I asecond you bro,Kumbuka
Endapo tutaendelea kuhuwianisha yaliyomo ndani ya simulizi na mazingira halisia tutakuwa tunavunja sheria za nchi.Ikumbukwe kwamba Hii ni simulizi
Na tuache kutaja majina ya watu wanaotambulika kwenye jamii zetu. Tukiendelea hivyo huenda ikawa na ......ending of Presdent and I.
Sent using Jamii Forums mobile app
ThanksI asecond you bro,
sio busara kuhuisha yaliyopo kwenye riwaya na mambo ambayo mtu aliwahi kuyasikia au kuyashuhudia.
Kule kuko salama kabisa, cha msingi hapa msitaje jina la mtu jamani hata kama story inaendana na mazingira fulani......wengine tumeanza kujuajua kikorea [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]. Stay tuned on Wednesday......Dahhh huyu mtunga hadithi huko anapo ipost amejihakikishia kwamba yupo salama kweli !!?
Lol " hahaha .... aise ..mpaka Wednesday tena duh !! Sinitakufa mimiKule kuko salama kabisa, cha msingi hapa msitaje jina la mtu jamani hata kama story inaendana na mazingira fulani......wengine tumeanza kujuajua kikorea [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]. Stay tuned on Wednesday......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hhha hautakufaLol " hahaha .... aise ..mpaka Wednesday tena duh !! Sinitakufa mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni nini??Dahhh huyu mtunga hadithi huko anapo ipost amejihakikishia kwamba yupo salama kweli !!?
Sawa tunasubiri
Thnx indeed nduguBila shaka kila mmoja anatamani kuendelea kuifuatilia simulizi hii kwa ukaribu zaidi. Lakini kumbuka mapumziko pia yanakusaidia ufanye na shughuli zako zingine. Ijumaa usicheze mbali na kumbuka kula kizuri na ndugu yako. Sio wewe tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya Queen Monica umeisoma?Nimesoma story nyingi za kijasusi but hii is the best ikiifuata PENIELA
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina popcorn hapa naisubiri stori