Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA TISA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE: Deus alimuhesabia hatua kijana huyu, huku anapapasa eneo lile la mguu na kukamata kisu chake, “nadhani umenisikia vizuri kaka wenzenu washa kufa bado nyie” alisema Deus kumghadhibisha zaidi yule jamaa, “unasemaje we mjinga usinilazimishe nikuuwe” alisema yule jamaa ambae sasa alimfikia Deus na kuvuta mguu wake kisha akapeleka teke la nguvu kuelekea usawa wa ubavu wa Deus, hakika lilikuwa ni kosa kubwa sana kwake, maana hakujuwa kile anachokofanya ndicho Deus alichokihitaji….. …….endelea…. Comment yako na like yako ndio itanifahamisha kuwa hii simulizi kuna watu wanaifuatilia hapa jamii forums, jambo hilo litanipa hamasa ya kupost kwa haraka tofauti na ukikaa kimya no Comment no like itanitia uvivu kwasababu siwezi kujua kama kuna watu wanaoifuatilia... twende pamoja sasa...
Maana kabla hata teke lile halijaufikia ubavu wake, ghafla Deus akaukamata mguu ule kwa mkono wa kushoto na kuufyetua halafu akauvuta kwa haraka na kumfyetua yule jamaa ambae hakuwa amejiandaa kwa tukio lile, na kujikuta akienda hewani mzima mzima na kujibwaga chini, akifuatiwa na mkito wa kisu cha shingo, ambacho hakikusubiri hata sekunde mbili pale shingoni kikachomolewa kwa haraka huku kijana Deus akiinuka kwa uharaka na kupitisha kisu shingoni kwa kijana mwingine aliekuwa amesimama karibu na Deus.


Kisonge pamoja na wenzake wakiwa wameduwaa wasiamini wanachokiona waliweza kuona mmoja kati ya vijana wale akigeuza bunduki yake na kuitumia kama vifimbo au gongo, ambay aliinua juu na kuishusha usawa wa kichwa cha Deus, ambae aliona mapema kitendo kile na kuikwepa ile bunduki huku anazamisha kisu tumboni kwa kijana yule na kukichomolea kwa pembeni akichana sehemu kubwa ya tumbo la kijana huyu, “mpigeni risasi” alisikika Seveline akipiga kelele, wakati huo huo akishuhudia ngumi nzito ikitua usoni kwa Kisonge ambae ilimyumbisha na kumtupa chini, na kabla hajapoa, Seveline mwenyewe akapigwa teke la tumbo lililomtupa mpaka kwenye ukuta wa Don Bosco na kujibwaga chini.


vijana wawili waliobakia, kila mmoja akakoki bukundi yake kwa haraka lakini Deus alikuwa zaidi ya haraka, maana ile mmoja wao anainua bunduki kuelekea kwa Deus, tayari Deus alikuwa ameshamfikia na kuikaata ile bunduki yake akiitazamisha kwa yule mwingine ambae pia alikuwa anaminya trigger kuruhusu risasi itoke.


Ni vitendo pacha, bunduki zote zilitoa risasi kwa pamoja na wale wote wakitandikana risasi bila kutegemea, tukio ambalo Kisonge alilishuhudia kwa macho yake, hakikika lilimtisha na kumuogopesha, maana baada ya vijana wale kupigana risasi na wote kupoteza maisha, Kisonge akamwona Deus akimsogelea Seveline, ambae alipomwona Deus anamsogelea akataka kuinuka na kukimbia, lakini hakufanikiwa hata kusimama, tayari alikuwa amesha fikiwa na Deus, “nadhani kesho utakuwa kwenye vichwa vya habari vya vyombo mbali mbali” alisema Deus na bwana Seveline ambae alijaribu kusema jambo, “Tanzania hauko na roho mbay….” lakini Deus hakumpa nafasi ya kumalizia kauli yake, akazamisha kisu kwenye ubavu wa kushoto wa Seveline ambae alitoa mguno wa maumivu.


Kuona hivyo, Kisonge akaona ni vyema kama hatofanya jambo basi na yeye lazima afe, na ukweli ni kwamba, asingeweza kukimbia mbele ya Deus zaidi ya kutumia ujanja na maarifa, “Safi sana bwana Deus, huyo ndio chanzo cha yote haya, umefanya bien kumuuwa mshenzi, alisema Kisonge huku anasimama na kujifuta vumbi kwenye nguo zake, ungesema ni kweli alikuwa anakimaanisha kile alichokuwa anakisema, “nivyema ukatumia muda huu kuomba msamaha wa dhambi zako kuliko kutumia uongo kuongeza siku za kuishi” alisema Deus kwa sauti yake ya taratibu lakini ya kutisha huku anatembea taratibu kumsogelea kijana huyu.


Hapo Kisonge akaona kuwa mambo ni magumu, akawaza akimbie akaona kuwa hawezi kufikambali mbele ya huyu mwanajeshi toka Tanzania hivyo akawaza apige kelele, akaona kuwa kelele hazito msaidia kitu zaidi zita mpunguzia muda wa kuishi na zitamfanya huyu jamaa amuuwe haraka, hivyo, akaona jambo jema ni kutumia ujanja wa kauli kumlegeza Deus achelewe kumuuwa mpaka polisi au jeshi la serikali litakapo kuja na kumuokoa maana aliamini kuwa mpaka muda huo majeshi yatakuwa njiani kufuata mlio wa mlipuko wa risasi ulikosikika, “papaa sisemi uongo nikweli kabisa, hawa watu walitishia familia yangu, ikabidi niwe nao, lakini leo umeniokoa kabisa” alisema Kisonge kwa sauti ya kuomboleza.


Wakati huo tayari Deus alikuwa amesha mfikia Kisonge, “yaani unadhani nitakuacha licha ya yale yote uliyonifanyia” alisema Deus huku anamshika Kisonge kwa mkonoo wa kushoto na kuvuta kisu kwa nguvu lakini kabla hajakipeleka kwenye ubavu wa Kisonge mara kwa ghafla, wakamulikwa na mwanga mkali wa taa za gari, toka upande wa barabara kuu sambamba na gari lililokuwa linakuja upande wao likiwa umbali wa mita kama mia tatu,l toka pale walipo.


Hapo Kisonge akaachia tabasamu moja pana sana, “haya sasa Mtanzania sasa utajibu makosa yako kwa kuuwa afisa wa MONUSCO” alisema Kisonge huku tabasamu la kebehi na dharau , likiwa bado mdomoni mwake macho yake yakimtazama Deus kuona jinsi atakavyokuwa ameingiwa na wasi wasi na pengine kuanza mipango ya kutoroka.


Lakini kitu cha ajabu Kisonge akamwona Deus ambae bado alikuwa amemshika nae anatabasamu, tabasamu ambalo mwonekano wake ni kama tabasamu la simba, “unamzungumzia afisa wa MONUSCO aliefia katikati ya kundi la waasi…..?” aliuliza Deus, huku anasukuma mkono wake wakulia, ulioshika kisu kwanguvu kwenye ubavu wa Kisonge, ambae alisikia kisu kikipenya kwenye mbavu zake changa za upande wakushoto, alitamani kupiga kelele kuomba msaada, lakini sauti haikuweza kutoka akageuza shingo kutazama gari lililokuwa linakuja kwa speed na sasa lilikuwa limekaribia kuwafikia akashtuka kisu kikichomolewa na kupitishwa shingoni mwake.


Hapo hata yeye hakujuwa nini kilifuatia ila sisi tunaweza kumwona Deus akiachilia mwili wa Kisonge ukianguka na kisha yeye kukimbilia kwenye chochoro iliyopo jirani yake, ambapo ile anatokomea tu, tayari risasi zikaanza kumiminwa pasipo kifikiria madhara ambayo yangewapata wakazi wanyumba za jirani.


Gari lilisimama wakashuka askari wa jeshi la serikali, wasiopungua kumi wote na silaha mbali mbali zikiwepo smg na makombora kipimo cha kati yaani RPG, na kuona jinsi miili ya watu ilivyotapakaa pale chini ikiwa na majeraha makubwa miilini mwao, pamoja na silaha zao, tena marehemu wakiwa na mwonekano wa kijeshi tena wanajeshi watoro ni kutokana na mavazi yao, wawili ambao mmoja alitambuliwa kuwa ni afisa wa MONUSCO pale Goma, hakika ilikuwa inasikitisha sana, hasa kwa tukio kama lile kutokea maeneo ya mjini kama haya.


“msakeni huyo muuwaji mpaka tumpate” alisema mmoja kati ya wale wanajeshi wa jeshi la serikali, yani FARDC, wenyecheo cha major ambae alikuwa ameshuka toka seat ya abiria wa mbele, na bila kuchelewa askari wakatokomea vichochoroni kumsaka kijana yule ambae mwanzo alionekana akikimbia kuingia humo vichochoroni.


Naam msako ulianza kwa kasi na mbwembwe za kila namna, lakini hawakumpata kijana yule, zaidi ya kukuta miili mingine mitatu ya watu wanaofanana na wale, yaani wenye muonekano wa kiaskari watoro, ukiachilia wale wawili ambao mmoja alitabulika kuwa ni mfanyakazi wa MONUSCO.


Msako ulizidi kutanuka, na askari kuongezeka, mpaka kufikia msako wa jiji zima la Goma, taarifa zilifika MONUSCO na baadhi ya maafisa wakaenda kuutambua mwili wa bwana Seveline, pamoja na mtu aliekuwa anatafuta na MONUSCO, kwa uchochezi na mipango ovu, yaani kijana Kisonge hakuna alietambua chanzo cha mauwaji haya ya hovyo, wakapanga kufanya uchunguzi.


Wakati MONUSCO wanaendelea na uchunguzi, huku FARC wakiendelea na msako, masako ambao ulidumu usiku kucha, hata kulipokucha msako uliendelea uchunguzi pia uliendelea.******


Saa tatu asubuhi wakati Deus anasindikizwa na major Felix, kuelekea air port kuchek in, bado waliweza kuwaona FARDC wakizunguka ndani ya mitaa ya jiji la Goma, “Deus umeusika na hili?” aliuliza major Felix aliekaa seat ya mbele ya abiria, huku macho yake ameyaelekeza mbele, walikokuwa wanaelekea, yaani upande liliko lango la kuigilia airport lango maalumu la maafisa wa UN, major Felix alionekana wazi kusikia kile kilichotokea jana usiku, mitaa ya bilele hatua chache toka pale walipo, “ningeidhurumu nafsi kama ningeliacha lipite” alijibu Deus kwa ile sauti yake tulivu, Major Felix akatabasamu kidogo, “kazi mzuri” alisema Felix wakati huo gari linasimama mbele ya lango la airport na wakati huo huo likafunguliwa na askari wa SA ARMY na wao wakaingia.


Deus alifanya taratibu za kiusafiri ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa passport mizigo na mwili kisha akaingia ndani ya ndege kusubiri muda wa kuondoka wakati huu tayari major Felix alikuwa amesha ondoka zake kuelekea makao makuu ya MONUSCO.*******


Felix na dereva wake walienda moja kwa moja mpaka ofisini, ambako alikuta mjadala mzito mkubwa juu ya kilichokea jana usiku, kamanda na maafisa wa usalama wakiumiza vichwa vyao kwa maswali magumu, kwanini bwana Seveline, auwawe katikati ya kundi la waasi na kwanini Kisonge ambae alikuwa ametoweka miezi kadhaa iliyopita nae imekuwaje auwawe na wale waasi, na kwanini muuwaji akuchukuwa silaha wala risasi za waasi.


“inakuwaje kama yule askari mtanzania anahusika na hili?” aliuliza mmoja wa maafisa wa MONUSCO, upande wa jeshi huku anacheka kidogo, ilionyesha alifanya utani kidogo, “inawezekana maana mpaka sasa alieonekana eneo la tukio alikuwa ni kijana mmoja tu” alijibu mwingine na hapo wote wakatulia na kutazamana kana kwambavkuna jambo fulani wanalijadiri vichwani mwao, “hilo lipo wazi kabisa je tunaweza kupata habari kwake?” aliuliza mmoja wao huku anamtazama luten kanal toka Tanzania, ambae mpaka hapo alikuwa anaamini kuwa tayari Deus amesha ondoka congo,maana tayari major Felix ambae alimsindikiza Deus airport alikuwa ameshaingia ukumbini, “mh! sidhani kama atapatikana maana tayari yupo safarini, pia hakuna ushaidi ambao unaonyesha kuwa private Deus Nyati anahusika juu hili, maana jana jioni mpaka tunaenda kulala tulikuwanae” aliejibu ni alikuwa ni major Felix na siyo luten kanal.


Hapo makamanda na maafisa wengine wa UN wakatazama kwa macho ya kushuku ukweli wa maelezo ya major Felix, ila kwa kuwa hawakuwa na ushahidi, hawakuwa na lakufanya juu ya Deus, ambae walikuwa na uwezo wa kumzuwia Deus pale Uganda, yaani Entebe airport na kumleta tena Goma, au kutuma watu wafanye nae mahojiano pale pale Entebe.******


Ukweli nikwamba nusu saa ilikatika Deus akiwa ndani ya ndege anasubiri muda wa kuondoka, ukweli ni kwamba aliingia mapema sana kuliko abiria wengine ambao sasa walianza kuingia mmoja baada ya mwingine kwa kuona kwamba amekaa peke yake muda mrefu akahitaji kuchungulia simu yake, lakini ile anatoa simu tu akaona kuna mtu akisimama pembeni yake, hakushangaa wala kujiuliza maana ndege ile ndogo ina safu mbili tu za viti, kushoto na kulia, na kila safu ina muunganiko wa viti viwili viwili, hivyo yeye akatoa simu yake na kuibofya ili awashe data, “habari yako Deus” ilikuwa ni sauti tamu ya kike, ambayo sio kumshtua Deus ila pia ilimsisimua na kumfanya Deus amtazame msalimiaji, ambapo Deus alijikuta akitoa macho kwa mshangao wa kustaajabu.


“hooo nzuri tu mambo… habari za leo….” alisalimia Deus kwa kubabaika, huku bado ametoa macho kwa mshangao akimtazama usoni msalimiaji mwenye kusisimua, ambae sasa alikuwa anaweka vizuri gauni lake na kukaa kwenye seat ya pembeni ya seat aliyokaa yeye.


Huyo alikuwa ni doctor wakike yule ambae majibu yake siku zote hayajawahi kuwa mazuri kwa Deus, “kwa mara nyingine tena ndani ya ndege seat moja safari ya Uganda” Doctor wakike, huku tabasamu pana likiwa limetawara usoni mwake…….…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA TISA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE: Deus alimuhesabia hatua kijana huyu, huku anapapasa eneo lile la mguu na kukamata kisu chake, “nadhani umenisikia vizuri kaka wenzenu washa kufa bado nyie” alisema Deus kumghadhibisha zaidi yule jamaa, “unasemaje we mjinga usinilazimishe nikuuwe” alisema yule jamaa ambae sasa alimfikia Deus na kuvuta mguu wake kisha akapeleka teke la nguvu kuelekea usawa wa ubavu wa Deus, hakika lilikuwa ni kosa kubwa sana kwake, maana hakujuwa kile anachokofanya ndicho Deus alichokihitaji….. …….endelea…. Comment yako na like yako ndio itanifahamisha kuwa hii simulizi kuna watu wanaifuatilia hapa jamii forums, jambo hilo litanipa hamasa ya kupost kwa haraka tofauti na ukikaa kimya no Comment no like itanitia uvivu kwasababu siwezi kujua kama kuna watu wanaoifuatilia... twende pamoja sasa...
Maana kabla hata teke lile halijaufikia ubavu wake, ghafla Deus akaukamata mguu ule kwa mkono wa kushoto na kuufyetua halafu akauvuta kwa haraka na kumfyetua yule jamaa ambae hakuwa amejiandaa kwa tukio lile, na kujikuta akienda hewani mzima mzima na kujibwaga chini, akifuatiwa na mkito wa kisu cha shingo, ambacho hakikusubiri hata sekunde mbili pale shingoni kikachomolewa kwa haraka huku kijana Deus akiinuka kwa uharaka na kupitisha kisu shingoni kwa kijana mwingine aliekuwa amesimama karibu na Deus.


Kisonge pamoja na wenzake wakiwa wameduwaa wasiamini wanachokiona waliweza kuona mmoja kati ya vijana wale akigeuza bunduki yake na kuitumia kama vifimbo au gongo, ambay aliinua juu na kuishusha usawa wa kichwa cha Deus, ambae aliona mapema kitendo kile na kuikwepa ile bunduki huku anazamisha kisu tumboni kwa kijana yule na kukichomolea kwa pembeni akichana sehemu kubwa ya tumbo la kijana huyu, “mpigeni risasi” alisikika Seveline akipiga kelele, wakati huo huo akishuhudia ngumi nzito ikitua usoni kwa Kisonge ambae ilimyumbisha na kumtupa chini, na kabla hajapoa, Seveline mwenyewe akapigwa teke la tumbo lililomtupa mpaka kwenye ukuta wa Don Bosco na kujibwaga chini.


vijana wawili waliobakia, kila mmoja akakoki bukundi yake kwa haraka lakini Deus alikuwa zaidi ya haraka, maana ile mmoja wao anainua bunduki kuelekea kwa Deus, tayari Deus alikuwa ameshamfikia na kuikaata ile bunduki yake akiitazamisha kwa yule mwingine ambae pia alikuwa anaminya trigger kuruhusu risasi itoke.


Ni vitendo pacha, bunduki zote zilitoa risasi kwa pamoja na wale wote wakitandikana risasi bila kutegemea, tukio ambalo Kisonge alilishuhudia kwa macho yake, hakikika lilimtisha na kumuogopesha, maana baada ya vijana wale kupigana risasi na wote kupoteza maisha, Kisonge akamwona Deus akimsogelea Seveline, ambae alipomwona Deus anamsogelea akataka kuinuka na kukimbia, lakini hakufanikiwa hata kusimama, tayari alikuwa amesha fikiwa na Deus, “nadhani kesho utakuwa kwenye vichwa vya habari vya vyombo mbali mbali” alisema Deus na bwana Seveline ambae alijaribu kusema jambo, “Tanzania hauko na roho mbay….” lakini Deus hakumpa nafasi ya kumalizia kauli yake, akazamisha kisu kwenye ubavu wa kushoto wa Seveline ambae alitoa mguno wa maumivu.


Kuona hivyo, Kisonge akaona ni vyema kama hatofanya jambo basi na yeye lazima afe, na ukweli ni kwamba, asingeweza kukimbia mbele ya Deus zaidi ya kutumia ujanja na maarifa, “Safi sana bwana Deus, huyo ndio chanzo cha yote haya, umefanya bien kumuuwa mshenzi, alisema Kisonge huku anasimama na kujifuta vumbi kwenye nguo zake, ungesema ni kweli alikuwa anakimaanisha kile alichokuwa anakisema, “nivyema ukatumia muda huu kuomba msamaha wa dhambi zako kuliko kutumia uongo kuongeza siku za kuishi” alisema Deus kwa sauti yake ya taratibu lakini ya kutisha huku anatembea taratibu kumsogelea kijana huyu.


Hapo Kisonge akaona kuwa mambo ni magumu, akawaza akimbie akaona kuwa hawezi kufikambali mbele ya huyu mwanajeshi toka Tanzania hivyo akawaza apige kelele, akaona kuwa kelele hazito msaidia kitu zaidi zita mpunguzia muda wa kuishi na zitamfanya huyu jamaa amuuwe haraka, hivyo, akaona jambo jema ni kutumia ujanja wa kauli kumlegeza Deus achelewe kumuuwa mpaka polisi au jeshi la serikali litakapo kuja na kumuokoa maana aliamini kuwa mpaka muda huo majeshi yatakuwa njiani kufuata mlio wa mlipuko wa risasi ulikosikika, “papaa sisemi uongo nikweli kabisa, hawa watu walitishia familia yangu, ikabidi niwe nao, lakini leo umeniokoa kabisa” alisema Kisonge kwa sauti ya kuomboleza.


Wakati huo tayari Deus alikuwa amesha mfikia Kisonge, “yaani unadhani nitakuacha licha ya yale yote uliyonifanyia” alisema Deus huku anamshika Kisonge kwa mkonoo wa kushoto na kuvuta kisu kwa nguvu lakini kabla hajakipeleka kwenye ubavu wa Kisonge mara kwa ghafla, wakamulikwa na mwanga mkali wa taa za gari, toka upande wa barabara kuu sambamba na gari lililokuwa linakuja upande wao likiwa umbali wa mita kama mia tatu,l toka pale walipo.


Hapo Kisonge akaachia tabasamu moja pana sana, “haya sasa Mtanzania sasa utajibu makosa yako kwa kuuwa afisa wa MONUSCO” alisema Kisonge huku tabasamu la kebehi na dharau , likiwa bado mdomoni mwake macho yake yakimtazama Deus kuona jinsi atakavyokuwa ameingiwa na wasi wasi na pengine kuanza mipango ya kutoroka.


Lakini kitu cha ajabu Kisonge akamwona Deus ambae bado alikuwa amemshika nae anatabasamu, tabasamu ambalo mwonekano wake ni kama tabasamu la simba, “unamzungumzia afisa wa MONUSCO aliefia katikati ya kundi la waasi…..?” aliuliza Deus, huku anasukuma mkono wake wakulia, ulioshika kisu kwanguvu kwenye ubavu wa Kisonge, ambae alisikia kisu kikipenya kwenye mbavu zake changa za upande wakushoto, alitamani kupiga kelele kuomba msaada, lakini sauti haikuweza kutoka akageuza shingo kutazama gari lililokuwa linakuja kwa speed na sasa lilikuwa limekaribia kuwafikia akashtuka kisu kikichomolewa na kupitishwa shingoni mwake.


Hapo hata yeye hakujuwa nini kilifuatia ila sisi tunaweza kumwona Deus akiachilia mwili wa Kisonge ukianguka na kisha yeye kukimbilia kwenye chochoro iliyopo jirani yake, ambapo ile anatokomea tu, tayari risasi zikaanza kumiminwa pasipo kifikiria madhara ambayo yangewapata wakazi wanyumba za jirani.


Gari lilisimama wakashuka askari wa jeshi la serikali, wasiopungua kumi wote na silaha mbali mbali zikiwepo smg na makombora kipimo cha kati yaani RPG, na kuona jinsi miili ya watu ilivyotapakaa pale chini ikiwa na majeraha makubwa miilini mwao, pamoja na silaha zao, tena marehemu wakiwa na mwonekano wa kijeshi tena wanajeshi watoro ni kutokana na mavazi yao, wawili ambao mmoja alitambuliwa kuwa ni afisa wa MONUSCO pale Goma, hakika ilikuwa inasikitisha sana, hasa kwa tukio kama lile kutokea maeneo ya mjini kama haya.


“msakeni huyo muuwaji mpaka tumpate” alisema mmoja kati ya wale wanajeshi wa jeshi la serikali, yani FARDC, wenyecheo cha major ambae alikuwa ameshuka toka seat ya abiria wa mbele, na bila kuchelewa askari wakatokomea vichochoroni kumsaka kijana yule ambae mwanzo alionekana akikimbia kuingia humo vichochoroni.


Naam msako ulianza kwa kasi na mbwembwe za kila namna, lakini hawakumpata kijana yule, zaidi ya kukuta miili mingine mitatu ya watu wanaofanana na wale, yaani wenye muonekano wa kiaskari watoro, ukiachilia wale wawili ambao mmoja alitabulika kuwa ni mfanyakazi wa MONUSCO.


Msako ulizidi kutanuka, na askari kuongezeka, mpaka kufikia msako wa jiji zima la Goma, taarifa zilifika MONUSCO na baadhi ya maafisa wakaenda kuutambua mwili wa bwana Seveline, pamoja na mtu aliekuwa anatafuta na MONUSCO, kwa uchochezi na mipango ovu, yaani kijana Kisonge hakuna alietambua chanzo cha mauwaji haya ya hovyo, wakapanga kufanya uchunguzi.


Wakati MONUSCO wanaendelea na uchunguzi, huku FARC wakiendelea na msako, masako ambao ulidumu usiku kucha, hata kulipokucha msako uliendelea uchunguzi pia uliendelea.******


Saa tatu asubuhi wakati Deus anasindikizwa na major Felix, kuelekea air port kuchek in, bado waliweza kuwaona FARDC wakizunguka ndani ya mitaa ya jiji la Goma, “Deus umeusika na hili?” aliuliza major Felix aliekaa seat ya mbele ya abiria, huku macho yake ameyaelekeza mbele, walikokuwa wanaelekea, yaani upande liliko lango la kuigilia airport lango maalumu la maafisa wa UN, major Felix alionekana wazi kusikia kile kilichotokea jana usiku, mitaa ya bilele hatua chache toka pale walipo, “ningeidhurumu nafsi kama ningeliacha lipite” alijibu Deus kwa ile sauti yake tulivu, Major Felix akatabasamu kidogo, “kazi mzuri” alisema Felix wakati huo gari linasimama mbele ya lango la airport na wakati huo huo likafunguliwa na askari wa SA ARMY na wao wakaingia.


Deus alifanya taratibu za kiusafiri ikiwa ni pamoja na ukaguzi wa passport mizigo na mwili kisha akaingia ndani ya ndege kusubiri muda wa kuondoka wakati huu tayari major Felix alikuwa amesha ondoka zake kuelekea makao makuu ya MONUSCO.*******


Felix na dereva wake walienda moja kwa moja mpaka ofisini, ambako alikuta mjadala mzito mkubwa juu ya kilichokea jana usiku, kamanda na maafisa wa usalama wakiumiza vichwa vyao kwa maswali magumu, kwanini bwana Seveline, auwawe katikati ya kundi la waasi na kwanini Kisonge ambae alikuwa ametoweka miezi kadhaa iliyopita nae imekuwaje auwawe na wale waasi, na kwanini muuwaji akuchukuwa silaha wala risasi za waasi.


“inakuwaje kama yule askari mtanzania anahusika na hili?” aliuliza mmoja wa maafisa wa MONUSCO, upande wa jeshi huku anacheka kidogo, ilionyesha alifanya utani kidogo, “inawezekana maana mpaka sasa alieonekana eneo la tukio alikuwa ni kijana mmoja tu” alijibu mwingine na hapo wote wakatulia na kutazamana kana kwambavkuna jambo fulani wanalijadiri vichwani mwao, “hilo lipo wazi kabisa je tunaweza kupata habari kwake?” aliuliza mmoja wao huku anamtazama luten kanal toka Tanzania, ambae mpaka hapo alikuwa anaamini kuwa tayari Deus amesha ondoka congo,maana tayari major Felix ambae alimsindikiza Deus airport alikuwa ameshaingia ukumbini, “mh! sidhani kama atapatikana maana tayari yupo safarini, pia hakuna ushaidi ambao unaonyesha kuwa private Deus Nyati anahusika juu hili, maana jana jioni mpaka tunaenda kulala tulikuwanae” aliejibu ni alikuwa ni major Felix na siyo luten kanal.


Hapo makamanda na maafisa wengine wa UN wakatazama kwa macho ya kushuku ukweli wa maelezo ya major Felix, ila kwa kuwa hawakuwa na ushahidi, hawakuwa na lakufanya juu ya Deus, ambae walikuwa na uwezo wa kumzuwia Deus pale Uganda, yaani Entebe airport na kumleta tena Goma, au kutuma watu wafanye nae mahojiano pale pale Entebe.******


Ukweli nikwamba nusu saa ilikatika Deus akiwa ndani ya ndege anasubiri muda wa kuondoka, ukweli ni kwamba aliingia mapema sana kuliko abiria wengine ambao sasa walianza kuingia mmoja baada ya mwingine kwa kuona kwamba amekaa peke yake muda mrefu akahitaji kuchungulia simu yake, lakini ile anatoa simu tu akaona kuna mtu akisimama pembeni yake, hakushangaa wala kujiuliza maana ndege ile ndogo ina safu mbili tu za viti, kushoto na kulia, na kila safu ina muunganiko wa viti viwili viwili, hivyo yeye akatoa simu yake na kuibofya ili awashe data, “habari yako Deus” ilikuwa ni sauti tamu ya kike, ambayo sio kumshtua Deus ila pia ilimsisimua na kumfanya Deus amtazame msalimiaji, ambapo Deus alijikuta akitoa macho kwa mshangao wa kustaajabu.


“hooo nzuri tu mambo… habari za leo….” alisalimia Deus kwa kubabaika, huku bado ametoa macho kwa mshangao akimtazama usoni msalimiaji mwenye kusisimua, ambae sasa alikuwa anaweka vizuri gauni lake na kukaa kwenye seat ya pembeni ya seat aliyokaa yeye.


Huyo alikuwa ni doctor wakike yule ambae majibu yake siku zote hayajawahi kuwa mazuri kwa Deus, “kwa mara nyingine tena ndani ya ndege seat moja safari ya Uganda” Doctor wakike, huku tabasamu pana likiwa limetawara usoni mwake…….…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
Tunafatilia mkuu
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA HAMSINI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA TISA: Huyo alikuwa ni doctor wakike, yule ambae majibu yake sikuzote ayajawai kuwa mazuri kwa Deus, “kwamala nyingine tena, nani ya ndege, seat moja, safari ya Uganda” Doctor wakike, huku tabasamu pana likiwa limetawara usoni mwake…….…….endelea….
Comment yako na like yako ndio itanifahamisha kuwa hii simulizi kuna watu wanaifuatilia hapa jamii forums, jambo hilo litanipa hamasa ya kupost kwa haraka tofauti na ukikaa kimya no Comment no like itanitia uvivu kwasababu siwezi kujua kama kuna watu wanaoifuatilia... twende pamoja sasa...


Si tu Deus hakujuwa ajibu nini, ila pia hakupata nafasi ya kutoa jibu lolote, tangazo likapita, “fungeni mikanda, tayari kuanza safari” alitangaza muhudumu wa kike ndani ya ile ndege ndogo ya abiria thelathini na tano, Deus hakuchelewa akashika mkanda wake na kujifunga kama wenzake walivyofanya “askari bwana Deus, kumbe tupo safari moja?” ilisikika sauti ya kiume yenye lafudhi ya watu toka kenye, toka seat ya nyuma yao, Deus akageuka na kutazama nyuma na kuwaona wale madoctor wawili wakiume, “hooo! doctor kumbe mpo pamoja” alsema Deus, akijihisi uchangamfu sasa, hasa baada ya kuwaona watu anaowafahamu mle ndani ya ndege, japo alikuwa na mtihani mkubwa sana, kukaa seat moja na na huyu doctor wa kike kwa dakika arobaini na tano atakazokuwa safarini kuelekea Entebe.


“ndiyo bwana askari, na sisi tumesha maliza mkataba” alisema doctor toka Burundi, na yule wa kenya akadakia, “tulisikia habari yako kuwa unaondoka leo na tupo kwenye ndege moja, ndio maana hatukukutafuta jana, tulijuwa tutakutana tu” alisema yule doctor toka Kenya na wakati huo ndege ilikuwa inaanza kutembea taratibu, kutoka sehemu ya kuchukulia abiria na kuelekea kwenye running way “njia za kukimbilia kwaajili ya kuruka.


Ile kusikia kuwa wamesikia habari zake, Deus akaingiwa na unyonge kiasi flani na kupoa kidogo, japo toka siku iliyopita alijuwa kuwa hawa jamaa wanajuwa kilicho mtokea, lakini alikuwa hajui wanaamini nini, kwamba akasingiziwa au ni kweli alikuwa na nia ya kubaka.


Kilifwatia kimya kirefu, ambacho kilikoma baada ya ndege kupaa angani na kuchukuwa usawa wa unganda huku wakikatiza juu ya ziwa Kivu na milima ya Tsake, kisha kuingia kwenye anga la Rwanda huku kila mmoja akiwaza la kwake, ukiachilia Deus alievalia mavazi ya kiraia, tofauti na wakatiule anakuja Congo, aliekuwa anaomba safari ifike haraka aondokane na mschana huyu, ambae uzuri wake hakika una mchanganya, lakini kwake ingekuwa vigumu kufaidika au kufaidi uzuri wa mschana huyu ni kama mtu aliekatika funga anapoona chakula kizuri saa saba mchana.


Wengine walikuwa wanawaza na kusikilizia jinsi ndege ilivyokuwa ina elea angani, wakiombea pasitokee tatizo lolote, wakati ndege hiyo ikiwa angani, tofauti wengine doctor wakike hatujuwi alikuwa anawaza nini, ila mara kwa mara alikuwa anamtazama Deus, alieonekana kuwa mtulivu, huku macho yake akiyaelekeza dirishani, kwa maana ya kuangalia nchi ya Rwanda na viunga vyake, hapo Doctor wa kike anajitabasamulia mwenyewe na kutazama mbele, leo akuwa ameshika kitabu kama kawaida yake, ila mkononi alikuwa na mkoba mdogo kama ile ambayo wanawake wengi hupenda kuibeba, yaani hand bag.


Wakati safari inaendelea kimya kimya, mara ukimya ukavunjwa, “sasa askari ni vyema ukikamata hii, itakuwa kama kumbu kumbu yangu kwako” alisema doctor toka Kenya huku anagusa bega Deus ambae aligeuka na kutazama kile anachopewa, “akakutana na box, lenye upana wa centi meter kumi na tano kwa saba, ambalo usingehitaji miwani kutambua kuwa simu ya kisasa ilikuwa ndani yake, ambalo lilikuwa limeshikwa na doctor huyo toka Kenya, “unamaanisha ni ya kwangu?” aliuliza Deus kwa sauti tulivu, yenye dalili ya mshangao, “yes pamoja na hii, nadhani itafaa sana kujipongeza baada ya kazi ngumu” alisema doctor toka Kenya, huku anampatia bahasha ndogo ya kaki ambayo ilikuwa na ujazo flani ambao usingejiuliza mara mbili kilichopo ndani kuwa ni fedha.


Deus akashangaa kidogo, huku tabasamu likiangaza usoni mwake, nadhani sasa unaweza kupokea na hii” alisema dctor toka Burundi, ambae alikuwa ameshika bahasha ndogo kama ya mwenzie, pamoja na box dogo lakini lenye utofauti na lile la mwenzie, hili lilikuwa lina rangi ya dhahabu na picha ya saa moja nzuri ya kifahari yenye rangi ya dhahabu pia, “asanteni sana kaka, lakini hii yote ni kwaajili gani?” aliuliza Deus kwa mshangao, huku akiwatazama kwa zamu, “kaka msaada uliotufanyia wakati ule ni mkubwa sana, ni vigumu sana kukusahau” alisema doctor toka Burundi wakati huo doctor wakike alikuwa kimya anawasikiliza tu, japo mara chache alikuwa anawatazama na kutabasamu, kimya kimya, lakini hakuonyesha dalili ya kusema asante kwa Deus.


“lakini nilikuwa katika jukumu langu, na sasa sina chakuwapa kama kumbu kumbu” alisema Deus kwa sauti tulivu, iliyojaa simanzi, “usijari Deus, kwa tukio lile ni kumbu kumbu tosha na kubwa sana, zaidi tutaomba picha ya pamoja ili tuweze kuonyesha kwa ndugu zetu ambao wanahamu ya kukuona” alisema Doctor Burundi, kauri ambayo ili mfanya Deus ajisikie furaha isio na kifani, kwamba kuna watu wameona jambo jema alilo lifanya.


Naam dakika arobaini na tano baadae, ndege ilitua kwenye uwanja wa ndege wa Entebe uliopo mita chache sana toka ziwa Victoria, na wale madoctor wawili wakaungana na Deus na kupiga picha za pamoja, pale kwenye eneo la uwanja wandege huku doctor wakike akiondoka zake na kutokomea kwenye jengo la mapokezi la uwanja wa ndege.


Baada ya kumaliza kupiga picha, Deus na madoctor wakaagana na wale madoctor wawili kila mmoja akaingia kwenye usafiri wake na kuelekea nchini kwake, yaani ndege za mashirika ya nchi zao, huku Deus akienda mapokezi, kusubiri Ethiopia airline ambayo ilikuwa inatoka England kuelekea Tanzania, ambayo alisha fanyiwa booking kwaajili ya kupatiwa tiketi, ambayo sasa alikuwa anaenda kuilipia.


Deus akiwa na begi lake kubwa la mgongoni, alitembea taratibu kuelekea kwenye jengo la mapokezi, alikuwa anawaza namna atakavyoenda kukabiliana na mashitaka ya kuliharibia sifa jeshi na taifa kwa ujumla, ambapo adhabu yake ingekuwa ni kifungo cha miezi mitatu au kufukuzwa kazi au adhabu zote mbili kwa pamoja, ni kosa kubwa sana kutenda kosa lolote katika operation, “sijuwi nitafanya biashara gani” alijiuliza Deus huku anatembea taratibu kuufuata mlango wa kuingilia kwenye jengo la mapokezi, “au nitatafuta kazi gani” alijiuliza Deus, huku anavuka kizingiti cha mlango na kuingia ndani ya jengo hilo la mapokezi na moja kwa moja akaelekea kwenye dirisha la kampuni ya Ethiopia air line, ambapo alimkuta mschana mmoja mrembo mwenye rangi nyeusi sana mwenyeji wa nchi hii ya Uganda.


Deus alisalimia na kujitambulisha na kuulizia booking yake, “hooo samahani, umelipiwa tiketi ya kesho saa nne tumeuza tiket yako kwa dharula, kuna mgonjwa anapelekwa Tanzania kwa matibabu katika hospital ya taifa Muhimbili, hivyo utatakiwa kulala hapa mpaka kesho ambapo kuna ndege nyingine ya saa nane mchana” alisema yule mchana wa mapokezi.


Na hapo Deus nikama aliishiwa pose, maana huo hakuwa mpango wasafari yake, “inawezekanaje UN wakafanya mambo kienyeji namna hii”, aliwaza Deus akitilia shaka jambo lile, “au kuna mpango mwingine wa Nallu kuni angamiza endapo nitakaa hapa kwa muda ambao wameukadiria” aliwaza Deus huku anageuka kuangalia Dirisha jingine, ambalo lingekuwa la kampuni ya ndege ambazo zinafanya safari Tanzania, kama vile Kenya, air ways
Kweli alifanikiwa kuona dirisha la kampuni hiyo, iliyopo katika nchi mwanachana wa EAC East Africa Community, kwamaana ya jumuiya ya Africa mashariki, lakini tatizo moja kubwa nikwamba ubao wa ratiba wa ndege za shirika hilo, ulikuwa unaonyesha kuwa ndege ya mwisho iliondoka saa sita na robo na ndege ijayo itaondoka saa mbili asubuhi siku inayofwata.


Deus akiwa amekata tamaa, akazunguzasha kichwa, kutazama kama angeona bango la kampuni yoyote ambayo ndege yake itaondoka siku ile, lakini ile anageuka akajikuta ana shtuka ghafla ni baada ya kuona kitu ambacho japo si ajabu kuona, kutokana na mazingira lakini hakutarajia kwa wakati ule.


Maana alimuona yule doctor wa kike akiwa amesimama mbele yake anamtazama kwa macho na uso uliojaa tabasamu, “sidhani kama una haraka sana ya kwenda Tanzania, wakati bado sija kuambia asante” ilikuwa ni sauti tamu ya kike, sauti tulivu iliyojaa upole na sura yenye wingi wa tabasamu, tabasamu ambalo siyo tu lilimfanya mschana huyo, ambae ni yule yule doctor wakike mschana wa kihabeshi toka nchini Ethiopia, “doctor sidhani kama ni wewe ndie uliezuwia safari yangu, maana hakuna kinachokufanya ufanye hivyo” alisema Deus, ambae alimtilia shaka mschana huyo kuhusika na uzuiaji wa safari yake, “ningekuwa mtu mbaya zaidi ya unavyo nifikiria kama ningekuacha uende” alisema yule mshana ambae hakuonekana na yale mabegi yake, zaidi ya mkoba mdogo alioushika mkononi, “lakini huhitaji dakika tano kusema asante doctor, ningeweza kuwahi ndege” alisema Deus, kwa sauti tulivu “sidhani kama ni asante ya dakika tano, ni asante ya usiku mzima, maana uliyonifanyia ni makubwa zaidi ya neno asante” alisema doctor wa kike huku anamsogelea Deus na kumshika mkono, kisha akaanza kumuongoza kutoka nje.


Deus akiwa anashangaa na kutaka kuuliza jambo, doctor akamuambia, “ukiachilia sante yangu, pia kuna mtu anataka akuone na kukuambia asante kwaajili yangu” alisema mschana huyo, ambae mpaka dakika hiyo bado Deusi hakuwa anamfahamu kwa jina, zaidi ya doctor wa kike, huku wanatembea taratibu kutoka nje ya jengo lile, “mpango wako ni upi doctor?” aliuliza Deus, kwa sauti yenye kutilia shaka, akionyesha wazi kuwa bado hajaamini kile anachokisema yule doctor wakike, “niite Neela, jina ambalo ulipenda kulisikia toka siku ya kwanza” alisema doctor wakike, huku wakitoka nje na kuelekea kwenye gari moja aina ya mercides benzi jeusi la kifahari, lililokuwa limesimama mita khamsini upande wakulia wa jengo lile….…….…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA SITA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
ILIPOISHIA SEHEMU YA TANO: Naam barabara ya bagamoyo, mtaa wa tegeta, njia pnda ya kwasharifu, linaonekana gari moja jeusi aina ya ford ranger likiwa limesimama pembeni ya barabara hiyo, huku mtu mmoja, mwenye mwonekano wa miaka 40, akiwa amesimama ubavuni mwa gari ilo, huku uso wake, ukionekana kujawa na mashaka mengi, mara kwa mara alikuwa anatazama saa yake, na kisha kutazama upande wa mjini, ni wazi alikuwa anatarajia kuona mtu au gari likitokea upande huo…..
“baba Zamda, umesema Zamda analetwa, sasa mbona simwoni mwanangu” ilikuwa ni sauti ya kike toka ndani yagari, iliyoambatana na kilio cha chini chini, “mama Zam we tulia, ata mimi nina wasi wasi juu ya binti yetu, lakini bosco, amesema yule kijana alie mpigia simu, lazima atarudi na Zamda, ilimradi tu tumkabidhi fedha yake” alisema yule mzee ambae sasa tuna gundua kuwa ndie mzee Simba, yani baba yake Zamda, “kwakweli baba Zamda kama mtoto hatorudi ninaenda kukutolea taarifa kituo cha polisi, na kwenye vyombo vya habari, ilimradi wewe na wenzako wote mkamatwe na mwangu nimpate, nilikuambia achana na hiyo biashra ya dawa za kulevya, tafuta biashara nyingine, lakini wewe hukunisikia” aliendela kulalamika mwanamke alie kuwa ndani yagari.


Hapo Mzee Simba akaachia msonyo mrefu, “lakini hizi fedha ndizo tulizo, mtibia mama yako, na hizi ndizo zinazotufanya tuishi vizuri, halafu nani kakuambia unaweza kuacha ghafla hivyo, unazani wangeniacha hai wakina Songoro?” aliuliza bwana Simba, kwa sauti ya ukali kidogo, na hapo akasikia sauti ya kilio kikiongezeka toka ndani yagari, “sijuwi mwanangu wanamfanyaje huk jamani” hakika ilitia huruma na kuchukiza kwa wakati mmoja.


Lakini kabla hata mzee Simba ajaongea neno lolote, mara wakaliona gari aina BMW 7, likija na kusimama karibu kabisa na gari lake, kisha milango miliwi ya gari ikafunguliwa, hapo mzee Simba akamwona binti yake akiwa anatoka kwenye gari, huku amevikwa shuka kwa mtindo wa kuviligwa mwilini mwake, “mwanangu upo salama kweli” aliuliza mzee Simba, huku anamtazama binti yake kwa macho ya ukaguzi, na swali ilo ndilo lilo mshtua mke wake, ambae alichomoka ndani gari kwa speed ya haraka, usingesema kuwa ndie alikuwa amezimia masaa kadhaa yaliyopita, “jamani mwanangu, hawajakuumiza kweli” alisema mama Zamda huku anamkumbatia binti yao, huku wote wakilia kwa furaha, muda wote kijana wetu derva ambae bado atuja mfahamu kwa jina, akiwatazama kwa macho ya kuvutiwa na tukio lile, “hapana mama, hawajanifanya chochote, dereva aliwai kabla ajanifanya” alisema Zamda huku wote wawili, yani yeye na mama yake wanageuka kumtazama kijana huyu mwenye sura ya upole, ambae mara baada ya macho yao kukutana anatabasamu kidogo.


Hapo Mzee Simba nae akakumbuka anachotakiwa kufanya, hivyo ana fungua mlango wa nyuma wa gari ili, na kutoa begi, “kijana kuna zaidi ya million hamsini, ni za kwako, sina muda wakusubiri wacha nikimbie mji” alisema mzee Simba, huku anampatia begi dereva, ambae alilipokea na pasipo kuongea neno, akalifungua lile begi na, kuchukuwa bunda moja la noti za elfu kumi kumi, na kukagua, kisha akapapasa mabunda mengine, alafu akamtazama mzee Simba, “sikunyingine tukutane kwa yale yaliyomema, siyo kuuza mtoto kwa dawa za kulevya, nitakuwa wa kwanza kukuadhibu” alisema Dereva kisha akamtazama Zamda ambae bado alikuwa ameshikana na mama yake wakimtazama, “nawatakia safari nje, kaeni mbali na watu wale” alisema Dereva kisha akaingia kwenye gari na kuondoka zake, huku akimwacha mzee samba na familia yake wakiingia ndani yagari na kuondoka zao pia, wakati Dereva anageuza gari kurudi mjini, mzee simba alikuwa anaelekea upande wa bagamoyo.*******


Msako ulishika kasi ndani ya jiji la dar es salaam, polisi walizagaa jiji zima, na vitongoji vyake, wakilisaka gari jeusi aina ya BMW, ambayo waliyaona mengi sana, lakini siyo kama lile lililotajwa, na hata dereva hakuwa kama yule waliyoelekezwa, maana pengine wangekuta BMW 3 au 1, tena anaendesha mtu mzima, au kijana mnene au mfupi, pengine mweupe sana, au mweusi sana, au wakati mwingine wange mkuta anaendesha mwanamke.


Lakini msako huo wenye faida kwa askari wajeshi la polisi, haukukoma, uliendelea kushika kasi, huku raia wazurulaji na wachelewaji wa kurudi nyumbani, wakikumbana na dhahama ya polisi hao, ambao walijipatia fedha toka kwa wazurulaji, ambao walilazimika kutoa chochote, ili wasipelekwe mahabusu, ambako kutoka kwake ni gharama kubwa zaidi, wakati huo taarifa zikizidi kusambaa kwenye kamandi nyingine za mikoa ya kipolisi ambayo iliundwa kwa mtindo wa kanda, katika pande kuu nne, yani kaskazini, kusini, mashariki na magharibi, yani pande za temeke, mbezi ya kimara, upende wa ilala, na upande wa mwenge mpaka tegeta.


Taarifa hizo zilifanya askari wengi zaidi waigie barabarani, na kuendeleza msako, wa BMW jeusi, huku wakielezwa kwamba, dereva wa gari ilo ni mtu hatari sana, na askari wanapaswa kuwa makini sana watakapo kabiliana nae, huku akitajiwa kuwa mtu hatari.*******


Usiku huo huo linaonekana gari aina ya Toyota Wish, likiingia Kinyerezi mwisho, kutokea mbezi, kupitia malamba mawili, linaishana na polisi wengi njiani, na linapofika stendi ya kinyerezi, lina ingia upande wa kushoto, na kufwata barabara ya vumbi inayopita chini ya nguzo kuu za umeme, mpaka linapofika mtaa mpya wa njia panda, ambapo linaenda moja kwa moja kwenye lango la uzio mkubwa wa kuta, wenye vitu mbali mbali vya usalama, yani waya wa umeme, na camera za ulinzi.


Licha ya kuwa na vitu vya usalama kama hivyo lakini inashangaza kuona lango la uzio huu likiwa wazi, pasipo mlinzi wala mtu yoyote, na cha kushangaza zaidi ungeweza kuona jumba kubwa la kifahari, ambalo kwa majumba ya kifamilia kwa hapa dar es salaam, ningeweza kusema ni moja kati ya majumba machache yanayoweza kumilikiwa na watu bnafsi, lakini hapa kuwa na umeme wala kandiri, kwa maana hiyo, palikuwa na giza nene la kutisha.


Gari linaingia ndani kwa mwendo wa taratibu sana, dereva akionekana kuwa katika umakini wa hali ya juu, na kwenda kusimama mbele ya jumba hilo la kifahari, huku taa za gari lile likimulika magari jumba lile, ambalo alikuonyesha dalili ya kuwepo kwa watu ndani.


Pasipo kuzima gari wala taa, mlango wa dereva unafunguliwa, kisha anashuka mwanamke mmoja mrembo sana, alie kuwa anaongea na simu, mwenye urefu wa wastani umbo la kuvutia, lenye kila kitu ambacho wanaume wengi utamani kuona kwa mwanamke, pengine ata wanawanawake wenye kutamani kuwa navyo, yani ukiachia sura nzuri aliyokuwa nayo maschana huyu, alie valia suruali nyeusi ya kitambaa chepesi, na shati fupi jeupe, chini akimaliza kwa kiatu cha mikanda chenye unyayo msawazisho yani flat, lakini pia alikuwa na umbo moja matata sana, yani hips pana za wastani, makalio yenye ukubwa wa wastani, na tumbo dogo, lililobebwa na kiuno uzuri cha kufaria nguo yoyote ikaonekana, kifua kilicho beba maziwa yaliyo chaa vyema, na chuchu za kutoboa sidilia, na mbaya zaidi ukiachilia usowake wa duara la yai, mcho makubwa kiasi, pua ya kisomari, lips pana za kulambia vanilla, pia alikuwa na kijimwanya flani, kwenye meno yake ya juu, na tatizo jingine, alikuwa anajisi sima flani kwenye mashavu yake, ambayo kuviona kwake ni mpaka acheke au atabasamu, na wakati mwingine akiwa anakula,


Mschana huyu anatazama ile nyumba kubwa ya kifahari kwa mshangao, huku simu yake bado ikiwa sikioni, “samahani J nitakupigia baadae maana hapa nyumbani hata sipaelewi, yani geti lipo wazi hakuna umeme, wala dalili ya kuwepo mtu” alisema yule mwanamke na kukata simu, kisha akapekuwa namba nyingine ambayo ilikuwa imeandikwa baba, anaipiga lakini haipatikani, ana piga nyingine iliyoandikwa mama, nayo haipatikani, ana jaribu ya dada wakazi, nayo ikaita bila kupokelewa, geukia gari na kuinama kwaajili ya kuchukuwa kitu flani ndani, hapo ungweza kuona jinsi msambwanda wake wakuvutia ulivyoonekana kwa nyuma.


Yule mschana anashika koti moja jeupe la kidoctor lililokuwepo kwenye seat ya gari, na kuanza kulipekuwa kidogo, lakini niwazi alikosa anachokiitaji, anahamia kwenye mkebe wa dash board na kuanza kupekuwa, hapo tunaweza kuona vitu kadhaa, kikiwepo kitambulisho, cha kazi, chenye jina la dr Veronica James Carvine, anapekuwa kwenye ule mkebe na kutoka na tochi ndogo, anajaribu kwa kuiwasha, inatoa mwanga wa kuridhisha, anatoka nakuegesha mlango wagari, ambalo bado lilikuwa linaendelea kuunguruma, yeye akaanza kuelekea kwenye jumba kubwa tena kwa mwendo wa tahadhari. endelea kufwatilia mkasa huu wa #NYUMA_YA_MLANGO_WA_ADUI, inayo kujia hapa hapa, jamii forums
Leta vitu kaka mzigo mkariii
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI: ambae mpaka dakika hiyo bado Deusi hakuwa anamfahamu kwa jina zaidi ya doctor wa kike, huku wanatebea taratibu kutoka nje ya jengo lile, “mpango wako ni upi doctor?” aliuliza Deus, kwa sauti yenye kutilia shaka, akionyesha wazi kuwa bado hajaamini kile anachokisema yule doctor wakike, “niite Neela, jina ambalo ulipenda kulisikia toka siku ya kwanza” alisema doctor wakike, huku wakitoka nje na kuelekea kwenye gari moja aina ya mercides benzi jeusi la kifahari, lililokuwa limesimama mita hamsini upande wakulia wa jengo lile….…….…….endelea….


Ambapo alionekana kijana mmoja alievalia suruali na viatu vyeusi na shati jeupe, akiwa amesimama pembeni ya gari lile, akiwatazama kama vile anawasubiri wao, “samahani Doctor Neela, unadhani ni rahisi mimi kwenda sehemu ambayo siifahamu” aliuliza Deus kwa sauti tulivu iliyojaa upole, hapo Doctor Neela alisimama na kumgeukia Deus, ambae pia alisimama na wote wakatazamana, huku mwanadada Neela akionekana kuwa mwenye tabasamu usoni, “nadhani unahitaji kupumzika mpaka kesho, utakapo pata ndege ya Tanzania, hivyo unahitaji hotel nzuri inayoendana na hadhi yako, na mimi ndie mwenyeji wako, nitasimamia kila kitu” alisema Neela mschana mrembo kweli kweli, kisha akageuka na kuendelea kutembea kuelekea kule liliko gari lile la kifahari.


Deus akiwa bado hajaelewa nini kinaendelea, akamfwata mschana huyo, ambae alionekana kujawa na tabasamu mwanana, tofauti na sikuzote alizowahi kukutana nae, mpaka walipolifikia gari na yule kijana akafungua milango pamoja na kumpokea begi Deus, akaliweka kwenye boti, ambako kulikuwa na mizigo mingine ya Doctor Neela, kisha wakaigia ndani ya gari na wakaingia kwenye gari wakikaa kwenye seat za nyuma, safari ikaanza kuondoka eneo lile la Entebe Air Port, wakipita pembezo mwa ukuta wa uwanjwa wa ndege, uliupo kushoto kwao, huku kulia kwao kukiwa na mwambao wa ziwa Victoria na kuingia kijiji cha wakombozi, kijiji ambacho, idadi kubwa ya wakazi wake ni zao la askari wa Tanzania walioshiriki vita vya kagera.


Safari ilikuwa ya taratibu ikitawaliwa na ukimya, pengine kila mmoja alikuwa anawaza la kwake, huku kila mmoja kwa wakati wake akimtazama mwenzie kwa macho ya wizi, japo kuna wakati macho yao yalikutana na kujikuta wakitabasamuliana.


Naam walikatiza Ukombozi na kuikamata Kampala Road, yaani barabara kuu ya kuelekea jiji la Kampala, wakikatiza Katoro, ambapo waliipita shule ya sekondari ya Entebe mpaka Nyakaselo state house, safari ikaendelea kimya kimya, kuelekea upande wa Kampala, muda wote alichokiwaza Deus wakati huo ni juu ya wapi anapelekwa na mschana huyu mrembo wakihabeshi, kumbuka muda wote wote huo hakukumbuka kuwasha data wala kuwasiliana na pacha wake, ambae alikuwa ana amini kuwa ni mwanafunzi wa chuo cha biashara huko Mbeya.******


Naam Siku ya leo mida hii huko #Mbogo_land, maeneo ya jirani na Golden House, yaani kwenye majengo ya ofisi za mawaziri, palionekana tulivu kama ilivyo desturi yake, ukiachilia walinzi wa eneo hili walio onekana pale nje ya majengo ya ofisi za wizara mbali mbali, hapakuwa na mtu mwingine aliezagaa hovypo, pengine ungemwona akiingia pale au kutoka, pengine kwa gari au kwa mguu.


Ndani ya ofisi ya waziri ulinzi na usalama wa nchi ya #mbogo_land, alionekana wiziri Dickson Chitopelah ambae ni waziri wa wizara hiyo kubwa na muhimu katika nchi hiyo ya kifalme, akiwa anatazama jarida flani, lenye picha nyingi za silaha mbali mbali, kubwa na ndogo pamoja na mabomu ya kutupa kwa mkono, na yale ya kutegwa chini na juu ya ardhi, “mzigo ukishuka huu, nchi tunaichukuwa kiulaini kabisa” alijisemea waziri Chitopelah huku anafunua kurasa nyingine ya jarida hilo, lililoandaliwa kwa matangazo na kampuni moja kubwa ya huko china, “fedha za kulipia usafiri zinatakiwa haraka sana” alijisemea tena Chitopelah, huku anaendelea kutazama jarida lile huku kichwani mwake akijuwa fika kuwa fedha ni kikwazo katika mpango wake ule wa kuingiza silaha nchini #mbogo_land, “bilioni kumi, siyo kitu rahisi, nadhani sasa niwakati wa kumtumia bwana James Carvin” aliwaza Chitopelah, ambae jambo hilo lilikuwa muhimu sana kwake, “wajinga wote nilisha waondoa duniani, Frank anabahati alikimbia” alijisemea Chitopelah, ambae nchi ilikuwa inamchukulia kama kiongozi muaminifu.


Lakini wakati waziri Chitopelah anaendelea na ukaguzi wake wa silaha mara akasikia mlango ukigongwa, akafunika jarida haraka, “ingia” alisema Chitopelah, huku anapeleka macho mlangoni, kumtazama anaeingia.


Mlango ukafunguliwa na akatokea mchana mmoja alie valia vazi nadhifu la kiofisi, yaani shati jeupe na skert ndefu nyeusi na viatu vyeusi vya kutumbukiza, japo vilikuwa na visigino virefu, ambae aliinamisha kichwa chake huku anaweka mkono mmoja kifuani, “mheshimiwa kuna ujumbe wako toka Nyumba ya dhahabu” aliongea mschana huyo wa kati ya umri wa miaka 27 kwa sauti tulivu iliyojaa unyenyekevu, “ujumbe gani huo? toka kwa nani?” aliuliza waziri Chitopelah, ambae alikuwa anajuwa fika kuwa mtu anae weza kumwita sehemu hiyo ni mfalme peke yake, “ni mtukufu mfalme mwenyewe nusu saa ijayo anahitaji uwe ndani ya ofisi yake, ana kikao na wewe” huyo msemaji alikuwa ni katibu wake, yani secretary, ambae alipomaliza kusema hayo akageuka nakutoka nje ya ofisi ile.


Hakika japo halikuwa la ajabu sana kwa yeye kuitwa na mfalme, lakini safari hii nikama ilimshtua sana Chitopelah, ambae alitulia kama dakika tano nzima akiwaza anaitiwa nini Golden House, huku akionyesha kuwa na wasi wasi mwingi sana, ungesema kuwa ameitwa Nyakaselo huko Uganda miaka ya sabini, yaani enzi za Idd Amini, ambako ungeingia kwa miguu yako, lakini ungetoka huku umebebwa.******


Comment yako na like yako ndio itanifahamisha kuwa hii simulizi kuna watu wanaifuatilia hapa jamii forums, jambo hilo litanipa hamasa ya kupost kwa haraka tofauti na ukikaa kimya no Comment no like itanitia uvivu kwasababu siwezi kujua kama kuna watu wanaoifuatilia... twende pamoja sasa****


Naam safari haikuwa ndefu sana, ilitumia kama dakika thelathini mpaka kuingia kampala, mji uliopo kilomita chache toka Entebe, na walipoifikia njia panda pale kijansi, wakaingia kulia na kuiacha barabara kuu iendayo kampala mjini na kuifwata barabara iendayo Kigo, wakipita matugo na Lweza, mpaka walipo simamisha gari kwenye viunga vya hotel moja kubwa ya kifahari iliyopo kando kando mwaziwa Victoria, hotel yenye hadhi ya nyota tano, hotel inayomilikiwa na mwekezaji tajiri toka nje ya nchi, “karibu kwenye Ajan Selasie Hotel” alisema Neela mara baada ya gari kusimama.


Hakika ilikuwa ni Hotel nzuri na kubwa sana, yenye eneo kubwa sana upande wa mbele, ambapo kulikuwa na magari machache ya kifahari, huku baadhi ya walinzi na wafanyakazi waliovaa mavazi nadhifu wakionekana kupokea wageni, kama walivyoonekana kulingojelea gari lao, “mh! hapa sinitamaliza akiba yangu yote, nishindwe hata kununua gari” aliwaza Deus, huku anaendelea kuzungusha uso wake kutazama mazingira mazuri ya eneo lile ambalo ungesema ni moja ya ikulu ya nchi tajiri, “asante Neela, lakini sikujiandaa kulala kwenye Hotel kubwa kama hii” alisema Deus, kwa sauti yake tulivu huku anamtazama Doctor Neela, ambae aliachia tabasamu laini lililomfanya azidi kuonekana mzuri, “nilisema mwanzo kuwa wewe ni mgeni wangu, kila kitu nitasimamia mimi” alisema Neela kwa sauti tulivu yenye pose flani za kirafiki.


Wakati huo huo milango ya gari ya pande zote ikafunguliwa na wahuduu wa hotel, “karibu madam Neela pamoja na mgeni wako” alisema mmoja kati ya wahudumu wale wakiume, kitu ambacho kilimshangaza Deus, kuona kwamba Neela anafahamika mbele za wahudumu wale, “asante sana” alijibu doctor Neela huku anashuka sambamba na Deus, ambae alishuhudia mizigo yao ikishushwa toka ndani ya gari na moja kwa moja wakaanza kutembea kuelekea kwenye jengo la ghorofa sita la Ajun Selasie, lenye bendera za nchi kadhaa, ikiwepo bendera ya Tanzania na #Mbogo_land.*******


Nusu saa baadae King Elvis alikuwa ofisini kwake na waziri wa ulinzi, yaani bwana Chitopelah wakijadili juu ya askari watoro, hasa luten kanal Frank Nyati, ambae alivuta hisia za king Elvis, “kinacho nishangazana ni kwamba, huyo flank amefanya makubwa sana kwa king Eugen, ikawaje aondoke ghafla kipindi ambacho watu wengi waliondoka jeshini” alisema King Elvis kwa sauti iliyoonyesha mshangao na mashaka yake, “mtukufu mfalme, huyo Luten Kanal Frank Nyati, alitoroka jeshi mwaka tisini na mbili kipindi ambacho kulikuwa na msako mkubwa wa maafisa na askari waliokuwa wanajiusisha na kikundi cha uasi cha UMD” alieleza waziri Chitopela, kwasauti ya kujiamini, “inamaanisha Frank Nyati ni mmoja kati ya waasi waliokuwa ndani ya serikali?” aliuliza kwa mshangao King Elvis, huku anamtazama waziri wake, “ni hivyo mtukufu, maana wakati msako unaendelea, yeye na familia yake wakatoweka na kuelekea kusiko julikana” alisema waziri Chitopelah.


Ilimshtua sana King Elvis, “kwanini Serikali ilishindwa kumlipa vizuri askari kama huyu, na kumwacha ajiunge na waasi, ni hatari sana kwetu anaweza kuwa kikwazo kwa taifa siku za baadae” alisema King Elvis, kwa sauti yenye mshuko, “lakini mtukufu, UMD limesha toweka usoni mwa dunia” alisema Chitopelah kwa kujiamini, “hapana waziri, tumeshuhudia makundi kadhaa yakirudi kwa kasi na kusumbua nchi zao, huwezi kujuwa pengine wapo sehemu wanaadaa askari kwaajili ya mapinduzi” alisema Elvis, ambae alitoa tahadhari kwa waziri wa ulinzi ya kuongeza nguvu kwenye ulinzi wa mipaka na uchunguzi wa siri ndani na nje ya nchi, pasipo kujuwa kuwa anae mwagiza ndie adui namba moja.********


Naam turudi Uganda, kando kando ya jiji la Kampala, kwenye fukwe ya ziwa Victoria, pale Hotel Ajun Selasie, ambapo sasa tuna muona Deus, alieongozana na Neela wakiwa kwenye lift wanapanda ghorofa ya sita, pamoja na wafanyakazi waliokuwa na mizigo yao.


Sekunde chache baadae walitoka kwenye lift na kutembea kwenye kolido refu, wakivuka vyumba kadhaa kabla ya kusimama kwenye chumba kimoja karibu kabisa na mwisho wa korido, ambapo mlango ulikuwa wazi, “karibu ndani bwana Deus Nyati” alisema Neela, na Deus hakushangaa Neela kujuwa jina lake, maana wakati ule wa tukio la kutekwa alitajwa mara nyingi sana, “asante sana” alisema Deus, huku anaingia ndani ya chumba kile kizuri cha kifahari, chenye kila kitu ambacho mtu wenye hali nzuri ya kifedha angehitaji kuwa navyo katika chumba au nyumba yake.


Deus hakutaka kushangaa kile chumba cha kuvutia, mpaka pale Neela atakapoondoka na wahudumu wale lakini alishangaa kuona mizigo yote yaani begi lake na masanduku ya Neela, yanaingia ndani ya chumba kile kile na kuwekwa kwenye makabati na kisha wahudumu wanatoka na kuwaacha wao wawili, ilimshangaza Deus, maana hakuona dalili ya Neela kutoka mle chumbani, “Deus, hapa ndipo tutakapo kuwa kwa masaa ishirini na nne” alisema Doctor Neela, huku anavua viatu, “unamaanisha kuwa na wewe utakuwa humu?” aliuliza Deus, kwa sauti yake ile ile ya taratibu, lakini alionyesha wazi kujawa na mshangao, “ni vyema ungetumia muda huu, kuuliza vitu zuri ambavyo vinafaa kwa siku yetu hii, kuliko kuuliza maswali ambayo tayari majibu unayo” alisema doctor Neela huku anashikagauni lake na kulipandisha juu kwa maana ya kulivua, akiacha sehemu kubwa ya chini ikiwa wazi…..….…….…….endelea kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA: “Deus, hapa ndipo tutakapo kuwa kwa masaa ishirini na nne” alisema Doctor Neela, huku anavua viatu, “unamaanisha kuwa na wewe utakuwa humu?” aliuliza Deus, kwa sauti yake ile ile ya taratibu, lakini alionyesha wazi kujawa na mshangao, “nivyema ungetumia mua huu, kuuliza vitu vizuri ambavyo vinafaa kwa siku yetu hii, kuliko kuuliza maswali ambayo tayari majibu unayo” alisema doctor Neela huku anashikagauni lake na kulindisha juu, kwa maana ya kulivua akiacha sehemu kubwa ya chini ikiwa wazi….…….endelea….


Nakufanya macho yenye mshangao na uchu ya kijana wetu Deus, yawezekuona alichopewa mschana huyu toka kwa mama yake, hakika ukichilia kiuno kizuri kilichopambwa na cheni moja ya dhahabu, inayong’aa, ambayo ilikuwa kama imelegea kidogo na kulala kwenye makalio makubwa kiasi ya mschana huyo mrembo mwenye ngozi nyororo na angavu yaliyohifadhiwa kwenye nguo ndogo aina bikini, ambayo ilikuwa imefunika kitambaa kidogo sana eneo la nyuma na mbele la uzazi la mschana huyo, huku idadi kubwa ikiwa ni vijikamba vya maua maua, mekundu.


Wakati anaendelea kumshangaa mschana huyo, ni kama alimwona akiwa amesita kupandisha gauni mpaka juu, akatulia kwa sekunde kadhaa, kisha akalishusha kidogo, mpaka usawa wa makalio yake na kuacha eneo la mapaja yake mapana yaliyo chomoza kama mwanajeshi alie ficha bastora, halafu akamgeukia Deus na macho yao yakakutana wote wakatabasamulia kwa tabasamu lenye kila dalili ya aibu, huku wanakwepesha macho yao wakishindwa kutazamana.


“nisaidie kufungua zip” alisema Neela kwa sauti iliyojaa aibu, huku anavuta hatua taratibu kumsogelea Deus, na alipofikia akasimama mbele yake na kumgeuzia mgongo, ambapo Deus aliweza kuona zip, iliyoanzia usawa wa mabegani mpaka katikati ya mgongo, ambayo alitakiwa aifungue, “una uhakika kuwa utavua mbele yangu?” aliuliza Deus kwa sauti tulivu ya upole, huku anakamata zip na kuanza kuishusha, “nivyema kama ukiacha kuuliza maswali na kuweka mawazo yako kwenye kile ambacho unatakiwa kukifanya” alisema Neela ambae sasa alikuwa karibu kabisa na Deus, na kulipandisha tena gauni lake, ambalo lilipandishika bila kikwakozo chochote.


Naam gauni lilitundikwa juu ya kitundikio chake, sasa Deus aliweza kumuona Neela akiwa amebakiwa na bikini na sidiria tu, ambae alipomaliza kutundika nguo akageuka kumtazama Deus na macho yao yalipokutana wote wakatabasamuliana kwa aibu, “utabakia hivyo hivyo mpaka saangapi?” alisema Neela kwa sauti iliyojawa na aibu, tabasamu tamu likiwa usoni mwake na macho akiyakwepesha, huku anafungua nywele zake, ambazo zilimwagika na kulala eneo lote la mgongoni, huku zingine zikiangukia mabegani na kufanya azidi kuwa mzuri.


Ni kama Deus hakuelewa anatakiwa kufanya nini, maana alibaki amesimama anashangaa uumbaji maridadi uliofanyika kwenye mwili wa mschana huyu, mwenye taaluma ya uganga, ambae pia aligundua hilo, “Deus n ivyema ukaacha kunishangaa na ukavua nguo zako tukaoge kwanza, kisha tukapate chakula na hapo mambo mengine yataendelea” alisema Neela, huku anakusanya tena nywele zake na kuzifunga kwa fungu moja, kisha akatembea taratibu mpaka aliposimama Deus na kuanza kumvua tishrt alilovaa kijana wetu, ambae mpaka dakika hiyo, suruali yake ilikuwa inakaribia kuchanika kwa jinsi kiungo cha kupikia kwenye chungu, kilivyokuwa kina jitutumua na kufula kwa hasira ya njaa.


Naaam! Neela alishusha machona na kuiona hali ya dudu ya Deus, akajikuta anacheka kicheko laini, “unanjaa sana Deus, tukaoge kwanza” alisema Neela, kwa sauti ya chini yenye kutawaliwa na aibu, usingedhania kuwa ndio yule kauzu wa siku zile, kauli ile ilimsisimua sana Deus na kumfanya azidi kusimamisha mnazi, ambao ulikuwa unatamani kitumbua cha mrembo huyo.*******


Naaam! sasa twende kusini mwatanzania kwenye kitongoji cha mtamba swala, wilaya ya masasi mkoa wa Mtwara, mita mia mbili toka kwenye daraja kubwa na refu linalokatiza mto ruvuma, ikiwa ni mpaka wa Tanzania na msumbiji, lilionekana gari dogo jeusi aina ya BMW 7 serias, likiwa limesimama pembeni ya barabara, hakuonekana mtu yoyote nje ya gari hilo jipya la kisasa, lililokuwa lina unguruma.
Ghafla wanatokea vijana wawili upande wa kulia wa barabara, wakiwa na box moja kubwa la chuma, lililofungwa kwa kifungio cha namba, lilionekana zito kiasi, vijana hawa wanaelekea moja kwa moja liliposimama lile gari, aina BMW, na wanapolifikia mlango wa sehemu ya kuwekea mizigo, yaani buti, inafunguka na vijana wale wanaweka lile sanduku la chuma, kisha buti linajifunga taratibu na gari linaanza kuondoka huku vijana wale wanalisindikiza kwa macho gari lile ambalo lina tokomea kuelekea upande wa Mangaka, wilaya ya masasi mkoa wa mtwara.*******


Turudini Uganda Kwanza wana JF Vitu anavyopenda jamaa yangu Its Pancho na moneytalk , kule Ajun Serasie Hotel, ghorofa ya sita chumba cha mwisho kabisa, ambacho lisaa limoja lililopita tuliwaacha Deus na Neela wakijianadaa kwenda kuoga, sasa hawapo tena chumbani, ila mlango wa nyuma wa chumba hiki, upo wazi, inashangaza kuna ghorofa ya juu kabisa kuwa na mlango wa nyuma, lakini baada ya kutazama vyema, tunaona kuwa kuna kibaraza kipana upande wa nyuma wa hotel, kibaraza ambacho ukikaa pale unaweza kuona uwanda mkubwa wa ziwa Victoria na watu waliopo kwenye fukwe za jirani na Ajun Hotel, tusiangalie fukwe, tuwaangalie hawa jamaa zetu, yaani Deus na Neela, ambao walikuwa wamekaa kwenye viti vyao, vilivyozunguka meza ndogo, iliyobeba vyakula vya kila aina, ambavyo nikisema nitaje kimoja kimoja nitamaliza kurasa nikivitaja, ila ni vyakula ambavyo mtu yoyote angeamani kuvionja katika maisha yake.


Pia kulikuwa na vinywaji vizuri vya wakati wakula katika mlo kama huu wa mchana, yani juice za matunda, upepo ulikuwa mzuri kulinganisha na mavazi waliyovaa, yaani kaptula fupi kwa Deus, na kifua wazi, na kijichupi kizuri na sidiria kwa Neela, walionekana wenye nyuso za tabasamu, zenye aibu kiasi, waliendelea kula chakula chao cha mchana huku mara kwa mara wakijaribu kutazamana usoni, nakuishia kuoneana aibu kisha kukwepesha macho na kutabasamuliana.


Niwazi kunajambo lilikuwa limetokea kati yao, muda mfupi uliopita, maana sio kwa jinsi walivyo kuwa wanaoneana aibu, nivyema tukijaribu kufukunyua kilichotokea, na tuanzie mara baada ya Neela kumaliza kumvua shati Deus na kufuatia suruali, ambapo alishika mkanda na kubetua, kisha akashika zip na kuishusha huku macho yake yakitazama pembeni, akishindwa tena kuitazama dudu ya kijana huyu, ambayo bado ilikuwa imechachamaa kwa matamanio.


Dakika mbili baadae, tayari Deus alikuwa amesha vua viatu vyake na kumalizia suruali, halafu nakubakia na boxer, wakaingia bafuni, ambako Neela ndie alieanza kupembua bikini yake akifwatia sidiria yake na kumfanya Deus azidi kusimamisha mnazi kwa jinsi alivyo vutiwa na kusisimuliwa na mwonekano wa utupu wa Neela, ambae sasa alikuwa amebakia kama alivyo zaliwa ambae sasa alimgeukia Deus na kuikamata boxer yake na kuanza kuishusha, huku dudu ikiwa ni kikwazo, kwa jinsi ilivyokuwa imesimama, “mh! uwezi kuiambie itulie kidogo” alitania Neele, huku anazamisha mkono wake, ndani ya boxer na kusaidia kuikwamua boxer, kisha akaishusha boxer na kuivua kabisa, huku dudu ikiwa bado imesimama barabara, Deus hakusema kitu zaidi ya kitabasamu, huku kichwani mwake akijiambia kuwa, “leo moto lazima uwake”


Naam mara baada ya kuvuliwa boxer, Deus akashikwa mkono na Neela, kisha akamwongoza kuelekea kwenye sinki kubwa la kuogea, wenyewe wanaita jakuz, ambalo lilikuwa limejaa maji, “ingia humu kipenzi” alisea Neela akimweleza Deus, ambae alikuwa bado katika hali ya ugeni, Deus nae hakuvunga akaingia ndani ya jakuz na kukaa ndani yake huku maji yakimfunika eneo kubwa la mwili, nakubakia eneo la kichwani mpaka kifuani.


Neela nae akafuatia, huku anajilaza kifuani kwa Deus, huku mkono wake mmoja ukielekea moja kwa moja kwenye dudu ya kijana huyu, ambayo aliishika na kuanza kuchezea, macho yake akiyaelekeza usoni kwa Deus, ambae pia alikuwa anamtazama, Neela akisubiri kuona kinachofatia, “usinitazame usoni bwana, nitashindwa” alisema Neela huku anaachia batasamu lenye aibu ya kike, na kukwepesha macho yake kwa kufunika uso wake kifuani kwa Deus, ambae aliishia kucheka kicheko cha kivivu cha chini chini.


Kimya kidogo kikapita, Neela akiendelea kuchezea mwiko mgumu wa Deus, ambao sasa ungeweza hata kuugeuza kuwa nguzo ya mzani wa clinic, kwa jinsi ilivyo simama na kuwa imara, huku Deus ambae hakutaka kuonekana mzubaifu, na yeye akapenyeza mkono wake kwenye kifua cha mschana huyuna kukamata chuchu moja, iliyotulia vyema juu ya ziwa lililojaa vyema la mschana huyu mwenye kila sifa ya kuitwa mrembo, kisha akaanza kuipekecha taratibu, kiasi cha kumfanya Neela avute pumzi ndefu na kuishusha, kwa mtindo wa kutetemeka, ni wazi mschana huyu, alikumbwa na msisiko wa ajabu, kuona kuwa amempatia ndipo deus alipoongeza sifa na kushusha mkono mpaka kwenye eneo la shamba la mapenzi, ambalo kiukweli lilikuwa limetoka kupapaliliwa vizuri na kuanza kupekuwa shamba hilo kwa kupitisha vidole yake taratibu, kati kati ya matuta mawili , ambayo yalikuwa na unyevu unyevu wenye utelezi, kama chungu cha mlenda, kitu ambacho nikama kilimletea raha fulani Neela, ambae alizidi kujiweka sawa ili kumpa nafasi Deus, aendelee kukagua shamba lile, akitafuta zao alilolikusudia.


Hayo yote yalifanyika, huku Neela akiendelea kuchezea dudu ya Deus, ambae mpaka dakika hii, alikuwa akifurahia na kupendezwa na kile kilichokuwa kinaendelea pale Hotelini, kama ilivyokuwa kwa Neela ambae sasa alioendelea kuhisi Deus akipapasa shamba lake, mpaka alipopata kunde, iliyokuwa imejaa tele upande wa juu wa shamba na kuanza kuipekecha taratibu, akifanya kama anaifuta kitu flani, hapo Neela akajikuta anatanua miguu yake taratibu, huku anazungusha kiuno chake na kama haitoshi, akajikuta anasogeza mdomo wake kwenye midomo ya Deus nae akiwa anajuwa anachotakiwa kufanya, wakakutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana ndimi zao taratibu, huku kazi za mikono yao zikiendelea kama kawaida.


Kitendo hicho hakikudumu kwa muda mrefu sana, kabla Neela hajajitoa mdomoni kwa Deus na kupanda juu yake lakini kwa kugeuka, yani aligeukia miguuni kwa Deus, na kuiibua ndizi mkonga wa tembo ya Deus na kuisogeza mdomoni, huku akiawa ameachia makalio yake yakimtazama Deus usoni, huku kitumbua kikionekana kwa uwazi kabisa, yeye akaidumbukiza mdomoni ndizi ile, ambayo sifa yake kubwa ni ukiipika moja tu, mnaweza kula watu wawili na kuanza kuinyonya kama vile ina asali au koni za maziwa.


Licha ya kuwahi kusikia kuwa kuna aina hii ya mapenzi, lakini Deus hakuwa amewahi kushiriki hata siku moja, lakini akaona isiwe shida, maana hata kama ni hatari lakini hii ni hatari lakini tamu, hivyo akasogeza mdomo wake kwenye kitumbua cha kunde cha mschana huyu mrembo na kuitafuta kunde, ambayo alipoipata akaanza kuinyonya, kama mtoto mwenye njaa, anapo nyonya ziwa la mama yake, maana aliidumukiza yote, huku anasikilizia jinsi dodo yake ilivyo kuwa ina lambwa kwenye midomo yenye joto ya mschana huyu wakihabeshi, ambae wakati mwingine alikuwa anatoa vijisauti vya kuonjea mchuzi au kula muwa.


Mchezo ulidumu kwa dakika sita nzima, watu wananyonyana sehemu za kutengenezea watoto, “Deus…. nasikia raha mpenzi… endelea kunifanya hivyo hivyo” alisema Neela, kwa sauti iliyolemewa na utamu huku akiacha kunynya dudu na kusikilizia utamu na macho ameyafumba, Deus yeye hakujibu kitu, aliendelea kulamba kitumbua kama simba anae kunywa maji mtoni.


Nikama Neela aliona sasa inatosha na kwamba Deus anauweka usiku, “Deus, mwenzio siwezi tena inatosha mpenzi” alisea Neela huku anajiinua kidogo na kukitoa kitumbua chake mdomoni kwa Deus, kisha akajisogeza mbele kidogo mpaka usawa wa mwiko wa kijana huyu, mwenye asali ya nchi ya #mbogo_land, akaukamata na kuulengesha kwenye kisima chake, kilichopo kwenye shamba lake la kunde, akigusisha kipakulio cha mwiko, kwenye mlango wa kisima chenye utelezi, kisha akajishusha chini taratibu kwa maana ya kuukalia nao ukatelez taratibu ukisugua kuta za kisima kile, ambacho kwa namna moja au nyingine, ungesema hakikutumika sana au kilitumika muda mrefu uliopita, “hoooo! karibu ndani mpenzi” alisema Neela kwa sauti yenye kutetemeka, ikiwa ni msisimko wa utamu wa dudu, kisha akaanza kuzungusha kiuno huku Deus akishika kiuno kile na kuanza kusaidia kukandamiza kwa chini na yeye akizungusha kiuno chake, kama alivyo fundishwa jandoni.


dakika kumi zilipita Neela akiwa anajipimia mwiko, kwenye chungu chake, mule ndani ya jakuzi, kabla hawaja geuka na Neela kuinama, mle mle ndani ya jakuzi, kisha Deus, kuja nyuma yake, na kuendela kupeleka dudu, ndani ya kitumbua, wote wakizungusha viuno vyai taratibu, kama vile wana sindikizwa na music wa taratibu, kiasi cha wote wawili kujikuta wakihema pumzi nzito, kama vile wanafukuza mwizi, Neela akiongeza na miguno kama ya kutumbuliwa kipele uchungu, “ningejuwa nisinge kujibu vibaya siku ile, ningefaidi siku zote nilizokuwa na wewe Congo” alilalamika Neela ambae kama ungemuona wakati ule, usingedhania kuwa ni Doctor mwenye masters yake, kwa jinsi alivyokuwa anazungusha kiuno chake, ungesema ni uzawa wa temeke au buza kule yombo.


Dakika kumi na nane baadae wakaamua kutoka kabisa nani ya jakuz na kusimama wakiwa wametazamana, huku Neela akiinua mguu mmoja ambao Deus aliubania kwapani, huku akizamisha mwiko chunguni, na kazi ikaendelea kwa viuno vya taratibu safari hii wakipelekeana moto, na midomo yao ikiendelea kubadirishana mate, kwa namna flani ya kupendeza, Neela hakuacha kutoa miguno ya utamu, sio kwamba Deus hakusikia utamu, ila alikuwa anausikilizia kimya kimya.


Dakika tatu tu, Neela akatangaza kuchoka kusimama kwa mguu mmoja, hivyo Deus akajuwa anatakiwa kufanya nini na pasipo kuluhusu dudu ichomoke chunguni, akamwinua Neela mzima mzima, miguu yote miwili na kundelea kupeleka dudu chunguni, safari hii Neela aliongeza speed ya viuno na kuchangamsha mchezo, kiasi kwamba maji mwilin yalipotea na kubakia jasho lililokuwa lnaanza kuwachuruzika, lakini hakikuwa kikwazo cha wao kuendelea na kile walicho kianzisha.


Dakika tano zilitosha kumfanya Deus, aone miguu inapungua nguvu hivyo akaona vyema akimpeleka Neela chumbani na akafanya hivyo, akatembea nae, huku amemnyanyua juu juu, na dudu ipo ndani ya kitumbua moja kwa moja anamuweka juu ya meza ya chakula iliyopo pale chumbani, na kuendelea kupeleka dudu, huku akiwa amesimama chini, Neela aliekuwa juu ya meza akitanua miguu, na kuzungusha kiuno kama jiwe la kusagia, nikama alikuwa anasema “ingiza yote” hapo walitumia dakika kumi nyingine, “mpenzi unakulaga nini mbona una nguvu hivyo” aliuliza Neela ambae, alionekana wazi kuwa alisha kata kiu yake mara kadhaa, Deus hakujibu kitu zaidi ya kuishia kutabasamu kivivu, huku akiendelea kukandamiza dudu kitumbuani.


Naam Deus akiwa anaendelea kupeleka dudu taratibu, Neela akaonekana kurudi mchezoni kwa mara nyingene na kuanza kuongeza speed, huku macho na midomo ikianza tena kumlegea, hata dakika tatu mbele, Deus akannyayua Neela kwa mara nyingine dudu ikiwa ndani na kuhamia kitandani, sasa wakaenda kwa mtindo wa kifo cha mende, mtindo ambao sitouelezea sana, ila kiukweli walijikuta wanafurahia kuliko ile mikao ya mwanzo, kwa maana sasa waliweza kugusanisha viuongo vyao vyote, kuanzia midomo pua videvu, vifua na chuchu zao, matumbo yao, viuno hata vinena vyao, huku dudu iliyozama kitumbuani, ikizama na kutoka viuno vikizungushwa vyema, na shina la mhogo lilisugua kunde, mapaja yakikutana magoti hata vidole katika nyayo zao pia ziligusa na kusuguana, “leo nimefaidi Deus, ulienifanya nifanye hivi, niwewe Deus, umenifanya nifaidi…. kweli tamu” alisema Neela wakati akimaliza kufika kileleni, sambamba na Deus ambae alitumia sekunde kadhaa kumwaga mzigo.


Walikuwa wamechoka haswaa, walitulia dakika kadhaa wakihema kwa kumaliza mbio ndefu, kabla hawajashtuliwa na simu ya mezani, toka mapokezi, ambayo ilipokelewa na Neela wenyewe, ikiulizia kama wapo tayari kuletewa chakula, jambo lililo kubaliwa na Neela, kwamba chakula kiletwe..…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
Niwazi kunajambo lilikuwa limetokea kati yao, muda mfupi uliopita, maana sio kwa jinsi walivyo kuwa wanaoneana aibu, nivyema tukijaribu kufukunyua kilichotokea, na tuanzie mara baada ya Neela kumaliza kumvua shati Deus na kufuatia suruali, ambapo alishika mkanda na kubetua, kisha akashika zip na kuishusha huku macho yake yakitazama pembeni, akishindwa tena kuitazama dudu ya kijana huyu, ambayo bado ilikuwa imechachamaa kwa matamanio.
sasa kwanini uliruka lakini hapo kwenye jambo lililotokea,agrrrh sijapenda bana
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA: “Deus, hapa ndipo tutakapo kuwa kwa masaa ishirini na nne” alisema Doctor Neela, huku anavua viatu, “unamaanisha kuwa na wewe utakuwa humu?” aliuliza Deus, kwa sauti yake ile ile ya taratibu, lakini alionyesha wazi kujawa na mshangao, “nivyema ungetumia mua huu, kuuliza vitu vizuri ambavyo vinafaa kwa siku yetu hii, kuliko kuuliza maswali ambayo tayari majibu unayo” alisema doctor Neela huku anashikagauni lake na kulindisha juu, kwa maana ya kulivua akiacha sehemu kubwa ya chini ikiwa wazi….…….endelea….


Nakufanya macho yenye mshangao na uchu ya kijana wetu Deus, yawezekuona alichopewa mschana huyu toka kwa mama yake, hakika ukichilia kiuno kizuri kilichopambwa na cheni moja ya dhahabu, inayong’aa, ambayo ilikuwa kama imelegea kidogo na kulala kwenye makalio makubwa kiasi ya mschana huyo mrembo mwenye ngozi nyororo na angavu yaliyohifadhiwa kwenye nguo ndogo aina bikini, ambayo ilikuwa imefunika kitambaa kidogo sana eneo la nyuma na mbele la uzazi la mschana huyo, huku idadi kubwa ikiwa ni vijikamba vya maua maua, mekundu.


Wakati anaendelea kumshangaa mschana huyo, ni kama alimwona akiwa amesita kupandisha gauni mpaka juu, akatulia kwa sekunde kadhaa, kisha akalishusha kidogo, mpaka usawa wa makalio yake na kuacha eneo la mapaja yake mapana yaliyo chomoza kama mwanajeshi alie ficha bastora, halafu akamgeukia Deus na macho yao yakakutana wote wakatabasamulia kwa tabasamu lenye kila dalili ya aibu, huku wanakwepesha macho yao wakishindwa kutazamana.


“nisaidie kufungua zip” alisema Neela kwa sauti iliyojaa aibu, huku anavuta hatua taratibu kumsogelea Deus, na alipofikia akasimama mbele yake na kumgeuzia mgongo, ambapo Deus aliweza kuona zip, iliyoanzia usawa wa mabegani mpaka katikati ya mgongo, ambayo alitakiwa aifungue, “una uhakika kuwa utavua mbele yangu?” aliuliza Deus kwa sauti tulivu ya upole, huku anakamata zip na kuanza kuishusha, “nivyema kama ukiacha kuuliza maswali na kuweka mawazo yako kwenye kile ambacho unatakiwa kukifanya” alisema Neela ambae sasa alikuwa karibu kabisa na Deus, na kulipandisha tena gauni lake, ambalo lilipandishika bila kikwakozo chochote.


Naam gauni lilitundikwa juu ya kitundikio chake, sasa Deus aliweza kumuona Neela akiwa amebakiwa na bikini na sidiria tu, ambae alipomaliza kutundika nguo akageuka kumtazama Deus na macho yao yalipokutana wote wakatabasamuliana kwa aibu, “utabakia hivyo hivyo mpaka saangapi?” alisema Neela kwa sauti iliyojawa na aibu, tabasamu tamu likiwa usoni mwake na macho akiyakwepesha, huku anafungua nywele zake, ambazo zilimwagika na kulala eneo lote la mgongoni, huku zingine zikiangukia mabegani na kufanya azidi kuwa mzuri.


Ni kama Deus hakuelewa anatakiwa kufanya nini, maana alibaki amesimama anashangaa uumbaji maridadi uliofanyika kwenye mwili wa mschana huyu, mwenye taaluma ya uganga, ambae pia aligundua hilo, “Deus n ivyema ukaacha kunishangaa na ukavua nguo zako tukaoge kwanza, kisha tukapate chakula na hapo mambo mengine yataendelea” alisema Neela, huku anakusanya tena nywele zake na kuzifunga kwa fungu moja, kisha akatembea taratibu mpaka aliposimama Deus na kuanza kumvua tishrt alilovaa kijana wetu, ambae mpaka dakika hiyo, suruali yake ilikuwa inakaribia kuchanika kwa jinsi kiungo cha kupikia kwenye chungu, kilivyokuwa kina jitutumua na kufula kwa hasira ya njaa.


Naaam! Neela alishusha machona na kuiona hali ya dudu ya Deus, akajikuta anacheka kicheko laini, “unanjaa sana Deus, tukaoge kwanza” alisema Neela, kwa sauti ya chini yenye kutawaliwa na aibu, usingedhania kuwa ndio yule kauzu wa siku zile, kauli ile ilimsisimua sana Deus na kumfanya azidi kusimamisha mnazi, ambao ulikuwa unatamani kitumbua cha mrembo huyo.*******


Naaam! sasa twende kusini mwatanzania kwenye kitongoji cha mtamba swala, wilaya ya masasi mkoa wa Mtwara, mita mia mbili toka kwenye daraja kubwa na refu linalokatiza mto ruvuma, ikiwa ni mpaka wa Tanzania na msumbiji, lilionekana gari dogo jeusi aina ya BMW 7 serias, likiwa limesimama pembeni ya barabara, hakuonekana mtu yoyote nje ya gari hilo jipya la kisasa, lililokuwa lina unguruma.
Ghafla wanatokea vijana wawili upande wa kulia wa barabara, wakiwa na box moja kubwa la chuma, lililofungwa kwa kifungio cha namba, lilionekana zito kiasi, vijana hawa wanaelekea moja kwa moja liliposimama lile gari, aina BMW, na wanapolifikia mlango wa sehemu ya kuwekea mizigo, yaani buti, inafunguka na vijana wale wanaweka lile sanduku la chuma, kisha buti linajifunga taratibu na gari linaanza kuondoka huku vijana wale wanalisindikiza kwa macho gari lile ambalo lina tokomea kuelekea upande wa Mangaka, wilaya ya masasi mkoa wa mtwara.*******


Turudini Uganda Kwanza wana JF Vitu anavyopenda jamaa yangu Its Pancho na moneytalk , kule Ajun Serasie Hotel, ghorofa ya sita chumba cha mwisho kabisa, ambacho lisaa limoja lililopita tuliwaacha Deus na Neela wakijianadaa kwenda kuoga, sasa hawapo tena chumbani, ila mlango wa nyuma wa chumba hiki, upo wazi, inashangaza kuna ghorofa ya juu kabisa kuwa na mlango wa nyuma, lakini baada ya kutazama vyema, tunaona kuwa kuna kibaraza kipana upande wa nyuma wa hotel, kibaraza ambacho ukikaa pale unaweza kuona uwanda mkubwa wa ziwa Victoria na watu waliopo kwenye fukwe za jirani na Ajun Hotel, tusiangalie fukwe, tuwaangalie hawa jamaa zetu, yaani Deus na Neela, ambao walikuwa wamekaa kwenye viti vyao, vilivyozunguka meza ndogo, iliyobeba vyakula vya kila aina, ambavyo nikisema nitaje kimoja kimoja nitamaliza kurasa nikivitaja, ila ni vyakula ambavyo mtu yoyote angeamani kuvionja katika maisha yake.


Pia kulikuwa na vinywaji vizuri vya wakati wakula katika mlo kama huu wa mchana, yani juice za matunda, upepo ulikuwa mzuri kulinganisha na mavazi waliyovaa, yaani kaptula fupi kwa Deus, na kifua wazi, na kijichupi kizuri na sidiria kwa Neela, walionekana wenye nyuso za tabasamu, zenye aibu kiasi, waliendelea kula chakula chao cha mchana huku mara kwa mara wakijaribu kutazamana usoni, nakuishia kuoneana aibu kisha kukwepesha macho na kutabasamuliana.


Niwazi kunajambo lilikuwa limetokea kati yao, muda mfupi uliopita, maana sio kwa jinsi walivyo kuwa wanaoneana aibu, nivyema tukijaribu kufukunyua kilichotokea, na tuanzie mara baada ya Neela kumaliza kumvua shati Deus na kufuatia suruali, ambapo alishika mkanda na kubetua, kisha akashika zip na kuishusha huku macho yake yakitazama pembeni, akishindwa tena kuitazama dudu ya kijana huyu, ambayo bado ilikuwa imechachamaa kwa matamanio.


Dakika mbili baadae, tayari Deus alikuwa amesha vua viatu vyake na kumalizia suruali, halafu nakubakia na boxer, wakaingia bafuni, ambako Neela ndie alieanza kupembua bikini yake akifwatia sidiria yake na kumfanya Deus azidi kusimamisha mnazi kwa jinsi alivyo vutiwa na kusisimuliwa na mwonekano wa utupu wa Neela, ambae sasa alikuwa amebakia kama alivyo zaliwa ambae sasa alimgeukia Deus na kuikamata boxer yake na kuanza kuishusha, huku dudu ikiwa ni kikwazo, kwa jinsi ilivyokuwa imesimama, “mh! uwezi kuiambie itulie kidogo” alitania Neele, huku anazamisha mkono wake, ndani ya boxer na kusaidia kuikwamua boxer, kisha akaishusha boxer na kuivua kabisa, huku dudu ikiwa bado imesimama barabara, Deus hakusema kitu zaidi ya kitabasamu, huku kichwani mwake akijiambia kuwa, “leo moto lazima uwake”


Naam mara baada ya kuvuliwa boxer, Deus akashikwa mkono na Neela, kisha akamwongoza kuelekea kwenye sinki kubwa la kuogea, wenyewe wanaita jakuz, ambalo lilikuwa limejaa maji, “ingia humu kipenzi” alisea Neela akimweleza Deus, ambae alikuwa bado katika hali ya ugeni, Deus nae hakuvunga akaingia ndani ya jakuz na kukaa ndani yake huku maji yakimfunika eneo kubwa la mwili, nakubakia eneo la kichwani mpaka kifuani.


Neela nae akafuatia, huku anajilaza kifuani kwa Deus, huku mkono wake mmoja ukielekea moja kwa moja kwenye dudu ya kijana huyu, ambayo aliishika na kuanza kuchezea, macho yake akiyaelekeza usoni kwa Deus, ambae pia alikuwa anamtazama, Neela akisubiri kuona kinachofatia, “usinitazame usoni bwana, nitashindwa” alisema Neela huku anaachia batasamu lenye aibu ya kike, na kukwepesha macho yake kwa kufunika uso wake kifuani kwa Deus, ambae aliishia kucheka kicheko cha kivivu cha chini chini.


Kimya kidogo kikapita, Neela akiendelea kuchezea mwiko mgumu wa Deus, ambao sasa ungeweza hata kuugeuza kuwa nguzo ya mzani wa clinic, kwa jinsi ilivyo simama na kuwa imara, huku Deus ambae hakutaka kuonekana mzubaifu, na yeye akapenyeza mkono wake kwenye kifua cha mschana huyuna kukamata chuchu moja, iliyotulia vyema juu ya ziwa lililojaa vyema la mschana huyu mwenye kila sifa ya kuitwa mrembo, kisha akaanza kuipekecha taratibu, kiasi cha kumfanya Neela avute pumzi ndefu na kuishusha, kwa mtindo wa kutetemeka, ni wazi mschana huyu, alikumbwa na msisiko wa ajabu, kuona kuwa amempatia ndipo deus alipoongeza sifa na kushusha mkono mpaka kwenye eneo la shamba la mapenzi, ambalo kiukweli lilikuwa limetoka kupapaliliwa vizuri na kuanza kupekuwa shamba hilo kwa kupitisha vidole yake taratibu, kati kati ya matuta mawili , ambayo yalikuwa na unyevu unyevu wenye utelezi, kama chungu cha mlenda, kitu ambacho nikama kilimletea raha fulani Neela, ambae alizidi kujiweka sawa ili kumpa nafasi Deus, aendelee kukagua shamba lile, akitafuta zao alilolikusudia.


Hayo yote yalifanyika, huku Neela akiendelea kuchezea dudu ya Deus, ambae mpaka dakika hii, alikuwa akifurahia na kupendezwa na kile kilichokuwa kinaendelea pale Hotelini, kama ilivyokuwa kwa Neela ambae sasa alioendelea kuhisi Deus akipapasa shamba lake, mpaka alipopata kunde, iliyokuwa imejaa tele upande wa juu wa shamba na kuanza kuipekecha taratibu, akifanya kama anaifuta kitu flani, hapo Neela akajikuta anatanua miguu yake taratibu, huku anazungusha kiuno chake na kama haitoshi, akajikuta anasogeza mdomo wake kwenye midomo ya Deus nae akiwa anajuwa anachotakiwa kufanya, wakakutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana ndimi zao taratibu, huku kazi za mikono yao zikiendelea kama kawaida.


Kitendo hicho hakikudumu kwa muda mrefu sana, kabla Neela hajajitoa mdomoni kwa Deus na kupanda juu yake lakini kwa kugeuka, yani aligeukia miguuni kwa Deus, na kuiibua ndizi mkonga wa tembo ya Deus na kuisogeza mdomoni, huku akiawa ameachia makalio yake yakimtazama Deus usoni, huku kitumbua kikionekana kwa uwazi kabisa, yeye akaidumbukiza mdomoni ndizi ile, ambayo sifa yake kubwa ni ukiipika moja tu, mnaweza kula watu wawili na kuanza kuinyonya kama vile ina asali au koni za maziwa.


Licha ya kuwahi kusikia kuwa kuna aina hii ya mapenzi, lakini Deus hakuwa amewahi kushiriki hata siku moja, lakini akaona isiwe shida, maana hata kama ni hatari lakini hii ni hatari lakini tamu, hivyo akasogeza mdomo wake kwenye kitumbua cha kunde cha mschana huyu mrembo na kuitafuta kunde, ambayo alipoipata akaanza kuinyonya, kama mtoto mwenye njaa, anapo nyonya ziwa la mama yake, maana aliidumukiza yote, huku anasikilizia jinsi dodo yake ilivyo kuwa ina lambwa kwenye midomo yenye joto ya mschana huyu wakihabeshi, ambae wakati mwingine alikuwa anatoa vijisauti vya kuonjea mchuzi au kula muwa.


Mchezo ulidumu kwa dakika sita nzima, watu wananyonyana sehemu za kutengenezea watoto, “Deus…. nasikia raha mpenzi… endelea kunifanya hivyo hivyo” alisema Neela, kwa sauti iliyolemewa na utamu huku akiacha kunynya dudu na kusikilizia utamu na macho ameyafumba, Deus yeye hakujibu kitu, aliendelea kulamba kitumbua kama simba anae kunywa maji mtoni.


Nikama Neela aliona sasa inatosha na kwamba Deus anauweka usiku, “Deus, mwenzio siwezi tena inatosha mpenzi” alisea Neela huku anajiinua kidogo na kukitoa kitumbua chake mdomoni kwa Deus, kisha akajisogeza mbele kidogo mpaka usawa wa mwiko wa kijana huyu, mwenye asali ya nchi ya #mbogo_land, akaukamata na kuulengesha kwenye kisima chake, kilichopo kwenye shamba lake la kunde, akigusisha kipakulio cha mwiko, kwenye mlango wa kisima chenye utelezi, kisha akajishusha chini taratibu kwa maana ya kuukalia nao ukatelez taratibu ukisugua kuta za kisima kile, ambacho kwa namna moja au nyingine, ungesema hakikutumika sana au kilitumika muda mrefu uliopita, “hoooo! karibu ndani mpenzi” alisema Neela kwa sauti yenye kutetemeka, ikiwa ni msisimko wa utamu wa dudu, kisha akaanza kuzungusha kiuno huku Deus akishika kiuno kile na kuanza kusaidia kukandamiza kwa chini na yeye akizungusha kiuno chake, kama alivyo fundishwa jandoni.


dakika kumi zilipita Neela akiwa anajipimia mwiko, kwenye chungu chake, mule ndani ya jakuzi, kabla hawaja geuka na Neela kuinama, mle mle ndani ya jakuzi, kisha Deus, kuja nyuma yake, na kuendela kupeleka dudu, ndani ya kitumbua, wote wakizungusha viuno vyai taratibu, kama vile wana sindikizwa na music wa taratibu, kiasi cha wote wawili kujikuta wakihema pumzi nzito, kama vile wanafukuza mwizi, Neela akiongeza na miguno kama ya kutumbuliwa kipele uchungu, “ningejuwa nisinge kujibu vibaya siku ile, ningefaidi siku zote nilizokuwa na wewe Congo” alilalamika Neela ambae kama ungemuona wakati ule, usingedhania kuwa ni Doctor mwenye masters yake, kwa jinsi alivyokuwa anazungusha kiuno chake, ungesema ni uzawa wa temeke au buza kule yombo.


Dakika kumi na nane baadae wakaamua kutoka kabisa nani ya jakuz na kusimama wakiwa wametazamana, huku Neela akiinua mguu mmoja ambao Deus aliubania kwapani, huku akizamisha mwiko chunguni, na kazi ikaendelea kwa viuno vya taratibu safari hii wakipelekeana moto, na midomo yao ikiendelea kubadirishana mate, kwa namna flani ya kupendeza, Neela hakuacha kutoa miguno ya utamu, sio kwamba Deus hakusikia utamu, ila alikuwa anausikilizia kimya kimya.


Dakika tatu tu, Neela akatangaza kuchoka kusimama kwa mguu mmoja, hivyo Deus akajuwa anatakiwa kufanya nini na pasipo kuluhusu dudu ichomoke chunguni, akamwinua Neela mzima mzima, miguu yote miwili na kundelea kupeleka dudu chunguni, safari hii Neela aliongeza speed ya viuno na kuchangamsha mchezo, kiasi kwamba maji mwilin yalipotea na kubakia jasho lililokuwa lnaanza kuwachuruzika, lakini hakikuwa kikwazo cha wao kuendelea na kile walicho kianzisha.


Dakika tano zilitosha kumfanya Deus, aone miguu inapungua nguvu hivyo akaona vyema akimpeleka Neela chumbani na akafanya hivyo, akatembea nae, huku amemnyanyua juu juu, na dudu ipo ndani ya kitumbua moja kwa moja anamuweka juu ya meza ya chakula iliyopo pale chumbani, na kuendelea kupeleka dudu, huku akiwa amesimama chini, Neela aliekuwa juu ya meza akitanua miguu, na kuzungusha kiuno kama jiwe la kusagia, nikama alikuwa anasema “ingiza yote” hapo walitumia dakika kumi nyingine, “mpenzi unakulaga nini mbona una nguvu hivyo” aliuliza Neela ambae, alionekana wazi kuwa alisha kata kiu yake mara kadhaa, Deus hakujibu kitu zaidi ya kuishia kutabasamu kivivu, huku akiendelea kukandamiza dudu kitumbuani.


Naam Deus akiwa anaendelea kupeleka dudu taratibu, Neela akaonekana kurudi mchezoni kwa mara nyingene na kuanza kuongeza speed, huku macho na midomo ikianza tena kumlegea, hata dakika tatu mbele, Deus akannyayua Neela kwa mara nyingine dudu ikiwa ndani na kuhamia kitandani, sasa wakaenda kwa mtindo wa kifo cha mende, mtindo ambao sitouelezea sana, ila kiukweli walijikuta wanafurahia kuliko ile mikao ya mwanzo, kwa maana sasa waliweza kugusanisha viuongo vyao vyote, kuanzia midomo pua videvu, vifua na chuchu zao, matumbo yao, viuno hata vinena vyao, huku dudu iliyozama kitumbuani, ikizama na kutoka viuno vikizungushwa vyema, na shina la mhogo lilisugua kunde, mapaja yakikutana magoti hata vidole katika nyayo zao pia ziligusa na kusuguana, “leo nimefaidi Deus, ulienifanya nifanye hivi, niwewe Deus, umenifanya nifaidi…. kweli tamu” alisema Neela wakati akimaliza kufika kileleni, sambamba na Deus ambae alitumia sekunde kadhaa kumwaga mzigo.


Walikuwa wamechoka haswaa, walitulia dakika kadhaa wakihema kwa kumaliza mbio ndefu, kabla hawajashtuliwa na simu ya mezani, toka mapokezi, ambayo ilipokelewa na Neela wenyewe, ikiulizia kama wapo tayari kuletewa chakula, jambo lililo kubaliwa na Neela, kwamba chakula kiletwe..…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
Shusha mzigo mjomba ww ni htr
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA HAMSINI NA MBILI
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA HAMSINI NA MOJA: “Deus, hapa ndipo tutakapo kuwa kwa masaa ishirini na nne” alisema Doctor Neela, huku anavua viatu, “unamaanisha kuwa na wewe utakuwa humu?” aliuliza Deus, kwa sauti yake ile ile ya taratibu, lakini alionyesha wazi kujawa na mshangao, “nivyema ungetumia mua huu, kuuliza vitu vizuri ambavyo vinafaa kwa siku yetu hii, kuliko kuuliza maswali ambayo tayari majibu unayo” alisema doctor Neela huku anashikagauni lake na kulindisha juu, kwa maana ya kulivua akiacha sehemu kubwa ya chini ikiwa wazi….…….endelea….


Nakufanya macho yenye mshangao na uchu ya kijana wetu Deus, yawezekuona alichopewa mschana huyu toka kwa mama yake, hakika ukichilia kiuno kizuri kilichopambwa na cheni moja ya dhahabu, inayong’aa, ambayo ilikuwa kama imelegea kidogo na kulala kwenye makalio makubwa kiasi ya mschana huyo mrembo mwenye ngozi nyororo na angavu yaliyohifadhiwa kwenye nguo ndogo aina bikini, ambayo ilikuwa imefunika kitambaa kidogo sana eneo la nyuma na mbele la uzazi la mschana huyo, huku idadi kubwa ikiwa ni vijikamba vya maua maua, mekundu.


Wakati anaendelea kumshangaa mschana huyo, ni kama alimwona akiwa amesita kupandisha gauni mpaka juu, akatulia kwa sekunde kadhaa, kisha akalishusha kidogo, mpaka usawa wa makalio yake na kuacha eneo la mapaja yake mapana yaliyo chomoza kama mwanajeshi alie ficha bastora, halafu akamgeukia Deus na macho yao yakakutana wote wakatabasamulia kwa tabasamu lenye kila dalili ya aibu, huku wanakwepesha macho yao wakishindwa kutazamana.


“nisaidie kufungua zip” alisema Neela kwa sauti iliyojaa aibu, huku anavuta hatua taratibu kumsogelea Deus, na alipofikia akasimama mbele yake na kumgeuzia mgongo, ambapo Deus aliweza kuona zip, iliyoanzia usawa wa mabegani mpaka katikati ya mgongo, ambayo alitakiwa aifungue, “una uhakika kuwa utavua mbele yangu?” aliuliza Deus kwa sauti tulivu ya upole, huku anakamata zip na kuanza kuishusha, “nivyema kama ukiacha kuuliza maswali na kuweka mawazo yako kwenye kile ambacho unatakiwa kukifanya” alisema Neela ambae sasa alikuwa karibu kabisa na Deus, na kulipandisha tena gauni lake, ambalo lilipandishika bila kikwakozo chochote.


Naam gauni lilitundikwa juu ya kitundikio chake, sasa Deus aliweza kumuona Neela akiwa amebakiwa na bikini na sidiria tu, ambae alipomaliza kutundika nguo akageuka kumtazama Deus na macho yao yalipokutana wote wakatabasamuliana kwa aibu, “utabakia hivyo hivyo mpaka saangapi?” alisema Neela kwa sauti iliyojawa na aibu, tabasamu tamu likiwa usoni mwake na macho akiyakwepesha, huku anafungua nywele zake, ambazo zilimwagika na kulala eneo lote la mgongoni, huku zingine zikiangukia mabegani na kufanya azidi kuwa mzuri.


Ni kama Deus hakuelewa anatakiwa kufanya nini, maana alibaki amesimama anashangaa uumbaji maridadi uliofanyika kwenye mwili wa mschana huyu, mwenye taaluma ya uganga, ambae pia aligundua hilo, “Deus n ivyema ukaacha kunishangaa na ukavua nguo zako tukaoge kwanza, kisha tukapate chakula na hapo mambo mengine yataendelea” alisema Neela, huku anakusanya tena nywele zake na kuzifunga kwa fungu moja, kisha akatembea taratibu mpaka aliposimama Deus na kuanza kumvua tishrt alilovaa kijana wetu, ambae mpaka dakika hiyo, suruali yake ilikuwa inakaribia kuchanika kwa jinsi kiungo cha kupikia kwenye chungu, kilivyokuwa kina jitutumua na kufula kwa hasira ya njaa.


Naaam! Neela alishusha machona na kuiona hali ya dudu ya Deus, akajikuta anacheka kicheko laini, “unanjaa sana Deus, tukaoge kwanza” alisema Neela, kwa sauti ya chini yenye kutawaliwa na aibu, usingedhania kuwa ndio yule kauzu wa siku zile, kauli ile ilimsisimua sana Deus na kumfanya azidi kusimamisha mnazi, ambao ulikuwa unatamani kitumbua cha mrembo huyo.*******


Naaam! sasa twende kusini mwatanzania kwenye kitongoji cha mtamba swala, wilaya ya masasi mkoa wa Mtwara, mita mia mbili toka kwenye daraja kubwa na refu linalokatiza mto ruvuma, ikiwa ni mpaka wa Tanzania na msumbiji, lilionekana gari dogo jeusi aina ya BMW 7 serias, likiwa limesimama pembeni ya barabara, hakuonekana mtu yoyote nje ya gari hilo jipya la kisasa, lililokuwa lina unguruma.
Ghafla wanatokea vijana wawili upande wa kulia wa barabara, wakiwa na box moja kubwa la chuma, lililofungwa kwa kifungio cha namba, lilionekana zito kiasi, vijana hawa wanaelekea moja kwa moja liliposimama lile gari, aina BMW, na wanapolifikia mlango wa sehemu ya kuwekea mizigo, yaani buti, inafunguka na vijana wale wanaweka lile sanduku la chuma, kisha buti linajifunga taratibu na gari linaanza kuondoka huku vijana wale wanalisindikiza kwa macho gari lile ambalo lina tokomea kuelekea upande wa Mangaka, wilaya ya masasi mkoa wa mtwara.*******


Turudini Uganda Kwanza wana JF Vitu anavyopenda jamaa yangu Its Pancho na moneytalk , kule Ajun Serasie Hotel, ghorofa ya sita chumba cha mwisho kabisa, ambacho lisaa limoja lililopita tuliwaacha Deus na Neela wakijianadaa kwenda kuoga, sasa hawapo tena chumbani, ila mlango wa nyuma wa chumba hiki, upo wazi, inashangaza kuna ghorofa ya juu kabisa kuwa na mlango wa nyuma, lakini baada ya kutazama vyema, tunaona kuwa kuna kibaraza kipana upande wa nyuma wa hotel, kibaraza ambacho ukikaa pale unaweza kuona uwanda mkubwa wa ziwa Victoria na watu waliopo kwenye fukwe za jirani na Ajun Hotel, tusiangalie fukwe, tuwaangalie hawa jamaa zetu, yaani Deus na Neela, ambao walikuwa wamekaa kwenye viti vyao, vilivyozunguka meza ndogo, iliyobeba vyakula vya kila aina, ambavyo nikisema nitaje kimoja kimoja nitamaliza kurasa nikivitaja, ila ni vyakula ambavyo mtu yoyote angeamani kuvionja katika maisha yake.


Pia kulikuwa na vinywaji vizuri vya wakati wakula katika mlo kama huu wa mchana, yani juice za matunda, upepo ulikuwa mzuri kulinganisha na mavazi waliyovaa, yaani kaptula fupi kwa Deus, na kifua wazi, na kijichupi kizuri na sidiria kwa Neela, walionekana wenye nyuso za tabasamu, zenye aibu kiasi, waliendelea kula chakula chao cha mchana huku mara kwa mara wakijaribu kutazamana usoni, nakuishia kuoneana aibu kisha kukwepesha macho na kutabasamuliana.


Niwazi kunajambo lilikuwa limetokea kati yao, muda mfupi uliopita, maana sio kwa jinsi walivyo kuwa wanaoneana aibu, nivyema tukijaribu kufukunyua kilichotokea, na tuanzie mara baada ya Neela kumaliza kumvua shati Deus na kufuatia suruali, ambapo alishika mkanda na kubetua, kisha akashika zip na kuishusha huku macho yake yakitazama pembeni, akishindwa tena kuitazama dudu ya kijana huyu, ambayo bado ilikuwa imechachamaa kwa matamanio.


Dakika mbili baadae, tayari Deus alikuwa amesha vua viatu vyake na kumalizia suruali, halafu nakubakia na boxer, wakaingia bafuni, ambako Neela ndie alieanza kupembua bikini yake akifwatia sidiria yake na kumfanya Deus azidi kusimamisha mnazi kwa jinsi alivyo vutiwa na kusisimuliwa na mwonekano wa utupu wa Neela, ambae sasa alikuwa amebakia kama alivyo zaliwa ambae sasa alimgeukia Deus na kuikamata boxer yake na kuanza kuishusha, huku dudu ikiwa ni kikwazo, kwa jinsi ilivyokuwa imesimama, “mh! uwezi kuiambie itulie kidogo” alitania Neele, huku anazamisha mkono wake, ndani ya boxer na kusaidia kuikwamua boxer, kisha akaishusha boxer na kuivua kabisa, huku dudu ikiwa bado imesimama barabara, Deus hakusema kitu zaidi ya kitabasamu, huku kichwani mwake akijiambia kuwa, “leo moto lazima uwake”


Naam mara baada ya kuvuliwa boxer, Deus akashikwa mkono na Neela, kisha akamwongoza kuelekea kwenye sinki kubwa la kuogea, wenyewe wanaita jakuz, ambalo lilikuwa limejaa maji, “ingia humu kipenzi” alisea Neela akimweleza Deus, ambae alikuwa bado katika hali ya ugeni, Deus nae hakuvunga akaingia ndani ya jakuz na kukaa ndani yake huku maji yakimfunika eneo kubwa la mwili, nakubakia eneo la kichwani mpaka kifuani.


Neela nae akafuatia, huku anajilaza kifuani kwa Deus, huku mkono wake mmoja ukielekea moja kwa moja kwenye dudu ya kijana huyu, ambayo aliishika na kuanza kuchezea, macho yake akiyaelekeza usoni kwa Deus, ambae pia alikuwa anamtazama, Neela akisubiri kuona kinachofatia, “usinitazame usoni bwana, nitashindwa” alisema Neela huku anaachia batasamu lenye aibu ya kike, na kukwepesha macho yake kwa kufunika uso wake kifuani kwa Deus, ambae aliishia kucheka kicheko cha kivivu cha chini chini.


Kimya kidogo kikapita, Neela akiendelea kuchezea mwiko mgumu wa Deus, ambao sasa ungeweza hata kuugeuza kuwa nguzo ya mzani wa clinic, kwa jinsi ilivyo simama na kuwa imara, huku Deus ambae hakutaka kuonekana mzubaifu, na yeye akapenyeza mkono wake kwenye kifua cha mschana huyuna kukamata chuchu moja, iliyotulia vyema juu ya ziwa lililojaa vyema la mschana huyu mwenye kila sifa ya kuitwa mrembo, kisha akaanza kuipekecha taratibu, kiasi cha kumfanya Neela avute pumzi ndefu na kuishusha, kwa mtindo wa kutetemeka, ni wazi mschana huyu, alikumbwa na msisiko wa ajabu, kuona kuwa amempatia ndipo deus alipoongeza sifa na kushusha mkono mpaka kwenye eneo la shamba la mapenzi, ambalo kiukweli lilikuwa limetoka kupapaliliwa vizuri na kuanza kupekuwa shamba hilo kwa kupitisha vidole yake taratibu, kati kati ya matuta mawili , ambayo yalikuwa na unyevu unyevu wenye utelezi, kama chungu cha mlenda, kitu ambacho nikama kilimletea raha fulani Neela, ambae alizidi kujiweka sawa ili kumpa nafasi Deus, aendelee kukagua shamba lile, akitafuta zao alilolikusudia.


Hayo yote yalifanyika, huku Neela akiendelea kuchezea dudu ya Deus, ambae mpaka dakika hii, alikuwa akifurahia na kupendezwa na kile kilichokuwa kinaendelea pale Hotelini, kama ilivyokuwa kwa Neela ambae sasa alioendelea kuhisi Deus akipapasa shamba lake, mpaka alipopata kunde, iliyokuwa imejaa tele upande wa juu wa shamba na kuanza kuipekecha taratibu, akifanya kama anaifuta kitu flani, hapo Neela akajikuta anatanua miguu yake taratibu, huku anazungusha kiuno chake na kama haitoshi, akajikuta anasogeza mdomo wake kwenye midomo ya Deus nae akiwa anajuwa anachotakiwa kufanya, wakakutanisha midomo yao na kuanza kunyonyana ndimi zao taratibu, huku kazi za mikono yao zikiendelea kama kawaida.


Kitendo hicho hakikudumu kwa muda mrefu sana, kabla Neela hajajitoa mdomoni kwa Deus na kupanda juu yake lakini kwa kugeuka, yani aligeukia miguuni kwa Deus, na kuiibua ndizi mkonga wa tembo ya Deus na kuisogeza mdomoni, huku akiawa ameachia makalio yake yakimtazama Deus usoni, huku kitumbua kikionekana kwa uwazi kabisa, yeye akaidumbukiza mdomoni ndizi ile, ambayo sifa yake kubwa ni ukiipika moja tu, mnaweza kula watu wawili na kuanza kuinyonya kama vile ina asali au koni za maziwa.


Licha ya kuwahi kusikia kuwa kuna aina hii ya mapenzi, lakini Deus hakuwa amewahi kushiriki hata siku moja, lakini akaona isiwe shida, maana hata kama ni hatari lakini hii ni hatari lakini tamu, hivyo akasogeza mdomo wake kwenye kitumbua cha kunde cha mschana huyu mrembo na kuitafuta kunde, ambayo alipoipata akaanza kuinyonya, kama mtoto mwenye njaa, anapo nyonya ziwa la mama yake, maana aliidumukiza yote, huku anasikilizia jinsi dodo yake ilivyo kuwa ina lambwa kwenye midomo yenye joto ya mschana huyu wakihabeshi, ambae wakati mwingine alikuwa anatoa vijisauti vya kuonjea mchuzi au kula muwa.


Mchezo ulidumu kwa dakika sita nzima, watu wananyonyana sehemu za kutengenezea watoto, “Deus…. nasikia raha mpenzi… endelea kunifanya hivyo hivyo” alisema Neela, kwa sauti iliyolemewa na utamu huku akiacha kunynya dudu na kusikilizia utamu na macho ameyafumba, Deus yeye hakujibu kitu, aliendelea kulamba kitumbua kama simba anae kunywa maji mtoni.


Nikama Neela aliona sasa inatosha na kwamba Deus anauweka usiku, “Deus, mwenzio siwezi tena inatosha mpenzi” alisea Neela huku anajiinua kidogo na kukitoa kitumbua chake mdomoni kwa Deus, kisha akajisogeza mbele kidogo mpaka usawa wa mwiko wa kijana huyu, mwenye asali ya nchi ya #mbogo_land, akaukamata na kuulengesha kwenye kisima chake, kilichopo kwenye shamba lake la kunde, akigusisha kipakulio cha mwiko, kwenye mlango wa kisima chenye utelezi, kisha akajishusha chini taratibu kwa maana ya kuukalia nao ukatelez taratibu ukisugua kuta za kisima kile, ambacho kwa namna moja au nyingine, ungesema hakikutumika sana au kilitumika muda mrefu uliopita, “hoooo! karibu ndani mpenzi” alisema Neela kwa sauti yenye kutetemeka, ikiwa ni msisimko wa utamu wa dudu, kisha akaanza kuzungusha kiuno huku Deus akishika kiuno kile na kuanza kusaidia kukandamiza kwa chini na yeye akizungusha kiuno chake, kama alivyo fundishwa jandoni.


dakika kumi zilipita Neela akiwa anajipimia mwiko, kwenye chungu chake, mule ndani ya jakuzi, kabla hawaja geuka na Neela kuinama, mle mle ndani ya jakuzi, kisha Deus, kuja nyuma yake, na kuendela kupeleka dudu, ndani ya kitumbua, wote wakizungusha viuno vyai taratibu, kama vile wana sindikizwa na music wa taratibu, kiasi cha wote wawili kujikuta wakihema pumzi nzito, kama vile wanafukuza mwizi, Neela akiongeza na miguno kama ya kutumbuliwa kipele uchungu, “ningejuwa nisinge kujibu vibaya siku ile, ningefaidi siku zote nilizokuwa na wewe Congo” alilalamika Neela ambae kama ungemuona wakati ule, usingedhania kuwa ni Doctor mwenye masters yake, kwa jinsi alivyokuwa anazungusha kiuno chake, ungesema ni uzawa wa temeke au buza kule yombo.


Dakika kumi na nane baadae wakaamua kutoka kabisa nani ya jakuz na kusimama wakiwa wametazamana, huku Neela akiinua mguu mmoja ambao Deus aliubania kwapani, huku akizamisha mwiko chunguni, na kazi ikaendelea kwa viuno vya taratibu safari hii wakipelekeana moto, na midomo yao ikiendelea kubadirishana mate, kwa namna flani ya kupendeza, Neela hakuacha kutoa miguno ya utamu, sio kwamba Deus hakusikia utamu, ila alikuwa anausikilizia kimya kimya.


Dakika tatu tu, Neela akatangaza kuchoka kusimama kwa mguu mmoja, hivyo Deus akajuwa anatakiwa kufanya nini na pasipo kuluhusu dudu ichomoke chunguni, akamwinua Neela mzima mzima, miguu yote miwili na kundelea kupeleka dudu chunguni, safari hii Neela aliongeza speed ya viuno na kuchangamsha mchezo, kiasi kwamba maji mwilin yalipotea na kubakia jasho lililokuwa lnaanza kuwachuruzika, lakini hakikuwa kikwazo cha wao kuendelea na kile walicho kianzisha.


Dakika tano zilitosha kumfanya Deus, aone miguu inapungua nguvu hivyo akaona vyema akimpeleka Neela chumbani na akafanya hivyo, akatembea nae, huku amemnyanyua juu juu, na dudu ipo ndani ya kitumbua moja kwa moja anamuweka juu ya meza ya chakula iliyopo pale chumbani, na kuendelea kupeleka dudu, huku akiwa amesimama chini, Neela aliekuwa juu ya meza akitanua miguu, na kuzungusha kiuno kama jiwe la kusagia, nikama alikuwa anasema “ingiza yote” hapo walitumia dakika kumi nyingine, “mpenzi unakulaga nini mbona una nguvu hivyo” aliuliza Neela ambae, alionekana wazi kuwa alisha kata kiu yake mara kadhaa, Deus hakujibu kitu zaidi ya kuishia kutabasamu kivivu, huku akiendelea kukandamiza dudu kitumbuani.


Naam Deus akiwa anaendelea kupeleka dudu taratibu, Neela akaonekana kurudi mchezoni kwa mara nyingene na kuanza kuongeza speed, huku macho na midomo ikianza tena kumlegea, hata dakika tatu mbele, Deus akannyayua Neela kwa mara nyingine dudu ikiwa ndani na kuhamia kitandani, sasa wakaenda kwa mtindo wa kifo cha mende, mtindo ambao sitouelezea sana, ila kiukweli walijikuta wanafurahia kuliko ile mikao ya mwanzo, kwa maana sasa waliweza kugusanisha viuongo vyao vyote, kuanzia midomo pua videvu, vifua na chuchu zao, matumbo yao, viuno hata vinena vyao, huku dudu iliyozama kitumbuani, ikizama na kutoka viuno vikizungushwa vyema, na shina la mhogo lilisugua kunde, mapaja yakikutana magoti hata vidole katika nyayo zao pia ziligusa na kusuguana, “leo nimefaidi Deus, ulienifanya nifanye hivi, niwewe Deus, umenifanya nifaidi…. kweli tamu” alisema Neela wakati akimaliza kufika kileleni, sambamba na Deus ambae alitumia sekunde kadhaa kumwaga mzigo.


Walikuwa wamechoka haswaa, walitulia dakika kadhaa wakihema kwa kumaliza mbio ndefu, kabla hawajashtuliwa na simu ya mezani, toka mapokezi, ambayo ilipokelewa na Neela wenyewe, ikiulizia kama wapo tayari kuletewa chakula, jambo lililo kubaliwa na Neela, kwamba chakula kiletwe..…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
Ebaaa eeh acha nikiri tangu mwanzo wa simulizi hii,hichi kipande ndo kimenikosha zaidi
 
Back
Top Bottom