Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Utafika ukiwa unatambaaa na ulimi nje😅Nimefika hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafika ukiwa unatambaaa na ulimi nje😅Nimefika hapa
Kaka...mm nilikuwepo pia [emoji23][emoji23]Nimekuta vjana wajuaji wanapga story za freemasons na illuminati wanakajichanganya bro changia chochote ..nmewaacha midomo wazi kwa kutumia detail za story..bhas wanahc bro n mjuzi wa mambo kumbe[emoji23][emoji23][emoji23]
nitaomba sana unistiri kwa hawa vjana wengne[emoji23][emoji23]Kaka...mm nilikuwepo pia [emoji23][emoji23]
Nilikuwa nakuzoom tu [emoji23][emoji119]
[emoji23][emoji23][emoji23]nitaomba sana unistiri kwa hawa vjana wengne[emoji23][emoji23]
Kiujmla simulizi ni love fantasy zaidi, kuliko espionage.Singano pole na majukumu,nakubali sana kazi zako,hii simulizi Kuna kipindi ilikuwa nikiikosa nakosa amani kabisa,nafikiri Mimi ni mmojawapo wa mwanzo kununua,lakini kwangu naona inaanza kukosa ule mvuto wa mwanzo,hata nikiikosa mwezi naona kawaida tu,nafikiri steringi roma anapoteza mvuto,ngono zimezidi kuliko action!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Subira yavuta herii.ila hii naona bado kidogo itavuta bange[emoji847]
Huyu subira wetu anavuta GOZO😊Subira yavuta herii.ila hii naona bado kidogo itavuta bange[emoji847]
Simbaday[emoji3]Hv leo ni lini?
Yaani wewe pepo utaisikia tu walah!!Si ndo hapo.anaziingua kinoma.si asome tu.watu tupp pagebya elfu saba huko
mkuu tunakuona online kaka tupe muendelezo alosto inauaAsante mkuu kwa marekebisho