cha kwanza
Senior Member
- Nov 10, 2018
- 179
- 163
Acha tantalila.weka ugoko watu wang'oke nao.akunaga simuliz mbaya jf.anzisha uzi wako tutakuja uko ukoYa Roma Ramoni ni magical, na inaruhusiwa mtunzi kuchagua aina ya Riwaya iwe Fictional au ya kawaida inayoakisi maisha ya watu wa kawaida.
Mimi siandiki magical natembea na visa vya maisha ya kawida tu
Ingia youtube search "SOKORO" ili upate taste ya uandishi wangu kisha uje uniambie kama inafaa nianzishe uzi au lah!!!
Hahaaaa ulivyofyatuka kama ID yako tu,Acha tantalila.weka ugoko watu wang'oke nao.akunaga simuliz mbaya jf.anzisha uzi wako tutakuja uko uko
Ukianzisha ututagHahaaaa ulivyofyatuka kama ID yako tu,
Usikonde nina stamina ya Roberto Carlos, mguu kama Aguero, hayupo wa kutikisa nikisimika man.
Sasa wewe si ndio mwafrika Halisi , kumchangia mwandishi 3000 tu kumsapoti unaona kuubwa na itamtajirisha .
Hebu jipe muda wa kufatilia wenzetu wa mataifa ya Ulaya , Asia na Marekani uone walivyokuwa supportive kwa waandishi wao, wewe unafikiri tunakaa chini kukuandikia ili kukufurahisha bure bure tu
NB:Jifunze kuthamini kazi za watu hata kama unaziona ni ndogo vipi itakusaidia sana.
TUSIWE NA WASIWASI SIMULIZI ITAISHA HII MPAKA MWISHO HATA KAMA NI MWAKANI
Pamoja mkuuUkianzisha ututag
Huo mzigo kabla ya kuushusha utoe na angalizo kama utakuwa wa bure au biashara.Kwa heshima na taadhima,
15:00 pm mzigo unashuka rasmi,
MABADUNI WA SERIKALI.
Nitakaowatag nanyi muwatagi wenzetu wengine ili twende sambamba.
Unamaanisha Biashara zile za njoo whatsapp?Huo mzigo kabla ya kuushusha utoe na angalizo kama utakuwa wa bure au biashara.
Ndiyo kama hii hii Isidingo haijulikani itaisha lini.Unamaanisha Biashara zile za njoo whatsapp?
Hapana mzigo ni bure kabisa, hakuna biasharaNdiyo kama hii hii Isidingo haijulikani itaisha lini.
Safi sanaKwa heshima na taadhima,
15:00 pm mzigo unashuka rasmi,
MABADUNI WA SERIKALI.
Nitakaowatag nanyi muwatagi wenzetu wengine ili twende sambamba.
Unitag na mim ukishusha.Hapana mzigo ni bure kabisa, hakuna biashara
Na sura zipo sita tu Sinoni
Huko wasapp anaibia watu tu [emoji23] [emoji23]Unitag na mim ukishusha.
Kwa mwendo wake huu anaweza vunja record ya mauzo maana haijulikani itaisha lini. singanojr aje aeleze kuwa hii simulizi itaisha lini na kama imekamilika aseme watu waamue kuinunu yote au waendelee na utaratibu wa malipo ya mwezi.Huko wasapp anaibia watu tu [emoji23] [emoji23]
Episode ya 800 ndio mwisho[emoji898] leo.watsapp nipo episode ya 703 hapa tutaendelea kesho jioni episodes 10Kwa mwendo wake huu anaweza vunja record ya mauzo maana haijulikani itaisha lini. singanojr aje aeleze kuwa hii simulizi itaisha lini na kama imekamilika aseme watu waamue kuinunu yote au waendelee na utaratibu wa malipo ya mwezi.
aseme watu waamue kuinunu yote au waendelee na utaratibu wa malipo ya mwezi.