Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

UTABIRI WANGU.

Edna atakufa na atauawa na baba ake Jeremy.
Roma atamuua Athena akisaidiana na Omary .
Roma atamuoa Najma.


bisheni nimekaa pale niiteni Achraf Hakim
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
UTABIRI WANGU.

Edna atakufa na atauawa na baba ake Jeremy.
Roma atamuua Athena akisaidiana na Omary .
Roma atamuoa Najma.


bisheni nimekaa pale niiteni Achraf Hakim
akifa edina itakua mwisho wa story, maana ndio sterling
 
Amin Nawaaambie huu ni uzi mgumu mno kuutabiri,,wapo walionza na tabiri zao za kipuuzi uko mwanzo, LAKINI sahivi coments zao ni za "KUSHANGAA/ KUPIGWA BUTWAA".
 
UTABIRI WANGU.

Edna atakufa na atauawa na baba ake Jeremy.
Roma atamuua Athena akisaidiana na Omary .
Roma atamuoa Najma.


bisheni nimekaa pale niiteni Achraf Hakim
Rubish... Usijifanye unajua sana kutabiri wewe soma kama huwezi kutoa hata pongezi nyamaza tu. Ujuaji hauna ishu
 
UTABIRI WANGU.

Edna atakufa na atauawa na baba ake Jeremy.
Roma atamuua Athena akisaidiana na Omary .
Roma atamuoa Najma.


bisheni nimekaa pale niiteni Achraf Hakim
Mkuu acha kuteseka njoo whatsap kule hii haitabiriki na tuko mbali sana now
 
UTABIRI WANGU.

Edna atakufa na atauawa na baba ake Jeremy.
Roma atamuua Athena akisaidiana na Omary .
Roma atamuoa Najma.


bisheni nimekaa pale niiteni Achraf Hakim
Umefeli...
Lipia usome kwa raha zako uone meza ilivyopinduka
 
Hadi muda huu edna hajachakatwa mbususu round two,dah! hii part inarukwa sana.
 
Edina ni pacha wa seventine, ni mama mdogo wa Lanlan, damu zinapishana pishana bila wahusika kujua.

Roma hana mzuka wa kumla Edina kabisa.
 
Kwa maana kwa wiki mara moja sasa! Daaah! singanojr hapa unachemka ndugu! Hii itakupunguzia sana wateja huko whatsapp! Majority ya wateja wako huko whatsapp wametokea hapa jf! Angalia trend ya wafuatiliaji humu wanavyopungua ndio na huko hawajitokezi wengi! It is a piece of advise! The more you post here the more you gain new customers whatsapp. Samahan lkn
 
Kwa maana kwa wiki mara moja sasa! Daaah! singanojr hapa unachemka ndugu! Hii itakupunguzia sana wateja huko whatsapp! Majority ya wateja wako huko whatsapp wametokea hapa jf! Angalia trend ya wafuatiliaji humu wanavyopungua ndio na huko hawajitokezi wengi! It is a piece of advise! The more you post here the more you gain new customers whatsapp. Samahan lkn
kupunguza kupost nikutokana na majukumu kesho tutapost

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado tu huyu mkuu haja log in ? Uwii hii arosto itanitia wehu kabisa
Kwani jamaa hauna mengine ya kufanya. Jenga nchi!!! Utashinda ukidraw attention yake lakini niko sure ataona maandishi yako ya vilio atakapomaliza ya kwake. Wacha kulilia pipi mwenzangu.
 
Back
Top Bottom