Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #241
SEHEMU YA 202
Siku hiyo mchana alifika rafiki wa Erica, yani Samia na alikuwa ameleta tena mikanda ya ngumi yani hiyo mikanda ambayo bibi yao alihisi kuwa walikuwa wakiangalia ndio kwanza Samia aliileta siku ya leo na alipokelewa na rafiki yake na kukaribishwa vizuri tu, basi Samia alikuwa akiongea mambo mengi sana na Erica moja wapo alimuuliza kuhusu Erica,
“Huyu kaka yako ni vipi lakini Erica? Mbona hapendi kuongea na watu?”
“Mmmh huyo mzoee tu ndio zake hizo”
Basi aliongea mambo mengi sana na siku hii Erica aliitumia kumtambulisha Samia kwa mama yake ambaye nae alionekana kumfurahia ila tu hakujua kama Samia ndio huwa anawaletea watoto wake mikanda ya ngumi, basi Samia wakati anaaga akamwambia mama Angel,
“Mama, siku moja naomba umruhusu Erica aje na kwetu”
“Hakuna shida, atakuja na kaka zake”
“Ni vizuri hata hivyo, nitafurahi sana. Mimi naenda”
“Haya, karibu tena”
Ila wakati Samia anatoka basi Junior leo alijitolea kwenda kumsindikiza Samia, wakati Erica kaishia getini ni moja kwa moja Junior alimsindikiza Samia kituoni kwenda kupanda gari la kurudi kwao kwani Samia alikuwa yupo huru sana nyumbani kwao na hakufungiwa kama ambavyo Erica alikuwa akifungiwa.
Basi Junior alikuwa akimsindikiza huku akiongea nae mambo mbalimbali,
“Kwenu mpo wangapi Samia?”
“Wawili tu, mimi na kaka yangu”
“Oooh! Ila unaonekana wewe ni binti mpole sana, mkarimu na muongeaji mzuri”
“Asante sana”
“Sema ningependa tuwe tunawasiliana zaidi, una simu?”
“Hapana, labda simu ya kaka”
“Sawa hakuna tatizo Samia, usijali nimekuelewa”
Basi alimsindikiza hadi Samia alipopanda gari na yeye kurudi nyumbani kwao pale, ila lile tukio la Junior kumsindikiza Samia lilimchukiza sana Vaileth ukizingatia Junior alikuwa kijana ambaye haaminiki kabisa.
Siku hiyo usiku wakati wa kulala, kawaida ya Junior alienda chumbani kwa Vaileth kulala ila alimuona kuwa Vaileth amechukia na kumuuliza ambacho kimemchukiza,
“Mbona unaonekana huna furaha leo”
“Unaona ulichofanya kipo sawa, mbona siku zote huwa humsindikizi yule mtoto lakini leo umemsindikiza”
“Jamani Vai, ushasema yule ni mtoto sasa mimi wa nini jamani!”
Basi Junior alianza kumpapasa papasa Vaileth ili aweze kumsahaulisha lile wazo la yeye kumsindikiza Samia.
Mara wakasikia mlango ukigongwa na moja kwa moja walihisi ni bibi yao tu, basi kama kawaida Junior alikimbilia chooni kujificha, na Vaileth alienda kufungua mlango ila aliyeingia alikuwa Erica ila cha kushangaza moja kwa moja Erica alikimbilia chooni kwa Vaileth na huko alibambana na Junior na kumfanya Erica apige kelele kama kawaida yake.
Mara wakasikia mlango ukigongwa na moja kwa moja walihisi ni bibi yao tu, basi kama kawaida Junior alikimbilia chooni kujificha, na Vaileth alienda kufungua mlango ila aliyeingia alikuwa Erica ila cha kushangaza moja kwa moja Erica alikimbilia chooni kwa Vaileth na huko alibambana na Junior na kumfanya Erica apige kelele kama kawaida yake.
Yani Junior muda ule ule alimkimbilia Erica na kumziba mdomo kisha kutoka nae kwenye chumba cha Vaileth ambapo Erick alivyokuwa anakuja na mama Angel walikutana na Junior akiwa kamshikilia Erica, basi mama Angel akauliza,
“Kwani tatizo nini jamani?”
“Nadhani bahati mbaya, tumekutana hapo njiani na Erica tukagongana”
“Jamani na nyie usiku huu mnaenda wapi jamani!”
Basi mama Angel akamchukua Erica toka mikononi mwa Junior na kumpeleka chumbani kwake yani chumbani kwa Erica, ila muda huo Junior alikuwa na wasiwasi sana kuwa Erica anaweza kusema ukweli ukizingatia ni mbeya yani alihisi kila kitu kinaenda kuharibika, basi wakati Erica yupo na mama yake muda ule ule Junior alienda kuzima umeme wa nyumba nzima ili wote washughulikie umeme na washindwe kuongea na Erica, na kweli umeme wa nyumba nzima ulipokatika yani mama Angel alihisi kiwewe kwa mtoto wake mchanga kuwa giza, hivyobasi alimuacha Erica pale na kwenda kukimbilia chumbani kwa mtoto wake mdogoila muda huo huo Junior nae aliingia chumbani kwa Erica na kumwambia,
“Ole wako uropoke ulichokiona leo”
Kisha akatoka na kurudi tena kwenye soketi kubwa na kurudisha umeme kwahiyo hawakujua kuwa tatizo ni kitu gani mpaka umeme kukatika gafla vile kwa nyumba nzima.
Siku hiyo mchana alifika rafiki wa Erica, yani Samia na alikuwa ameleta tena mikanda ya ngumi yani hiyo mikanda ambayo bibi yao alihisi kuwa walikuwa wakiangalia ndio kwanza Samia aliileta siku ya leo na alipokelewa na rafiki yake na kukaribishwa vizuri tu, basi Samia alikuwa akiongea mambo mengi sana na Erica moja wapo alimuuliza kuhusu Erica,
“Huyu kaka yako ni vipi lakini Erica? Mbona hapendi kuongea na watu?”
“Mmmh huyo mzoee tu ndio zake hizo”
Basi aliongea mambo mengi sana na siku hii Erica aliitumia kumtambulisha Samia kwa mama yake ambaye nae alionekana kumfurahia ila tu hakujua kama Samia ndio huwa anawaletea watoto wake mikanda ya ngumi, basi Samia wakati anaaga akamwambia mama Angel,
“Mama, siku moja naomba umruhusu Erica aje na kwetu”
“Hakuna shida, atakuja na kaka zake”
“Ni vizuri hata hivyo, nitafurahi sana. Mimi naenda”
“Haya, karibu tena”
Ila wakati Samia anatoka basi Junior leo alijitolea kwenda kumsindikiza Samia, wakati Erica kaishia getini ni moja kwa moja Junior alimsindikiza Samia kituoni kwenda kupanda gari la kurudi kwao kwani Samia alikuwa yupo huru sana nyumbani kwao na hakufungiwa kama ambavyo Erica alikuwa akifungiwa.
Basi Junior alikuwa akimsindikiza huku akiongea nae mambo mbalimbali,
“Kwenu mpo wangapi Samia?”
“Wawili tu, mimi na kaka yangu”
“Oooh! Ila unaonekana wewe ni binti mpole sana, mkarimu na muongeaji mzuri”
“Asante sana”
“Sema ningependa tuwe tunawasiliana zaidi, una simu?”
“Hapana, labda simu ya kaka”
“Sawa hakuna tatizo Samia, usijali nimekuelewa”
Basi alimsindikiza hadi Samia alipopanda gari na yeye kurudi nyumbani kwao pale, ila lile tukio la Junior kumsindikiza Samia lilimchukiza sana Vaileth ukizingatia Junior alikuwa kijana ambaye haaminiki kabisa.
Siku hiyo usiku wakati wa kulala, kawaida ya Junior alienda chumbani kwa Vaileth kulala ila alimuona kuwa Vaileth amechukia na kumuuliza ambacho kimemchukiza,
“Mbona unaonekana huna furaha leo”
“Unaona ulichofanya kipo sawa, mbona siku zote huwa humsindikizi yule mtoto lakini leo umemsindikiza”
“Jamani Vai, ushasema yule ni mtoto sasa mimi wa nini jamani!”
Basi Junior alianza kumpapasa papasa Vaileth ili aweze kumsahaulisha lile wazo la yeye kumsindikiza Samia.
Mara wakasikia mlango ukigongwa na moja kwa moja walihisi ni bibi yao tu, basi kama kawaida Junior alikimbilia chooni kujificha, na Vaileth alienda kufungua mlango ila aliyeingia alikuwa Erica ila cha kushangaza moja kwa moja Erica alikimbilia chooni kwa Vaileth na huko alibambana na Junior na kumfanya Erica apige kelele kama kawaida yake.
Mara wakasikia mlango ukigongwa na moja kwa moja walihisi ni bibi yao tu, basi kama kawaida Junior alikimbilia chooni kujificha, na Vaileth alienda kufungua mlango ila aliyeingia alikuwa Erica ila cha kushangaza moja kwa moja Erica alikimbilia chooni kwa Vaileth na huko alibambana na Junior na kumfanya Erica apige kelele kama kawaida yake.
Yani Junior muda ule ule alimkimbilia Erica na kumziba mdomo kisha kutoka nae kwenye chumba cha Vaileth ambapo Erick alivyokuwa anakuja na mama Angel walikutana na Junior akiwa kamshikilia Erica, basi mama Angel akauliza,
“Kwani tatizo nini jamani?”
“Nadhani bahati mbaya, tumekutana hapo njiani na Erica tukagongana”
“Jamani na nyie usiku huu mnaenda wapi jamani!”
Basi mama Angel akamchukua Erica toka mikononi mwa Junior na kumpeleka chumbani kwake yani chumbani kwa Erica, ila muda huo Junior alikuwa na wasiwasi sana kuwa Erica anaweza kusema ukweli ukizingatia ni mbeya yani alihisi kila kitu kinaenda kuharibika, basi wakati Erica yupo na mama yake muda ule ule Junior alienda kuzima umeme wa nyumba nzima ili wote washughulikie umeme na washindwe kuongea na Erica, na kweli umeme wa nyumba nzima ulipokatika yani mama Angel alihisi kiwewe kwa mtoto wake mchanga kuwa giza, hivyobasi alimuacha Erica pale na kwenda kukimbilia chumbani kwa mtoto wake mdogoila muda huo huo Junior nae aliingia chumbani kwa Erica na kumwambia,
“Ole wako uropoke ulichokiona leo”
Kisha akatoka na kurudi tena kwenye soketi kubwa na kurudisha umeme kwahiyo hawakujua kuwa tatizo ni kitu gani mpaka umeme kukatika gafla vile kwa nyumba nzima.