Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,699
- Thread starter
- #1,041
Tukutane tena kesho kama Mungu ataendelea kutupa pumzi za uhai...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umenena vyemawegero kwetu mletee Bishop Hiluka kimoro afurahie weekend[emoji16][emoji16][emoji16]
Shukrani mpendwa! Natumai utakuwa unaendelea vyema sasaTukutane tena kesho kama Mungu ataendelea kutupa pumzi za uhai...
kiapo cha jasusi ntapata mkuu?NJOO WHATPP 0768315707 NIKUTUMIE KWA MFUMO WA PDF U ENJOY...
ZOTE MWANDISHI NI PATRICK CK.View attachment 2416340
Tapeli huyo kuwa nae makinikiapo cha jasusi ntapata mkuu?
Anacho kifanya kwenye page za watu binafsi cjapenda [emoji17]Tapeli huyo kuwa nae makini
Sijawatenga, nilirudi Dar es Salaam nikiwa bado naumwa sana na hivyo nikajikuta nikiisahau laptop yangu huko nilikokuwa. Kuna mtu nimemwagiza aniletee maana nitakuwepo huku kwa zaidi ya wiki tatu...Bishop katutenga watu wake asee
Pole mkuuSijawatenga, nilirudi Dar es Salaam nikiwa bado naumwa sana na hivyo nikajikuta nikiisahau laptop yangu huko nilikokuwa. Kuna mtu nimemwagiza aniletee maana nitakuwepo huku kwa zaidi ya wiki tatu...
Tuombe uzima, wakati wowote ikifika natupia za kutosha...
Pole mpendwaSijawatenga, nilirudi Dar es Salaam nikiwa bado naumwa sana na hivyo nikajikuta nikiisahau laptop yangu huko nilikokuwa. Kuna mtu nimemwagiza aniletee maana nitakuwepo huku kwa zaidi ya wiki tatu...
Tuombe uzima, wakati wowote ikifika natupia za kutosha...
Pole sana mkuu,lakini nakushukuru sana,umenipa jina wadada wakiniuliza au kutaka kujua jina langu naitwa ALISHANTO BIN MBAGA! waunganishe wenyee!Sijawatenga, nilirudi Dar es Salaam nikiwa bado naumwa sana na hivyo nikajikuta nikiisahau laptop yangu huko nilikokuwa. Kuna mtu nimemwagiza aniletee maana nitakuwepo huku kwa zaidi ya wiki tatu...
Tuombe uzima, wakati wowote ikifika natupia za kutosha...
[emoji23][emoji23] hata mimi naitwa Bishop Alishanto bin Mbaga. Wakiunganisha wanapata jina kamili[emoji23][emoji41][emoji849][emoji17]...Pole sana mkuu,lakini nakushukuru sana,umenipa jina wadada wakiniuliza au kutaka kujua jina langu naitwa ALISHANTO BIN MBAGA! waunganishe wenyee!
Mkuu bishop naamini utatutengulia kitendawili cha afande koba na Winnie humu,kama tulivyokutana na rahma wa singida baada ya muda mrefu katika fukwe za Mombasa,kama itakupendeza ttoe lock leo mkuu![emoji23][emoji23] hata mimi naitwa Bishop Alishanto bin Mbaga. Wakiunganisha wanapata jina kamili[emoji23][emoji41][emoji849][emoji17]...
Ajili yenu! sorryHivi litro,moneytalk,shunie wapo humu,mkionekana naamini bishop atatukumbuka warembo,na ameweka jina jipya kwa akili yenu!
Majibu yote yapo, ila sijajua kama yamo katika Utata, Kifo Ughaibuni au katika season ipi.Mkuu bishop naamini utatutengulia kitendawili cha afande koba na Winnie humu,kama tulivyokutana na rahma wa singida baada ya muda mrefu katika fukwe za Mombasa,kama itakupendeza ttoe lock leo mkuu!
Pamoja sana mkuu,tumemmic Jason alisha----- litro atakuja kumalizia!Majibu yote yapo, ila sijajua kama yamo katika Utata, Kifo Ughaibuni au katika season ipi.
Natamani kutupia episode kadhaa za Utata lakini nashindwa, nadhani kesho jioni laptop yangu inaweza kunifikia, nikiipata tu natupia za kutosha...