Simulizi: Shanga za Bibi zilivyonipa umaarufu

Simulizi: Shanga za Bibi zilivyonipa umaarufu

Simulizi ya kweli....... SHANGA YA BIBI ILIVYONIPA UMAARUFU!!!!!!
Msimuliaji............. KIDAWA

Umri.........18+

Sehemu ya 18

Tulipoishia......Kidawa ameambiwa inabidi alale na jini linalomsumbua na kumpa mikosi kwenye mahusiano yake!Cha ajabu wakiwa katika harakati za kufanya mapenzi Kidawa anaona damu zimetapakaa kitandani na anajua bikra ilishatolewa na John,je ni nini?
Songa nayo.....

Bakora ya Jabir ilivyoingia pangoni nilihisi kama inachana kitu ndani nikainua kichwa ili nione ni nini?
Nilishangaa mashuka yalikuwa yametapakaa damu nilishangaa nikajiuliza ni nini?maana bikra ilishatolewa zamani na John!
Utamu ulinizidia bakora ya Jabir ilikuwa inanigusa sehemu ambazo sijawahi kuguswa kabisa,hata damu ile sikuijali tena nikaipuuzia mbali!
Kazi yangu ikawa kunyonga kiuno kuendana na kasi ya Jabir,akipeleka kulia mi napeleka kushoto,akinyongea chini mi na peleka juu.
Hali ilikuwa tete Jabir alikuwa kidume haswa alisimamia ukucha haswa!!!
"Oooosshhh!my....ooooohhhhsssshhh my Jabir.....https://jamii.app/JFUserGuide meeeeeee!!!!!!ooohhh yes.....Jabirrrrrrrrr"
Nilitoa milio Kidawa iliyomchanganya hata Jabir akaona kumbe ananikuna panapowasha akaongeza kasi,nikamzuia Kisha nikampa mbuzi kagoma kwenda na aligoma kweli.Jabir akaanza kumsukuma mbuzi mtukutu huku anashika shanga zangu ambazo ziliniongezea muwasho haswa!
Mapenzi aliyonipa Jabir yalikuwa hayaelezeki japo nae aliikubali show yangu,
Baada ya muda kama saa zima kupita ndipo tuliachiana Jabir akamtoa nyoka wake pangoni aliyekuwa kalegea anang'aa kwa mafuta ya kitumbua changu!
"Kidawa!",aliniita muda huo nimelaza kifuani kichwa changu mkono wangu unachezea bustani ya mapenzi!
"Abee!mpenzi!!"
"Umenifukuza!!"
Aliposema vile nilishtuka sana nikijiuliza nimemfukuza kivipi tena jamani Jabir wangu!!!
"Mbona sikuelewi mpenzi!!"
"Umenifukuza Kidawa!"
Safari hii aliongea huku anasimama akashuka kitandani akasimama pale alipotokea mwanzoni!
"Jabir!",nilimuita huku namnyooshea mkono!
Jabir aliniangalia muda huo nguo zilisharudi mwilini wake,machoni alitoa machozi ya damu.
Nilimuonea huruma hasa kutokana na mapenzi matamu aliyonipa.
Jabir akapotea,moyoni nikabaki na huzuni nilipokaribia kumwaga machozi tu nilisikia nafinywa huku napigwa makofi!
Nilishtuka nikajikuta niko uchi,Bi Mwana ndiye aliyekuwa ananifinya na kunipiga makofi!
"We unataka kufanya nini?"
"Kwan nimefanyaje mama?"
"Usimlilie,hutakiwi kulia ukilia atakuja tena!"
Niliamka nikakaa kitako nilipoangalia godoro niliona damu zimetapakaa pale chini na kitumbua changu zilikuwa zinatoka japo si sana!!!
"Mama damu!",Nilimuambia Bi Sandra huku nikiwa na hofu kubwa moyoni mwangu!
"Hahahahahaaaaa,Safi sanaaaa!!"
Nilishangaa anacheka na huku hapo nina mawazo kama yote!
"Mama kwani ni nini,mbona unacheka?"
"Hilo ni agano mwanangu,kupitia hiyo damu imechanganyana na yake hawezi kukurudia tena uko huru sasa mwanangu!"
Moyoni nilihisi kufarijika maana ile aibu n dharau sasa vitapungua nilisema nikirudi lazima nifanye kitu!!!!
"Haya lala mwanangu ngoja mi nikalale,tutaonana kesho hakujakucha nilikuja kukushtua usiharibu dawa!"
"Sawa mama!"
Niliinuka nikijihisi mwepesi sana nikakojoa nikarudi kulala!

*********

Asubuhi kulikucha nikaamka na furaha sana,nilitoka nje nikamkuta Bi Mwana kashaamka anaota zake jua!
Nilimsalimia akaitikia kwa uchangamfu mkubwa,Ila tofauti na siku zingine nilimuona alikuwa akiangalia sana jua,ikabidi nimuulize.
"Mama,mbona unaangalia sana jua?"
"Mmmhh!acha tu mwanangu!"
"Kuna tatizo mama!"
"Hapana naliangalia sababu kuna siku zinakuja sitaliona tena hili jua!"
"Unamaanisha nini mama?"
"Mida mwingine ni vzuri kuyatoa maisha yako kwa ajili ya wengine ambao bado hawajaonja matunda ya dunia!"
Nilimuacha nikaendelea zangu na usafi nilipomaliza akaniita!
"Abee mama!"
"Toa kile kigodoro chako nje?"
"Mama kina damu lakini!"
"Kilete hapa!"
Nikaingia ndani nikakitoa nje kile kigodoro nikamletea!
"Kiweke chini hapo!",nikakaa Kisha akaniambia nikikalie usawa wa ilipo ile damu,sikusita nikafanya hivyo,Kisha akaniambia nifumbe macho.Nilihisi vitu vinatembea mwilini mwangu kuanzia miguuni mpaka kichwani!
Vilipofika kichwani niliskia kizunguzungu nikafumbua macho!
Niliona maluweluwe tu!Bi Mwana akanipiga kofi nikawa kama nimezinduka usingizini.
"Unajiskiaje?"
"Kizunguzungu na kichwa kinauma!"
Ok sawa kitapoa muda si mrefu ngoja mi niingie ndani nikapumzike!
Nilikaa nikatulia kichwa kikapoa,nikawasha simu yangu maana huwa naizima kutunza chaji na usumbufu!
Nilikuta meseji nyingi Ila sikuzisoma nikaitafuta namba ya yule bodaboda aliyenileta nikamwagiza vitu vya kupika aniletee na jiko la mkaa!
Alipoleta nilianza kupika pilau nyama na madikodiko kibao.
Nilipoivisha nilimuamsha akaja tukala huku ananisifia sana kuwa najua kupika kama Bi Sandra!
"Hapana simfikii maana yeye ndiyo kanifundisha!"
Tulipiga stori za hapa na pale Kisha usiku ukaingia tukalala,kukakucha nikaamka kama kawaida yangu!
Nikatoka nje lakini cha ajabu sikumkuta Bi Mwana nje kama kawaida yake,nikajiuliza au katoka?
Nilirudi ndani nikaingia chumbani kwake nilishtuka Bi Mwana alikuwa bado amelala kitandani!
Nilisogea nikamuamsha akaniitikia kidogo akawa amenipa matumaini!
"Shikamoo mama!"
"Marahaba mwanangu!",alinijibu kwa sauti ambayo haikuchangamka kama kawaida yake!
"Sijakukuta nje ndiyo maana nikawa nina wasiwasi maana siyo kawaida yako!"
"Sidhani kama ntatoka ndani mwanangu ishakuwa mtihani kuliona jua tena!"
"Unamaanisha nini mama!"
"Safari,Safari mwanangu Safari yangu"
Maneno yake yalinipa uchungu nikamkumbuka Bi Sandra na yeye alianzaga kuniambia maneno yake ya ajabu haya ya safari mwisho akafariki!
Nilimsogelea nikamshika mkono machozi yalinitoka!
"Mama usiniache!"
"Mwanangu inabidi uishi bado una mengi ya kufanya duniani,wengine tushamaliza!",aliongea huku anatabasamu!
"Mama usiniache jamani,bado nahitaji msaada wako mama!"
"Nashukuru sana Mungu kwa kuwa safari yangu inafika huku nina mtu wa kuniita mama!"
"Mamaaaaaa!!",maneno yake ni kama msumari yaliuchoma moyo wangu haswa!!!
Aliingiza mikono akatoa kitu ambacho sikupata tabu kukijua ilikuwa ni "SHANGA!"
Kisha akanishika mkono akanipa ile shanga akaniambia..
"UTAKUWA MTAMU KULIKO ASALI,UTAPENDWA KULIKO PESA NA UTATAFUTWA KULIKO DHAHABU NA ALMASI,KIUNO CHAKO CHUNGA SANA NDOA ZA WATU KUANZIA SASA WEWE NI HATARI KWA AFYA YA NDOA ZA WATU!!"
Alipomaliza kusema vile mkono wake ulilegea akafumba macho yake kichwa chake kikaanguka pembeni!
"Mamaaaaaaaaaa!!!"

JE NINI KIMETOKEA????BI MWANA KUNANI?NA VIPI KIDAWA NA SHANGA ZAKE??
 
Simulizi ya kweli........SHANGA YA BIBI ILIVYONIPA UMAARUFU!!!!!!!
Msimuliaji................ KIDAWA
Umri ......... 18+

Sehemu ya 19

Ilipoishia.....,....Bi Mwana anampa Kidawa Shanga kisa anafumba macho yake ikiwa haijulikani kama amekufa au vipi!
Songa nayo.......

"Mamaaaaaaa!!",nilipaza sauti baada ya kuona Bi Mwana katulia tuli!
Nilianza kulia kwa sauti kiasi kwamba watu wakaanza kuja pale!!
Haikuwa siri tena,ulikuwa msiba Bi Mwana hatukuwa naye tena!
Walianza taratibu za kumpumzisha katika makazi yake ya milele!
Hadi kufikia jioni tayari alikuwa ameshazikwa walikuja watu kama siku mbili tatu!mwisho nikabaki peke yangu!
Nilianza kupanga safari Ila nilifanya utaratibu nikampata mtu wa kukaa pale nilipompata kesho yake niliondoka nikarudi zangu Dar huku nikiwa na matumaini kuwa Sasa ntakuwa huru!!!!

***********

Nilipofika chuo nilikutana na maswali mengi,Marafiki zangu waliniuliza nilipokuwa maana nilichelewa kama siku tatu hivi!
"Shoga ulikuwa wapi?"
"Nilikuwa nyumbani best!"
"Mmhh!umechelewa halafu mbona umechakaa hivi besti na hizo nywele mmhh!!"
Alikuwa ni Jenny rafiki yangu anayesimama na Mimi yanapotokea matatizo!
Nilitoka nikamwomba Jenny anisindikize Kariakoo,huko niliingia Benki nikadroo kama milioni moja nilikuwa na hasira sana!
Niliingia saluni nikamwambia rafiki yangu atengeneze nyweye yoyote anayotaka!
Niliangalia msuko mzuri uliogharimu laki mbili,niliona utanipendeza na Jenny akachagua pia msuko wa laki pamoja na kucha na kila kitu tulitumia laki tatu na nusu tulipotoka hapo tukaenda Robby one fashion kinondoni nikafanya shopping ya laki tano pesa iliyobaki nikamfanyia na Jenny shopping kisha tukarudi chuo!
"Haloo mama!",siku hii alinipigia mama yangu mzazi!
"Ivi wewe mtoto una nini??huwezi hata kututafuta wazazi wako!"
"Hapana mama!nilikuwa bize mnisamehe!"
"Aya sisi tunasafiri leo utarudi nyumbani?"
"Hapana mama!"
"Sawa ntakuwekea pesa kwenye akaunti yako mwanangu ikusaidie!"
"Sawa mama,upo na baba?"
"Ndio huyu hapa!"
"Haloo baba!"
"Haloo mwanangu!"
"Shikamoo baba!"
"Marahaba hujambo!"
"Sijambo nimewamiss!"
"Tumekumiss pia mwanangu,mi kesho ntakutumia pesa leo atakutumia mama!"
"Sawa baba!"
Yani wazazi wangu walikuwa kama wanashindana hawaulizi hata kama nina hela au vipi?
Nilianza maisha mapya Ila sasa nikiwa nina lengo la kubadilisha maneno yaliyosambaa pale chuoni!
"Mmh!Kidawa siku hizi unavaa shanga besti!?"
Aliniuliza Jenny siku moja nikiwa nabadili nguo hosteli!
Nilianza harakati zangu za kutaka kubadilisha maneno ya kuwa Kidawa ni gogo kitandani hajiwezi!
"Mambo Kidawa!"
"Safi nambie!",siku hii nilikutana na Samir,huyu alikuwa rafiki yake sana na James aliyenitangaza na kunichafua chuoni!
"Umependeza sana Kidawa siku hizi unawaka!!"
"Mmh!hapana mbona siku zote!",nilimjibu kwa uchangamfu ili apate nguvu ya kuendelea kuniongelesha si unajua majibu mabaya yanakatisha mzuka!
"Hapana,siku hizi unawaka kama taa yani siku hizi umekuwa kama malaika fulani hivi aliyepotea njia akajikuta kaangukia kwenye hii dunia yetu"
"Hahahahahahaaaa!kumbe una vituko ivi Samir?"
"Hapana yaani hapa naiona dalili ya kugalagala kabisa usinifanyie tu ya Hamida!"
"Hahahahahahhahaaaaaaaaa",maneno yake yalinikuta namkaribisha azidi kuongea stori zake zilinifurahisha sana.(wanawake wengi wanapenda kucheka,ukiona unamtongoza demu akacheka ni ishara nzuri kwa mabaharia)
"Unaenda wapi malikia!"
"Mmmhh!Samir bhana mi sio malikia naenda hapo nje kutafuta chakula!"
"Basi naomba niwe bodyguard wako kwa leo kama hutojali!"
"Hahahahaaa!!!Samir bhana utaniua mbavu zangu jamani!"
Samir alijikuta kaniteka kimaongezi na vile nami nataka kusafisha jina langu nikakubali kujiweka kwake!
Nilienda nikachukua chakula akajipendekeza akanilipia nikaona isiwe tabu nikakubali Kisha tukarudi tukabadilishana namba nikaingia hosteli na yeye akasepa zake!
Usiku nikiwa nimelala naperuzi mtandaoni iliingia meseji WhatsApp!
"Happy birthday!",!nilishtuka sana sababu haikuwa birthday yangu!
"But leo siyo birthday yangu?"😲😲
"Hapana,sijamaanisha ivyo Kidawa!"
"Nani kwanza!"🤔
"Ni Mimi Samir!"😉
"😆😆😆😆😆😆"
"Mbona unacheka😰😰"
"Basi tu nimekumbuka vituko vyako!"
"Unajua kwanini nimekwambia happy birthday?"
"No,una maana gani?"
"Kuongea na wewe leo kwangu ni kama najihisi nimezaliwa upya,nikajua pengine na kwako utakuwa unahisi ivyo!"
"Mmmhh,una maana gani?"😔
"Nina hisia na wewe mi sijali watu wanasema nini kuhusu wewe!".
"Unajali nini!?"
"Nachojali ni hisia zangu kwako mpenzi!"
"Watakucheka Samir nami naogopa nilishang'atwa na nyoka nikiiguswa na jani nashituka!"
"Niko tayari kwa lolote Kidawa!"
Sikutaka kumuwekea mazingira magumu ya kujielezea ,nilimkubalia hili anisaidie kusafisha jina langu!
Tulianza mahusiano ambayo Samir alikuwa ananijali sana kiasi kwamba nilianza kumpenda kijana huyu mwenye sura kama msomali!
Baaba ya wiki tulipanga tukutane sehemu tukagusanishe hasi na chanya ,panya na paka!!
Siku hii ilikuwa jumamosi nilijipamba haswa nikahakikisha kila napopita lazima vidume watumbue macho!
Nilienda nikalipia chumba kwenye hoteli kubwa ya kifahari,kisha nikampigia Samir nikamuelekeza akaja!
Alifika mlangoni muda huo nilivua nguo zangu nimevaa kigauni chepesi chenue rangi ya damu ya mzee ambacho kinaonyesha mpaka chupi yangu nyeupe ndani,chuchu zangu zilisimama vizuri zikakinyanyua kigauni changu unaweza kusema zitakitoboa!
Wowowo langu la kuvunja changa lilikabinua kagauni na kuweka bamsi la maana!Mguuni nilivaa cheni na kiuno changu kilipambwa kwa shanga nilizopewa na Bi Mwana Tanga!
Samir alifika akagonga mlango nikamwambia apite mlango uko wazi!!!
Alifungua mlango lakini aliponiona aliganda kama sanamu,sijui alidata na nini niliona suruali yake ilivyotuna kwa mbele ghafla!!!

KUMEKUCHA SAMIR KAONA NINI?JE KIDAWA NDIO KUDEMA KASHAKUWA KUNGWI AU ATATOA BOKO?! USIKOSEEEEEE
 
Simulizi ya kweli........SHANGA YA BIBI ILIVYONIPA UMAARUFU!!!!!!
Msimuliaji ..............KIDAWA
Umri...........18+

Sehemu ya 20

Tulipoishia........KIDAWA anataka kujisafisha kujitoa kwenye kashfa aliyopewa na James aliyemchafua kwa kusema yeye si lolote si chochote kitandani!!
Songa nayo..........

Samir alifika akafungua mlango macho yake yakatua kitandani nilipokuwa nmekaa kitandani nimekunja nne huku mapaja yangu laini yakiwa wazi kwa mbali akawa anaiona chupi yangu chuchu zangu zilivyochongoka!
Aliduwaa,ikabidi nisimame nikampe ramani,nilipiga hatua zangu taratibu mwendo wa kimiss!
Nikafika hadi mlangoni nikanyoosha mkono wangu hadi kwenye mkanda wa suruali yake nikamshika nikamvutia ndani!
Nikafunga mlango kisha nikambania ukutani,nadhani hakuamini bado kama ni mimi ndiyo nafanya yale!
Pale ukutani nikamsogelea shingoni nikautoa ulimi wangu nikaanza kuilamba shingo yake kama nalamba asali kiganjani!
Nilikuwa na nyege hatari,maana tangu nifanye mapenzi na jini Jabir sijaguswa tena,kipele kiliwasha haswa Ila sikutaka kuruhusu nyege zinitawale nilitaka niutawale mchezo!
Nilipitisha mkono mpka ndani ya suruali ya Samir nikaishika bakora,akashusha pumzi ndefu kwa utamu.
Kama haitoshi nikamsogelea sikioni kisha nikaanza kumnong'oneza maneno ya kumuamshia hisia,maneno ya kimalaya Malaya hasikwambie mwanamke unatakiwa uwe malaya chumbani wanaume wanapenda sana sasa jitie mwema uone!!Yatakukuta yaliyonipeleka Tanga!
"Nishike chuchu mpenzi,Leo nataka unitie hadi nikojoe kojo la tembo baby!"
Niliongea kwa sauti ya kunong'oneza sikioni hapo Samir ndipo akashtuka akaanza kuzipapasa kwa mikono yake!
Sikumpa nafasi anitawale!Mimi sio yule Kidawa tena!Nilishakuwa kungwi tena kungwi haswa!
Niliingiza ulimi kwenye sikio lake maskini Samir alishindwa hata kuchezea chuchu akaacha akaanza kutoa kelele za mahaba!
"Oooohhhh!!aaasshhhhhhhh eeeeeeehhhhooooshhhhh!"
Alilalamika sikujali nikaufungua mkanda wa suruali yake na zipu nikaichomoa bakora yake nje ambayo ilikuwa ndefu pana kiasi nikaendelea kuisugua kama naipigisha punyeto!
Baada ya hapo nikamshika kiuno nikamuongoza mpaka kwenye sofa nikamkaliza pale nikamvua suruali yake na shati akabaki uchi kama alivyozaliwa.
Nikachukua asali nikaipaka kwenye bakora yake nikaanza kuilamba huku vidole vyangu vikicheza na pumbu zake niliinyonya mboo yake kwa ufundi wa hali ya juu.
"Oooohhhh!!ooohhhhh!!ooohhhhh!!!ooohooohhhh!!!!"
Alilia nilipoanza kuzilamba pumbu zake kama nanyonya ubuyu wa Zanzibar muda huo bakora yake nimeshika naipigisha punyeto.
"Aaasssshhhhhhhhooooooohhhhhhassssshhhho"
Alimwanga wazungu wake wakanirukia kwenye kigauni changu nikamsogelea kumpa denda hili kumuweka sawa!
Ndimi zetu zikakutana tukaanza kudendeka kisha baada ya hapo nikamwambia!
"Pole mtoto mzuri!"
"Ahsante!",akajibu.
Muda huo Sasa ndio nikakivua kigauni changu chepesi nikabaki ndani ya chupi nyeupe kiuno changu kilipambwa kwa shanga za Bi Mwana!
Mpaka hapo nilianza kuona mabadiliko,Kidawa namchezea boy mpaka anakojoa siyo mchezo!!!
Nilimuacha kwenye sofa anashangaa nilipovua kigauni nikamgeuzia nyuma kwanza aone shepu langu la maana!
Hakukuwa na mziki ila nilijifanya kama nakatika kama nacheza mziki hivi huku natikisa bambataa langu!
Uzalendo ulimshinda Samir akaja kwa nyuma akanishika kiuno huku bakora yake ilishasimama tayari ikinigusa gusa matakoni!
Nikafanya makusudi kumsogezea msambwanda Samir ambaye naye nadhani alitaka kunionyesha ufundi wake,alianza kupitisha ulimi wake mgongoni kwenye uti wa mgongo nilisisimka sana nikahisi ubaridi wa ajabu,aliendelea kama dakika mbili hivi!
Kisha nikamuona anaishika bakora yake anataka kuizamisha pangoni nikamzuia!
"Subiri Samir,ndege wako huyu manati ya nini!"
Nilichukua asali nikaipaka kwenye chuchu zangu,kitovuni na kwenye kitumbua changu Kisha nikalala chali kitandani Kisha nikamuita!
"Unanitiaje sasa hata hujafaidi chuchu zangu nyonya iyo asali mpenzi!"
Samiri akaanza kuilamba asali iliyotapakaa kifuani kwenye chuchu zangu.
Nilihisi shoti ya umeme alivyozigusa chuchu zangu kwa ulimi wake,Kitumbua kililowa kisimi kikasimama kwa nyege!
Samir alilamba asali yote,Sasa ikabaki ya kwenye kitumbua,alipofika hapo ulimi wake ulivyonigusa nilichanganyikiwa macho yalilegea haswa ,si unajua kisimi na ulimi ni Kulwa na Dotto ndiyo uskatae kisimi utamu wake ulimi bhana!!
Nilipanua miguu nikawa nanyonga kiuno changu taratibu utamu ulifika kwenye utamu!
Alininyonya mpaka nikapiga bao langu safi ndipo nikainuka Sasa nimekuwa mwepesi!
"Sasa hapo sawa baby,twende kilingeni Sasa tukagangane!"
Niliinuka nikainama iyo sasa mbuzi kagoma ,naipenda hii staili sababu naiskia huko kwenye maini maini na mapafu hasa ukikutana na mashine zenyewe!
"Samir alikuja akapiga magoti nyuma yangu akapenyeza bakora yake taratibu ikazama pangoni!"
"Oooohhhhssshh so sweet!"
Nilitoa sauti baada ya kumkaribisha nyoka pangoni,sauti tamuuuuu si unajua Kidawa nimefundwa nikafundika!
Sikusubiri aanze kunisugua nilianza kujisugua mwenyewe nilianza kuzungusha kiuno changu taratibu huku nauskilizia utamu wa bakora ile!
"Samirrr,aaasshhhhhh,aaahhhhhhhh ooooohhhhsshhh https://jamii.app/JFUserGuide mmeeeeeeee ooohhh tamuuuu tamu baby aaaahhhhhh!"
Hili ndio somo la kwanza nililopewa na Bi Mwana,milio ya kimahaba.Ni siraha kwa mwanamke hii inampa nguvu mwanaume ya kuona unafurahia kile unachokifanya siyo kuguna kama unaimba wimbo wa Rayvanny na Willy pol mmmhh,mmmh,mmhh jamani toeni milio ndio nishakuwa kungwi mwenzenu😆😆😆😆.
Basi tuiache milio Samir alinitia ikafika hatua anataka kumaliza hata kabla sijapiga bao nikampunguzia kasi ya kiuno changu kwanza wazungu wakarudi ulaya,nikainuka nikaona huyu hasintanie atavunja vipi dafu kabla yangu?
Nikamlaza chali nikampandia juu Sasa nikaanza kujipimia ,nakapenda aka kastahili maana hapa unachukua saizi yako!
Nilihisi inanichoma choma kwenye gololi zangu!
Nilihisi muda wa kufika mwisho wa safari unakaribia na vile nimeshaona Samir ni mchovu hana mikito ya kutisha!Nilishika mkono wake nikamshikisha chuchu zangu!
Utamu ulikuja, jamani nani alikiumba kilele hamna raha kama kufikishwa wataalamu wanasema , mwanamke kufika kileleni inampa afya yaani kuna faida nyingi kwa mwanamke kufika kileleni!
"Aaaashhhhhh!!https://jamii.app/JFUserGuide meee ooohhh yeahhh https://jamii.app/JFUserGuide meeee aaasshhhh oooohhh ooohh tamu Samir nitie haraka haraka nakojoa!"
Kasi ya kiuno iliongezeka kwa kiasi kikubwa nilikuwa nakaribia kufika mwisho wa safari na hata Samir alikuwa njiani .
Niliposhusha tu mzigo wangu na Samir akashusha mzigo kila mtu akatulia binafsi nilitaka kuendelea Ila Sam bakora yake ililegea ilikuwa ni lazima nimpe muda kidogo!Ila ilikuwa ni lazima anipe tena hawezi nipandisha kilima mara moja!Niliinuka nikaenda bafuni kujisafisha!Mara Samir naye akaingia nilipoangalia nilishangaa sana!

UNAHISI KASHANGAA NINI KIDAWA?MIMI NA WEWE HATUJUI USIKOSEEEEEE
 
Back
Top Bottom