Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameanza kumchapa kwa Kojoleo lakeTogo kufika tu mjini akaanza kusasambua papuchi ya mwenyeji wake
Mbona hamna connection? Imekuwaje kuwaje hadi wamefika kudinyana?Cha ajabu sasa, wakati nageuka kutazama kule zile damu zilikokuwa zikimwagika, nilishangaa kuona kinachotoka si damu bali maji na wala hakuna dalili yoyote ya damu. Tayari kaka zangu walishafika na kunikuta nikihangaika kujifunga ile khanga niliyopewa, wakataka kujua nini kimetokea
Kelele hizo kumbe hata baba na yule mwenzake walizisikia, nao wakaja haraka kutaka kujua nini kimetokea.
Je, nini kitafuatia?
SASA ENDELEA…
ALINIACHIA huku naye akionyesha kushtuka, akashuka kitandani na kuokota khanga yake, akajifunga kivivu na kunionyesha ishara kwamba niingie kwenye kabati la nguo, nilifanya hivyo haraka, nikamsikia akifungua mlango.
“Baba amesema usije ukafunga mlango mkubwa wa nje, watachelewa kuingia ndani kwani kuna kazi wanaifanya.”
Litoto Likiazi sana hili...Sehemu ya kumi na nane_______18
ILIPOISHIA:
“SIJUI itakuwaje sasa mume wangu, lazima balaa litokee tuombe tu Mungu Togo atuhakikishie kwamba hawajafanya mapenzi na ndugu yake,” mama Togo alimwambia mumewe.
Wakati wakizungumza hayo, mara wakawaona baba na mama Rahma wanakwenda walipokuwa wakitokea ofisini kwa daktari, wakaacha mazungumzo yao.
SASA ENDELEA…
“VIPI anaendeleaje?”
“Anaendelea vizuri, mtoto mjinga sana huyu.”
“Mh! Usimuite mjinga, huu siyo muda wake, uchungu wake naujua mimi, nimembeba kwenye tumbo langu kwa miezi tisa,” alisema mama yake Rahma akionyesha kutofurahishwa na kauli ya mumewe. Walitoka pamoja na kwenda kukaa kwenye benchi lililokuwa nje ya jengo hilo la hospitali, mimi nikaenda kukaa upande wa pili.
“Hivi, mnajua mimi bado sina majibu juu ya haya maswali niliyonayo.”
“Maswali gani yanayokusumbua?”
“Ni kwa sababu gani Rahma amechukua uamuzi wa kuyakatisha maisha yake?”
“Mh! Hawa watoto wetu wa siku hizi, mimi nahisi alikuwa anampenda Togo sasa kitendo cha kuwaambia kwamba ni ndugu ndiyo maana ameamua kufanya aliyoyafanya, tumshukuru Mungu bado yupo hai.”
“Unachokisema ni sawa lakini nahisi kuna kitu zaidi ya hicho, nahisi hawa watoto walikuwa wameshaanza kufanya mapenzi.”
“Mh! Ninavyomjua Togo huwa hana kawaida ya kuwa karibu na wasichana kabisa, ni muoga sana wa wasichana, sidhani kama hilo linawezekana.”
“Hata Rahma naye si mcharuko kiasi hicho, sijawahi hata kumuona akiwa na mwanaume kichochoroni, kama mambo hayo anayafanya basi anafanya kwa siri sana, kwa ufupi anajiheshimu.”
“Sasa kama tatizo siyo hilo, mnafikiri nini kinaweza kuwa chanzo?”
“Mh! Mimi nakuunga mkono rafiki yangu, kuna kitu nimekihisi na kwa kuunganisha matukio, inawezekana ni kweli wakawa wameshaanza kukutana kimwili,” alisema baba na kusimama, akageuka huku na kule, nilishajua ananitafuta mimi na hakuwa akijua kwamba kumbe nilikuwa palepale jirani yao, nikisilikiza kila kilichokuwa kinaendelea.
“Hebu njoo hapa,” alisema huku uso wake ukiwa na jazba, nikasogea huku uso wangu nikiwa nimeuinamisha chini.
Pale kulikuwa na makundi mawili, baba yake Rahma na baba, wao walikuwa waking’ang’ania kwamba lazima mimi na Rahma tayari tumeshavunja amri ya sita wakati mama na mama yake Rahma, wao walikuwa wakitutetea, kila mmoja na mwanaye.
“Ule mzigo niliokupa safarini uko wapi?” nilishangaa baba akiniuliza swali tofauti kabisa na nililolitegemea. Nikaanza kuvuta kumbukumbu anazungumzia mzigo gani, kwa kutumia tafsida akanifafanulia mpaka nikaelewa kwamba kumbe alikuwa akimaanisha ile dawa aliyonipa pale Mlima Nyoka, Mbeya baada ya kunusurika kwenye ajali mbaya ya gari.
“Ipo nyumbani,” nilimdanganya lakini ukweli ni kwamba licha ya kunisisitiza sana niitunze dawa hiyo, ilikuwa imeniponyoka na kutumbukia kwenye shimo la choo, nyumbani kwa akina Rahma wakati nikioga.
“Una uhakika?”
“Ndi… ndi…yo,” nilibabaika. Baba alikuwa akinijua vizuri, nadhani kwa kubabaika huko, alielewa kwamba dawa hiyo haipo salama, akasimama na kunishika mkono, akanivuta kwa nguvu pembeni.
“Nakuuliza kwa mara ya mwisho, dawa yangu iko wapi?”
“Baba nisamehe, ilitumbukia chooni.”
“Unasemajee?” baba alishtuka kuliko kawaida. Mshtuko aliouonyesha ulinifanya nielewe kwamba kumbe dawa ile kutumbukia chooni halikuwa jambo la kawaida.
“Kwa nini umeniangusha mwanangu? Kwa nini umewapa ushindi?” alisema baba huku akiwa anatingisha kichwa chake kwa masikitiko, nikawa sielewi anamaanisha nini.
“Halafu kwa nini usiniambie mapema ili tujue nini cha kufanya?”
“Nisamehe baba.”
“Nataka uniambie ukweli, wewe umeshafanya mapenzi na Rahma, kweli si kweli?” baba alinihoji, safari hii akiwa amenikazia macho usoni, nikawa nashindwa kama nikubali au nikatae.
“Unaona upumbavu wako? Yaani hili halijaisha umeanzisha jingine, hivi una nini wewe?” alisema baba, akiwa tayari ameshajipa majibu kuhusu swali alilouliza. Nilishindwa cha kusema, nikajiinamia chini kwa aibu, masikitiko na huzuni vyote kwa wakati mmoja.
“Upumbavu ulioufanya utasababisha matatizo makubwa sana kwa watu wasio na hatia, hata sijui itakuwaje,” alisema baba huku akionyesha kuchanganyikiwa kabisa, akaondoka na kuniacha palepale nikiwa nimesimama, na mimi nikiwa nimechanganyikiwa.
Alienda pale alipokuwa amemuacha mama na wazazi wa Rahma, wakawa wanazungumza kitu kisha nikaona wote wamegeuka na kunitazama, hata sijui walikuwa wakizungumza nini.
“Wakiwa bado wananitazama, nesi mmoja alifungua mlango wa wodi aliyokuwemo Rahma na kutoka mbiombio mpaka kwenye ofisi ya madaktari iliyokuwa hapohapo jirani, muda mfupi baadaye akatoka tena mbiombio lakini safari hii alikuwa ameongozana na madaktari wawili ambao nao walikuwa wakikimbia.
Niliwaona akina baba wakikatisha mazungumzo yao na kusimama, huku macho yao yakiwa kwenye ule mlango wa wodi. Mle wodini kulikuwa na wagonjwa kadhaa ila sijui kwa nini akili yangu ilinituma kuamini kwamba walikuwa wakimkimbilia Rahma. Hata akina baba nao nadhani walishajua kwamba mwenye tatizo ni Rahma.
Sikutaka kuandikia mate wakati wino upo, nilitimua mbio kutoka pale nilipokuwa na kukimbilia kwenye mlango wa ile wodi, nikaupiga kikumbo mlango na kuingia mpaka ndani, macho yakiwa pale kwenye kitanda alichokuwa amelazwa Rahma.
Madaktari na manesi walikuwa wamemzunguka, nikasogea kutaka kujionea amepatwa na nini? Nilichokiona sikukiamini. Rahma alikuwa akitapatapa kama anayetaka kukata roho, kibaya zaidi damu nyingi zilikuwa zikimtoka mdomoni na puani, kiasi cha kusababisha mashuka meupe aliyokuwa amelalia yalowe damu.
“Aisee, huruhusiwi kuingia humu, muda wa kuona wagonjwa haujafika,” mlinzi ambaye mkononi alikuwa na rungu kubwa, aliniambia huku akilitingisha lile rungu, akanionyesha ishara kwamba nitoke nje vinginevyo ataniadhibu.
Ilibidi nitoke tu kwani sikutaka matatizo zaidi, ukizingatia na hali niliyomuona nayo Rahma ndiyo nilizidi kuchanganyikiwa.
“Vipi kuna nini?” baba aliniuliza nilipotoka tu, ikabidi nimueleze hali halisi, nikamuona na yeye akishusha pumzi ndefu na kushika kiuno.
“Haya yote ni kwa sababu yako na hawezi kupona kwa kutibiwa hospitali, dawa yake unayo wewe,” alisema baba huku akinitazama kwa macho ya ukali.
“Mimi? Dawa gani?”
“Inabidi ufute makosa ya upumbavu wako wote ulioufanya, hiyo ndiyo itakuwa ponapona yake, mtoto mshenzi sana wewe, wala sikukutegemea,” alisema baba huku akinisogelea mwilini, nikahisi lazima atanizabua makofi kwa sababu anapokasirika sana huwa hawezi kudhibiti hasira zake.
“Itabidi tuwaombe tuondoke naye mpaka nyumbani, nitaenda kukuelekeza nini cha kufanya kumsaidia,” alisema kwa sauti ya kunong’ona, nikahisi kama amechanganyikiwa akili. Yaani kwa hali aliyokuwa nayo, halafu eti akawaombe madaktari tuondoke naye kurudi nyumbani? Niliona ni kitu kisichowezekana.
Baba aligeuka na kuondoka, akasogea pembeni na kuanza kuzungumza na baba yake Rahma. Akina mama wao niliwaona wameshaanza kuchanganyikiwa, mama yake Rahma akawa analia. Nilijisikia vibaya sana ndani ya moyo wangu, hasa kwa jinsi baba alivyokuwa ananishutumu kwamba mimi ndiyo chanzo cha yote yale.
Mara mlango wa wodi ulifunguliwa, daktari mmoja akachungulia nje na kuwaonyesha ishara ya kuwaita baba na baba yake Rahma, mapigo ya moyo wangu yakalipuka mno, sikujua anaenda kuwaambia nini, akilini nikawa nahisi kabisa kwamba mambo yameshaharibika.
Je, nini kitafuatia?
Walaa, na wala sio De ja Vu
nshawahi kuisoma kitambo humu humu kwa jina hili hili, ilikuja kuniboa ilipoanza mambo ya Sex nikaachana nayo
nmewaambia ila wakaona kama nazushaThe same nahisi niliishaisoma pia,…
Usije kushangaa alivyo kiazi akamgonga tena bila maelekezo.Sehemu ya ishirini na moja______21
ILIPOISHIA:
Hakuwa na nguo yoyote mwilini zaidi ya kipande cha sanda alichokuwa amefunikwa kuanzia juu kidogo ya mapaja mpaka kifuani ambacho nacho kilikuwa na damudamu. Baba akanitazama usoni, na mimi nikamtazama nikiwa na shauku kubwa ya kusikia kile atakachoniambia. Nilikuwa tayari kwa chochote ilimradi Rahma apone.
SASA ENDELEA…
“Mlichokifanya mkidhani ni siri yenu ndicho unachotakiwa kukifanya hapa,” alisema baba huku akigeuka na kuanza kutoka. Ilibidi nimshike mkono na kumvuta, sikuwahi kumfanyia baba hivyo hata siku moja lakini siku hiyo nilijikuta tu nikifanya hivyo.
“Baba!”
“Ambacho huelewi ni nini? Kama unataka apone fanya nilichokwambia na wakati wa tendo hakikisha hiyo sanda huivui,” alisema baba kisha akatingisha kichwa kuonesha kwamba niendelee, akanifinjia kijicho na kuachia tabasamu hafifu. Nilijikuta nikiogopa pengine kuliko kipindi chochote maishani mwangu.
Yaani mtu anaumwa kiasi kile, yupo kwenye hatua za mwisho za kukata roho, halafu eti naambiwa nifanye naye mapenzi, tena mwili wake ukiwa umelowa damu na mimi nikiwa nimevalishwa sanda! Moyo wangu ulipigwa na ganzi.
“Nakupenda Rahma na sinba cha kufanya zaidi ya kukusaidia, namuomba Mungu anisamehe na akusamehe pia na wewe,” nilisema huku machozi yakinilengalenga. Hali aliyokuwa nayo Rahma pale kitandani ilikuwa ya kuhuzunisha mno, nikaamua kupiga moyo konde na kuivaa roho ya kinyama.
Ilikuwa ni lazima niivae roho ya kinyama kwa sababu vinginevyo ningemuonea huruma Rahma kutokana na hali aliyokuwa nayo na pengine huruma yangu ndiyo ingekuwa tiketi yake ya kuendelea kuzimu.
Niliifunua ile sanda kwa mbele na kuacha uwazi, nikafumba macho na kuanza kuvuta hisia za jinsi mimi na Rahma tulivyokuwa tukiogelea kwenye dimbwi la mahaba, kwa mbali hisia zikaanza kunijia. Sikutaka kufumbua macho kabisa, niliendelea kufumba macho, nikapapasa na kupanda juu ya kile kitanda, mapigo ya moyo yakinienda mbio kuliko kawaida.
Nilipiga magoti na kumuweka rahma katikati yangu, nikakisogeza kile kitambaa cha sanda pembeni, nikaendelea kuvuta hisia huku machozi mengi yakinitoka na muda mfupi baadaye, tayari nilikuwa nikiogelea kwenye dimbwi la damu. Niliendelea kujikaza kisabuni, nikawa napiga mbizi hivyohivyo huku nikiendelea kulia.
Katika hali ambayo sikuitegemea, nilishtuka baada ya Rahma kuzinduka na kunikamata mikono yangu kwa nguvu, ikabidi nifumbue macho, nikamuona amefumbua macho yake huku akijiuma midomo kama aliyekuwa akitaka kuzungumza kitu.
‘Ongeza spidi, dawa inakaribia kufanya kazi,” nilisikia sauti ya baba, sijjui hata ilitokea wapi kwani chumba kilikuwa kimefungwa na hata pazia lilikuwa limefunikwa. Nilijisikia aibu sana lakini sikuwa na cha kufanya, nilizidisha kasi ya kile nilichokuwa nakifanya, nikashangaa Rahma akiniachia mikono na kunikumbatia kifuani huku akianza kuangua kilio.
Sikujali damu zilizokuwa zimeulowanisha karibu mwili wake wote na pale kitandani, niliendelea kufanya kile nilichoagizwa na ghafla, nilimuona Rahma akianza kukakamaa mwili wake, nikazidi kuongeza kasi.
“Kuna kitu kitamtoka mdomoni, hakikisha unakikamata,” alisema baba, nikashtuka maana kauli yake ilimaanisha hicho kitakachomtoka kitakuwa na uhai, sasa tangu lini mtu akatoa kiumbe chenye uhai kutoka mdomoni?
Ghafla rahma alifumbua mdomo huku mwili wake wote ukiwa umekakamaa, nikashtukia kiumbe cha ajabu kama panya mweusi lakini asiye na manyoya mwilini akichungulia kutoka mdomoni, nilishtuka mno kiasi cha kunifanya nishindwe kuendelea kufanya kile nilichokuwa.
Ghafla kile kiumbe kiliruka kutoka mdomoni na kuangukia juu ya kitanda, nikasikia sauti ya baba akinisisitiza kwamba lazima nihakikishe nakikamata. Ilikuwa panya siyo panya, chura siyo chura yaani hata sijui nikielezeeje maana kichwa na kiwiliwili kilikuwa kama panya lakini hakuwa na manyoya wala mkia na hata kutembea kwake hakikuwa akikimbia kama panya bali kilikuwa kikiruka kama chura.
Nilijikuta nikipiga moyo konde, moyo wa kijasiri ukanivaa, nikaruka kutoka pale kitandani mpaka chini, nikakirukia kile kiumbe na kufanikiwa kukidaka kwenye mikono yangu lakini cha ajabu, kilipasukia mikononi mwangu, nikashtukia nimeshika mabonge ya damu.
“Safi sana!” baba alisema huku akiingia akiwa ameongozana na baba yake Rahma ambaye naye alianza kunipongeza, wakawa wananipigia makofi. Bado nilijihisi kama nipo ndotoni, sikuelewa kile kiumbe kimepotelea wapi tena na kuniacha na mabonge ya damu mikononi, nikawa natetemeka kuliko kawaida.
“Harakaharaka baba alitoa kitambaa cheupe, akanifuta yale mabonge ya damu na kukiweka kile kitambaa kwenye mfuko mweusi, akatoa wembe, akanichanja kwenye paji la uso, eneo nywele zinapoanzia na kutoa dawa kwenye kichupa, akanipaka na kuisugua kwa nguvu. Dawa ilikuwa ikiuma mno, akarudia kunipongeza kisha akaniambia kazi imekwisha, nimsaidie rahma kumsafisha na kusaficha chumba chote, wakatoka tena huku wote wakionesha kuwa na furaha kubwa mioyoni mwao.
“Togo!”
“Naam Rahma!”
“Nini kimetokea?” alisema Rahma huku akiinuka kitandani, akawa anashangaa kila kitu.
“Ni stori ndefu, naomba twende kwanza ukaoge,” nilimwambia, harakaharaka nikamuona akiinuka na kukimbilia khanga yake, akajifunga huku akionekana kunionea aibu. Hakuwa Rahma yule ambaye muda mfupi uliopita alikuwa akikaribia kukata roho, alishabadilika na kuchangamka utafikiri hakuna kilichotokea.
Baada ya kujifunga khanga, alisogea kwenye dressing table na kujitazama, nikamuona jinsi alivyoshtuka.
“Mungu wangu, mbona nimelowa damu hivi? Halafu mbona na wewe umelowa damu? Kwani nini kimetokea?” alihoji Rahma, ikabidi nivae tabasamu la uongo ili kumuondolea hofu moyoni. Nakumbuka baba amewahi kunifundisha kwamba njia nzuri ya kuishi na wanawake, ni pale wanapoonekana kulichukulia tatizo kwa ukubwa, wewe lirahisishe.
Hatua hiyo kweli ilifanikiwa sana, kwani licha ya mshtuko aliokuwa nao, aliponiona mimi nikitabasamu, Rahma aliamini kwamba kilichotokea hakikuwa tatizo kubwa, nikamshika mkono na kutaka kutoka naye tuelekee bafuni.
“Hiki nini ulichovaa?” aliniuliza, nikamtazama usoni na kumuomba anipe khanga nyingine na mimi nijifunge.
“Hujanijibu lakini.”
“Mbona una haraka ya kujua mambo yote mara moja? Nimekwambia nitakueleza kila kitu, kuwa mpole.”
“Halafu mimi si nilitaka kujiua?” alisema akiwa ni kama ameanza kurudiwa na fahamu zake, nikachukua khanga mwenyewe na kumshika mkono kumpeleka bafuni maana niliona akili yake bado ina mawenge.
“Utumie ile sabuni niliyokuwa kuogea wewe na yeye,” baba alisema, wote tukageuka na kuwatazama, kumbe walikuwa wakituangalia, wakiwa ni kama hawaamini kama Rahma yule aliyekuwa akikaribia kunusa umauti, ndiyo yule aliyekuwa akitembea mwenyewe.
“Nilifungua mlango wa bafuni, nikamtanguliza Rahma, nikamuona akitaka kujifungia mlango lakini nilisukuma na kuingia.
“Wanatuona, unafikiri baba na mama watatuelewaje?”
“Wao ndiyo wamenipa kazi ya kukusaidia kwa hiyo usiwe na wasiwasi,” nilisema huku nikifunga mlango kwa ndani, rahma akawa ananitazama kwa macho yenye maswali mengi bila majibu.
“Unatakiwa kuoga kwa kutumia hii sabuni,” nilisema huku nikimpa kile kijiwe cha ajabu nilichopewa an baba, ambacho nilikiacha humohumo bafuni, Rahma akawa bado anashangaashangaa, ilibidi nimdogeze kwenye bomba, nikafungulia maji, yakaanza kumwagikia ambapo alionekana kama kuanza kuzinduka.
“Kile nilichokiona mle bafuni na kuhisi kama naoga damu, ndicho kilichokuwa kinatokea muda huo kwani maji yaliyokuwa yakichuruzika kutoka kwenye mwili wa Rahma, yalikuwa damu tupu, nikavuta kumbukumbu na kuhisi labda kile kilichonitokea kilikuwa na uhusiano na tukio hilo.
Nilijifungua ile sanda, na mimi nikabaki kama Rahma, nikasogea pale kwenye bomba, maji yakawa yanatumwagikia, chini damu zikawa zinaendelea kutiririka kuelekea kwenye bomba la kutolea maji machafu. Nilimshika mikono Rahma, nikamvutia kwenye kifua changu, tukawa tunatazamana huku maji yakiendelea kutumwagikia, nikajikuta nikitamani kumbusu mdomoni.
Je, nini kitafuatia?