cha kwanza
Senior Member
- Nov 10, 2018
- 179
- 163
Acha tantalila.weka ugoko watu wang'oke nao.akunaga simuliz mbaya jf.anzisha uzi wako tutakuja uko ukoYa Roma Ramoni ni magical, na inaruhusiwa mtunzi kuchagua aina ya Riwaya iwe Fictional au ya kawaida inayoakisi maisha ya watu wa kawaida.
Mimi siandiki magical natembea na visa vya maisha ya kawida tu
Ingia youtube search "SOKORO" ili upate taste ya uandishi wangu kisha uje uniambie kama inafaa nianzishe uzi au lah!!!