Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,985
- 10,840
- Thread starter
- #41
33.
Siku ya pili mapema nilirudi kule kambini kwaajili ya kuanza mipango ya kuisambaratisha, na kutikana na cheo basi sikusachiwa hata kidogo. niliitumia nafasa hiyo kuingia na nyaya kadha pamoja na vitu muhimu vya kutengenezea mabomu. Kutengeneza mabomu nimejua kwa sababu ni moja kati ya kozi nilizopewa kipindi nataka kuwa sniper. Nilifanya kila kitu changu nikijuwa zimebakia siku mbili tu mpaka mabomu yafike nchini humo. Usiku siku hiyo sikutoka kama ilivyo kawaida, na pia sikulalala nilizunguka zunguka na kujichanganya na wenngine lengo na madhumuni ilikuwa ni kukagua eneo zima ili kwanza nijue wapi kunakaa silaha maana naelewa kuwa ili kumpunguza nguvu adui yako ni lazima umnyang'anye silaha kwanza. Na kweli nilifika kwenye ghala la silaha na kushangazwa na silaha nzito zilizokuwemo katika ghala hilo vikiwemo vifaru ambavyo tayari vimesachorwa bendera ya Al-shabaab, niilkuta na nguo ambazo wanazivaa Al-shabaab katika kutekeleza mashambulizi. Niliangalia kushoto na kulia na nilipoona hakuna mtu mwengine kwenye ghala, nilitoa vitu kama vigololi viwili na kuviingiza kwenye boxi la mabomu aina ya grenade. Vigololi hivo ni mabomu madogo sana lakini ya uwezo wake wa kuripuwa ni mkubwa sana, baada kuviseti niliondoka na kurudi chumbani kwangu. Nilipofika nilianza kutengeza mabomu mengine aina ya C4, natumai wengi mtakua mnaelewa kasheshe ya bomu hili. usiku mzima sikulala, nilihakikisha paki pambazuka niwe tayari nishaakamilisha kazi ile maana siku zilikuwa hamna tena. Ilibakika siku moja tu kabla ya ndege inayokuja na mabomu kufika. Siku nilipanga nikitoka kambini hapo natoka kama sergent Jones lakini nikirudi narudi kama David Robert Mccanon. Asubuhi mapema niliamka na kuungana na wengine katika mazoezi na kwa sababu hata mimi mwenyewe nilitrainiwa na jeshi la marekani hivyo niliafahamu mazoezi yote vzuri sana.
Baada ya mazoezi nilirudi chumbani na kujimwagia maji, baada ya hapo nilikula gwanda safi na wakati nasachisachi nikafungua box fukani hivi na kukuta yale mambo nnayoyapenda. Kulikuwa na pistol semi-auto, revolver, shotgun, mashine gun six rounds, AK47 pamoja na mwana nimpendae kuliko wote sniper.
Nilijkuta nikitabasamu bila kutaka lakini swali likawa ni jinsi ya kutoka nazo humo kambini maana huruhusiwi kutoka na silaha. Niliumiza sana akili maana kwa wakati nilizihitaji kuliko kitu kingine chochote "nitatoka nazo tu" nilijisemea na kutafuta begi la kutilia silaha nikaanz kuziweka humo, ilibidi nizipangue ili kuepuka kushtukiwa. Kazi hiyo niliifanya kwa nusu saa, mara mlango ukagongwa. Nilipofungua nikakutana na kijana
“sergent unahitajika chamber kuu" aliongea na kuondoka, nilijiandaa na kuelekea huko, nilipofika nilikutana na raisi mstaafu akanipa karatasi na kunambia nchukue vijana wengine watatu tuelekee baharini sehemu ambayo ndege ndio ingetua kwaajili ya kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya kufika kwa ndege hiyo ambayo itatua baharini.
Siku ya pili mapema nilirudi kule kambini kwaajili ya kuanza mipango ya kuisambaratisha, na kutikana na cheo basi sikusachiwa hata kidogo. niliitumia nafasa hiyo kuingia na nyaya kadha pamoja na vitu muhimu vya kutengenezea mabomu. Kutengeneza mabomu nimejua kwa sababu ni moja kati ya kozi nilizopewa kipindi nataka kuwa sniper. Nilifanya kila kitu changu nikijuwa zimebakia siku mbili tu mpaka mabomu yafike nchini humo. Usiku siku hiyo sikutoka kama ilivyo kawaida, na pia sikulalala nilizunguka zunguka na kujichanganya na wenngine lengo na madhumuni ilikuwa ni kukagua eneo zima ili kwanza nijue wapi kunakaa silaha maana naelewa kuwa ili kumpunguza nguvu adui yako ni lazima umnyang'anye silaha kwanza. Na kweli nilifika kwenye ghala la silaha na kushangazwa na silaha nzito zilizokuwemo katika ghala hilo vikiwemo vifaru ambavyo tayari vimesachorwa bendera ya Al-shabaab, niilkuta na nguo ambazo wanazivaa Al-shabaab katika kutekeleza mashambulizi. Niliangalia kushoto na kulia na nilipoona hakuna mtu mwengine kwenye ghala, nilitoa vitu kama vigololi viwili na kuviingiza kwenye boxi la mabomu aina ya grenade. Vigololi hivo ni mabomu madogo sana lakini ya uwezo wake wa kuripuwa ni mkubwa sana, baada kuviseti niliondoka na kurudi chumbani kwangu. Nilipofika nilianza kutengeza mabomu mengine aina ya C4, natumai wengi mtakua mnaelewa kasheshe ya bomu hili. usiku mzima sikulala, nilihakikisha paki pambazuka niwe tayari nishaakamilisha kazi ile maana siku zilikuwa hamna tena. Ilibakika siku moja tu kabla ya ndege inayokuja na mabomu kufika. Siku nilipanga nikitoka kambini hapo natoka kama sergent Jones lakini nikirudi narudi kama David Robert Mccanon. Asubuhi mapema niliamka na kuungana na wengine katika mazoezi na kwa sababu hata mimi mwenyewe nilitrainiwa na jeshi la marekani hivyo niliafahamu mazoezi yote vzuri sana.
Baada ya mazoezi nilirudi chumbani na kujimwagia maji, baada ya hapo nilikula gwanda safi na wakati nasachisachi nikafungua box fukani hivi na kukuta yale mambo nnayoyapenda. Kulikuwa na pistol semi-auto, revolver, shotgun, mashine gun six rounds, AK47 pamoja na mwana nimpendae kuliko wote sniper.
Nilijkuta nikitabasamu bila kutaka lakini swali likawa ni jinsi ya kutoka nazo humo kambini maana huruhusiwi kutoka na silaha. Niliumiza sana akili maana kwa wakati nilizihitaji kuliko kitu kingine chochote "nitatoka nazo tu" nilijisemea na kutafuta begi la kutilia silaha nikaanz kuziweka humo, ilibidi nizipangue ili kuepuka kushtukiwa. Kazi hiyo niliifanya kwa nusu saa, mara mlango ukagongwa. Nilipofungua nikakutana na kijana
“sergent unahitajika chamber kuu" aliongea na kuondoka, nilijiandaa na kuelekea huko, nilipofika nilikutana na raisi mstaafu akanipa karatasi na kunambia nchukue vijana wengine watatu tuelekee baharini sehemu ambayo ndege ndio ingetua kwaajili ya kufanya maandalizi ya mwisho kabla ya kufika kwa ndege hiyo ambayo itatua baharini.