idd, lakini pia akaona kuwa hii ndiyo nafasi ya yeye kutafuta taraka yake, ila isiwe kwa komba wala yeye kuwa sababu, “amelipia Shaban” alijibu Ashura bila wasi wasi wowote, huku anaendelea kula urojo alio letewa na dada yake Aziza. ......... ENDELEA….


Idd anatoa macho ya mshangao na hasira, huku kichwani mwake inamjia kumbu kumbu ya Shaban ambae alimwona anatoka pale hospital dakika chache zilizopita, “Shaban gani unamzingumzia, usinimbie kuwa yule mpuuzi alikuja hap…” Ashura akutoa nafasi kwa Idd kumalizia maneno yake.


“jifunze kuwa na heshima kidogo, yani mtu amenileta mpaka hapa na amelipia huduma zote, bado unamwita mpuuzi” alisema Ashura, kwa sauti ya chini lakini iloyoonyesha kuchukizwa.


Inamshangaza Idd, na wakati huo huo mlango unafunguliwa, anaingia mama Abdi, yani Aziza, akiwa na chupa ya maji kwenye mfuko, “ni mjinga ndiyo, sasa inamhusu nini yeye mpaka akulipie gharama za matatibabu?” aliuliza Idd kwa sauti ya ukali.


Tayari Aziza alisha juwa kinachoendelea, akaona nivyema akiingilia kuweka sawa, “sasa angefanyaje, Shaban ametusaidia kutuleta hapa, na kutulipia gharama zote, wewe ukuwai ata kupiga simu kuuliza mke wako anaendeleaje, baada ya kumshukuru Shaban amekusaidia kukuondolea aibu hii, wewe unaanza kulahumu” alsema dada yake Ashura, yani mama Abdi au Aziza.


Inazidi kumuumiza kichwa Idd, anamtazama Aziza kwa macho ya mshangao, “inamaana ata wewe shemeji unaunga mkono swala ilo?” anauliza Idd kwa sauti ya mshangao, “kwahiyo unataka Ashura angeanza kutibiwa baada ya wewekufika sivyo?, ebu sema mala ya mwisho kumpigia mkeo simu ilikuwa lini” aliuliza Aziza kwa sauti ya kusimanga, na kufanya Idd atoe macho kwa hasira huku anahema juu juu.


Niwazi wivu na hasira vilikuwa vimemkaba, “kwamaana hiyo yeye ndiyo alikuwa anapiga simu kila siku, na mmekutana vipi asubuhi namna hii, au mmeshaanza kuwasiliana tena?” aliuliza Idd, amabe alihisi kuanza kuchanganyikiwa.


“kwani uliambiwa tulisha wai kuacha kuwasiliana?” aliuliza Ashura, ambae licha ya haya yote yaliyokuwa yanaendelea, lakini akuacha kulamba urojo, ambao kikawaida unamwongezea maziwa, katika matiti yake yaliyo kuwa yametuna kweli kweli.


Jibu hilo linaonekana kuzidi kumchanganya Idd, ambae anashikwa na wivu zaidi, na kuzidi kukasirika, “unasemaje we mwanamke, inamaana mlikuwa mnawasiliana sikuzote hizo?” anauliza Idd kwa sauti iliyojaa jazba, “kwanini tusiwasiliane, siunajuwa atukuwai kugombana, ila tuliachana kwa fitina za walimwengu” alijibu Ashura, ambae saa alikuwa anamaliza kupata urojo wenye mchanganyiko wa viazi mbatata na minofu ya pweza.


Idd anashika kichwa kama vile kinamuuma, huku anarudi nyuma na kwenda kuegemea mlango, kichwani mwake yanamrudia maneno ya Radhia, ambayo alimwambia zaidi ya mala moja, “ni bora uaeche kunifwatilia mimi, na ukamfwatilia mkeo” ni wazi Radhia kunajambo alikuwa analijuwa.


Idd anakumbuka siku anaambiwa hivyo Radhia, mke wake alikuwa na sikumbili nje ya nyumbani kwake, ukiachilia sasa amekaa week tatu, na mbaya zaidi, leo ameletwa hospital na mwanaume wake wa zamani, ambae pia amelipia gharama za ward ya grade A.


Na kitu kilicho muumiza zaidi ni kwamba, ni wazi mke wake huko alikokuwa anaenda lazima alikuwa analiwa kitumbua, huku yeye akiwa na miezi tisa ajagusa kitumbua, “ebu niambie hiyo mimba ni ya nani?” analiza Idd kwa sauti ya upole, huku amenyongea kama mtu mwenye njaa ya week nzima.


Ukweli hapo ndipo Ashura alitaka kuondoa mzizi wa fitna, lakini dada yake akamuwai, “kwanini unaliza hivyo shemeji, mke ukae nae wewe, alafu uulize mimba ya nani, kwani una wasi wasi na uwanaume wako?” aliuliza Aziza, kwa sauti yenye mshangao, huku anamtazama Idd.


Aziza aliona kuwa swali lile ni lakawaida sana, ila aikuwa hivyo kwa Ashura, ambae alichekea tumboni, tofauti pia ilivyokuwa kwa Idd mwenyewe, ambae inamjia kumbuku mbuku ya week tatu zilizopita, ambapo alilalamikiwa na mke wake mdogo alie mtariki, yani Shani, pale alipomweleza “namimi nataka kuzaa” ikiwa ni ombi la kupewa dudu, kitu ambacho kwake nikama ajakipa kipaumbele, yani uwa atamani kufanya mala kwa mala, na akifanya ni mala moja tu, na atumii muda mrefu.


Pia anakumbuka jinsi alivyo mfukuza Radhia, mwaka mmoja uliopita, kwa kukosa kushika ujauzito, kwa miaka miwili aliyokaa nae, mwanamke ambae leo amesikia kwa masikio yake kuwa anamimba, “shemeji unauliza swali gani sasa, nina watoto na mke wangu, inakuwaje leo niwe na wasi wasi, na mbona uwa nashiriki namke wangu” alisema Idd, huku anamtazama mke wake.


Alichokiona sasa ndio balaha, maana aliona mke wake anabetua midomo kwa kubeza, kwamba anakataa ile kauli ya kuwa wanashiriki, inamfanya Idd atazame chini kwa aibu na masikitiko, kitu ambacho ata Aziza anakiona, “shemeji we nenda kazini, wacha kwanza mzazi apumzike” alisema Aziza akiondoa ngoma juani.


Kama mtu alie kuwa anasubiri kuambiwa hivyo, Idd akaotoka nje ya chumba kile, na kuondoka zake, huku kichwani akisongwa na mawazo mengi sana, na maneno ya Radhia yakimrudia kichwani, na kuamini kuwa Radhia alikuwa anajuwa kinachoendelea, “inamaana awa washenzi wameanza muda mrefu, na itakuwaje kama huyu mtoto siyo wangu, vipi kuhusu wale wawili” anajiuliza Idd ambae alitembea kwa mguu, na kukumbuka baskeri yake, wakati anakaribia dukani kwake.*********


Upande wa Edgar na Radhia, ilikuwa ni zaidi ya furaha, maana waliongozana mpaka ofisini, ambako barozi Edgar, alingalia miadi zilizopo mezani kwake, na kukabidhi kwa msaidizi wake, kisha akaangalia taarifa ambazo zilikuwa ni lazima azitolee maamuzi yeye kama yeye, akafanya hivyo, pia akaagiza kuwa kama kuna kazi yoyote, basi aletewe nyumbani.


Baada ya hapo Edgar anaondoka na Radhia, kuelekea nyumbani kwake, ambako aliingia ndani na kujifungia chumbani, huku akiagiza kila akilicho itajika chumbani.


Huko chumbani sasa, aikuwa kawaida, nguo kubwa iliyovaliwa ni chipi kwa Radhia na bukta nyepesi kwa Edgar, zaidi ya hapo walikuwa uchi kama walivyo zaliwa, muda wote wakipeana dudu, kama wameambiwa mtoto huko tumboni, alikuwa anaitaji kuongezewa baadhi ya viungo ili akamilike, na leo ilikuwa kama jana, walipeana kitu kwa mtindo wa mahaba, yani taratibu na kwa utulivu, wakiofia dudu inaweza kwenda kuvuruga mtoto huko tumboni.


Wanapo pumzika kupeana dudu, Edgar alikunywa wine ya zabibu, huku mke wake akinywa juice ya matunda harisi, wanaongea na kupanga mambo mengi juu ya maisha yao ya baadae, na mpango wa safari ya nchi ni kwao #Mbogo_Land, kwenda kumtambulisha Radhia, kwa wazazi, japo tayari walikuwa wanamjuwa, pia lengo kubwa ni kwenda kuandikisha ndoa kimila na kiserikali, ili atambuliwe kama mke wa barozi Edgar.


Kuna wakati kimya kilitawara kwa muda mrefu kati yao, wakati Edgar aliyekuwa anawaza kuhusu namna atakavyo kuwa anazurula na mtoto wao, alionekana akitabasamu mala kwa mala, huku Radhia nae akionekana kumtazama Edgar na kujitabasamulia, hivyo wakawa wanatabasamuliana, japo walikuwa wanawaza vitu viwili tofauti.


“Edgar kweli nimeamini kuwa kilajambo linamaana yake” alisema Radhia, kwa sauti tulivu yenye kutekenya masikio ya Edgar, “kivipi mke wangu?” aliuliza Edgar kwa sauti yake nzito na tulivu, “sijuwi nisemenini Edgar, ila nashukuru sikuwai kushika ujauzito wa Idd, maana nisingeachana nae, na kuja kukutana na wewe” alisema Radhia, ambae alionekana kuwa na furaha kubwa. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA TISINI NA TISA: “Edgar kweli nimeamini kuwa kilajambo linamaana yake” alisema Radhia, kwa sauti tulivu yenye kutekenya masikio ya Edgar, “kivipi mke wangu?” aliuliza Edgar kwa sauti yake nzito na tulivu, “sijuwi nisemenini Edgar, ila nashukuru sikuwai kushika ujauzito wa Idd, maana nisingeachana nae, na kuja kukutana na wewe” alisema Radhia, ambae alionekana kuwa na furaha kubwa. ......... ENDELEA….


Edgar anamtazama Radhia kwa tahadhari, “kwanini unasema hivyo, uoni kuwa ilikupa shida kidogo?” aliuliza Edgar, “aikuwa shida ya mapenzi, na wala aishindi kile ninacho kipata sasa hivi” alisema Radhia kwa sauti ile ile tulivu na tamu.


Edgar anavuta pumzi na kujaribu kutafakari, lakini anakosa jibu, “nifafanulie kidogo mke wangu” anasema Edgar, na Radhia anatabasamu kidogo, huku anamtazama Edgar, ambae likuwa amelala kifuani kwa Edgar, “ukweli mume wangu najiona mwenye bahati kubwa sana, kukupata wewe, maana umenipatia kila kitu ambacho kinanipa furaha” alisema Radhia na kutulia kidogo.


Edgar anatabasamu kidogo, ujuwe mwanaume anapenda kuona anampa furaha mwanamke wake, na kabla Edgar ajasema chochote, Radhia akaongea tena, “umenipa furaha, heshima, amani upendo na pia umenipa mimba, kitu ambacho kilininyima raha na amani, pia …..” alisema Radhia na kusita kidogo, akamtazama Edgar usoni, Edgar nae akamtazama Radhia, macho yao yakakutana.


“pia nini?” anauliza Edgar, na Radhia anatabasamu kwa aibu, huku anaziba uso, “umenifundisha kufanya vizuri, mpaka nasikia raha” alisema Radhia huku anatoa mkono mmoja usoni, na kuupeleka kwenye sehemu za siri za Edgar na kushika mwiko, ambao ulipoguswa tu, ukakosa utulivu, na kuanza kujitutumua, “usijari mke wangu, hii ni haki yako, hipo kwaajili yako” alisema Edgar huku nae akipeleka mkono kwenye kitumbua cha Radhia.


Ambae alihisi kiganja cha mkono wa Edgar, kikilala juu ya kitumbua chake, kisha kikaanza kutembea taratibu, huku vidole viwili vya kati, viki sugua kunde ya mwanamke yake taratibu, na kumfanya aanze kulgea macho na kunyonga kiuno taratibu, huku mkono wake ukianza kuchezea mwiko wa Edgar taratibu, pumzi zao zikianza kuwa nzito na kusikika wazi wazi, wanapo hema.********


Wakati awa wawili wanafurahia ujauzito, awakujuwa kuwa kuna watu wawili wanateseka vibaya sana, kwanza ni Siwema, ambae kiukweli roho ilimuuma, utasema Radhia ni mke mwenzie, na kwamba yeye mwenyewe bado ajapata mtoto, kiasi kwamba akuweza ata kukaa kazini, ile kufika tu, akaomba luksa na kuelekea nyumbani.


Siwema analuhusiwa mala moja, maana toka ifahamike kuwa familia yake ni familia ya watu wakubwa kimadaraka, kuanzia baba yake na ata mdogo wake, pale kazani walimheshimu na kumwogopa, kiasi kwamba, alichokiomba kinatekelezwa mala moja.


Siwema anaanza safari ya kuelekea nyumbani kwake, huku njia nzima akiwanza namna ya kumkomesha ndugu yake, kichwa kinamvuruga kwa wivu na mawazo, ya kuona mdogo wake anaenda kuimarisha ndoa yake, pale atakapo mzalia mtoto kijana yule tajiri na mwenye madaraka makubwa, katika umri mdogo.


“wacha nipitie nikanunue bia za kwenda kunywa nyumbani, maana bila hivi siwezi kupata ata usingizi” alijisemea Siwema, ambae kiukweli alikuwa tayari kufanya chochote, ili kumkomesha Radhia, ambae kiukweli akuwai kumfanyia kosa lolote, wala kuchukuwa chake.


Ilikuwa hivyo hivyo pia kwa kijana Idd Kiparago, ambae alimini kuwa mimba ya Radhia ni aibu kwake, na nidalili ya kwamba yeye ameshindwa, aliwaza kwamba, inaweza kusababisha aonekane yeye siyo rijari, na watu watasema kuwa, ata watoto alio zaa na Ashura wataonekana kuwa siyo wakwake, ukichukulia ata Ashura pia alikaa nae miaka miwili, mpaka kuja kupata mtoto wakwanza, na ilikuwa baada ya tetesi za kurudi kwa Shaban.


Idd anaichukuwa baskeri yake kule hospital na kuelekea mjini, liliko duka lake huku njiani anawaza ili nalile, na kuona kama dunia inamcheka na kumzomea, “hapana wacha nikapumzike nyumbani nifikilie cha kufanya, aiwezekani, usikute alikuwa anameza dawa za uzazi wa mpango, ili asishike mimba yangu” aliwaza Idd, ambae aliamishia chuki zake kwa Radhia, na kusahau kuhusu mke mkubwa, na mpenzi wake wa zamani, yani Shaban Ussi.


Sasa basi, wakati Idd anakatiza dukani kwa sharif, akasikia anasalimiwa toka mbali, “asalam aleykum kaka” ilikuwa ni sauti ya kiume, ni wazi alikuwa ni Sharif, lakini ilimshangaza sana Idd, ambae akutarajia kusalimiwa na Shariff, ambae alikosana nae miaka mingi iliyopita, mala baada ya kufanya fitina ya kumuowa Ashura toka kwa Shaban.


Idd anamtazama Sharif aliesimama nje ya duka lake, “aleykum salam habari za asubuhi” anaitikia Idd, lakini kwa sauti yenye mashaka mashaka, “salama tu kaka, hongeara sana” alisema Sharif na bila Idd kujiuliza ata mala mbili akajibu, “asante sana” alisema Idd, kisha huku anaendelea na safari yake juu ya baskeri.


Lakini wakati huo huo, nikama akili ilimrudia, kwamba huyu Sharif amejuwaje kuwa Ashura amejifungua, mbona haraka sana na wakati yeye ametoka kujuwa muda mfupi uliopita.


Lakini kabla ajaongea chochote, akasikia swali toka kwa sharifu, “mama na mtoto wanaendeleaje lakini?” safari hii, Idd aliona kuwa anasanifiwa, hivyo akasimama kabisa na kushuka toka kwenye baiskeri, huku amekunja ndita, hasira na chuki zimemjaa.


Lakini kabla ajaongea loloe akamwona Siwema akitoka kwenye moja ya chochoro, akiwa na fuko kubwa mkono mwake, ambalo kwa mwonekano lilikuwa linachupa za kinywaji flani ndani yake, “hoooo!, shemeji afadhari nimekuona, tuna jambo la kuongea kwa pamoja, kwakweli nimechoshwa na haya mambo” alisema Siwema, na hapo Idd akaonekana kushusha ujazo wa hewa kifuani kwake, bila shaka alisha juwa nini wanaenda kuongea na Siwema.


Idd anaonekana kufurahi sana, kiasi cha kusahau kile alicho alikokuwa anataka kuongea na Shariff, “jambo gani ilo shemeji, maana una nipa hamu ya kusikia” alisema Idd kwa sauti iliyojaa shahuku.


“aina haja ya kuwa na haraka, twende nyumbani kwangu tukaongee kwa kina” alisema Siwema, huku anaongoza njia, kuelekea walikokuwa wanaelekea, yani upande ambako anaishi Siwema, “sina shaka na wewe shemeji langu” alisema Idd, huku anakokota baskeri yake kumfwata Siwema.


Dakika kumi baadae tayari walikuwa wameshafika kwenye nyumba ambayo alikuwa anaishi Siwema, yani nyumba aliyo panga, wakaingia ndani na Siwema akawasha music na kuweka bia mezani, kisha akaanza kunywa taratibu, “hivi una habari kuwa Radhia ni mjamzito?” aliuliza Siwema, swali ambalo alitegemea kuwa lazima linge mshtua na kumchanganya Idd.


“niliwasikia pale hospital mkiongea, lakini sikuwaelewa vizuri mna mzungumzia nani” alisema Idd, ambae sasa alishaweka pembeni, swala la Ashura na malipo yaliyofanywa na Shaban kule hospital.


Hapo Siwema akaona ni vyema akitumia lugha ambayo itazidi kumjaza hasira chuki na wivu, shemeji yake huyu ambae wivu na chuku, ni mila na desturi yake, “basi mwenzio anamimba, sasa basi anavyo kusema vibaya, kwakweli mimi nimejihisi vibaya” alisema Ashura, ambae licha ya kumwona Radhia, na kujuwa ni mjamzito, lakini akuwai kuongea nae chochote kwa siku ya leo.


“mjinga sana huyu, sasa ananisemaje vibaya” alisema Idd kwa kuhamaki, “ni kuambie shemeji, leo nimeamini kuwa Radhia alikuwa anameza dawa za kuzuwia mimba, ili asikuzalie, maana nimemsikia kwa masikio yangu anamwambia mama yake eti akutaka kukuzalia mtoto kwa makusudi” alisema Siwema, kwa sauti ambayo kama ungeisikia kwa wakati huo, basi ungesema ni kweli alikuwa ameumizwa kwa kile aicho kifanya Radhia.


“nilijuwa tu, Radhia alikuwa anameza madonge ya kuzazi wampango, hakika mnafiki afichiki ata kwa pande la gunia” alisema Idd ambae alikuwa anamtazama Siwema aliekuwa anakunywa bia, maana yeye akuwa mnywaji wa kilevi chochote. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums Woyoooo Anaitwa Edgar Frank Nyati Kaka Yake Anaitwa Deus Frank Nyati Kutokea Mbogo Land Nae Ana Mkasa Wake Ambao Utakujia Hapa Hapa Usikose Kufuatia.

Muwe Na Usiku Mwemaaaaaaa
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA NA MOJA
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA: “nilijuwa tu, Radhia alikuwa anameza madonge ya kuzazi wampango, hakika mnafiki afichiki ata kwa pande la gunia” alisema Idd ambae alikuwa anamtazama Siwema aliekuwa anakunywa bia, maana yeye akuwa mnywaji wa kilevi chochote. ......... ENDELEA….


“yani shemeji kwakweli imeniuma sana, kama ungekuwa na lolote la kufanya ningekuunga mkono kwa hasilimia zote, ili tumshikishe adabu huyu mshenzi” alisema Siwema, kama vile anae mzungumzia siyo ndugu yake, tena alie msaidia kumrejesha kazini, na kumpatia baadhi ya fedha ya kupangia nyumba hii anayo ishi.


Hapo kinapita kimya kifupi, kama vile kila mmoja anatafakari cha kufanya, ili kumkomesha Radhia, kabla Siwema ajaibuka la wazo lake, “sikia Idd, inabidi tumwendee kwa babu Chongo, kule Donge, amtie mwalibie mimba kisha amtie uchizi tu, ili aachike, tuone kama ataendelea kuleta nyodo” alishauri Siwema, na Idd akaunga mkono mala moja, akisahau kuwa lengo la mwanzo lilikuwa ni kumchukuwa Radhia toka kwa Edgar, ila kwasasa aliona ni bora ata akitiwa uchizi, wakose wote.


“nazani twende kesho jumamosi, leo wewe endelea na starehe yako” alisema Idd, ambae roho yake ilikuwa imetulia na kupoa kabisa, akisahau maumivu ya mawazo yaliyomsonga mapema siku ya leo, ya kuwa Shaban anatembea na mke wake.*******


Naaaaam!, mida ya saa nane za mchana, mama Radhia akiwa sebuleni kwake, anatazama kipindi cha music wa mwambao, ambacho mala zote kinausisha music wa taarab, mala akaona simu yake inawaka taa, hakika sasa alikuwa anamiliki simu ya kisasa.


Mama Radhia anaichukuwa simu yake, na kutazama kilicho sababisha iwake, anaona kuna ujumbe, ajatazama namba ya mpigaji, anaamua kuusoma ujumbe, “jioni tutakuja kula hapo nyumbani” ndivyo ujumbe ulivyosema, na kumfanya mama Radhia, ajuwe kuwa mtumaji wa ujumbe ni Radhia.


Mama Radhia alitabasamu kidogo, na kuandika ujumbe, “sawa tunawasubiri kwa hamu” alijibu mama Radhia na kutuma ujumbe kwa Radhia, kisha akaweka simu mezani.


Mama Radhia aliju fika kuwa, Radhia na mume wake awawezi kuwa na sida ya chakula, na siyo kwamba hakuna wapishi wazuri, wanaoweza kupika chakula kizuri kama wanachokula wao, “sijuwi wanajambo gani jipya, au wametukumbuka tu” alijiuliza mama Radhia, huku anachukuwa tena simu, na kutuma ujumbe kwa mume wake, ambae mida hii siyo lahisi kupokea simu, nae akamtumia ujumbe kumjulisha juu ya ugeni wa Radhia na mume wake hapo jioni.********


Mida ya saa kumi na mbili za jioni, Siwema alikuwa sebuleni kwake anaendelea kunywa pombe kali, huku anawaza namna atakavyo mkomoa Radhia na kumwaribia maisha yake, kwa kumfanya awe kichaa, ili aachike kwa mume wake, “yani mimi nibakie mjane alafu yeye aolewe, na mtoto azae” anajisemea Siwema, ambae sasa alisha enda kununua pombe kali, ni baada ya kumaliza pia alizokuja nazo.


Wakati huo huo, Idd akiwa amekaa sebuleni kwake, anahesabu fedha yake ya akiba, ambayo alikusudia kwenda kuitumia kwa babu chongo, kuloga Radhia apatwe na matatizo, ambayo yatamsababishia kuachika na kuaribu mimba, huku tatizo lenyewe likikusudiwa kuwa, ni kumfanya Radhia kuwa kichaa.


“million moja na laki mbili, wacha Radhia akione cha moto” anajisemea Idd, ambae amesha sahau kuhusu Ashura, “mpumbavu sana, yani anajiona mjanja kumeza madonge ya uzazi wa pango” anajisemea tena Idd, huku anaweka fedha kwenye mfuko wa kanzu ambayo aliichagua kutoka nayo kesho mapema, kuelekea donge, kwa babu chongo.********


Wakati Idd anafanya maandalizi ya kwenda kwa babu chongo, huku hospital anaonekana Aziza akiwa nje ya hospital, karibu na lango la kuingilia ndani, akitazama upande wa barabara ya kuingilia pale hospital, nikama vile kunamtu anamsubiria.


Lakini wakati huo huo, huko ndani kabisa, ya jengo ilo, la hospital katika ward ya grad A wanawake, anaonekana Ashura akiwa amekalia kitanda, mbele ya meza ndogo, anakula viazi mbatata, na supu na samaki, huku Shaban akiwa amesimama pembeni kidogo ya kitanda, mikono yake imempakata mtoto mdogo mchanga, alie funikwa vyema kwa nguo mpya kabisa.


“yani alivyotoa macho ungemwona, ungecheka mpaka basi” alisema Ashura, huku wote wakicheka, kicheko cha taratibu, “safari hii nilazima atoe taraka, vinginevyo atakuwa na matatizo ya akili” alisema Idd huku anamtazama mtoto wake usoni.


Kinapita kimya kifupi kabla Ashura ajavunja ukimya, “alafu ulisema ukija utampa mtoto jina” alisema Ashura kwa sauti ya kudeka, “ni kweli nimekuja na jina, tutamwita Ashraf” alisema Shaban, na Ashura akatabasamu, “asante kwa kumpatia jina la baba yangu” alisema Ashura, huku anamtazama mpenzi wake Shaban, ambae ujio wake wa jioni hii, alikuja na kifuko cha nguo nyingine mpya, kwa ajili ya mama na mtoto.


Naaaaaaam!, wawili awa wanaongea na kufurahi kwa pamoja, pasipo kuonyesha dalili za Shaban kuondoka hivi karibuni, na wala apakutoklewa ujumbe wowote wa kwamba Idd anakuja, na wala Ashura akupokea simu yoyote toka kwa Shaban.*******


Saa mbili na nusu nyumbani kwa mzee Abeid Makame, wanafamilia wakiwa wamesha maliza kupata chakula cha jioni, pamoja na wageni wao, yani Radhia na mpenzi wake Edgar, ndipo Edgar alipoongea neno, “nashukuru kwa chakula wazee wangu, ila pia ninajambo la kuwafahamisha” alisema Edgar, ambae toka amefika yeye na Radhia, walikuwa ni watu wenye nyuso za furaha.


“tunakusikiliza baba, natumai ni jambo jema, maana toka mmefika hapa, naona mnanyuso za furaha” alisema mzee Makame, ambae sasa ni mkuu waidara ya kilimo na mifugo, wa serikali ya mapinduzi, wakina mama Radhia na mama Mariam, pamoja na wakina Mariam, nao walitega sikio kwa hamu kusikia aliacho taka kuongea Edgar.


“baba, mama zangu pamoja na mashemeji zangu, nafurahi kuwa julisha kuwa, mimi na Radhia, tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza, miezi tisa ijayo” alisema Edgar kwa ile sauti yake nzito, na kuwafanya wote watazamane kwa mshangao na midomo wazi, iliyoambatana na nyuso za furaha.


“Radhia ni kweli una ujamzito?” alie uliza ni mama Radhia mwenyewe, akionyesha mshtuko wa furaha, na kuto kuamini, huku anamtazama binti yake, Radhia anaitikia kwa kichwa, akionekana kukubali kuwa ni mjamzito.


Mama Radhia anainuka na kumfwata binti yake, ambae pia aliinuka toka kwenye kiti, wakakumbatiana kwa furaha, wakishindwa kuongea lolote, wakizidiwa na furaha kiasi cha kutoka machozi ya furaha.


“mungu mkubwa mwanangu, hongera sana” alisema mama Radhia kwa sauti ya kunong’ona, huku watu wengine wakiwatazama kwa macho ya furaha, na kuwapongeza, adi walipoachiana na kufuta machozi usoni mwao.


“baba hongereni sana, tunawatakia mpate watoto wengine wengi zaidi” alisema mama Mariam, huku kila mmoja akipongeza Radhia, ata wakina Mariam pia walimpongeza dada yao, akimalizia mzee Abeid Makame.


“ni habari njema kwakweli, ni zaidi ya habari njema kwetu, kikubwa na waomba mjitaidi kufanya kila linalowezekana, mtoto azaliwe ndani ya ndoa” alisema mzee Makame.


Hapo Radhia anamtazama Edgar, ambae anaepia anamtazama Radhia, Radhia anaonyesha ishara flani kwa Edgar, huku anatabasamu, Edgar anamtazama mzee Makame, “baba ilo ni lengo la pili la ujio wetu jioni ya leo” alisema Edgar, na kuweka kituo kidogo.


Watu wote wanatega sikio kumsikiliza Edgar anachotaka kusema, “week ijayo tunasafiri mimi na Radhia kwenda nyumbani, naenda kumtambulisha, kisha tutarudi ili tufunge ndoa kwa imani yake, wakati huo nyumbani wataandaa utaratibu wa ndoa ya kimira, ambayo itaambatana na sherehe kubwa, ambayo itafanyika kwa siku zisizo pungua nne paka saba” alisema Edgar ambae utulivu katika maongezi ni utamaduni wake.


Wote walikuwa wanamsikiliza kwa nyuso za furaha, “utaratibu wa usafiri na passport kwa nyie wote utafanyika, nazani pia kipindi hicho baba utakuwa kwenye safari yako ya kikazi, huko #Mbogo_Land” alisema Edgar na hapo zikalipuka kelele za shangwe toka kwa wanafamilia, akifurahia taarifa ile nzuri, na pia safari ambayo itawalazimu kutumia ndege.


Hakika ilikuwa furaha kwa wanafamilia nzima, hakuna alie zania kuwa, inaweza kuwa taarifa chungu, kwa mtu mwingine katika familia yao, ata Mariam alipo andika ujumbe kwa dada yake kumweleza juu ya taarifa hizo, aliamini kuwa Siwema pia atafurahia habari hizo.


Kumbe basi habari hizi zilimfanya Siwema azidi kunywa pombe kwa fujo, kwa jinsi zilivyo muumiza na kumkosesha amani, ata akaimaliza chupa moja ya pombe kali, na kufungua nyingine, ambayo akuweza ata kuifikisha robo, tayari alikuwa amesha pitiwa na usingizi, akishindwa ata kujibu ujumbe wa Mariam, alie mjulisha habari za Radhia kushika ujauzito, na pia kuandaliwa kwa harusi ya mdogo wake huyo.**********


Siku ya pili mapema sana, Siwema akiwa ameacha chupa ya pombe kali mezani, alipitiwa na Idd, na kuelekea donge, babu chongo, huku Idd akishindwa kwenda kumwona mke wake na mtoto wake mchanga, ambae tayari alisha pewa jina la Shaban.


Radhia akiwa amelala fofofo juu ya kifua cha Edgar, ambae pia alikuwa amepitiwa na usingizi mzito, kutokana na kuchelewa kulala jana usiku, kwa kazi waliyoifanya mala baada ya kurudi toka kwa mzee Makame. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA NA MBILI
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA MOJA: Radhia akiwa amelala fofofo juu ya kifua cha Edgar, ambae pia alikuwa amepitiwa na usingizi mzito, kutokana na kuchelewa kulala jana usiku, kwa kazi waliyoifanya mala baada ya kurudi toka kwa mzee Makame. ......... ENDELEA….


Awakujuwa kama Siwema na Idd wapo njiani wanaelekea kwa babu chongo, kufanya kitu ambacho kiliaminiwa kuwa, kinaweza kuwatenganisha, yeye na mpenzi wake Edgar.


Saa saba mchana, ndio mida ambayo Siwema na Idd, walipata nafasi ya kuongia kwa mganga, baada ya kukaa sana, wakisubiri zamu yao, hii nikutokana na uwingi wawatu, waliokuwepo eneo pale, wakisubiri huduma.


Naaaaaam!, sasa walikuwa mbele ya mganga maarufu kwa ulozi na visasi, anae fahamika kwa jina la babu Chongo, hii ni kutokana na jinsi analo tumia kwenye ulozi wake, lilifahamika kwa jina la jinni chongo.


Ukweli sifa za huyu mzee ni kwamba, akuwai kushindwa kufanya alicho kusidia kufanya, hakuna mteja aliefika kwake akarudi na malalamiko, kwamaana hukumu zake, ni ngumu na zauhakika.


Babu chongo anawatazama Siwema na Idd, kwa sekunde kadhaa, akitumia macho yake mekundu ya kuogofya, kabla ajapiga chafya kubwa, na kutikisa kichwa kama anasisimwa na jambo baya, “nyie siyo wanandoa, na huyu mwanamke hana shida yoyote katika mwili wake, ila wewe mwanaume ndie mwenyewe shida” alisema yule babu, kwa sauti yenye mkromo wa kutisha.


Siwema na Idd wanatazamana, kwa mshangao, kabla awaja mtazama babu chongo, “hapana babu, wote hatuna shida katika miili yetu, ila tuna shida imetuleta wote kwa pamoja” alisema Siwema, lakini babu akafumba macho na kufanya kama anavuta hisia za jambo flani, kisha akatoa ngurumo moja nzito.


“sikia binti, mwenzio anatatizo kubwa sana, alisha owa wake watatu, na bado ajabahatika kupata mtoto mpaka sasa” alisema yule babu kwa sauti ya mkazo, na safari hii, akiwafanya Siwema na Idd, kutazamana kwa mshangao kubwa sana.


Siwema akiingiwa na mashaka juu ya sifa za huyu mganga, huku Idd akianza akikumbuka mambo mambo mawili kwa haraka, moja ni kwamba, toka jana asubuhi ajarudi tena kumwona Ashura kule hospital, pili alikumbuka kuhusu ukaribu wa mke wake na mpenzi wake wa zamani, yani kijana Shaban Uss.


Kabla Siwema ajasema au kuuliza chochote, akamsikia ganga akiendelea, “tatizo halipo kwa wake zako, tatizo unalo mwenywe, unatakiwa kupata tiba za hospital siyo kwa mganga” alisema babu Chongo, na kumfanya Idd aamini kuwa kweli alipaswa kufwatilia nyenendo za mke wake na siyo kumfwatilia Radhia.


“lakini babu sisi tumekuja kwa swala jingine, kunamtu tunaitaji kumtengeneza ili aache jeuri” alisema Siwema, na kumfanya babu atulie kidogo, kabla ajampatia karatasi nyeupe, na karamu ya risasi, yani pensel, “andika majina yake matatu” alisema babu chongo na Siwema akafanya hivyo na kupatia babu lile karatasi, “usinipe mimi, weka kwenye hicho chungu, kisha kimoyo moyo unachotaka kitokee” anasema babu chingo, huku anasogeza chungu mbele ya Siwema.


Siwema analikunja kunja lile katarasi na kuliweka kwenye chungu, kisha anaanza kuongea kimya kimya, kama anakinong’onoeza kile chungu, adi alipo maliza, “tayari babu” alisema Siwema.


babu chongo anachukuwa nuga flani na kuumwagia kwenye chungu hicho, unalipuka moto mkubwa, na karatasi linaanza kuungua, “anaitwa Radhia Abeid Makame, liachika, lakini sasa anamwanaume, mwingine, na anaujauzito, anapendwa sana na mchumba wake, sasa anajiandaa kwenda nje ya nchi” anasema babu chongo, huku Siwema anaitikia kwa uthibitisho, “tawile”.


Hapo mganga anatuia kidogo, kama vile kuna kitu akipo sawa, kisha anamtazama Idd, “kwanini unataka kumdhuru mtu ambae ajakukosea kitu, wewe ndie ulie mwacha mkeo kwa kosa lako mwenyewe?” anauliza mganga chongo, kwa sauti ile ile nzito yenye mikoromo.


Idd pasipo kupepesa macho akajibu, “babu roho inaniuma kuona anakuwa na mwanaume mwingine, sitaki aishi kwa raha baada ya kutoka kwangu” ilo ndilo lilikuwa jibu la Idd.


Babu chongo anamtazama Siwema, “ulifukuzwa kazi yeye akakusaidia kurudi kazini, na sasa unataka kumdhuru kwanini, maana bado anawasadia wadogo zako?” aliuliza babu chingo, “sababu ananinyanyasa sana, anamalingo na majivuno, anajiona yeye ndio kila kitu, nataka akose kila kitu” alisema Siwema, bila kuona aibu yoyote.


Babu chingo anatulia kidogo, kama vile anasikiliza jambo toka sehemu, “sikilizeni wajukuu zangu, huyo mtu ajawakosea jambo lolote, hivyo basi mashariti ya kumfanyia mnacho taka ni magumu sana, je mpo tayari kuya tekeleza?” aliuliza babu chongo, huku anawatazama kwa hawamu wawili awa.


Sijuwi kwakuwa walikuwa na chuki na Radhia, amawivu na kuto kufikilia, wote wawili bila kujiuliza ata kidogo, waka itikia “tupo tayari babu” walijibu kwa pamoja.


“kwanza wekeni laki tano kwenye hapo kwenye gamba la kasa” alisema babu Chongo, huku anaonyesha kwenye gamba la kumbe cha baharini, kinachofanana na kobe, Idd bila kinyongo anatoa kibunda cha fedha na kuhesabu kwa mafungu matano ya noti za elfu kumi kumi, na kuweka sehemu aliyo elekezwa.


Baada ya hapo babu chongo anachanganya dawa zake pamoja na majivu ya lile kratasi lililoandikwa jina la Radhia, kisha akaweka funga kwenye kitambaa cheupe, na kumpatia Siwema, “zingatia ya fuatayo binti, endapo utayakosea basi usinilahumu kwa lolote” sawa babu” anaitikia Siwema.


“hakikisha unaweka kwenye chakula atakacho kula, asile mtu mwingine asie usika, zaidi ya yeye mwenywe” alisema babu chongo, kwa msisitizo, “sawa” anaitikia Siwema, “hakikisha dawa aishikwi na mtu mwingine” alisema babu chongo, kwa sauti ya msisitizo, “sawa babu” anaitikia Siwema.


“na utakapo igusa hii dawa wakati wa kumwekea, hakikisha hupo msafi, yani ujatoka kukutana na mwanaume, na umevaa nguo safi ya ndani” alisisitiza babu chongo, kabla awajaluhusiwa kuondoka zao.


Waliondoka hapo huku wakiambizana kuwa mganga aliwatisha bule, kuhusu mashariti ya dawa ile, kwamaana ayakuwa magumu, kama alivyosema, kwamaana waliamini kuwa watayamudu bila shida yoyote. *******


Saa moja za jioni, ndio mida ambayo, Idd na Siwema waliachana na maeneo ya dukani kwa dukani kwa sharif, nakuelekea majumbani kwao, kila mmoja akiamini kuwa mwisho wa Radhia unakaribia, na sasa anaenda kushi maisha magumu ya shida na dhiki.


Idd hakuwa na mpango wowote wa kwenda hospital, na wala akutaka kuamini maneno ya mganga, kuhusu yeye kuto kuwa na watoto, japo alimini kuwa atawafanikishia swala la Radhia kupoteza mimba na haliki, kwamaana ya kuwachizi, kitu ambacho kitamfanya Edgar amwache.


Siwema anatembea huku dawa hupo kwenye mkoba wake, anapokaribia kufika nyumbani kwake, mala anasikia simu yake inaita, akaitoa kwenye mkoba na kuitazama, ilikuona mpigaji ni nani.


Siwema alishangaa na kushtuka kwanguvu sana, maana akumini alicho kiona, “Said” anasema Siwema kwa sauti ya chini yenye kujawa na mshangao, “amekumbuka nini huyu mpuuzi” anajiuliza Siwema, huku anaachia tabasamu laini.


Siwema anaipokea simu, huku anaendelea kutembea, “aya niambie, umekumbuka nini kwangu?” anauliza Siwema, japo sauti yake aikumaanisha anacho sema, maana ilionyesha wazi kuwa mwenye furaha, “haaaa!, jamani bila ata salamu, niambie tukutane wapi ili tuongee” ilisikika sauti yakiume yenye kumbeleza.


“Siwema anatabasamu kidogo, “alafu mke wako utamuaga vipi?” anauliza Siwema, “ameshapanda meli leo asubuhi” alisema Said, “ok! mie ndio naingia hapa nyumbani, ukiweza njoo nyumbani kwangu michenzani, siunajuwa sasa hivi sina cha kuogopa, cha msingi njoo na bia” alisema Siwema, pasipo kujuwa anatafuta janga la kitaifa, “ok! nikikaribia nitakupigia” alisema Said na kukata simu.


Hakika Siwema alijihisi kuwa dunia inakuwa upande wake, maana aliona kila kitu kinamwendea vyema, ukizingatia Radhia anaenda kuwa chizi, alafu said anajileta mwenywe, “tena safari hii namwendea kwa Chongo yeye na baba Khadija, wakizubaa nitaishi nao wote wawili kama mume na mume mwenza” alijisemea Siwema, ambae asa alisha karibia nyumbani kwake.


Siwema anaingia ndani ya nyumba yake na weka mkoba juu ya meza, anaingia chumbani ambako anavua nguo zake na kuelekea bafuni, ambako anatumia nusu saa, akioga na kusafisha kiufasaha maeneo ya kitumbua, ambayo yalikuwa na mwezi aya jatumika, akiamini kuwa Said lazima ata kitumia kitumbua kile.


Siwema anatoka bafuni, na kujiweka sawa, kisha anavaa gauni jepesi na fupi bila nguo ya ndani, kisha ana elekea sebuleni, ambako anafungua mkoba wake, na kutoa chips na urojo, sambamba na mishikaki, anaanza kula huku anashushia pombe kari.


Wakati anaendelea kula na kunywa pombe yake, ambayo ilikuwa inamchangamsha kwa kasi, huku kigauni chake kikishindwa kufunika chungu, mala akasikia simu yake inaita, mpigaji akiwa Said, anaipokea haraka, huku anatabasamu, “vipi umesha fika?” anauliza Siwema. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA NA TATU
MTUNZI: edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA MBILI: Wakati anaendelea kula na kunywa pombe yake, ambayo ilikuwa inamchangamsha kwa kasi, huku kigauni chake kikishindwa kufunika chungu, mala akasikia simu yake inaita, mpigaji akiwa Said, anaipokea haraka, huku anatabasamu, “vipi umesha fika?” anauliza Siwema. ......... ENDELEA….


“ndiyo nipo tobo la pili” alijibu Said, “sawa ulizia dukani kwa sharif, aukifika hapo sogea mbele kidogo utaona kuna nyumba ina msheri sheri mkubwa, gonga hodi mlango wa pili mkono wako wa kushoto” alielekeza Siwema, ambae kitumbua chake kilikuwa kinapunga hewa, kusubiri kifuatacho.


Siwema anapo kata simu ya Said, anapiga simu kwa Radhia, simu ambayo inaanza kuita mala moja, Siwema ana tabasamu, kwa kuona simu inaita, maana aliona kuwa lengo lake linaenda kutimia.********


Akiwa ajuwi ili wala lile, Radhia alikuwa chumbani kwa na Edgar pale nyumbani kwao, muda mwingi wakiutumia kufurahia penzi lao, kwa kufanyiana mambo mbali mbali ya kimahaba, sambamba na michezo ya kimapenzi, ambayo iliwafanya wajikute wanaangukia kwenye kunyaduana.


Wawili awa hawakujuwa kama, tayari kunakitu kimeandaliwa kwaaji ya Radhia, wao walitumia muda mwingi kufurahi pamoja, wakiwa awaja vaa nguo zozote, zaidi ya chupi, walingelea mipango ya baadae ya maisha yao, huku wakijaribu kuelezana kuhusu biashara au jambo ambalo Radhia anaweza kulifanya, ikiwa kama kazi yake.


Kuna wakati wakiwa katika michezo yao ndipo Radhia alipo poona simu yake inaita, toka kwa Siwema, ilimshtua sana Radhia, ambae likuwa anajuwa fika kuwa, Siwema bado alikuwa na hasira na yeye, hasira ambayo aijulikani, chanzo chake.


Radhia anapokea simu kwa tahadhari, akijuwa kuna kitu ambacho siyo cha kawaida kinataka kumtokea, kwamaana ya ugomvi, japo safari hii akujuwa chanzo kitakuwa nini, maana sasa hakai nyumbani kwao, na wala ajakutana na Siwema kwa muda mrefu.


“hallow asalam aleykum dada” alisalimia Radhia, ambae sasa alikuwa amekaa kati kati ya mapaja ya Edgar, na kuegemea kwenye kifua kipana cha kijana huyu toka #Mbogo_Land, “aleykum salaam, hongera Radhia nasikia umepata ujauzito, yani umeshindwa ata kunijulisha mambo mazuri kama hayo mdogo wangu” alisikika Siwema akiongea kwa furaha na uchangamfu.


Ilimshangaza kidogo Radhia, ambae akuwai kumsikia Siwema akimwongelesha kwa furaha kama hivi, Radhia anaona isiwe tabu, maana ukweli akumweleza, ila inafaa akitumia busara ata kwa kuongopa, “samahani dada, nilipanga nikupigie kesho, ili tukutane nyumbani kwa mama nikuambie” alisema Radhia, kwa sauti ya kuchangamka, japo alikuwa anadanganya.


“wala usijisumbue, kesho mimi mgeni wako, nakuja kula chakula cha mchana hapo hapo kwako, najuwa shemeji atakuwa kazini” alisema Siwema toka upande wapili wasimu akionekana kuchangamka sana, “sawa nakusubiri nitakuwa nyumbani” alijibu Radhia, huku kionekana kushangaa wazi wazi, ata Edgar aliliona jambo ilo.


Wakati simu bado ikiwa hewani, Radhia akasikia Siwema akimkaribisha mtu, “karibu pita ndani” hapo hapo Siwema akaaga na kukata simu, “vipi siulikuwa unaongea na Siwema, mbona kama umeshangaa sana?” aliuliza Edgar, kwa sauti yenye mashaka, “toka nimeanza kuwa na ufahamu, sijawai kuongea vizuri na Siwema, ata nikimfanyia jema la aina gani, nashangaa leo anafurahia ujauzito wangu” anasema Radhia kwa sauti yenye mashaka.


Kinapita kimya kifupi, kama vile wawili awa wanatafakari jambo, ni Edgar ndie anae vunja ukimya huo, “lakini sidhani kama kuna jambo baya anapanga kufanya, naona sasa atakuwa amebadirika” alisema Edgar, ambae bado alionekana kuwa na mashaka, “nivyema ungemfahamu vizuri Siwema, kabla ya kuongea hivyo, sijuwi kwanini moyo wangu hautaki kabisa ugeni huo” alisema Radhia ambae alionekana wazi kutomwamini dada yake.


“upaswi kuwaza sana, ila kama utapenda naweza kuja mchana, ilituwe pamoja” alisema Edgar, hapo Radhia akaachia tabasamu kidogo, nakumtazama Edgar usoni, huku anakubari kwa kichwa, kuwa Edgar nae awepo mchana huo, pale nyumbani.*******


Nyumbani kwa Siwema, Said akiwa mwenye tahadhari kubwa sana, anasimama nje ya mlango wa nyumba ambayo ameelekezwa kuwa, Siwema anaishi kwa sasa.


Said alie shikilia fuko lenye bia, anasimama kwa sekunde kadhaa pale mlangoni, sauti ya music wa taharab inapenya masikioni mwake, Said anawaza ataanzaje kuongea mbele ya Siwema, ili aweze kumwelewa, kwamaana licha ya kuona kuwa tayari Siwema, ameonyesha dalili kubwa ya kusahau yaliyopita, lakini bado anawasi wasi juu ya kueleweka kwake, kutokana nakile alichomfanyia mwanamke huyu.


Hakika ilikuwa ni muhimu yeye kurudiana na Siwema, ambae siyo tu kuwa alikuwa amesha achika, na kwamba sasa atakuwa nae huru, pia Siwema bado anaendelea na kazi yake, ambayo ingesababisha wasiungane tena, maana Siwema angekuwa tegemezi kwake.


Kubwa zaidi nikwamba, sasa hivi Siwema alikuwa ni mtoto wakishuwa, yani baba yake Siwema mzee Makame, alikuwa ni kiongozi wa ngazi ya juu wa sekta mpya ya kilimo na mifugo, idara ambayo ipo chini ya rais mwenyewe, kwamaana hiyo mzee Makame yupo karibu kabisa na rais.


Hii ilikuwa na faida kubwa kwa Said, ambae alijuwa kuwa, angetumia mwanya wa kuwa na Siwema, kumshawishi mzee Makame, ampiganie kwa mheshimiwa rais, kuhusu putaoa vyeo na madaraka kazini kwake, yani ndani ya jeshi la polisi.


Said anapiga moyo konde na kugonga hodi, asikii jibu lolote, zaidi anasikia nyayo nyepesi toka ndani, zikiufwata mlango, kisha anaona ona kitasa cha mlango kinanyongwa, na mlango unafunguliwa, hapo anamwona Siwema alie valia kanga yake moja, akiwa amesimama mbele yake, kwa uso ulio jikunja kwa hasira na chuki.


“Karibu” anasema Siwema, kwa sauti kavu, huku anapokea fuko lenye chupa kadhaa za bia, na kusogea pembeni, kumpisha saidi aingie ndani, nae anavua viatu na kuingia ndani kimya kimya, huku saidi anajuwa wazi kuwa, panaitajika kuomba msamaha, japo tayari alisha maliza hapo mwanzo alipopiga simu.


Said anakaa kwenye zuria, huku Siwema anafunga mlango na kurudi pale alipo kaa mwanzo, kisha anaanza kutoa chupa moja baada ya nyingine, toka kwenye mfuko, “mambo yanaendaje” anasalimia Said, ambae anachukuwa chupa moja ya bia, huku macho yake yakienda kwenye eneo la mapaja la Siwema, ambalo linaonekana kuwa wazi kidogo, kutokana na kukosa umakini kwenye uvaaji wa kanga yake.


“poa tu, ulizani nita dhalilika baada ya kunikimbia siku ile?” anauliza Siwema akionekana kuwa katika hali ya chuki na hasira, “Siwema kwani bado ayajaisha?” aliuliza Said kwa sauti ya kubembeleza, huku anafungua bia yake, kwa kutumia meno, na macho yake ya wizi, yakitazama katikati ya mapaja ya Siwema, na sasa akiona kitumbua kilichopo wazi kabisa, kwamaana Siwema hakuwa amevaa nguo ndogo kabisa ya ndani.


“yataishaje wakati ulinikataa mchana kweupe, na ukamleta na mkeo kabisaaa” alisema Siwema, kwa sauti ya kulalamika na kusimanga, “basi naomba unisamehe mpenzi wangu” alisema Said kwa sauti ya kubembeleza, huku anapapasa mgongo wa Siwema.


Hapo Siwema anaonekana kulegea kidogo, “sawa nimekusamehe, lakini usirudie tena” alisema Siwema, kwa sauti ya kujidekeza, huku anajiegemeza kifuani kwa Said, kwa lengo la kumsukuma kidogo, lakini saidi anamdaka na kumtuliza kidogo.


“siwezi kurudia mpenzi wangu, nakuhaidi” alisema Said huku anashika shika titi moja la Siwema, na kumfanya asisimkwe mwili, na kuhisi kijidudu flani, kinmatembea kwenye shamba la bibi, na kutekutekenya kunde ya juu ya kisima cha maji chumvi. ......... ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA jamii forums
 
Back
Top Bottom