Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

Ashaona idadi ya wanaoipenda inaongezeka na vile tunavyoulizia akichelewesha bas bora atobolee hapo hapo.
Daah wengine tunaishi na 4000 kwa siku, jero asubuhi, buku jero mchana, buku jero nyingine usiku alaf jero inayobaki tunaunga bando la kuingia JF kusoma riwaya na mengineyo kupunguza stress za ugumu wa maisha ila mwamba kaona 3000 haitoshi

Sie mabraza tunakomaa hapa hapa JF mpaka stori aimalize aisee
 
Kwa wale tusio lipia, tusilalame Sana tukubali tu na yatupasa tuwe na subra maana hatuna namna nyingine
 
Mi Sasa sisomi hadi, mwezi wa 3 ambapo stori itakuwa imefikia tamati
 
Kwa wale tusio lipia, tusilalame Sana tukubali tu na yatupasa tuwe na subra maana hatuna namna nyingine
Na mkilipia Mnaachwa njia panda maana sisi tunaolipia kule whatsapp tunagombana naye kila siku, stori haijaisha na mwendolezo ni wa kusuasua jamaa hakosi sababu na akitoa ahadi hatekelezi kamwe.
So ukitoa buku 6 utapata vipande kadhaa then ukitufikia tulipo unaungana nasi kwenye kuipita dhiki.
 
Kuna wahusika wengine hadi nimeshaanza kuwasahau ikiwemo Clelia Allisanto, wale wazungu majirani wa msaidizi/ mke mwenza wa Edina yule alokuwa na black card ya benki. Halafu kaanzisha story nyingine wakati hii bado episodes Kama 200 hivi ndo iishe. Maana kule group walishafika ep700+ na bado gaijaisha.
Clelia Allisanto ndio Athena mwenyewe huyo Demu mwenye ukwasi ni Doris rafiki wa rafiki wa Athena
 
Na mkilipia Mnaachwa njia panda maana sisi tunaolipia kule whatsapp tunagombana naye kila siku, stori haijaisha na mwendolezo ni wa kusuasua jamaa hakosi sababu na akitoa ahadi hatekelezi kamwe.
So ukitoa buku 6 utapata vipande kadhaa then ukitufikia tulipo unaungana nasi kwenye kuipita dhiki.
Kuipita dhiki! au ndo ile stage aliyoipitia roma
 
Back
Top Bottom