Litro
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 1,080
- 2,248
Unajua mi najiuliza sana sipati jibu huyu kaka anampenda kweli mkewe? Kama anampenda mbona anamfanyia hivi? Kama hampendi mbona alikaribia kuchizi kipindi anaumwa na hakufanya hivi alitulia wushing her apone? Kwakweli hastahili kuwa na huyu dada sema wanawake nasie kwa kujifanya mabingwa wa kusamehe sjui tunatakaga sifa au kama Rey alishaona uchafu woote bado kendaolewa nae inafikirisha inaudhi inakera na utakuja kushangaa zainabu wa kilosa ana mimba nyingine na mke anasamehe sjui tunakuaga tumelewa mda wote auHaha! Sijui Litro ana maoni gani?[emoji23][emoji23]...