Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #61
SEHEMU YA 53
Kesho yake kulipokucha kama kawaida waliondoka na kenda shuleni ila leo baba yao hakuwepo kwahiyo mama yao alibakia mwenyewe huku akiendelea kuwa na mawazo kuhusu Angel,baada ya watoto wake kuondoka sasa aliamua kuongea na Vaileth ili amwambie vile anavyojihisi kuhusu Angel,
“Unajua huyu mwanangu simuelewi kabisa kiasi kwamba hata cha kufanya sijui yani”
“Nakushauri dada uende shuleni kwakina Angel, muite huyo kijana na Angel na umuulize mbele ya mwalimu wao wa nidhamu”
“Eti eeeh! Ngoja nijiandae sasa hivi niende”
Basi mama Angel alienda kujiandaa huku akiwa na mawazo sana juu ya binti yake, baada ya hapo aliondoka na kuelekea shuleni kwakina Angel.
Alifika shuleni na kuongea na mwalimu wa taaluma maana wa nidhamu hakumkuta ambapo aliomba aitiwe Angel na Samir, naye mwalimu hakusita bali alifanya hivyo.
Angel na Samir walipofika, basi mama Angel alianza kumfokea Samir na kumuuliza,
“Hivi kwanini unamsumbua mwanangu wewe kijana?”
Samir alimjibu huyu mama kwa ujasiri kabisa tena bila hata na uoga,
“Nampenda sana Angel”
Huyu mama alimuangalia na kumnasa kibao kwa hasira.
Alifika shuleni na kuongea na mwalimu wa taaluma maana wa nidhamu hakumkuta ambapo aliomba aitiwe Angel na Samir, naye mwalimu hakusita bali alifanya hivyo.
Angel na Samir walipofika, basi mama Angel alianza kumfokea Samir na kumuuliza,
“Hivi kwanini unamsumbua mwanangu wewe kijana?”
Samir alimjibu huyu mama kwa ujasiri kabisa tena bila hata na uoga,
“Nampenda sana Angel”
Huyu mama alimuangalia na kumnasa kibao kwa hasira.
Muda ule mwalimu wa nidhamu nae akafika kwahiyo alimkuta mama Angel akiwa na Angel pamoja na Samir, kwahiyo na yeye alishuhudia kile kibao ambacho mama Angel alimnasa Samir ikabidi asogee karibu na kuuliza,
“Kulikoni mama?”
“Kulikoni nini? Yani mnashindwa kuthibiti wanafunzi wenu? Si mapenzi shule yamekatazwa? Mnawezaje kuruhusu mambo kama haya yatokee kwenye shule yenu? Yani mtoto huyu anajibu kwa ujasiri na kujiamini kabisa kuwa nampenda sana Angel, ujinga ujinga tu”
“Basi mama, tulia tuzungumze”
“Sina cha kutulia, wewe Angel nenda kabebe begi lako tunaenda nyumbani sasa”
Angel aliondoka na kwenda kuchukua begi lake, na mama yake alibaki pale akiwa na jazba sana yani hakutaka kusikia hili wala lile kwa wakati huo.
Angel aliporudi na begi lake alimshika mkono na kutoka nae hapo shuleni na moja kwa moja alielekea nae nyumbani kwao.
Walipofika akaanza kuongea na bintiyake,
“Angel tafadhali mwanangu, najua upo kwenye darasa baya ila naomba nikuhamishe shule, yule kijana hakutakii mema mwanangu, anataka kukuharibia masomo yako tu”
“Sawa mama”
“Haya,nenda chumbani”
Halafu muda huo huo mama Angel alijiandaa na kutoka kwani kuna shule tayari alishaifikiria kwenye akili yake akaona ndio itamfaa mwanae kwa kipindi hiko.
Kesho yake kulipokucha kama kawaida waliondoka na kenda shuleni ila leo baba yao hakuwepo kwahiyo mama yao alibakia mwenyewe huku akiendelea kuwa na mawazo kuhusu Angel,baada ya watoto wake kuondoka sasa aliamua kuongea na Vaileth ili amwambie vile anavyojihisi kuhusu Angel,
“Unajua huyu mwanangu simuelewi kabisa kiasi kwamba hata cha kufanya sijui yani”
“Nakushauri dada uende shuleni kwakina Angel, muite huyo kijana na Angel na umuulize mbele ya mwalimu wao wa nidhamu”
“Eti eeeh! Ngoja nijiandae sasa hivi niende”
Basi mama Angel alienda kujiandaa huku akiwa na mawazo sana juu ya binti yake, baada ya hapo aliondoka na kuelekea shuleni kwakina Angel.
Alifika shuleni na kuongea na mwalimu wa taaluma maana wa nidhamu hakumkuta ambapo aliomba aitiwe Angel na Samir, naye mwalimu hakusita bali alifanya hivyo.
Angel na Samir walipofika, basi mama Angel alianza kumfokea Samir na kumuuliza,
“Hivi kwanini unamsumbua mwanangu wewe kijana?”
Samir alimjibu huyu mama kwa ujasiri kabisa tena bila hata na uoga,
“Nampenda sana Angel”
Huyu mama alimuangalia na kumnasa kibao kwa hasira.
Alifika shuleni na kuongea na mwalimu wa taaluma maana wa nidhamu hakumkuta ambapo aliomba aitiwe Angel na Samir, naye mwalimu hakusita bali alifanya hivyo.
Angel na Samir walipofika, basi mama Angel alianza kumfokea Samir na kumuuliza,
“Hivi kwanini unamsumbua mwanangu wewe kijana?”
Samir alimjibu huyu mama kwa ujasiri kabisa tena bila hata na uoga,
“Nampenda sana Angel”
Huyu mama alimuangalia na kumnasa kibao kwa hasira.
Muda ule mwalimu wa nidhamu nae akafika kwahiyo alimkuta mama Angel akiwa na Angel pamoja na Samir, kwahiyo na yeye alishuhudia kile kibao ambacho mama Angel alimnasa Samir ikabidi asogee karibu na kuuliza,
“Kulikoni mama?”
“Kulikoni nini? Yani mnashindwa kuthibiti wanafunzi wenu? Si mapenzi shule yamekatazwa? Mnawezaje kuruhusu mambo kama haya yatokee kwenye shule yenu? Yani mtoto huyu anajibu kwa ujasiri na kujiamini kabisa kuwa nampenda sana Angel, ujinga ujinga tu”
“Basi mama, tulia tuzungumze”
“Sina cha kutulia, wewe Angel nenda kabebe begi lako tunaenda nyumbani sasa”
Angel aliondoka na kwenda kuchukua begi lake, na mama yake alibaki pale akiwa na jazba sana yani hakutaka kusikia hili wala lile kwa wakati huo.
Angel aliporudi na begi lake alimshika mkono na kutoka nae hapo shuleni na moja kwa moja alielekea nae nyumbani kwao.
Walipofika akaanza kuongea na bintiyake,
“Angel tafadhali mwanangu, najua upo kwenye darasa baya ila naomba nikuhamishe shule, yule kijana hakutakii mema mwanangu, anataka kukuharibia masomo yako tu”
“Sawa mama”
“Haya,nenda chumbani”
Halafu muda huo huo mama Angel alijiandaa na kutoka kwani kuna shule tayari alishaifikiria kwenye akili yake akaona ndio itamfaa mwanae kwa kipindi hiko.