ASALI HAITIWI KIDOLE
SEHEMU YA MIA MOJA NA SABA
MTUNZI:
edgar MBOGO
WHATSAPP: 0717924403 au 0743632247.
ILIPOISHIA SEHEMU YA MIA MOJA NA SITA: “Eddy mbona unachelewa sana, umenizowesha vibaya, mwenzio nataka uje tufanye” ndivyo ulivyosema ujumbe alio uandika Radhia, “pole mpenzi, lakini unimesha rudi sasa nipo kwaajili yako” alisema Edgar, huku anapiga magoti karibu na Radhia, “nilikuambia usisome wewe umesoma, mwenzio naona aibu” anasema Radhia ambae bado ameziba macho yake kwa viganja vya mikono yake. ........ ENDELEA….
Radhia ajasikia sijibu lolote toka kwa Edgar, baada yake akashtuka midomo ya Edgar, ikiwa inakutana na midomo yake, kisha bila kuuliza, tayari wakaanza kunyonyana mate taratibu, huku Radhia akiondoa mikono usoni, na kuizungusha shingoni mwa Edgar, ambae mikono yake tayari ilikuwa imeshaanza kupapa kifua cha Radhia, ambae alikuwa anatarajia kukoipata anacho kiitaji.********
Mnazi mmoja hospital, ndani ya jengo watu walikuwa wengi sana, wapo waliokuwa wanaingia, na wapo waliokuwa wanatoka, mwana mama Aziza, ambae ambae ni dada wa Ashura mke wa Idd, ni miongoni mwa watu waliojaa ndani ya jengo ilo, akionekana akiwa amebeba begi kubwa mkono wa kushoto, na kapu lenye vyombo kadhaa mkono wa kulia.
Aziza anatembea huku anawaza hatima ya maisha ya mdogo wake, ambae anaishi na wanaume wawili, huku mchepuko akiwa ameuzalia watoto watatu, pasipo mmume wa ndoa kufahamu.
Lakini Aziza akiwa anaendelea kuwaza ili na lile, huku anaukaribia mlango, mkubwa wakutokea nje, mala akatupa macho yake nje ya jengo, upande wa maegesho, ambako alikuwa anaenda kufanya mapatano na dereva wa taxi, lisogee mlangoni kumchukuwa Ashura ambae tayari alikuwa amesha maliza tataratibu za kutoka hospital.
Ndipo Aziza alipo mwona shemeji yake Idd, anakuja kwa mwendo wa haraka kuja upande wake, akionekana mwenye kukunja uso kwa hasira na jadhba, ni wazi alikuwa amesikia au kuona kitu, kuhusu mdogo wake Ashura na Shaban, ambao yeye Aziza alikuwa amewaacha hatua chache nyuma, wakija taratibu Shaban akiwa amembeba mtoto.
Aziza anageuka kushoto kwake na kubadiri uelekeo, na alipopiga hatua kadhaa, akaweka mizigo yake chini na kutoa simu yake, na kuipiga kwa Ashura, simu ikaanza kuita, nae akagauka kutazama upande wa dirisha la karibu na mlangoni, akamwona Idd anakaribia mlango.
“hallow dada umesha pata gari?” inasikika sauti ya Ashura kwenye speeker za simu ya Aziza, “ebu jificheni haraka, huyu chizi anakuja mbio mbio, isije kuwa tafrani” alisema Aziza huku anatazama kule ambako wangetokea wakina Ashura, ni kweli aliwaona wawili wale, wakiwa wanaibukia toka kwenye mlango wa upande wa kolido la vyumba vya grad A.
Aziza anamwona Ashura anamweleza Shaban jambo flani, kisha kwa haraka wanabadiri uelekeo, huku Shaban akiwa bado ameshika mtoto, wanatokomea kwenye moja ya mlango uliopo karibu.
Aziza anatazama mlangoni, anamwona Idd anaingia ndani ya jengo kwa mwendo wa haraka sana, na kuelekea upande ule ule ambao yeye alikuwa ametokea.
Aziza akusubiri tena, alichukuwa mizigo yake haraka na kuelekea nje, kufanya taratibu za kupata usafiri, ili aweze kuwaondoa Shaban na Ashura hapa hospital, ambao wangejuwa wenyewe mbele ya safari wangefanya nini, kama ni kutoroka kwenda mbali na watoto wao, au Ashura kuomba taraka, ili wakaishi pamoja, wakiwa huru.********
Naaaaaam! Halima ambae ndie mkuu wa wauguzi, sasa anaonekana akiwa ameongozana na watu watano, na kufanya jumla yao kuwa sita, pamoja nae walikuwa wanawake wanne, na mwanaume mmoja mtu mzima, wote wanaonekana wakiwa katika nyuso za taharuki.
“atakuwa amepatwa na nini huyu mtoto, isije kuwa ni hizo pombe zake” anaongea mwanaume mtu mzima, alie valia koti la kidoctor, “ata mimi nashindwa kuelewa, yani Doctor inabidi uishie nje, maana huko ndani anafanya vitu vya aibu” alisisitiza Halima, ambae kati ya wanawake ali kuwa nao, alikuwepo Mwaija, ambae muda mfupi uliopita aliingia hapa hospitalini, akiwa na Siwema, na ndie alie tuma ujumbe kwa Halima akimjulisha mashaka yake juu ya Siwema.
“tumeona wagonjwa wakila aina na vituko chungu nzima sembuse huyu ambae tuna mfahamu” alisema yule mwanaume mtu mzima, akionyesha kudharau tahadhari ya Halima.
Lakini walipofika karibu na mlango, ndipo walipo anza kusikia minguno ya kimahaba, toka ndani ya ofisi, “asss….. assss nahamu ya kutombw……” sauti ya Siwema ilisikika wazi wazi toka ndani ya ofisi, hapo Doctor akusubiri aambiwe mala ya pili.
“Halima, mimi naenda kumwandaa dereva wagari la wagonjwa, hakikisha Siwema anawaishwa mnazi mmoja haraka, na usiondoke bila kukutana na ndugu zake, waeleze kuwa ilo siyo tatizo la kawaida, ni ushirikina umefanyika hapo” alisema Doctor, huku anaelekea upande wanje ya jengo.
Halima na wale wanawake wa tatu, wanaingia ndani ya ofisi kwa haraka, na walicho kikuta kiliwaacha midomo wazi, licha ya kuwa alikuwa mwanamke mwanzao, lakini aibu waliiona wao.
Wote kwa pamoja walimwona Siwema Makame, akiwa amelala chini, gauni amelipandisha mpaka tumboni, chupi hipo pembeni kabisa, kwamaana ameivua, alicho kuwa anakifanya sasa, ndio hatari yenyewe.
Kwamaana Siwema alie lala chini alikuwa ameinua miguu yake juu, huku ameitanua, anajitia vidole kama mtu mwenye haraka, anae tafuta kitu kwenye pochi au mkoba, “mnashangaa nini ebu mshikeni haraka” alisema Halima, na hapo wanawake wale wanne wakamvamia Halima na kumshika kwanguvu, huku Halima akifungua kabati moja na kutoa shuka nyeupe za hospital ambazo waligeuza kuwa kamba, za kumfungia Siwema.
Baada ya kuhakikisha wamesha mfunga vyema, na kumvalisha nguo zake vizuri, wanamtoa nje ya hospital huku anapiga kelele, “niacheni nyie wachawi, au mmetumwa na Radhia, aje kuniuwa, kauri zile ziliwashangaza watu walio sikia, kuanzia wagonjwa adi wauguzi, “sijuwi ananini huyu binti na huyo ndugu yake, yani toka aingie hapa anamtaja yeye” alisema Halima, aliekuwa anafwata nyuma na mkoba wa Siwema.
Dakika chache mbele tayari Siwema alikuwa amesha pakizwa kwenye gari la wagonjwa, na safari ya kuelekea mjini hospital ya mnazi mmoja ikaanza, huku njia nzima Siwema akipiga kelele, kama siyo kumtaja Radhia, basi ange sema anahamu ya kunyanduliwa, muda wote akijaribu kujipapatua.*********
Twende nyumbani kwa barozi Edgar, ambae sasa tuna mwona anamwachia Radhia, aliekuwa anapeana nae busu la mdomo, kwa maana ya kubadirishana mate, Radhia anaonekana amelegea vibaya sana, macho ayawezi kuona vizuri, hakika anatamani waendelee, kubusiana na kupapasana.
“mpenzi aiwezi kuwa sasa, kuna wegeni wanakusubiri chini, wanataka wakusalimie, baada ya hapo tutakuwa wote kuanzia sasa, ata baada ya dada yako kuondoka” alisema Edgar kwa sauti nzuto, huku ananyanyua Radhia toka kwenye kochi, na kumbeba juu juu, tayari kutoka nae chumbani.
“hapana Eddy ngoja nichukuwe mtandio, siwezi kwenda nywele zikiwa wazi” alisema Radhia, huku akijaribu kuleta ugumu wa kubebwa, “ok! wacha nikuchukulie” alisema Edgar, huku anamshusha Radhia na kuchukuwa mtandio juu ya kochi, kisha akampatia mpenzi wake, ambae alijipanda kichwani.
Lakini ile Edgar anataka kumnyakuwa tena, Radhia akakimbilia kwenye kioo, “hapana Edgar, uwezi kufanya hivyo, mwenzio sijazowea kubebana mbele za watu” alisema Radhia, ambae alipofika mbele ya kioo akajitazama usoni, “jamani Edgar, ulijuwa kuna watu na bado ukani fanyia hivi, ona macho yangu yamekuwa mekundu” alisema Radhia kwa kulalamika.
“wala usikonde, mpaka unafika sebuleni, tayari yatakuwa meupe, kwanza ata wakiona watajuwa ulikuwa umelala” alisema Edgar, na Radhia akacheka kidogo, huku wanaongozana kutoka nje ya chumba.**********
Wakati huo huo Hospital ya mnazi mmoja, Idd tembea haraka na kuelekea moja kwa moja, upande wa ward za grad A, huku akienda kusimama kwenye chumba alicho kuwa amelazwa mke wake na mtoto wao mchanga.
Lakini anapoingia ndani ya chumba kile, anaona kitanda kipo wazi, ila kuna yule muhuguzi wa alie mkuta jana asubuhi, akiwa anaondoa mashuka kitandani, hapa kuwa na dalili yoyote ya uwepo wa mgonjwa au mzazi mle ndani ya chumba.
“huyu mwanamke ameluhusiwa saa ngapi?” anauliza Idd kwa sauti yenye mshangao na jazba, kiasi cha yule mwanamke kumshangaa, maana Idd akukumbuka ata salamu kwa mtu aliemkuta mle ndani, “ametoka sasa hivi, amekuja kuchukuliwa na mume wake” alisema yule muuguzi, ambae alikuwa anaendelea na kazi zake.
Kauri ile inamshtua sana Idd, ambae anamtazama yule muuguzi kwa macho ya hasira, “mume wake kivipi weye, mimi ndie mume wake” alisema Idd kwa hasira, huku anaufwata mlango wa kutokea, “mh! pengine umepotea ward, ila hapa alikwepo mzazi anaitwa Ashura, na mume wake anaitwa Shaban, alikuwa nae hapa toka jana alipo mleta, usiku wa leo amelala hapa hapa” Idd alisikia maneno hayo wakati anamalizikia kutoka nje, ilibakia kidogo apaze sauti kwa kuchanyikiwa.
Idd alijikuta anasimama, na kumtazama yule muuguzi, kwa macho ya hasira, akitumia sekunde kadhaa, anashindwa aseme nini, anaishia kuondoka kwa hasira, kuwai nje, ya hospital, maana ana uhakika wa kuwa, ile vesper aliyo iona ni vesper ya Shaban, “wacha nimuwai kabla ajaondoka” alisema Idd, huku ana ongeza mwendo kuelekea upande wa nje, akipishana na watu wengi waliokuwa eneo lile, kila mmoja akiwa na shida yake. ........ ENDELEA…. KUFWATILIA HADITHI HII YA #ASALI_AITIWI_KIDOLE, HAPA HAPA
jamii forums