Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Ya Roma Ramoni ni magical, na inaruhusiwa mtunzi kuchagua aina ya Riwaya iwe Fictional au ya kawaida inayoakisi maisha ya watu wa kawaida.
Mimi siandiki magical natembea na visa vya maisha ya kawida tu
Ingia youtube search "SOKORO" ili upate taste ya uandishi wangu kisha uje uniambie kama inafaa nianzishe uzi au lah!!!
Acha tantalila.weka ugoko watu wang'oke nao.akunaga simuliz mbaya jf.anzisha uzi wako tutakuja uko uko
 
Acha tantalila.weka ugoko watu wang'oke nao.akunaga simuliz mbaya jf.anzisha uzi wako tutakuja uko uko
Hahaaaa ulivyofyatuka kama ID yako tu,
Usikonde nina stamina ya Roberto Carlos, mguu kama Aguero, hayupo wa kutikisa nikisimika man.
 
Sasa wewe si ndio mwafrika Halisi , kumchangia mwandishi 3000 tu kumsapoti unaona kuubwa na itamtajirisha .

Hebu jipe muda wa kufatilia wenzetu wa mataifa ya Ulaya , Asia na Marekani uone walivyokuwa supportive kwa waandishi wao, wewe unafikiri tunakaa chini kukuandikia ili kukufurahisha bure bure tu

NB:Jifunze kuthamini kazi za watu hata kama unaziona ni ndogo vipi itakusaidia sana.

TUSIWE NA WASIWASI SIMULIZI ITAISHA HII MPAKA MWISHO HATA KAMA NI MWAKANI

Mkuu upo vizuri sana, halali tuchangie [emoji1544]. WORK OF ART
 
Kwa heshima na taadhima,

15:00 pm mzigo unashuka rasmi,
MABADUNI WA SERIKALI.
Nitakaowatag nanyi muwatagi wenzetu wengine ili twende sambamba.
Huo mzigo kabla ya kuushusha utoe na angalizo kama utakuwa wa bure au biashara.
 
Huko wasapp anaibia watu tu [emoji23] [emoji23]
Kwa mwendo wake huu anaweza vunja record ya mauzo maana haijulikani itaisha lini. singanojr aje aeleze kuwa hii simulizi itaisha lini na kama imekamilika aseme watu waamue kuinunu yote au waendelee na utaratibu wa malipo ya mwezi.
 
Kwa mwendo wake huu anaweza vunja record ya mauzo maana haijulikani itaisha lini. singanojr aje aeleze kuwa hii simulizi itaisha lini na kama imekamilika aseme watu waamue kuinunu yote au waendelee na utaratibu wa malipo ya mwezi.
Episode ya 800 ndio mwisho[emoji898] leo.watsapp nipo episode ya 703 hapa tutaendelea kesho jioni episodes 10
 
Yeye hauzi kwa Jumla bali anauza kwa vipande vipande visivyo kamilifu, ana group huko telegram lenye members 71 Waliolipia 5000 Tsh kujiunga, ila kila mwezi huwatoza 2500 ili awape mwendelezo. ambako kazuia copy & forward.

Ila kwa kuwa telegram sio mali yake hawezi kuzuia watu wasiolipia wasisome story ndani ya hili group, kuna wajanja wanawaunga mabest wao kwa ku add acc kupitia namba ya aliyelipia, so hajui kuwa kuna watu zaidi ya 1k wanasomaga story yake huko telegram pasipo kuilipia 😂😂

Sasa sijui anafaidika nini kwa kuzuia copy & forward, ni heri awe atafute mbinu mpya za kuuza ila wajuba walishamharibia mpango wake wa kuuzia watu wengi zaidi hiyo story, mbaya zaidi hata story yenyewe imekosa mvuto. Insider man kaja juzi juzi tu hapa na keshamzika singanojr kwa story yake ya jinsi biashara ya Uber iliyonikutanisha na mrembo wa ajabu. yenye viewers wasiopungua 2M

Kazi kwake singanojr
aseme watu waamue kuinunu yote au waendelee na utaratibu wa malipo ya mwezi.
 
Back
Top Bottom