Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

Sasa hivi sitaki ujinga wa kuifuatilia sijui hadithi au simulizi flani hivi sijui nini.
Hawa wasimuliaji wanatuona sisi kama wajinga flani hivi.
Kumbe wangeleta simulizi zao kwa wakati wangenufaika wao kwa kupata followazi wengi na kufanya biashara yao baadae.
Wasimuliaji kama huyu ni watu wa kuwapotezea tu.
Yako maisha mazuri nje ya hawa wapumbavu
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA NNE
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI TATU: “wacha nikufanyie wepesi kisonge” alisema Deus huku anatazama upande kushoto ambako kuna uwanja wa ndege, akaona kama upande huo sio mzuri kwake, akatazama upande wakulia, akaona chochoro moja yenye giza ya kati ya nyumba na nyumba zile zenye maduka upande huu wa barabara, hapo Deus akakata kona na kuingia upande ule, na kupotelea gizani, Unajuwa nini kilikuwa kinaendelea, basi hebu turudi siku mbili nyumba siku ambayo Deus aliingia ofisini pale MONUSCO, mara baada ya kuingia ghoma akitokea ben,……… ….endelea….


Naam taarifa za maamuzi ya mahakama kuu ya kijeshi iliyoendeshwa kwenye bwalo la mikutano, huko Ben mavivi ya kuondolewa kwa hadhi ya kuwa afisa wa MONUSCO ya askari Deus flank Nyati, zilifika kwa bwana Seveline Khbango anae fanyia kazi katika ofisi ya mipango na ushirikiano pale makao makuu ya MONUSCO mjini Ghoma, ambae alimtaarifu mkuu wake aliekuwa anaishi nchi Rwanda na kuwaeleza habari hiyo inayo muhusu mtu alievuruga mipango yao ya kuwateka madoctor kule Ben, “Seveline, huu ndio wakati ambao tulikuwa tuna usuburi, lazima tumtumie huyu askari kuuwa ndege wawili kwa jiwe moja” alisema Chief wa kutoka Rwanda, (neno Chief watu wa kongo, hulitumia baada ya neno Boss.


Hapo Chief akaanza kufafanua, kwamba waandae vijana kadhaa ambao watashiriki kumkamata Deus, ambae akisha kamatwa wata tangaza katika mashirika makubwa ya habari duniani wakijinadi kuwa wamemteka askari wa Tanzania, hiyo ingewapatia heshima kubwa na kuwa tishio kwa ukanda huu wa Kivu ya kaskazini, na pili watatumia nafasi hiyo kudai mamilioni ya fedha ili wamwachie askari huyo ambae miezi michache iliyopita alijizolea sifa kubwa kama askari shujaa alie waokoa madoctor watatu, toka mikononi mwa waasi wa IDFNALU.


Na kwa kutekeleza mpango huo wakaweka watu kila kona ili kuhakikisha wanamfwatilia Deus kila hatua, ili iwe rahisi kumnasa pindi atakapofika Goma.********


Ilikuwa ni mida ya saa mbili kasoro dakika chache sana, kaskazini nje kidogo ya jiji la goma Kanyaluchina ni neno la moja ya makabila ya mashariki ya Congo, nimeandika kama inavyo tamkwa kilomita nne toka airport pia ni kilomita mbili toka MUNIG Base, lililopo karibu kabisa na Kibhati, hapo tunazungumzia eneo ya opelapee (sio mandishi sahihi ila ndivyo inavyo tamkwa, hiloni neno la kifaransa) eneo ambalo limechangamka sana, hasa kwa kipindi hiki ambacho waasi wa M-23, walikuwa wamesha ondolewa.
Mita kama khamsini hivi toka kwenye geti la ushuru linalo simamiwa na jeshi la serikali ya jamuhuri ya watu wa Congo, walionekana vijana wawili waliokuwa wamesimama pembeni ya piki piki, huku macho yao yakielekea upande wa Munig, ni wazi kuna kitu walikuwa wana kitarajia.


Nawakiwa wamesimama mahali pale, mmoja alie valia shati jekundu na kuchomekea kwenye suruali ya kitambaa aliyofungia mkanda maeneo ya tumbo kichwani akiwa amejivesha kofia nyeusi na kuziba sura yake kwa kepu ndefu ya kofia hiyo, aliweka simu yake sawa, iliyokuwa mkononi mwake na kubofya namba fulani ambayo ilikuwa juu kabisa, kwa maana ilikuwa ndiyo ya mwisho kuipiga iliyoifadhiwa kwa jina la Chief Seveline Khabango, kisha akaiweka sikioni akaisikilizia dakika kadhaa, halafu akaanza kuongea, “chief, una uhakika kweli kuwa wanaingia leo goma, maana kutoka ben mwa leo na kufika mwaleo leo, ni vigumu” aliuliza yule jamaa mwenye kuvalia suruali tumboni, “Kisonge nimepata taarifa wamepita Kibumba muda mrefu, sasa hivi wanaingia goma waenda mbio sana, chunga hapo mpaka wapite na kisha muwafuate mkaone wanaenda kufikia wapi” ilisikika sauti toka upande wapili wa simu, yaani kwa chief Seveline Khabango, “sawa chief sisi tupo hapa tuna chunga (kusubiri)” alisema yule kijana ambae sasa unaweza kumtabua kuwa ni Kisonge, ambae muda wote amekuwa akitafutwa kule ben, kisha akakata simu ambayo hakuiweka mfukoni, aliendelea kuishika mkononi.


“Sijui kama ni kweli, yaani hawa watanzania wanaendeshaje gari, watumie siku moja, toka ben mpaka hapa ghoma, nadhani amefananisha gari” alisema Kisonge, akimweleza yule mwenzie ambae alikuwa bado anatazama barabara, upande wa munig, “mh! ngoja tuone maajabu” alisema yule mwinzie na Kisonge, aliekuwa amevalia koti la baridi na kofia ngumu ya kuendeshea pikipiki, hayo maajabu yaanzaje kuto….” alisema Kisonge na kabla hajamalizia kuonggea akajikuta akitoa macho kwa mshangao, akitazama upande ule ule wa Munig, ambako waliweza kuona mwanga wa taa za gari, lililokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi sana kulisogelea geti la ushuru.


Hawakuhitaji tochi wala mkalimani, kuwaeleza kuwa lile ndilo gari walilokuwa wanalisubiri, yaani gari la MONUSCO toka ben, iliwashangaza sana, wakajikuta wanatazamana kwa mshangao, “kweli hawa ni majeshi” alinong’ona yule mwenye kofia ngumu huku wote wakitazama tena kule lilikokuwa linatokea lile gari, ambalo sasa lilikuwa limesha karibia geti la ushuru, na kupunguza mwendo, kwaajili ya kupita kwenye sehemu ndogo iliyoachwa pale getini kwaajili ya kupita magari yasiyo husika na ushuru.


Wakina Kisonge walilishuhudia gari lile aina ya Toyota Land Cruizer likipita pale getini na kisha kuongeza mwendo kuelekea jijini, walilisindikiza kwa macho mpaka lilipotokomea upande ghoma mjini, huku Kisonge akishtuka na kukumbuka kuwa anatakiwa kulifwatilia lile gari, “washa pikipiki tuondoke haraka” alisema Kisonge huku anaiweka simu yake sawa na kupiga kwa chief Seveline, wakati huo yule mwenzie, akiwa anapanda piki piki na kuiwasha, “Chief, nikweli wamepita” alisema Kisonge huku na yeye anapanda piki piki, ambayo haikuchelewa kuanza safari kuelekea mjini kwa mwendo mkali sana, huku wakiwa wamesha lipoteza gari mbele yao, “wafuatilieni mkajuwe wamefikia wapi, lazima huyo mjinga alipie alichokifanya, hii itawafanya UN na askari wenzake waiogope NALLU” ilisikika sauti ya Chief Seveline, “namimi mwenyewe ninahasirea nae sana, ameniharibia mambo mengi sana” alisema Kisonge kisha wakakata simu huku pikipiki yao ikizidi kushika kasi.


Naam licha ya kukimbia na pikipiki yao, lakini hawakufanikiwa kulipata gari lile, walilolisubiri kwa masaa kadhaa, zaidi walijikuta wamesimama njia panda ya Bhilelee pasipo dalili yoyote ya gari la UN, ndipo Kisonge alipopiga simu kwa Chief Seveline na kumweleza kilicho tokea, “hakuna shida Kisonge, kesho lazima wata kuja hapa ofisini ndipo tutanza kumfuatilia mimi nitampigia Chief aandae vijana wakumshughurikia, maana chief anamtaka akiwa hai ili kuwafanya watanzania watoe fedha nyingi, na pia kutoa tishio kwa majeshi yote ya MONUSCO, na UN kwa ujumla na itakuwa aibu kwao na watatuheshimu” alisema Chief Seveline, kabla hawajakata simu.


Naam siku ya pili ndipo wakaanza kumfwatilia Deus, na kuhakikisha wanafahamu kila anacho kifanya, huku upande mwingine wakiwa wamewaandaa vijana watano walio waamini kuwa wanauwezo mkubwa wakupambana, ambao wange mkamata Deus, huku mmoja akiambatana na Kisonge kumfwatilia Deus na wengine wakisubiri muda muafaka wa kumkamata kijana huyo kabla hajapanda ndege kuelekea nchini kwao, kitu ambacho walifanya watu hao toka kundi hatari la IDFNALU, nikwamba, askari hao watano wa IDFNALU, licha ya kuwa walikuwa wanajiamini kuwa wanauwezo mkubwa kuliko Deus, lakini pia walikuwa na silaha muda wote, ambazo ni AK 47, visu na bastora ili iwe rahisi kwao kumdhibiti kijana huyo.


Siku ya pili ambayo ndio siku ambayo Deus alikuwa amesha kamilisha taratibu za kuvunjiwa mkataba na UN, Seveline aliekuwa ndani ya ofisi za Monustco, alifwatilia kila kitu na hata alipokuwa anatoka pale MONUSCO, akapiga simu kwa Kisonge,
aliekuwa anasubiri nje ya uzio wa ofisi zile, pamoja na askari mmoja toka kwenye kikundi cha waasi, abae sasa ndie alikuwa anaambatana nae katika tracking yao.*****


Wakiwa wanaamini kuwa Deus hakuwa amewaona walimfuatilia mchana kutwa, pale jijini Goma, wakati Deus anafanya manunuzi hata giza lilipoingia na Deus kuamua kurudi kambini, ndipo na wao wakaona kuwa sasa ndio muda muafaka wa kumnasa kijana yule, Kisonge akapiga simu kuwajulisha wale wenzao wanne, kwamba sasa windo lao linaelekea nachinjioni.


Nakile ambacho walikiona kuwa ni kujiingiza kwenye kilengeo kwa Deus, ni baada ya kumwona kijana huy aliekuwa anafuata barabara ya kibati, akichepuka na kuingia kwenye chochoro za mtaa wa bilele, bahati nzuri kwa Kisonge,
kama sio bahati mbaya kwao, tayari wale vijana wanne, walikuwa karibu na eneo la tukio, na kupewa maelekezo ya kujipanga vyema ili kumzunguka Deus waweze kukamata.


Yap! nadhani sasa ndio wakati wa kushuhudia kile kilichotokea, kwa Kisonge na wenzake, hapa mitaa ya Bilele (bilele tafsiri yake ni migomba ya ndizi)


Naam Kisonge akiwa na yule wenzie anaendesha pikipiki walikuwa wamesimama karibu na uchochoro ule wote wakashuka, “sasa sikia Kisonge baki hapa na pikipiki” alisema yule jamaa huku anafungua zip ya koti lake la baridi, na kutoa bunduki aina ya AK 47, ambayo kitako chake kilikuwa kimeondolewa na kuikoki, wakati huo mita kama hamsini toka pale waliposiama, llisimama gari dogo aina ya Toyota spacio, lilisimama na wakashuka vijana wanne wakiwa na Bunduki kaa ile aliyoishika yule mwingine, kisha wakamtazama yule alie simama na Kisonge, ambae aliwaonyesha ishala kuwa ameingia kwenye chochoro iliyokuwa jiani yake.


Hapo mmoja kati ya wale wanne akamwonyesha ishara, yule aliesimama na kisonge kuwa aingie pale chochoroni, kisha akawagawa wale wenzake kwamba waingie kwenye chochoro inayofwata, yani iliyopo pale jirani na waliposimama nao kwa pamoja wakafanya hivyo, yaani yule mmoja akaingia kwenye chochoro aliyoingia Deus, na wale wanne wakaingia kwenye chochoro moja, na walipovuka nyumba mbili wakakutana na chochoro nyingine ambapo wawili wakaingia kwenye chochoro ile na wawili wakaendelea kufwata chochoro iliyonyooka hawakujuwa kuwa wanachokifuata ni kitu kibaya sana.


Huku upande wa barabarani, bwana Kisonge alipiga simu kwa Chief Seveline, ambae hakuchelewa kupokea, “Chief tayari vijana wanamkamata tupo hapa bilele” alisema Kisongea kwa sauti ya chini, “safi sana Kisonge, hakikisha safari hii hakuna makosa zaidi, nisubiri hapo nakuja sasa hivi” alisema Chief Seveline, kwasauti iliyojawa kihoro, na kukata simu. ….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA NNE
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI TATU: “wacha nikufanyie wepesi kisonge” alisema Deus huku anatazama upande kushoto ambako kuna uwanja wa ndege, akaona kama upande huo sio mzuri kwake, akatazama upande wakulia, akaona chochoro moja yenye giza ya kati ya nyumba na nyumba zile zenye maduka upande huu wa barabara, hapo Deus akakata kona na kuingia upande ule, na kupotelea gizani, Unajuwa nini kilikuwa kinaendelea, basi hebu turudi siku mbili nyumba siku ambayo Deus aliingia ofisini pale MONUSCO, mara baada ya kuingia ghoma akitokea ben,……… ….endelea….


Naam taarifa za maamuzi ya mahakama kuu ya kijeshi iliyoendeshwa kwenye bwalo la mikutano, huko Ben mavivi ya kuondolewa kwa hadhi ya kuwa afisa wa MONUSCO ya askari Deus flank Nyati, zilifika kwa bwana Seveline Khbango anae fanyia kazi katika ofisi ya mipango na ushirikiano pale makao makuu ya MONUSCO mjini Ghoma, ambae alimtaarifu mkuu wake aliekuwa anaishi nchi Rwanda na kuwaeleza habari hiyo inayo muhusu mtu alievuruga mipango yao ya kuwateka madoctor kule Ben, “Seveline, huu ndio wakati ambao tulikuwa tuna usuburi, lazima tumtumie huyu askari kuuwa ndege wawili kwa jiwe moja” alisema Chief wa kutoka Rwanda, (neno Chief watu wa kongo, hulitumia baada ya neno Boss.


Hapo Chief akaanza kufafanua, kwamba waandae vijana kadhaa ambao watashiriki kumkamata Deus, ambae akisha kamatwa wata tangaza katika mashirika makubwa ya habari duniani wakijinadi kuwa wamemteka askari wa Tanzania, hiyo ingewapatia heshima kubwa na kuwa tishio kwa ukanda huu wa Kivu ya kaskazini, na pili watatumia nafasi hiyo kudai mamilioni ya fedha ili wamwachie askari huyo ambae miezi michache iliyopita alijizolea sifa kubwa kama askari shujaa alie waokoa madoctor watatu, toka mikononi mwa waasi wa IDFNALU.


Na kwa kutekeleza mpango huo wakaweka watu kila kona ili kuhakikisha wanamfwatilia Deus kila hatua, ili iwe rahisi kumnasa pindi atakapofika Goma.********


Ilikuwa ni mida ya saa mbili kasoro dakika chache sana, kaskazini nje kidogo ya jiji la goma Kanyaluchina ni neno la moja ya makabila ya mashariki ya Congo, nimeandika kama inavyo tamkwa kilomita nne toka airport pia ni kilomita mbili toka MUNIG Base, lililopo karibu kabisa na Kibhati, hapo tunazungumzia eneo ya opelapee (sio mandishi sahihi ila ndivyo inavyo tamkwa, hiloni neno la kifaransa) eneo ambalo limechangamka sana, hasa kwa kipindi hiki ambacho waasi wa M-23, walikuwa wamesha ondolewa.
Mita kama khamsini hivi toka kwenye geti la ushuru linalo simamiwa na jeshi la serikali ya jamuhuri ya watu wa Congo, walionekana vijana wawili waliokuwa wamesimama pembeni ya piki piki, huku macho yao yakielekea upande wa Munig, ni wazi kuna kitu walikuwa wana kitarajia.


Nawakiwa wamesimama mahali pale, mmoja alie valia shati jekundu na kuchomekea kwenye suruali ya kitambaa aliyofungia mkanda maeneo ya tumbo kichwani akiwa amejivesha kofia nyeusi na kuziba sura yake kwa kepu ndefu ya kofia hiyo, aliweka simu yake sawa, iliyokuwa mkononi mwake na kubofya namba fulani ambayo ilikuwa juu kabisa, kwa maana ilikuwa ndiyo ya mwisho kuipiga iliyoifadhiwa kwa jina la Chief Seveline Khabango, kisha akaiweka sikioni akaisikilizia dakika kadhaa, halafu akaanza kuongea, “chief, una uhakika kweli kuwa wanaingia leo goma, maana kutoka ben mwa leo na kufika mwaleo leo, ni vigumu” aliuliza yule jamaa mwenye kuvalia suruali tumboni, “Kisonge nimepata taarifa wamepita Kibumba muda mrefu, sasa hivi wanaingia goma waenda mbio sana, chunga hapo mpaka wapite na kisha muwafuate mkaone wanaenda kufikia wapi” ilisikika sauti toka upande wapili wa simu, yaani kwa chief Seveline Khabango, “sawa chief sisi tupo hapa tuna chunga (kusubiri)” alisema yule kijana ambae sasa unaweza kumtabua kuwa ni Kisonge, ambae muda wote amekuwa akitafutwa kule ben, kisha akakata simu ambayo hakuiweka mfukoni, aliendelea kuishika mkononi.


“Sijui kama ni kweli, yaani hawa watanzania wanaendeshaje gari, watumie siku moja, toka ben mpaka hapa ghoma, nadhani amefananisha gari” alisema Kisonge, akimweleza yule mwenzie ambae alikuwa bado anatazama barabara, upande wa munig, “mh! ngoja tuone maajabu” alisema yule mwinzie na Kisonge, aliekuwa amevalia koti la baridi na kofia ngumu ya kuendeshea pikipiki, hayo maajabu yaanzaje kuto….” alisema Kisonge na kabla hajamalizia kuonggea akajikuta akitoa macho kwa mshangao, akitazama upande ule ule wa Munig, ambako waliweza kuona mwanga wa taa za gari, lililokuwa linakuja kwa mwendo wa kasi sana kulisogelea geti la ushuru.


Hawakuhitaji tochi wala mkalimani, kuwaeleza kuwa lile ndilo gari walilokuwa wanalisubiri, yaani gari la MONUSCO toka ben, iliwashangaza sana, wakajikuta wanatazamana kwa mshangao, “kweli hawa ni majeshi” alinong’ona yule mwenye kofia ngumu huku wote wakitazama tena kule lilikokuwa linatokea lile gari, ambalo sasa lilikuwa limesha karibia geti la ushuru, na kupunguza mwendo, kwaajili ya kupita kwenye sehemu ndogo iliyoachwa pale getini kwaajili ya kupita magari yasiyo husika na ushuru.


Wakina Kisonge walilishuhudia gari lile aina ya Toyota Land Cruizer likipita pale getini na kisha kuongeza mwendo kuelekea jijini, walilisindikiza kwa macho mpaka lilipotokomea upande ghoma mjini, huku Kisonge akishtuka na kukumbuka kuwa anatakiwa kulifwatilia lile gari, “washa pikipiki tuondoke haraka” alisema Kisonge huku anaiweka simu yake sawa na kupiga kwa chief Seveline, wakati huo yule mwenzie, akiwa anapanda piki piki na kuiwasha, “Chief, nikweli wamepita” alisema Kisonge huku na yeye anapanda piki piki, ambayo haikuchelewa kuanza safari kuelekea mjini kwa mwendo mkali sana, huku wakiwa wamesha lipoteza gari mbele yao, “wafuatilieni mkajuwe wamefikia wapi, lazima huyo mjinga alipie alichokifanya, hii itawafanya UN na askari wenzake waiogope NALLU” ilisikika sauti ya Chief Seveline, “namimi mwenyewe ninahasirea nae sana, ameniharibia mambo mengi sana” alisema Kisonge kisha wakakata simu huku pikipiki yao ikizidi kushika kasi.


Naam licha ya kukimbia na pikipiki yao, lakini hawakufanikiwa kulipata gari lile, walilolisubiri kwa masaa kadhaa, zaidi walijikuta wamesimama njia panda ya Bhilelee pasipo dalili yoyote ya gari la UN, ndipo Kisonge alipopiga simu kwa Chief Seveline na kumweleza kilicho tokea, “hakuna shida Kisonge, kesho lazima wata kuja hapa ofisini ndipo tutanza kumfuatilia mimi nitampigia Chief aandae vijana wakumshughurikia, maana chief anamtaka akiwa hai ili kuwafanya watanzania watoe fedha nyingi, na pia kutoa tishio kwa majeshi yote ya MONUSCO, na UN kwa ujumla na itakuwa aibu kwao na watatuheshimu” alisema Chief Seveline, kabla hawajakata simu.


Naam siku ya pili ndipo wakaanza kumfwatilia Deus, na kuhakikisha wanafahamu kila anacho kifanya, huku upande mwingine wakiwa wamewaandaa vijana watano walio waamini kuwa wanauwezo mkubwa wakupambana, ambao wange mkamata Deus, huku mmoja akiambatana na Kisonge kumfwatilia Deus na wengine wakisubiri muda muafaka wa kumkamata kijana huyo kabla hajapanda ndege kuelekea nchini kwao, kitu ambacho walifanya watu hao toka kundi hatari la IDFNALU, nikwamba, askari hao watano wa IDFNALU, licha ya kuwa walikuwa wanajiamini kuwa wanauwezo mkubwa kuliko Deus, lakini pia walikuwa na silaha muda wote, ambazo ni AK 47, visu na bastora ili iwe rahisi kwao kumdhibiti kijana huyo.


Siku ya pili ambayo ndio siku ambayo Deus alikuwa amesha kamilisha taratibu za kuvunjiwa mkataba na UN, Seveline aliekuwa ndani ya ofisi za Monustco, alifwatilia kila kitu na hata alipokuwa anatoka pale MONUSCO, akapiga simu kwa Kisonge,
aliekuwa anasubiri nje ya uzio wa ofisi zile, pamoja na askari mmoja toka kwenye kikundi cha waasi, abae sasa ndie alikuwa anaambatana nae katika tracking yao.*****


Wakiwa wanaamini kuwa Deus hakuwa amewaona walimfuatilia mchana kutwa, pale jijini Goma, wakati Deus anafanya manunuzi hata giza lilipoingia na Deus kuamua kurudi kambini, ndipo na wao wakaona kuwa sasa ndio muda muafaka wa kumnasa kijana yule, Kisonge akapiga simu kuwajulisha wale wenzao wanne, kwamba sasa windo lao linaelekea nachinjioni.


Nakile ambacho walikiona kuwa ni kujiingiza kwenye kilengeo kwa Deus, ni baada ya kumwona kijana huy aliekuwa anafuata barabara ya kibati, akichepuka na kuingia kwenye chochoro za mtaa wa bilele, bahati nzuri kwa Kisonge,
kama sio bahati mbaya kwao, tayari wale vijana wanne, walikuwa karibu na eneo la tukio, na kupewa maelekezo ya kujipanga vyema ili kumzunguka Deus waweze kukamata.


Yap! nadhani sasa ndio wakati wa kushuhudia kile kilichotokea, kwa Kisonge na wenzake, hapa mitaa ya Bilele (bilele tafsiri yake ni migomba ya ndizi)


Naam Kisonge akiwa na yule wenzie anaendesha pikipiki walikuwa wamesimama karibu na uchochoro ule wote wakashuka, “sasa sikia Kisonge baki hapa na pikipiki” alisema yule jamaa huku anafungua zip ya koti lake la baridi, na kutoa bunduki aina ya AK 47, ambayo kitako chake kilikuwa kimeondolewa na kuikoki, wakati huo mita kama hamsini toka pale waliposiama, llisimama gari dogo aina ya Toyota spacio, lilisimama na wakashuka vijana wanne wakiwa na Bunduki kaa ile aliyoishika yule mwingine, kisha wakamtazama yule alie simama na Kisonge, ambae aliwaonyesha ishala kuwa ameingia kwenye chochoro iliyokuwa jiani yake.


Hapo mmoja kati ya wale wanne akamwonyesha ishara, yule aliesimama na kisonge kuwa aingie pale chochoroni, kisha akawagawa wale wenzake kwamba waingie kwenye chochoro inayofwata, yani iliyopo pale jirani na waliposimama nao kwa pamoja wakafanya hivyo, yaani yule mmoja akaingia kwenye chochoro aliyoingia Deus, na wale wanne wakaingia kwenye chochoro moja, na walipovuka nyumba mbili wakakutana na chochoro nyingine ambapo wawili wakaingia kwenye chochoro ile na wawili wakaendelea kufwata chochoro iliyonyooka hawakujuwa kuwa wanachokifuata ni kitu kibaya sana.


Huku upande wa barabarani, bwana Kisonge alipiga simu kwa Chief Seveline, ambae hakuchelewa kupokea, “Chief tayari vijana wanamkamata tupo hapa bilele” alisema Kisongea kwa sauti ya chini, “safi sana Kisonge, hakikisha safari hii hakuna makosa zaidi, nisubiri hapo nakuja sasa hivi” alisema Chief Seveline, kwasauti iliyojawa kihoro, na kukata simu. ….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
Rudi mkuu uendelee... unitag tafadhali
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NNE: Huku upande wa barabarani, bwana Kisonge alipiga simu kwa Chief Seveline, ambae hakuchelewa kupokea, “Chief tayari vijana wanamkamata, tupo hapa bilele” alisema Kisongea kwa sauti ya chini, “safi sana Kisonge, hakikisha safari hii hakuna makosa zaidi, nisubiri hapo nakuja sasa hivi” alisema Chief Seveline, kwasauti iliyojawa kihoro, na kukata simu. ….endelea….

Twende kwanza tugusie kidogo #mbogo_land king dom, katika jiji la Andaki, TTC au Treach Town City, kama watu wa maitaifa mengi wanavyoita, moja kwa moja Gorden House, ambayo kipindi hiki ilikuwa inakaliwa na King Elvis wa kwanza, na ndie ambae lengo letu kwa hapa #mbogo_land, ambae mida hii ya saa moja za usiku bado yupo ofisini kwake, ana pitia baadhi ya majarida ya zamani, mkononi mwake akiwa ameshika jarida lenye orodha ya majina ya askari waliotoroka jeshi la MLA, au kuacha jeshi katika hali tata.

King Elvis, akiwa makini kabisa alitazama majina yale, ambayo yaliandikwa kuanzia miaka mingi iliyopita, tangu kipindi cha mfalme Eugen, moja baada ya jingine akivutiwa na jina la Erasto Kadumya, “kanali ameacha jeshi bila sababu” aliwaza Elvis, huku anatazama tarehe na mwaka ambao Kadumya aliacha jeshi, “nilikuwa na miaka miwili, babu Eugen akiwa madarakani” alijisemea Elvis, huku anafunua kurasa nyingine, na ambayo ilieleza taarifa ya uchunguzi wa kanali Erastor Kadumya, maelezo mbayo yanamwelezea kanal kadumya kuwa licha ya kuwa askari aliehudhuria mafunzo ya juu ya kivita katika vyuo vikubwa vya kijeshi, lakini pia Erasto kadumya, aliwahi kuongoza vyema kikosi maalumu kilicho zima mapinduzi yaliyo fanywa na kanal bakari, huko visiwa vya Comoro miaka ya 2006/2007.
Ukiachilia operation hiyo pia ni mmoja kati ya makamanda ambao, wameshiriki operation katika nchi mbali mbali za Africa, ikiwa pamoja na ECOMOG ( Economic Community of west African States Monitoring Group) huko Liberia miaka ya 94 akiwa kama mkuu wa usalama na utambuzi, wakatika ML SF B, yaani #Mbogo_land Special Force Batallion, ambayo ilifanya vizuri kuliko battalion zote zilizo shiriki operation hiyo chini ya UN na sifa nyingi zikienda kwa Erasto Kadumya, wakati huo akiwa na cheo cha luten, ambae alifanikiwa kupeleleza na kutoa taarifa yakinifu za adui zilizofanikisha kuvishinda vikundi vya waasi wa INPFL kilichoongozwa na Price Johnson, kikipambana na serikali iliyopo madarakani wakati huo ikiongozwa na Charles Taylor, kamanda wa zamani alieongoza mapinduzi ya serikali ya rais Samuel Doe mwaka 1990, akishirikiana na kundi la waasi wa INPFL la price Jonhson kumwondoa rais huyo mwenye sifa ya kuwa askari mwenye cheo kidogo zaidi duniani kufanikisha kupindua nchi, Samuel Doe alifanikisha mapinduzi akiwa askari mwenye cheo cha surgent (sajenti) ambae alisababisha maafa makubwa nchini kwake, pamoja na ukandamizaji wa haki za binadamu, akiongoza kwa ukabira na ukandamizaji wa makabila ya Gio na Mano.

“kwanini aliacha kazi kienyeji hivyo na sasa yupo wapi?” alijiuliza king Elvis ambae bado alikuwa ameshikila lile jarida, ambalo alikueleza juu ya sehemu alipo sasa kanal Kadumya, “ni muhimu kukutana nae na kupata maoni yake” alijisemea Elvis, huku anafunika jarida na kuanza kusoma tena yale majina, ambayo mengi yalikuwa ni ya askari wa ngazi za juu, mpaka anapo tuliza macho yake, kwenye jina la luteni kanali Frank Nyati, “,hili jina Nyati nimelisikia wapi?” alijiuliza ambae ilionyesha kuwa aliacha jeshi ghafla, mwaka 1992, kipindi ambacho katika historia ya #mbogo_land, ndicho kipindi ambacho kiliibuka kikundi cha waasi wa UMD, ikiwa ni miezi michache tangu Kadumya aache jeshi.

Kama ilivyo kuwa alipoliona jina la Kadumya Kadumya, Elvis alifunua kurasa ambayo inamaelezo yanayomhusu luten Kanal Frank Nyati, ambae alielezwa kama afisa wa ngazi ya juu wa jeshi la ML, aliehudhuria mafunzo makubwa ya kijeshi, yanayo husisha matumizi ya silaha nyingi sana duniani na mapigano ya mikono mitupu, muda wote akiandaliwa kama MLSA, na baadae akaja kuwa mlinzi wa Mfalme.

Akiwa anaendelea kusoma maelezo yale, King Elvis aliona kuwa licha ya kuwa mlinzi wa Rais, lakini pia alishawai kuwa mkufunzi mkuu (couse Comander) katika chuo cha usalama wa taifa wa #mbogo_land, na kitu kilicho mvutia sana King Elvis, ni matukio mawili makubwa, ambayo yaliusisha na kumwokoa mfalme Eugen.******

Goma kivu ya kaskazini huko DRC, maeneo ya bhilele giza lilikuwa limesha tanda na kufunika anga kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na nusu saa iliyopita, watu walikuwa wanaona kwa msaada wa taa za umeme, Chief Seveline alisimamisha gari pembezoni mwa safu ya maduka yaliyo pakana na ukuta mkubwa wa Don Bosco.

Seveline alishuka toka kwenye gari wakati huo tayari Kisonge alikuwa amesha sogelea gari, “Chief bado wapo huko ndani tuchunge hapa watatuita tuka mchukue huyo mjinga kiherehere” alisema Kisonge, huku akielekeza macho yake kwenye moja ya chochoro ambayo ilijaa giza nene.

Lakini kwa macho yetu makali, tunaingia chochoroni ambako tuna mwona yule dereva wa pikipiki aliekuwa na Kisonge, mwenye silaha yake mkononi, akitembea kwa tahadhari huku anatazama kushoto na kulia, kila anapokuta chochoro pacha, akidhania kama angemwona kijana Mtanzania ambae angetumika kama kitega uchumi kwa kundi lake la ADFNALU.

Lakini kuna baadhi ya misemo, ilikuwa inamaana na faida kukubwa sana kwa maisha ya sasa, maana kijana huyu kama angezingatia ule msemo wa mtu siyo shati, hakika asingezidi kusogea mbele, maana wakati yeye anaendelea kutembea kusogea mbele, akiamini wenzie wapo mbele na watamweka kati Deus Frank Nyati, alipofika kwenye chochoro ya mbele yake, na kama kawaida akatazama kulia, hakuona mtu, ile anatazama kushoto, akashtuka akidakwa shingo kwa mikono miwili yenye nguvu na kuzungushwa kwa nguvu kurudi kule kule kulia, ikafwatia sauti kama ya kuvunjika kwa kijiti kikavu, “kha!!” hapo mwili wa jamaa huyu ukaonekana kulegea kabisa na kukosa nguvu ukiwa hauna uhai, na kusababisha uanguke chini kama furushi toka begani kwa mchuuzi.

Deus alitazama kushoto na kulia, kuhakikisha hakukuwa na mtu karibu, kisha akachuchumaa karibu na mwili wa yule muasi, lakini ile ananyoosha mkono kuchukuwa bunduki ya yule jamaa nikama alisita ghafla, “bunduki hapana” alinong’ona Deus, ambae wakati huo ilimjia kumbukumbu ya jambo flani.

Kwamba bunduki ndio chanzo cha yeye, kuondolewa huku Goma, MONUSCO, ni pale alipoitumia kujiokoa mwenyewe na kuwaokoa wale madoctor wa WHO, na ndiyo chanzo cha matatizo ambacho kimempelekea kumletea matatizo mengine yaliyo sababisha aondolewe hadhi ya kuwa afisa wa MONUSCO.

Wakati Deus anawaza hayo mara akasikia mchakato wa nyayo nyepesi za viatu za watu zaidi ya mmoja, akatega sikio vyema ilikusikiliza vishindo vile, kwa lengo la kutambua kuwa watu wale walikuwa wangapi na ni wakina nani, “pita upande huo mimi nipite huku, kumbuka boss anamuhitaji mzima” ilikuwa ni sauti ya chini ya kiume iliyokuwa katika mfumo wa sauti mnong’ono.

Hapo Deus aliinuka haraka na kujijibanza kwenye urabaza wa nyumba ya pembeni, ambapo alijibanza mwanzo wakati akimsubiri yule alie kuwa na Kisonge, ambae sasa alikuwa amelala hatua chache mbele yake, sauti ya vishindo lisikika vikitawanyika na upande moja kikizidi kufifia huku upande mwingine kikizidi kuongezeka kusogea upande wake.******

Naam king Elvis akiwa bado ofisini, mwenye mawazo mengi juu ya uibukaji wa tabia ya askari wa jeshi lake la ulinzi na lile la usalama wa taifa na kazi za siri, alikuwa bado anatazama kurasa, iliyokuwa inaelezea habari za luten Kanal Frank, aliemwokoa King Eugen mara mbili, toka katika matukio hatari ya kifo.

Mara ya kwanza, ilikuwa ni tukio la ajali ya mti, licha ya kuwa na ulinzi mkubwa na wenye nguvu, lakini kuna ajali ambayo hata kama unaulinzi kubwa kiasi gani, huwezi kuzuwia, mfano hili tukio la kwanza, ambalo lilitokea miaka minne tangu mfalme Eugen atangazwe kuwa mfalme, siku hiyo alienda kutembelea msitu wa karanga njete, ikiwa nisehemu ya utalii huku bwana Frank akiwa mmoja wa walinzi wa mfalme huyo, kundi la tatu, maana kulikuwa na makundi manne.

La kwanza ni lile ambalo lilikuwa na wanaume sita, wenye miili mikubwa, waliovalia nguo za asili, yaani nguo mfano wa skirt, iliyotegenezwa kwa ngozi laini ya magome ya miti, au ngozi ya nyati pamoja na shati lake, lililotengenezwa mfano wa kizibao cha kuzuwia risasi, yani bullet proof, miili yao iking’aa kwa mapambo mbali mbali ya asili, yenye rangi mbali mbali za bendera ya nchi yao, chini walivalia viatu vya mikanda, vilivyo tengenezwa kwa ngozi ya simba, na kanyagio, (soli) ikiwa ni kwato za Nyati, mkono wa kushoto wakiwa wameshika ngao ya chuma, iliyonakshiwa kwa uji wa dhahabu, na kulia wakiwa wameshika mkuki mrefu wa chuma, wenye kichwa cha dhahabu, hawa walikuwa nyuma na pembeni ya mfalme.

Pia kulikuwa na kundi la pili la walinzi, hili lilikuwa kundi la watu kumi na nne, lenye mchanganyiko wa jinsia, yaani ukiachilia wanawake kumi, ambao kuchaguliwa kwao kufanya kazi kwa mfalme, kulitokana na uzuri au urembo, ambao walionekana wamejifunga nguo mfano wa kanga, viunoni mwao zikiishaia pajani na kifuani pia ziliziba eneo la maziwa, huku kichwani wakifaa kilemba kikubwa ambach kinge weza kutoa magauni hata matatu, kwa jinsi kilivyo tuna na kufungwa kwa mtindo wa kupendeza, sita wa wakiwa na mabakuri makubwa mfano wa rangi ya dhahabu yenye urembo mzuri wa maua, huku ndani yake kukiwa na mauwa mazuri ya kila aina, ambayo waliyamwaga kila mfalme na malikia walipokanyaga.

Huku wanawake wanne, wakiwatazama mfalme na malkia, pia kulikuwa na wanaume wanne, ambao pia walikuwa wanaangalia vazi la falme, na pia kama wajumbe wadogo wadogo, kitu ambacho wengi hawakujuwa ni kwamba hawa kumi na sita ni mawakala wa usalama wa taifa na kazi za siri wa #mbogo_land.
….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NNE: Huku upande wa barabarani, bwana Kisonge alipiga simu kwa Chief Seveline, ambae hakuchelewa kupokea, “Chief tayari vijana wanamkamata, tupo hapa bilele” alisema Kisongea kwa sauti ya chini, “safi sana Kisonge, hakikisha safari hii hakuna makosa zaidi, nisubiri hapo nakuja sasa hivi” alisema Chief Seveline, kwasauti iliyojawa kihoro, na kukata simu. ….endelea….

Twende kwanza tugusie kidogo #mbogo_land king dom, katika jiji la Andaki, TTC au Treach Town City, kama watu wa maitaifa mengi wanavyoita, moja kwa moja Gorden House, ambayo kipindi hiki ilikuwa inakaliwa na King Elvis wa kwanza, na ndie ambae lengo letu kwa hapa #mbogo_land, ambae mida hii ya saa moja za usiku bado yupo ofisini kwake, ana pitia baadhi ya majarida ya zamani, mkononi mwake akiwa ameshika jarida lenye orodha ya majina ya askari waliotoroka jeshi la MLA, au kuacha jeshi katika hali tata.

King Elvis, akiwa makini kabisa alitazama majina yale, ambayo yaliandikwa kuanzia miaka mingi iliyopita, tangu kipindi cha mfalme Eugen, moja baada ya jingine akivutiwa na jina la Erasto Kadumya, “kanali ameacha jeshi bila sababu” aliwaza Elvis, huku anatazama tarehe na mwaka ambao Kadumya aliacha jeshi, “nilikuwa na miaka miwili, babu Eugen akiwa madarakani” alijisemea Elvis, huku anafunua kurasa nyingine, na ambayo ilieleza taarifa ya uchunguzi wa kanali Erastor Kadumya, maelezo mbayo yanamwelezea kanal kadumya kuwa licha ya kuwa askari aliehudhuria mafunzo ya juu ya kivita katika vyuo vikubwa vya kijeshi, lakini pia Erasto kadumya, aliwahi kuongoza vyema kikosi maalumu kilicho zima mapinduzi yaliyo fanywa na kanal bakari, huko visiwa vya Comoro miaka ya 2006/2007.
Ukiachilia operation hiyo pia ni mmoja kati ya makamanda ambao, wameshiriki operation katika nchi mbali mbali za Africa, ikiwa pamoja na ECOMOG ( Economic Community of west African States Monitoring Group) huko Liberia miaka ya 94 akiwa kama mkuu wa usalama na utambuzi, wakatika ML SF B, yaani #Mbogo_land Special Force Batallion, ambayo ilifanya vizuri kuliko battalion zote zilizo shiriki operation hiyo chini ya UN na sifa nyingi zikienda kwa Erasto Kadumya, wakati huo akiwa na cheo cha luten, ambae alifanikiwa kupeleleza na kutoa taarifa yakinifu za adui zilizofanikisha kuvishinda vikundi vya waasi wa INPFL kilichoongozwa na Price Johnson, kikipambana na serikali iliyopo madarakani wakati huo ikiongozwa na Charles Taylor, kamanda wa zamani alieongoza mapinduzi ya serikali ya rais Samuel Doe mwaka 1990, akishirikiana na kundi la waasi wa INPFL la price Jonhson kumwondoa rais huyo mwenye sifa ya kuwa askari mwenye cheo kidogo zaidi duniani kufanikisha kupindua nchi, Samuel Doe alifanikisha mapinduzi akiwa askari mwenye cheo cha surgent (sajenti) ambae alisababisha maafa makubwa nchini kwake, pamoja na ukandamizaji wa haki za binadamu, akiongoza kwa ukabira na ukandamizaji wa makabila ya Gio na Mano.

“kwanini aliacha kazi kienyeji hivyo na sasa yupo wapi?” alijiuliza king Elvis ambae bado alikuwa ameshikila lile jarida, ambalo alikueleza juu ya sehemu alipo sasa kanal Kadumya, “ni muhimu kukutana nae na kupata maoni yake” alijisemea Elvis, huku anafunika jarida na kuanza kusoma tena yale majina, ambayo mengi yalikuwa ni ya askari wa ngazi za juu, mpaka anapo tuliza macho yake, kwenye jina la luteni kanali Frank Nyati, “,hili jina Nyati nimelisikia wapi?” alijiuliza ambae ilionyesha kuwa aliacha jeshi ghafla, mwaka 1992, kipindi ambacho katika historia ya #mbogo_land, ndicho kipindi ambacho kiliibuka kikundi cha waasi wa UMD, ikiwa ni miezi michache tangu Kadumya aache jeshi.

Kama ilivyo kuwa alipoliona jina la Kadumya Kadumya, Elvis alifunua kurasa ambayo inamaelezo yanayomhusu luten Kanal Frank Nyati, ambae alielezwa kama afisa wa ngazi ya juu wa jeshi la ML, aliehudhuria mafunzo makubwa ya kijeshi, yanayo husisha matumizi ya silaha nyingi sana duniani na mapigano ya mikono mitupu, muda wote akiandaliwa kama MLSA, na baadae akaja kuwa mlinzi wa Mfalme.

Akiwa anaendelea kusoma maelezo yale, King Elvis aliona kuwa licha ya kuwa mlinzi wa Rais, lakini pia alishawai kuwa mkufunzi mkuu (couse Comander) katika chuo cha usalama wa taifa wa #mbogo_land, na kitu kilicho mvutia sana King Elvis, ni matukio mawili makubwa, ambayo yaliusisha na kumwokoa mfalme Eugen.******

Goma kivu ya kaskazini huko DRC, maeneo ya bhilele giza lilikuwa limesha tanda na kufunika anga kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na nusu saa iliyopita, watu walikuwa wanaona kwa msaada wa taa za umeme, Chief Seveline alisimamisha gari pembezoni mwa safu ya maduka yaliyo pakana na ukuta mkubwa wa Don Bosco.

Seveline alishuka toka kwenye gari wakati huo tayari Kisonge alikuwa amesha sogelea gari, “Chief bado wapo huko ndani tuchunge hapa watatuita tuka mchukue huyo mjinga kiherehere” alisema Kisonge, huku akielekeza macho yake kwenye moja ya chochoro ambayo ilijaa giza nene.

Lakini kwa macho yetu makali, tunaingia chochoroni ambako tuna mwona yule dereva wa pikipiki aliekuwa na Kisonge, mwenye silaha yake mkononi, akitembea kwa tahadhari huku anatazama kushoto na kulia, kila anapokuta chochoro pacha, akidhania kama angemwona kijana Mtanzania ambae angetumika kama kitega uchumi kwa kundi lake la ADFNALU.

Lakini kuna baadhi ya misemo, ilikuwa inamaana na faida kukubwa sana kwa maisha ya sasa, maana kijana huyu kama angezingatia ule msemo wa mtu siyo shati, hakika asingezidi kusogea mbele, maana wakati yeye anaendelea kutembea kusogea mbele, akiamini wenzie wapo mbele na watamweka kati Deus Frank Nyati, alipofika kwenye chochoro ya mbele yake, na kama kawaida akatazama kulia, hakuona mtu, ile anatazama kushoto, akashtuka akidakwa shingo kwa mikono miwili yenye nguvu na kuzungushwa kwa nguvu kurudi kule kule kulia, ikafwatia sauti kama ya kuvunjika kwa kijiti kikavu, “kha!!” hapo mwili wa jamaa huyu ukaonekana kulegea kabisa na kukosa nguvu ukiwa hauna uhai, na kusababisha uanguke chini kama furushi toka begani kwa mchuuzi.

Deus alitazama kushoto na kulia, kuhakikisha hakukuwa na mtu karibu, kisha akachuchumaa karibu na mwili wa yule muasi, lakini ile ananyoosha mkono kuchukuwa bunduki ya yule jamaa nikama alisita ghafla, “bunduki hapana” alinong’ona Deus, ambae wakati huo ilimjia kumbukumbu ya jambo flani.

Kwamba bunduki ndio chanzo cha yeye, kuondolewa huku Goma, MONUSCO, ni pale alipoitumia kujiokoa mwenyewe na kuwaokoa wale madoctor wa WHO, na ndiyo chanzo cha matatizo ambacho kimempelekea kumletea matatizo mengine yaliyo sababisha aondolewe hadhi ya kuwa afisa wa MONUSCO.

Wakati Deus anawaza hayo mara akasikia mchakato wa nyayo nyepesi za viatu za watu zaidi ya mmoja, akatega sikio vyema ilikusikiliza vishindo vile, kwa lengo la kutambua kuwa watu wale walikuwa wangapi na ni wakina nani, “pita upande huo mimi nipite huku, kumbuka boss anamuhitaji mzima” ilikuwa ni sauti ya chini ya kiume iliyokuwa katika mfumo wa sauti mnong’ono.

Hapo Deus aliinuka haraka na kujijibanza kwenye urabaza wa nyumba ya pembeni, ambapo alijibanza mwanzo wakati akimsubiri yule alie kuwa na Kisonge, ambae sasa alikuwa amelala hatua chache mbele yake, sauti ya vishindo lisikika vikitawanyika na upande moja kikizidi kufifia huku upande mwingine kikizidi kuongezeka kusogea upande wake.******

Naam king Elvis akiwa bado ofisini, mwenye mawazo mengi juu ya uibukaji wa tabia ya askari wa jeshi lake la ulinzi na lile la usalama wa taifa na kazi za siri, alikuwa bado anatazama kurasa, iliyokuwa inaelezea habari za luten Kanal Frank, aliemwokoa King Eugen mara mbili, toka katika matukio hatari ya kifo.

Mara ya kwanza, ilikuwa ni tukio la ajali ya mti, licha ya kuwa na ulinzi mkubwa na wenye nguvu, lakini kuna ajali ambayo hata kama unaulinzi kubwa kiasi gani, huwezi kuzuwia, mfano hili tukio la kwanza, ambalo lilitokea miaka minne tangu mfalme Eugen atangazwe kuwa mfalme, siku hiyo alienda kutembelea msitu wa karanga njete, ikiwa nisehemu ya utalii huku bwana Frank akiwa mmoja wa walinzi wa mfalme huyo, kundi la tatu, maana kulikuwa na makundi manne.

La kwanza ni lile ambalo lilikuwa na wanaume sita, wenye miili mikubwa, waliovalia nguo za asili, yaani nguo mfano wa skirt, iliyotegenezwa kwa ngozi laini ya magome ya miti, au ngozi ya nyati pamoja na shati lake, lililotengenezwa mfano wa kizibao cha kuzuwia risasi, yani bullet proof, miili yao iking’aa kwa mapambo mbali mbali ya asili, yenye rangi mbali mbali za bendera ya nchi yao, chini walivalia viatu vya mikanda, vilivyo tengenezwa kwa ngozi ya simba, na kanyagio, (soli) ikiwa ni kwato za Nyati, mkono wa kushoto wakiwa wameshika ngao ya chuma, iliyonakshiwa kwa uji wa dhahabu, na kulia wakiwa wameshika mkuki mrefu wa chuma, wenye kichwa cha dhahabu, hawa walikuwa nyuma na pembeni ya mfalme.

Pia kulikuwa na kundi la pili la walinzi, hili lilikuwa kundi la watu kumi na nne, lenye mchanganyiko wa jinsia, yaani ukiachilia wanawake kumi, ambao kuchaguliwa kwao kufanya kazi kwa mfalme, kulitokana na uzuri au urembo, ambao walionekana wamejifunga nguo mfano wa kanga, viunoni mwao zikiishaia pajani na kifuani pia ziliziba eneo la maziwa, huku kichwani wakifaa kilemba kikubwa ambach kinge weza kutoa magauni hata matatu, kwa jinsi kilivyo tuna na kufungwa kwa mtindo wa kupendeza, sita wa wakiwa na mabakuri makubwa mfano wa rangi ya dhahabu yenye urembo mzuri wa maua, huku ndani yake kukiwa na mauwa mazuri ya kila aina, ambayo waliyamwaga kila mfalme na malikia walipokanyaga.

Huku wanawake wanne, wakiwatazama mfalme na malkia, pia kulikuwa na wanaume wanne, ambao pia walikuwa wanaangalia vazi la falme, na pia kama wajumbe wadogo wadogo, kitu ambacho wengi hawakujuwa ni kwamba hawa kumi na sita ni mawakala wa usalama wa taifa na kazi za siri wa #mbogo_land.
….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
Bunduki hapana
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NNE: Huku upande wa barabarani, bwana Kisonge alipiga simu kwa Chief Seveline, ambae hakuchelewa kupokea, “Chief tayari vijana wanamkamata, tupo hapa bilele” alisema Kisongea kwa sauti ya chini, “safi sana Kisonge, hakikisha safari hii hakuna makosa zaidi, nisubiri hapo nakuja sasa hivi” alisema Chief Seveline, kwasauti iliyojawa kihoro, na kukata simu. ….endelea….

Twende kwanza tugusie kidogo #mbogo_land king dom, katika jiji la Andaki, TTC au Treach Town City, kama watu wa maitaifa mengi wanavyoita, moja kwa moja Gorden House, ambayo kipindi hiki ilikuwa inakaliwa na King Elvis wa kwanza, na ndie ambae lengo letu kwa hapa #mbogo_land, ambae mida hii ya saa moja za usiku bado yupo ofisini kwake, ana pitia baadhi ya majarida ya zamani, mkononi mwake akiwa ameshika jarida lenye orodha ya majina ya askari waliotoroka jeshi la MLA, au kuacha jeshi katika hali tata.

King Elvis, akiwa makini kabisa alitazama majina yale, ambayo yaliandikwa kuanzia miaka mingi iliyopita, tangu kipindi cha mfalme Eugen, moja baada ya jingine akivutiwa na jina la Erasto Kadumya, “kanali ameacha jeshi bila sababu” aliwaza Elvis, huku anatazama tarehe na mwaka ambao Kadumya aliacha jeshi, “nilikuwa na miaka miwili, babu Eugen akiwa madarakani” alijisemea Elvis, huku anafunua kurasa nyingine, na ambayo ilieleza taarifa ya uchunguzi wa kanali Erastor Kadumya, maelezo mbayo yanamwelezea kanal kadumya kuwa licha ya kuwa askari aliehudhuria mafunzo ya juu ya kivita katika vyuo vikubwa vya kijeshi, lakini pia Erasto kadumya, aliwahi kuongoza vyema kikosi maalumu kilicho zima mapinduzi yaliyo fanywa na kanal bakari, huko visiwa vya Comoro miaka ya 2006/2007.
Ukiachilia operation hiyo pia ni mmoja kati ya makamanda ambao, wameshiriki operation katika nchi mbali mbali za Africa, ikiwa pamoja na ECOMOG ( Economic Community of west African States Monitoring Group) huko Liberia miaka ya 94 akiwa kama mkuu wa usalama na utambuzi, wakatika ML SF B, yaani #Mbogo_land Special Force Batallion, ambayo ilifanya vizuri kuliko battalion zote zilizo shiriki operation hiyo chini ya UN na sifa nyingi zikienda kwa Erasto Kadumya, wakati huo akiwa na cheo cha luten, ambae alifanikiwa kupeleleza na kutoa taarifa yakinifu za adui zilizofanikisha kuvishinda vikundi vya waasi wa INPFL kilichoongozwa na Price Johnson, kikipambana na serikali iliyopo madarakani wakati huo ikiongozwa na Charles Taylor, kamanda wa zamani alieongoza mapinduzi ya serikali ya rais Samuel Doe mwaka 1990, akishirikiana na kundi la waasi wa INPFL la price Jonhson kumwondoa rais huyo mwenye sifa ya kuwa askari mwenye cheo kidogo zaidi duniani kufanikisha kupindua nchi, Samuel Doe alifanikisha mapinduzi akiwa askari mwenye cheo cha surgent (sajenti) ambae alisababisha maafa makubwa nchini kwake, pamoja na ukandamizaji wa haki za binadamu, akiongoza kwa ukabira na ukandamizaji wa makabila ya Gio na Mano.

“kwanini aliacha kazi kienyeji hivyo na sasa yupo wapi?” alijiuliza king Elvis ambae bado alikuwa ameshikila lile jarida, ambalo alikueleza juu ya sehemu alipo sasa kanal Kadumya, “ni muhimu kukutana nae na kupata maoni yake” alijisemea Elvis, huku anafunika jarida na kuanza kusoma tena yale majina, ambayo mengi yalikuwa ni ya askari wa ngazi za juu, mpaka anapo tuliza macho yake, kwenye jina la luteni kanali Frank Nyati, “,hili jina Nyati nimelisikia wapi?” alijiuliza ambae ilionyesha kuwa aliacha jeshi ghafla, mwaka 1992, kipindi ambacho katika historia ya #mbogo_land, ndicho kipindi ambacho kiliibuka kikundi cha waasi wa UMD, ikiwa ni miezi michache tangu Kadumya aache jeshi.

Kama ilivyo kuwa alipoliona jina la Kadumya Kadumya, Elvis alifunua kurasa ambayo inamaelezo yanayomhusu luten Kanal Frank Nyati, ambae alielezwa kama afisa wa ngazi ya juu wa jeshi la ML, aliehudhuria mafunzo makubwa ya kijeshi, yanayo husisha matumizi ya silaha nyingi sana duniani na mapigano ya mikono mitupu, muda wote akiandaliwa kama MLSA, na baadae akaja kuwa mlinzi wa Mfalme.

Akiwa anaendelea kusoma maelezo yale, King Elvis aliona kuwa licha ya kuwa mlinzi wa Rais, lakini pia alishawai kuwa mkufunzi mkuu (couse Comander) katika chuo cha usalama wa taifa wa #mbogo_land, na kitu kilicho mvutia sana King Elvis, ni matukio mawili makubwa, ambayo yaliusisha na kumwokoa mfalme Eugen.******

Goma kivu ya kaskazini huko DRC, maeneo ya bhilele giza lilikuwa limesha tanda na kufunika anga kwa kiasi kikubwa sana, tofauti na nusu saa iliyopita, watu walikuwa wanaona kwa msaada wa taa za umeme, Chief Seveline alisimamisha gari pembezoni mwa safu ya maduka yaliyo pakana na ukuta mkubwa wa Don Bosco.

Seveline alishuka toka kwenye gari wakati huo tayari Kisonge alikuwa amesha sogelea gari, “Chief bado wapo huko ndani tuchunge hapa watatuita tuka mchukue huyo mjinga kiherehere” alisema Kisonge, huku akielekeza macho yake kwenye moja ya chochoro ambayo ilijaa giza nene.

Lakini kwa macho yetu makali, tunaingia chochoroni ambako tuna mwona yule dereva wa pikipiki aliekuwa na Kisonge, mwenye silaha yake mkononi, akitembea kwa tahadhari huku anatazama kushoto na kulia, kila anapokuta chochoro pacha, akidhania kama angemwona kijana Mtanzania ambae angetumika kama kitega uchumi kwa kundi lake la ADFNALU.

Lakini kuna baadhi ya misemo, ilikuwa inamaana na faida kukubwa sana kwa maisha ya sasa, maana kijana huyu kama angezingatia ule msemo wa mtu siyo shati, hakika asingezidi kusogea mbele, maana wakati yeye anaendelea kutembea kusogea mbele, akiamini wenzie wapo mbele na watamweka kati Deus Frank Nyati, alipofika kwenye chochoro ya mbele yake, na kama kawaida akatazama kulia, hakuona mtu, ile anatazama kushoto, akashtuka akidakwa shingo kwa mikono miwili yenye nguvu na kuzungushwa kwa nguvu kurudi kule kule kulia, ikafwatia sauti kama ya kuvunjika kwa kijiti kikavu, “kha!!” hapo mwili wa jamaa huyu ukaonekana kulegea kabisa na kukosa nguvu ukiwa hauna uhai, na kusababisha uanguke chini kama furushi toka begani kwa mchuuzi.

Deus alitazama kushoto na kulia, kuhakikisha hakukuwa na mtu karibu, kisha akachuchumaa karibu na mwili wa yule muasi, lakini ile ananyoosha mkono kuchukuwa bunduki ya yule jamaa nikama alisita ghafla, “bunduki hapana” alinong’ona Deus, ambae wakati huo ilimjia kumbukumbu ya jambo flani.

Kwamba bunduki ndio chanzo cha yeye, kuondolewa huku Goma, MONUSCO, ni pale alipoitumia kujiokoa mwenyewe na kuwaokoa wale madoctor wa WHO, na ndiyo chanzo cha matatizo ambacho kimempelekea kumletea matatizo mengine yaliyo sababisha aondolewe hadhi ya kuwa afisa wa MONUSCO.

Wakati Deus anawaza hayo mara akasikia mchakato wa nyayo nyepesi za viatu za watu zaidi ya mmoja, akatega sikio vyema ilikusikiliza vishindo vile, kwa lengo la kutambua kuwa watu wale walikuwa wangapi na ni wakina nani, “pita upande huo mimi nipite huku, kumbuka boss anamuhitaji mzima” ilikuwa ni sauti ya chini ya kiume iliyokuwa katika mfumo wa sauti mnong’ono.

Hapo Deus aliinuka haraka na kujijibanza kwenye urabaza wa nyumba ya pembeni, ambapo alijibanza mwanzo wakati akimsubiri yule alie kuwa na Kisonge, ambae sasa alikuwa amelala hatua chache mbele yake, sauti ya vishindo lisikika vikitawanyika na upande moja kikizidi kufifia huku upande mwingine kikizidi kuongezeka kusogea upande wake.******

Naam king Elvis akiwa bado ofisini, mwenye mawazo mengi juu ya uibukaji wa tabia ya askari wa jeshi lake la ulinzi na lile la usalama wa taifa na kazi za siri, alikuwa bado anatazama kurasa, iliyokuwa inaelezea habari za luten Kanal Frank, aliemwokoa King Eugen mara mbili, toka katika matukio hatari ya kifo.

Mara ya kwanza, ilikuwa ni tukio la ajali ya mti, licha ya kuwa na ulinzi mkubwa na wenye nguvu, lakini kuna ajali ambayo hata kama unaulinzi kubwa kiasi gani, huwezi kuzuwia, mfano hili tukio la kwanza, ambalo lilitokea miaka minne tangu mfalme Eugen atangazwe kuwa mfalme, siku hiyo alienda kutembelea msitu wa karanga njete, ikiwa nisehemu ya utalii huku bwana Frank akiwa mmoja wa walinzi wa mfalme huyo, kundi la tatu, maana kulikuwa na makundi manne.

La kwanza ni lile ambalo lilikuwa na wanaume sita, wenye miili mikubwa, waliovalia nguo za asili, yaani nguo mfano wa skirt, iliyotegenezwa kwa ngozi laini ya magome ya miti, au ngozi ya nyati pamoja na shati lake, lililotengenezwa mfano wa kizibao cha kuzuwia risasi, yani bullet proof, miili yao iking’aa kwa mapambo mbali mbali ya asili, yenye rangi mbali mbali za bendera ya nchi yao, chini walivalia viatu vya mikanda, vilivyo tengenezwa kwa ngozi ya simba, na kanyagio, (soli) ikiwa ni kwato za Nyati, mkono wa kushoto wakiwa wameshika ngao ya chuma, iliyonakshiwa kwa uji wa dhahabu, na kulia wakiwa wameshika mkuki mrefu wa chuma, wenye kichwa cha dhahabu, hawa walikuwa nyuma na pembeni ya mfalme.

Pia kulikuwa na kundi la pili la walinzi, hili lilikuwa kundi la watu kumi na nne, lenye mchanganyiko wa jinsia, yaani ukiachilia wanawake kumi, ambao kuchaguliwa kwao kufanya kazi kwa mfalme, kulitokana na uzuri au urembo, ambao walionekana wamejifunga nguo mfano wa kanga, viunoni mwao zikiishaia pajani na kifuani pia ziliziba eneo la maziwa, huku kichwani wakifaa kilemba kikubwa ambach kinge weza kutoa magauni hata matatu, kwa jinsi kilivyo tuna na kufungwa kwa mtindo wa kupendeza, sita wa wakiwa na mabakuri makubwa mfano wa rangi ya dhahabu yenye urembo mzuri wa maua, huku ndani yake kukiwa na mauwa mazuri ya kila aina, ambayo waliyamwaga kila mfalme na malikia walipokanyaga.

Huku wanawake wanne, wakiwatazama mfalme na malkia, pia kulikuwa na wanaume wanne, ambao pia walikuwa wanaangalia vazi la falme, na pia kama wajumbe wadogo wadogo, kitu ambacho wengi hawakujuwa ni kwamba hawa kumi na sita ni mawakala wa usalama wa taifa na kazi za siri wa #mbogo_land.
….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
Tuongeze hata 1 ya kulalia
 
Tuongeze hata 1 ya kulalia
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA SITA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA TANO: kwa jinsi kilivyo tuna na kufungwa kwa mtindo wa kupendeza, sita wa wakiwa na mabakuri makubwa mfano wa rangi ya dhahabu, yenye urembo mzuri wa maua, huku wanawake wanne wakiwatazama mfalme na malkia, pia kulikuwa na wanaume wanne, ambao pia walikuwa wanaangalia vazi la falme, na pia kama wajumbe wadogo wadogo, kitu ambacho wengi hawakujuwa ni kwamba hawa kumi na sita ni mawakala wa usalama wa taifa na kazi za siri wa #mbogo_land.….endelea….


Kundi la tatu ni kundi lenye watu thelathini, hili ndilo kundi la Frank, akiwa na miaka miwili tu kazini, cheo chake kikiwa ni private, yaani hakuwa na alama yoyote, kundi hilo lilikuwa na wanaume ishirini na waschana warembo kumi, kitu ambacho unatakiwa ukumbuke ni kwamba, nchi hii ukiachilia utajiri wa madini ya kila aina, na mazao ya misitu yaani miti ya biashara kama mbao matunda na dawa za asili na wanyama wakila aina ambao ni vivutio vya utalii, pia walibarikiwa kuwa na waschana wazuri na warembo kama nilivyokudokeza hapo mwanzo, kuwa malikia Vaselisa, aliwai kutajwa kuwa ni miongoni mwawaschana warembo zaidi duniani, kupata kutokea orodha ikiongozwa na malikia Cleopatra, aliewahi kuitawara Misri, miaka mingi iliyopita.


kundi hili huvaa suit nyeusi viatu vyeusi miwani meusi na mashati meupe ndani, hawa ni MLSA (#Mbogo_Land Secret Agent) ambao licha ya kuwa na bundiki aina Uzi kwenye mifuko ya ndani ya makoti yao ya suit pia sifa kubwa ya kuwa mlinzi wa mfalme ni kuwa na uwezo mkubwa wa kupambana kwa mikono na miguu, (Tae kwa do), hawa walikaa kwa mtindo wa duara, japo ungewaona kama wamezangaa eneo lote ambalo mfalme yupo ungewaona wengine wapo hata mita hamsini toka pale alipokuwepo mfalme.


Kundi la nne ni kundi la watu kumi kundi ambalo walinzi wake walikuwa wamevalia sare za jeshi la #mbogo_land, yaani ML Army, huku wamesheni kivita, yaani silaha aina ya AK 47 kila mmoja akiwa na mikebe tano ya risasi, body armour yani bullet prouf kofia nyekundu damu ya mzee, zilizo watambulisha kuwa ni SF yaani Special Force, pia walikuwa na visu viunoni mwao na kamba ya kunyongea, jina la utani fibe wire, nao pia walivalia miwani nyeusi zenye kusafirisha picha moja kwa moja mpaka SF HQ yaani Specia Force Head Quarter.


Sasa basi, wakati mfalme akiwa katikati ya msitu, wa karanga njete, pembezoni mwa mto Ruvuma, na walinzi wake, mara ghafla mfalme kama aliehisi jambo fulani la hatari, akasimama na kutazama upande wa kushoto ambako ndiko kwenye mto Ruvuma, kilikuwa ni kitendo cha wazi kabisa ambacho kilionwa na kila mtu aliekuwepo mahali pale hivyo wote wakageuka upande ule, kuangalia ni kitu gani mfalme alikuwa anatazama.


Naam! wote wakajikuta wanatoa macho kwa mshangao kama ilivyokuwa kwa mfalme, macho yao yaliweza kushuhudia nyati mmoja mkubwa sana tena dume lililopea likija kwa kasi ya ajabu, likiibuka toka kwenye kichaka cha jirani kuelekea upande alipokuwepo mfalme, hakika ni adui asie tarajiwa, yaani myama huyu hakuwepo katka orodha ya maadui ambao wanaweza kumvamia mfalme, hivyo ilikuwa kama stukizo , shtukizo lilozaa mfarakano mkubwa sana, walinzi na wamwaga mauwa walitawanyika hovyo kiasi huku mabakuri yakiwatoka mikono na kuanguka chini, angalau kidogo SF, ambao walijaribu kutafuta malengo kwaajili ya kumshambilia yule Mbogo, lakini kutokana na kuwa watu walikuwa wametawanyika hovyo, walishindwa kufyatua risasi kwenda kwa Nyati yule ambae alikuwa anatimua mbio kumfwata mfalme Eugen, ambae sasa alikuwa amesimama ana tetemeka kwa uoga na hofu ya kifo.


Kuona hivyo Frank mwenye jina la mnyama huyo, wakati wenzake wakitawanyika kumkimbia yule Nyati yeye akachomoka mbio kumfuata yule Nyati, na bunduki yake aina ya Uzi ameishika mshiko wa kushambulia, h
Hata alipofika usawa yule nyati, akaanza kukimbia nae sambamba huku akiruka majabari ya vichaka vifupi vifupi, huku akiinua bunduki yake kuelekea kwa yule nyati, ni kama alikuwa anakisia malengo yake, ambayo aliyapata sekunde chache baadae na kuanza kumimina risasi kama vile anazihesabu.


Licha ya kutandikwa risasi zilizo enda kugonga kwenye shingo ya myama yule, lakini alionekana kuzidi kumsogelea mfalme Eugen na mke wake, na kumfanya mzee huyo akumbuke kile alicho kifanya babu yake mzaa babu wa babu yake, huyo alikuwa ni King Eric wa kwanza, ambae alipewa jina hilo, kama jina la utani, lililogeuka kuwa jina la ukoo na baadae kuwa jina la nchi.


King Elvia aliendelea kusoma umahiri wa askari huyo mtoro, yaani luten kanali Frank Nyati, ambae alifanikiwa kumdondosha nyati yule, mita chache kabla hajamfikia mfalme, ambae tayari alisha katamaa ya kuepuka hasira ya nyati yule.


Tukio lile lilimpatia sifa kubwa bwana Frank, ambae alipewa hadhi ya kuwa afisa mwanafunzi, yani afisa cardet, na baadae kuhudhuria mafunzo ya kuwa afisa kamili, katika chuo cha maafisa cha SAMA yani South Africa Military Academy, na kupata uluteni kamili, na huku akipelekwa kwenye vyuo mbali mbali vya kijeshi, katika nchi mbali mbali, zenye jeshi lenye nguvu duniani, kupata mafunzo makubwa, ya kijeshi.


Akiwa mwenye nyota tatu, yaani captain, ndio wakati ambao Frank alipo mwokoa Mfalme kwa mara ya pili, likuwa ni tukio la wazi pia, ambalo lilitokea kwenye viunga vya bustani pale Golen House, siku ambayo mfalme alikuwa anaongea na raisi wa Nigeria, huku wanatembea pale bustanini wakitazama ndege wa aina mbali mbali wakiwepo kasuku na tausi wakupendeza, walinzi walikuwa wamesimama mita nyingi pembeni, kasoro waschana sita waliokuwa wakimwaga mauwa, kila alipo kanya mfalme Eugen.


Mmoja kati ya walinzi wale, alikuwa ni Frank leo alikuwa ni mlinzi kati ya walinzi waliovalia suit nyeusi na miwani meusi, anafwatilia na kuhakikisha usalama wa mfalme, ambae alikuwa anaendelea kuongea na kucheka kwa furaha, na kiongozi mwenzie toka west Africa, huko Nigeria “uona uona huo mti” alisema king Eugen, huku anamwonyesha rais mti mmoja mkongwe uliokuwepo kati kati ya bustani ile, yenye istoria kubwa ya kipekee pale #Mbogo_land, akikatiza maongezi ya kibiashara waliyokuwa wanayafanya.


Rais wa Nigeria aliutazama ule mti, kwa sekunde kadhaa, akijaribu kuangalia kitu ambacho Eugen anakusudia kumwonyesha, lakini hakuona zaidi ya mti mkubwa sana uligubikwa na majani mengi, yenye rangi tofauti, na yaliyo jishikiza kwenye matawi makubwa sana, “unanini huu mti mfalme?” aliuliza rais, baada kukosa kuona alichokuwa anakitazama.


Wakati huo Frank alikuwa anaendelea kutazama usalama, Mfalme na mgeni wake….….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA SABA
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA SITA: Rais wa Nigeria aliutazama ule mti kwa sekunde kadhaa, akijaribu kuangalia kitu ambacho Eugen anakusudia kumwonyesha, lakini hakuona zaidi ya mti mkubwa sana uligubikwa na majani mengi yenye rangi tofauti na yaliyo jishikiza kwenye matawi makubwa sana, “una nini huu mti mfalme?” aliuliza rais baada kukosa kuona alichokuwa anakitazama. Wakati huo Frank alikuwa anaendelea kutazama usalama wa Mfalme na mgeni wake….….endelea….


Ambao sasa walikuwa wamesimama karibu kabisa na uvungu wa mti ule mkubwa ulio tandwa na majani mengi ya rangi mbali mbali ambayo kama ukitazama kwa haraka haraka ungeweza kudhania kuwa ni maua ya ule mti, “hebu tazama vizuri kule juu” alisema tena King Eugen na hapo rais wa Nigeria akatazama juu kwa umakini mkubwa na macho yake safari hii yakaona matunda yakining’inia yalikuwa ni matunda yaliyo fanana na maembe lakini alipotazama vizuri, akagundua kuwa majani ya mti huo sio ya maembe ni tofauti na majani ya mti wa muembe.


“ni macho yangu au” aliuliza rais wa Nigeria, huku anatazama tena juu, ambako alikutana na matunda ya mastaferi na hapo akaamua kutazama vizuri na kwa umakini zaidi, ambapo aliweza kuona matunda ya aina mbali mbali, huku akitambua kuwa yale maua ya rangi mbali mbali, haya kuwa maua, ila ni majani ya miti mbali mbali, ndani ya mti mmoja, “inawezekana vipi hii Eugen, mbona inashangaza sana?” aliuliza rais wa Nigeria kwa mshangao, “huu mti mwaka 1840, ulikuwa wa aina moja tu, ambao ulikuwa una tumiwa na ndege wengi sana, kama makazi yao, nao ndio walio sababisha kuota kwa miti mingine juu ya mti huu, kila walipo jisaidia mbegu za matunda walizo kula toka sehemu mbali mbali” alieleza Eugen, “hata king Emil wa saba, alipoona hivyo akaamua kupandikiza mbegu ya miembe mi tatu juu ya mti huu na yakafanikiwa kuota makokwa mawili tu” alisema Eugen.


Naam wakati Eugen anaendelea kusimulia huku Frank akiendelea kuwa tazama kwa umakini, mara akaona tawi moja la mti, likiwa linashuka kwa speed kali sana, usawa wakichwa cha king Eugen, ambapo Frank kwa haraka akajuwa kuwa akimweleza mfalme atoke eneo lile, lazima angechelewa, ni kutokana na kukosa kwa wepesi wa vitendo wa mfalme.


Hapo Frank akatoka mbio kuelekea chini ya mti, ule kubwa, hakika kilikuwa ni kitendo cha haraka sana kilicho hitaji wepesi wa hali ya juu, huku kijana huyo akiwa anawaza atumie njia gani kumwondoa mfalme kwenye njia ya ile dhoruba ya kipande cha tawi la mti maana kumvuta pembeni haikuwa njia sahihi, lazima ingechelewesha na tawi litashuka kichwani kwa mfalme.


Njia sahihi na salama ilikuwa ni kumsukuma mfalme kumwondoa usawa wa dhoruba ya tawi, akuwa na jibu lakini hakuacha kukimbia huku tawi likizidi kushuka huku likikwangua baadhi ya matawi mengine na kusababisha mfalme na mgeni wake wasikie na kutazama juu kuona kulikoni ile sauti ya mvumo wa kuogopesha wa matawi ya miti.


Naam wote wawili waliweza kuona tawi la mti likishuka kwa kasi usawa wa kichwa cha mfalme Eugen na hapo ndipo king Eugen, alipojishika kichwa huku akiinama kidogo kusubiri kile kinachotaka kumtokea huku mgeni wake toka Nigeria akitimua mbio kutoka chini ya mti.


Wakati mfamle akiwa ameshakata tamaa ya kuepuka lile tawi, akashangaa kuona sekunde ambayo alitarajia kusikia akishukiwa na kitu kizito kichwani inapita bila kutokewa na kile ambacho alikitarajia, “fanyeni haraka mnisaidie” ilisikika sauti ya Frank ambae alikuwa amesimama karibu kabisa na mfalme ambae aliinua uso wake kumtazama mlinzi wake huyo.


Hapo mfalme kwa macho yake mawili, akaweza kumuona Frank Nyati, akiwa ameshikilia tawi zito lamti, huku uso wake ukikunja ikinyesha wazi amelemewa na uzito wa tawi lile, la mti wa ajabu, ilishangaza sana, kuanzia uharaka wa ajabu wa mlinzi huyu na uwezo wa kuzuwia lile tawi lenye uzani mkubwa sana, ambao hata ungeshuka kwenye kichwa cha mfalme basi angetangulia mbele za haki.


Sekunde chache baadae wakaongezeka walinzi wengine ambao walimsaidia Frank, kulishika lile tawi na kuliweka pembeni huku rais wa Nigeria akionekana kushangazwa na kitendo kile cha ukozi, ile ilimfanya rais wa Nigeria kuamini kuwa walinzi wa king Eugen wamepatiwa mafunzo mazuri sana.


Hii haikumshangaza sana King Elvis, aliekuwa anasoma maelezo ya Frank Nyati, lakini tukio la tatu ndilo lililo muacha mdomo wazi Elvis, wacha kwanza mida hii ya saa tatu kasoro za usiku kwa saa za #mbogo_land, twende mashariki mwacongo ndani Kivu ya Kaskazini.******


Muda ndio kwanza ulikuwa saa mbili kasoro, giza lilikuwa linazidi kutanda, baada ya kugawana njia na kijana mwenzie muasi wa kikiundi cha IDFNALU, mlinzi huyu aliendelea kufuata njia na kusogea mbele huku bunduki yake fupi aina ya AK 47 ikiwa mkonon mwake, macho yake yakikabiri giza nene ndani ya chochoro ile na kufanya aanze kuona nuru kwa mbali iliyomwezesha kuona kitu au mtu alielala kwenye makingio au makutano ya chochoro iliyopo mbele yake, “mh! nini kile?” alijiuliza yule jamaa huku anaongeza mwendo kufuata kile kitu kilicho lala mbele yake macho ameyakaza kutazama kile alicho kiona kimelala.


Haikuwa bahati kwa kijina huyo, ambae mara tu alipofika karibu na kile alichotamani kukitambua toka mwanzo na kutambua kuwa ni binadamu, hapo hapo akashtuka akishikwa kichwa chache na kuzungushwa kwa nguvu kwenda upande wa kulia ikifwatia sauti ya mvunjiko kama ule wa mfupa wa kuku kwenye meno ya mbwa, ikiashiria kuwa shingo yake imesha vunjika, roho ikaacha mwili huku jamaa huyo akidakwa na kulazwa chini taratibu.


Huyo alie tafuna shingo ya muasi alikuwa ni Deus Frank, “oya kumbukeni chief anamtaka akiwa hai” ilisikika mita chache toka pale alipo kuwepo kijana wetu Deus, ambae aliyasikia vyema maneno yale ya watu waliokuwa wanatembea mita kadhaa toka pale alipokuwepo ikionyesha kwamba walikuwa nyuma ya nyumba iliyopo mbele yake, “ila safari hii tutaingiza fedha nyingi sana tukimpata huyu fala mjuaji” alisikika mwingine akiongea kwa sauti ya chini, ni wazi kwamba watu hao ni kati ya wale walikuwa wanamsaka yeye.


Mpaka hapo Deus akatabasamu kidogo, ni wazi kijana huyu alikuwa ameshapata wazo, hivyo akaanza kutembea kuelekea kule zilikokuwa zinatokea sauti za wale wanaomsaka.*******


King Elvis wa kwanza akiwa bado ofisini, alisoma tukio la tatu, lililofanywa na Frank ambae sasa alikuwa ameshapewa cheo cha major, baada ya tukio la kumuokoa mfalme kwa mara ya pili, sasa alikuwa anasoma tukio la tatu.


Hiyo ilikuwa ni ndani ya kambi la jeshi la Chui, ambalo ndiyo makao makuu ya jeshi la MLA, ilikuwa ni siku ambayo nchi ilipokea silaha mpya toka china, zikiwepo silaha ndogo ndogo zinazotumiwa kuvamia ngome za adui na kuharibu maficho ya adui, kama vile Uzi gun model 1987, ambavyo ndiyo silaha pekee ndogo yenye uwezo wa kubeba risasi tisini kwenye mkebe mmoja, “pia mtukufu mfalme, kuna hili bomu la kutupwa kwa mkono” alisema mwelekezaji aliekuwa na cheo cha major general, alikuwa ameshika kitu flani cha duara cheusi cha chuma, ukubwa wa mpira wa tenes, “mtukufu hili ni bomu la kutupa kwa mkono, linatambuliwa kwa jina la SC HG yani Super Charge Hand Grinade” alieleza kwa kituo yule askari wa jeshi la ulinzi la #mbogo_land, kwa kituo na utulivu mkubwa, “mtukufu mfalme Eugen 25 wa nchi tukufu ya #mbogo_land, bomu hili dogo la kutupa kwa mkono, linauwezo mkubwa sana” alisema yule kingozi na kuweka kituo kidogo, kisha akaendelea.


“mtukufu, bomu hili japo ni lakutupa kwa mkono, lakini kuna vifaa saidizi vya kutupia bomu hili, ambalo kiwango chake cha kulipuka ni joto lenye nyuzi elfu moja, hivyo ingeweza kuyeyusha chuma yenye upana wa milimita kumi mpaka kumi na tano, inatoa vipande mia moja vya chuma pale inapo lipuka. linauwezo wa kulipua eneo la mita za mraba mia tatu, ambalo pia liliumiaka kama ATK, yaani Ant Tank ambapo lilikuwa na uwezo wakulipua na kukata nyororo za kifaru Tank” alieleza yule kamanda, ambae akuishia hapo.


“lakini mfalme, bomu hili udhaifu wake ni kwamba linapo lipuka, linahitaji nafasi ya senti mita kumi mpaka kumi na tano ilikuweza kuleta madhara, yaliyo kusudiwa, vinginevyo lina lipua eneo dogo la mita isiozidi moja” alisema kamanda huku mfalme na walinzi wake wakiendelea kumsikiliza, na Frank akiwa ni mmoja wa walinzi wa Mfalme, waliokuwepo mahali pale wakifwatilia maelezo ya silaha mbali mbali.


“kwa kumalizia mtukufu mfalme nikuonyeshe namna ya kulipua bomu hili” alisema yule major Gen huku analishika vyema bomu lile kwa mkono wake wa kushoto, “kwanza kuna hii pin juu kabisa ya bomu ambayo hujulikana kama sefty Pin, ambayo hutunza usalama wa bomu zima” alieleza yule major Gen, “bomu hili ni kama mabomu mengine ya defensive na offensive hand grenade, ambapo unaweza kuitoa hii pin pasipo kuachia firing heandor yake” alisema yule kamanda huku anabana vyema lile bmu, akiminya kishikio cha msumali wavkufyetulia bomu lile na kutoa ile pin ya usalama wa bomu, “hapo inategemea uwezo wako na kujiamini kwako, ungeweza kutembea na bomu hili hata kwa masaa sita au saba kisha ukarudishia pin sehemu yak…” kabla hajamaliza kuongea yule kamanda, aliekuwa anajaribu kurudisha pin mahali pake, mara lile bimu likamtoka mkononi na kutua chini, huku pin ya kulipua aliotua kwenye eneo la kiwashio, yani ditonator ikisubiri sekunde chache lilipuke.


Hapo kila mmoja akashikwa na butwaa, na kusisimkwa mwili kwa kujuwa sasa ndi muda wa kuelekea kuzimu, maana kwa uwezo wa bomu lile pasingebakia kitu chochote eneo lile kwa mlipuko ambao ungetokea muda fupi ujao kabla hawa jafika mbali, kama wangeamua kukimbia nje ya jengo lile, ambalo ukiachilia mfalme, pia lilikuwa na watu zaidi ya mia mbili…….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
NYUMA YA MLANGO WA ADUI
SEHEMU YA ALOBAINI NA NANE
MTUNZI : Mbogo EDGAR
WHATSAPP : 0743632247
ILIPOISHIA SEHEMU YA ALOBAINI NA SABA: Hapo kila mmoja, akashikwa na butwaa, na kusisimkwa mwili kwa kujua sasa ndio muda wa kuelekea kuzimu, maana kwa uwezo wa bomu lile pasingebakia kitu chochote eneo lile kwa mlipuko ambao ungetokea muda fupi ujao kabla hawa jafika mbali, kama wangeamua kukimbia nje ya jengo lile, ambalo ukiachilia mfalme, pia lilikuwa na watu zaidi ya mia mbili…….endelea….


Watu wakiwa wamekata tamaa ya kuokoa maisha yao ulizuka mtafaruku mkubwa mle ndani kelele za kukata tamaa zenye kuogofya, zilisikika lakini haikuwa hivyo kwa kijana Frank, ambae ungesea alikumbwa na jinni sitofahamu, aliruka kama paka anaekamata panya na kulilalia lile bomu ni baada ya kukumbuka maelezo ya major gen, kuwa bomu hilo linahitaji nafasi kuweza kulea madhara kwa umbali uliokusudiwa, yaani effective range hakuna alieamini kile anacho kiona, yaani kitendo cha Frank Nyati kujitoa mhanga kwa kulalia lile bomu, ambalo licha yavkwamba lingekosa uwezo wa kulipua mita mia tatu, lakini lingeweza kumgawa vipande vipande na pengine kujeruhi watu wajirani yake.


Kilikuwa kitendo cha kushangaza sana, ambacho kilimshangaza kila mmoja, ambapo sasa walikuwa wanahesabu sekunde kusikia bomu likijibu, “jamani tulieni hili bomu halina detonator (kiwashio) wala powder chaji (baruti) haliwezi kulipuka” alisikika yule major general akiwatuliza watu ambao baadhi yao tayari walikuwa wamesha toka nje ya jengo baada ya kusikia kuwa bomu limetoka mkononi kwa muelekezaji.


Hapo Frank akatabasamu huku anajiinua toka pale chini tabasamu lilikuwa ni la kujicheka maana akukumbuka kuwa bomu kama hili huwa alisafirishwi likiwa limekamilika huwa wanatenganisha kiwashio na baruti kuepuka ajali, kwenye meli au ndege inayosafirisha.


Watu walisikiliza kauli ya majoro Gen, na kurejesha utulivu, Lakini licha ya kugundua kuwa bomu lilikuwa tupu bado kila mmoja alishangaa ujasiri wa Frank, wakati huo akiwa major na anafanya kazi MLSA, kati ya walioshangaa ujasiri huu ni mfalme Eugen, ambae aliagiza Frank aje aonane nae ofisini kwake hapo baadae.


Maelezo juu ya Frank, yanasema kuwa hata jioni, Frank alipoenda ofisini kwa mfalme nae akamuuliza, “ni kitu gani kilikufanya ujitolee uhai wako bwana Frank” bila kusita wala kutafuta jibu, Frank akajibuvmtukufu mfalme nilikuwa natekeleza kiapo changu nilicho apa siku najiunga na jeshi kwamba nitajitolea kwa uhai wangu kulinda maisha mfalme” jibu hili lili mpendeza sana king Eugen ambae alimpandisha cheo Frank toka Major kuwa luten kanal na kumrudisha upande wa jeshi, kwamba awe anasimamia mafunzo ya awali jeshini chini ya kitengo cha mafunzo cha COT, yaani Chief Operation and Treaning, “sasa ilikuwaje akakiuka kiapo chake na kukimbia jeshi” alijiuliza king Elvis, huku anafunika jarida lile na kuinuka toka kwenye kiti chake.


Hapo hapo wakasogea waschana sita wenye mabakuri ya maua sambamba na wale vijana wawili, mmoja akimvesha mfalme joho lenye nakshi nyingi za dhahabu, “lazima nipate habari zake huyu Frank” alisema King Elvis huku anaanza safari ya kutoka nje ya ofisi, huku mauwa yana mwagwa kila anapoenda kukanyaga.*******


Turudi Goma maeneo ya bhilele jirani kidogo na airport na chuo cha don bosco bado tupo kwenye vichochoro vya mtaa huu ambao hukaliwa na watu wenye kipato cha kati, walionekana vijana wanne wakikutana kwenye maungio ya chochoro, wote walikuwa na bundukizao mikononi, “vipi huko hamja muona” aliuliza mmoja wao, kwa sauti chini na kabla hawaja jibiwa wakasikia sauti ya vishindo vya mtu, vikitembea kuja upande waliokuwepo oya mzungukieni nyuma huyooo anakuja, alisema yule mmoja wao na wote wakagawanyika na ile sehemu ikawa nyeupe.


Kila mmoja akiwa kwenye maficho yake, mara wakamuona kijana mmoja anaetembea taratibu kusogelea eneo lile la mtego wao nao hawakuwa na haraka sana walimsubiri mpaka alipoingia kwenye maungio ya chochoro, na hapo ndipo wote walipoibuka ghafla toka mafichoni, “mtanzania, tulia hapana leta ujuaji, nitakupiga marisasi yote niliyonayo” alisema yule ambae muongeaji wa muda wote, akitumia sauti ya chini yenye vitisho, huku wote wanne wakiwa wameelekeza mitutu ya bunduki zao kwa jamaa huyo, alieitwa mtanzania na ndie ambae, walikuwa wanamngoja kwa hamu. “jamani sina kitu chochote, labda chukueni simu yangu” alisikika jamaa huyu akiongea kwa sauti yenye uoga wa hali ya juu.


Huyu siyo mwingine ila ni Deus Frank Nyati, ambae aliona kuwa njia rahisi ya kuwakusanya maadui zake ni kujikamatisha, hasa kwa kuwa lengo lao lilikuwa ni kumkamata akiwa mzima kabisa.


Deus aliwatazama wale wanne na ushikaji wao wa bunduki, akaona mitutu yote inamtazama, hivyo akawa mpole na kabla haja jibiwa hoja yake, ghafla alishtuka akikwatuliwa miguu yote miwili, na kujibwaga chini kama furushi, nikama lilikuwa tukio tarajiwa maana Deus hakutuwa vibaya sana, japo alijibwaga chini, “tulia hapo we kenge maji, umesumbua sana machief wetu sasa umekutana na kiboko yako” alisema yule ambae ni kama kiongozi wao ambae muda wote anatoa maelekezo, “sijafanya kitu chochote jamani, naomba mnisamehe” alilalamika kijana Deus, huku akiwatazama wale jamaa wanne kwa umakini mkubwa ilikuona kama kuna mmoja wao anaweza kumpiga risasi.


Deus akiwa pale chini aliweza kumuona yule kiongozi wao, akitoa simu yake, na kuanza kuibofya, “wacha nimueleze Chief tayari tumesha mpata huyo lofa mmoja” alisema yule kiongozi wao huku anaweka simu sikioni, ambayo haikuita kwa muda mrefu, ikapokelewa, “mpo wapi sisi tupo hapa madukani tuna wasubiri” ilisikika sauti upande wapili na wakati huo huo wakaongezeka vijana wengine wawili nao wakiwa na bunduki zao mikononi mwao, “tayari tumesha mkamata mtanzania” alisema yule kingozi kwa sauti ya majigambo, sawa sogeeni don bosco tunakuja upande huo nipo na chief Seveline” ilisikika ile sauti upande wapili wa simu, ambayo kwa haraka ungejuwa tu kuwa ni bwana Kisonge, “sawa chief mtatukuta hapo” alisema yule jamaa, na kumaliza maongezi kisha akakata simu na kuwatazama wenzake, “twendeni fensi ya don bosco…” alisema yule jamaa akitaja eneo la chuo cha Don Bosco, kilichopo mita kama hamsini tu, toka pale walipo, kabla hajasita ghafla huku akiwatazama wale wenzake, “wengine wapo wapi?” aliuliza yule jamaa na wale wenzake wakageukiana kutazamana pasipo kuwa na majibu ya wenzao wapo wapi, jibu alikuwa nalo Deus.


Baada ya kushangaana kwa sekunde kadhaa, yule mkubwa wao akatoa amri ya kuondoka, “twendeni zetu hao watu watatukuta hapo juu” alisema yule kiongozi wao, huku anaonyesha upande wa kaskazini na hapo vijana wawili wakamuinua Deus, ambae hakuwa na mfuko wowote kama tulivyo muona mwanzo, akiwa na begi alilojaza zawadi za wazazi wake, kisha wakaanza kutembea kuelekea upande walio onyeshwa na yule mkubwa wao.


Walitembea kwa haraka wote wakiwa nyuma ya Deus, ambae alikuwa na hamu kubwa ya kumuona huyo Chief wao, vijana hawa sita hawakuwa makini kabisa na bunduki zao, kila mmoja alishika alivyo juwa yeye, japo wote walitazamisha mitutu chini.


Dakika tatu baadae waliibukia kwenye barabara pana kidogo, inayotenganisha don bosco na mtaa wa bilele, ambapo upende wakulia ungeona majengo ya wananchi na upande wakushoto, ungeona ukuta mkubwa uliotengenezwa kwa mawe makubwa.


Naam kitendo bila kuchelewa ile wanafika tu, Deus akakwatuliwa tena miguu yake na kujikuta akifikia makalio pale chini, “walee wanakuja” alisema yule kiongozi wao, huku anatazama upande wa barabara kuu na wenzake wakafanya hivyo na kuweza kuwaona watu wawili, ambao kwa umbali waliokuwepo, usingeweza kuwatambua kuwa ni nani na nani lakini walikuwa wanakuja upande wao.


Deus aliongeza umakini kuwatazama watu wale, ambao kila walipozidi kusogea, ndipo alipoanza kumtambua mmoja wao, yani kijana Kisonge, ila walipowafikia tu, Deus akamtambua yule wapili kuwa ni Seveline afisa wa MONUSCO kitengo cha ushirikiano na mausiano ya kijamii, ambae mchana wa leo alimuona pale kwenye ofisi za MONUSCO, muda fupi kabla hajawaona Kisonge na yule mwenzie mwendesha pikipiki.


“habari yako ya ujuaji imefikia mwisho sasa” alisema Kisonge huku akimtazama Deus kwa macho yaliyojaa kejeli na tabasamu la kuchukiza, “mpuuzi sana wewe umeharibu mambo mengi sana kwa kimbele mbele chako na sasa wewe ndio utakuwa chambo” alisema tena Kisonge, kwa sauti iliyojaa chuki na dharau, Deus akiwa pale chini hakujibu kitu chochote zaidi ya kumtazama Kisonge kwa makini sana ungesema kuwa anataka kumchora, “mume fanya kazi nzuri sana vijana wangu sasa kilichobakia ni, ni kuwasiliana na vyombo vya habari ili waanze kutangaza tukio hili” alisema bwana Seveline, huku anaotoa simu mfukoni na kubofya kidogo, akitafuta namba ya mtu fulani, “hebu mchukueni akapakizwe kwenye gari, mpelekeni kibumba, tukavukie pale kumpeleka Rwanda ambako atahifadhiwa mpaka siku wakitoa fedha na ndipo tutajua tumfanyie nini huyu mshenzi” alisema Seveline huku anaendelea kutafuta namba ya simu.


Baada ya kusema hivyo yule kingozi wa wale vijana akawatazama wenzake kama vile anawahesabu, “hivi hawa mbona wanachelewa sana?” aliuliza yule jamaa huku anatazama pande zote, kama angewaona wale wengine watatu, “kwani kuna wenzenu hawapo hapa?” aliuliza Seveline kwa mshangao lakini hakuna kati yao aliekuwa na jibu, zaidi ya kijana wetu Deus ambae alikuwa bado yupo chini, ambae sasa aliona kuwa huu ndio wakati sahihi wa kufanya jambo lake, “kwanini munawatafuta wafu kati ya walio hai?” aliuliza Deus huku taratibu anapeleka mkono wake wakulia kwenye mguu wake wakulia karibu kabisa na shingo ndefu ya kiatu chake yaani buti, “unasemaje wewe?” aliuliza yule kiongozi, huku anamsogelea kwa haraka Deus pale chini alipokuwa amekaa.


Deus alimuhesabia hatua kijana huyu huku anapapasa eneo lile la mguu na kukamata kisu chake, “nadhani umenisikia vizuri kaka, wenzenu washa kufa bado nyie” alisema Deus kumghadhabisha zaidi yule jamaa, “unasemaje we mjinga usinilazimishe nikuuwe” alisema yule jamaa ambae sasa alimfikia Deus na kuvuta mguu wake kisha akapeleka teke la nguvu kuelekea usawa wa ubavu wa Deus hakika lilikuwa ni kosa kubwa sana kwake, maana akujuwa kile anachokofanya ndicho Deus alichokiitaji….. …….endelea…. kufwatilia mkasa huu wa NYUMA YA MLANGO WA ADUI unao kujia hapa hapa jamii forums
 
Mupo kimya sana nikahis wote mumehamia Facebook na YouTube
 
Mupo kimya sana nikahis wote mumehamia Facebook na YouTube
Sisi tunakusikilizia wewe tu,nyuzi isheheni episode kuliko comments.

Maana ningesema Kwa nitakavyo Mimi ningekuambia weka vipande vitano Kwa siku sema tu wewe ndio umeamua kuweka story watu tuburudike.

Sema pia Huwa mnazingua nyinyi waleta story🤓 huwa hamsemi mwanzoni kabisa mwa simulizi kama hamtaimaliza simulizu mpaka tuje WhatsApp.

Ila story yako ya kwanza uliimaliza hapahapa jf big up.
 
Sisi tunakusikilizia wewe tu,nyuzi isheheni episode kuliko comments.

Maana ningesema Kwa nitakavyo Mimi ningekuambia weka vipande vitano Kwa siku sema tu wewe ndio umeamua kuweka story watu tuburudike.

Sema pia Huwa mnazingua nyinyi waleta story🤓 huwa hamsemi mwanzoni kabisa mwa simulizi kama hamtaimaliza simulizu mpaka tuje WhatsApp.

Ila story yako ya kwanza uliimaliza hapahapa jf big up.
Na hata hii itaisha hapa hapa
 
Back
Top Bottom