Simulizi ya kweli....... SHANGA YA BIBI ILIVYONIPA UMAARUFU!!!!!!
Msimuliaji............. KIDAWA
Umri.........18+
Sehemu ya 18
Tulipoishia......Kidawa ameambiwa inabidi alale na jini linalomsumbua na kumpa mikosi kwenye mahusiano yake!Cha ajabu wakiwa katika harakati za kufanya mapenzi Kidawa anaona damu zimetapakaa kitandani na anajua bikra ilishatolewa na John,je ni nini?
Songa nayo.....
Bakora ya Jabir ilivyoingia pangoni nilihisi kama inachana kitu ndani nikainua kichwa ili nione ni nini?
Nilishangaa mashuka yalikuwa yametapakaa damu nilishangaa nikajiuliza ni nini?maana bikra ilishatolewa zamani na John!
Utamu ulinizidia bakora ya Jabir ilikuwa inanigusa sehemu ambazo sijawahi kuguswa kabisa,hata damu ile sikuijali tena nikaipuuzia mbali!
Kazi yangu ikawa kunyonga kiuno kuendana na kasi ya Jabir,akipeleka kulia mi napeleka kushoto,akinyongea chini mi na peleka juu.
Hali ilikuwa tete Jabir alikuwa kidume haswa alisimamia ukucha haswa!!!
"Oooosshhh!my....ooooohhhhsssshhh my Jabir.....https://jamii.app/JFUserGuide meeeeeee!!!!!!ooohhh yes.....Jabirrrrrrrrr"
Nilitoa milio Kidawa iliyomchanganya hata Jabir akaona kumbe ananikuna panapowasha akaongeza kasi,nikamzuia Kisha nikampa mbuzi kagoma kwenda na aligoma kweli.Jabir akaanza kumsukuma mbuzi mtukutu huku anashika shanga zangu ambazo ziliniongezea muwasho haswa!
Mapenzi aliyonipa Jabir yalikuwa hayaelezeki japo nae aliikubali show yangu,
Baada ya muda kama saa zima kupita ndipo tuliachiana Jabir akamtoa nyoka wake pangoni aliyekuwa kalegea anang'aa kwa mafuta ya kitumbua changu!
"Kidawa!",aliniita muda huo nimelaza kifuani kichwa changu mkono wangu unachezea bustani ya mapenzi!
"Abee!mpenzi!!"
"Umenifukuza!!"
Aliposema vile nilishtuka sana nikijiuliza nimemfukuza kivipi tena jamani Jabir wangu!!!
"Mbona sikuelewi mpenzi!!"
"Umenifukuza Kidawa!"
Safari hii aliongea huku anasimama akashuka kitandani akasimama pale alipotokea mwanzoni!
"Jabir!",nilimuita huku namnyooshea mkono!
Jabir aliniangalia muda huo nguo zilisharudi mwilini wake,machoni alitoa machozi ya damu.
Nilimuonea huruma hasa kutokana na mapenzi matamu aliyonipa.
Jabir akapotea,moyoni nikabaki na huzuni nilipokaribia kumwaga machozi tu nilisikia nafinywa huku napigwa makofi!
Nilishtuka nikajikuta niko uchi,Bi Mwana ndiye aliyekuwa ananifinya na kunipiga makofi!
"We unataka kufanya nini?"
"Kwan nimefanyaje mama?"
"Usimlilie,hutakiwi kulia ukilia atakuja tena!"
Niliamka nikakaa kitako nilipoangalia godoro niliona damu zimetapakaa pale chini na kitumbua changu zilikuwa zinatoka japo si sana!!!
"Mama damu!",Nilimuambia Bi Sandra huku nikiwa na hofu kubwa moyoni mwangu!
"Hahahahahaaaaa,Safi sanaaaa!!"
Nilishangaa anacheka na huku hapo nina mawazo kama yote!
"Mama kwani ni nini,mbona unacheka?"
"Hilo ni agano mwanangu,kupitia hiyo damu imechanganyana na yake hawezi kukurudia tena uko huru sasa mwanangu!"
Moyoni nilihisi kufarijika maana ile aibu n dharau sasa vitapungua nilisema nikirudi lazima nifanye kitu!!!!
"Haya lala mwanangu ngoja mi nikalale,tutaonana kesho hakujakucha nilikuja kukushtua usiharibu dawa!"
"Sawa mama!"
Niliinuka nikijihisi mwepesi sana nikakojoa nikarudi kulala!
*********
Asubuhi kulikucha nikaamka na furaha sana,nilitoka nje nikamkuta Bi Mwana kashaamka anaota zake jua!
Nilimsalimia akaitikia kwa uchangamfu mkubwa,Ila tofauti na siku zingine nilimuona alikuwa akiangalia sana jua,ikabidi nimuulize.
"Mama,mbona unaangalia sana jua?"
"Mmmhh!acha tu mwanangu!"
"Kuna tatizo mama!"
"Hapana naliangalia sababu kuna siku zinakuja sitaliona tena hili jua!"
"Unamaanisha nini mama?"
"Mida mwingine ni vzuri kuyatoa maisha yako kwa ajili ya wengine ambao bado hawajaonja matunda ya dunia!"
Nilimuacha nikaendelea zangu na usafi nilipomaliza akaniita!
"Abee mama!"
"Toa kile kigodoro chako nje?"
"Mama kina damu lakini!"
"Kilete hapa!"
Nikaingia ndani nikakitoa nje kile kigodoro nikamletea!
"Kiweke chini hapo!",nikakaa Kisha akaniambia nikikalie usawa wa ilipo ile damu,sikusita nikafanya hivyo,Kisha akaniambia nifumbe macho.Nilihisi vitu vinatembea mwilini mwangu kuanzia miguuni mpaka kichwani!
Vilipofika kichwani niliskia kizunguzungu nikafumbua macho!
Niliona maluweluwe tu!Bi Mwana akanipiga kofi nikawa kama nimezinduka usingizini.
"Unajiskiaje?"
"Kizunguzungu na kichwa kinauma!"
Ok sawa kitapoa muda si mrefu ngoja mi niingie ndani nikapumzike!
Nilikaa nikatulia kichwa kikapoa,nikawasha simu yangu maana huwa naizima kutunza chaji na usumbufu!
Nilikuta meseji nyingi Ila sikuzisoma nikaitafuta namba ya yule bodaboda aliyenileta nikamwagiza vitu vya kupika aniletee na jiko la mkaa!
Alipoleta nilianza kupika pilau nyama na madikodiko kibao.
Nilipoivisha nilimuamsha akaja tukala huku ananisifia sana kuwa najua kupika kama Bi Sandra!
"Hapana simfikii maana yeye ndiyo kanifundisha!"
Tulipiga stori za hapa na pale Kisha usiku ukaingia tukalala,kukakucha nikaamka kama kawaida yangu!
Nikatoka nje lakini cha ajabu sikumkuta Bi Mwana nje kama kawaida yake,nikajiuliza au katoka?
Nilirudi ndani nikaingia chumbani kwake nilishtuka Bi Mwana alikuwa bado amelala kitandani!
Nilisogea nikamuamsha akaniitikia kidogo akawa amenipa matumaini!
"Shikamoo mama!"
"Marahaba mwanangu!",alinijibu kwa sauti ambayo haikuchangamka kama kawaida yake!
"Sijakukuta nje ndiyo maana nikawa nina wasiwasi maana siyo kawaida yako!"
"Sidhani kama ntatoka ndani mwanangu ishakuwa mtihani kuliona jua tena!"
"Unamaanisha nini mama!"
"Safari,Safari mwanangu Safari yangu"
Maneno yake yalinipa uchungu nikamkumbuka Bi Sandra na yeye alianzaga kuniambia maneno yake ya ajabu haya ya safari mwisho akafariki!
Nilimsogelea nikamshika mkono machozi yalinitoka!
"Mama usiniache!"
"Mwanangu inabidi uishi bado una mengi ya kufanya duniani,wengine tushamaliza!",aliongea huku anatabasamu!
"Mama usiniache jamani,bado nahitaji msaada wako mama!"
"Nashukuru sana Mungu kwa kuwa safari yangu inafika huku nina mtu wa kuniita mama!"
"Mamaaaaaa!!",maneno yake ni kama msumari yaliuchoma moyo wangu haswa!!!
Aliingiza mikono akatoa kitu ambacho sikupata tabu kukijua ilikuwa ni "SHANGA!"
Kisha akanishika mkono akanipa ile shanga akaniambia..
"UTAKUWA MTAMU KULIKO ASALI,UTAPENDWA KULIKO PESA NA UTATAFUTWA KULIKO DHAHABU NA ALMASI,KIUNO CHAKO CHUNGA SANA NDOA ZA WATU KUANZIA SASA WEWE NI HATARI KWA AFYA YA NDOA ZA WATU!!"
Alipomaliza kusema vile mkono wake ulilegea akafumba macho yake kichwa chake kikaanguka pembeni!
"Mamaaaaaaaaaa!!!"
JE NINI KIMETOKEA????BI MWANA KUNANI?NA VIPI KIDAWA NA SHANGA ZAKE??