SIMULIZI: Nilipata nafasi ya kuongea na Gurus wawili wenye mitizamo miwili tofauti kuhusu Kuzaliwa, Kifo na uwepo wa Mungu pamoja na Dini

Kuna energy watu wanakurushia ili kukuzuia katika Mambo mbali mbali. Muhimu kufahamu namna ya kuzitoa izo nguvu bila kuzuia. Vipi unaweza kushare izo Mbinu za kuondoa nguvu hasi ambazo watu uzirusha kwa wengine.
 
Kuna energy watu wanakurushia ili kukuzuia katika Mambo mbali mbali. Muhimu kufahamu namna ya kuzitoa izo nguvu bila kuzuia. Vipi unaweza kushare izo Mbinu za kuondoa nguvu hasi ambazo watu uzirusha kwa wengine.
No mkuu bado sikufikia huko. Hio elimu ni ndefu sana
 
Uko sahihi kwakuwa kila kilichopo kwenye uso wa dunia kinachoonekena kwa macho ya nyama asili yake na chanzo chake ni rohoni.. In fact ni replica ya kiroho

Uvutano uunao kwenye sumaku uko hata kiroho na ndio maana huvutiwa kumpenda mtu ama kumchukia at first glance

Mizani nayo ni hivyo hivyo kati ya kundi la watu ukapewa ugawe vitu kuna ambao bila sababu utajisikia kuwapunja ama kuwapendelea ama kuwapa kabla ya wengine wanaostahili
 
Nilitaka kuendelea na maoni ya wale wazungu lkn mods wameuweka huu uzi mahala ambapo sipo.

Moderator hii sio riwaya rudishen jukwaa la Intelligence
 
Kwa uelewa na nijuavyo. Hapa inafanana na Christian, mambo ya powers of nature, metaphysics, binarbeats, waves. In Christianity source of positive power is Jesus Christ. The power of attraction, power of positive connection. Jesus Christ ndie chanzo cha positive energy. Ukijiconnect utafanya mashangao.
 
Mkuu natamami sana hilo andiko! Nakushukuru kwa kushea nasi hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…