Unajua mi najiuliza sana sipati jibu huyu kaka anampenda kweli mkewe? Kama anampenda mbona anamfanyia hivi? Kama hampendi mbona alikaribia kuchizi kipindi anaumwa na hakufanya hivi alitulia wushing her apone? Kwakweli hastahili kuwa na huyu dada sema wanawake nasie kwa kujifanya mabingwa wa kusamehe sjui tunatakaga sifa au kama Rey alishaona uchafu woote bado kendaolewa nae inafikirisha inaudhi inakera na utakuja kushangaa zainabu wa kilosa ana mimba nyingine na mke anasamehe sjui tunakuaga tumelewa mda wote auHaha! Sijui Litro ana maoni gani?[emoji23][emoji23]...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]moneytalk usilete nongwa...furahia show dadaake[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
yani inatia hasira kama kwel yani,ila jason iko siku ataharibu kazi kwakudanganyika na totoz,,afu bishop me ukishaanzanga kuwasifia tu hao wanawake huwa napita kusoma haraka haraka[emoji38][emoji38][emoji38]Haha! Sijui Litro ana maoni gani?[emoji23][emoji23]...
Litro na moneytalk kula na kuliwa kwenye anga za ushushushu ni kama uji na mgonjwa. Hata huyo Rehema mnayemuonea huruma kama afisa kipenyo akiwa kazini kuna mazingira ya kazi yatamlazimisha kuliwa ili kupata taarifa mzee baba akijua wala hatakuwa na nongwa.
Hivyo kaeni kwa kutulia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] acheni makasiriko
By the way, Bishop Hiluka tuletee mambo weekend isijekuwa ndefu[emoji2][emoji2][emoji2]
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]...BAHARIA UNA UPIGA MWINGI NAOMBA AJENGEWE SANAMU
[emoji23][emoji23]Rehema kwa sasa yupo NSSF, hayupo field...Bishop tuwekee kipande cha rehema kuliwa waumini wa rivenji tufurahi
Haha![emoji23][emoji23] Unajua iko hivi... au basi!...yani inatia hasira kama kwel yani,ila jason iko siku ataharibu kazi kwakudanganyika na totoz,,afu bishop me ukishaanzanga kuwasifia tu hao wanawake huwa napita kusoma haraka haraka[emoji38][emoji38][emoji38]
Ngoja nione kama nitawahi kurudi nitatupia ila nikichelewa sana basi kesho...Bishop mtu kazi, kazi bora kabisa asante tunakufutilia mnooo. Hadi church Bishop tunafungua uzi wako....Embu hii weekend isipite hivi hivi....Pamela kwisha hbr yake...!!
Alivokua kitengo alishawahi? Yani is there a coinc alitoa mzigo hata kama sio kikazi[emoji23][emoji23]Rehema kwa sasa yupo NSSF, hayupo field...
Kama umefuatilia vizuri Rehema hajawahi kuwa field kwa majukumu ya kitengo, alipomaliza chuo ndipo wakakutana na Jason ndani ya gari wakati wakienda Kahama, na baadaye akapangiwa kazi Ushirombo kama ofisa utawala kabla ya kuteuliwa kuwa DC wa Misungwi, wiki chache baadaye ndo akamfumqnia Jason na kupooza mwili.Alivokua kitengo alishawahi? Yani is there a coinc alitoa mzigo hata kama sio kikazi
Haha! Hao huwawezi wanatafuta ligi ya Me VS Ke...Bishop Hiluka hakikisha Rehema atakapokwenda field ASILIWE maana akina moneytalk na mwenzie Litro watamhurumia sana Jason[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Tutafurahiiiiiiii yani tutafunga mtaa hyo siku af na uyu pamela kanitokaaBishop Hiluka hakikisha Rehema atakapokwenda field ASILIWE maana akina moneytalk na mwenzie Litro watamhurumia sana Jason[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my SM-T555 using JamiiForums mobile app
Bishop chonde aende aliwe anogewe amuache jasoni zipu mbovuKama umefuatilia vizuri Rehema hajawahi kuwa field kwa majukumu ya kitengo, alipomaliza chuo ndipo wakakutana na Jason ndani ya gari wakati wakienda Kahama, na baadaye akapangiwa kazi Ushirombo kama ofisa utawala kabla ya kuteuliwa kuwa DC wa Misungwi, wiki chache baadaye ndo akamfumqnia Jason na kupooza mwili.
Kwa kuwa Harakati za Jason Sizya bado zinaendelea na bado kuna misimu (seasons) mingi huko mbele, sijui kama atakuja kupelekwa field. Tuendelee kufuatilia tu...
Bishop chonde aende aliwe anogewe amuache jasoni zipu mbovu